USHUHUDA WA JOHN RAMIREZ ALIYEKUWA MWABUDU SHETANI•ALIKUWA AKIKAA MEZA MOJA NA LUSIFA USO KWA USO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Komentáře • 43

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Před rokem +4

    The story of John ramirez is so uplifting.God bless promover tv.

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 Před rokem +2

    BWANA yesu kristo akupiganie jactani kazi yako Ni njema

  • @SafiAkinyi8361
    @SafiAkinyi8361 Před rokem +1

    Amen Amen Amen kuna shuhuda ingine kama hii mzuri kweli nimeipenda

  • @horimberepeace7376
    @horimberepeace7376 Před rokem +1

    EEEEEE!!!!😱😱😱😱 BWANA WETU YESU CHRISTO!!!! ASANTE SAAANAAA!!!! KUMUPONYA KAKA YETU!!!! ULIMUTOWA KATIKA WAFU!!!! UKAMUTIYA KATIKA KUNDI LA WANA WAPEMDWA WAKO YESU CHRISTO!!!! HALLELLUA HALLELLUA HALLELLUAAAAAAA!!!!!!📢📢📢📢📢🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎸🎸

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru7106 Před rokem +6

    Nipo huku🇺🇸 yn wao kua mchawi sio siri unakuta nyumba nje kumeandikwa kabisa “this house is practizing witchcraft” na kaufagio nje wapo proud.

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před rokem

    Balikiwa mtumishi wa Mungu Jactani,Kwa kutuletea habali motomoto,Mungu akubalikki sana mpaka watu wAshangae,

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Před 11 měsíci

    Amen and amen God bless you so much

  • @maryeer6392
    @maryeer6392 Před rokem

    Mungu ni mkuu 🙏🇰🇪.

  • @heriturya940
    @heriturya940 Před rokem

    Barikiwa

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Před rokem

    Amen

  • @daddysalha5883
    @daddysalha5883 Před rokem +2

    Iyo ni kweli ata apa Australia yako wazi wazungu awajifichi

  • @lilyrose7983
    @lilyrose7983 Před rokem

    👏👏👏👏

  • @reachelchemtai2604
    @reachelchemtai2604 Před 11 měsíci

    Haa shatani jamani Hana huruma kabisa na mwanadamu

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim5539 Před rokem +3

    Esita masany

    • @williamjaphety860
      @williamjaphety860 Před rokem

      He!! hivi kumbe ni wa shetan!! mbn sa huwa anatoa ushuhuda wa tofauti?

    • @tabby6064
      @tabby6064 Před rokem

      ​@@williamjaphety860wachana na huyu, anamchafua mama wawatu bure..mambo yakusikia kwakina Mushala wala hana uhakika nayo ndio yuwatuletea hapa

    • @truth7796
      @truth7796 Před rokem +1

      Amefanya nini, If you have something personal against her why don't you face her by calling

    • @saidmatikiti1566
      @saidmatikiti1566 Před rokem

      Kafanyaje

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru7106 Před rokem +1

    Wow this is deep

  • @angelibrahim5539
    @angelibrahim5539 Před rokem +3

    Tuna taka kujua kwanini bando muna mufatiria esita wakati yeye Ni mtumishi was shetani muna muuzi mngu sana

    • @joycekaphevemba7215
      @joycekaphevemba7215 Před rokem +2

      Wewe ulijuaje... Kumbuka muhukumu ni Mungu pekee

    • @patricianyale
      @patricianyale Před rokem +4

      Tumejuwa nyinyi pia huenda ni mawakala munataka kuzimisha kile Mungu aliweka kwa huyo mama Esta mshindwe kwa Jina la Yesu na mipango yenu haitafanikiwa, wako waabudu shetani hamuwaona NI uongo gani alioongea mpk umuite muabudu shetani? Mbinguni hatuendi na tabia hizo lazima kuziwache kumuita mtu mubaya na hakuna ubaya wwte tuliouona au ni kuwaambia wanawake waache mapambo ndo ushetani huo?

    • @dadaz4653
      @dadaz4653 Před rokem +2

      ​@@patricianyale yan wanamuandama sana mama wawatu utafikiri Mungu kawafunulia wao wasingesikia kwa mushala wangeongea saa ngap Jaman Mungu atusamehe mama wawatu anaendelea na injili wao waendelee kumuhukumu Mungu ndo anaye mjua

    • @patricianyale
      @patricianyale Před rokem +1

      @@dadaz4653 Mimi nataka waniambie kile kisichokuwa na Mungu anachokihubiri huenda mimi Sina masikio mazuri sisikii ,yaani watu wanapenda kujihesabia haki Tena wanasema Mungu ndo kawaonyeaha hao ndo wenye pepo hasa wamuombe Mungu Sanaa awasaidie kutambua wanayoyasema watatoa hesabu yake hamuogopi?

    • @williamjaphety860
      @williamjaphety860 Před rokem

      Naomba unifungue kidogo kuhusu huyu Ester Masanja

  • @salngas902
    @salngas902 Před rokem +2

    Haiti demon ishidwe kwa jina la Yesi Kristo