Part 4_USHUHUDA WA ALIYEKUWA WAKALA WA SHETANI KITENGO CHA DAMU KWA MIAKA 17

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024

Komentáře • 37

  • @kmwendemusic5379
    @kmwendemusic5379 Před 4 lety +7

    Yaani acha niseme kitu hapa.. ...mie nmekuwa mkatoliki maisha yangu yote tangu utotoni, Rosari nilikuwa siwezi lala kama sijaomba yooote, sasa wakati ukafika kila nikijaribu kuiomba najikuta nmelala au nasikia mtu ananigongea na nikiangalia sioni mtu. Ndipo nikasema ebu niachane nayo kwanza mungu aniongeleshe na hapo ndipo nilipewa maono ambayo siwezi kusahau ata siku moja.. Niliona kaka amevaa rosari shingoni na kilichofuatilia niliona madudu mengi sana yanayofanana na hiyo rosari yakimtoka kichwani na ivo ndivo niliacha mambo ya rosari kabisa, hio ni sanamu tu ila watu hawaoni wala kuelewa

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 Před 4 lety

      Amen Hallelujah

    • @marianachriss2444
      @marianachriss2444 Před 4 lety +1

      Ni kweli maana imeandikwa kwenye kumbukuku la torati ( 5:8 usijifanyie sanamu ya kuchonga mfano wa kitu chochote kilicho Juu mbinguni au kilicho majini ,au ktk nchi.,usivisujudie wala kuvitumikia. Umefanya uamuzi mzuri kutoka kanisa la Roma maana ulikuwa unaabudu sanamu kweli. Maana waabudu sana hawawezi kuurithi ufalma wa Mungu soma waefeso 5:5.Ameen barikiwa BWANA YESU akupe neema ya kumjua zaidi mwili na roho

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 Před 4 lety +1

      @@marianachriss2444 kabisa Mungu awafungue macho wanao fikiria kuabudu sanamu ni sawa kwanza kwa inchi niliyopo ooh my God Mungu awahurumie yani wanatumia hizo rosari nakuomba kwa jina la maria

    • @kmwendemusic5379
      @kmwendemusic5379 Před 4 lety +1

      @@hebronsdaughter1661 maria mungu alionyesha maono mengine pia.. Nkaona sanamu ya maria na nikaona mapadri wakifanya misa na kilichotokea baada ya hapo niliona mwanamke mweupe amevaa nguo za red ametoka ndani ya hiyo sanamu akiwa na mtoto wa kiume mkononi huku wamevaa nguo znafanana nikajiona kwa maono Yale nikisema ndio huyo scarlet woman ndio huyoooo,,,,

    • @hebronsdaughter1661
      @hebronsdaughter1661 Před 4 lety

      @@kmwendemusic5379 Mungu atupe macho ya Rohoni tumuabudu yeye tu

  • @daisymuthoni675
    @daisymuthoni675 Před 2 lety +1

    Wow ujumbe mzuri kwa kweli,Kama anayesikia huu ujumbe hatamgeukia Mungu,Hana sababu barikiwa Sana mtumishi

  • @bryanfelix3771
    @bryanfelix3771 Před 4 lety +3

    Kweli kabisa mtumishi wa Mungu Kanisa limetekwa na tamaa ya Fedha

  • @josephinemumbua159
    @josephinemumbua159 Před 4 lety +4

    Pastor fungua shule ya mafuzo ya bibilia mafuzo mazuri barikiwa sana

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy1573 Před 2 lety +2

    Amenii ushuhunda mzurii mtumishi

  • @monicabh1668
    @monicabh1668 Před 3 lety +1

    Amen 🙏 mchungaji Asante kwa neno la ukweli

  • @slimsan3859
    @slimsan3859 Před 3 lety +2

    Mpendwa kaka Jaktan, Mungu azidi kukusimamia. Binafsi nauona sana mkono wa Mungu kupitia videos hizi. Ubarikiwe sana Kaka yangu ktk Roho. Amen

  • @ruthalberts8199
    @ruthalberts8199 Před 3 lety +1

    Such a great man of God. Thank you for the teaching, we truly need the Holy Spirit to overcame the devil.

  • @tigerchristmas5491
    @tigerchristmas5491 Před 4 lety +1

    Asante Roho mtakatifu
    Asanteni watumishi wa Mungu
    Naomba mtumishi Jactan umtafutie muda hyu mtumishi awe anatulisha neno japo kidg kidg

  • @asaphgidion4767
    @asaphgidion4767 Před 3 lety +1

    Nimesikia shuhuda nyingi za giza lakini wewe ushuhuda wako nimeupenda kwasababu msingi wake umekuwa katika neno la mungu watu wengi wanashuhudia uongo waliofundishwa na shetani matokeo yake wanamkuza shetani kuliko Mungu

  • @marianachriss2444
    @marianachriss2444 Před 4 lety +1

    Amina,Mungu azidi kumtia Nguvu.aifanye vizuri kazi ya BWANA YESU.

  • @user-tb6gv1xx9j
    @user-tb6gv1xx9j Před rokem +1

    Amen

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 Před 4 lety +1

    Amina Yesu Kristo ndio jibu la kila jambo, ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @harrietkiden7808
    @harrietkiden7808 Před rokem

    God bless you so much precious Servant of the Most High GOD 🙏

  • @lordmedia8705
    @lordmedia8705 Před 2 lety

    Mungu akubariki sana.Hakika nimejifunza mengi.

  • @denisjackson9414
    @denisjackson9414 Před 2 lety +1

    Aaamen.

  • @omaebarongo1892
    @omaebarongo1892 Před 3 lety +1

    Hallelujah nimebarikiwa Sana mtumishi

  • @peterdaniel9050
    @peterdaniel9050 Před 4 lety +1

    Mungu ni mwema

  • @crispindrummer2765
    @crispindrummer2765 Před 3 lety

    Amin ubarikiwe sana 🙏

  • @rizikimarie6765
    @rizikimarie6765 Před 4 lety +1

    Amen Amen pastor

  • @sarahnabarikiwasanananyimb2290

    Amina nimekuelewa sana mungu aendelee kukutumia

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 Před 3 lety

    Jacktan mungu awe na ww , nashukuru sana

  • @florencendatila9183
    @florencendatila9183 Před 4 lety

    AMEEN

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 Před 3 lety

    Ubarikiwe mwalimu

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 Před 4 lety +1

    Amen Hallelujah asante kwa ibada maana imenifungua

  • @mercymusundi5289
    @mercymusundi5289 Před 3 lety

    Barikiwa bro na uinuliwe kabisa watu tubadilike

  • @loraumuhire4755
    @loraumuhire4755 Před 4 lety

    Asante Mungu akubariki, nikweri hao yote unaongea

  • @nizaelluka627
    @nizaelluka627 Před 3 lety

    Nyimbo zake au CD za shuhuda napateje

  • @zawadimalecela3448
    @zawadimalecela3448 Před rokem +1

    Ameeen

  • @slimsan3859
    @slimsan3859 Před 3 lety +1

    Amen