Pastor Paul Hussein Mubarakh Vunja Nguvu Ya Uisilamu Na Majini Official Video

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024

Komentáře • 998

  • @Mutedingenuity95
    @Mutedingenuity95 Před 4 lety +59

    Kila mtu ataamshwa nashidazake Kwa wakati wake...wenye roho ngumu kaeni Ivo Ivo kuumia na kuteseka kulia katika ufalme washetani ambayo moja yake ni dini ya ki islamu..Mimi nimtafuta ukweli sio kuzaliwa tu na kufata dunia...nilitafuta ukweli nikampata yesu..sababu yesu ni ukweli..Asante Yesu❤️

  • @IkramuKapemba-yr5pd
    @IkramuKapemba-yr5pd Před rokem +1

    Muislam mwenye kujitambua ya kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu awezi kufanya vitu vya ajabu kama uyo anaetoa ushuuda wa uongo

  • @hagererakoroso3257
    @hagererakoroso3257 Před 5 lety +8

    Kila goti lita pigwa na kila ulimi uta kiri kwamba yesu ni bwana

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 4 lety +17

    Yesu ni njia kweli na Uzima mtu haji kwa Mungu pasipo kumkubali yeye.Asante Yesu kwa kuniokoa nakupenda sana mwokozi wangu.

  • @AbisaiMwambene-fo9pt
    @AbisaiMwambene-fo9pt Před rokem +5

    Jesus is a name above all names

  • @rebeccanghwasa7387
    @rebeccanghwasa7387 Před 7 lety +50

    BWANA YESU ana watu wengi sana. ukimkataa wewe haimaanishi kuwa atashindwa kupata watu. kila siku watu wanaokoka. kweli YESU NI MUNGU. jina lake ni kuu sana. nakupenda sana YESU. nisaidie kuwa mtakatifu Bwana Yesu.

    • @ismailngolloh4517
      @ismailngolloh4517 Před 7 lety +2

      Rebecca Nghwasa hata hao wanaomsikiliza wanajua wanadanganywa ....maana wakiristo wanasoma Quran lkn hawajawahi kuona aya hizo wala hawajawahi kusikia ...aibu ya wazi Kwa wakiristo

    • @rebeccanghwasa7387
      @rebeccanghwasa7387 Před 7 lety +6

      ipo siku utajua haya kwa dhahili na naomba kuwa usiwe umechelewa na kuingia motoni. BWANA YESU akuhurumie na wewe.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 7 lety +2

      +Ismail Ngolloh,ebu angalia hiyo comment ya uyo ulie mjibu nae pia ni miongoni mwa wale walio potea,anakwambia,yesu ni Mungu,nakwambia huu msiba kweli

    • @answarkera1719
      @answarkera1719 Před 7 lety +2

      MUNGU ANASIFA NYINGI HATA BIBLIA IMEZITAJA MOJA WAPO MUNGU HALALI ILA YESU ALILALA,MUNGU HALI YESU ALIKULA,MUNGU HAFI KWA MUJIBU WAIMANI YAO MUNGU YESU KAFA, NA YOTE HAYA NINA VIFUNGU ANAETAKA KUJIFUNZA ATUMIE MUDA HUU KUULIZA NIMFUNZE NA AFATILIE,,,NARUDIA TENA IMANI YENU IMEMSURUBU YESU AKAPIGA KELELE MUNGU WANGU MUNGU WANGU SASA KAMA MUNGU NAE ANAMUNGU WEWE UNABUDU MUNGU A AU MUNGU B? BORA ANGESEMA MUNGU MWENZANGU MUNGU MWENZANGU Mat 27:46 kuendelea soma huko.PIA SOMA YOH 19:14 NA MARKO 15:25 KISHA TUJUZE YESU KASULUBIWA MUDA GANI NA AKAFA MUDA GANI NA ILIKUWA SIKU GANI ILI TUZITAFUTE SIKU 3 ZA YEYE KUFUFUKA ALFAJIR YA JUMA PILINA UKUMBUKE SIKU INA MCHANA 1 NA USIKU 1
      MUNGU HAKUZAA WALA HAKUZALIWA YESU KAZALIWA NA MARYAM MAMAKE ALIINGIA HEDHI KAMA WEWE REBECCA NA ALIPOZAA ALIPATA UCHUNGU KAMA MAMAKO ALIVYOKUZAA PIA HOJA YAKUWA MWANA WAMUNGU HAJAITWA YEYE TU WENGI WAMEITWA HIVYO HATA WEWE PIA 2:10 MALAKI SOTE NI WANA WA MUNGU
      WAKRISTO MSIPIGIE KELELE UKE WENZA ALIEWAAMBIA MUOE MKE 1 NI NANI IKIWA IBRAHIM HAKUWA NA 1,YAKOBO HAKUWA NA TENA NDIO BABA WA MATAIFA 12 YA IZRAEL 1,MUSA HAKUWA NA 1UNAPOTAKA KULETA CHANGAMOTO NA DINI HAI UWE NA HOJA ZA MSINGI.

    • @answarkera1719
      @answarkera1719 Před 7 lety +2

      JAMANI UJINGA MALI WEWE UKAFANYE UZINZI WAKO HUKO ZAMBI ABEBE YESU? ALAFU MUNGU KATANGULIA KUFA NA KUMWACHA BINAADAM HAI ANADUNDA TU?MUNGU GANI HUYU ANASHINDWA UJANJA NA WANAADAM WANAPANGA KUMUUA NA WANAFANIKIWA NAE ANALALAMIKA MUNGU AJE AMSAIDIE YAANI MUNGU NAE ANAMUNGU MUKUBWA DUH?

  • @ajilimaria9290
    @ajilimaria9290 Před 5 lety +6

    Jina la yesu ni dawa siku zote kwenye maisha yetu ss wakristu.

  • @michaelwanyanga
    @michaelwanyanga Před rokem +1

    Hakika BWANA YESU anatenda mambo makuu. Aliokoa, anaokoa, na atazidi kuokoa vizazi hata vizazi mpaka utimilifu wa mambo yote. Mungu alikumbuke kanisa hili kwa kuwa madhabahu ya ushuhuda lakini pia kwa kumkaribisha mtumishi huyu ili kutoa ushuhuda utakaowaokoa wengi katika Jina la Yesu Kristo....

  • @babaanisha2104
    @babaanisha2104 Před 5 lety +7

    Qur'an hii ndio naisikia leo namshukuru Allah kwa kuzaliwa muislam

  • @jeffyweffy6398
    @jeffyweffy6398 Před 3 lety +5

    Yesu ni Mungu...Ngumu kuamini kwa watu fulani lakini kweli

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 lety

      Mungu anatahiriwa na kwenda msalani Mungu ana njaa zinduka ndugu

  • @allymadjaliwa1374
    @allymadjaliwa1374 Před 7 lety +5

    whallahi naapa kwa yule alie tutanguliza hapa duniani hauta ondoka hapa duniani kabla hauja zalilika kwa uongo mkubwa ulio uzua zidi ya muumba wetu allah.

  • @ChristineMunezero-wv2yb
    @ChristineMunezero-wv2yb Před 9 měsíci +2

    Ainuliwe juu bwana wamabwana Yesu chrito❤❤

  • @janeobure3006
    @janeobure3006 Před 7 lety +20

    Yesu anaweza,damu ya yesu iliyomwagika msalabani ikufunike.

  • @enockndale8472
    @enockndale8472 Před 3 lety +3

    ISLAM NI DINI YA MAJINI NA UTUMWA HAO WATU WAKO UNDER SLAVERY YA MOHAMMED NA WAARABU , OLE WAO WANGELIFANYA UAMUZI HARAKA IWEZEKANAVO KABLA MASIHI HAJARUDI KUHUKUMU ULIMWENGU.

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 Před 5 lety +15

    Yesu ndiye njia ya kweli safi sana

  • @petershikuku2748
    @petershikuku2748 Před rokem +1

    Atukuzwe Mungu mkuu atendaye mambo makuu kupitia Kwa mwanae Yesu k

  • @rachaelmwinyi8416
    @rachaelmwinyi8416 Před 6 lety +7

    Njooni kwa Yesu waislam shtukeni hukumu ya Mungu inakujaa

  • @kephermwangura2199
    @kephermwangura2199 Před rokem

    Bwana Yesu asifiwe... Hakika Mungu ni mwaminifu ,nafanya kazi kwa familia ya waislamu ...wamekuwa wakinisihi sana ni slimu nikawaambia mpaka nisome Quran na hadiths za mtume Muhammadi ....Sasa nikagundua ndani ya Quran Yesu ni Mungu,(Sura 4:171) pia Yesu alisulubiwa msalabani......(3:50-55)
    Sasa nikawaambia ziezi slim hata wanipatie utajiri wao wote...wakashangaa sana na Sasa hawawezi niambia lolote...
    Mimi naomba kupata hicho kitabu...Cha Muhammadi Cha majini....( SURA TU AJINI)

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 Před 7 lety +14

    Yesu ni njia ya kweli na uzima.
    Huwezi mwona Baba ila kwa yeye.
    Amwaminie yeye hahukumiwi asiemwamini amekwisha hukumiwa... Haina mjadala hiyo
    Mwamini uupate uzima kama unautaka.
    Mkatae upotee milele mbali na uzima.
    Nnnamjua nilie mwamini ni kweli na niuzima

    • @bashiryusuf9670
      @bashiryusuf9670 Před 5 lety

      Kweli akili ni mali ikiwa huendi kwa baba ila kwanjia yake yy yesu kisha wasema yy yesu ndie baba niujinga uliokithiri

  • @jumanjenga7682
    @jumanjenga7682 Před 3 lety +1

    Mwisho wa hayo yote ni hesabu.uzushi mtupu. Urongo mtupu

  • @faithgitonga8314
    @faithgitonga8314 Před 7 lety +16

    Kwa waislamu wote... hata mpinge namna gani, ndani ya mioyo yenu mnajua uwazi kuwa hamna Jina lingine lililopewa nguvu ila jina takatifu la Yesu. Just surrender your lives to Jesus... lilieni nafsi zenu mpate uzima wa milele. Nyinyi ndio mliofungwa macho na masheikh wenu, Yesu anawapenda jinsi mlivyo tu

    • @crescentvscross1132
      @crescentvscross1132 Před 4 lety

      Tumechoka kutafuta pesa Kwa jasho Sasa tumeona tukatapeli wanao tapelika kanisaniiiiii

    • @crescentvscross1132
      @crescentvscross1132 Před 3 lety

      Uislamu unashika ulaya kwa watu wasimi wanaojua qur'an makristo wa Africa ni kuimbishwa tu siwachukue Quran wasome wenyewe jamaa anadai kakutana na jini live hongera yake

    • @aboulhaarith1481
      @aboulhaarith1481 Před 2 lety

      Nyinyi wakristo ni wapumbavu,,chukueni quran msome

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 2 lety

      Sasa jina yesu litapewa nguvu kwa mfumo gani? Ni Jesus, ni jevoo, ni jesu? Hau ni jina gani maana kila kabila inamtaja yesu kwa jina lake na hata kwenye bibilia ya lugha ya yesu hakuna jina yesu?

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 lety

      @@crescentvscross1132 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @brilliantt.ikenya7509
    @brilliantt.ikenya7509 Před rokem +2

    Yesu ndiye njia ya kwenda kwa Mungu ❤

  • @rehemaabinelynyagawa2878
    @rehemaabinelynyagawa2878 Před 3 lety +4

    Msumari umepenya wenye masiko na wasikie

  • @barnabasanga7552
    @barnabasanga7552 Před 3 lety +6

    Bwana Yesu ndiye Mungu na jemedali wa ulimwengu.ampingaye daima atapotea.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Před rokem

      Mathayo 4
      10 Ndipo Yesu alipomwambia
      Nenda zako, Shetani; kwa maana
      imeandikwa, Msujudie Bwana Mungu
      wako, umwabudu yeye peke yake.

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Před rokem

      Kama yesu mungu kwa nini asiseme tumuabudu yeye peke yake aseme tumsujudie mungu na yeye ni mungu

  • @sibiromallya5894
    @sibiromallya5894 Před 5 lety +8

    njoon kwa yesu kristo maana hakuna jambo gumu lolote asiloliweza
    Ameeeeeeennnn

  • @emmakaneko2386
    @emmakaneko2386 Před 7 lety +17

    Yesu ndiye njia ya uzima

  • @heavenlightswai5294
    @heavenlightswai5294 Před 7 lety +13

    Mungu wa eliya atajulikana tu

    • @dodoted5033
      @dodoted5033 Před 4 lety +1

      Ashajulikana,ni Yesu njia ya uzima.

  • @jennifermakere5139
    @jennifermakere5139 Před 2 lety +2

    Nilikuwa nakaribia kua muislam lakini miaka 14 iliyopita alishuhudia kanisan moja njombe nikaokoka na nilipotoka chuoni Niko ufufuo na uzima mpaka Leo nasonga mbele Mungu amuinue sana

  • @jacklinewahome2416
    @jacklinewahome2416 Před 4 lety +8

    Glory to God, kumbe ata waislam, wamechoka na utumwa wa muhammed ,oh my God my Lord,you are wonderful glorious GOd. Waislam Wote karibuni kwa Jesus Christ son of God. The way the truth and life.

  • @bahatimutatwa8719
    @bahatimutatwa8719 Před 5 lety +2

    Pastor Paul all things work for those who believe yote ni mipango y’a Mungu Ona sasa leo unayo yaongea yanatuhimiza moyo hata sisi waaminidu. Usingesoma hayo hungetufafanuluya habari za koran na Habari Njema

  • @ibrahimmgimba6186
    @ibrahimmgimba6186 Před rokem +5

    I real appreciate your presentation

  • @calvinmchopa2222
    @calvinmchopa2222 Před 3 lety +5

    Yesu ni njia kweli na uzima. Pinga ila ipo siku utamiumbuka Bwana Yesu

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela Před 3 lety

      Yaan we kafiri wafaa ukatwe miguu na kichwa kwa uongo nanjaa

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela Před 3 lety

      Hakika ukristo niukafiri wawazi naona mnatumia nguvu kubwa at mtafankikiwa kuwavuta wa2 waache uislam half waingie katka ukafiri

    • @Zuwenamachela
      @Zuwenamachela Před 3 lety

      Mungu gan hajui hata siku ya hukmu mnakhasara kubwa ninyi angalieni acheni ushabiki na mazoea 24:36

  • @emmakaneko2386
    @emmakaneko2386 Před 7 lety +13

    Bwana yesu asifiwe

  • @princessyvetteevedollyisma2586

    yesu anaokowa watu,,,watu husema umuona yesu,,,,kwa hakika mimi yesu alinitokeya kwa ndoto baada ya kuona wafu wakinifata majini nikanza kukemeya katika jina la yesu mmoja akaniuliza yesu ni nani nikajibu ni baba yangu sekunde aikupita yesu akatokeya nikamkimbilia akanikumbatiya bada ya hapo wale wafu wakapoteya kwa hakika ukimwita yesu atakuja bora uwe na imani uwe muslim uwe cristian ukimuomba atakuitikiya,,,sidanganyi na hapa mbele ya mungu nimemuona

    • @vesitinalevocatus4886
      @vesitinalevocatus4886 Před 6 lety

      hakika ukomuita yeye kwaimani lazima aonekane watu watasema niuongo lakini namwamini hakika yupo

    • @innocentmido7016
      @innocentmido7016 Před 2 lety

      @@fiiijengu7410 yule w kweny pich sio waiekti tu

  • @nelsonechesa2200
    @nelsonechesa2200 Před rokem +4

    Hakika mchungaji umenibariki sana be blessed 🙏🙏

  • @abelmabula7094
    @abelmabula7094 Před 7 lety +7

    Mtumishi ubarikiwe nawashindwe kwa jina la yesu

  • @elizabethimo412
    @elizabethimo412 Před 4 lety +4

    Ushuhuda huu umenifunguwa macho na masikio na akili nimemkubli Yesu. Nimejuwa kuwa kuwa Sawa katika Yesu ni kujuwa maandiko na kufuata maandiko Damu ya Yesu itulinde siku zote za maisha yetu🙏🙏🙏

  • @davidmchenye542
    @davidmchenye542 Před 2 lety +2

    Yesu Yuko mbinguni Ofisi take iko Duniani

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 Před 7 lety +27

    Yesu ni Kamanda hata wakipinga bado ni Bwana

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Před 7 lety

      hta mm na mkubali n nabii wa mungu vle na wale wanamuita mtoto wa zinaa(Israel ) uko na ujumbe wa kuwaambi

    • @ismailngolloh4517
      @ismailngolloh4517 Před 7 lety

      Gideoni Mathew poleni sana Kwa kudanganywa...ametaja aya ya 44 al imrani haisemi hayo anayosema...

    • @janek9103
      @janek9103 Před 7 lety

      Gideoni Mathew very true brother

    • @user-il1bv6vs9q
      @user-il1bv6vs9q Před 6 lety

      Gideoni Mathew Amen

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 Před 4 lety

      @@ismailngolloh4517 naomba tufundishane Mimi na wewe je unaamini kuwa Yesu alikufa na akafufuka na akapaa kwenda mbinguni?

  • @aaronswai6935
    @aaronswai6935 Před rokem +4

    Mungu akubariki Apostle Paul Hussein Mubarak kwa Injili ya WOKOVU!

  • @gilntihe462
    @gilntihe462 Před 3 lety +4

    Wapende, wasipende,wakubali na wasikubali,Yesu ni Mungu,Mukombozi na ni Njiya,Uzima na Ukweli.

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 Před 2 lety +3

    Huyu ni baba 6years ago😂🇰🇪 Leo ni mbunge kesho kwa nehema yA mwenyezi mungu atakuwa Raisi wa kwanza mchungaji. Ambapo atakuwa a Natoka ikulu na kuenda kuhubiri injili yA yesu kwa wananchi💪💯

  • @agathavike7072
    @agathavike7072 Před 2 lety +5

    JESUS IS THE ONILY WAY TO THE FATHER. AMEN

  • @NeussfetdXiu-bx9uq
    @NeussfetdXiu-bx9uq Před 3 měsíci

    Ushuhuda wa nguvu na kukuza kweli...

  • @saintj1982
    @saintj1982 Před rokem +3

    Thank you Jesus Christ, the way , truth , and life

  • @benjaminhardwork9355
    @benjaminhardwork9355 Před 8 měsíci

    Huyu ndie anajuwa uu islam huwezi ukampoteza ili awe mu islam Ajili damunya yesu imemuokowa mengi ili atufunze nasisote tusiojuwa wokovu kamili ni nini?ubarikiwe sana pastor Hossein kutuelimisha ili tumujuwe YESU

  • @isaacklaurian769
    @isaacklaurian769 Před 7 lety +20

    Wajanja wanakimbilia kwa yesu. . . pole sana Kama uamini

  • @babylidyaandrea4568
    @babylidyaandrea4568 Před 6 lety +2

    Punzika kwa yesu baba kunaamani tele tele sio huko kwa Majini ubalikiwe Mtumishi wa mungu

    • @sahera1125
      @sahera1125 Před 5 lety

      kuna majini wapi uko tuwaulize nyinyi mnaotoana mapepo kanisani

  • @jennywakirori9971
    @jennywakirori9971 Před 7 lety +8

    Yesu tosha hakuna mwingine ila yeye tu

    • @111dudi
      @111dudi Před 3 lety

      Zaidi ya Yesu ni aliyemuumba yesu, nae ni Mungu

  • @Awatee
    @Awatee Před 2 lety

    Mnafiki hujawatafsiria vzr laana tuullah

  • @euniceeunice7680
    @euniceeunice7680 Před 6 lety +3

    Nampenda yesu ❤❤❤waislam njoeni uku uko mnapotea Mohammad ni shetani ndo mana anawatia chumvi muchukie kitu cha kweli jamani jamani nawaonea huruma sana 😥😥😥

    • @janekamau6189
      @janekamau6189 Před 4 lety

      🤔🤔🤔🤔🤔☹☹☹

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 lety

      Weye ndie shetan pamoja na kanisa lak kushawahi kuona msikiti kuingia shetan 😏😏

  • @ayubutwalbu6594
    @ayubutwalbu6594 Před rokem

    Mzee ukasome acha uwongo mungu iyogope sku ambayo utarejea kwa mungu utakwenda kujibu

  • @janekchannel5074
    @janekchannel5074 Před 4 lety +3

    Njooni kwa Yesu tuokolewe ili tukauridhi ufalme wa Mungu mbinguni

  • @babylidyaandrea4568
    @babylidyaandrea4568 Před 6 lety +2

    Nabado watakuja Mashehe wote kuhubili injili nyie wanafunzi wa mashekhe masublinn njooeni kwa yesu kuna njia ya uzima asante shekhe

    • @princessh6073
      @princessh6073 Před 5 lety

      We nayeye pia hakiri zenu ziko sawa hamjielewi
      Hebu mwangalie vizuri huyo nguruwe pori ana fanana na shekhe gani licha ya kufanana na shekhe hawezi kufanana hata na mwislamu wa kawaida.
      We vp?hivi hawa ma pastar ster wenu mbona asihubirie wafuasi wake wanaozini na ma pastar tena ndani ya kanisa?watubie

    • @ahmedzahor2975
      @ahmedzahor2975 Před 3 lety

      Tuonyeshe katika bible kua ukristo dini na vitaje vitabu vya Mungu tuone kama bilia imo Vitabu ni Zaburi Taurat innjil na Qur-an

  • @blessedlovedandfavoured4129

    Great is the name of Jesus Christ

  • @dallaxngaona1345
    @dallaxngaona1345 Před 5 lety +1

    Shetan hapat tabu na nyinyi kwa sababu anajua kashawapoteza tayar hakun mungu anayeitwa yesu abadan

  • @janepaulo9619
    @janepaulo9619 Před 4 lety +3

    Jamani Yesu ni mkuu sana pia namshukuru kwa kumokoa Paul

  • @mussamzee1701
    @mussamzee1701 Před 7 lety +1

    uta simama siku ya kiyama uta eleza hizo aya ume zitoa wapi .ila Mimi na muomba Allah kabla haja zichukua roho zetu kama hizo aya ni za kweli basi Allah aku ongoze na kama ni uongo Allah aku dhalilishe mbele ya macho yetu wote tulio ona ujinga wako tuku one hapa kwa vyovyote Allah anavyo weza maana Mimi ni shahidi katika aya zako ulizo to a hakuna ya ukweli hata moja MZEE una jitahidi kuitafuta dunia Allah aku lipe

    • @swai.sudeysimpower9699
      @swai.sudeysimpower9699 Před 7 lety

      Inah lilah wainah lilah Rajun uyo jamaa kapewa pesa yeye anajua kabisa Uislam ndo dini yakwel kwasababu ya njaa anatafsri haya za uongo wala quran haijatamka hivyo

    • @festokimath2245
      @festokimath2245 Před 5 lety

      Ndugu zangu watu wanatoa njaa zao tumbon wanaziamishia kichwan hvyo bas kwasababu wao huwa naitafuta dunia allah kasha waachia na akhera allah anajua atawafanya nn hivyo angalie kisha waachen msiwatukane wao wala din ya maana muslam 1 anaogopwa na manaswara(wakristo) 10

  • @jd-lo4xx
    @jd-lo4xx Před 6 lety +9

    Yesu anaupendo sana amempenda paster husen anakupenda nawewe uliyeko kwenye Giza totoro kama arivyo kua paster husen njoo acha kusita ubadilishwe uokoke

  • @ashunashunabdallah3319
    @ashunashunabdallah3319 Před 7 lety +2

    ww umepewa pesa kutukanana uislam.n inshaall Allha Akulaaan kwakukikashifu. kitabu chake.

  • @Turyatunga53
    @Turyatunga53 Před 6 lety +9

    YESU asifiwe sana.

  • @nginamugwe8093
    @nginamugwe8093 Před 4 lety +1

    Mtu anijibu tuu hi swali....Muislam anaomba Mungu mmoja na wakristo ama wao ni tofauti na sisi

    • @jeunajuatv817
      @jeunajuatv817 Před 3 lety

      Mungu tofauti. Mungu wa Waislamu ni Allah na hao ni Yesu

  • @DorcasMutanu-db2yo
    @DorcasMutanu-db2yo Před rokem +3

    God help us to worship you in truth and spirit Amen

  • @PeterChengo
    @PeterChengo Před 9 měsíci

    May the load be blessed

  • @emmamwingizi4407
    @emmamwingizi4407 Před 7 lety +9

    Jina la bwana Yesu liinuliwe

  • @benjaminhardwork9355
    @benjaminhardwork9355 Před 8 měsíci

    Huyu ndie Mungu alitutumia sisi wa islam tuokokr anasema ukweli kabisaaa

  • @gideonimathew6491
    @gideonimathew6491 Před 7 lety +19

    inajulikana na iko wazi kua Yesu ndio njia kweli

    • @Kalaharidesertstorm
      @Kalaharidesertstorm Před 6 lety

      Gideoni Mathew pumbavu wewe utajua haujui wapagani ndio walikuita wewe mkiristo maana wewe pumbavu

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 Před 6 lety

      haaaaa naisi raha sana ndani ya roho ,waislam mtapondo ukristo mpaka lini,msimfananishe muhamad na yesu wetu,

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 Před 6 lety

      bila nyinyi ukristo utaendelea nashkuru mungu kujipata mkirsto manake sijui ningelikua wpi bila yesu

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 Před 6 lety

      malaika wanaimba uko binguni YESU ni bwana ukubali ukatae shauri yako YESU ni bwana

    • @winnieopondo3001
      @winnieopondo3001 Před 6 lety +1

      hakuna siku uwongo utabadilika ukweli, ati dini yakweli kwani watu wanaabudu dini ama mungu ndo manake mnaishi na majini kwa nyumba zenu mshindwa kwa jina LA YESU kristo mwana wa mungu alie hai

  • @zacharymaina2603
    @zacharymaina2603 Před 5 lety +1

    Mimi niko kenya hiyo ni kweli tupu yesu akudumishe milele

  • @babylidyaandrea4568
    @babylidyaandrea4568 Před 6 lety +8

    Kwer kabisa uisilamu ni majini na waganga wakienyeji

    • @i.dclassic116
      @i.dclassic116 Před 3 lety

      Wew haujui uislamu ndoman ila nakwambia uyo hakuna msomi wala hajasoma kabisa

    • @i.dclassic116
      @i.dclassic116 Před 3 lety

      Hakuna sura inayo itwa hivyo nahyo Maneno yko unawadanganya watu

    • @sukumaganga2613
      @sukumaganga2613 Před 2 lety

      Huo ni owongo mkubwa sana Kwan ukisema kweli utapungukiwa na nn?

  • @wenisariaswai3104
    @wenisariaswai3104 Před 2 lety +1

    Mwenyenzi Mungu azidi kukuinua na kukutumia kila mahali mtumishi wa Mungu.

  • @bentake7047
    @bentake7047 Před 7 lety +13

    Yesu anawapenda sana waislamu

    • @abubakarimwasumilwe7293
      @abubakarimwasumilwe7293 Před 7 lety

      Beni, nikweli Yesu anatupenda c waislam kwakua ht ye ni muislam

    • @ayunramadhan3104
      @ayunramadhan3104 Před 5 lety +1

      Anawapenda kwa sababy yy issa au yesu ni Muslim c kafiri kama nyie mnaoabudu sanam la bikira maria from dubai Abu Dhabi

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 Před 4 lety +2

      @@abubakarimwasumilwe7293 nipe aya wapi Yesu ni Muislamu

    • @rechomethod8288
      @rechomethod8288 Před rokem

      Kabisa yesu ni mzuri jamani

  • @dafrosamonko8254
    @dafrosamonko8254 Před 6 měsíci

    Nampokea Yesu amen

  • @newlightmoviesproduction3598

    Asante sana baba kwa neno la maisha 🙏 🙏 🙏.

  • @mohamedharunamohamedharuna7124

    Hakika MUNGU amekusikia kwa upotoshaji huo na malipo yako ni hapahapa duniani.Kinachokufanya uongee uongo ni swala la maslahi na tamaa za kidunia tu.Dini yenu n imekuwa biashara sishangai sana ukiongea uongo kwa ajili ya kupata kipato na utawapata wengi kwakuwa Watanzania wengi ni wavivu wa kufikiri na kufanya uchunguzi kubainisha dini ipi ni ya kweli.

  • @issacklewis8654
    @issacklewis8654 Před 4 lety +5

    Amen bwana yesu asifiwe

  • @minanietienne-sz8xu
    @minanietienne-sz8xu Před rokem +2

    We love you so much thunder of God

  • @kelvinpeter5666
    @kelvinpeter5666 Před rokem +1

    Jesus Christ king

  • @mafurushirima966
    @mafurushirima966 Před 5 lety +5

    Allah ni shetani

    • @asadomar1032
      @asadomar1032 Před 4 lety

      Mungu akusamehe hujui usemalo

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 lety

      @@asadomar1032 Laana mbaya ndugu

  • @henryjonas5991
    @henryjonas5991 Před 6 lety +1

    Waislamu njooni kwa Yesu Kristo muokoke

  • @janek9103
    @janek9103 Před 7 lety +21

    there is power in the blood of Jesus

  • @sylvestermuthoka7038
    @sylvestermuthoka7038 Před rokem +1

    Jesus is the way and truth

  • @beatricechiiko2619
    @beatricechiiko2619 Před 6 lety +7

    Jooni kwa kristo waislaam

  • @kiloritihaji1619
    @kiloritihaji1619 Před 7 lety +2

    ya rabbi nakuomba usimuache mpka afe huyu mtu ndo umuadhibu nakuomba umdhalilishe hapa hapa duniani ameen

  • @abelmabula7094
    @abelmabula7094 Před 7 lety +8

    Masheteni majini wanatoka kwa jina la yesu Ameee!!!!!¡

  • @missarngweshemi9983
    @missarngweshemi9983 Před 6 lety

    Mungu endelea kufunua kweli yako wengi wasiendelee kuangamia na kupotelea upotevuni. Wengi wa waislamu hawaijui hata korani inasema nini. Wako tayari hata kufa kwa kushikilia walichoelezwa, sio walichokisoma wenyewe. Umamma unawaangamiza ndugu Zetu. Yesu yuko kwa ajili yao, ni kukubali na kukiri tu.

    • @ismailchumu6889
      @ismailchumu6889 Před 5 lety

      Acha ujinga, waislamu sio wakristo sisi tumekatazwa kuabudu bila ya elimu, ukiona tunasali ujue tunaufahamu na tunachokifanya hiyo Qur'an unayosema wewe hatuijui huyo kafiri ndo anaijuwa basi umepotea, sisi tumebobea kwenye Qur'an yetu anachoongea huyo kafiri ni utumbo

  • @alfredmwema3839
    @alfredmwema3839 Před 8 lety +34

    hakuna Jina jingine tulilopewa wanadamu litupasalo kuokolewa kwalo ila ni jina la YESU tuu!!

    • @jenniferchilongozi1945
      @jenniferchilongozi1945 Před 7 lety

      wamkubali wasimkubali ni Mungu kwao tu.

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 7 lety +1

      MUNGU ni ALLAH subuhana-hu-watahalah,na kama yesu ni Mungu basi mjue mshapotea

    • @annsafari2424
      @annsafari2424 Před 7 lety +3

      Fatuma Mwalimu Jesus is the Son of GOD

    • @fatumamwalimu5765
      @fatumamwalimu5765 Před 7 lety +1

      +Ann Safari,nyinyi mnajua hamjitambui,mara yesu Mungu,mara yesu mwana wa Mungu,sasa kwa taarifa yenu MUNGU hana mtoto,yaani hakuzaa wala hakuzaliwa

    • @janek9103
      @janek9103 Před 7 lety +3

      alfred mwema kabisa hamna jina jingine

  • @salehmussasaid1136
    @salehmussasaid1136 Před 5 lety +1

    Jambo hili nihatari sana kwanchi yetu ya Amani Tz.halipaswi kuachwa hivihivi kwani linaweza kuleta mfarakano mkubwa.Ninahakika hanaushahidi wa yote alioyasema.Uhuru wakuabudu unamipakayake na Uhuru wakuongea unamipakayake.Wenyemamlaka nazani mmeona!!!!!!!!!!!!

    • @saramss7262
      @saramss7262 Před 2 lety

      Saleh mussa said Sasa unataka umpee azabu au njoo uokokee ACHA mengi hayasaidiii

  • @agneskhakali2069
    @agneskhakali2069 Před 6 lety +10

    Glory be to GOD. Thank you brother for receiving Christ

  • @LucyJMtitu
    @LucyJMtitu Před 4 lety +2

    Matusi mnayotukana humu ninyi waislamu yanatoa majibu kabisa ninyi no wanani.

  • @wilberchannel5346
    @wilberchannel5346 Před 3 lety +4

    Haleluhya jesus is lord

  • @exaudinyachi1775
    @exaudinyachi1775 Před 3 lety +2

    Amina mtumishi wa Mungu umeniokoa

  • @petromachanga29
    @petromachanga29 Před 4 lety +10

    Sisi tunamhubili yesu aliyesulubiwa msalaban, na mpaka Leo yuko mbinguni, mhamedi amekufa na uogo wake

  • @abdulab6202
    @abdulab6202 Před 2 lety

    Huna lolote hicho sio kiarabu huna lolote muongo unawadanganya hao wenzako usiuchezee uislam

  • @ellykepher3456
    @ellykepher3456 Před 7 lety +6

    Sema: Nimepewa wahyi ya kuwa kundi moja la majini lilisikiliza, na likasema: Hakika sisi tumeisikia Qur’an ya ajabu!Inaongoza kwenye uwongofu, kwa hivyo tumeiamini, wala hatutamshirikisha yoyote na Mola Wetu.

    • @lamerckmsuya5513
      @lamerckmsuya5513 Před 3 lety

      Sasa majin wliolaaniwa wanawezaje kuwa wachamungu, kama sio wamezuga hapo ni kitabu chao quran, ili wapate wafuasi wa kwenda nao jehanam

    • @wangnjamealawy3387
      @wangnjamealawy3387 Před 3 lety

      @@lamerckmsuya5513 Rudi darasani ndugu, acha kusikiliza maneno ya uzushi tu, nani alokwambia majini wote wamelaaniwa?

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 Před rokem

    Nimekutafuta Siku nyingi sikupate,leo Roho Mtakatifu âmekunipa Amena

  • @jennlafilin2251
    @jennlafilin2251 Před 6 lety +3

    Amen baba Mungu kakuchagua

  • @kolthoomkolthoom2516
    @kolthoomkolthoom2516 Před 6 lety +1

    Hatuwezi kuja Kwa Yesu Kwa kushawishiwa na wafanyabiashara,endeleeni kutafuta wateja

  • @bentake7047
    @bentake7047 Před 7 lety +18

    waislamu wote njooo kwa jina LA Yesu Christo

    • @mr.bokobokofamily6730
      @mr.bokobokofamily6730 Před 7 lety +1

      Ben Take
      huyu jamaa muogo

    • @halimamohammed3580
      @halimamohammed3580 Před 6 lety +1

      Ben Take nyooo kaa huko na yesu sisi tunamjua nabii issa

    • @noratnoraty9904
      @noratnoraty9904 Před 5 lety

      Ajebabaako

    • @ajilimaria9290
      @ajilimaria9290 Před 5 lety

      Yani nyinyi weslam kila ushuuda ni wongo tu hacheni majini

    • @princeshaq3181
      @princeshaq3181 Před 4 lety

      Ben Take Daah!! Amakweli wakrito nikondoo mliopotea kabisa. Yaan Jamaa Jamaa anawaongopea na nyie masikin ya mungu hamjui mnashangilia. Katoa aya Surat jini kiarabu anachongea hakitafsiriki, walahakielewek sisi tunaojua kiarabu tunacheka tena sana polen ndugu zangu

  • @sylviakazimily8760
    @sylviakazimily8760 Před 2 lety +2

    Nakupata sana Mwalimu wangu upo vizur

  • @pstjameskndokolani6321
    @pstjameskndokolani6321 Před 2 lety +4

    Be blessed servernts of God