MAZINGE NA MCHUNGAJI
Vložit
- čas přidán 11. 11. 2023
- MWANADANU AKIACHA MUONGOZO ALIOPEWA NA ALLAH ANAKUWA KAMA MNYAMA SHEKHE NASSOR BACHU
• MWANADANU AKIACHA MUON...
MCHUNGAJI KACHEMKA MBELE YA PROF.MAZINGE
• WEWE NDACHA ACHA KUWAD...
MWANAMKE AMBAYE MZAZI WAKE AMESAMEHEWA DHAMBI ZAKE KWA KUMTII MUME WAKE SHEKHE MSELEMU BIN ALI
• MWANAMKE AMBAYE MZAZI ...
Love you prophet Mohammed❤❤❤❤ True Prophet from ALLa
not really
Allahu akbar hakika muhamadi ni mtume wa allah
Shekh Mazinge una tukosha nafsi kweli
Makafiri. Hawana lao
ALLAHU AKBAR
Unaabudu Jiwe na wewe ndio Kafiri halisi,
Allah Akbar
Mpeee uyoooo😂😂😂 munyoshe SASA professa❤❤❤
Àcha kuwanganya watu wewe Yesu ana sema Mimi niwakwanza na wamwisho wajao nyuma yangu niwevi Tena niwanyanganyi Swali kwako wewe mpinga Kristo Mhamadi na Yesu nan alianza
Shekhe unatisha wew kiboko ya makafili shekhe
Allah ❤ Akbar
Mazige hii video haikujamilika kuna vipande vingi sana mmeviondoa vya mchungani Yahya
Hao wamekarr maandiko c kuyafaham
Takbiriii
ALLAHU AK'BAR
Alla akbar
Mazinge Allah akupe umri mrefu akupe haja za moyo wako . Akupe Leo na kesho ahera Kwa uwezo wake .
aamin
Mazinge wape maandiko vitabu vyao lakini hawavisomi ipasavyo
Mazinge ni muongo sana ety wakristo wanafuata mtume Mohamed niongo juu bibilia ilikuwa imeesabu kutoka mwazo
SABATO NI SIKU SIO DINI PRO MAZINGE
czcams.com/video/bpQqVEeAF5Y/video.html
Na hakika ewe Mohammed tumekufunulia wahai huu Kama tulivyo mfunulia Mussa , yakob, yunusu,Nuhu,na n,k Qur'an Surat Al nisaa
jazaaka llahu khaira
Mazinge natamani unifundishe na mm niijue kufundisha dini
Hapo hajashindwa mazinge alie hajuwi nacho uliza
WEYE padiri nishahidi WA Nanii Musa ushahidi. Ganiii
Quran 61:6 .Anasibitishwa Muhammad hapo
❤❤❤
Kaumia uyo moyoni ata kama asiseme
Ulishindwa bibya sana mazinge
Muhammed ata Mungu hamjuwi Yani Bibiliya itamutaja haje
SABATO NI SIKU SIO DINI PRO MAZINGE
czcams.com/video/bpQqVEeAF5Y/video.html
@@jeanpaulkwizera3216 wewe kuandika hujui kachambe ulale yesu mwenyewe anamjua mtume Muhammad (sw)
Hapo mazinge ulichemka na ulishindwa vbayasana
Hajachemka chocolate hapo
hapo Mazinge kachemka vibaya sana
kachemka wapi
Mazingwe ashindwa kuthibitisha wapi Mohammad kachaguliwa na mungu kwa quoran ameandza kumtafuta padri mkorofi😂😂😂
Mazinge Umewakomesha Makafiri Safari Hii Sana.ww ni kiboko ya Makafiri
Kuna kafiri zaidi ya mtu anayeabudu Jiwe Jeusi??
Apa mazinge alichemsha
Sikiliza hii
czcams.com/video/nHu4-KdguPE/video.htmlsi=tBX9YrqoD4gHPRvT
😂😂😂😂😂😂
Makafiri ni watu gani
Kafiri ni kila anampinga Mtume Muhammad na qur,an na ALLAH
Hongera Mazinge, umemziba mdomo huyu bwege asiyejua. Anatunia quraan kumkataa Muhammad. inachekesha sana.
Toka lini mazinge anaakili
@@user-fg1gg3ec2o wakristo hawamuwezi. Kubali. Mazinge anaijua biblia kuliko wakristo. Hiyo Yahaya, anamkataa Muhammad s.a.w.lakini anatumia quraan iliyoteremshwa kwa Muhammad s.a.w. ni akili hizo? ,yaani baniyani mbaya kiatu chake.dawa
Tatizo Hawa hawataki kusoma bibilia wao Huwa wanasomei vifungu vya Aya vya kuwatia ujinga TU vile vifungu vya kweli hawawasomei
😂😂😂😂😂 mtu alikuwa imamu asiijue Quaran
Acha matusi, Aya iko wapi muhamad kachaguliwa kuwa mtume
Wachungaji wote ni waganga tu
Pandiri ni alaha?
huyo mchungaji akili hani yupo kimasilahi na hawa mapsta ni mashetani wote wanapotosha wakirsto tu hamna dini ya ukirsto ni watu tu wametunga kupeleka nje na mwenyezingu
Mkahidi WA maneno ya mtume muhamadi ni kipofu WA akili
Acha kushika MAFUNDISHO ya wanadam Soma mwenyewe vitabu uelewe ndugu unaangamia kwa kukosa maalifa
wote nyie ni ni wapumbavu mungu gani mbona mwabishania mungu mmoja ivi nyie mnaakili kweli bora Mimi ambae simuamini maiamini nafsi yangu
Hakuna upumbavu hebu tazama hii
czcams.com/video/j-9atrC-Ocw/video.html
Nyinyi nyote mmelewa tu
Huna hoja
Jiwe Limejengewa Nyumba ya Ibada😂😂na Linaabudiwa,Muhammad alifanya kulipa Jina tu la Kiarabu basi😂😂😂Jiulizeni enyi Wapagani Hiyo salamu mnayompa Mtume katika Swala mara5 kila siku anawasikia na mtu mwenyewe alishakufa akaoza??
huna hoja
😂🤣🤣🤣🤣 mazinge bwana hiyo Quaran na Biblia kipi kilitangualia,muhamad anasema ibrahimu alichaguliwa wakati yote hayo alishaga andikwa kwahiyo muhamadi amekopi kwenye Biblia
Bibilia yenyew inafanyiwa marekebisho kila baada ya muda kadhaa, lakini qu-ani haina udhaifu kma wenu
Huyu Mazige anafanya vichekesho wala hajajibu swali
We ndiye usiyefaham
Akuna mazinge ujatoa jibu umeulizwa toa aya kua niwapi mtume kachaguliwa namunguuu wewe hujajibu swali acha porojo
SABATO NI SIKU SIO DINI PRO MAZINGE
czcams.com/video/bpQqVEeAF5Y/video.html
😂😂😂🤣🤣😋🤣 mazinge hapa umejichanganya sana , kabla ya muhamadi kuja duniani miezi ilikuwa mingapi ??? Biblia ndo kila kitu
hajajichanganya msikilize hapa vizuri uelewe
czcams.com/video/j-9atrC-Ocw/video.html
Padiri. WEYE. Haujuwi. Iyo bibiliya yako
Muhammada ni mtume wa shetani ndo Mana alimfanya Hadi mtoto wa myaka tisa
Mtume Muhammad hana hata siku Moja tabia mbaya huwezi kuzipata na ushetani uko kilometa nyingi na Muhammad
Allah akulipe
Astaghafiruallah
acaha ubishi huu ndio ushahidi
czcams.com/video/j-9atrC-Ocw/video.html
@@barackamosi4116 usilo lijuwa achana nalo nduguyangu unapatazambi too
Mazinge jibu swali ni aiya gani Mohammed alichakuliwa na Mungu simple.
Ni aya gani hakuchaguliwa
Ili kuthibitisha kuwa kachaguliwa
Bro kwani Kiswahili sio lugha yako??kama mumeamkni kua Muhammad alisema Maryam ni mama Bora halafu muamini kabisa,kisha uje ukatae kwamba hajachanguliwa alijuaje kama Maryam ni mama Bora??na kwann mukaamini?
Mohammed ni mwongo anasema mariamu ni bora kuliko wanawake wote wakati bibilia inasema mariamu alikuwa bora katikaka wanawake sio kuliko, Mohammed mwongo kweli.
Ni Bora unyamaze maana huna unalojua kubuau bibilia
Usikurupuke soma vizuri biblia
wallah nakuona huruma nenda kasoma utajua muhamad n nani . mohamd na mjumbe wa mwenyezimungu nampenda mtume muhamad
Tupe aya kwenye bibilia mungu kataremsha kitabu kinacho itwa bibilia
@@youngkiki. Tofauti Kati ya kuliko na katikati ni ipi?? Yote inamaanisha ni Bora zaidi
Aha😂 Huna kitu kichwani
Mchungaji ameuliza swari Haya gani Muhammad kachaguriwa simple question mambo meeeengi achana mjipu alidhike
Wewe acha chuki ya kidini Soma ama sikiza kwa moyo msafi sio kwa upinzani Ila kwa kutaka kujua haki uko wapi?
@@user-sz8sx8pn7v yes simumujibu Basi swari lake mambo ubishi uishe
Mama wa yesu ni mama bora ujamini ndani ya kuruani aijaacha kitu mashallaa karibu uisilam
Tulia
Namsaidia mazinge ndugu yng ktk imani alikua ajibu tu Quran 61.6.
Bas kazi yake imeisha
Allah Akbar
Allah Akbar