Video není dostupné.
Omlouváme se.
UTAFURAHI SHEIKH SHAFI ALIVYO KUTANA NA WAHUNI WAKATI WA KUZIKA
Sdílet
Vložit
Velikost videa:
- čas přidán 5. 12. 2023
- #drsulle #tanzania #islaamic #trending #islaahislamictv
Komentáře • 100
Další v pořadí
Automatické přehrávání
USTADH SHAFI AWASISIMUA WAISLAM MASJID MTOROJIJINI DAR NA HOAJA ZAKE TATA KWA WAKRISTO.Saimu gwao Online tv
zhlédnutí 260K
MCHUNGAJI ALIYESILIMISHWA NA DR.SULLE AFUNGUKA A-Z ALIVYO NYANYASWA NA VIONGOZI WAISLAAH ISLAMIC TV
zhlédnutí 4,6K
Al Kawakib2 87CKyai Robin Ngaji Nahwu
zhlédnutí 28
IKON A SÉGRA HRAJÍ KÁMEN NŮŽKY PAPÍR CHALLENGE O JÍDLO V BAZÉNĚ ! 😂🍕🍟 #shortsIkonova Videa
zhlédnutí 140K
JAK SE ŠKRTÍ?!! #alkan_ #fortniteAlkanhraje
zhlédnutí 134K
Sad To Announce I Did Not Qualify For Mens 2024 Olympic Gymnastics TeamThe Rock
zhlédnutí 28M
Jak Mluvit Jako SigmaTaky Bige
zhlédnutí 534K
USTADHI SHAFII AFUNGUKA MAISHA YAKE KABLA YA MIKUTANO NA WAKRISTO NA SABATO, AMTAJA USTADH MAZINGESIMULIZI ZONE
zhlédnutí 11K
UMESHAOMBA SANA DUA HUJAITIKIWA SASA HII DUA HII IONGEZEE HATA ASOMCHAMUNGU HUITIKIWAOTHMAN MICHAEL ONLINE
zhlédnutí 23K
KWANIINI SWALA ZINGINE TUNASWALI KWA SAUTI NA ZINGINE HATUTOI SAUTIUstadh Khatib Omar
zhlédnutí 6K
KISA CHA MTU ALIYEMUANDIKIA MUNGU BARUA //SHEIKH SHAFIIarkas online tv
zhlédnutí 4,6K
KIFO KISIKIE TU | KISA CHAMZEE ATOA MALI ZAKE ALIJUA ANAKUFA |AKAZIDAI BAADA YA KUPONA |UST: SHAFIIMASJID MTORO ONLINE TV
zhlédnutí 84K
KISA CHA MKE NA MUME WALIOGOPA KUFA || UDAMBWI UDAMBWI KUTOKA KWA USTADH SHAFI SHOMARI.ZVP ONLINE TV
zhlédnutí 165K
Ustadh Mazinge Amchakaza Mchungaji South Africa-Utume wa Mtumie Muhammad (s.a.w)Ustadh Shafii Online Tv
zhlédnutí 11K
Woman attacks Uber driver with pepper sprayEyewitness News ABC7NY
zhlédnutí 41M
Ajka hodila pořádnou hubu! 😁❤️ AirTrack klouzání na Tary Campu!Tary
zhlédnutí 430K
Getting her riled up for no reason 🤣Hunna & Lib
zhlédnutí 38M
ОСКАР СБИЛ ЛЕРУ С НОГ 🥴HOOOTDOGS
zhlédnutí 5M
Running With Bigger And Bigger FeastablesMrBeast
zhlédnutí 102M
I'm Excited To see If Kelly Can Meet This Challenge!Mini Katana
zhlédnutí 35M
Girl’s compassion turns foul dog into cute furry friend #shortsI migliori trucchetti di Fabiosa
zhlédnutí 8M
What is going on? 😂 (via haechii_br/IG) #shortsSportsNation
zhlédnutí 16M
Mwenyezi mungu akulipe kila la heri, nausubiri mjadalah wa Dr suleimane na pasta ndacha
Subhanallah wallah sikuwa najua kabisa kuhusu hallow 😂😂😂 Shukran sana Sheikh wet #Allah akupe umri mrefu wenye manufaa.
Mashaallah tabarakaah
Yani sheikh wetu napendaga mawaiza yako
Mungu akupe pepo inshaallah ❤
Saidi kinyogori tunaomba nae awepo kwenye mdahalo watu 3 kama hawapo kwenye mhadhara unakua hauna ladha ,mazinge..shafii kinyogori❤
Hiyo ni ukweli kabisa
Masha'Allah
Allahu Akbar, MashaAllah 🙏
TUNAOMBA NA OSTAZI SHAFFI NAE AWEPO KWENYE MDAHALO WA DK SULEY NA KINYOGORI NAE TUNAOMBA AWEPO INSHAALLAH NAAMIN KWA UWEZO WA MWENYEZ MUNGU HIO SIKU YA TAREHE 16 NA 17 MAMBO YATAKUWA MAZURI
Umeongea kitu chamana sana tunaomba wawepo kabisa
Si alisema hataki mtu yoyote awepo katki hao wahadhiri yeye peke yke anatisha ,
shaffi awezi kuja,anamuogopa ndacha!
@@JeanMuzaliwa-bs6qhamuogope kwakipi hasa huyo ndacha?
@@mwanaikaomar8628 maana Islam amuna ukweli na Islam bila biblia amuna kbs!
The best sheiks of Tz mashaaaallah..salimia pdd prof mazinge na dr sulle
Sheikh sheikh ❤
Nazak llha nampenda san sekhe safii na dr sule nafulah san na kuinjoy nipo waskiliza san
Sheikh shafii Allah azidi kukupa shufaa uzidi kutufunza
😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana Sheghe kwa ajiri M/MUNGU
mash-ALLAH
Itakua raha siku hio wakuwepo hao waishimiwa ea wili,Insha-Allah.
❤❤❤
Mashaallah
Shafii ongea na sule uwe na yeye kwenye mjadala kwani shafii uko vizuli upande wa bibilia
Kila amtazamae mwanamke kwa kutumani, ashazn nae moyoni.. inakuwje kuamua kwenda kuzn kbssa a.. ahhhhh shavii hapo weka saw
Allhahu aqbar
Mahubiri ya waislamu yamejaa porojo tupuuuuu, hii inamaanisha kwamba sheikh shafi kama angekuwapo kwenye mdahalo wa kielimu wa dr sulle vs Ndacha naye angegalagazwa kama wenzake wote waliokuwa wameketi kwenye meza ya wahadhiri wa kiislamu kwa sababu sheikh shafi hana quran nyingine tofauti na ile iliyotumika kwenye meza ya mjadala. Ukweli unabaki kuwa ukweli na uongo hausitiriki.
Mmh..Kwani tutaingia peponi kwa matendo au Kwa rehma za Allah she wangu mbona unajitabiria pepo bila hata kusema ishaallah
Hahaha aisee babuu fumba machooo
Hu Msemo Wa Unatenda Zambi Unafuta Zambi Unatenda Zambi Unafuta Zambi Kwa Sitahili Hi Ni Kweli Wauni Watakuja Kuzika Wenyewe
Wallahi huyu bwana ah hata sijui nivipi manake ,,namkubali mimi yuko sawa lakini nadhani alipitia mambo ya mtaani wakati waujana wake ,,,Allahu yaalam ,,,ni mchangamfu
MASHA ALLAH 😂😂😂
mimi namtaka said kinyogori na mazinge
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu sheikh mbona msela sana
Sheikh umenivunja mbavu
We ni kajinga
@@sadathboutique6253 mjinga mwenyewe
Yani mdahalo ukikosa mazinge,kinyogoli,mbogo na shaffi huo utakuwa sio mdahalo nimkutano wa siasa😂
Al habib Shaffi.....kaza wapo wawili....😂😂😂
😂😂😂😂dah!
😂😂😂😂
Hiyo hata mm niliona buza
Hakuna Muislam hata mmoja aneijuwa biblia wanachojuwa ni mandiko tu
Eti hallo jina la mtu
mafundisho yako uongo,piano mafundisho mapotovu ya sio na maandiko!
Hivi wewe unashida Gani....
Kwa hiyo wewe hujui "Asalaam"
Mbona Yesu alisalimia ASALAAM WALEYHKHUM
@@RamadanPaul mm sina shida na mtu ila mm sitaki mtu kutumia akili zake kwa mambo ya Mungu
@@JeanMuzaliwa-bs6qh ...
Hebu nambie kitu ambacho wewe umekiona hakipo sawa....
ASOTUMIA AKILI NI MJINGA
AU
ZUMBUKUKU KAMA WANYAMA
@JeanMuzaliwa-bs6qh Kila mtu kapewa aqili (Liko kwenye Qur'an) na Allah (Mwenyenzi Mungu) ili aitumie kwa maisha.
Baadhi ya aya humalizikia kwa suala: Afala Taaqiloun (Kwa nini hamtumii Akili)? ni mara 13 kwenye Qur'an.
Waislam hawatakiwi kuwa Wajinga au Mazezeta. Lazima watumie akili watakachosoma iwe Qur'an, Biblia, Katiba au Proper (Kweli) Ganda (Uongo).
@@khatibal-zinjibari6956 ...
Achana nae huyo bwana hana analolijua....
uyu muongo sana yani awa ndio ma agents wakubwa wa shetani!
Ushindwe katika Jina la Allah.
@@mwanaikaomar8628 nyie mumepotezwa kitambo
Sasa uongo wake ni nini kama sio muumini wa kiislam nyamaza hayakuhusu fyuuuuu
@@mwawekomiuda9779 muongo sana uyo nyie mumeshapotezwa!
We chizi mpya kama huelewi kaa kimya
❤❤❤