Video není dostupné.
Omlouváme se.

UTAFURAHI SHEIKH SHAFI ALIVYO KUTANA NA WAHUNI WAKATI WA KUZIKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 5. 12. 2023
  • #drsulle #tanzania #islaamic #trending #islaahislamictv

Komentáře • 100

  • @PirfaImanipirfa-vj3oz
    @PirfaImanipirfa-vj3oz Před 8 měsíci +2

    Mwenyezi mungu akulipe kila la heri, nausubiri mjadalah wa Dr suleimane na pasta ndacha

  • @hasnakid
    @hasnakid Před 27 dny

    Subhanallah wallah sikuwa najua kabisa kuhusu hallow 😂😂😂 Shukran sana Sheikh wet #Allah akupe umri mrefu wenye manufaa.

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Před 4 měsíci

    Mashaallah tabarakaah
    Yani sheikh wetu napendaga mawaiza yako
    Mungu akupe pepo inshaallah ❤

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Před 8 měsíci +4

    Saidi kinyogori tunaomba nae awepo kwenye mdahalo watu 3 kama hawapo kwenye mhadhara unakua hauna ladha ,mazinge..shafii kinyogori❤

  • @bahatijsaha7298
    @bahatijsaha7298 Před 2 měsíci

    Masha'Allah

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db Před 8 měsíci +1

    Allahu Akbar, MashaAllah 🙏

  • @ahmadzaid2940
    @ahmadzaid2940 Před 8 měsíci +16

    TUNAOMBA NA OSTAZI SHAFFI NAE AWEPO KWENYE MDAHALO WA DK SULEY NA KINYOGORI NAE TUNAOMBA AWEPO INSHAALLAH NAAMIN KWA UWEZO WA MWENYEZ MUNGU HIO SIKU YA TAREHE 16 NA 17 MAMBO YATAKUWA MAZURI

    • @rajuxcharity
      @rajuxcharity Před 8 měsíci +3

      Umeongea kitu chamana sana tunaomba wawepo kabisa

    • @athumanali2969
      @athumanali2969 Před 8 měsíci +3

      Si alisema hataki mtu yoyote awepo katki hao wahadhiri yeye peke yke anatisha ,

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 8 měsíci +1

      shaffi awezi kuja,anamuogopa ndacha!

    • @mwanaikaomar8628
      @mwanaikaomar8628 Před 8 měsíci +2

      ​@@JeanMuzaliwa-bs6qhamuogope kwakipi hasa huyo ndacha?

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 8 měsíci +2

      @@mwanaikaomar8628 maana Islam amuna ukweli na Islam bila biblia amuna kbs!

  • @hassanboru4038
    @hassanboru4038 Před 4 měsíci

    The best sheiks of Tz mashaaaallah..salimia pdd prof mazinge na dr sulle

  • @QofSaidiKbsk01
    @QofSaidiKbsk01 Před 8 měsíci +3

    Sheikh sheikh ❤

  • @MuhamedyKamby
    @MuhamedyKamby Před 8 měsíci +3

    Nazak llha nampenda san sekhe safii na dr sule nafulah san na kuinjoy nipo waskiliza san

  • @feisaldesign4156
    @feisaldesign4156 Před 8 měsíci +1

    Sheikh shafii Allah azidi kukupa shufaa uzidi kutufunza

  • @hamzalipuye7198
    @hamzalipuye7198 Před 8 měsíci +4

    😂😂😂😂😂😂😂😂 nakupenda sana Sheghe kwa ajiri M/MUNGU

  • @user-td7ie2in6i
    @user-td7ie2in6i Před 8 měsíci +2

    mash-ALLAH

    • @sabanirama9233
      @sabanirama9233 Před 8 měsíci

      Itakua raha siku hio wakuwepo hao waishimiwa ea wili,Insha-Allah.

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 Před 5 měsíci

    ❤❤❤

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul Před 8 měsíci +1

    Mashaallah

  • @MusaRamadhani-wj2dw
    @MusaRamadhani-wj2dw Před 8 měsíci +3

    Shafii ongea na sule uwe na yeye kwenye mjadala kwani shafii uko vizuli upande wa bibilia

  • @user-tw9hy9bn5c
    @user-tw9hy9bn5c Před 8 měsíci +1

    Kila amtazamae mwanamke kwa kutumani, ashazn nae moyoni.. inakuwje kuamua kwenda kuzn kbssa a.. ahhhhh shavii hapo weka saw

  • @user-rt5vq5vc3k
    @user-rt5vq5vc3k Před 7 měsíci

    Allhahu aqbar

  • @desderiushaule4264
    @desderiushaule4264 Před 6 měsíci

    Mahubiri ya waislamu yamejaa porojo tupuuuuu, hii inamaanisha kwamba sheikh shafi kama angekuwapo kwenye mdahalo wa kielimu wa dr sulle vs Ndacha naye angegalagazwa kama wenzake wote waliokuwa wameketi kwenye meza ya wahadhiri wa kiislamu kwa sababu sheikh shafi hana quran nyingine tofauti na ile iliyotumika kwenye meza ya mjadala. Ukweli unabaki kuwa ukweli na uongo hausitiriki.

  • @uthmanmaluja7005
    @uthmanmaluja7005 Před 7 měsíci

    Mmh..Kwani tutaingia peponi kwa matendo au Kwa rehma za Allah she wangu mbona unajitabiria pepo bila hata kusema ishaallah

  • @emanuelmichael7679
    @emanuelmichael7679 Před 7 měsíci

    Hahaha aisee babuu fumba machooo

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 8 měsíci

    Hu Msemo Wa Unatenda Zambi Unafuta Zambi Unatenda Zambi Unafuta Zambi Kwa Sitahili Hi Ni Kweli Wauni Watakuja Kuzika Wenyewe

  • @sosdododo5653
    @sosdododo5653 Před 4 měsíci

    Wallahi huyu bwana ah hata sijui nivipi manake ,,namkubali mimi yuko sawa lakini nadhani alipitia mambo ya mtaani wakati waujana wake ,,,Allahu yaalam ,,,ni mchangamfu

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Před 8 měsíci

    MASHA ALLAH 😂😂😂

  • @adamopitanvitanvita7958
    @adamopitanvitanvita7958 Před 8 měsíci

    mimi namtaka said kinyogori na mazinge

  • @user-zb2mj5nd5g
    @user-zb2mj5nd5g Před 8 měsíci

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 huyu sheikh mbona msela sana

  • @Naw89
    @Naw89 Před 8 měsíci +2

    Sheikh umenivunja mbavu

  • @user-ct7zd6he2j
    @user-ct7zd6he2j Před 8 měsíci

    Yani mdahalo ukikosa mazinge,kinyogoli,mbogo na shaffi huo utakuwa sio mdahalo nimkutano wa siasa😂

  • @chemstry409
    @chemstry409 Před 8 měsíci

    Al habib Shaffi.....kaza wapo wawili....😂😂😂

  • @aminahkimwana109
    @aminahkimwana109 Před 8 měsíci

    😂😂😂😂dah!

  • @saddiqmageta7904
    @saddiqmageta7904 Před 7 měsíci

    😂😂😂😂

  • @maulidipazi6770
    @maulidipazi6770 Před 8 měsíci

    Hiyo hata mm niliona buza

  • @jamalmanishi7282
    @jamalmanishi7282 Před 8 měsíci

    Hakuna Muislam hata mmoja aneijuwa biblia wanachojuwa ni mandiko tu

  • @ajuaeonlinetv9762
    @ajuaeonlinetv9762 Před 8 měsíci

    Eti hallo jina la mtu

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 8 měsíci

    mafundisho yako uongo,piano mafundisho mapotovu ya sio na maandiko!

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Před 8 měsíci +2

      Hivi wewe unashida Gani....
      Kwa hiyo wewe hujui "Asalaam"
      Mbona Yesu alisalimia ASALAAM WALEYHKHUM

    • @JeanMuzaliwa-bs6qh
      @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 8 měsíci +2

      @@RamadanPaul mm sina shida na mtu ila mm sitaki mtu kutumia akili zake kwa mambo ya Mungu

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Před 8 měsíci +1

      @@JeanMuzaliwa-bs6qh ...
      Hebu nambie kitu ambacho wewe umekiona hakipo sawa....

    • @khatibal-zinjibari6956
      @khatibal-zinjibari6956 Před 8 měsíci +1

      ASOTUMIA AKILI NI MJINGA
      AU
      ZUMBUKUKU KAMA WANYAMA
      ​@JeanMuzaliwa-bs6qh Kila mtu kapewa aqili (Liko kwenye Qur'an) na Allah (Mwenyenzi Mungu) ili aitumie kwa maisha.
      Baadhi ya aya humalizikia kwa suala: Afala Taaqiloun (Kwa nini hamtumii Akili)? ni mara 13 kwenye Qur'an.
      Waislam hawatakiwi kuwa Wajinga au Mazezeta. Lazima watumie akili watakachosoma iwe Qur'an, Biblia, Katiba au Proper (Kweli) Ganda (Uongo).

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Před 8 měsíci

      @@khatibal-zinjibari6956 ...
      Achana nae huyo bwana hana analolijua....

  • @JeanMuzaliwa-bs6qh
    @JeanMuzaliwa-bs6qh Před 8 měsíci

    uyu muongo sana yani awa ndio ma agents wakubwa wa shetani!

  • @user-rw7fc8qf6z
    @user-rw7fc8qf6z Před 8 měsíci

    ❤❤❤