Video není dostupné.
Omlouváme se.

USTADH SHAFI AWASISIMUA WAISLAM MASJID MTOROJIJINI DAR NA HOAJA ZAKE TATA KWA WAKRISTO.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 06. 2021

Komentáře • 231

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 Před 3 lety +8

    Shafi mwanangu nakupenda sana kwa ajli ya ALLAH na hio duaa ulioiomba ni haswaa....nawaombea IKHLASW na wepesi kwa kila munalolidhamiria...mwenye enzi mungu awafanyie wepesi hp duniani na kesho akhira...amiin

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Před 3 lety +24

    Allah awape afya na maisha marefu wahadhiri wetu. Muwe live basi sisi wa mbali tuone.

  • @AziziRajabu-mv8jz
    @AziziRajabu-mv8jz Před měsícem

    Mashaallah mashekhe zetu Allah awape umri mrefu

  • @SsAa-by2ty
    @SsAa-by2ty Před 3 lety +12

    Masha allah nawapenda sana kwa kazi ya mmiliki wa viumbe
    Allah awape muongozo mwema imsha allah

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727 Před 8 měsíci +2

    Mashegh hawa hawana majungu kwa waislamu wenzao..kazi yao dawa kusonga mbele…ila wengine kazi yao kubwa kuwaradi wenzao tu!! Kama wao ndio dini wameishusha 😢

  • @omanbarka2053
    @omanbarka2053 Před 3 lety +4

    Waallah leo patakua hapatoshi Allah awasimamie katika kazi zenu mnazo fanya tena hata mimi imefurahi sana kwenda kufanya dibeti shafi,mazinge,nawakubali wahadhili wetu kapungua doctor sulle

  • @ramadhanihudhaifani4376
    @ramadhanihudhaifani4376 Před 3 lety +3

    Allahu Akbar! Allahu Akbar! Allahu Akbar! Maneno yenye tamu nyingi na msisimko sanjari na burudani ya kutosha toka kwa Ostadh Shaffi. Wallah huwa napata raha na ilmu ya aina yake kila nikimsikiliza Shaffi na Mazinge. Allah Awalipe pepo,In Shaa Allah!

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 2 lety +2

    Mashaalllah ALLAH awalinde mashekh wetuu kwa kazi nzuri ya kuitangaza dini ya ALLAH

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 Před 3 lety +8

    ALLAHUMMA AMIN YA RABBI 🤲🤲🤲🇧🇮🇧🇮🇧🇮🕋🕋🕋🇸🇦🇸🇦

  • @MakataWaMakatani
    @MakataWaMakatani Před 4 měsíci

    Yaani mashAllah tabarakallah nafurahi sana kuona hawa magwiji wako pamoja ❤ alhamdulilah ALLAHU AKBAR

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 Před 4 měsíci

    Shekhe Shafi uko vizuri sana. porojo zako zina amsha amsha ya kutosha.

  • @user-ud1rb5ck1d
    @user-ud1rb5ck1d Před rokem

    Mashaallah MASHEKHE, zetu ALLAAH,awahifadhi AMIN🙏🙏✨🌙

  • @mosesliboston5437
    @mosesliboston5437 Před 3 lety +4

    Mashaallah mungu amtilie wepesi amiin amiin amiin

  • @alisaidi7477
    @alisaidi7477 Před 3 lety +2

    Allaah Allah... wallah inabidi tubadilikeeee sisi waislam... kutoa ndy dini....

  • @MisangaNassoro
    @MisangaNassoro Před 4 měsíci

    Nimeipenda hiyo inshallah kura ilimladi kushiba

  • @nailahsaeed837
    @nailahsaeed837 Před rokem

    Mashallah shekh shafi Allah Barik

  • @nijimbereasia6381
    @nijimbereasia6381 Před 3 lety +3

    Naam sheikh shafi wambie ukwelikabsa na Allah akupe kiralakher shafiwetu upewe umlimulefu na Allah subhanahu wataallah

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 2 lety +2

    Mashallah Allah 💕

  • @user-nr1bf7iu8z
    @user-nr1bf7iu8z Před 3 lety +2

    walaikum msalam warahatullahi wabarakatuh. MashaAllah MashaAllah. Jazzakh Allahukum mashehe mungu awaongoze

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Před 2 lety

    Jazaka Allah khaira shekh Shafii

  • @abdulbogoyo1243
    @abdulbogoyo1243 Před 3 lety +7

    Kwa kweli Shekh Shafi unatuvunja mbavu kwa kicheko : lakini ndiyo hali halisi ilivyo.

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 Před 2 lety

    Jazaka Allah khaira shekh shafii

  • @khdigahk4246
    @khdigahk4246 Před 3 lety +2

    Mashallah shekh Shafii

  • @kingilazaro344
    @kingilazaro344 Před 3 lety +1

    Hahahaa mash Allah ma sheikh zetu,Allah awalinde na awajaalie umri in shaa Allah

  • @mdoekibai5063
    @mdoekibai5063 Před 2 lety +1

    Allah Awape kherinyingi duniani nakesho akhera inshallah

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 Před 3 lety +2

    MA SHA ALLAH

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 Před 2 lety +1

    Allahu maswali alaalih MUHMAD walaalih Muhamed kamaswa atayta alaalih ibrahmu

  • @bellbell9294
    @bellbell9294 Před 3 lety +2

    Shukraan Sana jazaka Allah khaira

  • @hamadatahir9307
    @hamadatahir9307 Před 3 lety +2

    Wallahi mpaka nalia kwa maneno ya Sheikh Shafiiy Wallahi nalia maneno makali. Wallahi Waislamu laiti wangeyasikiliza maneno na kuyatia akilini wangelia Msikiti mzima.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 3 lety +4

    penda sana wahadhiri wetu maashaallah maashaallah

  • @lkshmykomar5472
    @lkshmykomar5472 Před 2 lety +1

    Amina Yarab alamin

  • @mename6020
    @mename6020 Před 3 lety

    MashaAllah tabarakallah huyo ndie SHAFIH...

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 Před 3 lety +3

    Swallallahu alayhi wasallam

    • @kailaniddi2984
      @kailaniddi2984 Před rokem

      ,🙏🙏🙏🙏🙏🙏🤲🤲🤲🤲dini yakweri uyisiramu1√

  • @rilkabuya6519
    @rilkabuya6519 Před 3 lety +1

    Mashaallah tabarak allah

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 3 lety +1

    Insha allah allah atufanyie wepess hio Siku kanisa loote liingie ktk uislam

  • @swariotibi6134
    @swariotibi6134 Před rokem

    Mshaallah tabarika allah

  • @rubenijhonisamelo5796
    @rubenijhonisamelo5796 Před 3 lety +4

    Nawapenda sana ,dini ya haki

  • @ibraimodinodino828
    @ibraimodinodino828 Před 3 lety +1

    Incha allah

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Před 2 lety

    Alhamdulillah kwakuwa mimi muislam

  • @davidharerimana1383
    @davidharerimana1383 Před 2 lety

    Nimimi Hassani Burundi Bujumbura USTA DH mwenyezimungu pekeyake

  • @ElkanoTadicha-pw1cj
    @ElkanoTadicha-pw1cj Před rokem

    Shekh shafi tembea Kenya tafadhali

  • @abdulazizmohamed2805
    @abdulazizmohamed2805 Před 2 lety

    Tuwashuru Sana wahaziri na tuwaombea duwa kwa mwenzi mungu hawaongoze katika dini ya haki

  • @alhabshyhautah408
    @alhabshyhautah408 Před měsícem

    Aamin

  • @abdoulamisi6104
    @abdoulamisi6104 Před 2 lety

    Barakallahu fiykum

  • @davidharerimana1383
    @davidharerimana1383 Před 2 lety

    USTA DH SHAFI Hatunacakukuripa mwenyezimungu pekeyake

  • @feisalfarsy6562
    @feisalfarsy6562 Před 3 lety +1

    Mashallah

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 Před 3 lety +3

    Toa japo ni kidogo, wallahi weww ukitoa waona ni kidogo lakini mbele ya ALLAH ni kikubwa

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm Před 2 lety

    Shafi mashallah

  • @rbagha5280
    @rbagha5280 Před 2 lety +1

    Dear viewers. You are my brothers and sisters in the universality of mankind. We have been created by the same God, who in Islam is called Allah and by Jesus as Elaha in the Aramaic language. Look it up if I am lying. There is only ONE GOD. Muslims love Jesus more than lip-service Christians. We keep a beard like Jesus did. He never ate pork, neither do Muslims. He prostrated to God, like Muslims do. Our ladies wear Hijab, a head-cover, like Mother Mary. If by believing that only through Jesus, you will be SAVED, then what about those prophets and good people mentioned in the Bible who came BEFORE Jesus? They will go to hell? Ask yourself: if the Bible was not tampered with, what is the last name those revelations coming through Paul? Of Mathew? John? Luke? Will you be allowed to travel with a passport without your last name to give your name validity? Think without BIAS. We are monotheists. Let not SATAN lead you to hell my dear. I love you for the sake of the ONE GOD. Please seek the correct way to Heaven.

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 Před 3 lety +6

    Jamani mlete cd ya iyo siku uku kenya penda nyinyi sanah

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 Před 3 lety

    Ustadhi bwana pesa shetanii wee Allah atufanyie wepesi

  • @SaidiLubuvadu
    @SaidiLubuvadu Před 2 lety

    mashaalah

  • @abcmnbb2610
    @abcmnbb2610 Před 2 lety

    Alhamdulillah

  • @adijaamur962
    @adijaamur962 Před 3 lety +1

    Ukampa pepo 😍😍😍😍😍

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 Před 3 lety

    Amiin Amiin🙏

  • @aligmoha9015
    @aligmoha9015 Před 2 lety

    Subuanah allah

  • @ramadhanimasudi6904
    @ramadhanimasudi6904 Před rokem

    Al'hamdul'LLAH...

  • @ramamambosupesupa3724
    @ramamambosupesupa3724 Před 3 lety

    Amin

  • @mahmudumsuya3831
    @mahmudumsuya3831 Před rokem

    MWENYEZIMUNGU awajaalie wahathiri awakinge na Kila baya

  • @rehemakei8155
    @rehemakei8155 Před 3 lety +1

    Mashaallah sauti inanikimbusha kipindi cha ngaliba na kawemba jamani mpe huyoooo

  • @dullahdimba8423
    @dullahdimba8423 Před 2 lety

    Shafe unajua sana

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 Před 3 lety

    Twasbri hio kazi sana masheikh wetu

  • @chambalemuddy6406
    @chambalemuddy6406 Před rokem

    Amen

  • @daudetjaymaoneo989
    @daudetjaymaoneo989 Před 2 lety

    Allah Akbar

  • @issajuma3346
    @issajuma3346 Před 3 lety +1

    subhnllh

  • @jumamussa9413
    @jumamussa9413 Před 2 lety

    Kweli

  • @onikagabriel5451
    @onikagabriel5451 Před 3 lety

    Allahu Akbar

  • @alisaidi7477
    @alisaidi7477 Před 3 lety +1

    Itakuwa live ???

  • @nurudinehamimu5658
    @nurudinehamimu5658 Před 3 lety +2

    Kwa team hiii makafili hawachomoki nakwambia uislam dio dini.

  • @mymussept3662
    @mymussept3662 Před 3 lety

    Baada ya kufuatilia watoa mada wa pande zote mbili naona kila upande unaposoma aya za mwingine husoma nusu na kuifanya maana ionekane tofauti na mbaya zaidi wengi wanakoment hawafuatili jambo hili katika yote kila mtu aamini anachokiamini
    Na hapa mm nasema Yesu kristo ndie njia kweli na uzima inatosha

  • @hamishemed6663
    @hamishemed6663 Před 3 lety

    Allah awape nguvu

  • @kamalmukaddam1297
    @kamalmukaddam1297 Před 3 lety

    MashaaAllah

  • @saidisudi8668
    @saidisudi8668 Před 2 lety

    حياك الله

  • @hafidhothman4588
    @hafidhothman4588 Před 2 lety

    Walllah nimecheka kuanzia usiku mpaka asubuhi

  • @jumasalum2677
    @jumasalum2677 Před 3 lety +1

    Shafffiiiiii acha tu

  • @bugybuster5788
    @bugybuster5788 Před 2 lety +1

    Tatizo matajiri wengi utajiri wao si wa halali ndy maana wanakua wazito kuchangi maana pesa ya haramu kidini haina faida mbele ya ALLAH imani zao za uongo

  • @aliyunusu6629
    @aliyunusu6629 Před 3 lety

    Jamini isije ikawa mpango yakutumalizia ma sheikh's wetu

    • @khaliphamajid270
      @khaliphamajid270 Před 3 lety

      Ukimuamini MwenyeEzMungu kwa dhati humuogopi binadam ,Majini,mashetani na yeyeto isipokuwa Allah tu

  • @abdillaahirichardkasisi8691

    Waislam atujielewi kabisa nawambiwa live waislam wengi awajui thaman ya uislam uwa nawashangaa Sanaa kama mtu anaslimu kama hana Imam basi anaeza Rudi alipo toka waislam ni kichwa cha mwenda wazimu

  • @maryamawadhawadh182
    @maryamawadhawadh182 Před 3 lety

    Shekh unakubalika

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 Před 3 lety

    Wewe shafii unahoja.zaifu za kizamani Sana ,na unawadanganya waislamu

  • @muhammadkipangatv2674
    @muhammadkipangatv2674 Před 2 lety +1

    Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yang hapo kama hautojli

  • @aliyunusu6629
    @aliyunusu6629 Před 3 lety

    Tusije tukachomwa kanisani kama museveni alivio choma wafasi wakanisani Mmoja kule Uganda

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 Před 3 lety +1

    Jamani Sulle hayupo! Kaogopa atasanifika,

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 Před 3 lety +1

    😂😂😂 unayoyaongeya nikweli kabisa

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 Před 3 lety +3

    Mmeboa Kama nn mshidwa kua live

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 Před 3 lety

      live ipo shekh

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 Před 3 lety

      @@alimbarouk9353 chaneli gani Jamanii wako live Mie ni Ukhty mwanaisha pls nitajie chaneki

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 Před 3 lety

      @@mwanahamis5487 kishki tv

    • @mwanahamis5487
      @mwanahamis5487 Před 3 lety

      @@alimbarouk9353 hakuna mhadhara live kwenye Chanel ya kishik

    • @alimbarouk9353
      @alimbarouk9353 Před 3 lety

      @@mwanahamis5487 wametangaza wenyewe na mm nilikuwepo mskitini jana wamesema kishki katoa msaada wa gari nzima la kishki tv na litaonesha live kongamano lote sasa kama wewe ulikuwepo mskitini na hikuskia ivo basi mi sina maneno

  • @olisecharo6128
    @olisecharo6128 Před 3 lety

    pure comedy

  • @sadyrajabu9318
    @sadyrajabu9318 Před 3 lety

    Asalam alaikum minilikua nauliza muislamu akiritadi hakuna atua zinazo takiwa kufatwa kabla yakumuua

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 Před 2 lety

    Siku wislam tukiacha majungu mbona tuta fika mbali sana, maana kinacho tuponza wislam ni uchunguzi yaani tunakuwaga na uchunguzi sana panapo tokea swala la kuchangisha mchango 😃😃😃😃🙌🏃

  • @officialsaddmfalme5381
    @officialsaddmfalme5381 Před 3 lety +1

    Leo inapeperushwa wapi jamani nataka kuitazama lakini

  • @HassanAli-lt4xm
    @HassanAli-lt4xm Před 3 lety

    Sheikh shaffi tosha

  • @aminahajiahh298
    @aminahajiahh298 Před 3 lety

    Mai zumo

  • @ibrahimfarha3853
    @ibrahimfarha3853 Před 2 lety

    Ucunguuu wa Islam

  • @allylwanda7872
    @allylwanda7872 Před rokem

    Masheik wapiga dili hawa

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 Před 3 lety +1

    "Eti vichwa vya wahadhiri hawa ndio wamebeba uislam wa Tanzania" hapo kidooogo sheikh umeteleza!!

    • @cholomsury1548
      @cholomsury1548 Před 3 lety

      Mtihani kweli kweli

    • @saidswalehe2807
      @saidswalehe2807 Před 3 lety +2

      We juma kateleza wap shekhe kusema wahadhir ndio wamebeba uislamu Tanzania,kama ww juma muislam uislam wako umeufanya nn kwa watanzania,hao mashekhe wanafanya kaz kubwa Sana kulko unavyowafikiria

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@saidswalehe2807 acha ujinga wewe walikuwepo kina Abubakary, Umar,At human, Ally (R.A) na wengineo wengi ,pamoja na mchango wao mkubwa wa hali na Mali katika kuupeleka mbele uislam lakini hatujawahi kuona kumbukumbu zikionyesha kuwa walidai kuwa wao ndio waliubeba uislam wa madina\makka au wa dunia kwa ujumla,,,,,,kwahiyo uache ujinga wewe!

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 3 lety

      @@saidswalehe2807 uislam si sawa na dini nyingine, ambazo mtu anaamua kuanzisha kanisa lake , kwa juhudi zake na mpaka anaweza kujiita nabii na watu wakamuamini , mifano hiyo ipo, kina T.B Joshua, kina mzee wa upako DSM, na wengineo wengi wakiwa na makanisa yao, hao wakidai kuwa ndio wanayabeba makanisa yao hatushangai,,,,,lakini sio kwa uislam ni dini ya Mungu na yeye ndio anaoulinda, wengine wote wanafanya jitihada tu lakini wasijivune kuwa eti wao ndio wanaoubeba .NB: ikumbukwe kuwa sio kwamba napinga juhudi zao , la hasha! ninachopinga Mimi ni kule kudai kwao eti wao ndio wameubeba uislam wa Tanzania, hapo ameteleza!

    • @mtupeacetz2589
      @mtupeacetz2589 Před 3 lety

      Aujaelewa!. Uliza kwanz kwann kasema vile

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 2 lety

    Sawa unamuiga dr sule

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Před 3 lety +2

    Ahahaaaa 🤣🤣🤣🤣 waislam wengi wameshikwa masikio na waadhili na wao bila kujua wanadanganywa na waadhili bila kuwa na elimu wanapotosha zaidi huku wakizani wanafundisha ni hatari sana hii but time is came don't worry

  • @razosramadhani4788
    @razosramadhani4788 Před 5 měsíci

    We pepuni 😂😂😂😂

  • @jamesdavid4977
    @jamesdavid4977 Před 3 lety

    Mikwara hatutaki kaka majibu ya sabato mwanzo 2:1-3 hapo kuna EGW

    • @husseinkiruta1712
      @husseinkiruta1712 Před 3 lety

      5:15 kumbukumbu la torat
      Musa anapewa asali sabato atakumbuka alikuwa mtumwa nnchini misir .Sasa wew ulikuwa mtumwa wapi ?

  • @edriansmith5809
    @edriansmith5809 Před 2 lety

    😂😂😂😂😢😢 shafi

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 Před 2 lety

    Sisi hatutembei na mapepo