Ustadh Shafi Amlipua Shk Mbogo "Sisi Waislam Hatumfuati Nabii Suleiman Hadithi Uliyoitoa Ni Dhaifu"
Vložit
- čas přidán 8. 06. 2024
- QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM CZcams @QiblateinOnlineTv)
🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
FACEBOOK👉👉 profile.php?...
TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center
Changia Kupitia M pesa +255 764 182 518
Airtel Money +255 687 816 688
Sheikh Shafii tupe ilimu tumepotea sana ushirikina umekuwa sifa sikuzi Allah atuepushe na mitihani ya Dunia na akhera
Shidakubwa mashekh zetu wanataka maisha mazuri sana wakotayari kufanyalolote atakama litamuudhi mungu
Mashaaallah, wallah tuko pmja naww shekhe shaafii, Allah akuhifazi huyu Ghana shekhe sule Ana kiburi,
Sheikh shafii wewe ni unajua mashallah Allah akupe umri mrefu inshallah 🙏
Shekhe shafi Akili zako ziko 💯 kabisa yule best ake ndacha mwache ajinadi kwa sadaka zetu
mashaallh sh shafii, tunamsubiri na mazinge nayy aseme
Subhaanallah sheich kweli maneno Allah SW Akuhifadhi
ukosawa sheik shafi mpe elimu mungu amuongoze amuondole kibir ashaalla
Shafii Allah atakulipa. Acha dunia iwameze hao washirikina.
Allahu Akbar
Usichoke kutufundisha tupo nyuma yako na Allah atakulinda na hasad za Hao mushrik
Shekh shafi unaifanya kazi ya maana sana kwa sababu hao wapotoshaji wangewapoteza sana waislamu. Swali la kwanza hiyo qur'an kashushiwa suleyman au kashushiwa Mtume saw. Kama unataka kumfuata Suleyman tafuta vitabu vyeke uvifuate.
❤ Allah akuifadh
Ustaz uko vizur sana Allah akulinde Sanaa , na hao washirikina wape elimu hadi mwisho wa uhai wako ishaalah
Uwongo
Shafi toa elim
Nakukubali sana shfi ❤
WEWE SHEIKH NJAA INAKUSUMBUA. FANYA BIASHARA USITEGEMEE MASHETANI(MAJINI) KUKUPA MAISHA...MBONA KUNA MASHEIKH WANAFANYA BIASHARA HALALI....
Shukuran shekh wag kutukumbusha allah akup umur murefu weny khr nambaraka
Safi sana shekh shafii wambie hao washirikina wasipoambiwa ukweli watapoteza watu nakuwatapeli
Upo sawa Ustadh wetu
Allahumma akuhifadhi Ustadh wetu
Sheikh mbogo na shafi achaneni ukafiri njooni kwa yesu ndie njia iliyo sahihi kufika kwa mungu,
yesu wa roma😂
Mungu akulipe heri sheikh wale ma sheikh wengine wana tuvuruga tu congo tuna kupenda saana
Sheikh wangu Shafii Allah akuhifadhi upo sahihi huyo mbogo mbogo kweli hamna kitu kichwani mwake kama hajakuelewa haelewi tena huyo.
Sheikh naomba kama kuna dawa ya kisuna jina la ogonjwa sinuses naomba unijibu in box insh-Allah
Ustadh Shafi yani Hawa usiwaache maana wanapotosha waislamu wasio jitambua wallah. Sisi twakuombea, pesa zao za ushirikina zisikutishe
Haojamaa hawanaelim yakitabu
Shekh shafiy wapedawa kaka
Watakuelewa badae
Sheikh hapo ni sawa unfanya hikma na haqqi.
Aslam alykum, vipi tutumiye majini na dua ziko? Sule tafathali aca uongo.
Sule acha tamaa za kidunia jua Kila kaumu na kiongozi wake usipotoshe watu na hao vibaraka wako
Asante sheikh Shafi, umesahau Dua anayotaka kuwazuia watu kama yeye alivyoisoma akapewa maji na jini hahahah watu Wana njaa balaa
SHAFI NAE KAAMUA KUWABOMOA JUMLA JUMLA
Kazi ipo wenyewe kwa wenyewe andaeni mdahalo mufundishane vizri maana quran ni iyo iyo lakini mnatfsr tofaut kuhusu majini
Nafikiri mbogo na suley waoneshe hadith sahihi au aya inayo thibitisha upamoja na majini
Sheikh tupo na wewe pamoja madhali upo kwenye haki Allah akulipe khairy fy dunia wali Akhera
Mbogo Acha ubabaishaj ww,Rud kw Allah ,Utachomwa,Nafs Yko Allah Anaijua upo jee,kwhy Acha kupotosha wt2,Kwh hyo Rukkya c Aya IPO ktk Quran na Ktabu kataremshiwa Muhammad,mpka zmekufkia ww,Sasa Akl huna Wal Elmu huna Rud Darasan,Ukjua Rukkya mana yke ucngesema hvy,,Tumeambiwa Tukmswalia Mtume kw Wng Tunapta thawab ,Sasa Kat ya Afya Za Rukkya na Thawab ,Bora nn hpo
😅 Nakupa heko sheikh Shafi kwa ufananuzi wa Hali Ya juu wala musicho kutoa Elimu
Wamefanya dini biashara kwa makubaliano na majini yao mtume wetu ni Muhammad SAW ndio kiigizo chetu
Shekhee hhhh hajui Dua ya kuingia chooni wah!! Msiba huo
Uki acana na dini ya majini .Muhammad hakutunwa na mungu😂😂😂😂😂
Muhammad si mtume wamungu musipotee hakuna mutakayo saidiwa na mungu
Acheni MUNGU aitwe MUNGU. Biblia inatufudisha kuwa nyakati zamwisho siri nyingi zitafunuliwa. Nabado tutayajua mengi kutokakwenu tena kutoka kwenye midomoyenu wenyewe.
😂 Sadakta wape wape elimu Shekh Wangu wakomeshe Wao
Jaman kwanza ww unajua maana yakufata mtu ? Mbona tunachinja kama kumfata nabii iblahima
Swadakta
Tunachinja Kama Ibrahim maana katufundisha Muhammad mwenyewe wap Muhammad katufundisha tutumie Majin?
Kijana wa sule huyu , daaa
Uko poa nimefaidika sans.
Mi nipo msubijj
Mwaipopo alisema mengi ya kweli kuhusu huyo Sule mkamsakama sana ..kisa anatokea kwenye ukristo haya sasa achane unafiqun
Hhhhhhhhhhhhhhhhhh we muongo sana shafi
Suleyman akuweka mikataba ya kukufuru kama wao wanavyoweka makubaliano ya kishirikina na majini. Yeye alikuwa anawana na alikuwa akiwaamrisha sio kuwaomba usaidizi gizani usiku wa manane.
Huyju jamaa alievaa zambalau ,Bado sana
Sule.nimchawi namshukuru Mwenyezi Mungu kumuumbuwa sule nawachawi wenzake
Wafanye mdahalo wa kutumia maji tuone, sio mdahalo wa wakiristo tu, masheikh wawaite ktk mdahalo watetee mabodigurd wao wa kijini
Sule mpuuzi kwel kwel
😂😂, Sulleeee
sheikh shafi huyu pia unampa ushekhe ?anaupata wapi au hiyo kujua aya mbilitatu au kanzu ya zambarau kama padri puuza kabisa huyu mtu hana elimu
Asalamu Alaikum mashekhe ivi wewe shafi , doctor sule ,mazinge, na wengine wote haswa wa waadhiri wote watanzania na wanje yanchi mnajua kwamba waislam woote wanaawamini juu ya uislamu na waislamu mmepatwa na nanini? Mnagongana gongana mmelogwa? Fanyeni kazi ya dawa watu wasilimu achaneni na dunia dunia silolote sichochote ndugu zangu.