Ustadh Shafi Amlipua Shk Mbogo "Sisi Waislam Hatumfuati Nabii Suleiman Hadithi Uliyoitoa Ni Dhaifu"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 06. 2024
  • QIBLATEIN ONLINE Ni channel ya dini ambayo inajihusisha na kukusanya taarifa za kidini kutoka Tanzania na huripoti matukio yote ya ndani ya Tanzania kila siku kupitia FACEBOOK, INSTAGRAM CZcams @QiblateinOnlineTv)
    🙏🤝Tafadhali🙏Subscribe #qiblateinonlinetv #ili uwe sehemu ya familia hii muhimu.
    INSTAGRAM 👉👉 / qiblatein_online_
    FACEBOOK👉👉 profile.php?...
    TIKTOK 👉👉 www.tiktok.com/creator-center
    Changia Kupitia M pesa +255 764 182 518
    Airtel Money +255 687 816 688

Komentáře • 59

  • @migwa100
    @migwa100 Před 5 dny +1

    Sheikh Shafii tupe ilimu tumepotea sana ushirikina umekuwa sifa sikuzi Allah atuepushe na mitihani ya Dunia na akhera

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Před 6 dny

    Shidakubwa mashekh zetu wanataka maisha mazuri sana wakotayari kufanyalolote atakama litamuudhi mungu

  • @HusseniMadebe
    @HusseniMadebe Před měsícem

    Mashaaallah, wallah tuko pmja naww shekhe shaafii, Allah akuhifazi huyu Ghana shekhe sule Ana kiburi,

  • @SeifHassan-wl7ur
    @SeifHassan-wl7ur Před měsícem

    Sheikh shafii wewe ni unajua mashallah Allah akupe umri mrefu inshallah 🙏

  • @allyway999
    @allyway999 Před měsícem

    Shekhe shafi Akili zako ziko 💯 kabisa yule best ake ndacha mwache ajinadi kwa sadaka zetu

  • @gasorekassim5499
    @gasorekassim5499 Před 29 dny

    mashaallh sh shafii, tunamsubiri na mazinge nayy aseme

  • @abiomar1652
    @abiomar1652 Před 29 dny

    Subhaanallah sheich kweli maneno Allah SW Akuhifadhi

  • @moureenkamau8697
    @moureenkamau8697 Před 29 dny

    ukosawa sheik shafi mpe elimu mungu amuongoze amuondole kibir ashaalla

  • @swaleheswaleheamri5911
    @swaleheswaleheamri5911 Před měsícem +2

    Shafii Allah atakulipa. Acha dunia iwameze hao washirikina.

  • @FetymaaJuma
    @FetymaaJuma Před 29 dny +1

    Allahu Akbar
    Usichoke kutufundisha tupo nyuma yako na Allah atakulinda na hasad za Hao mushrik

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi Před 29 dny

    Shekh shafi unaifanya kazi ya maana sana kwa sababu hao wapotoshaji wangewapoteza sana waislamu. Swali la kwanza hiyo qur'an kashushiwa suleyman au kashushiwa Mtume saw. Kama unataka kumfuata Suleyman tafuta vitabu vyeke uvifuate.

  • @munirayassin6103
    @munirayassin6103 Před 29 dny

    ❤ Allah akuifadh

  • @user-yh2mb8mb2c
    @user-yh2mb8mb2c Před měsícem +3

    Ustaz uko vizur sana Allah akulinde Sanaa , na hao washirikina wape elimu hadi mwisho wa uhai wako ishaalah

  • @rahimumustafa587
    @rahimumustafa587 Před 28 dny

    Shafi toa elim

  • @abdallahjuma2608
    @abdallahjuma2608 Před měsícem

    Nakukubali sana shfi ❤

  • @SaidiBakari-kl1gu
    @SaidiBakari-kl1gu Před 29 dny

    WEWE SHEIKH NJAA INAKUSUMBUA. FANYA BIASHARA USITEGEMEE MASHETANI(MAJINI) KUKUPA MAISHA...MBONA KUNA MASHEIKH WANAFANYA BIASHARA HALALI....

  • @user-qx1nm8kp9b
    @user-qx1nm8kp9b Před měsícem +2

    Shukuran shekh wag kutukumbusha allah akup umur murefu weny khr nambaraka

  • @user-su7eu5yn6q
    @user-su7eu5yn6q Před 29 dny

    Safi sana shekh shafii wambie hao washirikina wasipoambiwa ukweli watapoteza watu nakuwatapeli

  • @baloziwaziri338
    @baloziwaziri338 Před měsícem +1

    Upo sawa Ustadh wetu
    Allahumma akuhifadhi Ustadh wetu

  • @user-dt5wp5qo4n
    @user-dt5wp5qo4n Před 25 dny +1

    Sheikh mbogo na shafi achaneni ukafiri njooni kwa yesu ndie njia iliyo sahihi kufika kwa mungu,

  • @JustinKabila-ro5jt
    @JustinKabila-ro5jt Před měsícem

    Mungu akulipe heri sheikh wale ma sheikh wengine wana tuvuruga tu congo tuna kupenda saana

  • @SeifHassan-wl7ur
    @SeifHassan-wl7ur Před měsícem

    Sheikh wangu Shafii Allah akuhifadhi upo sahihi huyo mbogo mbogo kweli hamna kitu kichwani mwake kama hajakuelewa haelewi tena huyo.

  • @migwa100
    @migwa100 Před 5 dny +1

    Sheikh naomba kama kuna dawa ya kisuna jina la ogonjwa sinuses naomba unijibu in box insh-Allah

  • @FetymaaJuma
    @FetymaaJuma Před 29 dny +1

    Ustadh Shafi yani Hawa usiwaache maana wanapotosha waislamu wasio jitambua wallah. Sisi twakuombea, pesa zao za ushirikina zisikutishe

  • @user-fp9ei8gg8s
    @user-fp9ei8gg8s Před 28 dny +1

    Haojamaa hawanaelim yakitabu
    Shekh shafiy wapedawa kaka
    Watakuelewa badae

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri

    Sheikh hapo ni sawa unfanya hikma na haqqi.

  • @RAMATHANI-eu5dk
    @RAMATHANI-eu5dk Před 29 dny

    Aslam alykum, vipi tutumiye majini na dua ziko? Sule tafathali aca uongo.

  • @user-yh2mb8mb2c
    @user-yh2mb8mb2c Před měsícem +2

    Sule acha tamaa za kidunia jua Kila kaumu na kiongozi wake usipotoshe watu na hao vibaraka wako

  • @aliykhamisi1431
    @aliykhamisi1431 Před měsícem

    Asante sheikh Shafi, umesahau Dua anayotaka kuwazuia watu kama yeye alivyoisoma akapewa maji na jini hahahah watu Wana njaa balaa

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem +1

    SHAFI NAE KAAMUA KUWABOMOA JUMLA JUMLA

  • @pascalvirgilio7208
    @pascalvirgilio7208 Před 27 dny

    Kazi ipo wenyewe kwa wenyewe andaeni mdahalo mufundishane vizri maana quran ni iyo iyo lakini mnatfsr tofaut kuhusu majini

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Před 6 dny

    Nafikiri mbogo na suley waoneshe hadith sahihi au aya inayo thibitisha upamoja na majini

  • @salhamudy2065
    @salhamudy2065 Před 29 dny

    Sheikh tupo na wewe pamoja madhali upo kwenye haki Allah akulipe khairy fy dunia wali Akhera

  • @Nily-kz3db
    @Nily-kz3db Před 19 dny

    Mbogo Acha ubabaishaj ww,Rud kw Allah ,Utachomwa,Nafs Yko Allah Anaijua upo jee,kwhy Acha kupotosha wt2,Kwh hyo Rukkya c Aya IPO ktk Quran na Ktabu kataremshiwa Muhammad,mpka zmekufkia ww,Sasa Akl huna Wal Elmu huna Rud Darasan,Ukjua Rukkya mana yke ucngesema hvy,,Tumeambiwa Tukmswalia Mtume kw Wng Tunapta thawab ,Sasa Kat ya Afya Za Rukkya na Thawab ,Bora nn hpo

  • @zeharaz4116
    @zeharaz4116 Před 11 dny

    😅 Nakupa heko sheikh Shafi kwa ufananuzi wa Hali Ya juu wala musicho kutoa Elimu

  • @salhamudy2065
    @salhamudy2065 Před 29 dny

    Wamefanya dini biashara kwa makubaliano na majini yao mtume wetu ni Muhammad SAW ndio kiigizo chetu

  • @IssaBachuMuhammadjr-rr3ri

    Shekhee hhhh hajui Dua ya kuingia chooni wah!! Msiba huo

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB Před 26 dny

    Uki acana na dini ya majini .Muhammad hakutunwa na mungu😂😂😂😂😂

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB Před 26 dny

    Muhammad si mtume wamungu musipotee hakuna mutakayo saidiwa na mungu

  • @emmanuelmasatu
    @emmanuelmasatu Před měsícem +1

    Acheni MUNGU aitwe MUNGU. Biblia inatufudisha kuwa nyakati zamwisho siri nyingi zitafunuliwa. Nabado tutayajua mengi kutokakwenu tena kutoka kwenye midomoyenu wenyewe.

  • @Fathertrucker
    @Fathertrucker Před 29 dny +1

    😂 Sadakta wape wape elimu Shekh Wangu wakomeshe Wao

  • @mussaabdulmalick2048
    @mussaabdulmalick2048 Před 29 dny +2

    Jaman kwanza ww unajua maana yakufata mtu ? Mbona tunachinja kama kumfata nabii iblahima

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 Před 29 dny

      Swadakta

    • @user-bh5cu2jy6c
      @user-bh5cu2jy6c Před 29 dny

      Tunachinja Kama Ibrahim maana katufundisha Muhammad mwenyewe wap Muhammad katufundisha tutumie Majin?

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c Před 29 dny

    Kijana wa sule huyu , daaa

  • @AbdulatifoSufo-tb2rn
    @AbdulatifoSufo-tb2rn Před 29 dny

    Uko poa nimefaidika sans.
    Mi nipo msubijj

  • @mirzah117
    @mirzah117 Před měsícem +4

    Mwaipopo alisema mengi ya kweli kuhusu huyo Sule mkamsakama sana ..kisa anatokea kwenye ukristo haya sasa achane unafiqun

  • @BURUNDIB
    @BURUNDIB Před 26 dny

    Hhhhhhhhhhhhhhhhhh we muongo sana shafi

  • @BofuMlanzi
    @BofuMlanzi Před 29 dny

    Suleyman akuweka mikataba ya kukufuru kama wao wanavyoweka makubaliano ya kishirikina na majini. Yeye alikuwa anawana na alikuwa akiwaamrisha sio kuwaomba usaidizi gizani usiku wa manane.

  • @user-yj5es1jw8c
    @user-yj5es1jw8c Před 29 dny

    Huyju jamaa alievaa zambalau ,Bado sana

  • @BabaFuraha
    @BabaFuraha Před 29 dny

    Sule.nimchawi namshukuru Mwenyezi Mungu kumuumbuwa sule nawachawi wenzake

  • @aliykhamisi1431
    @aliykhamisi1431 Před měsícem

    Wafanye mdahalo wa kutumia maji tuone, sio mdahalo wa wakiristo tu, masheikh wawaite ktk mdahalo watetee mabodigurd wao wa kijini

  • @kalamamuller-qe1yd
    @kalamamuller-qe1yd Před měsícem

    Sule mpuuzi kwel kwel

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Před 29 dny

    😂😂, Sulleeee

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616 Před 29 dny

    sheikh shafi huyu pia unampa ushekhe ?anaupata wapi au hiyo kujua aya mbilitatu au kanzu ya zambarau kama padri puuza kabisa huyu mtu hana elimu

  • @shabirimohamedi5380
    @shabirimohamedi5380 Před 18 dny

    Asalamu Alaikum mashekhe ivi wewe shafi , doctor sule ,mazinge, na wengine wote haswa wa waadhiri wote watanzania na wanje yanchi mnajua kwamba waislam woote wanaawamini juu ya uislamu na waislamu mmepatwa na nanini? Mnagongana gongana mmelogwa? Fanyeni kazi ya dawa watu wasilimu achaneni na dunia dunia silolote sichochote ndugu zangu.