Usijitukuze nafsi yako Allah ndie anemjua mbora msidhhfishane nyny kwa nyny mbona Kila mtu amuona mwenziwe hajui na kujiona yy ndo mjuzi hiii ni sifa ya shetani
Assalamu Aalykum Waramatullahi Wabarakatu. Alhamdulillah MashaAllaha MashaAllaha Sheikh wetu Izzudin Ahmad Alawy Mwenye Ezi Mungu akuzidishie ufafanuzi uko waziwazi na wakufahamika kirahisi kabisa na kama mtu hajafahamu huyo ana gonjwa la akili yatakiwa akaangaliwe upungufu wa akili. Bachu waitwa na Sheikh Izzudin akufundishe namna ya kusoma Ibara na kutafsiri na uvae kibinda usije ukakojoa kama kule kwenye mjadala na Ustadh Said Omar Ashirazy
SHEIKH IZUDIN USIPOTEZEE WAKATI WAKO KWA KUMUOMBA BACHU MUFANYE MUNAQASHA UTAJISHUKISHA HADHII YAKO WAACHIYE HIYO KAZI WANAFUNZI WA USTADH SAID WAMPE DOSI NYENGINE
Bachu hanna kitu kwanza kusoma haku soma yule achanani nae anataka views ktk chanal yake ndio maana kafukuzwa zanzibar yupo kwa mashoga zake tanga na Mombasa kenya
Mawahabbi walidhani hatunavyo Vitabu vya mashekhe wao na hatuvijuwi kumbe tunavyooo na tunavifahamu zaidi kuliko wao maaana wao hawasomeshwi bali wavisoma wenyewe tuu
kahiyemohammed8556 mwambie huyo mwalimu wako bichwa koko asojua kusoma Ibara vizuri na kutafsiri kama kweli ya wezekana mwezi uwe wa kimataifa na Swala nayo kwa nini isiwe ya kimataifa na Swala ndio nguzo kubwa ktk Ibada zote tiyeni akili
@@mikekhalifaali7510 mwezi ni mmoja lkni haukai sehemu moja na kama mwezi ni mmoja wataka pale popote ukionekana watu wafwate na Swala nayo ni nguzo kubwa ktk Ibada zote kwa nini tusiswali time moja? Alafu hapa usidanganye watu eti ukionekana China mutafwata toka lini Saudia wakafwata mwezi wa Inchi nyengine hata si mbali miaka mi nne tu iliyopita hapa Oman waliona mbele ya Saudia na Saudia wakakata kufwata na ni Inchi jirani itakuwa China Iko mwisho wa ulimwengu
@@mikekhalifaali7510 nyinyi taabu yenu hamutaki kupiga goti kusoma mwataka ushabiki mukiona shekhe ana hamasa mwaona huyo ndio shekhe, hata hao maulamaa Saudia pia hawataki inchi nyengine ziwafwate nyinyi munalazimisha. Alafu nyinyi haya mas'ala ya mwezi mwafwatilia kwa kuangalia kwa kuingia Ramadani na Eidi mbili, mwezi unaangaliwa kwa mambo mengi moja wapo Mke alofiwa na Mumewe lile EDA lake ataanza kwa kuangalia Saudia au pale inchi yuko alipofiwa na Mumewe. Kapige goti kwa mwalimu akusomeshe sio kusikiliza mashekhe wa hamasa mitandaoni
Assalam alaykum afundishwe maskini bachu mjinga hajui lolote zuuuuuzu wallai hajui kweli kabsaa sio eti ujanja yaani hajuuuuii ni zuuuuuuzu bumbumbum wallai pite na hataki kwenda kusoma sasa
Alhamdulillah mashekhe zetu wamesoma hawabambanyi ila sasa tuje kwao mawahabi wengi wao hawana lolote madebe matupuuuu ust izzzu Deen Asante sana tusichoke kumfundisha uyu kinyago amekuja kuchafua mazingira Kisha ndio ujue wengi wao wooote wajinga mawahabi wenzake hawamwambii wanamwangalia tu shekhe Lao shekhe la mapite😂😂
Huyu bacho ataka kutoa watu kwenye twaa ya Allah angeachwa tuu, tuko katika miezi mitukufu angepuuziwa ingekua bora. Ama ajibiwe hii miezi mitikufu ikiisha.
Na hii ni Sheria Gani alotumia chief kadhi ya kuruka tarekh 29dhulqaada hadi tarehe 1 dhulhijja na mtume s.a.w. amesema mwezi ni hivivna hivi yaani ni 29 au 30 imepokewa hadithi na bukhari na Muslim riwaya ya ibnu Umar r.a. Sasa chief kadhi vimekuwaje Tena Sasa tushike ya mtume s.a.w. ama tushike yako jamanini huu ni upotoshaji ulio dhahir Wallahu aalam wabillahi taufiq
@@abiabi9353sasa katika kufunga na nyakati za swala kunaangaliwa jua au mwezi? Hebu tumia akili bana, utajuaje kwamba ni Fajr, au Dhuhur au wakti mwingine unazingatia jua sio mwezi
KAMA NI MAMBO YAKUFUNGUA KWA TIME MOJA HATA KENYA PIA HATUFUNGUI KWA TIME MOJA. WALIOKO NAIROBI NA PANDE ZA BARA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA. HATA LAMU PIA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA SIO SAUDIA TU. USTADH POLE POLE ...
@@abubakaromar6101 ustadhi anaposema hatufai kufuta MAKAH sababu time ya kufungua pia HATUFUNGUI time moja na wao ... Jiulize hapa Kenya watu wafungua time moja? Na mbona MWEZi unapoonekana LAMU hamuwaambii watu WA Nairobi wasifunge sababu wao kule hawajuona na time zao zakufungua NI TOFAUTI na za lamu... Mijitu ya matwari AKILI ZENU zipo kwenye Ngoma Tu hiyo ndio shida yenu
muhimu kila sheikh aheshimu rai ya mwenzake.swali langu ni hilo; kwa mujibu wa hadithi inasem3kana Allah hushuka siku ya kisimamo cha arafa kusamehe watu waliojikurubisha kwake.sasa arafa hii ni siku ya tarehe ama siku ya kitendo cha arafa?
Mungu husamehe mahujaji wote walio simama arafa wakiondoka wamekua weupe kama siku waliozaliwa mm na ww ni dhambi za miaka miwili Tu kama tutafunga siku ya arafa kwa muandamo wetu wa nchi yetu pale tulipo
Tukizungumzia ARAFA sehemu katika uislamu . Basi haipatikani sehemu hiyo popote ispokua Makkah. Tukizungumzia ARAFA. ni siku. Basi ni mwezi 9 mfunguo 3. Sasa watu hawafungi Sehemu Itwayo ARAFA. Bali watu wanafunga Mwezi 9 mfunguo 3. Allah atusamehe makosa yetu na atuingize peponi kwa Rehma zake
Wanaokomment hapa yaonyesha wengi wanafuata ushabiki na sio elimu maanalazima usimkashif mtu anakosea sana Izzuddin na anakosea sana Bachu na kilicho muhinu ni kusikiza dalili pande mbili zot bila ushabiki maananukipitiwa na arafa hasara yako mwenyewe na ushabiki ila.ukifanyankielimu Allah atakuongoza ujue haki sio akili wala swarfu wala nahau hata mashia wamepitia nahau naswarfa na hizo mantik na mapote yote kuna watu wa nahauna swarfa na mantwiq lakin Allah humuongoza amtakaye nankumuacha amtakaye apotee hasa akifuata tamaa ya mwili wake na cheo au hishma yake na leo dunia kila mtu anataka aheshimiwe na dini imekuwa kama kisingizio.
Asalam Aleykum Warahmatullah hbib, Mm nko Bahrain na adhan hku ya swalatul fajr ni saa tisa na dkika kumi na saba asbuhi hao wnaofata saudia ama inchi zhuku gulf waamke wswali hyo time asbuhi
mtume amesema tufunge SIKU ya arafa hakusema tufunge wakati watu wako arafa Sasa siku ili ikamilike lazima iwe na masaa 24 sio 12 kwanza kabisa kabla sijaanza hisabu kama Bahrain time yenu ni tofauti na Kenya basi Saudi na Kenya time ni moja inafaa twende pamoja sasa tuende kwenye hisabu ili siku iwe siku inakuwa na masaa 24 kwa mfano Saudi wakianza arafa asubuhi mpaka jioni hayo ni masaa kumi nambili kwa hivyo siku yenye masaa ishirini na inne bado haijaisha ikifika jioni huko saudi Sasa ule upande mwingine wadunia nao unabadilika unakuwa mchana kwaoo wanamalizia Yale masaa mengine 12 ikifika usiku wao masaa ishirini na inne yatakuwa yameisha sawa na alivyo sema mtume fungeni SIKU ya arafa. mpaka hapa utaona arafa ni moja duniani japo Saudi watatangulia na wengine wanafeata baadae lakini siku hiyohiyo ya arafa yaani siku hiyohiyo ya ibada ya arafa 1:50
Sasa uo mfano hutokea kwenye sehemu za nchi moja uku Tanzania kuna pahali wafungua saa 12:30 lakini sehemu ingine wafungua saa 7;50 kwaiyo nahuku mwezi uo tofauti na ni nchi moja
Hakuna kitu kama hiyo, Arafah ni moja na watu wanhimizwa kufuata pale watu wanapofanya ibada ya Arafah nyiye mufunge siku ya ijumapili halafu museme ni Arafah haiwezekani mgala muue na haki umpe.
Mtume s.a.w kasema tufunge tukiuona sasa kwa tafsir yko sheikh ina maana asieuona asifunge sasa mwaweza kuwa sehemu moja lkn wengine wakauona wengine wasiune kwahiyo wasio uona wasifungee? Je sheikh unaweza kutuonesha ktk hiyo hadithi ya Mtume s.a.w masafa ya kufunga pamoja ?
Acheni kukosesha watu fadhla yasiku yaarafa hakuna sehemu yoyote mtume amesema tarhe ame sema siku yakisimamo cha arafa amatu ambieni muna arafa yenu mambrui ama riadha habari yakufuturu nyinyi lamu ama malindi hamufungui sawa nakisumu jamani musiikose arafa eti watu washa ondoka arafa wako mina kisha utu ambie leo niarafa taratibuni
Kwani hiyo Saudi Arabia nayo pia inatafautianamiji katika kufunga na kufunga mfano wakati wa winter Dammam wanafunguwa saum saa kumi na Moja kasoro na Riyadh ni saa kumi na Moja kamili ilhali makka ni saa kumi na Moja na nusu na Madina ni saa kumi na mbili kasoro na miji yote hayo yako suudia jee wasemaje kwa hili ama waona Kenya peke yake kuwa na inswaf Wacha taasub zako hino ni dini
bachu anajulikana kichwani hana kitu tulimuona kwenye mjadala wa maulid alikwama balagha haipo kichwani, Tunawashkuru masheikh wa Kenya jamaa akienda mchomo hawalazi damu wanamuanika hadharani
Hakuna nchi iliopishana kwa masaa 24.... Ila zipo nchimi tulopishana kwa masaa 7, hadi 14..... Kwaiyo akili kichwani mwako. Mfano Sun Francisco,(14hrs) na UK..(7hrs). Kama itakua nikekosea na ww unaweza kuangalia na kujiridhisha
Haya mambo hayawezi kwisha, kila mtu afwate team yake. Kama wewe ni Man U utabakia Man U. Kama wewe ni Arsenal ni Arsenal, haiwezekani nyote mushabikie team moja. Hope mushaelewa
nitafrahi nikieleweshwa nakuomba muombe akubaali kukaa mm na yy anieleweshe . na mola atakubarikie . na mm natamani sana nipewe ilimu yakufaham haki zaidi . shukran
@@IzudinAlwyDin tusubiri arudi halaf yyy mwenyew ataamua kukuelewesha kama ulivofanya we au kukaa chini we na yy mukaeleweshana ila me niseme tu sisi sote tunatafuta haqq kwaiyo tusiwekeane hassad sisi ni ndugu katika uislam
@@khamisali5942 Nafrahi kuskia hivyo na nataka ujue mm na yy ni marafiki sana na twaongea vizuri hatuna chuki wala kinyongo kabisa namuhishim sana . ila haya nimambo ya kiilimu ni muhim kuiimishana ki ustarabu na kiadabu na kutovunjiyana hishima . na urafiki na undugu utabaki palepale .
قـال الشيخ سليمان بن عبدالله رحمه الله : " وقد بين النبي صلى الله عليه و سلم بقوله : " وحده لا شريك له " تنبيهآ على أن الإنسان قد يقولها و هو مشرك ، كاليهود و المنافقين و عباد القبور ، فإنهم لما رأوا أن النبي قد دعا قومه إلى قول " لا اله إلا الله " ظنوا أنما دعاهم إلى النطق بها فقط . وهذا جهل عظيم . وهو إنما دعاهم إليها ليقولوها ويعملوا بمعناها ويتركوا عبادة غير الله . ولهذا قالوا : ﴿ أئنا لتاركوا آلهتنا لشاعر مجنون ﴾ [الصافات: 36] وقالوا : ﴿وأجعل الآلهة إلها واحدا ﴾ [ص: ٥]. فلهذا أبوا عن النطق بها. وإلا فلو قالوها وبقوا على عبادة اللات والعزى ومناة لم يكونوا مسلمين ، و لقاتلهم حتى يخلعوا الأنداد و يتركوا عبادتها ويعبدوا الله وحده لا شريك له ، وهذا أمر معلوم بالاضطرار من الكتاب والسنة والإجماع ." اهـ. - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٦ ] و قال أيضا : " قوله " من شهد أن لا اله إلا الله " أي : من تكلم بهذه الكلمة عارفاً لمعناها عاملاً بمقتضاها باطناً و ظاهراً ، كما دل عليه قوله :﴿ فاعلم أنه لا اله إلا الله ﴾ [محمد: ١٩]. و قوله : ﴿ إلا من شهد بالحق وهم يعلمون ﴾ [الزخرف: ٨٦] . أما النطق بها من غير معرفة لمعناها ولا عمل بمقتضاها ، فإن ذلك غير نافع بالإجماع . وفي الحديث ما يدل على ذلك وهو قـوله : "من شهد "إذ كيف يشهد وهو لا يعلم، ومجرد النطق بشيء لا يسمى شهادة به." - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ٥١ ] وقال أيضا : " و لا ريب أنه لو قالها أحد من المشركين و نطق أيضاً بشهادة أن محمداً رسول الله ، و لم يعرف معنى الإله و معنى الرسول وصلى وصام وحج ولا يدري ما ذلك إلا أنه رأى الناس يفعلونه ، فتابعهم ، ولم يفعل شيئاً من الشرك فإنه لا يشك أحد من عدم إسلامه ، وقد أفتى بذلك فقهاء المغرب كلهم في أول القرن الحادي عشر، أو قبله في شخص كان كذلك كما ذكره صاحب " الدر الثمين في شرح المرشد المعين " من المالكية ، ثم قال شارحه : و هذا الذي أفتوا به جلي في غاية الجلاء لا يمكن أن يختلف فيه اثنان . انتهى - [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٨ ] .
Swali la ufahamu ni kwamba, wewe unawaangalia mahujaji wakienda kusimama mlima arafati sasa je wale mahujaji wamefuata vigezo gani kutekeleza ibada ya kupanda mlima arafati??? Akili za kuzaliwa tu hata sio lazima usome saaana
MashAllah sheikh Izudin ni mtu wa mana kabisa mwenyezi MUNGU akujalie afya njema na maisha marefu Amiin🤲🤲🤲🤲
Masha Allah ustadh wangu Allah akujaze kher inn Sha Allah 🤲
In shaa ALLAH na Arafa yetu ni tarehe 9 of Dhulhijja which is on Sunday. MUNGU atufikishe kwa salama atutaqabalie funga zetu. Amin
Amiiiin Yaa Rabbbb
AAMIN
Hebu jisikiza eti arafa yetu? Kuna kuna arafa gani huku ? Akili umepeleka wapi brother
@@mohagurey2214wewe wahabi mwehu hata ukielezwa huelewi. Hapa hatuzungumzi arafa mahali.arafa mahali inawahusu mahujaji tu.hapa tynazungumza arafa siku
@@abiabi9353 wewe shia unajiingiza story haikuhusu, ama unajipendekeza masufi ndugu zenu
Aslm alkum walahamatullah wabarakatuh ya sheikh yahi ayo mabo yahitaji hakili yakuzaliwa sio kwenda shule allah akulipe mema kukutuelewesha
Maneno yalijawa hekma
Shukran sheikh
Ikiwa n wa kuelewa ataelewa
Sio kukimbilia kwenye mitandao na kujifanya yuajua na kumbe ni kina haulai
Maasha'Allah Shekhe wetu, tunakuenzi. Ila tambua huyo kijana hana elimu, usijishushe daraja yake.
Sayyid izzu ddiin huyo kijana tuachie sisi tutamueka sawa tu....wala ww usijipe tabu sheikh wetu...huyo ni mtoto sana kwako
Mohammed Bacho kwa sisi Wazanzibari tunamfahamu vizuri ni kijana ambae hajasoma na wala hakutaka kusoma na wala hataki kusoma.
Sema kwa mimi mzanzibar sio sisi wazanzibar jisemee nafsi yako usiwasemee watu wengine
@@suleimanahmadaali5989ww tu na mazuzu wenzako munamkubali bachu
@@suleimanahmadaali5989majority ya wazanzibar wanajua bachu hamna kitu
hahahahaaa
Usijitukuze nafsi yako Allah ndie anemjua mbora msidhhfishane nyny kwa nyny mbona Kila mtu amuona mwenziwe hajui na kujiona yy ndo mjuzi hiii ni sifa ya shetani
Assalamu Aalykum Waramatullahi Wabarakatu. Alhamdulillah MashaAllaha MashaAllaha Sheikh wetu Izzudin Ahmad Alawy Mwenye Ezi Mungu akuzidishie ufafanuzi uko waziwazi na wakufahamika kirahisi kabisa na kama mtu hajafahamu huyo ana gonjwa la akili yatakiwa akaangaliwe upungufu wa akili. Bachu waitwa na Sheikh Izzudin akufundishe namna ya kusoma Ibara na kutafsiri na uvae kibinda usije ukakojoa kama kule kwenye mjadala na Ustadh Said Omar Ashirazy
Hakika,umeeleza haya maswali kwa upana na uzuri.
Alhamdulillah..shukran jazeelah sheikh
Allah... Allah... mungu akuweke nlkuwa live jana nlkupata loud n clear...
Kweli hakika sayyid izu din somo la Fiqihi c mchezo la msingi zaidi ni azifahamu kufasiri ibara katika ya somo la fiqihi
Hawa ndo masheikh wa kutegemewa Sio porojo tu...Allah akuhifadhi
SHEIKH IZUDIN USIPOTEZEE WAKATI WAKO KWA KUMUOMBA BACHU MUFANYE MUNAQASHA UTAJISHUKISHA HADHII YAKO WAACHIYE HIYO KAZI WANAFUNZI WA USTADH SAID WAMPE DOSI NYENGINE
Bachu hanna kitu kwanza kusoma haku soma yule achanani nae anataka views ktk chanal yake ndio maana kafukuzwa zanzibar yupo kwa mashoga zake tanga na Mombasa kenya
Masha Allah Sheikh izzudin alwy ❤
Haha Bachu khabari hiyo Munaqasha Izzadeen akutaka muchambuwe kifiqh
Hamuwezi Izuddin hata kidogo
Mawahabbi walidhani hatunavyo Vitabu vya mashekhe wao na hatuvijuwi kumbe tunavyooo na tunavifahamu zaidi kuliko wao maaana wao hawasomeshwi bali wavisoma wenyewe tuu
Msianze fitna kwa jambo dogo waislam, tusigombane wala kutofautiana kwa tofauti ndogo, sote ni wamoja japo mimi na wewe tuna msimamo mmoja
@@samxx411sasa ya nini Bach adanganye
Hahah kwelii
Hawa masufi watapotesa umma sana izzu diin gopa mwenyezi mungu, diini sio fikra pali nikufuata sheria...
kahiyemohammed8556 mwambie huyo mwalimu wako bichwa koko asojua kusoma Ibara vizuri na kutafsiri kama kweli ya wezekana mwezi uwe wa kimataifa na Swala nayo kwa nini isiwe ya kimataifa na Swala ndio nguzo kubwa ktk Ibada zote tiyeni akili
@@abubakaromar6101wanashanganza Sana hawa,ustadhan anampa refence kila Aina na ushahidi mbali na hapo wanamkejeli
@@abubakaromar6101 sasa ndio unaongea nini? Hivi kuna miezi mingapi duniani? Mwezi ni mmoja tu ukitokea China sisi tunafuata sio huo upuuz wenu
@@mikekhalifaali7510 mwezi ni mmoja lkni haukai sehemu moja na kama mwezi ni mmoja wataka pale popote ukionekana watu wafwate na Swala nayo ni nguzo kubwa ktk Ibada zote kwa nini tusiswali time moja? Alafu hapa usidanganye watu eti ukionekana China mutafwata toka lini Saudia wakafwata mwezi wa Inchi nyengine hata si mbali miaka mi nne tu iliyopita hapa Oman waliona mbele ya Saudia na Saudia wakakata kufwata na ni Inchi jirani itakuwa China Iko mwisho wa ulimwengu
@@mikekhalifaali7510 nyinyi taabu yenu hamutaki kupiga goti kusoma mwataka ushabiki mukiona shekhe ana hamasa mwaona huyo ndio shekhe, hata hao maulamaa Saudia pia hawataki inchi nyengine ziwafwate nyinyi munalazimisha. Alafu nyinyi haya mas'ala ya mwezi mwafwatilia kwa kuangalia kwa kuingia Ramadani na Eidi mbili, mwezi unaangaliwa kwa mambo mengi moja wapo Mke alofiwa na Mumewe lile EDA lake ataanza kwa kuangalia Saudia au pale inchi yuko alipofiwa na Mumewe. Kapige goti kwa mwalimu akusomeshe sio kusikiliza mashekhe wa hamasa mitandaoni
Mungu akupe maisha marefu,afya Bora,hikma na busara.(Ameen).
Elmu yangu ni ndogo Sana lakini nimegundua bachu nimurongo Sana
Allah akuhifadhi Sheikh Izzudin kwa elimu hii. Allah akujaze kheri nyingi
Huu bachu ataka apate supu kolekole kwanza ndio aje tumfundishe nahau na swarfa
MashaaAllah❤❤❤❤
❤MIMI NINAKUKUBALI SANA SHEKH WANGU
😂😂😂😂😂😂
Mmi nilisema bacho na ustadh said cio size yke aache Mambo kuparamia mashekh k umri k elimu !
Amiiiin Yaa Rabbbb Alaamiiin 🤲
Jazaka allah Kher ❤❤
shekh wangu wasikuumize kichwa hao mawahabi
May Allah make ease for us reach yawm Arafah... 🤲🤲🤲
Dini lazima uwe na inswaf sio unatumia ujanja kusudi lake liwe
Elmu ni amana si unafanya utakavo kama nyamaza au sema sijui
Mwenyezi Mungu atuongoze maana kila Arafa lazma tupishane misimamo
Assalam alaykum afundishwe maskini bachu mjinga hajui lolote zuuuuuzu wallai hajui kweli kabsaa sio eti ujanja yaani hajuuuuii ni zuuuuuuzu bumbumbum wallai pite na hataki kwenda kusoma sasa
Mohammad Bachu Unauporomosha Uwahabi tokeahapo hauna mashiko
Thanks sheikh izu din
Alhamdulillah mashekhe zetu wamesoma hawabambanyi ila sasa tuje kwao mawahabi wengi wao hawana lolote madebe matupuuuu ust izzzu Deen Asante sana tusichoke kumfundisha uyu kinyago amekuja kuchafua mazingira Kisha ndio ujue wengi wao wooote wajinga mawahabi wenzake hawamwambii wanamwangalia tu shekhe Lao shekhe la mapite😂😂
Amen amen 🕋🤲🤲 💙💙💙
Maa Shaa ALLAH 💚💚💚
Allahu aalam ana la adhri
Pole sana sheh
Huyu bacho ataka kutoa watu kwenye twaa ya Allah angeachwa tuu, tuko katika miezi mitukufu angepuuziwa ingekua bora. Ama ajibiwe hii miezi mitikufu ikiisha.
Kama amemkimbia ustadh said ambayo ni mwanafunzi,atawezana hapa?
Iko Idi ya 28 ya Mr Chief Kadhi. Si mara hii ameiruka tarehe 29 akafuata Suudia mawahabi wakawa tarehe 1 Dhulhijja. So tarehe 29 imekula kwetu
😂
Na hii ni Sheria Gani alotumia chief kadhi ya kuruka tarekh 29dhulqaada hadi tarehe 1 dhulhijja na mtume s.a.w. amesema mwezi ni hivivna hivi yaani ni 29 au 30 imepokewa hadithi na bukhari na Muslim riwaya ya ibnu Umar r.a. Sasa chief kadhi vimekuwaje Tena Sasa tushike ya mtume s.a.w. ama tushike yako jamanini huu ni upotoshaji ulio dhahir Wallahu aalam wabillahi taufiq
Mashaallah ❤❤❤❤❤❤amini❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
nyny mashekhe msiwe kama wanawake kaz yenu kupeana mipasho
Ww bwana fiqhi Alhamdulillah
Shekh mwezi ni MOJA dunia ni moja arafu MBONA muda sawa saudia na Africa mashariki
Kama ni hivyo mbona hatuanzi kufunga na kufuturu mda sawa na saudi Arabia
Mungu alimwambia mtume watakuuliza kuhusu (miezi) hivyo mungu ajui kua mwezi ni mmoja?.....usijisemee tu
user-tc9mf9om2b nakuuliza kama muda ni sawa na Swala nayo kwa nini isiwe ya kimataifa kuswaliwe muda mmoja? Tafakari
Na kwanini mwezi ukiliwa saudia wao wanasali but africa mashariki hawaswali na mwezi unakua upo kawaida?
Tafakari.
@@abiabi9353sasa katika kufunga na nyakati za swala kunaangaliwa jua au mwezi? Hebu tumia akili bana, utajuaje kwamba ni Fajr, au Dhuhur au wakti mwingine unazingatia jua sio mwezi
Nairobi ❤Nairobi ❤inshaAllah monday al huda south B
Shukran ustadh naomba uniangalilie kuhusu kuomba maiti na maulidi katika kitabu hicho hicho cha sheikh utheymen...utanijibu inshaAllah
Kwn alojuzisha kuomba maiti ni Nan?na kuhusu maulid sheikh wko kakubali
@@taurehassan7399 taratibu sheikh ni swali nimeuliza na nimemuuliza sheikh izzudeen sasa sioni dharura ya kunijibu wewe ambaye sie izudin
Nawe Haupo MOLA Akurahamu.
Ime kuchoma 😆
Unaumia ukiwa wapi Akhy? 😜😜
KAMA NI MAMBO YAKUFUNGUA KWA TIME MOJA HATA KENYA PIA HATUFUNGUI KWA TIME MOJA. WALIOKO NAIROBI NA PANDE ZA BARA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA. HATA LAMU PIA HAWAFUNGUI TIME MOJA NA MOMBASA SIO SAUDIA TU. USTADH POLE POLE ...
Kwahiyo hoja yako nini
@@abiabi9353Hoja ni kuwa mombasa wasifunge kwa mwezi wa lamu na Nairobi wasifunge kwa mwezi wa mombasa
😂😂😂 hoja yake mimi naona ameuliza swali kisha akajijibu mwenyewe 😂😂😂
@@abubakaromar6101 ustadhi anaposema hatufai kufuta MAKAH sababu time ya kufungua pia HATUFUNGUI time moja na wao ... Jiulize hapa Kenya watu wafungua time moja? Na mbona MWEZi unapoonekana LAMU hamuwaambii watu WA Nairobi wasifunge sababu wao kule hawajuona na time zao zakufungua NI TOFAUTI na za lamu... Mijitu ya matwari AKILI ZENU zipo kwenye Ngoma Tu hiyo ndio shida yenu
Masha Allah Ustaz
Shukran jazzilla
muhimu kila sheikh aheshimu rai ya mwenzake.swali langu ni hilo;
kwa mujibu wa hadithi inasem3kana Allah hushuka siku ya kisimamo cha arafa kusamehe watu waliojikurubisha kwake.sasa arafa hii ni siku ya tarehe ama siku ya kitendo cha arafa?
Mungu husamehe mahujaji wote walio simama arafa wakiondoka wamekua weupe kama siku waliozaliwa mm na ww ni dhambi za miaka miwili Tu kama tutafunga siku ya arafa kwa muandamo wetu wa nchi yetu pale tulipo
NAMI nakuuliza wale walio arafa hufunga kama wale ambao hawako Hajj?
Tukizungumzia ARAFA sehemu katika uislamu . Basi haipatikani sehemu hiyo popote ispokua Makkah.
Tukizungumzia ARAFA. ni siku. Basi ni mwezi 9 mfunguo 3.
Sasa watu hawafungi Sehemu Itwayo ARAFA. Bali watu wanafunga Mwezi 9 mfunguo 3.
Allah atusamehe makosa yetu na atuingize peponi kwa Rehma zake
👍👍👍👍👍
Wanaokomment hapa yaonyesha wengi wanafuata ushabiki na sio elimu maanalazima usimkashif mtu anakosea sana Izzuddin na anakosea sana Bachu na kilicho muhinu ni kusikiza dalili pande mbili zot bila ushabiki maananukipitiwa na arafa hasara yako mwenyewe na ushabiki ila.ukifanyankielimu Allah atakuongoza ujue haki sio akili wala swarfu wala nahau hata mashia wamepitia nahau naswarfa na hizo mantik na mapote yote kuna watu wa nahauna swarfa na mantwiq lakin Allah humuongoza amtakaye nankumuacha amtakaye apotee hasa akifuata tamaa ya mwili wake na cheo au hishma yake na leo dunia kila mtu anataka aheshimiwe na dini imekuwa kama kisingizio.
Asalam Aleykum Warahmatullah hbib, Mm nko Bahrain na adhan hku ya swalatul fajr ni saa tisa na dkika kumi na saba asbuhi hao wnaofata saudia ama inchi zhuku gulf waamke wswali hyo time asbuhi
mtume amesema tufunge SIKU ya arafa hakusema tufunge wakati watu wako arafa Sasa siku ili ikamilike lazima iwe na masaa 24 sio 12 kwanza kabisa kabla sijaanza hisabu kama Bahrain time yenu ni tofauti na Kenya basi Saudi na Kenya time ni moja inafaa twende pamoja sasa tuende kwenye hisabu ili siku iwe siku inakuwa na masaa 24 kwa mfano Saudi wakianza arafa asubuhi mpaka jioni hayo ni masaa kumi nambili kwa hivyo siku yenye masaa ishirini na inne bado haijaisha ikifika jioni huko saudi Sasa ule upande mwingine wadunia nao unabadilika unakuwa mchana kwaoo wanamalizia Yale masaa mengine 12 ikifika usiku wao masaa ishirini na inne yatakuwa yameisha sawa na alivyo sema mtume fungeni SIKU ya arafa. mpaka hapa utaona arafa ni moja duniani japo Saudi watatangulia na wengine wanafeata baadae lakini siku hiyohiyo ya arafa yaani siku hiyohiyo ya ibada ya arafa 1:50
Kwani wewe utamweza mohamed bachu?
Usimwite Mohammad bachu uyo ni shekhe la mazùzu
Kijasho kilimtoka kiti kikalowa kwa said😅
Sasa uo mfano hutokea kwenye sehemu za nchi moja uku Tanzania kuna pahali wafungua saa 12:30 lakini sehemu ingine wafungua saa 7;50 kwaiyo nahuku mwezi uo tofauti na ni nchi moja
Mashallah sheikh wetu
Yau nisba...3baadiiiii
Sheikh Bachu, je tukiuona mwezi wa dhulhija mbele ya saudia hukmu itakuaje?
Hakuna kitu kama hiyo, Arafah ni moja na watu wanhimizwa kufuata pale watu wanapofanya ibada ya Arafah nyiye mufunge siku ya ijumapili halafu museme ni Arafah haiwezekani mgala muue na haki umpe.
Sawa sawa mufti
Ashabul twaruqa wakijitetea msipoteze watu ,
Hakuna wasomi kenya amry ya matlahi hakuna kwa tukio la sehemu linalofanyika hadhir ambalo lafanyika na mahujaji sio mwezi wa ramadhani
Siku ya tukio ni moja sio kila sehemu na siku yake communications ya zamani sio sasa sote twaona arafa ikifanyika
KUMEKUCHA TENA.... HAMUINI MIEZI YA VURUGU, ILA MUANDAMO WA RAMADAN, SHAWAL NA DHUL HIJJAH
Mawahabi ndo wenye vurugu hutuchanganyia siasa saudi Arabia na dini
Hizi ni hesabu zetu kila siku munapotulete tafauti yakutaka tufuate saudia ndio maana tunakua wakati.
Na jee yaumul hajjil akbar itakua lini?
Ukisikia aliekula nyama ya nduguye ndio hapo kwanini asimwiote mwenyewe akamuambia kuliko kumsengenya
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
Shekhe izudin wewe ni m2 mkubwa achana na huyo kijana mkorofy akizungumza hazipaty maneno anayakoroga 2 yarabbi sitara
🤔🤔🤔🤔🤔😂😂😂 bachu kayakanyaga mpka katajwa na jina
Mawahabi wakilitaka jambo lao hua hawajali kupotosha wala kusema uongo
😂😂😂 nashangaa na yule aliekuwa mufti wa misri duktoor Ali Gomaa nae ni wahabi?
makhurafi mnashida nyie😢
Kwahiyo yule kasoma ibara za shk uthaymeen? Lkn bachu,kishki,bahero... wote wamebambanya fatwa hiyo hiyo kutaka kuwachanganya waislamu
Duktuur ali Gomaa hakusoma fatwa ya uthaymeen yale ni maoni yake kama alivyo ona chief qadhi wa kenya lkn sio sheria isemavyo
Love you my love shekh
Mtume s.a.w kasema tufunge tukiuona sasa kwa tafsir yko sheikh ina maana asieuona asifunge sasa mwaweza kuwa sehemu moja lkn wengine wakauona wengine wasiune kwahiyo wasio uona wasifungee?
Je sheikh unaweza kutuonesha ktk hiyo hadithi ya Mtume s.a.w masafa ya kufunga pamoja ?
Acheni kukosesha watu fadhla yasiku yaarafa hakuna sehemu yoyote mtume amesema tarhe ame sema siku yakisimamo cha arafa amatu ambieni muna arafa yenu mambrui ama riadha habari yakufuturu nyinyi lamu ama malindi hamufungui sawa nakisumu jamani musiikose arafa eti watu washa ondoka arafa wako mina kisha utu ambie leo niarafa taratibuni
MashaAllah sheikh Izudin ukifa huwozi
hahahah
16:18 Kwa kauli hiyo basi tulioko mombasa tusifunge kwa mwezi wa Lamu kwa sababu twatafautiana kufunga na kufuturu
Kwani hiyo Saudi Arabia nayo pia inatafautianamiji katika kufunga na kufunga mfano wakati wa winter Dammam wanafunguwa saum saa kumi na Moja kasoro na Riyadh ni saa kumi na Moja kamili ilhali makka ni saa kumi na Moja na nusu na Madina ni saa kumi na mbili kasoro na miji yote hayo yako suudia jee wasemaje kwa hili ama waona Kenya peke yake kuwa na inswaf Wacha taasub zako hino ni dini
Hahaha hamuezi kubali ukweli mukiambiwa masufi
Je sis tukitangulia hio hijja hawatofanya watatufata sisi huku mwezi wetu
Wanaambiwa nani wakiuona wafunge waisilamu wa wakiristo
Mbona hamna sauti😢
Sauti mbna iko sawa,
Labda kwako tu
Angalia simu yako
Simu haina loudspeaker
Assalamu alaykum, huyo bachu atwambie vipi ilikuwa zamani kabla ya simu na tv watu walikuwa wanajuwaje, kama leo arafa makkah
Arafa ni moja tyu
Uki mskiza bachu aji funga funga haji elewi unless uwe huna akili ndio uta ona ana ma point
Huna akili kweli ndio maana unaona hana point. Huyu Izudin ndio anasema nini sasa?
Bachu nikama ndacha
Bachu hajielewi yeye hujiweka kifua mbele
Sis kama ahlu sunah walcamaj ahlu quruq sufiyah. Hatujali porojo ya mawahbii wahabii someni dini wacheni kutafuta umarufu😂
Tunafunga arafah ama tunafunga tarehe tisa?
Tunafunga mwezi 9dhul hijja
bachu anajulikana kichwani hana kitu tulimuona kwenye mjadala wa maulid alikwama balagha haipo kichwani, Tunawashkuru masheikh wa Kenya jamaa akienda mchomo hawalazi damu wanamuanika hadharani
Pumba 🥴
تسلم لسانك يا شيخ عزالدين
Kuna mambo wala hayahitaji elimu kubwa, Arafa ndio Hijja yenyewe kabisa Ila funga ni yetu tusiokuwa Arafa je inakuwaje hapa uchanganye vitu hivi😢?
Swali langu ni hili je iko inchi duniani ilioshinda inchi ingine kwa siku nzimaa???
Hakuna nchi iliopishana kwa masaa 24....
Ila zipo nchimi tulopishana kwa masaa 7, hadi 14.....
Kwaiyo akili kichwani mwako.
Mfano Sun Francisco,(14hrs) na UK..(7hrs). Kama itakua nikekosea na ww unaweza kuangalia na kujiridhisha
Haya mambo hayawezi kwisha, kila mtu afwate team yake. Kama wewe ni Man U utabakia Man U. Kama wewe ni Arsenal ni Arsenal, haiwezekani nyote mushabikie team moja. Hope mushaelewa
😂😂😂😂😂
Masalafy uchwara Hawa tangu wameanzisha haya madhehebu yao kelele haziishi mitandaoni namitaani namaneno yakejeli kwawenzao
Akhy Manhaj Salaf sio madh-hab hii ni Manhaj
Ndio sisi tumeambiwa tufunge mwezi tisa hatujaambiwa tufunge arafa
Wanaikosa arafah
@@Shuu.Amawahabi ndivyo wanavyodanganyana
Mmeambiwa na nani?
Hili kapu la madhehebu .mawahabi ni potofu
Nyie masufi ni majitu majinga sijapata kuona
Dogo saiv ana ziara ya kidaawa akirudi tu mbona utaelewa sheikh izzudiyn wala usiwe na wasiwasi INSHAALLAH
nitafrahi nikieleweshwa nakuomba muombe akubaali kukaa mm na yy anieleweshe . na mola atakubarikie . na mm natamani sana nipewe ilimu yakufaham haki zaidi . shukran
@@IzudinAlwyDin tusubiri arudi halaf yyy mwenyew ataamua kukuelewesha kama ulivofanya we au kukaa chini we na yy mukaeleweshana ila me niseme tu sisi sote tunatafuta haqq kwaiyo tusiwekeane hassad sisi ni ndugu katika uislam
@@khamisali5942 Nafrahi kuskia hivyo na nataka ujue mm na yy ni marafiki sana na twaongea vizuri hatuna chuki wala kinyongo kabisa namuhishim sana . ila haya nimambo ya kiilimu ni muhim kuiimishana ki ustarabu na kiadabu na kutovunjiyana hishima . na urafiki na undugu utabaki palepale .
@@IzudinAlwyDin nashkur sheikh Izzudiyn kwa kutext na we namuomba Allah atupe elimu tuijue haqq na tufanye ibada vile mwenyew anavoridhia INSHAALLAH
Kwahy sheikh kea Sisi Tanzania huk Zanzibar tushafutari kigoma wao bado VP hapa wao wafuate mwezi wa nchi gani
Wafuate mwezi wa nchi waliowafikiana nayo. Alishafafanua hiyo kwa mifano ya Tanzania na Kenya
Wafuate mwezi wa nchi waliowafikiana nayo. Alishafafanua hiyo kwa mifano ya Tanzania na Kenya
Kwahiyo vipofu wote Swaumu kwao si lazima kwasababu hawauoni huo mwezi.
Hivi mnamuelewa lakini huyu jamaaa
Kua na akili kipofu haoni k2 chochote c mwezi pekee atauonaje mwezi
Arafa ni moja
Alokwambia arafa ni mia ni Nan?
@@taurehassan7399 utajuwa wewe lakini arafa moja hayo ya Mia wayajuwa wewe
😂😂😂 mwambiye huyu jitu la mawahbii@@taurehassan7399
Mbona kipindi cha corona hija ilikuwa haikufanyika na kufunga tulifunga hamkufata makka
Akili mbovu hizo
قـال الشيخ سليمان بن عبدالله رحمه الله :
" وقد بين النبي صلى الله عليه و سلم بقوله : " وحده لا شريك له " تنبيهآ على أن الإنسان قد يقولها و هو مشرك ، كاليهود و المنافقين و عباد القبور ، فإنهم لما رأوا أن النبي قد دعا قومه إلى قول " لا اله إلا الله " ظنوا أنما دعاهم إلى النطق بها فقط . وهذا جهل عظيم . وهو إنما دعاهم إليها ليقولوها ويعملوا بمعناها ويتركوا عبادة غير الله . ولهذا قالوا : ﴿ أئنا لتاركوا آلهتنا لشاعر مجنون ﴾ [الصافات: 36] وقالوا : ﴿وأجعل الآلهة إلها واحدا ﴾ [ص: ٥]. فلهذا أبوا عن النطق بها. وإلا فلو قالوها وبقوا على عبادة اللات والعزى ومناة لم يكونوا مسلمين ، و لقاتلهم حتى يخلعوا الأنداد و يتركوا عبادتها ويعبدوا الله وحده لا شريك له ، وهذا أمر معلوم بالاضطرار من الكتاب والسنة والإجماع ." اهـ.
- [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٦ ]
و قال أيضا :
" قوله " من شهد أن لا اله إلا الله " أي : من تكلم بهذه الكلمة عارفاً لمعناها عاملاً بمقتضاها باطناً و ظاهراً ، كما دل عليه قوله :﴿ فاعلم أنه لا اله إلا الله ﴾ [محمد: ١٩].
و قوله : ﴿ إلا من شهد بالحق وهم يعلمون ﴾ [الزخرف: ٨٦] .
أما النطق بها من غير معرفة لمعناها ولا عمل بمقتضاها ، فإن ذلك غير نافع بالإجماع . وفي الحديث ما يدل على ذلك وهو قـوله : "من شهد "إذ كيف يشهد وهو لا يعلم، ومجرد النطق بشيء لا يسمى شهادة به."
- [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ٥١ ]
وقال أيضا :
" و لا ريب أنه لو قالها أحد من المشركين و نطق أيضاً بشهادة أن محمداً رسول الله ، و لم يعرف معنى الإله و معنى الرسول وصلى وصام وحج ولا يدري ما ذلك إلا أنه رأى الناس يفعلونه ، فتابعهم ، ولم يفعل شيئاً من الشرك فإنه لا يشك أحد من عدم إسلامه ، وقد أفتى بذلك فقهاء المغرب كلهم في أول القرن الحادي عشر، أو قبله في شخص كان كذلك كما ذكره صاحب " الدر الثمين في شرح المرشد المعين " من المالكية ، ثم قال شارحه : و هذا الذي أفتوا به جلي في غاية الجلاء لا يمكن أن يختلف فيه اثنان . انتهى
- [ تيسير العـزيـز الـحميد شرح كتاب التوحيد ص ٥٨ ] .
Eti tunaweza tangulia Saudia siku mbili 😂😂😂😂
Amenukuu kitabu sikiliza vizuri
Ibn theymia ndio alio sema si yeye
@@abdiabdu7179 ya Sufi usipoteze fadhila ya yaumul arafa kwa kudanganywa na watu
Swali la ufahamu ni kwamba, wewe unawaangalia mahujaji wakienda kusimama mlima arafati sasa je wale mahujaji wamefuata vigezo gani kutekeleza ibada ya kupanda mlima arafati??? Akili za kuzaliwa tu hata sio lazima usome saaana
MPELEKENI BACHU KWA NGUVU MAMBRUI AKASOMESHEE NA USTADH SAID
Huyo saidi mkata viuno😂😂
Hataki sababu mbishi
Hakuna ukweli hapo
Utabaki hvyohvyo hta ukiiona Haki upinge
@@taurehassan7399 ukweli uko wapi mungu anashuka mchana siku mahujaji wanasimama arafa