MUHAMMAD BACHU NI MFITINISHAJI ANAETAFUTA UMAARUFU SI MSOMI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024
  • USIACHE KU SUBSCRIBE CZcams CHANNEL YETU ALWIY MUHANNA🔴 KU LIKE, KU SHARE, NA KU COMMENT
    ALWY TV UKUMBUSHO KWA WOTE

Komentáře • 283

  • @shabanimsoma
    @shabanimsoma Před 2 měsíci +15

    Mungu amjaaalie sheikh Bachu elimu zaid na zaid

  • @bafaaabuu
    @bafaaabuu Před 2 měsíci +11

    Kiukweli mm binafsi nashukuru allah nimeijua haki ya kweli ya siku ya arafa kwa kupia mohammedi bachu mashaallah alla azidi kutuongoza na allah ampe umri mrefu azidi kutupa elimu kwa hili na mengine innshaalah nyinyi niwazushi2

    • @kassimsaid4481
      @kassimsaid4481 Před 2 měsíci

      Wewe ni mwanafunzi mwenye ufahamu finye ndio maana wayaelewa ya BACHU PEKEE angalia hata ibara yako ulivyoandika haumo kabisa . Kasome zisomeke.

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Před 2 měsíci

      Finyu nyie mnaofata mwezi wa kijinga wa serikali

    • @SaidiOmy
      @SaidiOmy Před 2 měsíci

      ​@@Shuu.A
      Hakuna mwezi wa serikali
      Mioandamo ya mwezi .. jambo alilotaja Allah KTK Qur ani ..
      Kisha mwezi ni milki ya Allah HAKUNA mwezi wa Serekali wala wa Mufti acha uongo wako.
      Huoni kuwa unafanya dhulma.. ?? Kumpa kitu yule ambaye sio chake na kumpokonya ambae ni chake ??
      Tafakari kabla huja andika chochote au kukisema .
      Allah akutoe kwenye UWAHABI..
      Na akuongoze kwenye haqqi pmj na sisi ..

  • @saidali9255
    @saidali9255 Před 2 měsíci +7

    Allah insha Allah amlinde Bachu! Mtaumia bure! Bachu fanya kazi ya Allah!

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7w Před 2 měsíci +9

    Hawa mashekh wa maulidi wana tabu Allah amuhifadhi sheikh Muhammad Bachu

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Před 2 měsíci +1

      Ameen

    • @mzulwa2006
      @mzulwa2006 Před 2 měsíci

      Kiarabu kingi jibu lapotezwa kwa kuzungusha ukweli.tumeambiwa tufikishe walau aya.

  • @salehrashid-fx9rq
    @salehrashid-fx9rq Před 2 měsíci +1

    Allwah amhifadhi sheikh letu Muhammad bachu. Kwakweli anaitendea haki dini yetu ya kiislamu. Hawa mashehe wengine hawana mpango isipokuwa kupoteza muda. Mimi nimemfahamu saana sheikh Muhammad bachu

  • @user-rb8ir9co9k
    @user-rb8ir9co9k Před 2 měsíci +5

    Yaa Allah muhifadhi Sheikh wetu Muhammad Bacho na fitna za hawa wasio mpenda

  • @AshrafBunu
    @AshrafBunu Před 2 měsíci +13

    Allah amuhifadhi sheikh Bachu

  • @ramadhanishabani2712
    @ramadhanishabani2712 Před 2 měsíci +10

    Wewe endelea kuangalia mwezi wako sisi tunaangalia mwezi wa allah

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 2 měsíci +13

    Nlkua nasubiria hoja ila kumbe kuna michambo na mipasho tu, Bachu yy anachokiongea hua analeta dalili🤝

    • @mzulwa2006
      @mzulwa2006 Před 2 měsíci

      Hao dalili zao ni wanazuoni wao maana ni Maha's um

    • @ibrangowo6185
      @ibrangowo6185 Před 2 měsíci

      HIZO UNAZOITA DALILI NDIO HIZO HIZO MASHEHE WAKE WANAMSAHIHISHA. YAKO MASWALI MENGI ALIULIZWA HADI LEO HAJAWEZA KUYAJIBU. 1 . JE WAISLAMU WANAWEZA KUTEKELEZA IBADA ZAO ZOTE KWA ASILIMIA 100 BILA MSAADA WA SIMU NA TV? HILO NI SWALI LA KWANZA. LABDA UMSAIDIE KUJIBU.

  • @NuruJuma-zv3yz
    @NuruJuma-zv3yz Před 2 měsíci +6

    Lukman alimuusia mtotowake, ukikataza mabaya na kuamrisha mema lazima itakukuta taabu, bachu Mungu akuongezee elimu Zaid na zaidi

  • @AbuujureyjKhaniy
    @AbuujureyjKhaniy Před 2 měsíci +2

    Tuko Nyuma ya Msema kweli shekh bachu ukiwa ktk haki nilazima upigwe vita mnoo shekh bachu endelea kutangaza haki aridhie aridhiae achukie achukiae haki mpaka kiamaaaaa ❤

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 2 měsíci +1

    SHEKH BACHU ALLAH AKUZIDISHIE MAANA HAWA MATWARIQA KILA SIKU LAZIMA WAUMIZE VICHWA KUPAMBANA NAE LKN WANAFELI....

  • @fadhilfathamula4224
    @fadhilfathamula4224 Před 2 měsíci +8

    Huyu yupo kwa ajili ya masilahi ya Dunia

  • @dullahbatuf9223
    @dullahbatuf9223 Před 2 měsíci +8

    Mashallah bachu ametutoa ktk upotevu kwakweli yye anaongea kwa hoja nyie mwapinga kw ubishi tu

  • @mohamedturanardan8871
    @mohamedturanardan8871 Před 2 měsíci +1

    Tumechoka na uzushi wenu. Mohamad Bachu ALLAAH amhifadhi na azidi kuingarisha sunna. Ameen

  • @arrisalastriker9813
    @arrisalastriker9813 Před 2 měsíci +15

    Haqqi hamuitaki Mungu amhifadhi sheikh Bachu amzidishie elimu yake nyinyi wacheni michezo

    • @user-do8xo2is4e
      @user-do8xo2is4e Před 2 měsíci

      Wajua mana haqqi kwanza wewe?

    • @eng.aliali8187
      @eng.aliali8187 Před 2 měsíci

      Sheikh Mohamed kuchu, atafuta kiki 😂

    • @abdallatwaha4884
      @abdallatwaha4884 Před 2 měsíci +1

      Ni vizuri tuwe na uwazi ili tufaidike ama tupate Elimu.
      Sunnah ya Mtume; kila nchi ifuate mwandamo wa mwezi wao. Wanachuoni wa Saudia wenyewe wanasisitiza tusiwafuate... sasa wale wanaofuata kwasababu ya Ushindani; faida yake ni nini...???

    • @salumhassanallymkurdistan7006
      @salumhassanallymkurdistan7006 Před 2 měsíci

      BACHU HANA ELIMU
      BACHU KABACHUKA ANA MUHEMKO WA ELIMU
      BACHU KATIKA WENYE ELIMU HAHESABIKI
      KAMA KWA KUJISIFU NA MAWAHABI KUMSIFU NISAWA NA PUNGUWANI KUMSIFU PUNGUWANI MWENZIWE
      MAWAHABI NI MAADUWI WA UISLAM NDIYO MANA WANAPENDA MGAWANYIKO BAINA YA WAISLAM

    • @sulekhan7119
      @sulekhan7119 Před 2 měsíci

      Hakhi gani yakujifanya wajuwa kira kitu

  • @user-rn1xk1yr5j
    @user-rn1xk1yr5j Před 2 měsíci +8

    Bachu💪👍

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si Před 2 měsíci +10

    Nyie tulisha wachoka mohamedi bachu ni msomi anatembea na dalili nyie hamna kitu mkishindwa mnakimbilia serikal

    • @sleemhamoud4394
      @sleemhamoud4394 Před 2 měsíci

      Mbona alikimbia mdahalo na akajikojolea ktk kiti na isitoshe hajui kiarabu 😂

  • @pakashume725
    @pakashume725 Před 2 měsíci +9

    Bachu amekuchapeni sawa sawa!
    Mnatapatapa sawa sawa

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Před 2 měsíci +1

      Mijitu mizima inamzaa bachu akili haiba wallah

  • @user-yv1gj2zn4z
    @user-yv1gj2zn4z Před 2 měsíci +5

    sheikh maneno yako kweli

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 Před 2 měsíci +5

    Toka apa sufiiiii

  • @bagalucha
    @bagalucha Před 2 měsíci +25

    Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin

    • @user-do8xo2is4e
      @user-do8xo2is4e Před 2 měsíci +2

      Tafuta wakumfananisha na mtume wewe si jaahil kama bachu

    • @eng.aliali8187
      @eng.aliali8187 Před 2 měsíci +2

      Mohamed kuchu na sio Bachu😂

    • @bagalucha
      @bagalucha Před 2 měsíci +4

      @@eng.aliali8187 Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin

    • @bagalucha
      @bagalucha Před 2 měsíci

      @@user-do8xo2is4e Hata mtume Muhammad Sallallahu Alayh wasalaam,aliitwa mtoto,na kadhalika,Muhammad Bachu kumkuta haya yanayomkuta si ajabu,mara zote kuisimamia haki,maadui hawataki mbali.Allah amughifadhi Muhammad Bachu.Amin

    • @Allybinamour
      @Allybinamour Před 2 měsíci +1

      kweli kabisa

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před 2 měsíci +10

    BACHU HAWEZI KUKUACHA KAMWE...ANAJIANDAA ANAKURUDIA

  • @user-rb8ir9co9k
    @user-rb8ir9co9k Před 2 měsíci +2

    Masheikh acheni unaafiq, ifike kipindi muikubali haqi , mutakwenda kuulizwa mbele ya Allah, naona Muhammad Bacho ni mdogo lkni amewashinda kwa elimu saiv kilichobaki kwenu ni kutapa tapa tu

  • @masoud744
    @masoud744 Před 2 měsíci +2

    Hujasema kitu.. humuezi kielimu sheikh Bachu

  • @user-nh2wt4yd7w
    @user-nh2wt4yd7w Před 2 měsíci +7

    Bachu amekushinda ilimu Allah amuhifadhi

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 2 měsíci

      Ilimu gani unayo ongea bachu mwenyewe hata I abarahajui kusoma halafuati nimwanachuoni kweli hii niajabu ya dunia

    • @user-qm2of7vd3k
      @user-qm2of7vd3k Před 2 měsíci

      Endeleeni ushabikiwenu

    • @habibmayike7463
      @habibmayike7463 Před 2 měsíci

      Ww mtupu kama yeye bachu

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před 2 měsíci +11

    SHEKH BACHU KAWASHIKA PABAYA KIASI KWAMBA ANAWANYIMA USINGIZI KILA KUKICHA MNAMSHABULIA....

  • @abughaneem9220
    @abughaneem9220 Před 2 měsíci +3

    Madudu msichanganye watu someni vitabu acheni kula pilau za maulidi wali ndiyo inawachanganya kabisa mkaacha kusoma

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si Před 2 měsíci +4

    Watu Kila kukicha wanijua haki wanatoka kwenye ujinga dunia kiganjani

  • @mpondamedia2416
    @mpondamedia2416 Před 9 dny

    jazaaka llahu khayra

  • @user-nk9jt7qo1j
    @user-nk9jt7qo1j Před 2 měsíci +2

    Halali inaoneka na batil inaonekana . Sifikirii kama kuna arafa 2 ukiachana nasiku yaarafa. Allah amlinde naampe khery naelimu zaidi siku mpaka siku.

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr Před 2 měsíci

      Sheikh yupi umemsikia anasema visimamo vya au siku za Arafa ni mbili?

  • @ahmedseif-cu4ex
    @ahmedseif-cu4ex Před 2 měsíci +3

    Kwa lugha gani na nahwu gani ulionayo kujikweza tu kuanzia ww na masufi wenzio hamuna lolote kwenye iyo lugha munataka mupotoshe watu afu muachwe

  • @dunivuai9778
    @dunivuai9778 Před 2 měsíci +3

    Assalaamu alaykum, Sheikh Muhammad Bachu, kaleta fujo gani? Au kuizungumza Haqqi.

  • @issahabdallah9018
    @issahabdallah9018 Před 2 měsíci +6

    kibri kitawamaliza masufi

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před 2 měsíci +9

    Bacho Kwa Sasa ni mwiba Kwa masufi

    • @abiabi9353
      @abiabi9353 Před 2 měsíci +1

      Ukisoma comments kama hizi ndo utajua mawahabi walivyo majahili

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty Před 2 měsíci

      ​@@abiabi9353
      Vipi Ughulaati wa kishia umekushinda kuutangaza nini? Naona umehamia kwa Masufi au hauna pa kusimamia?

    • @binmiraji2168
      @binmiraji2168 Před 2 měsíci

      Tutamuita Saidi sasa hivi

  • @aminaabdullahi-tp5kn
    @aminaabdullahi-tp5kn Před 2 měsíci

    Unapata nguvu vipi yakusme bachu Ni mfitinishaji...kijana anaeleweka Kwa fwasaha ya ilmu anayoitowa ALLAH AMJAALIE FIRDAUS IWE MAKAZI YAKE...

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Před 2 měsíci +4

    sheikh mimi sijakufaham,unasema quran haitaki mijadala na hapo unawalaum watu kwa mijadala na wewe upo kwenye mijadala unayoipinga,
    au mijadala ni ile ambao haiendani na msimamo wako?

    • @UB40X1
      @UB40X1 Před 2 měsíci +1

      Wapuuzi hawo

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Před 2 měsíci +1

      Ndio hapo hajitambui nae huyu yumo tu

    • @AbuSaeed-pz2kb
      @AbuSaeed-pz2kb Před 2 měsíci

      Makhurafi hawajitambui

  • @LovelyBrain-wz7si
    @LovelyBrain-wz7si Před 2 měsíci +11

    Haki ni haki tu bachu Allha akuhifadhi na fitina zao

  • @OmarOmar-zh3rq
    @OmarOmar-zh3rq Před měsícem

    Allah akuhifadhi sheikh Bachu

    • @user-pi4mv4vd5k
      @user-pi4mv4vd5k Před měsícem

      Kama Muhamed Bachu ni sheikh hakuna mwislam ambae si sheikh leta ushahidi kasomea wapi uyu hizbi

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb Před 2 měsíci

    BACHU MOLA AMHIFADHI KIJANA YULE ACHA ABAINISHE HAQQI

  • @Hamis-ks1sy
    @Hamis-ks1sy Před 2 měsíci +3

    Alhamdulillah,nilikaa sana kwenye ujinga sasahiv inatosha

  • @abutafawa
    @abutafawa Před 2 měsíci +2

    Allah atamihifadhi akhii Mohammad Bachu kutokana na chuki zenu...
    Hiyo yote ni kwa sababu ana sambaza sunnah...
    مُوتُوا۟ بِغَيْظِكُمْ ۗ

  • @musaomar4184
    @musaomar4184 Před 2 měsíci

    Allah amhifadhi kijana wetu sheikh Bachu kwanza tuambie kiwango chako cha elimu umesoma university gani ya kiislam

  • @hamadmasoud490
    @hamadmasoud490 Před 2 měsíci +2

    Dunia ni duara mkuu. Kumbukeni ayab alyam akimalkum dinnakum

  • @HashimSalim-qj7zn
    @HashimSalim-qj7zn Před 2 měsíci +2

    TUMESHAMKUBALI BACHU HATUINGII FITNA ZENU WATU WAZUSHI TUMESHAMUCHOKA

  • @sayyidalishariff6068
    @sayyidalishariff6068 Před 2 měsíci +1

    Ameen apate elmu zaidi. Lakini awa heshimu mashekhe wengine. Hatu mchikii maana pia yy ni ustadh.
    WBT

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb Před 2 měsíci

    BACHU MOLA AMHIFADHI

  • @fadhiliharuna3934
    @fadhiliharuna3934 Před 2 měsíci

    Bacho yupo vizuri

  • @albayaanmschool8451
    @albayaanmschool8451 Před 2 měsíci +2

    Nikawaida unapoifikisha haqqi utapewa majina ya kukurejesha nyuma ila ujumbe umefika

  • @DR.SAIFILLAH.5363
    @DR.SAIFILLAH.5363 Před 2 měsíci

    Mungu hakuumba kiumbe Shetani ila shetani ni sifa ambayo hupewa kiumbe yeyote kwa tabia zake chafu sasa mtu akiwa kazi yake ni kufitinisha waislamu na kuwagawa badala ya kuwaunganisha basi huyo moja kwa moja anaingia kwenye USHETANI ni SHETANI kwa mujibu wa vitendo vyake.
    Mimi nasema wengi ya wale wajiitao MASALAFI wanasifa za KISHETANI.

  • @user-lr2wd3zs1k
    @user-lr2wd3zs1k Před 2 měsíci

    Nawausia sana watu wa Kenya kwa kumkaribisha bachu Muhammad bachu huyo ni mzanzibar na mm ni mzanzibar kwahyo ss tunamjua vzur ss wazanzibar kuliko baadh ya wakenya Muhammad bachu hajawa na elim jaman huyo ss wazanzibar tumenfungia kwasababu hatak kusoma ss huku Zanzibar tumemambia aje asome ametaka

  • @fadhilfathamula4224
    @fadhilfathamula4224 Před 2 měsíci +2

    Humu hakuna shekh ukitaka kujua ilo angalia alivyonyoa ndevu watu kama hawa ndio wafitinishi

    • @omarabdi3604
      @omarabdi3604 Před 2 měsíci

      kwan hizo ndevu ndio elimu😮😮😮

    • @fadhilfathamula4224
      @fadhilfathamula4224 Před 2 měsíci

      @@omarabdi3604 ndio inaonesha hafuati mafundisho ya mtume wetu, yeye yupo kwa ajili ya Dunia tu

  • @bintomar7025
    @bintomar7025 Před 2 měsíci

    Ahsante sheikh umesema kweli Allah akulipe kheri

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman Před 2 měsíci

    Nyinyi bakwata na masufi ndio mnaopotosha watu wallah

  • @hassansaul7098
    @hassansaul7098 Před 2 měsíci

    Uzuri ni kwamba Muhammad Bachu anatumia Hadithi na Ayat, na Kauli za Wanachuoni wanaokubalika ndani ya ISLAM

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 měsíci +3

    We mpumbavu?

  • @hudhaifahsadru-xr2gg
    @hudhaifahsadru-xr2gg Před 2 měsíci +3

    Wew shekh umempasua moyo wake? Itaq llah, alaf ni bora umwambie yeye, kwa nini utuambie sisi?

  • @MuniraRashid-sx3up
    @MuniraRashid-sx3up Před 2 měsíci

    Allah amuhifadhi sheikh Mohammed na midomo ya washirikina

  • @abdulmalikali1501
    @abdulmalikali1501 Před 2 měsíci +1

    Hhhhhh katwaliini Vzr Mashekhe Mambo ya Bachu Bachu ebu tulieni acheni kumpa kibri kijana mdogo huyu nae kwanza akatwaliii.kisha Huyu bachu yaani yy siku zote ndio Qaadhwil Qudhwaat yaani yy ndio aona makosa hamna mashkhe wengi 😂😂.wallai ajabu kweli

  • @abdallamassoud53
    @abdallamassoud53 Před 2 měsíci

    Shekh mashaallah unaeleweka vizur sana

  • @gundererthemustache5818
    @gundererthemustache5818 Před 2 měsíci +1

    Mashekhe mwatutuia aibu mushakosa KAZI zenu za kufanya KAZI kuzozana tuh

  • @YussufWakala
    @YussufWakala Před 2 měsíci

    Kumbe mnaumia mashekh ubwabwa

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u Před 2 měsíci

    Maneno yako yanajifunga funga mwenyewe.
    Amekataa Mijadala huku anaileta.
    Ufam wako mdogo Allah akuongoze.

  • @JumaHaji-zz8xk
    @JumaHaji-zz8xk Před 2 měsíci +2

    Ww pia hujui kiarabu wala nahaw

  • @fadhilalmaawiy7804
    @fadhilalmaawiy7804 Před 2 měsíci

    Upumbavu tu kwani hao Mola (S.W) alowapa elimu mnawajua au mnajipa mwenyewe "nani ana elimu" "nani hana " hamuoni mfano wa mja mwema na Nabii Mussa (A.S).
    Hao Ahl Al dhikr "Those who know" the people of Al dhikr the( book) The followers of the Remembrance mmebainishiwa ni nani na nani ?
    Wallah Mola angekupeni elimu na hikma msingepiga kwelele.
    Baada ya kushikamana na haki nakupendana katika njia ya Mola ( A.S) kazi yenu kujibishana na kusemana nani hana elimu nani anayo km hamumjui nani Mjuzi ( Al aleem ) na humpa elimu amtakaye.

  • @user-nv7jg6xc8l
    @user-nv7jg6xc8l Před 2 měsíci

    Bachu lazima awe na wafuasi wengi sababu wengi hawana elimu na ndio Msiba tuliokua nao waislam wengi wa zama zetu hatujui dini

  • @saiditara7235
    @saiditara7235 Před 2 měsíci

    "Na kama mungu alijua kwamba hili litakuja" hilo neno sidhani kama limekaa sawa kwa upande wa kumnasibishia Allah, au kama kuna ushahidi wa kufaa kulitumia naomba kufahamishwa?

  • @user-lr2wd3zs1k
    @user-lr2wd3zs1k Před 2 měsíci

    Kwahyo tunawausia baadh ya wakenya Muhammad bachu Hawa na taaluma nyiny huyo atakuftinishen vbaya kuwen makin jaman

  • @habibmayike7463
    @habibmayike7463 Před 2 měsíci

    Kusoma muhimu majahili wengi hapa kwa comments just like bachu

  • @kugotwa004
    @kugotwa004 Před 2 měsíci +2

    KHERI SHEIKH NDIO UKWELI UMEONGEA BACHU KAUPOTEZA UMMA WA MUHAMMAD S.A.W

  • @omarimahela7690
    @omarimahela7690 Před 2 měsíci

    Kichwa cha habari na maneno ya sheikh tofauti. Tuache uchonganishi kwenye dini

  • @user-sm7if6ni3o
    @user-sm7if6ni3o Před 2 měsíci +1

    Me nahisi ungejibu alicho kisema ndo iswaaf ama kumponda haina mantiki yeyote

  • @user-lr2wd3zs1k
    @user-lr2wd3zs1k Před 2 měsíci

    Hv munatakiwa mujiulize kwanin Muhammad bachu radd zake hawafanyi mashekh wa huku nyumban Zanzibar et kwasababu huku anajuilikana ni mtoto wa saafu saan ni mtoto wa mwaka wa pili kwahyo tunakunasihin nyinyi ambao mumenchua huko Kenya daaaa nataman huu

  • @YussufWakala
    @YussufWakala Před 2 měsíci

    Mwendo wa Qur-an na sunna hatutaki dini ya maneno mengi bila aya wal hadith sahihi

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 2 měsíci +1

    Sheikh swala la mwandamo hakuna ikhtilafu ila madhehebu na siasa jumlisha ujinga nasikitika sheikh waonesha mpumbavu

    • @Shuu.A
      @Shuu.A Před 2 měsíci

      Hapa badi😂😂😂

  • @hamadmasoud490
    @hamadmasoud490 Před 2 měsíci +1

    Tuseme.hawawezi jee ww huwezi kufubga sawa na saudia Arabia

  • @hidayaramadhani1833
    @hidayaramadhani1833 Před 2 měsíci

    Huyo kwawenye kujua wanajua nizumbuu kuku elimu hamna naamekosa kujitambua

  • @ibrangowo6185
    @ibrangowo6185 Před 2 měsíci

    KUFUNGA ARAFA KWA VILE MAHUJAJI WAPO KIWANJANI HUO UZUSHI ULIOPINDUKIA MIPAKA. NA NI IBADA ISYOTEKELEZEKA KWA WAISLAM WOTE DUNIANI.

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 Před 2 měsíci

    Ahlul-Bidaa wal-hawaa Masufi ni sumu ndani ya dini

  • @mahsenshariff1076
    @mahsenshariff1076 Před 2 měsíci

    Mkasome mauliidi Muhammad bachu achanane nae

  • @mohammadswaleh6900
    @mohammadswaleh6900 Před 2 měsíci +1

    Yani toka huu mskiti ujengwe Makhurafi wote wamejipeleka kwasababu una senti mbona hamuendi miskiti midogo midogo Ahlul pilau. Sasa ivi wote wameunyemela huu mskiti SubhanaAllah tembeeni vijijini Mukaelimishe ummah Sio Muchague miskiti ya Senti Na kiyoyozi

  • @user-zf2zg2ps5j
    @user-zf2zg2ps5j Před 2 měsíci

    Bachu atafuti umaarufu umaarufu tayali anao ile kuitwa bachu kwisha acha upotoshaji ww ndio unatafuta kupitia yy

  • @masoud744
    @masoud744 Před 2 měsíci +1

    Jibu hoja wacheni makelele

  • @SeifAlly-g9i
    @SeifAlly-g9i Před 2 měsíci

    Huyu bachu nimropokajitu dini ikokamili sstumesoma kale yy bado hajazaliwa

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kb Před 2 měsíci

    Vita baina ya Haqi na Baathil itaendelea mpaka qiyaama isimame
    Makhurafi tambueni hilo

  • @mohammedmasudi-dz6hb
    @mohammedmasudi-dz6hb Před 2 měsíci

    SJAONA LOLOTE LENYE MAAANA HAPA ULILOSEMA SHEKHE

  • @Biziman-pu4kf
    @Biziman-pu4kf Před 2 měsíci +1

    Matusi tu mbona hamvunji hoja zake

  • @thamani5842
    @thamani5842 Před 2 měsíci +2

    Jazakallahulkheir sheikh

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 Před 2 měsíci

    Mbona huja eleweka Sheikh? Tulitaraji utaleta hujja ya kuzivunja za bachu hafidhahullah

  • @hassanmohamedabdalla4108
    @hassanmohamedabdalla4108 Před 2 měsíci

    الله يحفظك شيخنا شيخ محمد ناصر من اعدائك الصوفية القبورية

  • @MuhammadMuhammad-gr2qv
    @MuhammadMuhammad-gr2qv Před 2 měsíci

    MIJITU YATAKA KUTENGANISHA ARAFAH YA HAJJ NA ARAFAH YAO YA TWARIKA.. BALAA HUZI ZA UBADUL KUBUR... HAMUNA ELIMU MUJUWAYO ZAIDI YA KUPIGA NGOMA NA KUIMBA MAKABURINI.

  • @ChidySuleiman
    @ChidySuleiman Před 2 měsíci

    Dini inarisishwa dini inafundishwa ww autak haki sis dini. Aturisi tunasoma

  • @highhigh7476
    @highhigh7476 Před 2 měsíci +1

    عرفناه بتعريفك وأيش انت تبحث ؟ عرف نفسك صاحب الطاقية الكبرى

  • @SafiaHaji-fo3sl
    @SafiaHaji-fo3sl Před 2 měsíci +1

    nyny mashekhe tafuteni mambo ya kuzungumza msiwe kama wanawake kaz yenu kupeana mipasho

    • @makalayamafanikio9283
      @makalayamafanikio9283 Před 2 měsíci

      Kabisa, kila kukicha ni trend ka vile wasanii wa nyimbo za kidunia, mtikhan kabisa huu

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 Před 2 měsíci

    Nyie Kenya hapo na Tanzania hamuwezii kujua kwamba arafa wasimam lini!??

  • @vicentpantaleo5837
    @vicentpantaleo5837 Před 2 měsíci

    Bachu amewashika pabaya sana

  • @rushu1232
    @rushu1232 Před 2 měsíci

    Hakuna anaemtambua bachu lakini haiwezekani aachiliwe kukosea adabu masheikh waliofanya daawa zaidi yamiaka 50 hao wanaojibu wengi wamepitia kwa ustadh Said.

  • @AbasiChigo
    @AbasiChigo Před 2 měsíci

    Kakosea wapi,,jaman mbona mnalialia sana ,,yeye anasoma vitabu,,

  • @sefuriyembe7864
    @sefuriyembe7864 Před 2 měsíci

    Moh.Bachu hana elimu ya darasani, kwahiyo hajui jiografia. Wakati wa kusimama arafa kule saudia, kule uchina wanaswali magharibi !! Yeye anadhani dunia nzima mchana ni mmoja !! 😅😅

  • @muniramohamed972
    @muniramohamed972 Před 2 měsíci

    Wewe kama huna elimu msikize huyo bachu, akili zenu ziko sawa, bachu ni debe tupu.