Mashaallah sheikh Mazinge mwenye mungu akupe umrii mrefu uendelee kuitangaza Dini haki na ya kweli hakika mkristo mwenye ufaham na kujua baya na zuri akikuskilza atajua kweli ni ipi
This time around professor Mazinge we are watching you from Lusaka zambia, it's very interesting professorجغق ،you making us feel okay, you make us grow in loving Islam
MashaAllah TabarakaAllah i love this professor, i remember watching him since 1996 in mombasa Kenya when he use to come, Allah anijaliye to invite him n to be my VIP guest.
Yesu Ni Mwana wa pekee wa Mungu;nasi Ni Mfano wa Sehemu za mwili wake kwa kuwa Yeye Ni kichwa nasi viungo.Waisilamu fahamuni Hilo.Yusufu Ni Baba Mlezi wa Yesu.Amin Amin
Mungu wetu sisi hana dini,yeye huiangalia lmani ya mtu juu yake tu. Dini ni Mpango wa MWANADAMU ili kumtafuta MUNGU. Mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU tu!!
@@nassarrostom1919 Kwa Mungu hakuna dini,kuna Imani. Imani ya kwanza duniani ni Christianity. Ukristo upo duniani toka miaka ya 200,na hiyo dini yako imeanza miaka ya 600. Labda nikupe definition ya Dini; DINI ni mpango wa mwanadamu ili kumtafuta MUNGU,lakini mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU.. Sasa Ukristo siyo dini ni IMANI,sasa wewe kama unadhani dini yako itaku fikisha MBINGUNI,wait and see👀. Imani ni AMANI na UPENDO lakini dini ni VITA na CHUKI kati ya wanadamu,mna tabia yenu kwenye hiyo unaayoiita dini ya kweli,kuua watu wasio na hatia eti ndio unaenda ahera. Wonderful!!! Eti uue mtu uione mbingu mbona ni formula ngumu ya kishetani?? Badilikeni Mungu anaangalia IMANI ya mtu na matendo yake,pia jinsi mtu anavyozishika Sheria na Amri alizoweka tu. Hayo mengine ni yenu watu wa dini.
Shida n kwamba Biblia Ina mafumbo mazito ambayo n magumu kuyaekelewa kirahisi... Shekeh anatafiri kilaini tu sio kitabu Cha hadhi hiko... Em fanyeni hiyo midahalo na watu waliosomea SoMo la Biblia takatifu sio na walio kariri tafadhali
Kwa nini anaitwa Issa Bin Mariam na asiitwe Issa Bin Yusuf? Kwa hiyo kwa mujib wa Qur'ani Mariam ni mama wa mtoto na baba wa mtoto? Kama ni hivyo Issa baba yake ni nani?
Huyo mazinge mnafiki alihaidi kubatiza kama kuna Aya ukristo ni dini... Alipewa na kitu alichofanya ni kunyamaza kumblock mwalimu ndacha kila mahali ndio wasikutane naye kwa mtutano yeyote
Mazinge unashangaza sana,yaani wewe na ushehe wako unashindwa kuelewa kuwa YESU ni Mungu?? Hata wewe ni Mungu au hijui?? YESU ni MUNGU na haibadiliki,na pia kwa utoto pia ni mwana wa MUNGU na hata wewe ni mwana wa MUNGU. Vyeo hivyo unavipata ukikubalika na MUNGU mwenyewe kwa kufuata amri na sheria za MUNGU.
@@hamzafishten9560 Kafiri atakuwa wewe,mwenye imani ya mashetani na malaika zake,kuzuri zaidi l know what l believe and end of my journey. So l don't care whatnyou'll say about my Faith,so get lost with your religion👹
Mungu tuwekee mazinge.. Kiboko ya makafiri
Mashallah sheikh wangu nimpendae kwa ajili ya Allah,,,,sheikh mazinge I love you from the moon and at the back sheikh
Mashaallah sheikh Mazinge mwenye mungu akupe umrii mrefu uendelee kuitangaza Dini haki na ya kweli hakika mkristo mwenye ufaham na kujua baya na zuri akikuskilza atajua kweli ni ipi
yaaan mazinge wallah nakupenda kwa ajili ya Allah
This time around professor Mazinge we are watching you from Lusaka zambia, it's very interesting professorجغق ،you making us feel okay, you make us grow in loving Islam
Mazinge Allah akupe umri mrefu na hekma ya kupambana na hawa makafiri
Professor toa lecture wataelewa tu. Allah akupe umri mrefu tuendelee kunufaika zaidi kizazi Hadi kizazi.
MashaAllah TabarakaAllah i love this professor, i remember watching him since 1996 in mombasa Kenya when he use to come, Allah anijaliye to invite him n to be my VIP guest.
Wallah Dr mazinge nakupenda kwa Ajili ya Allah🙏
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH
MashaAllah tabaraka Allahu Akibr ❤️ mazige Allah akuhifazi wallah
Mashaallah alhabib Ust.prof Othman Mazinge Allah akulipe kwa Kila utoapo na uvutapo pumzi yake ❤
Maa shaa Allah shukran wote mlioshiriki
Mashaallah mazinge Allah akujaalie uhai mrefu wenye manufaa kwetu nakwako pia
Masha allahy Baba mazinge Wamekuelewa
Kama football, Mazinge ni Ronaldo na kama wrestling Mazing ni John Cena (Anajuwa hadi anakera) Mungu akuzidishie
Umewaosha Hawa mazinge
Mashaallaah Allah ukupe umli mlefu shekh wangu mazinge na a2pe mwisho mwema inshaallah
MAZINGE wallahi Allah akubariki Sana!
Mazinge
kwanini mazinge ndiye anaongea tu na ni kuongea na kujibu.waislamumko na ujanja furani.
Yesu Ni Mwana wa pekee wa Mungu;nasi Ni Mfano wa Sehemu za mwili wake kwa kuwa Yeye Ni kichwa nasi viungo.Waisilamu fahamuni Hilo.Yusufu Ni Baba Mlezi wa Yesu.Amin Amin
Hujitambui
Mung amezaaa Wap broo Thom😂😂😂
Yesu ni binadamu kama mimi na wewe slivyoubwa ila kspewa unabii .
Mungu hazai kwa mwanamke huzaa kwa NENO.Kabla ya misingi ya Dunia(Issa) apo na Mungu Baba
Nyie mnabisha waislam hawampend yesu
Allah akujalie maishabora duniani Na ahera profeca mazinge
Yesu ni Bwana, ni Mungu ni mwana ni mtume ni Mchungaji ni mwalimu na yote katika yote
Yesu ni mtume, utume huo katumwa na nani?
Kafiri mkubwa wee!! Huna haya
MashaAllah sheikh Mazinge barakallah, unaeleweka kabisa, Anaye taka haki, Haki hii hapa.
Ndacha Kaa chini kabla hujakutana na mazinge huwezi kumshnda mazinge maana anatetea dini ya haki
Mazingue frofessa kwa waubir
Mazinge unatetea dini ya Allah ❤❤
Mungu wetu sisi hana dini,yeye huiangalia lmani ya mtu juu yake tu.
Dini ni Mpango wa MWANADAMU ili kumtafuta MUNGU.
Mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU tu!!
@@editrudesmbonde9051 ivi mpaka Leo ujui dini gani ya kweli,? Polee
@@nassarrostom1919 Kwa Mungu hakuna dini,kuna Imani.
Imani ya kwanza duniani ni Christianity.
Ukristo upo duniani toka miaka ya 200,na hiyo dini yako imeanza miaka ya 600.
Labda nikupe definition ya Dini;
DINI ni mpango wa mwanadamu ili kumtafuta MUNGU,lakini mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU..
Sasa Ukristo siyo dini ni IMANI,sasa wewe kama unadhani dini yako itaku fikisha MBINGUNI,wait and see👀.
Imani ni AMANI na UPENDO lakini dini ni VITA na CHUKI kati ya wanadamu,mna tabia yenu kwenye hiyo unaayoiita dini ya kweli,kuua watu wasio na hatia eti ndio unaenda ahera. Wonderful!!!
Eti uue mtu uione mbingu mbona ni formula ngumu ya kishetani??
Badilikeni Mungu anaangalia IMANI ya mtu na matendo yake,pia jinsi mtu anavyozishika Sheria na Amri alizoweka tu.
Hayo mengine ni yenu watu wa dini.
@@nassarrostom1919 problem is that Mungu hana dini
@@editrudesmbonde9051 Kwani ukristo ni nini!
Professional mazinge
Mashallhaaa
Allah akupe afya na umri mrefu professor
shekhe mazinge 🥰🥰🥰kiboko ya wakiristo
Mashallah ustadh mazinge ,Allah akujaze afya njema uweze kuutetea uislamu daima.
Nakupenda Debate hii Sana Hawa jamaa wanaondoa chuki za Udini na ni faida kwa taifa,,letu.
Allah akubariki kwakazi kubwa unaifanya mazinge
Mashaallah inshaallah watafamu tu
MA Sha. ALLAH. MAZINGE. ALLAH. AKUPE. AFYA. NA UZIMA Aameen
Allah awalinde mashekhe wetu muzidi kupambana nao hao makafiri
Mashalakh
Hahahahahaha wallah asie kuelewa Mazinge huyo hana FIGO
Masha Allah sheikh mazinge
Mashaallah shekhe mazinge
She mazinge jinsi ninavokupenda nataman siku moja tuonane Allah akupe afya njema
Mashaallah big bro mazige
Mazinge mashaallah wafunze ❤❤❤❤
Mazinge Allah, akupe mwisho mwema na kauli thabiti,,
Maashaallaah Allhamdullaah
Yesu juuuuuu
kwangu mimi mazinge hana point. ni ujinga tu.
Huyo ni professor Dacha wenyewe anapikwa 🤣🤣🤣
Toa point ww bc
Kwa nini inaharibika sauti pindi akismama bwana mazinge?????..
Vidume WA Allah.Allah awalipe.
Amina
Mazinge waeleweshe ma a na hawajui kiswahili
Yes yes yes yes
Download
Shida n kwamba Biblia Ina mafumbo mazito ambayo n magumu kuyaekelewa kirahisi... Shekeh anatafiri kilaini tu sio kitabu Cha hadhi hiko... Em fanyeni hiyo midahalo na watu waliosomea SoMo la Biblia takatifu sio na walio kariri tafadhali
We ndo huelew sa Ina mafumbo gan mnagusaa Gus tu mnaruka mambo
Naon kuna mdada kasmama hapo hat haon haya najisket lake 😂😂😂😂😂😂😂😂
Iko njia ionekanayo njema machoni pa mtu lakini mwisho wake ni njia za mauti
Itakua mapacha
Ila hii midahalo mnajichanganya sanaaa
Kwa nini anaitwa Issa Bin Mariam na asiitwe Issa Bin Yusuf? Kwa hiyo kwa mujib wa Qur'ani Mariam ni mama wa mtoto na baba wa mtoto? Kama ni hivyo Issa baba yake ni nani?
Na mie nnakuuliza Nabii Adam baba yake ni nani?
Isa amezaliwa bila baba😂😂
Uislam dini ya shetani
Muone huyo dada alivyo vaa hata mshipa wa haya hana duuh au ndio Rohomtakatifu yumoyoni
Akii nyiee tuwaombee ndug zetu makufar Allah awaongoze coz Ile itakapofika khalidiina fiha abaada n mtihan 😩😩😩🤲🙏
Hivi wakristo ni ndugu zetu?. Nielimishe
Huyo mwanamke mbele hapo anafanyann
🤣🤣🤣🤸wahubir wa kikirsto
huyo mwanamke mwambieni aondoke hapo yupo uchi
mazinge tanga sehemu mpo?
@@heyumi2340 na mskert wake hata haya haoni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anawap nguvu mapastor wao
@@suleymanally4729 toka lini mwanamke wa kikitisto akawa na aibu 😂😂😂😂😂
Huna la kuamba si adi Quran iansema Isa alizaliwa bila baba
Adam bila wazazi
Hubirini Quran,kama ww unajua, nenda Vatican ambapo ndicho kiini Cha ukristo
Uyo mwanmke mm nilijua dume kumbe jike mwandishi au mchukua kamera t
Huyo mazinge mnafiki alihaidi kubatiza kama kuna Aya ukristo ni dini... Alipewa na kitu alichofanya ni kunyamaza kumblock mwalimu ndacha kila mahali ndio wasikutane naye kwa mtutano yeyote
Hadi hapo bado tu hamstuki!!?
Debate ambazo ampost na za wa kristo! Ni vizuri mna post zote ili tujuwe oja
Not impressive 🤪🤪
Mazinge unashangaza sana,yaani wewe na ushehe wako unashindwa kuelewa kuwa YESU ni Mungu??
Hata wewe ni Mungu au hijui??
YESU ni MUNGU na haibadiliki,na pia kwa utoto pia ni mwana wa MUNGU na hata wewe ni mwana wa MUNGU.
Vyeo hivyo unavipata ukikubalika na MUNGU mwenyewe kwa kufuata amri na sheria za MUNGU.
Sasa yesu kama ni mungu nani ku
Kamuumba mama yake Mariam aca ujinga wewe tumikusha akili Mousa na yesu na kaja mbele
@@hamzafishten9560 Mjinga wewe usiyeijua KWELI ili ikuweke huru.
Pmbvsnxsz👹😈👺🙀💀💩
@@hamzafishten9560 You don't know even writing.
You to u don't know what u believe wewe ni mswaili aca kijifanya kama wewe ni mzungu ongea kiswaihil kafiri wewe
@@hamzafishten9560 Kafiri atakuwa wewe,mwenye imani ya mashetani na malaika zake,kuzuri zaidi l know what l believe and end of my journey.
So l don't care whatnyou'll say about my Faith,so get lost with your religion👹