SEHEMU YA MWISHO;AKABIDHIWA MAMA YAKE KWENYE KIROBA AKIWA AMEKATWA KATWA VIPANDE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024

Komentáře • 133

  • @apostledebora999
    @apostledebora999 Před 2 měsíci +1

    APOSTLE Adam haji continue to pray for last church preparation be strong and courageous God bless you

  • @mchungajigumbo3699
    @mchungajigumbo3699 Před rokem +5

    Ameen Yesu akupe taji mzuri, kwa kazi njema tuna tiwa moyo

  • @NEEMASWEDI
    @NEEMASWEDI Před 5 dny

    Barikiwa sana mtumishi Adam ,

  • @Gracemsomba-ic2xp
    @Gracemsomba-ic2xp Před 17 dny

    Kaza mwendo mtumishi WA mungu mungu akutie nguvu

  • @dorcusamisi2926
    @dorcusamisi2926 Před rokem +2

    Asante bwana yesu kwa usuhuda huu hallelujah utukuvu kwa yesu

  • @nurusaidi3642
    @nurusaidi3642 Před rokem +4

    Yesu ndio njia ya kweli na uzima

  • @Veronica-hv8xt
    @Veronica-hv8xt Před rokem +9

    Tanzania tuna uhuru wa kumuabudu huyu yesu wakati wowte na popote siku ya mwisho tutamwambia nini huyu Mungu ikiwa watu wanapitia hayo yote na bado hawamuachi Yesu

  • @rubefabi8366
    @rubefabi8366 Před rokem +14

    Moja kati ya ahadi bora sana aliyotuahidi Yesu ni uzima wa milele, kama si hivyo hakuna sababu watu kumfuata Yesu. Mimi nampenda Yesu kwasababu ya ahadi nyingi alizoniahidi 1. Mbinguni mpya na nchi mpya 2.uzima wa milele 3 raha ya milele. 4 mwili mpya usioharibika.

    • @cleverambangile3675
      @cleverambangile3675 Před rokem

      Amina

    • @maymunamakungu6265
      @maymunamakungu6265 Před rokem

      Fanyeni tu dhambi mtakavyo mtapata huo uzima wa milele mnaojidanganya. Na huyo yesu wenu atabeba hizo dhambi zenu wajinga nyie

    • @petermugendi8019
      @petermugendi8019 Před 9 měsíci

      Sio eti yesu wetu atabeba dhambi zetu,,,ashabeba tayari dhambi zetu zote😂😂

  • @user-mk9ii7nf5u
    @user-mk9ii7nf5u Před rokem

    Surely your testimony inanifanya nijikaze kumtafuta mungu siku sote🎉❤

  • @dorcusamisi2926
    @dorcusamisi2926 Před rokem +2

    WAKRISTO tuko na neema saaaaaan ya kuokoka YESU NI BWANA

  • @Aminaamina-us5yj
    @Aminaamina-us5yj Před 3 měsíci

    Adam haji the true man thats worshipping true God may God protect and cover you with the blood of Jesus Amen 🙏 and i wish one day nikuone nitashukuru Mungu wangu sana sorry for what happened to you God knows the best you choosing the right way may Lord our God guide you ❤

  • @mamakofi6178
    @mamakofi6178 Před rokem +2

    Yooo Mungu wangu Munguuu umupe Mbingu mutumishi wako

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Před 6 měsíci

    Mmmmmh raha ipo kwa YESU TU hongera sana mtu wa MUNGU

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Před rokem +4

    Ukiingia uislam sawa na kuingia freemason...ukiingia ukitoka wanakutafuta wakuue . Uislamu basi tu lkn

  • @emmanuelthomas4967
    @emmanuelthomas4967 Před 10 měsíci

    MUNGU akuzidishie Nguvu za kiroho.kwa jina la YESU.

  • @twalibuiddy3743
    @twalibuiddy3743 Před rokem +1

    Mwenyenzimngu aliye tuma yesu kristu akupe mwisho mwema, maana unaweza ridhisha waana waadam kwa kuwadanganya ukitumiwa na makafiri, ila kesho kuna kifo na mbele ya Mwenyenzimngu utaulizwa

  • @amonboniphace735
    @amonboniphace735 Před 4 měsíci

    Mungu awatie nguvu WAKRISTO WA KISOMALI. Na awafungue macho Wasomali wengi warpath wokovu na mateso yaishe kwa WAKRISTO.

  • @KelvinMwandemelela
    @KelvinMwandemelela Před 4 měsíci

    Kweli wa kwanza atakuwa wa mwisho, wakristo tumelala sana

  • @NeemaMeshaki-qm4ew
    @NeemaMeshaki-qm4ew Před 2 měsíci

    Mungu wa MBINGUNI atupe Neema ya kumjua Zaid Ili tuweze kushinda

  • @sianagodson3690
    @sianagodson3690 Před 3 měsíci

    Yesu Kristo azid kukutumia kwa ajili ya wengi

  • @dorothysamwel2648
    @dorothysamwel2648 Před rokem

    Mungu azidi kukuti nguvu kwa kazi ya kuitangaza Injili ya Yesu.

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 Před 6 měsíci

    Ubarikiwe Mtumishi

  • @JohnKingondu-yn4zf
    @JohnKingondu-yn4zf Před rokem

    Katika maisha yangu huyu pastor ndiye aliye niguza moyo wangu kwa sababu siyo laisi waislamu kuacha dini yao asa wasomali na kuwa mtumishi wa Mungu hili ni jambo la kutia moyo zaidi kwanza ushuhuda wake jameni!!!! Mungu wetu amtie nguvu na ujasiri zaidi na zaidi

  • @EuniceBukokhe
    @EuniceBukokhe Před 4 měsíci

    God be with you always in Christ Amen be blessed

  • @ezekielsanga2205
    @ezekielsanga2205 Před 7 měsíci

    Ubarikiwe mtumishi

  • @nytv8472
    @nytv8472  Před rokem +2

    Niombe radhi wadau wangu maelezo ya clip ya mwisho nilikuwa nimeyaweka kwenye clip no.6.hivyo niombe msamaha kwa kuwachanganya asanteni sana

  • @namanndubi3767
    @namanndubi3767 Před rokem +1

    Good job.

  • @kabangoamini8431
    @kabangoamini8431 Před rokem

    Pole sana mtumishi

  • @rithasimoni6212
    @rithasimoni6212 Před rokem

    Ukisikia mtumishiwa mungu huyo ndiye najisikia vizuri mno bwana yesusikuhiyoikifika akupetaji yako ya milele hakika mungu anawatu weke

  • @hamidmussa838
    @hamidmussa838 Před 10 dny

    Huyu Yesu atkuja wakana wote.

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem

    Pole sana

  • @HelenaYohana
    @HelenaYohana Před 9 měsíci

    Yesu bwana ubarikiwe

  • @pascalburegeya3423
    @pascalburegeya3423 Před rokem

    Usikate tamaa mteuliwa na Yesu Kristo.
    " twawezeshwa yote kwa yule anayetupa nguvu." Wafilipi 4:13

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 Před rokem

    Pole baba MUNGU akubaliki

  • @rehemamatano3164
    @rehemamatano3164 Před rokem

    Mungu azidi kukubariki mchungaji

  • @charlesmatui9461
    @charlesmatui9461 Před 5 měsíci

    Your story is painful.may the heavens hear your wish

  • @ngendakumanalewis1472
    @ngendakumanalewis1472 Před rokem +1

    Shuja Hodari WA YESU KRISTO , MUNGU akupe mbingu

  • @johnmkama8902
    @johnmkama8902 Před rokem +2

    Kusema ukweli wewe ni mtumishi wa MUNGU ubarikiwe Sana Adam Haji

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem +2

    Mungu akupe kuiona mbingu jamani

  • @eliasjoseph5742
    @eliasjoseph5742 Před rokem +2

    Hivi kwanini waislamu wakibatizwa wenzao wanakasirika? Mbona wakristo wakijiunga na uislamu hakuna usumbufu wanaoupata? Mungu tunayemwabudu ndo huyo ambaye nanyi mnamwabudu

  • @user-ec6om4lv9s
    @user-ec6om4lv9s Před rokem

    Imani nyingine ni Mungu tu awaokoe wa somalia.

  • @lilianluhasi311
    @lilianluhasi311 Před 4 měsíci

    Ndivyo ilivyokuwa, Yesu aliupokea mwili wake

  • @Annsikoboy-ut8bs
    @Annsikoboy-ut8bs Před rokem +1

    Sasa Huyu Rev. Yuko na kazi ya kubakia mwaminifu kwa Yesu ili asiwahaibishe waliokufa kwa ajili yake. Yesu ainuliwe juu kuliko vyote.

  • @venancemwakibete9763
    @venancemwakibete9763 Před rokem +1

    Hii ndiyo imani ya matendo ya mitume Adamu kaza
    Mwendo taji iko mbele yako

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Před 8 měsíci

    HOVYOOOO. MTU MZIMA KUKAA HAPO KUWATAPELI HAOO MAZOMBI WENZIO. HAPO MULIPO NYOOTEE NI MIZOMBI , NI MIPOFUU , ni viziwi. Daah ila njaa mbayaaa NJAAA MBAYA SANA. HAPO ADDAM UNAISHI KWA UTAPELI TUU PUNDA WEWE

    • @salomemgaya1244
      @salomemgaya1244 Před 5 měsíci

      Mtu mwenye mipepo kichwani utamjua tu , tuondokee hapa wewe mfuga majini , makasiriko yako ni bure tu , upende au usipende watu wataokoka tu.

  • @sifabahizire7596
    @sifabahizire7596 Před rokem

    Polekabisa baba kwa it wokovu umepitiya mengi

  • @ashelizakaria6306
    @ashelizakaria6306 Před rokem

    hakika Mungu mkubwa

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem

    Jamani km south Africa enzi za makabulu

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 Před rokem

    Matendo ya mitume 14:22 njiya ya kuingiya mbinguni

  • @mamafloraofficial4315

    Watu wa Mungu ninachopenda kuwaambia ni hivi ahadi za Mungu Yehova ni za kweli na yote yaliyoandikwa kwenye biblia ni kweli. Mungu amesema "chochote muombacho kwa jina langu nitafanya" na imeandikwa Mungu hulitazama neno lake apate kulitimiza. Sasa, wakati wowote jifunzeni kukiri neno la Mungu, sema 'imeandikwa sitakufa nitaishi nipate kuyasimulia matendo makuu ya Mungu" , imeandikwa "nijapopita kwenye moto sitateketea wala mito haitanigharifisha" imeandikwa "nimepewa mamlaka nguvu na uwezo wa KUKANYAGA nyoka na ng'e na nguvu zote za adui" yaani neno la Mungu lijae kwenye moyo wako na wewe ulikiri mara kwa mara. Shetani anatabia yakuuwa/kukamata mmoja na akiona umekaa kimya unalialia anarudi Kuua/kukamata mwingine. Tunatakiwa kumtangazia shetani ahadi za Bwana Yesu kwa ujasiri na pasipo kuogopa, na kuzipinga kazi zake zote na kuukanyaga ufalme wake. Atakimbia tu

  • @patriciakalinga9176
    @patriciakalinga9176 Před rokem

    Tumwabudu Mungu tunapo kuwa na amani

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 Před rokem +1

    Sisi tunaceza na wokovu !!!

  • @zawadimfambo3075
    @zawadimfambo3075 Před rokem

    Ee yesu nakushukr Kwa kunifia nmeona kupitia ww Kuna wenzetu somaromalia wanakufa kinyama namba hii

  • @zawadimfambo3075
    @zawadimfambo3075 Před rokem

    Somaria vita haiji isha wanaunyama xanaaa

  • @peninahmuthoka8667
    @peninahmuthoka8667 Před rokem

    Please pastor nope Number yako

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem +1

    Inafunguka mbingu

  • @venitarugemalila9290
    @venitarugemalila9290 Před rokem +1

    Kwani na huyu mchungaji Adamu ni msomari

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 Před rokem

    Tuwe wavumilivu kunabaki muda kidogo!

  • @billowali965
    @billowali965 Před rokem

    Wacha wongo na Usipoteze watu hujawaienda somalia

    • @lenardkenedy542
      @lenardkenedy542 Před rokem

      Acha makasiliko Toka Freemason uko Achana na Majini Jifuze ndugu

  • @gigxjr9754
    @gigxjr9754 Před rokem

    Iyo njo njia tutafika tu!!

  • @rayaali7551
    @rayaali7551 Před 8 měsíci

    WEWE ADAM. UTAKUJA JUTA. HAPOO. UTAKAPO KUJA KUTAKA KUWATAFUTA HAOO UNAO WAPOTOWA UJE USHINDWE NGURUWE MKUBWA WEWE. MJAALANA MKUBWA WEWE

  • @zakariyeamin1874
    @zakariyeamin1874 Před rokem

    😅😅😅😅😅😅

  • @mohamedomar2005
    @mohamedomar2005 Před 6 měsíci

    Kama Kuna jama muongo duniani ni Adam hajji na huyu jama hajawai ona Somalia ni mborana kutoka isiolo kwa hivyo wakristo mnakazi kweli.

  • @faridarahma4050
    @faridarahma4050 Před rokem +1

    Big lier

  • @MunezeroHabiba-td3mv
    @MunezeroHabiba-td3mv Před rokem

    Fisadi mkubwa mongoose kizabi njaa mbaya kula leo ili kesho uchomwe jahanam fii nari laana mkubwa

    • @lenardkenedy542
      @lenardkenedy542 Před rokem +1

      Acha makasiliko Toka Freemason uko Achana na Majini Jifuze ndugu

    • @lilianluhasi311
      @lilianluhasi311 Před 4 měsíci

      Utahukumiwa na ulimi wako, hapa duniani tuapita tu

    • @lilianluhasi311
      @lilianluhasi311 Před 4 měsíci

      Ni nini kitokee ili uamini? Utaikumbuka hii siku ya kiama

  • @abuunusaibayussuf4829

    Kafiri mmoja Allah akuangamize kwa ufisadi wako

    • @Baromoz
      @Baromoz Před rokem +1

      YESU anampenda sana sisi tunaoneq uruma nyinyi wapotevu tunawaombea Mungu awareness mjue ukweli.uyo mohamed went ajawasaidia ata yy ataenda motoni

    • @ngendakumanalewis1472
      @ngendakumanalewis1472 Před rokem

      Hata mpinge kiasi Gani YESU KRISTO Atahubiriwa tu .

    • @lenardkenedy542
      @lenardkenedy542 Před rokem

      Kama Uyo MUNGU wako wa Haki Aaze na Mudi Aliewadanganya

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 Před rokem

    Mjinga mkubwa. Na hilo vazi la kanzu unalishikilia la nini?

    • @salomelonje3087
      @salomelonje3087 Před rokem

      Vazi limefanya nin hiyo ni nguo tu ata malaya anavaa nikabu na bado wanamvuruga tu ko hilo nivazi kichwa ngumu elewa

    • @Baromoz
      @Baromoz Před rokem +2

      Matusi ni ya nini yesu ndio njia ya uzima

    • @imeldanyarotsa3636
      @imeldanyarotsa3636 Před rokem

      hata wakristo wanavaa kanzu

    • @lenardkenedy542
      @lenardkenedy542 Před rokem

      Akili zako ndogo Sana Unakalilishwa

  • @user-ub9fz9ry4d
    @user-ub9fz9ry4d Před rokem

    Wew achakudanyanya umaaa muongop munguu kijana wewe sku ya hukumu ninzito ustafute pesa kwa kusema ya sio ya hakii allah atakuhukumu kwa uogo wakoo

    • @imeldanyarotsa3636
      @imeldanyarotsa3636 Před rokem

      acha kuhisi uchungu,kama ni uongo

    • @lenardkenedy542
      @lenardkenedy542 Před rokem

      Ata Uyo Mudi wenu Kazanene kumuombea Mana Ana zambi kuliko wewe ndomana Mnamuombea kwasababu ameudanganya ulimwengu

  • @hamzayusuf1894
    @hamzayusuf1894 Před rokem

    Huyo msomali ananjaa ya pesa ni uongo mtupu anawadanga
    Nye naninyi hukubali

    • @nurusaidi3642
      @nurusaidi3642 Před rokem +2

      tunamkubali yesu alieko ndani yake

    • @Baromoz
      @Baromoz Před rokem +1

      We si mungu kujua kama anasema ukweli ama uongo welcome to christian platform ask God to reveal the truth about everything ull be frustrated to know uve been wasting tym following the wrong religion nakuombea ujue ukweli.sisi tunakupenda atuna chuki kama dini yenu

    • @imeldanyarotsa3636
      @imeldanyarotsa3636 Před rokem

      we tuambie ukweli basi,unahisi uchungu ,how na waislamu wengi wameokoka,okoka what are you waiting for

    • @anwarambar6141
      @anwarambar6141 Před rokem

      huyu si msomali, ni mborana, msomali hatoki ndani ya dini ya kiislamu

    • @ngendakumanalewis1472
      @ngendakumanalewis1472 Před rokem

      Hata mfanye propaganda kiasi Gani, YESU KRISTO Atahubiriwa mtake msitake.

  • @Farhan-cp1vx
    @Farhan-cp1vx Před rokem

    Mbwa wewe sio msomali kwa nini wasikuuwe kabisa unawadanganya hao wajinga wenzako wala sio msomali mshenzi wewe tafuta kazi yakufanya pumbavu kabisa