Part2_USHUHUDA WA NABII ESTER WA NAKURU KENYA ALIYEKULIA MTAANI KAMA CHOKORAA|ULIVYOKUJA WITO WAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Komentáře • 32

  • @salmamrisho3330
    @salmamrisho3330 Před rokem +7

    Mtumishi wa Mungu naomba uniombee nami nimjue YESU nakumfuata mimi nilikuwa muislamu bado ni mchanga katika ukristo

    • @leonardndabila2446
      @leonardndabila2446 Před rokem +2

      Hongera Sana Kwa kuokoka.
      Ukitaka kukua kiloho kitu Cha Kwanza soma Sana Bibilia omba Kwa bidii shiliki ibada mala Kwa mala ukifanya hivyo MUNGU Atakujaza nguvu za kiloho..ushauli kidogo kwako...ukitaka kumuona MUNGU mtafute wewe mwenyewe Kwa bidii

    • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
      @RubenMtuwaMungu-bz8ee Před rokem +1

      ​@@leonardndabila2446umemjibu vyema ila jitahidi kuandika kiswahili fasaha Roho badala ya loho vinginevyo unapoteza maana ya unachoandika.

  • @misnasma7875
    @misnasma7875 Před rokem +6

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu Esta nimejifunza jambo kuhusu kuvua mavazi ya dhambi na kuvaa mavazi ya yanayompendeza Yesu Kristo

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Před rokem +5

    Pole sana mtumishi wachungaji wanapitia mambo mengi sana

  • @user-gv3si2mv3l
    @user-gv3si2mv3l Před rokem +5

    Maandiko yanasema mioyo ya watoto iwaelekee baba zao NA mioyo ya baba iwaelekee watoto wao ili nisije nkaipiga dunia kwa laana

  • @norahabuyeka9617
    @norahabuyeka9617 Před rokem +2

    Ñilidhani Mimi nilipitia mengi nikiwa mdogo,haya ya Mama Esther ni zaidi,atukuzwe Mungu kwa kujitukuza,kwa Hali zote🙏🙏

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 Před rokem +7

    Am so sorry for all you are going through.... Your children God will direct them to help you.. May God touch them where they are now and remember you Mtumishi

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l Před rokem +1

      God will hata mm mamangu alinipeleka lebanon NA skuwai msaidia nlikuw napea wasanii wa bongofleva pesa warekod nyimbo but God came to me 2yrs latsr nkapea mamangu salary yangu ya 2 years yote bila kuchukua hata bob asin i worked in saudi arabia for 2 yrs NA nkapeaangu mshahara wote wa miaka miwili skuchukua hata shilingi God can do wonders

    • @sheillahwairai4691
      @sheillahwairai4691 Před rokem +1

      @@user-gv3si2mv3l Glory be to God my dear sister .. I pray that they will help Mama it's painful 😭 so painful...to see the servant of God passing hard times..

    • @user-gv3si2mv3l
      @user-gv3si2mv3l Před rokem

      @@sheillahwairai4691 maandiko yanasema kujaribiwa kwa mwamini ni lazima ila. Mwishoe utapata dhawabu aliotuandlia bwana

  • @AzAz-sy6zp
    @AzAz-sy6zp Před rokem +1

    Amen ubarikiwe san mum kwa ushuhuda mungu azidi kkuinua viwango vyengine ubarikiwe san mum

  • @annachachage4931
    @annachachage4931 Před rokem +2

    Huyu mama, ushuhuda wake,unjenga sana kwa maisha yetu ya kiroho,unyenyekevu imekuwa shida kwa walokole wa leo,,ni ukaidi tu na kutokua na suluhu na ujuaji, ndio maisha ya waumini,,imenisikitisha sana ile part 1,alikua anapewa chakula na waislam, wakati mwingine,ila wakristo,walimnyima, jamani,, mbona MUNGU ni upendo?ni upendo wa aina gani kumtoa mwanawe aje afe kwa ajili ya watu wasio na faida kama sisi?Ee YESU KRISTO uturehemu,huyu mtumishi nimeelewa sana,ananipeleka viwango vingine tena,

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Před rokem +3

    God bless you mama Esther

  • @user-gv3si2mv3l
    @user-gv3si2mv3l Před rokem +3

    Hapo kwa laana ni kweli yeremiah Mungu anasema kwa sabab ya makosa ya bab zenu ntateta NA watoto wa watoto wenu. Baba zenu walioana dhulma gani kwangu hata wakafarakana nami?

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Před rokem +2

    Pole sana mtumishi wa Mungu kwa yale yote ulipitia ila Mungu alikua nakisababu zidi kuinuliwa dadangu

  • @jacklinekhayechia4362

    Mama mungu yu pamoja nawe sijawahi ona mzazi kaa wewe ambaye ameja msamaha kwa watoto wake barikiwa sana .Mungu azidi kuinua viwango vya juu

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Před rokem +2

    Amen 🙏🙏🙏 mungu azidi kutumia

  • @catherineangaufoo2530

    Roho imeniuma sana kwa mtoto kumualika mama kama mgeni rasmi, na kutafuta mama mwingine asimame bàdala yake. Yooooh.. Mama "Esta nakupenda mama, asante kwa ujumbe mzuri.

  • @user-gv3si2mv3l
    @user-gv3si2mv3l Před rokem +2

    Lazima bwana akuandae kabla ya kukupa kitu ili usije ukamtia aibu. Maandiko yanasema kufanikiwa kwa mpumbavu kunamuangamiza

  • @rehemasamson442
    @rehemasamson442 Před rokem

    Amina mtumishi.Mungu akubariki

  • @philisrabby2779
    @philisrabby2779 Před rokem +1

    8 katika mwali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu;
    2 Wathesalonike 1:8
    9 watakaoadhibiwa kwa maangamizi ya milele, kutengwa na uso wa Bwana na utukufu wa nguvu zake;
    2 Wathesalonike 1:9
    10 yeye atakapokuja ili kutukuzwa katika watakatifu wake, na kustaajabiwa katika wote waliosadiki katika siku ile, (kwa sababu ushuhuda wetu ulisadikiwa kwenu).
    2 Wathesalonike 1:10
    11 Kwa hiyo twawaombea ninyi sikuzote, ili Mungu wetu awahesabu kuwa mmekustahili kuitwa kwenu, akatimiza kila haja ya wema na kila kazi ya imani kwa nguvu;
    2 Wathesalonike 1:11

  • @pudensianamhasi5364
    @pudensianamhasi5364 Před rokem +1

    Mbarikiwe sana kwa ujumbe na kazi nzuri promover Mungu wa Mbinguni atawalipa,ila binafsi naomba no ya Ester jamani.

  • @philisrabby2779
    @philisrabby2779 Před rokem +1

    Niukwe mungu anawatiq nguvu iliwazidi kupotea,,it is true

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 Před rokem +1

    Hii TV (promover) inahamasisha utunzi wa hadithi za uwongo.

  • @amandaangie4806
    @amandaangie4806 Před rokem +1

    AMEN 🙏

  • @mbondok5828
    @mbondok5828 Před rokem

    I have learnt a lot especially the seriousness of making a vow but just wondering incase of a dying child, she cannot ask for mercy on behalf of the parents for the sake of the child given that the child is innocent? This gives me question marks given that God is merciful.

  • @elpidiusezekiel2729
    @elpidiusezekiel2729 Před rokem

    Mimi ni mwanafunzi kupitia madhabau ya Promover kule kwa Ester Masanja kuwa Mungu hajaruhusu mwanamke kuchunga lakini apa Ester pia anasema ni Mchungaji does it means Mungu anajipinga kwa mafunuo

    • @Message_from_God254
      @Message_from_God254 Před 10 měsíci

      Sisi wote ni watoto wa Baba yetu,wakiume akitumwa asiende basi wakike ataenda.Hivo ndivo Baba yangu kaniambia na hivyo natumika na Baba yangu,barikiwa

  • @thabitanicholaus8652
    @thabitanicholaus8652 Před rokem +1

    Na kusuka je? Nako unaenda jehanam?