Part_2 USHUHUDA WA ALIYEKUTANA NA YESU NA SHETANI LIVE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • #ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV

Komentáře • 206

  • @agnestunu5527
    @agnestunu5527 Před rokem +4

    Mmh nashukuru Mungu Leo nmeskia kuskiliza haya maono nmejifunza sana apa asante YESU

  • @jeaninekabano9190
    @jeaninekabano9190 Před 3 lety +5

    Utukufu ni wako Mungu uliye juu tufundishe njia zako Ubarikiwe Sana Prophet kijana ❤️

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 Před 4 lety +25

    Nakushauri David, ushuhuda ulioutoa unatosha sana anza kuhubiria watu dunia nzima.

    • @allyawadh8492
      @allyawadh8492 Před 4 lety +1

      Sio anza kuhubiri sema anza kupiga pesa yaani usanii wako wakristo ushawaingia na kwasababu hawana elimu hiyo basi sema upendavyo ila kwasisi wenye kujielewa huwezi kutudanganya kwa njia hiyo,ila nakukumbusha haya maisha ya dunia ni maisha yakupita hiko unachofanya utakuja kujuta siku utakayotolewa roho yako bora uwe maskini hapa nduniani lkn uwe na amani kesho kwa mungu kuliko kuwa tajiri hapa nduniani keaho ukapate taabu,huo ni ukumbusho wangu kwako.

    • @stellandossy8107
      @stellandossy8107 Před 4 lety +1

      Mi nakuelewa sa na prophet Dev,mungu amekupa kazi ya ziada ya kufanya,usiogope ninaimani na wewe ninaimani ni mungu,

    • @ithedavid8525
      @ithedavid8525 Před 3 lety +1

      Khaaaa hapo kaniacha hoi we India tena

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před 2 lety

      @@ithedavid8525 MUNGU ni roho, ukiwa katika ULIMWENGU WA KIROHO popote ukitaka kwenda utaenda

  • @Sarah-joyy
    @Sarah-joyy Před 4 lety +17

    This is a very heavy testimony. God reveals himself to his saints. He doesn’t have to but he does. Pray for the saints, pastors, teachers and prophets. God is great and awesome. And yes there is so much to accomplish!!!

  • @cupcakesanddounuts6555
    @cupcakesanddounuts6555 Před 4 lety +25

    I BELIEVE THIS TESTIMONY AND I KNOW THAT ANGEL MICHAEL IS FIGHTING THE FINAL FIGHT JESUS IS COMING BACK SOON ON EARTH GLORY BE TO GOD

  • @alifewithpurpose.360
    @alifewithpurpose.360 Před 2 lety +4

    This is so true kabisa.... Mtumishi wa Bwana anasema kweli.... The day I saw him I knew HE IS HIM yaani bila kuambiwa na Mtu unajua THIS IS THE MASTER HIMSELF... Na siku anakuja kwangu alifungua mikono the same na Ndani yake yaani kama kwenye moyo wake kulikuwa yanatoka Yale matunda 9 ya Roho MTAKATIFU (Wagalatia 5:22-23) asee its unforgotable experince na kila nikiwaza huwa najikuta nalia yaani nalia bila sababu...
    Like wise the day I met Lucifer I know he is lucifer yaani kwenye ulimwengu wa Roho hakuna anayekwambia huyu ni nani, Yaani roho MTAKATIFU anakwambia na ni kwa sababu Roho Mtakatifu yuko ndani yetu so ni YEYE ROHO MTAKATIFU ANAYECHAKATA NA KUKUPA HIZI TAARIFA MNAMAJIBU.. Oooh Lord... Jamani the spiritual ream is so real...
    Yesu akubariki Jastun na Mtumishi wa Bwana David...
    Anayosema bi kweli kabisa... Kama hujapatana na hizi experience Mwombe Bwana kuwa ba Kiu taakuja kwako... Wewe ni Mtoto wake.

  • @armindodamiao8729
    @armindodamiao8729 Před 4 lety +10

    I am mozambican and I will spread this message.amen

  • @titinmbega4128
    @titinmbega4128 Před 4 lety +11

    Ata mm naomba Mungu anijalie kuona ufunuo Kama huu ila kwa mapenzi ya Mungu. Japo mm huona ndoto ila nahitaji kuona kabisa 🙏🙏🙌🏻🙌🏻🤲🌹

  • @PatrickMuendo-ur9js
    @PatrickMuendo-ur9js Před 5 měsíci +2

    Devil used to be called morning star, he was very beautiful, Hana pembe jinsi watu wengi wanavyofahamu 🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @natrinemweha8625
    @natrinemweha8625 Před 4 lety +3

    Kama mtu hajamjua Kristu hawezi elewa haya mambo, asante David umenielimisha mambo ambayo sikuyajua....Glory be to God.

  • @3leggedbird222
    @3leggedbird222 Před 5 měsíci +1

    Huu ushuhuda ni wa kweli hilo geti nalifahamu linafunguka kwenda juu ukiingia tu linashuka vuup linafunga na huo ukijani ni mzuri sana upo niliuona upande wa kulia kwangu

  • @nyotasandra1176
    @nyotasandra1176 Před 4 lety +4

    Pia hali ya kuchukuliwa na wati sina usingizi wakt ilinitokea niliogopa sana nilifikiri kwamba na kufa,siku hiyo nilikuwa nilishinda kwenye kifungo bila kula wala kunywa, watoto wa ndugu zangu wakaja wakaniambia eti mama mdogo tunahitaji utiombey ili tulale,niliwaombea watota,nilipo maliza kusali,nilielekea kwenye malazi,wakati bado naweka kichwa kitandani wala sijasinzia,nilichukuliwa ghafla,nilijikuta niko mahali nikitembea pek yangu huo sehemu kulikuwepo majani mengi wala sikuona nyumba ila katikati kuna barabara dogo sana,nilikuwa nikipita kwa hiyo barabara,nikajivuta ili nitok kwa hio hali nikaogopa sana,nilipo rudi nikaanza kusema Mungu hapana Mungu hapana ghafla niliona tena nilinyakuliwa nikajikuta huko,nikasimamama wazo likanijia nikasema,eti mbona duniani kuna madini mengi tena tofauti pia yenye imani tofauti kila dini inaona kuwa yenyewe ndo ya kweli,pia wote wanatarajia kuiona mbingu,nikajikuta nasema eti je wakifika huku itakuwaje!nikatoka kwa hiyo hali,ila nikaanza kujiuliza maswali,sasa ukweli ni upi!

  • @nyotasandra1176
    @nyotasandra1176 Před 4 lety +3

    Ubarikiwe sana,kuna vitu vingi nilikuwa nikiviona muda mrefu ila nilikuwa sielewi,muda mwingine naona niko kwenye sayali nyingine,kulikuwa watu wa hajabu wenye nguvu sana,nikapambana nao,na mpaka jinsi nilirudi kwenye malazi,

  • @gabinessjeniffer653
    @gabinessjeniffer653 Před 3 lety +2

    Mungu akubarki kaka,, Mungu awe na wakati wote Hallelujah Thanks

  • @robsonsadiki
    @robsonsadiki Před 4 lety +11

    Mtumishi daktan ninaomba unipatie namba ya mtoa ushuhuda kwani ninaona kuna kutu amebeba kwa ya watu wangu

  • @julianampanduji6000
    @julianampanduji6000 Před 4 lety +2

    Glory! Glory! Ee Mungu tuhurumie na utuokoe watu wako🙏

  • @stanleyguthia7771
    @stanleyguthia7771 Před 4 měsíci

    THIS TESTIMONY IS TRUE.
    HALLELUYAH.
    GLORY TO JESUS CHRIST

  • @suzanakiwele1832
    @suzanakiwele1832 Před rokem

    Naomba MUNGU manabii wasipende kuishi jijini namaanisha mjini tu,kama itatokea nabii akubali kuzikomboa roho za YESU namaanisha watu wa vijijini sana,huyo nabii kweli MUNGU atammbariki sana, lakini manabii wote mnaishi mjini, naomba MUNGU awaonyeshe vijijini mwa mikoa mbalimbali jinsi watu wanavyohitaji huduma ya MUNGU na SI mjini,🙏 MUNGU awabariki sana 🙏

  • @thehumphreyfamily3082
    @thehumphreyfamily3082 Před 3 lety +2

    praise the Lord man of God, am Margaret Wamaitha from Kenya .I need your prayers.

  • @SimaoromaojoseSimaoromao
    @SimaoromaojoseSimaoromao Před 3 měsíci +2

    Amém 🇲🇿

  • @damasalfayo9375
    @damasalfayo9375 Před 4 lety +1

    Sii wote wanaoweza kuyapokea haya madamu hajamsema Yesu vibaya binafsi nimebarikiwa Sana Nabii wa Bwana Mungu akubariki Sana

  • @NellyMadeni-yv6fd
    @NellyMadeni-yv6fd Před rokem

    Mungu anisamehe kwa ushuhuda huu hakuna cha kweli hapo. Move ya kihindi tu

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 Před 3 lety +1

    God is powerful and I believe in JESUS. I big testimony. I feel it. Thank you JESUS

  • @monicagabriel4388
    @monicagabriel4388 Před 4 lety +1

    Utukufu. kwa mungu juu na amani duniani kwa watu wote aliowaridhia.ubarikiwe na Yesu.

  • @gladysvyagusa3185
    @gladysvyagusa3185 Před 2 lety

    Amina YESU NI BWANA NA MFALME WA WAFALME KILA ULIMI UTAKIRI YA KUWA NI BWANA NA KILA GOTI LITAPIGWA KUMSUJUDIA.

  • @mercyjesus6637
    @mercyjesus6637 Před 4 lety +6

    Yaani me napenda hiz shuhuda maana namwamin YESU saana

  • @anaiskafilleaineedejesus3642

    Yesu christu nimeku penda sana..ubaki mungu milele

  • @akwenyijoan8338
    @akwenyijoan8338 Před 3 lety +1

    Tumrudie mungu .mwanzo sitaibika kusema dhambi zangu ni nyingi sana. Mtumishi naomba nisaidie. Joan kutoka malaba

  • @akwenyijoan8338
    @akwenyijoan8338 Před 3 lety +1

    Asante sana kwa simulizi, inanitia moyo sana, nakuamini sana ila wengi wamesimulia zao pia lakini kila mmoja alionyeshwa mambo tofauti

  • @robertmansfield331
    @robertmansfield331 Před 4 lety

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu!. Kweli you are truly blessed! Kwa vile maono haya na matukio uliyoyapitia ya kushangaza yanaendana na ya nabii Enoch na mitume wengine, ni wazi pasipo shaka yote uyasemayo ni kweli kabisa. nikiwa nimefatilia hatua kwa hatua na kwa makini yale aliyoyapitia Enoch mwenyewe kama yalivyoandikwa kwenye kitabu cha "the book of Enoch" ambacho ni kati ya vitabu vitakatifu vya "The dead sea scrolls" ambazo ni vitabu vinavyosadikika kwa ni vya apocryphal.. Nikimaanisha vilivyofichwa na haviaminiki. huku Wayahudi wakikipinga sana kwa vile mwana wa Adam "son of Man" ametajwa mara nyingi na pia utukufu wake. Kitabu hiki pia hakikuingizwa kwenye kwenye Biblia la agano la kale. Lakini malaika wote wakuu na kazi zao zimetajwa akiwemo archangel Michael, Raphael, Gabriel, Uriel, Saraqael na Raguel, kwa upande mwingine Pia the guardian Angels "watchers" hawa waliokiuka wote wametajwa kwa majina na vyeo vyao wakiongozwa na Samyaza kabla ya gharika ambaye yupo kifungoni akisubiri hukumu. Huyu katika narration yako umemtaja pia. Walioadhibiwa nae wametajwa kwenye kitabu cha Enoch ni malaika wakuu waasi: Azaziyel, Arakaba, Rameel, Kokabiel, Tamiel, Ramiel, Danel, Ezeqeel, Baraqijal, Asael, Armaros, Batarel, Ananel, Zaqiel, Samsapeel, Satarel, Turel, Jomjael, Sariel na wa chini yao kwa maelfu walioanzisha kizazi cha mchanganyiko wa binaadamu na malaika kwa kukufuru Mungu. Hawa kwa kutajwa ni viumbe "giants" wanaotajwa kuwa ni "Nephilims." kwa vile Biblia takatifu ina vitabu vingi na hadi kukamilika ni wazi "it was inspired by The most high God Almighty" hadi itufikie sisi. Swali langu: je hiki kitabu ni kitakatifu au la? kilisahaulika kwa makusudi? Au ni myths mojawapo. Maana kipo very detailed na adhabu zake za kutisha kama wewe mwenyewe ulivyoelezea.

  • @Summertm
    @Summertm Před 4 měsíci

    Yesu ni Bwana!

  • @jacintamakokha1522
    @jacintamakokha1522 Před 3 lety +2

    Amazing Testimony. Thank you Prophet for sharing this.

  • @Sarahsaid2648
    @Sarahsaid2648 Před 7 měsíci +1

    YESU NAKUPENDA❤

  • @truth7796
    @truth7796 Před 4 lety +4

    God can reveal to someone both side heaven and hell. God can show someone what is happening in Second heaven. Testimony is here to tech us and change our life

  • @sallymumia8425
    @sallymumia8425 Před 4 lety +2

    Hallelujah to the lamb of God, Jesus Christ

  • @3leggedbird222
    @3leggedbird222 Před 5 měsíci

    Ila Yesu siwezi kuisahau sura yake akiwa ameshika fimbo getini

  • @shalomkind4575
    @shalomkind4575 Před 3 lety

    I believe so much ..the more we pray the more our angels receive strength ,when we take up the whole armour n live holy in n out,our angels are also dress in full armour ,ameeen

  • @nancynancykarimi5593
    @nancynancykarimi5593 Před 3 lety

    I'm much tuned and I'm blessed with the testimony God bless

  • @nyotasandra1176
    @nyotasandra1176 Před 4 lety +1

    Naomba prophet azidi kutusaidia watu kama hao tupo,tunaona vitu hatuelewi,ata tunapo ulizia wenye kutusimamia makanisani hatupewi majibu,unaambiwa tu tutaomba,hivio tu,au unaambiwa msg hio si ya kwako,si lazima ufahamu!Tunahitaji msaada kutoka kwa wapakaliwa mafuta na Mungu!Mubarikiwe sana

    • @thewellministry9008
      @thewellministry9008 Před 3 lety

      Nitafute niko moshi nasi tunapata mafunuo kama hayo na kanisa
      Letu wote tunaonaga maono! Ndoto na mafunuo
      Mungu yupo nasi ana uwezo wote na nguvu zote !Anatenda hata leo !Tumwamini tu!

  • @floridamgina7131
    @floridamgina7131 Před rokem +1

    Ushuhuda huu umenifanya nikupende zaid YESU MFALME WA WA FALME NISAIDIE NIKUISHIE WEWE TAFADHAR

  • @annamrima5507
    @annamrima5507 Před 4 lety +1

    Ni neema ilioje jamani .....mungu akubariki kwa ushuhuda na azdi kuilinda karama yko

  • @mariamartin422
    @mariamartin422 Před 4 lety +1

    I praise you God🙏🏻🙏🏻

  • @evelynetitus974
    @evelynetitus974 Před 2 lety

    Asante Sana kwa ushuhuda nimebalikiwa sanaaaaaaa

  • @CynthiaAoko-hq1fg
    @CynthiaAoko-hq1fg Před rokem +1

    Truly God is far beyond our minds

  • @forjesus1382
    @forjesus1382 Před rokem

    Asante kwa ujumbe prophet nipo kenya would like to speak to you.naomba namba yake promover tv❤️

  • @thel-rdiscomingamen5407

    Glory to the Living God our Father and Jesus Christ our Lord and Savior

  • @faithkioko5705
    @faithkioko5705 Před 4 lety +1

    Amen God is faithful

  • @sadikimtega4135
    @sadikimtega4135 Před 4 lety +1

    Ni kweli ndivyo anavoonekana, nimemuona Kama x2 lakini kivingine so Kama hivyo uoivyoona Nabii

  • @user-tz9ic7jn4j
    @user-tz9ic7jn4j Před 4 lety +1

    Ubarikiwe mtumishi wamungu

  • @gracegerson9796
    @gracegerson9796 Před 3 lety +2

    Naombeni namba ya nabii David Richard. Nashida nae. Kuna vitu huwa sivielewi. Ktk ulimwengu wa roho.

  • @mercyetago4020
    @mercyetago4020 Před 3 lety +2

    Malaika hao wrote majina Yao yanaishia El.

  • @tajirikingking2619
    @tajirikingking2619 Před rokem

    Hapo at 8:13 Angel Micheal is ONLY in charge of his warrior angels & NOT all all the angels

  • @otiliahaule5180
    @otiliahaule5180 Před 4 lety

    Mungu akubariki sana mtumishi wake

  • @immanuelmwaipopo1605
    @immanuelmwaipopo1605 Před 3 lety +2

    Mmh husipokuwa makini unaweza ukamkosea Mungu eeh baba nifundishe kunyamaza maana

  • @sheillahwairai4691
    @sheillahwairai4691 Před 3 lety +2

    Truly, truly, I say to you, whoever believes in me will also do the world that I do; and greater works than these will he do, because I am going to the Father. John 14:12.thanks be to God. Thank you JESUS

  • @davidmihambo3051
    @davidmihambo3051 Před 4 lety +1

    Mpokeeni Yesu awe Bwana na mwokozi wa maisha yenu halafu mjazwe Roho Mtakatifu ambaye atatupa uwezo wa kuishi maisha matakatifu mpaka Yesu atakapo rudi kulichukua kanisa lake. Hayo mengine yote no udanganyifu tu wa siku za mwisho.
    8 Lakini mtapokea nguvu, akiisha kuwajilia juu yenu Roho Mtakatifu; nanyi mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, na katika Uyahudi wote, na Samaria, na hata mwisho wa nchi.
    Matendo ya Mitume 1 :8
    Yesu alisemaje kuhusu unabii kabla ya yeye kurudi kulichukua kanisa lake
    18 Namshuhudia kila mtu ayasikiaye maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mtu ye yote akiyaongeza, Mungu atamwongezea hayo mapigo yaliyoandikwa katika kitabu hiki.
    Ufunuo wa Yohana 22 :18
    19 Na mtu ye yote akiondoa lo lote katika maneno ya unabii wa kitabu hiki, Mungu atamwondolea sehemu yake katika ule mti wa uzima, na katika ule mji mtakatifu, ambao habari zake zimeandikwa katika kitabu hiki.
    Ufunuo wa Yohana 22 :19

    • @essiesqui5545
      @essiesqui5545 Před 4 lety

      May GOD forgive us, for we have sinned.false prophets are all over,

  • @kijamalale1380
    @kijamalale1380 Před 4 lety +1

    usijitambulishe acha mungu akutambulishe

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 Před 4 lety +1

    Ubarikiwe kaka naamini imetokea naomba namba yako Mtumishi katika jina la Yesu Kristo

  • @gabinessjeniffer653
    @gabinessjeniffer653 Před 3 lety +1

    Ameen

  • @MariaMaria-gq4kd
    @MariaMaria-gq4kd Před 4 lety +3

    Unarikiwe kaka

  • @khalidyasinkhalid5944
    @khalidyasinkhalid5944 Před 2 lety

    Hilo ni tatizo lipo ktk ubongo milembe aanze kuisogelea

  • @hebronsdaughter1661
    @hebronsdaughter1661 Před 4 lety

    Hakika kwa imani Mungu anatufungua kwa ushuhuda wako

  • @denismugisha2
    @denismugisha2 Před 2 měsíci

    Mimi huyu hanishangazi,..... ila Jactani sasa kwanini usipime shuhuda nyingine kama hizi????

  • @nyotasandra1176
    @nyotasandra1176 Před 4 lety +2

    Siku ya kufuata niliona njia ndefu kwa mbele ni kamuona kondoo,kisha nikasikia sauti ikiniambia eti,Yesu ndo njia ya kweli na uzima hakuna afikae kwa baba bila yeye,pia sauti hio ikasema eti yule ambaye atakae weza kuishinda dunia pia atakae vumilia hadi mwisho huyo ndie atakae rithi ufalme wa Mungu!So tunaomba prophet atusaidie kuna watu ambao tulikosa wakutusimamia ktk mambo ya kiroho,na hatujuwi tufanye nini

  • @benardmbalasi6325
    @benardmbalasi6325 Před 3 lety +1

    amen

  • @user-pe5fx7uu4n
    @user-pe5fx7uu4n Před 3 lety +1

    Amen

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 Před 3 lety

    Wavivu wakusoma vitabu vyamungu ndo watakuamini lakini mimi huniongopei ..nilikutana na mikael cjui nilkutanaalaika we nani unaleta usanii kwenye majumba yasanaa...mwisho wasiku unajipa jina prophet mhh mpuuzi mmoja mnakera

  • @lydiamichael5509
    @lydiamichael5509 Před 4 lety

    GLORY BE TO OUR LIVING GOD

  • @deboraleonard3441
    @deboraleonard3441 Před rokem

    Zichinguzeni izo roho jamani

  • @elizachama1229
    @elizachama1229 Před rokem

    Kitabu cha nabii David

  • @MariaMaria-gq4kd
    @MariaMaria-gq4kd Před 4 lety +1

    Ubarikiwe kaka

  • @credo7837
    @credo7837 Před 3 lety

    Ina maan Mungu anaupendeleo akupe wew tu🤔

  • @evelynlehnard3928
    @evelynlehnard3928 Před 7 měsíci

    😅biblia inasema kuwa ni aibu mwanamme kuwa na nywele ndefu...Yesu mwenyewe hawezi kuonekana kinyume na maumbile. Johana na Daniel walieleza kwa maona yao kuwa Yesu ni mweusi na nywele yake kama pamba.

  • @louisendunguru7106
    @louisendunguru7106 Před 2 lety +1

    This is deep…

  • @magwaza8904
    @magwaza8904 Před 3 lety

    Mimi sjaelewa Kuna ujumbe gani kwenye maneno yoko nijuze tafadhari

    • @rhodachanangula7734
      @rhodachanangula7734 Před 3 lety

      kuna ving vya kujifunza apa ukiachana na ujumbe, kwa mfano kama umesikiliza ushuhuda wake wa kwanza kazungumzia suala la kwamba kuna mbingu ya pili ambayo kazi yao n kuiba maombi ya watu dunian ambapo kabla hayajafika mbingu ya 3 na pia wanaiba majibu yanayotoka kwa Baba Mungu, kwa kwa haraka haraka kumbe ndomana tunayasindikiza maombi yetu na sadaka na n lazma tuyaombee majbu yetu ili iyo mbngu ya pili au anga la pili lisiweze kuiba majb na maombi yetu

  • @perismande7759
    @perismande7759 Před 3 lety

    Mtafute prophet Hebron anamatukio kama hayo yako huko Tanzania.

  • @medadiissa324
    @medadiissa324 Před 4 lety

    Yesu Kristo anarudi

  • @bonniebaraka
    @bonniebaraka Před 4 lety +7

    Huyu "Prophet" anasema anaweza tuma kimbunga kinachoambatana na radi na ngurumo na upepo n.k. Nadhani hapo watu wengi ndio wanapata hofu wameingia mitini, wanamuogopa, Nadhani itabidi aanzie kwangu hicho kimbunga chake amenichefua sana. Huyu ni mchumia tumbo tu, macho ku mchuzi. Kwanza napoteza muda hata kukaa hapa. Kuna mama mmoja hapa mtaani kwetu amepotelewa na Mama yake Mzazi na alienda kwa Nabii mmoja maarufu sana hapa DSM (sio huyu dogo) akaambiwa kwanza atoe elfu 20 kwa ajili ya appointment akatoa, halafu siku nyingine ili kumuona akatoa elfu 20 tena akaambiwa mama yake yuko hai ila ili amrudishe zinatakiwa atoke laki mbili (200,000/=) Huyu mama kazi yake ni kutembeza mboga kichwani mitaani kila siku na ananunua mchai chai kwangu anaenda kutembeza, mme wake nae yupo yupo tu. Hawa watu ni hatari, Hii ni comment yangu ya mwisho, hawa watu hawana huruma hatari sana. Hallo Jactan ebu mpe asome hapa huyu Bwana Mdogo, apate "Feed back"

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 4 lety

      Daah jmni...sasa mume wa huyo mama aliepotelewa na mzazi je? anafanya shughuli gani? alafu, mzazi wa huyu mama kesha patikana boss wangu? au bado

    • @boneface8311
      @boneface8311 Před rokem

      Umekuwa na muono kama wangu. Mm nimefuatilia ibada zake ni yale yale...
      Jactan shuhuda zingine muwe mnazipembua kwanza. Zinatutia moyo saana shuhuda mnazoziandaa lakini pia a angalieni msituchanganye. Huyu ndio wale wale tu. MUNGU BABA, MWANA NA ROHO MTAKATIFU wanisamehe katika hili maana nimeingiwa na mashaka saana.

  • @tameemothman8192
    @tameemothman8192 Před 4 lety

    God on u

  • @deddyabdullah252
    @deddyabdullah252 Před 2 lety

    Jesus is Lucifer ...
    Soma Revalation chapter 22 -16
    Na uone ukweli halisi

  • @michoumichelle7827
    @michoumichelle7827 Před 2 lety

    Naomba namba yako yasim prophete

  • @ithedavid8525
    @ithedavid8525 Před 3 lety +1

    Kuiona dunia kama mpiraaà

  • @kijamalale1380
    @kijamalale1380 Před 4 lety +1

    hatafu unanitesa unatikisa miguu hujamjua Mungu alivyo

  • @nancyazania632
    @nancyazania632 Před 3 lety

    Mfariji wa ajabu. Kweli ni kwaneema tu. Yesu Kila siku ni Bwana hata leo yeye ni Bwana.

  • @mhandosuzy6790
    @mhandosuzy6790 Před 4 lety

    Ameni

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 3 lety

    Jina la movie usisahau mjomba

  • @matheothomas1891
    @matheothomas1891 Před 4 lety

    Ila jamanii hiii dunia haya banaa

  • @officialK-looh
    @officialK-looh Před 3 lety +1

    Hii story inatisha Sana aisee..hasa ukiwa unalala peke yako

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 Před 4 lety +1

    Kanisa lako liko wapi? Barikiwa sana

    • @marymwikali1456
      @marymwikali1456 Před 4 lety

      Very very true

    • @prophetesspriscarichard
      @prophetesspriscarichard Před 4 lety

      Shalom,Kanisa liko sinza kilimani barabara mpya inyotokea Tandale kuelekea big brother Kwa mawasiliano zaidi piga +255758012068

  • @bethuelchrist1633
    @bethuelchrist1633 Před 4 lety +1

    Hivi hiyo miguu...

  • @leahorito6949
    @leahorito6949 Před 4 lety +1

    I need to speak to you because I have something to share plz...

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Před 4 lety +1

    ✅🎧

  • @mariannenyiranazemonie1731

    Malaika akikuchukuwa anakueleza ni wapianapokuchuwa akikutowahuku akikuchuwa anaeleza ni wapimunakwenda hatakama mutakutana na Yesu lazima malaika akufahamishembele ya wakati eti wakati wa kukutanana yesu ndiyihi kilaatuwayako malaika Kwanza siowewembele kwa kuwa haujuwi uendapo ni lazima uwena kiongozi ulienda India wewemwenyewe uliona India siyomalaika ndungu ona vizuri yesu hatishi namuna ya gorofa,apana yesu anautukufu no kweli Bwanamurefu tenasimurefusanazaidi tenasimunenezaidi sikama gorofa yeyeakijakwako hatishi fanyaangalisho unapoonamaono amandato kuna wa malaika wawili wa mungu na washetani ndungu shetani ni muongo Sana Sana.usiogope semayote hautakufa ya Toshautubuvizuri usiachenyuma mungu akujali.

    • @jeaninekabano9190
      @jeaninekabano9190 Před 3 lety

      Kabla yakutuma uwe unasoma ili utume mwandishi yanayo eleweka jitahidi 🙏

  • @godisgreat1845
    @godisgreat1845 Před 4 lety +2

    Ni wakati wa mama na mwana maana hata ndoto huwezi I kumbuka kama hivi nafkiria ni tafsiri ya movies za kihindi

  • @mariannenyiranazemonie1731

    Yesu haumwone uso unawezakumwona kifuwa hadiminguuni na kwa unyumawake yanimugongo utamwona muzama lakini uso la

    • @esaumahundi5076
      @esaumahundi5076 Před 3 lety

      Ktk kumona inategemrana amekutokea ktk mwonokano gani Kama atakupokea ktk utukufu utafanana na mwili wa mungu I ili huu wa asili usitiwe shoku inategemrana namwili ulionao

    • @magdalenapeter6106
      @magdalenapeter6106 Před 3 lety

      Kuna wanaopata neema hiyo usikatae lolote yeye apendalo hulifanya

  • @Gorethtvshow
    @Gorethtvshow Před 3 lety

    Uwongo

  • @yussufomar6531
    @yussufomar6531 Před 3 lety

    Were umuonho sana

  • @shalomkind4575
    @shalomkind4575 Před 3 lety

    Jamani naomba number ya huyu kijana mtumishi

  • @lovenesswalter6650
    @lovenesswalter6650 Před 4 lety +2

    Natamani niseme lakini naogopa 😂😂😂

  • @emmanelly6864
    @emmanelly6864 Před 4 lety

    Nikafika mbele ya Yesu vile anifungulie mikono kunipokea sidhani nawezataka kurudi.

    • @esterelias8189
      @esterelias8189 Před 4 lety

      Mimi nilivyomuelewa alienda kiroho sio mwili mzima live