Pt2_ALIYETENGENEZEWA KIFO CHA UONGO NA WACHAWI•AONEKANE AMEKUFA KWA AJALI KUMBE AMEFANYWA MSUKULE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024
  • JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.
    M-pesa Lipa Namba.5634017
    AirtelMoney Lipa No.3878783
    Namba za mawasiliano/kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 Majina ni Jacktan Msafiri
    Kama uko tayari kuwa mchangiaji wa kila mwezi jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp....
    PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO PIA UTAPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
    1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp....
    #ShuhudaZaPromoverTv #Ushuhuda #PromoverTV

Komentáře • 25

  • @user-tt7cu2et1x
    @user-tt7cu2et1x Před 4 měsíci +9

    Dah hi maisha buna 😢ukitulia wachaw wanakutafuta mara mapepo mara wanadam wenyew roho mbaya kwel nmeamni maisha bila YESU KRISTO n sawa bureee kabsaaa .kuokoka tu n kusmma ktk iman dhabiti .upambaniwe n YESU KRISTO ktka kipind cha majarbu.yko ..power of testimony ❤blessd kaka Audax n promover tv n kaka jacktan

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya Před 4 měsíci

      Kwakweli tunapambaniwa na Yesu KRISTO

    • @user-zb6yn2ou5d
      @user-zb6yn2ou5d Před 4 měsíci

      Kweli kabisa... tunaitaji wokovu Yesu Kristu atupambanie katika safari ya maisha.

    • @elizabethngallaba4422
      @elizabethngallaba4422 Před 4 měsíci

      Bure bure kabisa!! Yesu ndio ufunguo wa kila kitu

  • @PCharlzy-rr2iv
    @PCharlzy-rr2iv Před 4 měsíci +2

    Yanajenga imani zetu, yanatusogeza karibu na Mungu na zaidi sana yanatukumbusha ukuu wa Mungu wakati wote kwasababu Mungu habadiliki...Amen kwenu nyote mnaosikiliza Mungu atupe neema tukabadilike

  • @SuzyMuhando-yf8do
    @SuzyMuhando-yf8do Před 4 měsíci +3

    Mungu atusaidiye

  • @FlorenceAkinyi-rq3hx
    @FlorenceAkinyi-rq3hx Před 4 měsíci +3

    Waa napenda Huu ushuhuda.

    • @FlorenceAkinyi-rq3hx
      @FlorenceAkinyi-rq3hx Před 4 měsíci +1

      Niko Makini Sana, hata mm nimefunuliwa Jambo kama Hilo naonyeshwa kitu kama hicho Kwa mume wañgu.nitamtafuta snipe ushauri kid Dogo.

    • @HappyMwaigwisya
      @HappyMwaigwisya Před 4 měsíci +1

      ​@@FlorenceAkinyi-rq3hxYESU KRISTO akupiganie

  • @navokisembo
    @navokisembo Před 4 měsíci +1

    🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽

  • @MonicaKhamakhaya
    @MonicaKhamakhaya Před 4 měsíci +2

    Ahsante kwa mwedelezo

  • @amanijabari1
    @amanijabari1 Před 4 měsíci +1

    Kweli Neema ya Mungu ni Kubwa Sana yeye mda wote anatupigania Rohoni anatuepusha na Mengi tusiweza kuyaona kwa macho ya nyama

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Před 4 měsíci +1

    Ameeeeeen

  • @sarifusteven4634
    @sarifusteven4634 Před 4 měsíci +1

    Balikiwa mtumishi

  • @julianawanjala6495
    @julianawanjala6495 Před 4 měsíci

    Ushuhuda mzuri sanaa mbarikiwe sanaa mtumishi wa Mungu

  • @tumainigeofrey9702
    @tumainigeofrey9702 Před 4 měsíci

    MUNGU awabariki sana PROMOVER tv kwa utumishi huu unaotujenga sana kiroho wana wa MUNGU. Nadhani hii ni sehemu ya 3 na si ya 2.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 4 měsíci +1

      Amen asante.Tuko sahihi hii ndiyo part2

  • @Annsikoboy-ut8bs
    @Annsikoboy-ut8bs Před 4 měsíci +1

    Hii sio kazi rahisi wanayofanya Promover tv. Mulindwe kwa jina la YESU.

  • @StellaChristelle-hv8bh
    @StellaChristelle-hv8bh Před 4 měsíci

    Tuko pamoja katika jina la Yesu christo

  • @noellyaruu1807
    @noellyaruu1807 Před 4 měsíci

    Habari Jack tan na auddax erick naomba mfuatilie unyakuo TV nabii boniface victor

  • @annkim2690
    @annkim2690 Před 4 měsíci

    Wachawi jamani viini macho mara wawekee ubwa mara wawekee vigogo mzike mkidhania ni marehemu

  • @Nyawandaobonyo
    @Nyawandaobonyo Před 4 měsíci

    Next tafhathali

  • @rerisamba
    @rerisamba Před 4 měsíci

    Hii sio mambo na near death huyu alikua amekufa