JINSI MTOTO WA DAWA ANAVYOPATIKANA,INATISHA!-SHEHE OMARY MNYESHANI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 09. 2024

Komentáře • 127

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 Před 4 lety +5

    Atukuzwe Mungu wangu kwakuwa mganga hajawahi kugusa mwili wangu

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 Před 3 lety +2

    Damu ya Yesu itusaidie,Asante kwa ushuhuda huu nmebarikiwa saaana 🙏🙏

  • @leahenockmrina5381
    @leahenockmrina5381 Před 2 lety +1

    Yesu mwana wa Mungu uturehemu wanawake na vizazi vyetu

  • @erickykifaru1923
    @erickykifaru1923 Před rokem +1

    Ubarikiwe mtumishi

  • @lucasgasper5235
    @lucasgasper5235 Před 4 lety +5

    Duuuh!!!! Ni kweli kabisa nilishachanjwa ivo ivo

  • @babumrisha
    @babumrisha Před 3 měsíci +1

    kuna kitu nimejifunza, kumbe ili jini litokee linahitaji maandalizi sahihi, hio inamaanisha ili Mungu wa kweli akutembelee unahitaji kumfanyia maandalizi sahihi.

  • @zlfamz3540
    @zlfamz3540 Před 3 lety +1

    Kwa mungu kuna raha sana

  • @briansancedo9336
    @briansancedo9336 Před 3 lety

    Ubarikiwe mtumishi kweli wengi wanawatoto walio wapata kwa njia hii kweli sio watoto harali ni vipepo vya kimajini

  • @noelashaoona
    @noelashaoona Před 4 lety +1

    Mungu anilinde

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 Před 4 lety +2

    Nasubiri mwendelezo 🙏🙏🙏

  • @joycehojes8331
    @joycehojes8331 Před 4 lety

    Mungu akubariki sana

  • @tulialembao6718
    @tulialembao6718 Před 3 lety +1

    Sarawa

  • @feristerkumbuka1837
    @feristerkumbuka1837 Před 4 lety +1

    MUNGU atusaidie sana

  • @carolinetalam5832
    @carolinetalam5832 Před 4 lety

    Thanks for uploading

  • @frankbella4271
    @frankbella4271 Před rokem

    Yesu anatupenda

  • @faridashaban8853
    @faridashaban8853 Před 4 lety

    Amina

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 Před 4 lety +2

    Mmmh nasikiliza Lakin naogop!

  • @devothabishagazi2311
    @devothabishagazi2311 Před 4 lety +2

    Huyu shehe ana madini mengi,Jacktan mshauri aandike vitabu na atoe DVD na CD

  • @chamwinoduka7446
    @chamwinoduka7446 Před 4 lety +3

    huyu anawafndxha ili tucpende kwnda kwa waganga maan anatuelimisha ili tujue huko hakufai

  • @EngLex-vo7te
    @EngLex-vo7te Před 7 měsíci +1

    Hivyo ndivyo wale malaika waasi walivyozaa na binadamu

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 Před 4 lety +3

    Haya mafundisho yanamsaada gani kwa washirika.

    • @WinWilly4162
      @WinWilly4162 Před 4 lety +2

      Ndo ushangae badala afundishe neno la Mungu anafundisha mbinu wanazotumia waganga,anapromote uchawi

    • @lilianluhasi7685
      @lilianluhasi7685 Před 4 lety

      @@WinWilly4162 huyu anafundisha uchawi aliokuwa anafanya halafu anafundisha jinsi ya kuepuka na kupiga kwa jina LA Yesu Kristo kama umeshadhurika

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 Před 4 lety

      @@WinWilly4162 huyo anacho kiongea kinamaana sana kwa mtu mwenye kutafakari maana kuna watumishi wa Mungu wengi sana wanapenda kwenda huko kwa waganga wa kienyeji ukiwaambia mbona mnaenda huko watumishi wa Mungu utaambia Mungu amesema jisaidie nami nitakusaidia ko siyo dhambi kwenda kwa waganga wa kienyeji ko unafundishwa usiende huko Ahsante sana

    • @estasage5506
      @estasage5506 Před 4 lety

      Maneno haya haina maana. I'm extremely disappointed. I can't believe people think this is a testimony.

    • @estasage5506
      @estasage5506 Před 4 lety

      Should have stayed with pastor Gwajima in order to grow spiritually and give a quality testimony

  • @fadhili2293
    @fadhili2293 Před 4 lety +2

    Hayo mambo hata uislam hauyakubali, Sema ulikuwa mchawi tu na sio sahihi kuweka uislam kundi moja na uchawi.

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 Před 4 lety

      Unacho kiongea umekifanyia uchunguzi usije sema kitu usichokijua mbona sisi tunajua kama usitake ushirikiane toa vitabu hivi kitabu cha majini sura ya 72 na albadili pia itoe usipovitoa hivyo lazima uislamu usalimike maana hawawezi majini wakawa waislamu na waislamu wasiwe wachawi maana wanashirikiana na majini

    • @ramadhanwilbard8196
      @ramadhanwilbard8196 Před 2 lety

      @@lusekelomwinsasu318 Ww ndoo hauna Elimu na hata uelewa hauna!

  • @daudmaikomwakapoma213
    @daudmaikomwakapoma213 Před 4 lety +5

    Huyu mtu nimemfuatilia saana lakini hajawahi sema sababu iliyompelekea KUOKOKA
    Naomba siku nijue kutoka kwake

    • @tumainigeofrey9702
      @tumainigeofrey9702 Před 4 lety

      sababu ni ya nini? kwani amekosea?

    • @reubenbusanji2904
      @reubenbusanji2904 Před 4 lety +1

      Ukiifahamu kweli itakuweka huru. Alipoifahamu kweli akaokoka.

    • @mbithejustus246
      @mbithejustus246 Před 4 lety +6

      Alisema, walienda kufanya ushindani wa uchawi, lakini jina la Yesu ikitajwa, hanapata shida sana, (angalia video ya ufufuo na uzima kwa CZcams) utapata ushuhuda wake

    • @euniceeunice7680
      @euniceeunice7680 Před 4 lety +1

      Tafuta ktk account ya gwajma utamuelewa kipindi iko yupo kijana mdogo

    • @alexdalali4599
      @alexdalali4599 Před 4 lety

      @@tumainigeofrey9702 czcams.com/video/FCeZjpGzBsA/video.html

  • @samuelnduati9792
    @samuelnduati9792 Před 4 lety +1

    Hakika shetani anajua kutuchezea kweli.

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 Před 4 lety

    Mungu tutetee na hawa watu wabaya,tulinde na utupe imani.

  • @emanuelmathew3067
    @emanuelmathew3067 Před 4 lety +3

    Ama kweli waisilam wanatakiwa waokoke, Duuu! Kumbe dua same time wanaitaga majin

    • @allyawadh8492
      @allyawadh8492 Před 4 lety +3

      Sasa kama mafundisho yenyewe ndio hayo ya kichawi hatagwi mungu hata kidogo kweli kuna mwislamu yoyote atatamani kuwa mkristo kweli? kwasababu ninachokiona hapo huyo jamaa anachofundisha ni uchawi tu lkn kwa upande wa wakristo wanaona huyo jamaa kazungumza mambo makubwa sana harafu nyie wakisto mnaonekana mnaabudu sana mambo ya kichawi kila unayemskia hata wale wanaejiita mitume na manabii feki ni mambo yanayohusiana na mambo ya majini mambo ya kichawi mnaonekana wakristo wengi mnamatatizo ya mashetani nahawa jamaa wamejua kusoma nyakati hizi tulionazo ndomana kila. mkristo anatoa mapepo wanamafuta ya upako maji ya baraka wanatoa utajiri tena walivyo waongo wanasema mambo hayo wanayafanya kwanguvu ya yesu kumbe wanaingia maagano na mikataba ya shetani yaani wanakwenda kununua uchawi kwagrama yoyote harafu anafungua kanisa baada muda mfupi tu utamuona kashakuwa tajiri, yaani wakristo mnatapeliwa sana bila ya kujijua kwa sababu ya tamaa.

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 Před 4 lety

      Sio kweli huo ni uzushi musijue ukweli fanya utafiti wako binafsi utajua ukweli wacha kuskiza hawa wezi

    • @gladnesssidiu4922
      @gladnesssidiu4922 Před 3 lety +2

      @@allyawadh8492 Vita vyetu si vya damu wala nyama
      Tumepewa jukumu la kupigana na hila za shetani kwahiyo uchawi na uganga ni moja ya hila za shetani ndo maana tunapigana nazo
      Waislamu ndo wengi wamevamiwa na hizi mambo na mnaona sawa tu

    • @MishiPapalan
      @MishiPapalan Před 3 lety

      Uyo hana ushekhe wowote arikuwa mchawi kachaa sasa kamuwa atafute kiki aongope yeye shekhe kaokoka hajuwi haya atamoja hapo alipo shekhe gani huyo mchawituu acha awatapeli wakirisoto wasilamu hawaburuzw wange mpiga maswali tena yatoki kwenye kitabu

    • @gressjoseph5615
      @gressjoseph5615 Před 3 lety

      @@MishiPapalan haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa anajua zote hizo aya sema ujamfatilia toka mwanzo

  • @andersonchongoma1723
    @andersonchongoma1723 Před rokem +1

    Mahali ambapo biblia haitumiki hapo ukriasto HAUPO ....na aina hii ya wafuasi hawatakuwa waislamu wala wakristo bali waganga wa JADI....sasa wanaobarikiwa ,nn kinawabariki...

  • @mwimbajinamwalimujaphetgeo1718

    Ushuhuda NI JINSI gani aliokoka, tafuteni clip ya kwanza zimo himuhumu ndani.

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 Před 4 lety +1

    Kanisani siku hizi mnafundishwa uganga tena!!!

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 2 lety

      Hii miaka ndo Injili,kila anayeokoka toka uchawi anakuja kutoa sera zake

  • @benwater4957
    @benwater4957 Před 4 lety +1

    Balaa duniani 😣

  • @richardkaogo3433
    @richardkaogo3433 Před 4 lety +1

    Alikutana na nn mbaka anaokoka?

  • @samhuyunimsaniiharuna7499

    Huyu. Ni. Msanii anaongopa. Kua. Yeye shee. Ili wakristo wamuamini.

  • @adamgobega1946
    @adamgobega1946 Před 4 lety

    Kweli mola atupiganie

  • @yustakipenyakipenya9117

    Binam yangu alienda kwa mganga akaambiwa aoge maji yanayotembea yaani aogee hapohapo anunue sufulia mpya na hela ya sarafu aviache kwenye maji nilimsindikiza mtoni je kunamadhara naweza kuyapata mimi niliyemsindkiza kuoga japo sikujua anatatzo gani mpaka kwenda kwa mganga

    • @festokapela4833
      @festokapela4833 Před 4 lety +1

      tatizo lipo maana umeshiriki kumsindikza. soma hesabu 25:1-7

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka4319 Před 4 lety

    Mimi nashangaa mtu eti anajivunia kuwa muislamu kwa kweli shetani kajipatia

  • @maryammaryam5789
    @maryammaryam5789 Před 4 lety +2

    Jacktan tunaomba Nmber za shehe

  • @alikhamisog3422
    @alikhamisog3422 Před 4 lety

    innalillahi wa innalillahi rajiun

  • @irenemangoina7848
    @irenemangoina7848 Před 4 lety +2

    Makubwa

  • @estasage5506
    @estasage5506 Před 4 lety +1

    Mtumishi went to unnecessary details za kuchanja instead of going straight to the point. May be he needs a mentor to explain how to give testimonies. Should have just summarize of how getting a child from witch doctors is evil, a hassle and a mistake. But all the details are not a part of a spiritual. breakthrough.

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 Před 2 lety

    Huyu Bado hajaacha kabisa,Msibweteke Wakristo,

  • @lightm2225
    @lightm2225 Před 4 lety +3

    Tunamba ushuhuda kwaza na. Atumie bibilia kufundisha nahilokanisa likowapi

  • @chancelinechuchu7333
    @chancelinechuchu7333 Před 4 lety +4

    nivizur mtupe ushuhuda wake kusema aokoke

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 4 lety +1

      Ushuhuda utakuja

    • @susynjambi
      @susynjambi Před 4 lety +1

      @@PromovertvTz ndio tunangoja.ungetupea hio kwanza ndio tuelewe kule ametoka

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 4 lety +1

      @@susynjambi Haya mafundisho yamejitegemea kabisa hayahusiani ya ushuhuda wake japo kuna kufanana.

  • @magdalenamatiko9995
    @magdalenamatiko9995 Před 4 lety +1

    Huyu in sheikh omari alietoa ushuhuda kwa Gwajima miala hy io au

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 4 lety

      ndiye

    • @shaloboy3861
      @shaloboy3861 Před 4 lety

      Huyu c sheikh ni mganga

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před 2 lety

      @@shaloboy3861 alikuwa shekh na mganga wengi ni wale wale maana Dini inaruhusu haimtengi akiwa mganga au mchawi na hasa mchukia Mkristo

  • @chumachadollar5917
    @chumachadollar5917 Před 4 lety

    Jitahidi uwe naweka number maana video zinachanganya

  • @sosom14
    @sosom14 Před 4 lety +2

    Twambiyeni alivo okoka please

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 4 lety +1

      Subiri ushuhuda wake

    • @hairesellasie1667
      @hairesellasie1667 Před 4 lety

      @@PromovertvTz Kaka umeshaupload ushuhuda wake?

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 4 lety

      @@hairesellasie1667 bado

    • @hairesellasie1667
      @hairesellasie1667 Před 4 lety

      @@PromovertvTz nashukuru kaka, pia ilikuwa vizuri kama ungekuwa unazipa shuhuda namba ili kuturahisishia kujua mpangilio wake, Mungu akubariki na kukufungulia milango kwa kuifanya kazi yake, Amen.

    • @PromovertvTz
      @PromovertvTz  Před 4 lety

      @@hairesellasie1667 Shuhuda zote zina namba,angalia kupitia playlists ndo utapata mtiririko mzuri

  • @khamisrajab6663
    @khamisrajab6663 Před 4 lety

    Futa jina shekhe

  • @annamaryladislaus6377
    @annamaryladislaus6377 Před 4 lety +1

    Uyu mi ata simuamini niporojo tu ajui ata kutumia bibilia uyu

    • @Baba-JJ
      @Baba-JJ Před 4 lety +1

      Anajua ila nafikiri anachokielezea hapo hakina au kina nukuu chache sana kwenye biblia. Mfuatilie vizuri kwenye ushuhuda wake. Ameokoka siku nyingi sana nafikiri zaidi ya miaka kumi iliyopita na anafanya huduma.

    • @lusekelomwinsasu318
      @lusekelomwinsasu318 Před 4 lety +1

      Usitake umuelewe kilazima maana kuna watu hawatamwelewa na kuna wengine watamwelewa atakaye muelewa atajifunza mengi sana na kuanzia hapo atasimama na Mungu kisawasawa Mimi nitakuibia kidogo maana yake acha kumtegemea mganga wa kienyeji maana mganga hana msaada wowote kwako mnadanganywa na waganga bali mtegemee Mungu tu huyo ndo yote Katina yote Ahsante kwa yote Mungu awe anakupa ufahamu wa kuyaelewa maneno kama anavyo kupa ufahamu WA kusoma biblia na kuielewa mistari yake

    • @annamaryladislaus6377
      @annamaryladislaus6377 Před 4 lety

      Atakama alikuwa anaabudu na gwajima gwajima mwenyewe anamapungufu yake sio malaika adi akamilike hivo hivo uwezi jua yaliyo mpaka yeye aliyeko sirini mungu mwenyezi ndiye anamajibu yote ya maswali yetu

    • @estasage5506
      @estasage5506 Před 4 lety

      @@Baba-JJ Kweli. Anazungumziya details hazihitajike wakati za kutowa ushuhuda. Ndiyo mana maombi ni ya lazma kabla ya ushuhuda

    • @estasage5506
      @estasage5506 Před 4 lety

      @@annamaryladislaus6377 Gwajima wetu ni muombaji

  • @rosecruiz4348
    @rosecruiz4348 Před 3 lety +1

    Shehe mnyeshani kumbe una kanisa yako

  • @frauleinbergerjaneaika4872

    Halijuaje yote ayaaaaaaaa? Eh!

    • @marykibwana9413
      @marykibwana9413 Před 4 lety +1

      Alitoa Ushuhuda kwa Askofu Gwajima search shehe Omary kwa Gwajima " CZcams"

    • @briansancedo9336
      @briansancedo9336 Před 3 lety

      Nenda you Tube Andika Ostadhi Omary utajua jinsi alivyo okoka maka sasa

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 Před 4 lety +2

    Kumbe wewe umeokoka? sijaelewa!!!

  • @blessedlovedandfavoured4129

    Nashangaa shetani ni mchafu.... Very disgusting.. Haya Maisha bila yesu unarisk tu

    • @abdullatifshambe280
      @abdullatifshambe280 Před 4 lety

      Without holiness no one can see God ZION DAUGHTER hivi na akili yenu mganga wa kienyeji mnamwita shehe huyu ni mshirikina tu na uislamu unafundisha kila mshirikina makazi yake motoni

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan Před 3 lety

    Sasa ndio mnaabudu hapo mana kanisani hahahaaaaa au kilingeni hapo