Muuza madafu ikulu ni Komando? A trend akifananishwa na komando kwa akishuka kwa kamba na helicopter

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 04. 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
  • Zábava

Komentáře • 493

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 Před 17 dny +78

    aliyesanuka em agonge like hapa

    • @user-bv3zj1le5q
      @user-bv3zj1le5q Před 15 dny +1

      Niyy muuza madafu hakuna ubishi lakini awezi kukubali kamwe

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Před 16 dny +14

    Mission completed 👏👏👍
    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 17 dny +39

    Msione ajabu wala msishangae, haya ni mambo ya ki-intelijensia 😂😂.MAJEDA OYEEE TANZANIA 🇹🇿 THE BEST

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před 17 dny +20

    Mama anajichekea tu😂ngoja na mimi nicheke😂😂😂😂 iloveyou Tz yangu ❤

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 Před 17 dny +27

    We ukauze madafu ikulu mchezo,haha ila ww jamaa ni noma sana

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před 17 dny +53

    Umeona mama samia anacheka kakumbuka siku ya madafu

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 Před 13 dny

      😂😂😂😂

    • @kennedykassian5269
      @kennedykassian5269 Před 13 dny

      Tena clip ya mtangazaji wa milllard akimuelekeza aweke silaha vizuri yaan ni yeye na jamaa wana uwezo hata wa sauti kubadilisha

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j Před 17 dny +20

    Am a Kenyan ❤❤❤❤ i really love this 😂

  • @TheJackriss
    @TheJackriss Před 12 dny +1

    Wamefanana tu ila sio yeye😂😂😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 15 dny +2

    Serikali yetu nzuri haswaaa ina ulinzi mzuri sanaaaa

  • @user-ix9zu1zk5c
    @user-ix9zu1zk5c Před 17 dny +12

    😂😂😂 ndio yeye sauti ina echo tu, ila zinafanana, tue makini

  • @pascalmanyama2304
    @pascalmanyama2304 Před 17 dny +24

    Du!,tena full commando,kuna la kujifunza hapa,hasa wale wenye dharau kumuheshimu kila umuonae mbele yako ni jambo muhimu sana.

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před 16 dny

      Ndio

    • @Allybinamour
      @Allybinamour Před 16 dny

      kweli kabisa

    • @mhinajerome5964
      @mhinajerome5964 Před 15 dny

      Umeongea chamaana sana niliwahi saidiwa namtu nisie mjua sehemu ngumu sana kumbe jamaa ananijua nayeye niwalewale

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Před 16 dny +13

    Tanzania wapelelezi wapo Kila mahali, yaani "ulipo tupo", ni kiasi Cha sisi wananchi kuchunga ndimi zetu na kuheshimu Kila mtu

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Před 16 dny

      Na Hiyo pia isiwafanye mjisahau kwa kujiona mmemaliza kila kitu "Huwa Allah junudu mafisamawati wal~Ardhwi" Bi maana Allah yeye ndiye mwenye majeshi Angani na Ardhini. unaweza kulindwa Sana na mwisho ukafa Nyuki au Siafu tu. Tendeni haki na mema sio kukandamiza watu Kisha mnaendelea kujitukuza.

  • @drdd774
    @drdd774 Před 16 dny +9

    Mpaka mtu anasema kama mazoezi na kareti anafanya mnashindwa kujiongeza

  • @alexandermanase8956
    @alexandermanase8956 Před 17 dny +41

    Huyo anaekataaa nae inawezekana ni usalama wa taifa😂😂,, ila nimependa Sana mbinu za jeshi letu.. ukauze madafu Bure Bure ikulu,, thubutu,,,,,, Sasa usalama mbadilishe mbinu hii tushaijua😂😂😂... Komando muuza madafu oyeeeee

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l Před 17 dny +13

    Tena ni captain halooo

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite Před 17 dny +25

    Natena nikiongonzi kabisa daah 😅🔥

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q Před 17 dny +37

    Sio rahisi kwa raia wa kawaida kupelekwa ikulu inawenyewe hiyo ww fikiria kwa akili ndogo uangue dafu Rufiji ambalo halijahakikiwa akapewe Rais wa nchi mliona wp sisi tuliowajanja tunajua

    • @MubaAlly-gd5jg
      @MubaAlly-gd5jg Před 17 dny

      saw kabisa

    • @user-vd1vx1dc8p
      @user-vd1vx1dc8p Před 15 dny

      Jamani tunakiharibu kiswahili chetu badala ya kuandika sawa kabisa unaandika "saw kabisa" ukitafsiri inakuwa "aliona kabisa"

    • @Swahili14
      @Swahili14 Před 15 dny

      ​@@user-vd1vx1dc8p😂
      Native speakers use informal speech and slang

    • @anacletferuz4954
      @anacletferuz4954 Před 14 dny

      Mbona ulikua haujasema kama ulijuwa😊

  • @MubaMgaya
    @MubaMgaya Před 17 dny +6

    Kwapembeni namwona mjomba hija khaji mgumya one love jombi

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Před 15 dny +2

    Huu mtindo wabadiri maana dunia ikombali sana sasa huyu jamaa hawezi ishi tena kwa amani nakufanya kazi yake kwa weredi maana kila mtu mwenye anajua alichokifanya atakuwa anamuogopa kikubwa hawa jamaa wauza madafu wengi niwatu wa mipakani kupitisha watu wabaya nirahisi sana ndio maana wanakuwepo komandoo elewa huyu nikiongozi wakikosi nayuko nao aisee hii in big up sana

  • @FredMlelwa
    @FredMlelwa Před 2 dny

    Mungu ibariki Tanzania.🇹🇿🇹🇿

  • @agnesmndolwa6245
    @agnesmndolwa6245 Před 17 dny +33

    Ni yeye Kwa sababu wakati anahojiwa alijichanganya kwamba anaweza karate,hakuna muuza madafu wakusema anaweza karate

    • @jizzotheking9238
      @jizzotheking9238 Před 17 dny +3

      Acha ushamba karate anajifunza mtu yeyote yy alichosema nikwamba hvyo vitu anaviweza kwan mbn mm nacheza judo mieleka na karate??

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya Před 17 dny +1

      Ni yeye

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 16 dny

      Wewe kweli mshamba

    • @agnesmndolwa6245
      @agnesmndolwa6245 Před 16 dny

      @@Mpakauseme ushamba umetokea wapi hapo tena

    • @YustaMfugale
      @YustaMfugale Před 16 dny

      Hyo karate alijifunza lin make kasema ye ni mwanafunzi wa chuo na umri umesoma namba so pouw

  • @user-er8qt4rx8n
    @user-er8qt4rx8n Před 17 dny +10

    mama mweenyewee anafurahi heee huyu si yule muuza madafu itakuwa hata yeeye alikkuwa hajui hili

    • @elizanyange2010
      @elizanyange2010 Před 16 dny

      Mama anajuwa hiv unafkiria wangekua watu wakawaida wangeruhusiwa kuingia ikulu kirahis rahis

    • @stanchi138
      @stanchi138 Před 12 dny

      Muuza mafafu gani ata kofia hakuivua ikulu,,,,,serikali ina mkono mref,

  • @CruzchicagoNyandindi
    @CruzchicagoNyandindi Před 15 dny +2

    Mama abakie yy tu ikuru miaka yote nampenda sana rais wng

  • @AlexMumoMalonza
    @AlexMumoMalonza Před 17 dny +28

    Acheni kufichua siri zenu za kijeshi!!! Adui atakua na kazi rahisi kuwafunika

    • @devanse9718
      @devanse9718 Před 16 dny

      KAZI YA NYOKO

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Před 16 dny

      ​@@devanse9718Ukweli ndio huo

    • @United-Bantu-People
      @United-Bantu-People Před 16 dny

      it means dont underestimate Tanzanians

    • @mhinajerome5964
      @mhinajerome5964 Před 15 dny

      Nafikiri hii sasa jeshi lijiongeze kutokana na technology maana wengine huficha sura kwakuwa niwatu wanaojulikana sana mitaani so wabadiri mbinu

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Před 17 dny +10

    Ndo mana pembeni wanacheka😂😂😂

  • @mussachessa6404
    @mussachessa6404 Před 17 dny +20

    Yes hata huyo jamaa wapembeni ndie yuleyule walie kua pamoja kupeleka madafu Ikuru. huyo alievaa kitambilisho

  • @davidmigoha1706
    @davidmigoha1706 Před 16 dny +3

    Kama watu tofauti basi andaeni interview wote wawili wawepo I will pay

  • @janetlazarus-kv7rg
    @janetlazarus-kv7rg Před 17 dny +29

    Sio yeye wanafanana tu hata sauti zao hazifanani wabongo bwana😂

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Před 17 dny +2

      Hpn ni yy, rudia yl maijiano utagundua kitu, alikua anajikanyaga kwenye maswali mengine, ujue kuukataa uhalisia wk ni kz.

    • @subiransasi8029
      @subiransasi8029 Před 17 dny +1

      Sauti hiyo ni kwenye maic

    • @paulmafuru7283
      @paulmafuru7283 Před 17 dny +1

      Hapo anaongea kwa ukakamavu mzee ,mwanajeshi mtaani n tofauti na kazin sauti zinakuwa mbili tofauti

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 Před 16 dny +2

      Ndio yeye %98 kama unabisha basi nawe ni mmoja wao we muuza madafu unapata wapi muda wa mazoezi 😂

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior Před 16 dny +1

      MWAMBA NI YEYE 99%

  • @MichaelCNtaho
    @MichaelCNtaho Před 16 dny +15

    Ukitaka kujua ni yeye mwambie huyo mwandishi akamtafute tena pale kijiweni alipokuwa ana uzia madafu kama atamkuta..

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 Před 16 dny +2

    😂😂😂 wabongo bana mnachunguza sana mnataka msipate tena madafu.

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba4474 Před 16 dny +2

    Sio yeye muuza madafu akiongea analamba ulimi lakini huyo commando halambi ulimi huo ndio utofauti wa kitabia halisi sisi wapelelezi tunajua hilo Tanx saaaaana kwa kufananisha

  • @kutailass6671
    @kutailass6671 Před 16 dny +8

    Sio yeye tena hata hawafanani kwa sura pengine tumfananishe rangi tu lkn ni watu wa2 tofaut kabisa

  • @user-sy1vv6ej1m
    @user-sy1vv6ej1m Před 17 dny +5

    Sisi tuliosoma Cuba 🇨🇺 tulishamjua tangia siku ile ndio mana mnaambiwa msizarau watu

    • @aliferuzi1537
      @aliferuzi1537 Před 17 dny

      Hata hivyo tunaoelewa nadharia tulipinge suala HILI LA kumfunua mtu majani hasa waTu nyeti KWA taifa watu kama Hawa hata ukimjua umuachie sio kumtungia, stori

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před 16 dny

      Umesoma Cuba ata kumtambua mtu huwez tizama pua tu hizo ndio zitakwambia kama ni watu wa wili tafaut

  • @jillydezanzibar4435
    @jillydezanzibar4435 Před 16 dny +2

    Mi sijui kufananisha ila huyu sio yeye" Tusitake kuheadlines

  • @amosdesdery8482
    @amosdesdery8482 Před 16 dny +4

    Mkimpata Tena Niko paleeeee😂😂😂😂😂😂

  • @micophilemon2080
    @micophilemon2080 Před 13 dny +1

    kwenye facial recognition tunaangalia paji la uso, mashavu kidevu, mkao wa pua, ukimchek mwamba pua hahhaaa ikulu sio kila mtoto wa baba ananda eeh

  • @JamilaShabani-oj9rt
    @JamilaShabani-oj9rt Před 14 dny +1

    Mungu awe nanyi makomando wetu😊❤❤❤

  • @user-kn8pw7vk4e
    @user-kn8pw7vk4e Před 16 dny +2

    Sio yeye 100% hamuoni ata sura ni tofauti

  • @SamsonKena
    @SamsonKena Před 3 dny

    Dar anaweza mungu amri nde.

  • @ElizeusDadira
    @ElizeusDadira Před 17 dny +1

    Unaweza mungu akuzidishie

  • @jakalwambemanyalla6287
    @jakalwambemanyalla6287 Před 17 dny +5

    Mpaka sauti

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před 17 dny +2

    Mwenyewe bana

  • @saidothman6342
    @saidothman6342 Před 16 dny +2

    Kama ingekuwa issue ya Usalama tu basi rahisi kuamini ila hapo anananisibishwa na na huyo kiongozi wa Makomandoo aliyeshuka kwenye helicopta hapo...kwa akili ya kawaida tu Kiongozi wa makomandoo tena Kapteni wa jeshi atapat wapi mda wote huo wa kukaa pale Salenda kuuza madafu...ingekuwa amenasibishwa na usalama wa taifa hapo ingeingia akilini

  • @EmmaSimukoko
    @EmmaSimukoko Před 16 dny +1

    🎉🎉😂😂

  • @ngalukomcharo9841
    @ngalukomcharo9841 Před 17 dny +10

    Ukitazama vizuri pichani siku akiuza madafu body posture inaonesha kabisa ni mtu mwenye military skills.

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Před 17 dny +12

    Niyeye aisee ucje uka mdharau mtu ndomaana yake

    • @hellennehemia9269
      @hellennehemia9269 Před 17 dny

      Kabisa

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před 16 dny

      Au ukataka kupigana na mtu njiani usiyemjua mm nashangaa wewe minazi na madafu wazaramo madafu wanauza waha😂😂😂

  • @user-yy6gf4my9f
    @user-yy6gf4my9f Před 17 dny +10

    Asante sana ESPERARENCE de TUNIS sisi yanga tumefurahi sana

  • @user-vl1yt4nb9o
    @user-vl1yt4nb9o Před 16 dny +4

    Achana na sura hata sauti ni ile ile ya kuuzia madafu

  • @adamrajabu231
    @adamrajabu231 Před 17 dny +7

    MUOGOPE SANA MUNGU NA KIASI IOGOPE TECHNOLOGY 😂😂

  • @shabantitus3094
    @shabantitus3094 Před 16 dny +1

    Now time ajira ni ngumu mpaka COMMANDO anaamuwa kuuza madafu
    Gonga like basi mbona unapita tu 😂😂

  • @exclusvetztv9011
    @exclusvetztv9011 Před 16 dny +2

    Nanukuukwa marehemu ruge mtawba : ugopa sanaa digital 😂😂😂😅😅 usiongepeee utakamatwaa tuu tuu na record hizi sio zana za miaka 10 iliyopita

  • @user-wb1fg1fk8o
    @user-wb1fg1fk8o Před 17 dny +1

    Kweli video nimeyiludia malanyingi niyeye mungu amutiyenguvu kwanyota yake😊

  • @lawamajohn2303
    @lawamajohn2303 Před 16 dny

    Proud of my tz ❤❤

  • @mcmrtichaentertaimentgudi7331

    Sijui unaona🕺💃

  • @jamalabdillahi3575
    @jamalabdillahi3575 Před 17 dny +1

    Pia Kuna komando muuza mkaa 😂😂😂😂

  • @elreina
    @elreina Před 14 dny +1

    Sauti hazifanani kabisaaa hawa watu wawili tofauti

  • @user-ft3mb2pl7c
    @user-ft3mb2pl7c Před 17 dny +4

    Ni yeye kabisaaaaaaa!

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před 17 dny +2

    Lkn hata mwandishi mambo kama HAYA sio ya kufatilia mtu aliejifunika majani usoni mnaharibu Sana ila KWA sababu SERIKALI LABDA Imenyamaz WAANDISHI mambo mengine nyeti mskone natoa story MNAKOSEA nchi

    • @HamisTerry
      @HamisTerry Před 17 dny

      Uko sahihi matumizi mabaya ya habari

  • @iddmussa3763
    @iddmussa3763 Před 16 dny

    km ni yeye basi ujue swala la kupeleka madafu halikuwa bahati mbaya na swala la yeye kuonekana hapo km kiongozi pia sio bahati mbaya yani kila kitu kimepangwa
    ila wamefanana zaidi jaribu kuangalia facial features mfano fupa la shavuni utaona kuwa ni tofauti ila utafauti huokwa jamii ya watu hao unaweza ukawa wa kutengeneza pia
    tujaribu kusikiliza vocal - ila ya huyualiekuwa anaongea kwa mic huipati vizuri ila up and down za sauti kmzinataka kufanana ila yote kwa yote big up kwa vyombo vyetu

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Před 13 dny

    Huyu jamaa anatochora anataka kutufanya hatujui kitu wakati ni yeye 😂😂😂😂

  • @meshackmwamasimbi1461
    @meshackmwamasimbi1461 Před 13 dny

    Nyota 3 huyu ni moto hatujichanganyi kamwee😅😅😅

  • @user-ds3os5qv4o
    @user-ds3os5qv4o Před 13 dny

    Mtazameni vizuri huyo komando alie mbeba mwenzie huyo sasa ndie muuza madafu😅 zoom

  • @JustusMackenzie
    @JustusMackenzie Před 16 dny

    Well done bro I like it

  • @AbdulyMaga-ct9uy
    @AbdulyMaga-ct9uy Před 15 dny +1

    Ila watu😂😂😂😊

  • @user-gm1pu8zl7z
    @user-gm1pu8zl7z Před 16 dny

    Siioni sababu ya kulitangaza sana jambo hili kama la ajabu sana.
    Mbona ni kama tunajidhalilisha sana ? Na isitoshe kujifunua Kwa maadui. Atakuwa kwenye wakati mgumu sana kwenye kutekelezanmajukumu yake.

  • @user-pv2ez1nd3h
    @user-pv2ez1nd3h Před 17 dny +2

    Ndiyeeee mbwana kabisa

  • @albastarmkawa-gx8pg
    @albastarmkawa-gx8pg Před 17 dny +2

    Wenda atachamoto alikuwa nacho ilesiku anauza madagu

  • @aikaM74
    @aikaM74 Před 15 dny

    Eti hapa village,, muuza madafu kabisa aseme village?? 😂

  • @Mwl_Sanga
    @Mwl_Sanga Před 15 dny

    mbona sauti zipo tofauti sana

  • @foundationforcommunityhope7327

    Hii ndio Tz ..... unaweza ukakaa au kuwa pamoja na mtu akiwa kawaida lakini kumbe ...

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw Před 16 dny +1

    kweli ten at me melud kuangalia tena 😂😂

  • @HermanNtahilaja
    @HermanNtahilaja Před 14 dny

    Jamani huyo siye yeye kwa kuwa wengine tunatoka kijiji kimoja katika wilaya yaBuhigwe. Tumwombee pengine serikali imuone imeendelezwa kwani anao kaka zake wawili wa baba mkubwa wake wote ni wanajeshi

  • @sulemanmuyomba3524
    @sulemanmuyomba3524 Před 15 dny

    Mkimpata wa pili mtakuwa mmemaliza utata

  • @dannykimoko9293
    @dannykimoko9293 Před 14 dny

    Ndio huyo huyo alieshuka na elkopta huyo ni usalama tena komando.yaani uende ukauze madafu ikulu kirahisi no ngastuka meku.

  • @mdosephayta8075
    @mdosephayta8075 Před 8 dny

    😂😂😂bongo sihami

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před 16 dny

    Ayo Mambo Sio Ya Kucholesha Sana Kwenye Mitandao Nazani Inatosha Wana Habari Kuchimba Ayo Mambo Angalieni Mengine

  • @MeenaHassan-fd9vv
    @MeenaHassan-fd9vv Před 15 dny

    Nilikuwa napenda sana niwe mwanajeshi niilinde nchi Yetu Tanzania

  • @jameskamau8438
    @jameskamau8438 Před 16 dny

    Mimi mkenya nko hapa kusoma kiswahili chenyu chapendeza 😊😊

  • @user-wd4xl5cl4y
    @user-wd4xl5cl4y Před 17 dny

    Ndiye

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před 17 dny +3

    Ni yeye banaaaa

  • @DelightfulMacawBird-tl5hf

    Wengi wao Hua usalama au majeshi

  • @rassjouker1257
    @rassjouker1257 Před 12 dny

    Kiukweli wamefana lakini upande wa sauti hawajafanana kabisa je anabadili sauti ili sie tusimjue or

  • @Dasa_Media
    @Dasa_Media Před 16 dny

    Which country is this

  • @jamesgasper6764
    @jamesgasper6764 Před 16 dny +1

    Hilo mbona lipowàzi kabisa maana eneo lolote la nchi lenye uongozi wa juu wa nchi au nyala za selikal watu wanaolizunguka jengo hilo asalimia 60 ni askali!! Wauza madafu machungwa fundi viatu wauza magazet wat wa tigo pesa watu wa dini waubil na maustadhi watoa dahawa wote ni askali kanzu ubadilika kutokana na mazingira.

  • @GraceSylvester-nn9bu
    @GraceSylvester-nn9bu Před 15 dny

    Bravoo🥰🥰

  • @user-sx2sz6sr8d
    @user-sx2sz6sr8d Před 15 dny

    watu wawili tofauti sio yy

  • @isayamwakisole3557
    @isayamwakisole3557 Před 13 dny

    Kama kwel n usalama asingekuwa Sana front kwenye matukio ya mama

  • @beatricemayala8217
    @beatricemayala8217 Před 17 dny

    🥰 Tanzania 💪💪

  • @Safia-hg7pq
    @Safia-hg7pq Před 17 dny +5

    Ni yeye kuanzia sura na hata sauti pia ila watu inabidi wafikirie kwa sababu apo yupo kazini anatekeleza majukumu yake awezi kuongea kama anauza madafu jmn we mwenyew hauogopi tumien akili

  • @aikaM74
    @aikaM74 Před 15 dny

    Nani aliyekwambia apelekwe madafu, halafu ilikuwaje mama ayanunue halafu ilikuwaje kwani?

  • @KassimIddi-hr5oq
    @KassimIddi-hr5oq Před 15 dny

    Nimeamini ni kweli baada ya kumuona yule aliekua anauza nae yupo kwa nyuma hapo😂

  • @rehemamsuya2263
    @rehemamsuya2263 Před 9 dny

    Aliingiaje wakati ni sehemu nyeti msitudanganye bhana

  • @chadyptz3137
    @chadyptz3137 Před 16 dny

    💪🇹🇿 bravo

  • @roseayieta2345
    @roseayieta2345 Před 14 dny

    Huyo ni undercover,

  • @frankjacob2216
    @frankjacob2216 Před 17 dny +2

    Ni yeyeeeee😂

  • @kassimtanda7321
    @kassimtanda7321 Před 17 dny +1

    Dha we jamaa muongo😂😂😂

  • @mosesmanyama-ht3wh
    @mosesmanyama-ht3wh Před 16 dny

    mbona mpaka sauti ni ile ile na kuongea kwa hatua vile vile kama muuza madafu msituchoreeee😂😂😂😂

  • @AmossyNgasa
    @AmossyNgasa Před 12 dny

    Wauza madafu muwe makini kunasiku mtapasua mabomu kwa kujuwa ni dafu hahaaaaas🇹🇿 oyeee💪💪🪖🪖🪖

  • @MohamedKachale-rn2gx
    @MohamedKachale-rn2gx Před 8 dny

    Saw

  • @Eacko87
    @Eacko87 Před 17 dny

    Siyoo yy