PACOME,AZIZ KI,SKUDU,MUDATHIR,KIBABAGE SHANGWE LA UBINGWA/MANUNGU HAPATOSHI/WANANCHI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 05. 2024
  • Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,Saa 10 jioni.
  • Sport

Komentáře • 87

  • @jacksonlyimo1491
    @jacksonlyimo1491 Před 14 dny +4

    Asante Bwana Yesu Timu yangu imechukua ubingwa tenaaa, rahaaa saaanaaaaa

  • @queenmmole
    @queenmmole Před 15 dny +11

    Asante Mungu kutupatia furaha hii umetuheshimisha. Pongezi kwa viongozi na wachezaji wetu tunawapenda sana

  • @zainabumsimbazi2481
    @zainabumsimbazi2481 Před 14 dny +1

    NAIPENDA YANGA SANA. WACHEZAJI WOTE HONGERENI SANA MUNGU AWABARIKI SANA

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před 15 dny +5

    Daima Mbele Nyuma Mwiko 💚💛💚🏆🏆🏆

  • @michaeldaud9556
    @michaeldaud9556 Před 14 dny

    Yanga oyooooooooooo❤❤

  • @josephgamba8389
    @josephgamba8389 Před 14 dny +2

    Hongera sana wapambanaji wetu mmemwaga jasho na Damu ili Wananchi tupate furaha

  • @MsafiliMbalwa
    @MsafiliMbalwa Před 15 dny +3

    Yanga sherehe tu oyoooooooooo❤

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 Před 15 dny +3

    Nafurahia kuwa yanga kwa kwelii

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před 15 dny +5

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @monicalucas3738
    @monicalucas3738 Před 14 dny

    Asante MUNGU kwa ubiñwa huu wa ubingwa wa 30, pongezi sana wachezaji,benchi zima la ufundi na viongozi wote na wananchi kwa ujumla 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MTUMZIMADAWA
    @MTUMZIMADAWA Před 15 dny +4

    Yanga african 💚💚💚💚💚💚💚

  • @user-uo6nw1gb8b
    @user-uo6nw1gb8b Před 15 dny +2

    Hii timu bora sana, asanteni wachezaji wetu

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 Před 15 dny +2

    Yanga bingwa nasema tena yanga bingwaaaaaass

  • @user-bc5kt8hh6n
    @user-bc5kt8hh6n Před 14 dny

    Daima mbele nyuma mwiko kila la kher timu yangu pendwa💛💛💛💛 wanaoumia watajua wenyewe uko kina hidaya😂😂😂

  • @user-yj3ol6ie5n
    @user-yj3ol6ie5n Před 15 dny +2

    ❤❤❤❤❤❤❤ daima mbele nyuma mwiko

  • @StevenGendo-vx9jo
    @StevenGendo-vx9jo Před 14 dny

    Jamani yanga tamu, duuuuuu! Hadi raha ❤❤❤❤ mama yetu tafadhali

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 15 dny +2

    Yanga bingwa 🌻🌻

  • @geofreykashililika9704
    @geofreykashililika9704 Před 15 dny +1

    Hngr Sana timu letu kw kuutwaa ubingwa by Geofrey kashililika,, kila kona Ni shangwe tu

  • @allymganga3223
    @allymganga3223 Před 14 dny +1

    Pongezi nyingi Sana engineer Kwa muongozo wako kuipeleka timu kisayansi acha wajitie jeuli lkn kuna kitu cha kujifunza kupitia uwongozi wako

  • @WitnessMasunga
    @WitnessMasunga Před 14 dny

    Mimi naomba deli moja nifanyie bishara

  • @user-cz5qg1rh5o
    @user-cz5qg1rh5o Před 15 dny +2

    Naomba mechi zote 3 ziwe special kwa ajili ya azizi kii...coz lengo la timu tayari...

  • @Marium-el1eo
    @Marium-el1eo Před 14 dny +1

    Mendoza tumeumaliza salama ❤❤❤

  • @Abu-Hamza254
    @Abu-Hamza254 Před 14 dny +1

    Hilo jersey walishindwa kuliandika CHAMPIONS mgongoni?🇰🇪♥️💪

  • @mathewjohn6912
    @mathewjohn6912 Před 15 dny +27

    Ukute Simba nao waliandaa nguo za ubingwa tangu msimu uliopita

  • @beatusmajumbi7125
    @beatusmajumbi7125 Před 14 dny

    Lile basi letu la Sherehe Kama nalipna😂😂😂😂

  • @saliminyusuph6122
    @saliminyusuph6122 Před 15 dny +2

    Yanga atuna Raha maana tumekosa mpinzani wa kushindana nae ligi kuu.

  • @user-bh9if3bo8r
    @user-bh9if3bo8r Před 15 dny +2

    Asante Mungu

  • @mohamedlunku5834
    @mohamedlunku5834 Před 14 dny

    Hata HAO watoto waokota mipira ni Yanga ila kwa kuwa ni kazi wa nashindwa kuvuka hiyo MIJEZI MIEKUNDU, imetia doa 😀😀😀😀

  • @GushGush-ig2rk
    @GushGush-ig2rk Před 15 dny +1

    Asanteni yanga

  • @ramadhaniiddi9930
    @ramadhaniiddi9930 Před 14 dny

    Mungu awabariki

  • @AshimuMuhammad
    @AshimuMuhammad Před 14 dny

    K azizi hajafurahi kabsaa kukosa kufunga kwenye mchezo huu

  • @jacksonlyimo1491
    @jacksonlyimo1491 Před 14 dny

    Yangaaaaàaaaaaaaaaaa oyeeèe

  • @babitojnr4886
    @babitojnr4886 Před 14 dny +1

    Hizo champagne 🍾 ninajua ni wazo la mkude 😅😂

  • @prosperhosea7966
    @prosperhosea7966 Před 15 dny +2

    Hapa tunasubiri ubingwa wa msimu hujao tu .
    Mambo ni bwekese bwekese.

  • @MuddyZege
    @MuddyZege Před 14 dny

    Wananchiiiiiiiii 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

  • @BASHIRINAMYUNDU-dv5ff
    @BASHIRINAMYUNDU-dv5ff Před 14 dny

    ingekuw wale wazee wa porojo apo wekundu km waganga wa kienyeji😅

  • @DadysBoy.
    @DadysBoy. Před 14 dny

    dah aya wacha tulio kuwa tunakataa kuulizwa na waandishi kuwa tunagombania nafasi ya pili sa hz itabidi tulikubali ilo swali.

  • @HamadiMstafa
    @HamadiMstafa Před 15 dny

    Sijamuona kipa bora mdaka mishale🔥🔥🔥

  • @linnahcasmir5275
    @linnahcasmir5275 Před 15 dny +1

    Cndio cc haoo💃💃

  • @HabibuMohammed-lf9zy
    @HabibuMohammed-lf9zy Před 14 dny

    Muda amekosa anayotafuta tishet mweee

  • @godlistengodlisten7552

    ASANTE MWENYEZI MUNGU KWA UBINGWA WA TIMU YETU YA YANGA KWA MARA YA 30,🙏🙏🙏

  • @samsonyuves7923
    @samsonyuves7923 Před 15 dny

    Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 Před 15 dny +1

    Rahaaa kama zoteee

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi Před 14 dny

    Akili ndogo hiyo ubingwa wenu asa simba anakujaje hapo

  • @user-yv3br7ik6y
    @user-yv3br7ik6y Před 14 dny

    Daaaa iii yang unanenep bul t jaman mpak lah

  • @selemaniidemu4206
    @selemaniidemu4206 Před 15 dny

    Daima mbele nyuma mwiko

  • @marthastephen6600
    @marthastephen6600 Před 14 dny +1

    Weee skuduu waambie wanipe namim jezii😂😂😂ila wabongo

  • @rajabmsinzia1715
    @rajabmsinzia1715 Před 15 dny

    Wacheza aji mbona hawajamrusha rusha Mwalimu Gamond??Ah

  • @fihirishemaadihussein6124

    Akili mingi

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Před 15 dny

    🌹 💐 🏵 🥀 🌹 💐 🏵 🥀 🌺

  • @agathamayunga6142
    @agathamayunga6142 Před 15 dny

    💚💚💛💛💛

  • @user-rd3zb5rg5s
    @user-rd3zb5rg5s Před 14 dny

    😂😂😂😂😂

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před 15 dny +1

    KWA NINI LOMALISA ANAACHWA USAJILI MPYA NI MTU ANA NIDHAMU. SANA ANAJITUMA TATIZO KITU GANI

    • @user-nl8ec4np1t
      @user-nl8ec4np1t Před 15 dny

      Mbona nasikia aliomba mwenyewe mwisho wa msimu huu kuondoka

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt Před 15 dny

      Ilikuwa aondoke tangu msim ulio pita Yanga walifanya kumuomba tu kubaki

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt Před 15 dny

      Ilikuwa aondoke tangu msim ulio pita Yanga walifanya kumuomba tu kubaki

  • @user-yj3ol6ie5n
    @user-yj3ol6ie5n Před 15 dny

    ❤❤❤❤❤❤❤ daima mbele nyuma mwiko

  • @GushGush-ig2rk
    @GushGush-ig2rk Před 15 dny

    Asanteni yanga

  • @OdenBidili-lj5qi
    @OdenBidili-lj5qi Před 14 dny

    Akili ndogo hiyo ubingwa wenu asa simba anakujaje hapo

    • @rosemarykalega
      @rosemarykalega Před 14 dny

      wewe kama una akili kubwa umefata nini huku wenye ubingwa wa yanga nenda ukapambanie nafasi ya pili