Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Asante Bwana Yesu Timu yangu imechukua ubingwa tenaaa, rahaaa saaanaaaaa
Asante Mungu kutupatia furaha hii umetuheshimisha. Pongezi kwa viongozi na wachezaji wetu tunawapenda sana
NAIPENDA YANGA SANA. WACHEZAJI WOTE HONGERENI SANA MUNGU AWABARIKI SANA
Daima Mbele Nyuma Mwiko 💚💛💚🏆🏆🏆
Yanga oyooooooooooo❤❤
Hongera sana wapambanaji wetu mmemwaga jasho na Damu ili Wananchi tupate furaha
Yanga sherehe tu oyoooooooooo❤
Nafurahia kuwa yanga kwa kwelii
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga
Asante MUNGU kwa ubiñwa huu wa ubingwa wa 30, pongezi sana wachezaji,benchi zima la ufundi na viongozi wote na wananchi kwa ujumla 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga african 💚💚💚💚💚💚💚
Hii timu bora sana, asanteni wachezaji wetu
Yanga bingwa nasema tena yanga bingwaaaaaass
Daima mbele nyuma mwiko kila la kher timu yangu pendwa💛💛💛💛 wanaoumia watajua wenyewe uko kina hidaya😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤ daima mbele nyuma mwiko
Jamani yanga tamu, duuuuuu! Hadi raha ❤❤❤❤ mama yetu tafadhali
Yanga bingwa 🌻🌻
Hngr Sana timu letu kw kuutwaa ubingwa by Geofrey kashililika,, kila kona Ni shangwe tu
Pongezi nyingi Sana engineer Kwa muongozo wako kuipeleka timu kisayansi acha wajitie jeuli lkn kuna kitu cha kujifunza kupitia uwongozi wako
Mimi naomba deli moja nifanyie bishara
Naomba mechi zote 3 ziwe special kwa ajili ya azizi kii...coz lengo la timu tayari...
Tunazidi kumuombea achukue kiatu jmn,
Mendoza tumeumaliza salama ❤❤❤
Hilo jersey walishindwa kuliandika CHAMPIONS mgongoni?🇰🇪♥️💪
Ukute Simba nao waliandaa nguo za ubingwa tangu msimu uliopita
😊😊😊
😂😂😂 maana hawachelewagi 😂😂😂
Ndiyo nao waliandaa
😂😂ukumbuki mapinduzi
😂😂😂😂😂😂
Lile basi letu la Sherehe Kama nalipna😂😂😂😂
Yanga atuna Raha maana tumekosa mpinzani wa kushindana nae ligi kuu.
Asante Mungu
Hata HAO watoto waokota mipira ni Yanga ila kwa kuwa ni kazi wa nashindwa kuvuka hiyo MIJEZI MIEKUNDU, imetia doa 😀😀😀😀
Asanteni yanga
Mungu awabariki
K azizi hajafurahi kabsaa kukosa kufunga kwenye mchezo huu
Yangaaaaàaaaaaaaaaaa oyeeèe
Hizo champagne 🍾 ninajua ni wazo la mkude 😅😂
Hapa tunasubiri ubingwa wa msimu hujao tu .Mambo ni bwekese bwekese.
Wananchiiiiiiiii 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
ingekuw wale wazee wa porojo apo wekundu km waganga wa kienyeji😅
dah aya wacha tulio kuwa tunakataa kuulizwa na waandishi kuwa tunagombania nafasi ya pili sa hz itabidi tulikubali ilo swali.
Sijamuona kipa bora mdaka mishale🔥🔥🔥
Cndio cc haoo💃💃
Muda amekosa anayotafuta tishet mweee
ASANTE MWENYEZI MUNGU KWA UBINGWA WA TIMU YETU YA YANGA KWA MARA YA 30,🙏🙏🙏
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!
Rahaaa kama zoteee
Yani yanga ni Raha kama wakati mtu ana pizzz
Akili ndogo hiyo ubingwa wenu asa simba anakujaje hapo
Daaaa iii yang unanenep bul t jaman mpak lah
Daima mbele nyuma mwiko
Weee skuduu waambie wanipe namim jezii😂😂😂ila wabongo
😂😂😂😂
Wacheza aji mbona hawajamrusha rusha Mwalimu Gamond??Ah
Akili mingi
🌹 💐 🏵 🥀 🌹 💐 🏵 🥀 🌺
💚💚💛💛💛
😂😂😂😂😂
KWA NINI LOMALISA ANAACHWA USAJILI MPYA NI MTU ANA NIDHAMU. SANA ANAJITUMA TATIZO KITU GANI
Mbona nasikia aliomba mwenyewe mwisho wa msimu huu kuondoka
Ilikuwa aondoke tangu msim ulio pita Yanga walifanya kumuomba tu kubaki
wewe kama una akili kubwa umefata nini huku wenye ubingwa wa yanga nenda ukapambanie nafasi ya pili
Asante Bwana Yesu Timu yangu imechukua ubingwa tenaaa, rahaaa saaanaaaaa
Asante Mungu kutupatia furaha hii umetuheshimisha. Pongezi kwa viongozi na wachezaji wetu tunawapenda sana
NAIPENDA YANGA SANA. WACHEZAJI WOTE HONGERENI SANA MUNGU AWABARIKI SANA
Daima Mbele Nyuma Mwiko 💚💛💚🏆🏆🏆
Yanga oyooooooooooo❤❤
Hongera sana wapambanaji wetu mmemwaga jasho na Damu ili Wananchi tupate furaha
Yanga sherehe tu oyoooooooooo❤
Nafurahia kuwa yanga kwa kwelii
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu kazi njema barikiwa Sana Yanga
Asante MUNGU kwa ubiñwa huu wa ubingwa wa 30, pongezi sana wachezaji,benchi zima la ufundi na viongozi wote na wananchi kwa ujumla 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Yanga african 💚💚💚💚💚💚💚
Hii timu bora sana, asanteni wachezaji wetu
Yanga bingwa nasema tena yanga bingwaaaaaass
Daima mbele nyuma mwiko kila la kher timu yangu pendwa💛💛💛💛 wanaoumia watajua wenyewe uko kina hidaya😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤ daima mbele nyuma mwiko
Jamani yanga tamu, duuuuuu! Hadi raha ❤❤❤❤ mama yetu tafadhali
Yanga bingwa 🌻🌻
Hngr Sana timu letu kw kuutwaa ubingwa by Geofrey kashililika,, kila kona Ni shangwe tu
Pongezi nyingi Sana engineer Kwa muongozo wako kuipeleka timu kisayansi acha wajitie jeuli lkn kuna kitu cha kujifunza kupitia uwongozi wako
Mimi naomba deli moja nifanyie bishara
Naomba mechi zote 3 ziwe special kwa ajili ya azizi kii...coz lengo la timu tayari...
Tunazidi kumuombea achukue kiatu jmn,
Mendoza tumeumaliza salama ❤❤❤
Hilo jersey walishindwa kuliandika CHAMPIONS mgongoni?🇰🇪♥️💪
Ukute Simba nao waliandaa nguo za ubingwa tangu msimu uliopita
😊😊😊
😂😂😂 maana hawachelewagi 😂😂😂
Ndiyo nao waliandaa
😂😂ukumbuki mapinduzi
😂😂😂😂😂😂
Lile basi letu la Sherehe Kama nalipna😂😂😂😂
Yanga atuna Raha maana tumekosa mpinzani wa kushindana nae ligi kuu.
Asante Mungu
Hata HAO watoto waokota mipira ni Yanga ila kwa kuwa ni kazi wa nashindwa kuvuka hiyo MIJEZI MIEKUNDU, imetia doa 😀😀😀😀
Asanteni yanga
Mungu awabariki
K azizi hajafurahi kabsaa kukosa kufunga kwenye mchezo huu
Yangaaaaàaaaaaaaaaaa oyeeèe
Hizo champagne 🍾 ninajua ni wazo la mkude 😅😂
Hapa tunasubiri ubingwa wa msimu hujao tu .
Mambo ni bwekese bwekese.
Wananchiiiiiiiii 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
ingekuw wale wazee wa porojo apo wekundu km waganga wa kienyeji😅
dah aya wacha tulio kuwa tunakataa kuulizwa na waandishi kuwa tunagombania nafasi ya pili sa hz itabidi tulikubali ilo swali.
Sijamuona kipa bora mdaka mishale🔥🔥🔥
Cndio cc haoo💃💃
Muda amekosa anayotafuta tishet mweee
ASANTE MWENYEZI MUNGU KWA UBINGWA WA TIMU YETU YA YANGA KWA MARA YA 30,🙏🙏🙏
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!!!!!!!!!!
Rahaaa kama zoteee
Yani yanga ni Raha kama wakati mtu ana pizzz
Akili ndogo hiyo ubingwa wenu asa simba anakujaje hapo
Daaaa iii yang unanenep bul t jaman mpak lah
Daima mbele nyuma mwiko
Weee skuduu waambie wanipe namim jezii😂😂😂ila wabongo
😂😂😂😂
Wacheza aji mbona hawajamrusha rusha Mwalimu Gamond??Ah
Akili mingi
🌹 💐 🏵 🥀 🌹 💐 🏵 🥀 🌺
💚💚💛💛💛
😂😂😂😂😂
KWA NINI LOMALISA ANAACHWA USAJILI MPYA NI MTU ANA NIDHAMU. SANA ANAJITUMA TATIZO KITU GANI
Mbona nasikia aliomba mwenyewe mwisho wa msimu huu kuondoka
Ilikuwa aondoke tangu msim ulio pita Yanga walifanya kumuomba tu kubaki
Ilikuwa aondoke tangu msim ulio pita Yanga walifanya kumuomba tu kubaki
❤❤❤❤❤❤❤ daima mbele nyuma mwiko
Asanteni yanga
Akili ndogo hiyo ubingwa wenu asa simba anakujaje hapo
wewe kama una akili kubwa umefata nini huku wenye ubingwa wa yanga nenda ukapambanie nafasi ya pili