Asante kwa elimu❤ila muendelee kutuelimisha je bando letu linaenda wapi? na bando ni nini pia chanzo cha internet ni nini yani inafuliwa kama Umeme wa kidatu au😂😂😂
Bando ni kama nauli ya mawasiliano uliyotuma kutoka kw computer moja mpka nyengine.. amesema hio izo nyaya zilizokatika zinatumia terabyte mbili..terabyte moja ni milions of bundles.. So nyaya ni kama barabara.. bundles ni kma nauli
Chukulia mfano huu: Kwenye simu yako kuna Bluetooth, ukikutana na rafiki yako anayetaka umtumie picha/video kwa Bluetooth, utalazimika kuwasha Bluetooth yako naye awashe ya kakw, mtafanya pairing kisha utamtumia hiyo picha au video. Sasa Bando ni ruhusa ya wewe kumruhusu kufanya pairing ili aweze kupokea hiyo picha/video. Na hiyo ruhusa unailipia, sababu Bluetooth inakula charge, na itakupasa uchaji simu yako kwa LUKU unayoilipia, so rafiki yako inabidi akusaidie hilo kwa naye kulipia kidogo kwa wewe kwenda kuchaji simu. Lakini pia kama kutumia watu vitu kwa Bluetooth ndo kazi yako, inamaana na simu itanunuliwa spesho kwa ajili ya kazi hiyo na utamuweka mtu(unaye mlipa mshahara) mwenye elimu fulani kuweza kuwatumia watu vizuri vitu kwa Bluetooth. Hivyo vyote ni uwekezaji na ni gharama na vitahitaji watu wanaopokea vitu toka kwako(picha/video) wachangie gharama ya kuwekeza na kuziendesha, vikiharibika kufanya services,etc. Sasa kwa hapa hiyo Bluetooth ndio Network/Internet ila kwenye Bluetooth wewe ndio mmiliki wa vifaa vinavyowezesha hiyo Network/Internet
Uyu jamaa ana uelewa wa hali ya juu sana, unaweza kuelewa na ukashindwa kuelezea watu hata wasio na uelewa ila sio kwa uyu jamaaa, hata kama huna elimu ya kutosha utaelewa tu. Apewe maua yake
Dhaa iyo hali huwa inatokea sanaa kwa wagawaji wa intenet kupitia fibre optique kampuni ya cico nakumbuka mwaka juzi pa Burundi tumesumbuka tena sanaa wajikaze wabadili izo fibre optique zawo kama zimesha choka Sisi tulio somea département ya ingénieurie et technologie ( génie et gestion de télécommunications.) Iyo tunaelewa kiuraisi
Hahaha anajua nadharia kwa kusoma tubmaandiko ila anakurupuka kutoa taarifa kabla ya kufanya research ya sababu husika inabidi awe makini kabla hajatoa clarification ya kitu baada ya kufanya research
So excited! Mm swali langu nataka tu kujua hizi waya ziliwekwa miaka gan ivi pia ilichukua mda gani sabab izi kilometers kuweka waya tena za majini inahitaji maelezo kwa kweli. Thanks. May be pia zinawekwa usawa gan wa bahari kutoka nchi kavu na inahitaji njia maalum kuzipitisha ama vepe?
TTCL mtandao uko poa sabu ni mtandao wa serikali wanajitegemea mkongo wao hawatumii hizi fibers za EASSY na SEACOM zilizoleta hitilafu, kingine tiGO at least imekua ina recover ni wajanja tiGO sabu wamelink na networks za Madagascar kwa satellite 🛰️
Wangekuwa wanatupa taarifa mapema kama tanesko wanavyo fanya ili watumiaji wa internet wasiingie kwenye hofu mpka wengine kuvunja cm zao kupeleka kwa mafundi wakizani ni mbovu
Ni ngum.sana samaki kuharib kwasabab huo waya una upana wa takriban 32cm uref wa rula lakn huo waya unaosafirisha data ni unene wake ni kama unywele wako...ina maana kawaya kanakofanya kazi kanarindwa na layer nying sana na ni kembamba sana
Wanaomkubal ali masubi like hapa😀👉
Yuko vizuri
Kila idara 🎉
@@J_Pabloescobar0806 jamaaa hatar san
Huyu jamaa ni msomi Sana... mashalah.mungu akubaliki zaid
Huyu Ally Masubi ni noma anajua sana…
Huyu mungu jaman amejalia watu ufahamu wa ajabu
MUUMBA WETU
NI MUUMBA KWEL KWELI
Kwa kweli Mungu wetu wa ajabu mnoooo
Mnooo🎉🎉🎉🎉
Airtel nayo inafany kaz vizuri
Niko south Africa Durban nimeshindwa kutuma pesa kwa voda na aertel ila tigo goood sana
Kumbe na internet ina mkongo ntatafta maana ya mkongo
Airtel ipo vizuri kusini wants Africa tunawapata
Ally masudi bonge moja la mtoa speach na yupo deep kwwny maarifa
Mambo ni poa kama una tumia fiber net.TTCL 🔥🔥🔥
Fiber yapatikan Playstor?
Hata wenywe kuna muda unakata kata
TTCL wana mkongo wao unajitegemea tofauti na hawa SEACOM na EASSY waliokatikiwa mkongo wao..
Nataka kujua hii mfumo uliwekwa lini uko chini ya bahari??
Asante kwa elimu❤ila muendelee kutuelimisha je bando letu linaenda wapi? na bando ni nini pia chanzo cha internet ni nini yani inafuliwa kama Umeme wa kidatu au😂😂😂
Nenda channel moja inaitwa "Perfect side tz" anaelezea kabisa
Bando ni kama nauli ya mawasiliano uliyotuma kutoka kw computer moja mpka nyengine.. amesema hio izo nyaya zilizokatika zinatumia terabyte mbili..terabyte moja ni milions of bundles..
So nyaya ni kama barabara.. bundles ni kma nauli
@@tichalamar19sawa ila hiyo nauli wameweka kubwa sana
Chukulia mfano huu:
Kwenye simu yako kuna Bluetooth, ukikutana na rafiki yako anayetaka umtumie picha/video kwa Bluetooth, utalazimika kuwasha Bluetooth yako naye awashe ya kakw, mtafanya pairing kisha utamtumia hiyo picha au video.
Sasa Bando ni ruhusa ya wewe kumruhusu kufanya pairing ili aweze kupokea hiyo picha/video. Na hiyo ruhusa unailipia, sababu Bluetooth inakula charge, na itakupasa uchaji simu yako kwa LUKU unayoilipia, so rafiki yako inabidi akusaidie hilo kwa naye kulipia kidogo kwa wewe kwenda kuchaji simu.
Lakini pia kama kutumia watu vitu kwa Bluetooth ndo kazi yako, inamaana na simu itanunuliwa spesho kwa ajili ya kazi hiyo na utamuweka mtu(unaye mlipa mshahara) mwenye elimu fulani kuweza kuwatumia watu vizuri vitu kwa Bluetooth.
Hivyo vyote ni uwekezaji na ni gharama na vitahitaji watu wanaopokea vitu toka kwako(picha/video) wachangie gharama ya kuwekeza na kuziendesha, vikiharibika kufanya services,etc.
Sasa kwa hapa hiyo Bluetooth ndio Network/Internet ila kwenye Bluetooth wewe ndio mmiliki wa vifaa vinavyowezesha hiyo Network/Internet
@@ramadhanmahongole9293 biashra hiyo mtu wangu watu wanapiga pesa
Ali amekwiva kihabari. Hongera Sky
Sawa Maana Hali Sio Nzur Kimawasiliano..Ingawa Kwa Ss Vodacom Wamejitahid MAmbo Shwar🙏🙏🙏
War🙏🙏
HATA TTCL TUKO POA TU UNYAMA KAMA WOTE BIG UP MY TTCL❤❤❤❤
"The Ugly bird became beautiful" hao ndo TTCL Kwa sasa 😁😁
Tigo wameamua kutumia server kutoka Nairobi
Safi
Bado aujaelewa tu?
Tatizo watu wapo kutowa makosa hata hawasikilizi na wakisikiliza hawafahamu hapo ndio Kuna tatizo
Kidog nipeleke simu kwa fund nilijua imehalibika 😢😢 kumbe
😂😂😂
Ungeliwa vizuri.
Interneto haijarudo 😂😂😂❤
Fiber optic cable
Hapo Chakufanya Nikutafuta Fiber Yetu Ili Tuepukane Na Usumbufu Kama Huu
Nawasilisha
Kidogo mtandao umerudi now.
Tofati ya space x na fiber ni nini kwene hili swala je wote wameathiliwa kama no kwanini tuendee na fiber kwa maslahi ya wachache ?
Daaaaa kwa sababu ya mtandao nimechelewa sana wa 65 leo 😢😢😢😢 like zenu 😢
Zitakusaidia nini😂😂
@@chikundeboy9450 😂😂😂 wewe
@@Zillionking627🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Huyu jamaa mungu kamjalia anajua mambo mengi sna
Halotel ndio inapiga kazi aisee nimeangalia hadi mpira
Kwaleo uduma ipo sawa
Dah huy jamaa ally masud anajuw san kuchambua
Airtel kidogo ikopoa
Kumbe ndivyo ilivyo nilikuwa sijui Asanten nimejifunza kitu❤❤
Uyu jamaa ana uelewa wa hali ya juu sana, unaweza kuelewa na ukashindwa kuelezea watu hata wasio na uelewa ila sio kwa uyu jamaaa, hata kama huna elimu ya kutosha utaelewa tu.
Apewe maua yake
Ali anajua kila kitu 😂
Ally yuko vizuri ila ingeshawishi sana kama iyo voice yake isingekua inatoka kwa njia ya simu yani itoke kwa voice ya kweli mfano kama ulivorecord
Ambao hatujaelewa hata kidog si tupo 😂
Kenya tunaita chemistry jamaa anajua sana
Noma
Hivi hawa watu waliyobuni internet wana hakili za kawiada au Kuna kitu Mungu katuficha
mwenyezimungu anasema elimu aliyotupatia ni kdg sana chanzo cha elimu muumba wetu
KAZI NZURI SNS
Mbona mimi huku dubai yangu inafanya banaa
Pia kenya iko hivo
Dhaa iyo hali huwa inatokea sanaa kwa wagawaji wa intenet kupitia fibre optique kampuni ya cico nakumbuka mwaka juzi pa Burundi tumesumbuka tena sanaa wajikaze wabadili izo fibre optique zawo kama zimesha choka
Sisi tulio somea département ya ingénieurie et technologie ( génie et gestion de télécommunications.) Iyo tunaelewa kiuraisi
Jitahid tumuone ukimuhoji live na siyo tu sauti yake
Aliekata huo waya naenda kumloga
Huku kwetu fresh
Juzi mmesema solar storm leo mkongo umekatika
Sasaa si alisema huyu kuwa tatizo lilitokana na Solar storm? Naona aliwahi sana kutoa sababu bila ya confirmation.
Hizi chanel za yohama, na vingine vya magetoni sio wakuwaamini sana.
Kuna halotel ni nomaaaa sana nawasanua wanaaaaa
Ila juz masubi ulituambia mionz ya jua ndio ime7bisha network kudhindwa kufanya kaz
wa kwanza mimi kutoka Congo Lubumbashi
Airtel fresh tu
Hivi ni Mkongo Au Mkonga wa Intaneti
Mpaka leo jumanne 14/04/2024 inasumbua sna
Nini kazi ya satellite
Mbna halotel ipo fresh saiv
Kweli kaka naona kuna utofaut tangu tatizo lianze
mchana hamna kazi
Ufafanuzi mzuri sana
Safi sana kaka sky Kwa kutuhabarisha kuhusu hii INTERNET sisi tusiosoma
Huyo ally masub haku asichokijua, jan amesem unternet imesababishwa cjui na madude gan, leo anausem mkongo
Hahaha anajua nadharia kwa kusoma tubmaandiko ila anakurupuka kutoa taarifa kabla ya kufanya research ya sababu husika inabidi awe makini kabla hajatoa clarification ya kitu baada ya kufanya research
@@Dienacademy yaan anasoma habar za google na kujifany anatoa taarifa lakin uhalisia kuna vitu ving saan anatakiwa awe mbobevu ndo aseme,
Ok
Ally soud ni mwamba san
So excited! Mm swali langu nataka tu kujua hizi waya ziliwekwa miaka gan ivi pia ilichukua mda gani sabab izi kilometers kuweka waya tena za majini inahitaji maelezo kwa kweli. Thanks. May be pia zinawekwa usawa gan wa bahari kutoka nchi kavu na inahitaji njia maalum kuzipitisha ama vepe?
Salute SNS
Ally masubi anajua Kila kitu 😂😂😂
Tigo unyamaaaaa
TTCL mtandao uko poa sabu ni mtandao wa serikali wanajitegemea mkongo wao hawatumii hizi fibers za EASSY na SEACOM zilizoleta hitilafu, kingine tiGO at least imekua ina recover ni wajanja tiGO sabu wamelink na networks za Madagascar kwa satellite 🛰️
Smart information
Uliosababisha au unaosababisha? bado hakuna internet
Hii nyimbo inqyo piga mwisho inatiwaje
Jitahidin mnunue cm
Maana mm natumia Voda na cjaona hiyo hizo cku zote mnasema nawaangalia tu
Kenya lanterns napatikan
Wik nzma itarud
Mbona zilioasirika zaidi ni voda na airtel na ndy zina 5g
mjue german ilillalamikia putin kawazingua wasiiffiche waseme kweli wamelikologa watalinywa
Harmonize huyo alikuwa hataki tuone live ya shoo ya mond dubai😁😁
Naomba namba ya Ally Masub, nmtumie hela ya maji
Mwanzo Mulimdharau Mkwa mnasema sheet Sana. Ila watanzania tabia Yao wakiwa hawakujui hawana mpango na wewe
Ni ungo kusema kuwa kutumia starlink ni ghali zaidi kulinganisha na cables...
Research na urudi tena...
Ni kiasi gani naomba utujuze...
Mmmh na jyo solar Storm nayo ilikua ni nin
Hapo dj sma sjaelewa
Nipo hapa. Na sky.
Sns,,
ni MKONGO au MKONGA???
Ama Malawi haipo Afrika???? Huo ni uwongo wanapitisha magendo yao hivyo ndio Afrika hii
Natumia airtel iko poa tu
Tigo awasemi chochote usiwasungizie
TTCL wapo vizuri
Yani ally masudi anajuwa Sana Sana mashalah..Yan ni msomi Sana anajuwa Kila kitu ..Yan huyu ni msomi haswa
Tu subir
Pole sana 255 😢😢
mbona ali kila kitu anakijua
Kenya ATleast
Ali masubi ni mtaalamu wa kila kitu kumbe
Wangekuwa wanatupa taarifa mapema kama tanesko wanavyo fanya ili watumiaji wa internet wasiingie kwenye hofu mpka wengine kuvunja cm zao kupeleka kwa mafundi wakizani ni mbovu
Ata congo drc iko mu baya
Hapo inabidi utupe somo juu ya setelilsoti
Kuna samaki watakuw wameikula😅
Wa kwanza ❤
Airtel ndio mtandao ambao Internet iko sawa kuliko mitandao yote
Kweli kabis
Nani alieweka kwa sea wire ,na Samaki waki haribu ,kwa kweli sinjui mambo mingi
Ni ngum.sana samaki kuharib kwasabab huo waya una upana wa takriban 32cm uref wa rula lakn huo waya unaosafirisha data ni unene wake ni kama unywele wako...ina maana kawaya kanakofanya kazi kanarindwa na layer nying sana na ni kembamba sana
Tigo watapata wateja sanaaaa
jamaa amenyooka sana na habahatishi kabisa yani
Africa mashariki ipi? Mimi nipo Kenya mbona internet yangu ilikua safi tu siku mzima. Nipo Kenya tu