Huu ndio MKONGO uliosababisha tatizo la INTERNET Afrika Mashariki, urefu na nguvu yake utakushangaza

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 05. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi
  • Zábava

Komentáře • 191

  • @sadiqrifay5448
    @sadiqrifay5448 Před 14 dny +37

    Wanaomkubal ali masubi like hapa😀👉

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 14 dny +14

    Huyu jamaa ni msomi Sana... mashalah.mungu akubaliki zaid

  • @muscato50
    @muscato50 Před 14 dny +24

    Huyu Ally Masubi ni noma anajua sana…

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 Před 14 dny +22

    Huyu mungu jaman amejalia watu ufahamu wa ajabu

  • @yourvideostz1579
    @yourvideostz1579 Před 13 dny +3

    Airtel nayo inafany kaz vizuri

  • @user-gb1hn5ml8y
    @user-gb1hn5ml8y Před 14 dny +8

    Niko south Africa Durban nimeshindwa kutuma pesa kwa voda na aertel ila tigo goood sana

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 14 dny +7

    Kumbe na internet ina mkongo ntatafta maana ya mkongo

  • @mapikomkindu565
    @mapikomkindu565 Před 14 dny +2

    Airtel ipo vizuri kusini wants Africa tunawapata

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 Před 14 dny +3

    Ally masudi bonge moja la mtoa speach na yupo deep kwwny maarifa

  • @walidsultan7486
    @walidsultan7486 Před 14 dny +17

    Mambo ni poa kama una tumia fiber net.TTCL 🔥🔥🔥

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Před 14 dny +3

      Fiber yapatikan Playstor?

    • @msafirisaimoni9561
      @msafirisaimoni9561 Před 14 dny +2

      Hata wenywe kuna muda unakata kata

    • @ProDJayOnDecks
      @ProDJayOnDecks Před 13 dny +1

      TTCL wana mkongo wao unajitegemea tofauti na hawa SEACOM na EASSY waliokatikiwa mkongo wao..

  • @-kagerayetubw9jx
    @-kagerayetubw9jx Před 11 dny +2

    Nataka kujua hii mfumo uliwekwa lini uko chini ya bahari??

  • @user-zs4qz4wm2n
    @user-zs4qz4wm2n Před 14 dny +16

    Asante kwa elimu❤ila muendelee kutuelimisha je bando letu linaenda wapi? na bando ni nini pia chanzo cha internet ni nini yani inafuliwa kama Umeme wa kidatu au😂😂😂

    • @georgekato5738
      @georgekato5738 Před 14 dny +1

      Nenda channel moja inaitwa "Perfect side tz" anaelezea kabisa

    • @tichalamar19
      @tichalamar19 Před 14 dny +5

      Bando ni kama nauli ya mawasiliano uliyotuma kutoka kw computer moja mpka nyengine.. amesema hio izo nyaya zilizokatika zinatumia terabyte mbili..terabyte moja ni milions of bundles..
      So nyaya ni kama barabara.. bundles ni kma nauli

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 Před 14 dny +3

      ​@@tichalamar19sawa ila hiyo nauli wameweka kubwa sana

    • @RuzoOwzy
      @RuzoOwzy Před 14 dny

      Chukulia mfano huu:
      Kwenye simu yako kuna Bluetooth, ukikutana na rafiki yako anayetaka umtumie picha/video kwa Bluetooth, utalazimika kuwasha Bluetooth yako naye awashe ya kakw, mtafanya pairing kisha utamtumia hiyo picha au video.
      Sasa Bando ni ruhusa ya wewe kumruhusu kufanya pairing ili aweze kupokea hiyo picha/video. Na hiyo ruhusa unailipia, sababu Bluetooth inakula charge, na itakupasa uchaji simu yako kwa LUKU unayoilipia, so rafiki yako inabidi akusaidie hilo kwa naye kulipia kidogo kwa wewe kwenda kuchaji simu.
      Lakini pia kama kutumia watu vitu kwa Bluetooth ndo kazi yako, inamaana na simu itanunuliwa spesho kwa ajili ya kazi hiyo na utamuweka mtu(unaye mlipa mshahara) mwenye elimu fulani kuweza kuwatumia watu vizuri vitu kwa Bluetooth.
      Hivyo vyote ni uwekezaji na ni gharama na vitahitaji watu wanaopokea vitu toka kwako(picha/video) wachangie gharama ya kuwekeza na kuziendesha, vikiharibika kufanya services,etc.
      Sasa kwa hapa hiyo Bluetooth ndio Network/Internet ila kwenye Bluetooth wewe ndio mmiliki wa vifaa vinavyowezesha hiyo Network/Internet

    • @user-cs5dh3qx1u
      @user-cs5dh3qx1u Před 14 dny

      ​@@ramadhanmahongole9293 biashra hiyo mtu wangu watu wanapiga pesa

  • @wanzakleruu8648
    @wanzakleruu8648 Před 14 dny +2

    Ali amekwiva kihabari. Hongera Sky

  • @user-hb7mq8lg9e
    @user-hb7mq8lg9e Před 14 dny +2

    Sawa Maana Hali Sio Nzur Kimawasiliano..Ingawa Kwa Ss Vodacom Wamejitahid MAmbo Shwar🙏🙏🙏
    War🙏🙏

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 Před 14 dny +3

    HATA TTCL TUKO POA TU UNYAMA KAMA WOTE BIG UP MY TTCL❤❤❤❤

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee Před 14 dny +3

    "The Ugly bird became beautiful" hao ndo TTCL Kwa sasa 😁😁

  • @upendo1020
    @upendo1020 Před 14 dny +3

    Tigo wameamua kutumia server kutoka Nairobi

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 Před 14 dny +8

    Safi

    • @visionstudios6804
      @visionstudios6804 Před 13 dny +1

      Bado aujaelewa tu?

    • @froma3732
      @froma3732 Před 13 dny

      Tatizo watu wapo kutowa makosa hata hawasikilizi na wakisikiliza hawafahamu hapo ndio Kuna tatizo

  • @MohamedBotto
    @MohamedBotto Před 14 dny +8

    Kidog nipeleke simu kwa fund nilijua imehalibika 😢😢 kumbe

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 3 dny +1

    Interneto haijarudo 😂😂😂❤

  • @BimkubwaMohd-ef6hr
    @BimkubwaMohd-ef6hr Před 14 dny +3

    Fiber optic cable

  • @hashimalsaadat4905
    @hashimalsaadat4905 Před 14 dny +1

    Hapo Chakufanya Nikutafuta Fiber Yetu Ili Tuepukane Na Usumbufu Kama Huu
    Nawasilisha

  • @jesuslovesyou.repent.4473

    Kidogo mtandao umerudi now.

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Před 14 dny +1

    Tofati ya space x na fiber ni nini kwene hili swala je wote wameathiliwa kama no kwanini tuendee na fiber kwa maslahi ya wachache ?

  • @Zillionking627
    @Zillionking627 Před 14 dny +5

    Daaaaa kwa sababu ya mtandao nimechelewa sana wa 65 leo 😢😢😢😢 like zenu 😢

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Před 14 dny

    Huyu jamaa mungu kamjalia anajua mambo mengi sna

  • @lucasmhagama8166
    @lucasmhagama8166 Před 13 dny

    Halotel ndio inapiga kazi aisee nimeangalia hadi mpira

  • @FredNgakala
    @FredNgakala Před 14 dny +2

    Kwaleo uduma ipo sawa

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l Před 13 dny

    Dah huy jamaa ally masud anajuw san kuchambua

  • @Gallo_Decoration
    @Gallo_Decoration Před 13 dny

    Airtel kidogo ikopoa

  • @NestymwampambaMwampamba
    @NestymwampambaMwampamba Před 14 dny +2

    Kumbe ndivyo ilivyo nilikuwa sijui Asanten nimejifunza kitu❤❤

  • @rejius11
    @rejius11 Před 11 dny

    Uyu jamaa ana uelewa wa hali ya juu sana, unaweza kuelewa na ukashindwa kuelezea watu hata wasio na uelewa ila sio kwa uyu jamaaa, hata kama huna elimu ya kutosha utaelewa tu.
    Apewe maua yake

  • @user-oq8hw1et9r
    @user-oq8hw1et9r Před 14 dny +1

    Ali anajua kila kitu 😂

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Před 12 dny

    Ally yuko vizuri ila ingeshawishi sana kama iyo voice yake isingekua inatoka kwa njia ya simu yani itoke kwa voice ya kweli mfano kama ulivorecord

  • @MohamedAves
    @MohamedAves Před 13 dny

    Ambao hatujaelewa hata kidog si tupo 😂

  • @katambomangale2185
    @katambomangale2185 Před 13 dny

    Kenya tunaita chemistry jamaa anajua sana

  • @moseskulola6913
    @moseskulola6913 Před 13 dny

    Noma

  • @mosescharles1921
    @mosescharles1921 Před 14 dny +1

    Hivi hawa watu waliyobuni internet wana hakili za kawiada au Kuna kitu Mungu katuficha

    • @JumaNgeni-ld5yb
      @JumaNgeni-ld5yb Před 14 dny

      mwenyezimungu anasema elimu aliyotupatia ni kdg sana chanzo cha elimu muumba wetu

  • @anthonykamkolwe5766
    @anthonykamkolwe5766 Před 14 dny +1

    KAZI NZURI SNS

  • @CROWNMEDIAKE
    @CROWNMEDIAKE Před 14 dny

    Mbona mimi huku dubai yangu inafanya banaa

  • @antonymwangi2093
    @antonymwangi2093 Před 14 dny

    Pia kenya iko hivo

  • @mulinzikelvin
    @mulinzikelvin Před 13 dny

    Dhaa iyo hali huwa inatokea sanaa kwa wagawaji wa intenet kupitia fibre optique kampuni ya cico nakumbuka mwaka juzi pa Burundi tumesumbuka tena sanaa wajikaze wabadili izo fibre optique zawo kama zimesha choka
    Sisi tulio somea département ya ingénieurie et technologie ( génie et gestion de télécommunications.) Iyo tunaelewa kiuraisi

  • @frankfortidas4683
    @frankfortidas4683 Před 14 dny

    Jitahid tumuone ukimuhoji live na siyo tu sauti yake

  • @Kidabitangassa
    @Kidabitangassa Před 14 dny +1

    Aliekata huo waya naenda kumloga

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 Před 14 dny

    Huku kwetu fresh

  • @waporimediatv5627
    @waporimediatv5627 Před 14 dny

    Juzi mmesema solar storm leo mkongo umekatika

  • @hosamhilary1877
    @hosamhilary1877 Před 14 dny +2

    Sasaa si alisema huyu kuwa tatizo lilitokana na Solar storm? Naona aliwahi sana kutoa sababu bila ya confirmation.

    • @martinisadru9899
      @martinisadru9899 Před 14 dny

      Hizi chanel za yohama, na vingine vya magetoni sio wakuwaamini sana.

  • @shabanzege3050
    @shabanzege3050 Před 13 dny

    Kuna halotel ni nomaaaa sana nawasanua wanaaaaa

  • @hansharuna
    @hansharuna Před 14 dny

    Ila juz masubi ulituambia mionz ya jua ndio ime7bisha network kudhindwa kufanya kaz

  • @AkexLamek-vv1cv
    @AkexLamek-vv1cv Před 14 dny +3

    wa kwanza mimi kutoka Congo Lubumbashi

  • @pineapplemelodymaster
    @pineapplemelodymaster Před 14 dny +2

    Airtel fresh tu

  • @robertgeofrey4118
    @robertgeofrey4118 Před 14 dny

    Hivi ni Mkongo Au Mkonga wa Intaneti

  • @msafirisaimoni9561
    @msafirisaimoni9561 Před 14 dny

    Mpaka leo jumanne 14/04/2024 inasumbua sna

  • @Tacherasasi
    @Tacherasasi Před 10 dny

    Nini kazi ya satellite

  • @vintz338
    @vintz338 Před 14 dny +3

    Mbna halotel ipo fresh saiv

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Před 14 dny

    Ufafanuzi mzuri sana

  • @MapundaJackson007
    @MapundaJackson007 Před 14 dny +3

    Safi sana kaka sky Kwa kutuhabarisha kuhusu hii INTERNET sisi tusiosoma

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Před 14 dny +2

    Huyo ally masub haku asichokijua, jan amesem unternet imesababishwa cjui na madude gan, leo anausem mkongo

    • @Dienacademy
      @Dienacademy Před 14 dny

      Hahaha anajua nadharia kwa kusoma tubmaandiko ila anakurupuka kutoa taarifa kabla ya kufanya research ya sababu husika inabidi awe makini kabla hajatoa clarification ya kitu baada ya kufanya research

    • @jizzotheking9238
      @jizzotheking9238 Před 14 dny

      @@Dienacademy yaan anasoma habar za google na kujifany anatoa taarifa lakin uhalisia kuna vitu ving saan anatakiwa awe mbobevu ndo aseme,

  • @abubakariramadhani1372

    Ok

  • @mrshazychannel3359
    @mrshazychannel3359 Před 14 dny

    Ally soud ni mwamba san

  • @binmasoud4150
    @binmasoud4150 Před 14 dny

    So excited! Mm swali langu nataka tu kujua hizi waya ziliwekwa miaka gan ivi pia ilichukua mda gani sabab izi kilometers kuweka waya tena za majini inahitaji maelezo kwa kweli. Thanks. May be pia zinawekwa usawa gan wa bahari kutoka nchi kavu na inahitaji njia maalum kuzipitisha ama vepe?

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Před 14 dny

    Salute SNS

  • @oketchmusic4838
    @oketchmusic4838 Před 14 dny +1

    Ally masubi anajua Kila kitu 😂😂😂

  • @infinitydecor3157
    @infinitydecor3157 Před 14 dny

    Tigo unyamaaaaa

  • @ProDJayOnDecks
    @ProDJayOnDecks Před 13 dny

    TTCL mtandao uko poa sabu ni mtandao wa serikali wanajitegemea mkongo wao hawatumii hizi fibers za EASSY na SEACOM zilizoleta hitilafu, kingine tiGO at least imekua ina recover ni wajanja tiGO sabu wamelink na networks za Madagascar kwa satellite 🛰️

  • @yahyatweitin
    @yahyatweitin Před 14 dny

    Smart information

  • @jacobletema3681
    @jacobletema3681 Před 14 dny

    Uliosababisha au unaosababisha? bado hakuna internet

  • @rojatv167
    @rojatv167 Před 13 dny

    Hii nyimbo inqyo piga mwisho inatiwaje

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 Před 14 dny

    Jitahidin mnunue cm
    Maana mm natumia Voda na cjaona hiyo hizo cku zote mnasema nawaangalia tu

  • @anthonychristopherelachi7014

    Kenya lanterns napatikan

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 14 dny

    Wik nzma itarud

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před 14 dny

    Mbona zilioasirika zaidi ni voda na airtel na ndy zina 5g

  • @kirungekirunge5920
    @kirungekirunge5920 Před 11 dny

    mjue german ilillalamikia putin kawazingua wasiiffiche waseme kweli wamelikologa watalinywa

  • @soundmale
    @soundmale Před 14 dny

    Harmonize huyo alikuwa hataki tuone live ya shoo ya mond dubai😁😁

  • @godfreykeita9804
    @godfreykeita9804 Před 14 dny

    Naomba namba ya Ally Masub, nmtumie hela ya maji

  • @SheikhIssaAbnau
    @SheikhIssaAbnau Před 14 dny

    Mwanzo Mulimdharau Mkwa mnasema sheet Sana. Ila watanzania tabia Yao wakiwa hawakujui hawana mpango na wewe

  • @a-africastudios225
    @a-africastudios225 Před 12 dny

    Ni ungo kusema kuwa kutumia starlink ni ghali zaidi kulinganisha na cables...
    Research na urudi tena...

  • @boaziamos1224
    @boaziamos1224 Před 14 dny

    Mmmh na jyo solar Storm nayo ilikua ni nin
    Hapo dj sma sjaelewa

  • @KAMTUPE
    @KAMTUPE Před 14 dny

    Nipo hapa. Na sky.

  • @snkhannassoro2404
    @snkhannassoro2404 Před 14 dny +1

    Sns,,
    ni MKONGO au MKONGA???

  • @BMFURAHAKWANZA
    @BMFURAHAKWANZA Před 14 dny +1

    Ama Malawi haipo Afrika???? Huo ni uwongo wanapitisha magendo yao hivyo ndio Afrika hii

  • @TunuAdam-gc9rc
    @TunuAdam-gc9rc Před 14 dny

    Natumia airtel iko poa tu

  • @denischarles8864
    @denischarles8864 Před 14 dny

    Tigo awasemi chochote usiwasungizie

  • @martinmendrad3531
    @martinmendrad3531 Před 14 dny

    TTCL wapo vizuri

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 14 dny

    Yani ally masudi anajuwa Sana Sana mashalah..Yan ni msomi Sana anajuwa Kila kitu ..Yan huyu ni msomi haswa

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Před 14 dny

    Tu subir

  • @Yeshu-us4rb
    @Yeshu-us4rb Před 14 dny

    Pole sana 255 😢😢

  • @hassanmsangi4149
    @hassanmsangi4149 Před 14 dny

    mbona ali kila kitu anakijua

  • @aisha_mohammed5825
    @aisha_mohammed5825 Před 14 dny +1

    Kenya ATleast

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před 14 dny +1

    Ali masubi ni mtaalamu wa kila kitu kumbe

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Před 14 dny

    Wangekuwa wanatupa taarifa mapema kama tanesko wanavyo fanya ili watumiaji wa internet wasiingie kwenye hofu mpka wengine kuvunja cm zao kupeleka kwa mafundi wakizani ni mbovu

  • @user-pi6wk2hl2e
    @user-pi6wk2hl2e Před 14 dny

    Ata congo drc iko mu baya

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Před 14 dny

    Hapo inabidi utupe somo juu ya setelilsoti

  • @sund2553
    @sund2553 Před 14 dny

    Kuna samaki watakuw wameikula😅

  • @Whitegsm
    @Whitegsm Před 14 dny

    Wa kwanza ❤

  • @user-td4le3xf7h
    @user-td4le3xf7h Před 14 dny +1

    Airtel ndio mtandao ambao Internet iko sawa kuliko mitandao yote

  • @evemurugi3399
    @evemurugi3399 Před 14 dny +1

    Nani alieweka kwa sea wire ,na Samaki waki haribu ,kwa kweli sinjui mambo mingi

    • @smarttv4184
      @smarttv4184 Před 13 dny

      Ni ngum.sana samaki kuharib kwasabab huo waya una upana wa takriban 32cm uref wa rula lakn huo waya unaosafirisha data ni unene wake ni kama unywele wako...ina maana kawaya kanakofanya kazi kanarindwa na layer nying sana na ni kembamba sana

  • @gamerstech5689
    @gamerstech5689 Před 14 dny +4

    Tigo watapata wateja sanaaaa

  • @husseinhamis1428
    @husseinhamis1428 Před 13 dny

    jamaa amenyooka sana na habahatishi kabisa yani

  • @skonga3106
    @skonga3106 Před 14 dny

    Africa mashariki ipi? Mimi nipo Kenya mbona internet yangu ilikua safi tu siku mzima. Nipo Kenya tu