Mwalimu aacha kufundisha na kuanza kuuza Maji mtaani, aonesha vyeti vyake,
Vložit
- čas přidán 10. 07. 2018
- Bilo Sid Bilo ni kijana anaishi mkoani Kigoma, Baada ya kumaliza masomo yake ya uwalimu mwaka 2015 na kuanza kufundisha moja kati ya shule ya secondary ya wasichana mkoani Kigoma kwa miezi 7 baada ya kukosa ajira serikialini na kuamua kujitolea katika shule hiyo.
- Zábava
Safi sana kijana,vijana wengi wanang'ang'ania majina Makubwa wakati halileti hata pesa ya ugali,endelea kupambana utafika mbali💪💪💪
Mashallah, nimekuelewa Teacher, hongera sana
daah pole sana brow mungu atakusaidi utafanikiwa katika mipango yako
Mungu akutie nguvu brother Mungu hawezi kukuacha yupo pamoja nawe
Very good mwalimu mwenzangu ..na mm nimemaliza chuo 2015 na sasa cna mpango wa kuajiriwa coz nimejiajiri mwenyewe
Naomba siri ya mafanikio
Bado 2015 mpo jamn ss i 2016 uwii madam Mie atari
Dah good brother. Hakika umenigusa sana . Wewe ni jembe na InshaAllah utafanikiwa sana kaka.
Mungu akulinde na malengo Yako usiyaweke wazi sana siyo Kila mtu anapenda maendereo Yako kaka.
well done mwalimu tukaze buti
hongera sanaaa mwalimu. A teacher is a Jeck of all trends
Huyu ndugu ana akili nyingi na watu wa namna hii ni wachache sana duniani
Shemeji yng nakukubali saaana na Leo umeniletea maji wewe ni jembeee
Atusajiye Japhet
Kaza buti blo
Nimekuelewa sana brother big up
Big up sana brother, mwenyezi mungu akusimamie.
Welldone!
Umetisha Teacher
ww ni mfano wa kuigwa kaka mungu akufungulie milango ya baraka na familiy yako mungu aikumbatie .
Safi kaka angu
Mungu Azidi kukuinua zaidi brother
Safi sana kijana unaakili nakupongeza kwa hilo
mh
Upo vizuri mwl kwa maamuzi mazuri
Wajinga hawatokuelewa brother Mimi nimmoja wawale wenye ndoto yakujiajiri full stop. Salyut to you my young brother 3years later waliokaa kusubiri ajira watarekebisha kauli zao.
Hongera sana , na mkeo ajivunie
Imana iguhezagile
Safi Sana braza upo vzr
Umenifungua kichwa kimejaa sumu namimi ngoja nijitose ktk fursa iliyoko mbele yangu ila napuuzia nikilinganisha namazingira niliyopo ingawa malipo siyo kama kazi inavo onekana
ASANTE BRO ACHA NIJITOSE NAMIMI
Rashid Busanya mazingira si tatizo wewe si mti ndugu yangu you can move and change if you have thirty of success
Nakuupa wasia broo.. Utafika mbali.. Kwa bidii zako.. Lakiin ukipata mtonyo usije msaliti mkeo.. Kufa NA kuzikana
Mungu akutie nguvu napenda wanaume wanaojituma
Tupo
Hata wanawake wanaojutuma pia Wana pendwa Sana.
Umetisha bro
Inspired
Big up.....Sana nimekuelewa sana
Hogera sana brother mungu hatakuacha kamwe.
#nyumbatamu kweli ubunifu muhimu hongera sana
daa nimekuelewa sana
safi sana bro. nimejifunza kitu
Noma sana
Amazing
Welldone
kazi kazi tu
Hunajitambuwa Sanaa kaka
Nice bro
Dar niwachache wenye usubutu kama wako . Wengine nawaona wanapenda kulewa sifa za majina na kutoangalia wanachoingiza
Hongera sana
Hongera bro.. Mungu akusimamie una akili saana
#mtuwanguwanguvu mirrad ayo kama unamkubali mirrad ayo dondosha like yako hapa
Hongera sanaaah kaka...kaz Nzur koz unakula jasho lako big up brother @
Na mimi nilisomea kilimo na mifugo nimejuariji mwenyewe nipo kijijini ninangombe wa maziwa ninashamba la matunda nauza maziwa nauza mapapai maparachichi, ndizi, kuku wa nyama, na mayai nimeweza kufungua biashara yangu kubwa tu mjini ya kuuza kuku wa nyama kwenye friji. Na nimejenga huku huku kijijini nyumba kubwa, nipo huru mimi na kilimo tuu
This is IQ good
Nimekupenda bure
well done
1st comment
Teacher kaza nyie ndio mnatakiwa
#hapa kazi tu😀😀😀😀😀
Hongera
Big up. Simamia unachokiamini najua utapingwa na wengi ila hatima ya kesho yako iko mikononi mwako.
asante sana kaka umenifungua
We tutaenda sawa ndg
Maa shaa Allah
Woiiii God Help us
hatua nzuri
حياتك من صنع أفكارك
Maisha yako yanatengenezwa na fikra zako
This is so challenging...I've learnt something. .God bless you Bro
Nunua pikipiki angalau itakusaidia utaokoa muda pia.vizuri kaka
kweli kabisa kamanda
Hongera sana bro heshima sana kwako.
Nzur kaka angu kaza Mungu atakujalia
Usiwafiche brother waambie ukweli hawana hela yakukulipa maana watu waroho kubwa naninauhakika labda wakupe milion moja kwenda juu ndiyo kidogo inaweza kukusha wishi
Safi sana
Ajira jamani zina chelew
Ukweli nimekumbuka home kgm pia ongera sana kijana
Serikali imekupa ajira MBOLIBOLI iringa hongera kwa hilooo......
Ukitoka hapo et dem aje kuomba pesa na yy anapga mkwanja kwako dah
ww unajielewa kabisa
Hiyo ndyo Tanzania tunayoitaka
Mpaka mueshimiwa atoke
TUTAPATA TABU SANA
Kaza buti dogo
Ni makosa ya mfumo kuanzia wazazi mpaka elimu kwa ujumla. Huyu alisomea fani ile pasipo kujua kama atakosa kazi hivyo huku alipo ni njia mbadala ila ndiko wanakotokea matajiri duniani kote.
Huyu ni mpambanaji apatiwe ajila afundishe watoto wetu
ndo maisha ya Mtanzania inabidi tujiongeze tu
Magufuli hongera sn kwa kasi hii ipo siku tutatengeneza Rocket kwenda mwezini umetufanya WTZ kuwa wabunifu hakuna vya bwelele shikilia hapo hapo baba maana hamna namna.
Abby Adams. dalili ya umasikini hiyo
Abby Adams 😂😂😂
Kuma yako
Abby Adams kuma mamako unafirwa
Kwani we kipindi unazaliwa ulitokea wapi,,? Mungu akusamehe bure
Ajira how's, lap top hewa, Noah hewa na bado
Mhuu nimechoka ila tu mm niulize swali watu wanatatfa pesa wale wanaozitengeneza wanatatfa nn ikiwa na wao wanatatfa pesa basi hakuna atakae kuajir akakupa mshahara wa kukidhi mahitaji Kwa nchi zetu za afrika zaidi ya majeshi tu huo ndo ukweli ukitaka usitake habari ndo hio
millardayo hiiinikweli nakamanikweli kuanzialeo najiajiri
Kweli mm nilimuona jirani yangu anauza dagaa kwa baiskeli huko zanzibar nilijua hajasoma kumbe anadigree wallah kaoa na kajenga mjengo kawashinda waaliim
Ndugu yangu Hawa wanouza dagaa mara nyingi huwa ni watu wa kazi za watu Ile kuuza dagaa ni zuga tu 😎😎😎😎😎
Duh kijana jasiri huyu
uko vzur umeoa2017 nasasa unawatoto wawil
Edina Chami comment of the day
Edina Chami kweli mwalimu kawazidi,hamjui tofauti ya kuoa na kuwa na watoto?Na nyie ni wanawake,sitegemi mwanamke kuuliza hilo.Yaani mnamuona kakosea.......
Mapachaaa
Habibu Mdetele ....Haaaahaaaaa Umeonaaa Watu vilaza Sana....Mwalimu ni Mwalimu tuu...
Mm mwalim wangu wa english wa secondary sahv kaacha kawa fundi simu kariakoo
constantine manyanda kariakoo tena ufundi simu una hela Sanaa, kama mtu kwa siku atalaza 50 unategemea aajiriwe kufundisha alipwe laki 7 kwa kwezi bado makato
Pongezi sana kwa ujasiri
Hongera kijana; Penye nia pana njia!
Kwakweli amenipa ufunguo mkubwa'akilini' Millard ayo ,km mtaweza kunipatia namba ya huyu mwalim nitashukur kuna kitu naweza shea nae kupiga hatua
KIUKWELI PAMBANA KAKA
Umenifungua akili kweli ajira niutumwa huwezi kua namafanikio kwa kutegemea mshahara wa mwisho wa mwez
Kujiajir ndio mpango
Duuh
Only in Tanzania
Matitu_jr kwambaa
Huyu ni muongo miaka saba
Acha wivu huo
Maji ni shida jamani kwanini serikali isifunge pampu ili kusambaza maji majumbani? Ni rahisi kutoa mabilioni kununua ndege but ni vigumu kutoa mamilioni kusambasa maji vijijini, huku ndiko mtatugusa sisi wanyonge please serikali yangu tunaomba mlifanyie kazi hilo najua lina wezekana tu.
Abel Mirwatu why kila kitu serikali ??? Kabla serikali haijakufanyia nn jiulize wewe umeifanyia nn serikali
Muongo maana kasema amemaliza chuo2015 alaf kafundisha Islamic school kwa miaka Saba je sahv ni mwaka gani
Robert Gurti miezi bna
Miez7 sio miaka!
Amesema alifanyakazi miezi 7
Miezi 7 mzee baba
Kasema miez Saba so miaka saba
Poa
Vyuma vimekaza
Lute King havija no havija kaza acha uvivu
Lute King .Hapendi kuajiliwa, anapenda ajiajili. Ana mipango na mikakati mingi ya mipangirio ya maisha, kiasi yakwamba kuajiliwa alikuwa anaona kama anapoteza muda wa mipangirio yake anayoiwazia haitweza kufanya
Lute King kumamayo wewe
Big up ila mzee baba baik itakutoa shipa so unaonaje ukatafuta njia mbadala ya kufanya hiyo kaz kama kutumia punda had hapo utakapo pata hiyo gari kama unavyotarajia maana hata ufanikiwe vip ukiharibu afya yako ur nothing
Masha'allah kijana anauelewa wake ..atafikia lengo
Vizuri sana we ni mfano wa kuigwa kongore yako