Mwalimu aacha kufundisha na kuanza kuuza Maji mtaani, aonesha vyeti vyake,

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2018
  • Bilo Sid Bilo ni kijana anaishi mkoani Kigoma, Baada ya kumaliza masomo yake ya uwalimu mwaka 2015 na kuanza kufundisha moja kati ya shule ya secondary ya wasichana mkoani Kigoma kwa miezi 7 baada ya kukosa ajira serikialini na kuamua kujitolea katika shule hiyo.
  • Zábava

Komentáře • 148

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 Před 6 lety +9

    Safi sana kijana,vijana wengi wanang'ang'ania majina Makubwa wakati halileti hata pesa ya ugali,endelea kupambana utafika mbali💪💪💪

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 6 lety +13

    Mashallah, nimekuelewa Teacher, hongera sana

  • @adamgeorge5532
    @adamgeorge5532 Před 6 lety +9

    daah pole sana brow mungu atakusaidi utafanikiwa katika mipango yako

  • @rechomakungu5342
    @rechomakungu5342 Před 6 lety +7

    Mungu akutie nguvu brother Mungu hawezi kukuacha yupo pamoja nawe

  • @silvanustesha8978
    @silvanustesha8978 Před 6 lety +9

    Very good mwalimu mwenzangu ..na mm nimemaliza chuo 2015 na sasa cna mpango wa kuajiriwa coz nimejiajiri mwenyewe

  • @imanimatabula3109
    @imanimatabula3109 Před 6 lety +6

    Dah good brother. Hakika umenigusa sana . Wewe ni jembe na InshaAllah utafanikiwa sana kaka.

  • @benardboaz6347
    @benardboaz6347 Před rokem +1

    Mungu akulinde na malengo Yako usiyaweke wazi sana siyo Kila mtu anapenda maendereo Yako kaka.

  • @ditricksilinu6038
    @ditricksilinu6038 Před 6 lety +10

    well done mwalimu tukaze buti

  • @deliveranceprayer4902
    @deliveranceprayer4902 Před 6 lety +1

    hongera sanaaa mwalimu. A teacher is a Jeck of all trends

  • @theonestkatanda3054
    @theonestkatanda3054 Před 6 lety +10

    Huyu ndugu ana akili nyingi na watu wa namna hii ni wachache sana duniani

  • @atusajiyejaphet7463
    @atusajiyejaphet7463 Před 6 lety +12

    Shemeji yng nakukubali saaana na Leo umeniletea maji wewe ni jembeee

  • @elivtv.baseafrica3988
    @elivtv.baseafrica3988 Před 6 lety +4

    Kaza buti blo

  • @barnabasbahebe531
    @barnabasbahebe531 Před 6 lety +1

    Nimekuelewa sana brother big up

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před rokem

    Big up sana brother, mwenyezi mungu akusimamie.

  • @jenivavedasto636
    @jenivavedasto636 Před 6 lety +5

    Welldone!

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +1

    Umetisha Teacher

  • @gracenyanza432
    @gracenyanza432 Před 6 lety +1

    ww ni mfano wa kuigwa kaka mungu akufungulie milango ya baraka na familiy yako mungu aikumbatie .

  • @beatricejuma1230
    @beatricejuma1230 Před 6 lety +4

    Safi kaka angu

  • @rechomakungu5342
    @rechomakungu5342 Před 6 lety +2

    Mungu Azidi kukuinua zaidi brother

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha1118 Před 6 lety +6

    Safi sana kijana unaakili nakupongeza kwa hilo

  • @jeremiamunishi9444
    @jeremiamunishi9444 Před 6 lety +2

    mh
    Upo vizuri mwl kwa maamuzi mazuri

  • @emanuelgaddafi7651
    @emanuelgaddafi7651 Před 6 lety +15

    Wajinga hawatokuelewa brother Mimi nimmoja wawale wenye ndoto yakujiajiri full stop. Salyut to you my young brother 3years later waliokaa kusubiri ajira watarekebisha kauli zao.

  • @AliM-di8dz
    @AliM-di8dz Před 6 lety +1

    Hongera sana , na mkeo ajivunie

  • @joramchubwa3757
    @joramchubwa3757 Před 6 lety +1

    Imana iguhezagile

  • @ferdinand1880
    @ferdinand1880 Před 6 lety +3

    Safi Sana braza upo vzr

  • @rashidbusanya7166
    @rashidbusanya7166 Před 6 lety +8

    Umenifungua kichwa kimejaa sumu namimi ngoja nijitose ktk fursa iliyoko mbele yangu ila napuuzia nikilinganisha namazingira niliyopo ingawa malipo siyo kama kazi inavo onekana
    ASANTE BRO ACHA NIJITOSE NAMIMI

    • @salummohdnyiga9760
      @salummohdnyiga9760 Před 6 lety

      Rashid Busanya mazingira si tatizo wewe si mti ndugu yangu you can move and change if you have thirty of success

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 Před 6 lety +3

    Nakuupa wasia broo.. Utafika mbali.. Kwa bidii zako.. Lakiin ukipata mtonyo usije msaliti mkeo.. Kufa NA kuzikana

  • @victoriachesco35
    @victoriachesco35 Před 6 lety +13

    Mungu akutie nguvu napenda wanaume wanaojituma

  • @pendopius435
    @pendopius435 Před 6 lety

    Umetisha bro

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 6 lety +5

    Inspired

  • @lucianachappa1213
    @lucianachappa1213 Před 6 lety

    Big up.....Sana nimekuelewa sana

  • @agnetaagness5857
    @agnetaagness5857 Před rokem

    Hogera sana brother mungu hatakuacha kamwe.

  • @greatmangii
    @greatmangii Před 6 lety

    #nyumbatamu kweli ubunifu muhimu hongera sana

  • @saidihussein5707
    @saidihussein5707 Před 6 lety +7

    daa nimekuelewa sana

  • @sumakamatula3591
    @sumakamatula3591 Před 6 lety

    safi sana bro. nimejifunza kitu

  • @shemelaruhinda6113
    @shemelaruhinda6113 Před 6 lety +2

    Noma sana

  • @obby2559
    @obby2559 Před 6 lety +1

    Amazing

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 Před 6 lety

    Welldone

  • @selemanteketeke6911
    @selemanteketeke6911 Před 6 lety +3

    kazi kazi tu

  • @mwajumakweli6753
    @mwajumakweli6753 Před 6 lety +2

    Hunajitambuwa Sanaa kaka

  • @eneambogo4802
    @eneambogo4802 Před 6 lety

    Nice bro

  • @kakafranc8913
    @kakafranc8913 Před 6 lety +6

    Dar niwachache wenye usubutu kama wako . Wengine nawaona wanapenda kulewa sifa za majina na kutoangalia wanachoingiza

  • @fridamwantandi8921
    @fridamwantandi8921 Před 6 lety

    Hongera sana

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 Před 6 lety +3

    Hongera bro.. Mungu akusimamie una akili saana

  • @kipukatz
    @kipukatz Před 6 lety +1

    #mtuwanguwanguvu mirrad ayo kama unamkubali mirrad ayo dondosha like yako hapa

  • @jacksonmkome439
    @jacksonmkome439 Před 6 lety

    Hongera sanaaah kaka...kaz Nzur koz unakula jasho lako big up brother @

    • @carolinamushi5555
      @carolinamushi5555 Před 6 lety

      Na mimi nilisomea kilimo na mifugo nimejuariji mwenyewe nipo kijijini ninangombe wa maziwa ninashamba la matunda nauza maziwa nauza mapapai maparachichi, ndizi, kuku wa nyama, na mayai nimeweza kufungua biashara yangu kubwa tu mjini ya kuuza kuku wa nyama kwenye friji. Na nimejenga huku huku kijijini nyumba kubwa, nipo huru mimi na kilimo tuu

  • @ndimbumihumphrey8804
    @ndimbumihumphrey8804 Před 6 lety +2

    This is IQ good

  • @mariammichael9773
    @mariammichael9773 Před 6 lety +3

    Nimekupenda bure

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 6 lety +3

    well done

  • @jacobtitus5867
    @jacobtitus5867 Před 6 lety +2

    1st comment
    Teacher kaza nyie ndio mnatakiwa
    #hapa kazi tu😀😀😀😀😀

  • @nkeshimanaemmanuel3066

    Hongera

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 Před 2 lety

    Big up. Simamia unachokiamini najua utapingwa na wengi ila hatima ya kesho yako iko mikononi mwako.

  • @emmanueldionis8822
    @emmanueldionis8822 Před 6 lety

    asante sana kaka umenifungua

  • @frankfrank322
    @frankfrank322 Před 6 lety

    We tutaenda sawa ndg

  • @shanimpenike7568
    @shanimpenike7568 Před 6 lety +2

    Maa shaa Allah

  • @nasiekutarishi3292
    @nasiekutarishi3292 Před 6 lety +6

    Woiiii God Help us

  • @eddycharles5199
    @eddycharles5199 Před 6 lety

    hatua nzuri

  • @istambuliahmedi8203
    @istambuliahmedi8203 Před 2 lety

    حياتك من صنع أفكارك
    Maisha yako yanatengenezwa na fikra zako

  • @jedidaachieng3914
    @jedidaachieng3914 Před 6 lety +1

    This is so challenging...I've learnt something. .God bless you Bro

  • @hongeramgaya714
    @hongeramgaya714 Před 6 lety

    Nunua pikipiki angalau itakusaidia utaokoa muda pia.vizuri kaka

  • @williamfavour2982
    @williamfavour2982 Před 6 lety

    kweli kabisa kamanda

  • @LukeUrioNEWS
    @LukeUrioNEWS Před 6 lety +5

    Hongera sana bro heshima sana kwako.

  • @deogratiusyudatadei5658

    Usiwafiche brother waambie ukweli hawana hela yakukulipa maana watu waroho kubwa naninauhakika labda wakupe milion moja kwenda juu ndiyo kidogo inaweza kukusha wishi

  • @durra6087
    @durra6087 Před 6 lety +1

    Safi sana

  • @amanichidyboy2900
    @amanichidyboy2900 Před rokem

    Ukweli nimekumbuka home kgm pia ongera sana kijana

  • @ELLYSTVONLINE
    @ELLYSTVONLINE Před 6 lety

    Serikali imekupa ajira MBOLIBOLI iringa hongera kwa hilooo......

  • @cipladapretty8617
    @cipladapretty8617 Před 6 lety +2

    Ukitoka hapo et dem aje kuomba pesa na yy anapga mkwanja kwako dah

  • @teamallyracing1780
    @teamallyracing1780 Před 6 lety +4

    ww unajielewa kabisa

  • @pascaltayari6004
    @pascaltayari6004 Před 6 lety

    Hiyo ndyo Tanzania tunayoitaka

  • @adamnguvu1020
    @adamnguvu1020 Před 6 lety +2

    Mpaka mueshimiwa atoke
    TUTAPATA TABU SANA

  • @queenshomba8412
    @queenshomba8412 Před 6 lety +3

    Kaza buti dogo

  • @sadockchengula5542
    @sadockchengula5542 Před rokem +1

    Ni makosa ya mfumo kuanzia wazazi mpaka elimu kwa ujumla. Huyu alisomea fani ile pasipo kujua kama atakosa kazi hivyo huku alipo ni njia mbadala ila ndiko wanakotokea matajiri duniani kote.

  • @jeromepetrododomatunawapat3654

    Huyu ni mpambanaji apatiwe ajila afundishe watoto wetu

  • @blackmamba7553
    @blackmamba7553 Před 6 lety +2

    ndo maisha ya Mtanzania inabidi tujiongeze tu

  • @kamgomoli3650
    @kamgomoli3650 Před 6 lety +12

    Magufuli hongera sn kwa kasi hii ipo siku tutatengeneza Rocket kwenda mwezini umetufanya WTZ kuwa wabunifu hakuna vya bwelele shikilia hapo hapo baba maana hamna namna.

  • @kingommy2393
    @kingommy2393 Před 6 lety

    Ajira how's, lap top hewa, Noah hewa na bado

  • @abdallahnassoro2460
    @abdallahnassoro2460 Před rokem

    Mhuu nimechoka ila tu mm niulize swali watu wanatatfa pesa wale wanaozitengeneza wanatatfa nn ikiwa na wao wanatatfa pesa basi hakuna atakae kuajir akakupa mshahara wa kukidhi mahitaji Kwa nchi zetu za afrika zaidi ya majeshi tu huo ndo ukweli ukitaka usitake habari ndo hio

  • @rosemongi5084
    @rosemongi5084 Před 6 lety +1

    millardayo hiiinikweli nakamanikweli kuanzialeo najiajiri

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 Před 2 lety

    Kweli mm nilimuona jirani yangu anauza dagaa kwa baiskeli huko zanzibar nilijua hajasoma kumbe anadigree wallah kaoa na kajenga mjengo kawashinda waaliim

    • @mahamoudduchi3318
      @mahamoudduchi3318 Před rokem

      Ndugu yangu Hawa wanouza dagaa mara nyingi huwa ni watu wa kazi za watu Ile kuuza dagaa ni zuga tu 😎😎😎😎😎

  • @joshuamwambene6041
    @joshuamwambene6041 Před 2 lety

    Duh kijana jasiri huyu

  • @edinachami1754
    @edinachami1754 Před 6 lety +2

    uko vzur umeoa2017 nasasa unawatoto wawil

    • @kautharmohammed7868
      @kautharmohammed7868 Před 6 lety

      Edina Chami comment of the day

    • @habibumdetele6530
      @habibumdetele6530 Před 6 lety

      Edina Chami kweli mwalimu kawazidi,hamjui tofauti ya kuoa na kuwa na watoto?Na nyie ni wanawake,sitegemi mwanamke kuuliza hilo.Yaani mnamuona kakosea.......

    • @kiddandrew2520
      @kiddandrew2520 Před 6 lety

      Mapachaaa

    • @africanhappyadventure6951
      @africanhappyadventure6951 Před 6 lety

      Habibu Mdetele ....Haaaahaaaaa Umeonaaa Watu vilaza Sana....Mwalimu ni Mwalimu tuu...

  • @constantinemanyanda6667
    @constantinemanyanda6667 Před 6 lety +1

    Mm mwalim wangu wa english wa secondary sahv kaacha kawa fundi simu kariakoo

    • @mickskillstechnology7511
      @mickskillstechnology7511 Před 6 lety

      constantine manyanda kariakoo tena ufundi simu una hela Sanaa, kama mtu kwa siku atalaza 50 unategemea aajiriwe kufundisha alipwe laki 7 kwa kwezi bado makato

  • @jacksongithae5173
    @jacksongithae5173 Před 6 lety +3

    Pongezi sana kwa ujasiri

  • @jafariamiri8452
    @jafariamiri8452 Před 6 lety

    Kwakweli amenipa ufunguo mkubwa'akilini' Millard ayo ,km mtaweza kunipatia namba ya huyu mwalim nitashukur kuna kitu naweza shea nae kupiga hatua

  • @mariamramadhani3860
    @mariamramadhani3860 Před rokem

    KIUKWELI PAMBANA KAKA

  • @salumnuhu9066
    @salumnuhu9066 Před 2 lety

    Umenifungua akili kweli ajira niutumwa huwezi kua namafanikio kwa kutegemea mshahara wa mwisho wa mwez

  • @larickmtui2852
    @larickmtui2852 Před 6 lety

    Kujiajir ndio mpango

  • @menejawamradi4996
    @menejawamradi4996 Před 6 lety

    Duuh

  • @matitu_jr5035
    @matitu_jr5035 Před 6 lety

    Only in Tanzania

  • @robertgurti309
    @robertgurti309 Před 6 lety

    Huyu ni muongo miaka saba

  • @abelmirwatu544
    @abelmirwatu544 Před 6 lety

    Maji ni shida jamani kwanini serikali isifunge pampu ili kusambaza maji majumbani? Ni rahisi kutoa mabilioni kununua ndege but ni vigumu kutoa mamilioni kusambasa maji vijijini, huku ndiko mtatugusa sisi wanyonge please serikali yangu tunaomba mlifanyie kazi hilo najua lina wezekana tu.

    • @fighterm7708
      @fighterm7708 Před 6 lety

      Abel Mirwatu why kila kitu serikali ??? Kabla serikali haijakufanyia nn jiulize wewe umeifanyia nn serikali

  • @robertgurti309
    @robertgurti309 Před 6 lety +1

    Muongo maana kasema amemaliza chuo2015 alaf kafundisha Islamic school kwa miaka Saba je sahv ni mwaka gani

  • @shiruclever1679
    @shiruclever1679 Před 6 lety +1

    Poa

  • @luteking
    @luteking Před 6 lety +3

    Vyuma vimekaza

    • @neemakilomoni4258
      @neemakilomoni4258 Před 6 lety

      Lute King havija no havija kaza acha uvivu

    • @corrolesscps
      @corrolesscps Před 6 lety

      Lute King .Hapendi kuajiliwa, anapenda ajiajili. Ana mipango na mikakati mingi ya mipangirio ya maisha, kiasi yakwamba kuajiliwa alikuwa anaona kama anapoteza muda wa mipangirio yake anayoiwazia haitweza kufanya

    • @diamondplatnumzvevo8645
      @diamondplatnumzvevo8645 Před 6 lety

      Lute King kumamayo wewe

  • @husseinbhatia434
    @husseinbhatia434 Před 5 lety

    Big up ila mzee baba baik itakutoa shipa so unaonaje ukatafuta njia mbadala ya kufanya hiyo kaz kama kutumia punda had hapo utakapo pata hiyo gari kama unavyotarajia maana hata ufanikiwe vip ukiharibu afya yako ur nothing

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před rokem

    Masha'allah kijana anauelewa wake ..atafikia lengo

  • @arnoldwillison3821
    @arnoldwillison3821 Před 6 lety

    Vizuri sana we ni mfano wa kuigwa kongore yako