@@adaboychibu1659 Wapi uliona mzamiaji wa mgodini analipwa sawa na Engineer wa mgodini eti kwa kuwa anakuwa kwenye risk muda mwingi?Kazi zenye risk hufidiwa kwa kuwa na insurance siyo mshahara mkubwa eti kwa kuwa kuna risk,elimu inahusika popote pale. Haihitaji tochi kuona hiyo 😀
@@Joe-tr2vk kwani uyoo injinia wa madini kazi yake anaifanyia wapi wee unafikili kwakuwa injinia ndo anakuwa hayupo kwenye risk hakuna mtu ambaye yupo kwenye risk mbaya kama uyo engineer wako wa madini uliyemtaja ! Na ndomana iyo sekta inalipa vizur kutokana na risk yake kuwa kubwa haijalish kuwa wewe mwanaapolo au engineer mwenye digree yako
@@adaboychibu1659 Engineer hawezi kukaa huko chini kama wale ma-operator maana yake kama ni risk wale wengine wanachukua risk zaidi kuliko mkaguzi (Engineer). Kama huelewi Engineer anakuwa na wasaidizi (foremen) kwa hiyo yeye huwepo pale inapobidi kutoa maelekezo hashindi kule kama hao operatators na foremen lakini ndiye anayelipwa kuwazidi wenzake. Elimu ndugu, haihitaji tochi hiyo kuona 😁
God loves you so much that He sent His Holy Son Jesus from heaven to earth, to be born of a virgin, to grow up and die on a cross for our sins, and to be put into a tomb 3 days and rise from the dead the third day, and He (Jesus) went back up to heaven. We must receive Sinless Jesus sincerely to be God's child(John 1:12).After we get saved by grace through faith in Christ, if we truly love the Lord Jesus Christ, then we will obey Jesus(John 14:15). Mark 1:15 "And saying, the time is fulfilled, and the kingdom of God is at hand: Repent ye, and believe the gospel." Jesus said in John 14:15 "If you love Me, keep My commandments. "There's a real hell. It says in Revelation 21:8 "But for the cowardly, and unbelieving, and abominable, and murderers, and immoral persons and sorcerers and idolaters & all liars, their part will be in the lake that burns with fire and brimstone..." Please sincerely receive Holy Jesus and put your true faith and trust in Him today and please repent.
Safi Saana ALLAH Awabarki Zaid Naaawalinde Kwaklabaya Lajuu na Lachini.🙏🏽
Wanawake wanaweza. Mungu awapariki mama zetu
Sawa from 🇧🇮🇧🇮 Burundi in Cape Town
Masha Allah
Maashallh mungu awalinde katika kazi zenu
👏👏👏 safi Mungu akawe mlinzi wenu
Nimefurahishwa saaana.ongezeni speed dada zangu
Safi sanaa kazi Allah azidi kiwalinda
Wanawake tunawez Mashallah kila lakher katk kazi zawo 🙏
Hongereni wadada Kama wanawake wangekuwa na maamuzi Kama yenu wangejenga heshima KUbwa Sana serikali iwaanzishie umoja wao.
Safiii Sana Ile dhana kwamba kazii hii anaweza mwanaume mwanamke hawezi fanya kazi hii hapa ndo majibu yake
Hongera sana
Mbona mashahala mdogo saana
Hongereni sana dada zangu nyie ni mfano wa kuingwa
Napenda mie
Mbona naona mnaenda mpaka nje ya nchi ila mshahara mdogo
Wadada nimewapenda sana.Mungu awalinde!
Vizur mashaalah
Mash Allah wanawake hoyee
Hongera mabaharia wanawake wa shoka
MashaaaIIaaah 🤲🤲🤲🤲🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿❤❤❤❤💃💃💃💃💃haiyaaa
Ongera dada
Wanawake unaweza Mungu awalinde
Selina nmesoma nae jamani
Ka someyeni meli vizur sana
Mshahara ni mdogo compared na risks wanayochukua.
Mdogo sana. Ila kwa elimu ya darasa la 7 siyo mbaya.
@@Joe-tr2vk kwani darasa la 7hana haki ya kuishi hapo kinachozungumziwa risk sio elimu uwe la 7au phd risk ni risk tu kwasababu kifo hakina elimu
@@adaboychibu1659 Wapi uliona mzamiaji wa mgodini analipwa sawa na Engineer wa mgodini eti kwa kuwa anakuwa kwenye risk muda mwingi?Kazi zenye risk hufidiwa kwa kuwa na insurance siyo mshahara mkubwa eti kwa kuwa kuna risk,elimu inahusika popote pale. Haihitaji tochi kuona hiyo 😀
@@Joe-tr2vk kwani uyoo injinia wa madini kazi yake anaifanyia wapi wee unafikili kwakuwa injinia ndo anakuwa hayupo kwenye risk hakuna mtu ambaye yupo kwenye risk mbaya kama uyo engineer wako wa madini uliyemtaja ! Na ndomana iyo sekta inalipa vizur kutokana na risk yake kuwa kubwa haijalish kuwa wewe mwanaapolo au engineer mwenye digree yako
@@adaboychibu1659 Engineer hawezi kukaa huko chini kama wale ma-operator maana yake kama ni risk wale wengine wanachukua risk zaidi kuliko mkaguzi (Engineer). Kama huelewi Engineer anakuwa na wasaidizi (foremen) kwa hiyo yeye huwepo pale inapobidi kutoa maelekezo hashindi kule kama hao operatators na foremen lakini ndiye anayelipwa kuwazidi wenzake. Elimu ndugu, haihitaji tochi hiyo kuona 😁
Ongeleni wadada Kwa ujasili mlioonesha, na mmetaja mshaara wazi, kweli wajasili.
God loves you so much that He sent His Holy Son Jesus from heaven to earth, to be born of a virgin, to grow up and die on a cross for our sins, and to be put into a tomb 3 days and rise from the dead the third day, and He (Jesus) went back up to heaven. We must receive Sinless Jesus sincerely to be God's child(John 1:12).After we get saved by grace through faith in Christ, if we truly love the Lord Jesus Christ, then we will obey Jesus(John 14:15). Mark 1:15 "And saying, the time is fulfilled, and the kingdom of God is at hand: Repent ye, and believe the gospel." Jesus said in John 14:15 "If you love Me, keep My commandments. "There's a real hell. It says in Revelation 21:8 "But for the cowardly, and unbelieving, and abominable, and murderers, and immoral persons and sorcerers and idolaters & all liars, their part will be in the lake that burns with fire and brimstone..." Please sincerely receive Holy Jesus and put your true faith and trust in Him today and please repent.
Ni mfano mzuri nawashauri wanawake wengine wathubutu kufanya kazi zakiume kama hizi
Kila kitu kina risk yake ni kumuomba mungu siku zote
Hongera Sana dadazangukwakujituma.munitumihenamba zenuzasimu..asante.
Mashallah wamama tuchape Kaz ya halali , wengine njooni huku uarabuni
Pretty akili zako zipo chiniiii
Mmi Nipo uarabun kuna hela pia mm nimesoma nikaishia dalasa la saba kila mwez mshahara laki saba yan namshuku Mungu
Kigoma mmetisha
Someni ndenge na meli mkubwa
Ni wacongo hao
yaani wewe unapenda sana ubaguzi Tanzania inaupaka na inchi nyingi kuna familia pande lingine na pande lengine.
Safi sana.
Allah awalinde.