MWABUKUSI AFUNGUKA BAADA YA KUSHINDA URAIS TLS, ATAJA SABABU ZA USHINDI WAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 32

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +6

    Hongera sana Mwabukusi kwa ushindi.Ulipitia Magumu mengi kama wale viongozi wa Senegal Rais na waziri wake mkuu waliofungwa gerezani na baada ya kutoka wakaibuka na ushindi.

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 Před měsícem +1

    Mungu akisema ndiyo Nani avatar. Hongera sana Rais wetu msomi wetu

  • @andrewmagwila1602
    @andrewmagwila1602 Před měsícem +1

    Hongeraaa sana mh mwabukusi

  • @widimaelimushi
    @widimaelimushi Před měsícem

    Ongera Sana mwabukusi utatusaidiya Sana

  • @GABRIELGAVU-vf7cn
    @GABRIELGAVU-vf7cn Před měsícem +6

    Tanzania chombo pekee kilichobaki na uchaguzi huru ni TLS. Lakini kazi zake huingiliwa na selikari. Ndiyo maana watu wengi hawakijui chombo hiki. Kimekuwa sehemu ya chama tawala. Ndiyo maana kimekuja kujulikana kidogo kwa watu wakati wa Tundu Lisu, wakati wa Fatma Karume na sasa Mwabukusi naamini kitasikika. Chombo hiki kinatakiwa kusimamia haki za nchi na raia wake. Miaka yote kimefeli kusimamia uchaguzi. Jirani Kina sauti. Malawi upinzani walikata rufaa na ikashinda uchaguzi ukarudiwa na upinzani ukashinda Baada ya uchaguzi hakimu aliyesimamia shitaka alipewa cheo ndani ya selikari akakikataa kulinda taaluma ya wanaxheria. Yapo mengi. MWABUKUSI. ongoza TLS kwa kusimamia haki. Hongera sana.

  • @kombafocus6996
    @kombafocus6996 Před měsícem

    Hongera mwambukusi

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 Před měsícem +1

    Wakati wa Mungu ndio wakati sahihi

  • @EzekiaMichael-jn5np
    @EzekiaMichael-jn5np Před měsícem +1

    Mwabukusi Mungu akutie nguvu sana

  • @EdwardKwiyanga
    @EdwardKwiyanga Před měsícem +2

    Hakika mwabukusi ww ni mwamba kweli kweli hongera xn raisi

  • @samrecordvwawa9133
    @samrecordvwawa9133 Před měsícem +3

    Mtu wa maana sana huyu

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 Před měsícem +1

    Mungu ni mmoja tu

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 Před měsícem

    GOD has heard the prayers of Tanzanians by appointing Boniface Mwabukusi God lead you and give you straight to lead TLS and having countability for leaders, Big up Boniface Mwabu Guy, Hongera sana najua issue ya Bandari imembeba sana huyu jamaa na nimejua kumbe watanzania siyo wajinga, wako makini sana maana wengi waliwaambia watoto wao wanasheria wampe kura mwabukuzi-hongera sana Bro.Mwabu Guy.

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před měsícem +2

    ❤❤❤❤oyooooooo

  • @mwankenjatv9330
    @mwankenjatv9330 Před měsícem +2

    Bonifasi kajunjumele Mwabukusi

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před měsícem +1

    Mwambukusi alistahili sana kua rais wa TLS

  • @user-ng1zw7gk5w
    @user-ng1zw7gk5w Před měsícem +2

    Nilikua nina imani utashinda

  • @JamesNzunda-x1g
    @JamesNzunda-x1g Před měsícem +2

    Tumeshnda

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před měsícem +1

    Utende haki zote kama ulivyojinadi

  • @user-tt9bp2id5p
    @user-tt9bp2id5p Před měsícem

    Daaa yan tuache utan leo nimefurahi sana uyu mwamba ni fundi ile mbaya namkubali kinomaaaaaa woyoooooooooooooo

  • @BossiLaizer
    @BossiLaizer Před měsícem

    Ni kweli maombi ya watanzania, vyama vvote

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka Před měsícem +1

    Ww ni mwandshi mpya wa #milardAYO, cndy

  • @gabrielsanga5313
    @gabrielsanga5313 Před měsícem +2

    Serikali wamekwisha 😂😂

    • @user-tt9bp2id5p
      @user-tt9bp2id5p Před měsícem

      😂😂😂😂😂 uyu mwamba ni fundiii mi mwenyew nimependa

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před měsícem +3

    Asajili chama cha upinzani uyu mwamba anabeba mchana kweupeeeee ila so kwa katiba hi😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @HabibuSaid-up5sn
      @HabibuSaid-up5sn Před měsícem +2

      Mpe moyo

    • @mapinduzisylvester1903
      @mapinduzisylvester1903 Před měsícem

      Huyo ni chadema pure from nccr

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 Před měsícem

      @@mapinduzisylvester1903 chadema aifai ishakufa,inabid chama kingine ,chadema washafeli pakubwa ...wamekosa ushawishi, usaliti, kashfa, nk.

    • @user-tt9bp2id5p
      @user-tt9bp2id5p Před měsícem

      @@FreeGod368nakuunga mkono kabisa

  • @catherinemhule6519
    @catherinemhule6519 Před měsícem +1

    Boniface anyisile kajunjumele mwambukusi hoyeeeeee

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 Před měsícem +1

    Chama tawala kimejifunza nini kupitia uchaguzi huu wa TLS?Je wanafikiri kuwa wanasheria wa hapa TZ wako pamoja nao kulingana na nchi inavyoendeshwa?