KUTOKA COMORO: Uko tayari kukaa ktk nyumba ya WIFE? maisha yao je?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 02. 2017
  • Inawezekana kabisa upo Tanzania au popote pale duniani lakini umekua tu ukisikia kuna sehemu inaitwa Comoro lakini hujawahi kufika wala kujua pakoje na tamaduni zao.
    Camera ya AyoTV ipo na wewe time hii kutoka Moroni kukuelezea na kukuonyesha upande huo ukoje.

Komentáře • 143

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 7 lety +13

    Kuzuri kwa kutembea huko. My next holiday destination is Comoro .😎

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Před rokem +2

    Comoro mm nishaenda kwel mtandao shida Sana kumetulia Sana mji upo kimya Ila chakula Chao sio vizur Sana Ila hela yao inasaman

  • @attoumanemouayad6509
    @attoumanemouayad6509 Před 5 lety +2

    I'm about to cry😅😅😅illa ni nna imani kwamba kunasiku mungu atatusaidia

  • @harounali1626
    @harounali1626 Před 7 lety +3

    Kuhusu sim siajabu hata sisi tulianza hivyo hivyo
    Ningekuomba ufanye Tour na hivyo visiwa vingine.
    Mimi gari yangu ya kwanza ilikuwa ni Renault Clio CUMPAS nime ziona hapo nime furahi sana kuona hapo zina tumika Taxi
    Tatizo Afrika kupata kiongozi anae jali wananchi ndiyo maendeleo yana kuja sisi watanzania tumshukuru Allaah pia mzee Rukhsa kwa kutufumbuwa macho

  • @sakinaabdallah7713
    @sakinaabdallah7713 Před 3 lety +1

    Comores ni nchi ambayo inaanza kutoka katika mashîmo makubwa but let' us going slowly

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před rokem +1

    Wahoji wacomoro, sasa umekazana kumhoji mtanzania! Huo uduanzi

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 Před 7 lety +7

    Ila nasikia wanawake wa kikomoro wanaheshima sana

  • @fetysaleh5022
    @fetysaleh5022 Před 5 lety +14

    wakomoro wote gonga like hapa

  • @dainesszuberyguii6040
    @dainesszuberyguii6040 Před 7 lety +4

    kaka millard huko ni nomaa ukinunua ki2 mpaka balozi ajueee nimishidaaa hakufai huko...💃💃💃💃

  • @ramadhanpakei2766
    @ramadhanpakei2766 Před 7 lety

    nakukubali san millard ayo napanda san kaz zako ni nzuur san nakukubali nami nahtaji siku moja niwe kama wew

  • @mudrik1852
    @mudrik1852 Před rokem

    Safi sana kutujuza taarifa kama hizi

  • @greatiq7835
    @greatiq7835 Před 2 lety +1

    Comores! Home sweet home!

  • @maryamsinganomaryamsingano7938

    asante millard ayo huko wakonyuma sana daa nahizo sheria za mwisho mungu azidikukupa uwezo zaidi iliutulee habari mbalimbali

  • @abdallahkawambwa9041
    @abdallahkawambwa9041 Před 3 lety

    Napatan kweli inshallah tutafika tu.

  • @samwelimoshi5614
    @samwelimoshi5614 Před 5 lety +3

    Comoro n kama zanzibar

  • @zingahassan5851
    @zingahassan5851 Před 5 lety +3

    Nice and fine place to be in vacation..how much you need to spend in comoro for week

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 Před 4 měsíci

    Ina jina kuuuuubwaaa lakn kumbe n nch maskn sana!!

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi Před 7 lety

    Ahsante

  • @lalasheloisheye1154
    @lalasheloisheye1154 Před rokem

    Nimeenda sana. Mij.huu

  • @arafsaaa8844
    @arafsaaa8844 Před 7 lety +1

    duh huko kuko nyuma snaaa

  • @kuschprince3216
    @kuschprince3216 Před 2 měsíci

    " The results of decades os communisim! They must understand communism is the source of chaos and poverty!! They must open their country to investors otherwise "Umasikini hautoki kwao!!

  • @mohamedaminah3448
    @mohamedaminah3448 Před 3 lety

    Karibuni COMORE island Ni nchi yenye Amani na watu wa huruma.na pia hewa nzuri.

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 2 lety +2

    Shilling alf5 ni zaidi yaalf20 bongo sasa kwa nn hela ya comoro inathamani zaidi ya dola na paund wakati dola 100 tu ni zaidi ya laki

  • @mariamushi1529
    @mariamushi1529 Před 7 lety

    duh aisee ..huko ni kuzuri sana kufanya tours ..kwa kweli

  • @fatmayussuf6125
    @fatmayussuf6125 Před 6 lety +1

    home

  • @user-fy6dc6zb8w
    @user-fy6dc6zb8w Před 4 měsíci

    Wow

  • @frankiedebrilliant
    @frankiedebrilliant Před 5 lety

    Vizuti Sana

  • @kihanda2554
    @kihanda2554 Před 7 lety +2

    Kama umewahi kufika Zanzibar basi Utakuwa huna tofauti na Ayo. Hakuna tofauti kati ya Zenji na Comoro.

    • @salmasalim6055
      @salmasalim6055 Před 7 lety

      Kihanda Tv kweli ni sawa na zanzibar mji mkuu darajaani😅😅loooh lakini ndio home love zanzibar

  • @zaiiomary8970
    @zaiiomary8970 Před 4 lety

    Huko Comoros ninoma wanadari kam wahindi mwanaume kuolewa khaa sikuwez huko pia maish yao mitihani na matumiz ni makubwa khaa

  • @user-cd2np5by6g
    @user-cd2np5by6g Před 5 měsíci

    Taifa ili ukienda kuanzisha maisha unatoboa chap

  • @dseven7094
    @dseven7094 Před 9 měsíci

    mbona vts nyingi sna

  • @user-hu4el2rx2u
    @user-hu4el2rx2u Před 5 měsíci

    Ukitaka kufanya biashara na kuishi vizuri msingi unatalkiwa uwe na bei gani

  • @salmasaid7254
    @salmasaid7254 Před 7 lety

    asante ayo tuletee mechi ya jana burundi le mesenger ngoz& kvz kama itawezekana

  • @thuweintheprince882
    @thuweintheprince882 Před 7 lety

    hapo ndio waahaendelea ao

  • @abdillahabdubakar9336
    @abdillahabdubakar9336 Před 7 lety +1

    uko home comoro

  • @missmuunasharifu2323
    @missmuunasharifu2323 Před 7 lety

    Bas wanaume woote wata owa ma fast born kwa kupenda kutafuniwa na atakae zaliwa mwisho mwisho imekula kwake kaazehekea home ocz wanaume woote watakimbilia Kula ma fast born

  • @vigezo
    @vigezo Před 5 lety +1

    It is three islands Mayotte is part of France

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 Před 2 lety

    Mazingira yake kama Zanzibar

  • @user-sm5tt3fv9z
    @user-sm5tt3fv9z Před 5 měsíci

    Mayotte ni sehemu ya Ufaransa

  • @altamyanfane9850
    @altamyanfane9850 Před rokem

    Magorofa ya tanzania nia waarabu pemba na wahindi

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 Před 7 lety +2

    Ni Moroni, Millard.. Si Moron! Haha! That's ma home, buddy!

  • @godfreyleka5839
    @godfreyleka5839 Před 4 lety

    vits za kutosha huko

  • @hadjiabassi9649
    @hadjiabassi9649 Před 6 lety

    Kisiwa cha Mayotte ni kisiwa cha Ufaransa nasi cha comoro 😉

  • @karthala6676
    @karthala6676 Před 7 lety +2

    Ahsante sana Mylard kwa kwenya Comoro. Nimekuliya huko na nimefurahi koona Moroni kidogo. What you said about the wedding is absolutely true. Left Moroni 40years ago and thank you for going there

  • @YamunguYb
    @YamunguYb Před 7 lety +1

    Da!! huo ndio mji mkuu!!
    kama Bukoba

  • @amanimtasha9168
    @amanimtasha9168 Před 7 lety +5

    Comoro hata kwa limbwata siwezi kuishi.

    • @attoumanemouayad6509
      @attoumanemouayad6509 Před 5 lety

      Hayo maneno yamenuumiza sana sana....😢😢😢😢😢

    • @samwa9496
      @samwa9496 Před rokem

      Usiseme huenda mwanao akawaoa huko au kuolewa

  • @user-zm5wq1gk8k
    @user-zm5wq1gk8k Před 4 lety

    duuuh

  • @chayamhicham7202
    @chayamhicham7202 Před 4 lety

    Huyu siyo mtanzania hâta kiswahili chake bado huyu tunamjuwa vizuri sio mtanzania

    • @mohamedaminah3448
      @mohamedaminah3448 Před 3 lety +1

      Huyo mwanamke anae JIBU Ni mfanya biashara Moroni Ni TZ.BUT SIO MKOMORO .LAKIN ANATUFAHAMU SIE WAKOMORO VIZURI SANA.YUPO COMORE MIAKA MINGI KWA BIASHARA.

    • @ndukulusudikucho_
      @ndukulusudikucho_ Před 3 lety

      Ukienda rorya au usukumani ndio utajua huyu Ni Mtanzania

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 Před 3 lety

    Wajaclia mali mpo hapo. Fursa hio comoro kuna neema.

  • @mkemkwama2362
    @mkemkwama2362 Před 2 lety

    Mimi nahitaji kufika naomba uongoz

  • @QuartierNord13015
    @QuartierNord13015 Před 6 lety +1

    Komori

  • @Ctenzosaidi
    @Ctenzosaidi Před 7 lety

    Ni kwetu kwa mamanguuu

    • @binaliy6456
      @binaliy6456 Před 4 lety

      Hikma Haji kumbe

    • @omarykamna3949
      @omarykamna3949 Před 3 lety

      Naomba uenyeji ili nitembelee kujifunza huko nakufanya daawa alau hata week 2 0717519111 wasap cjui upo wapi ndugu?

  • @Ishengoma1
    @Ishengoma1 Před 7 lety

    Hapo kwenye thamani ya pesa ndo panatakiwa kuwa darasa kwa Magu. Aje huko apewe darasa.

  • @minzamabula3551
    @minzamabula3551 Před 7 lety

    ahahahaaaa et linbwata jamani lakini bado wako nyuma bwana

    • @mohamedaminah3448
      @mohamedaminah3448 Před 3 lety

      Usiali.baada miaka.utaskia tu tupo mstari wambele.tunaanza chini kwenda juu.

  • @thomaslandwhale
    @thomaslandwhale Před 7 lety

    Jazirat maut....

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 Před 6 lety

      Hata dubai wanao jiweza wanamitandao miwili nyinyi mmeanza kusajili simu juzi juzi
      Line mtu ulikuwa unanunua barabarani kama unanunua karanga.

  • @nassorjabry5655
    @nassorjabry5655 Před 7 lety

    Hahaha haha ayo huko siomchezo yani full utelezi ukioa unakaa kwa mkee dwaaaaaax sema nn ukibahatika kwenda tena wambie waongeze sheria namatumizi ataoe mkee ntanunua BMW hihihihi vitz zimezidi 😂😂😂😂😂

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 měsíci

      😂😂😂Mnapenda vya bure mhh

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu8812 Před 7 lety +2

    Nimeyapenda sana mazingira yake ila sio kwa vits zile 😋😋😋😋 ukiwa na vogue lazima uitambulishe jamhuri

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  Před 7 lety +2

      hahahahhahah umenichekesha sana

    • @juliusuronu8812
      @juliusuronu8812 Před 7 lety

      Yan documentary nzima sijaona hata Prado....kweli hiyo ni COMMORO hhahahahha

    • @islamnurdin389
      @islamnurdin389 Před 7 lety +1

      Millard Ayo uyo dada anawadanganya kidogo sijuw kiswahili kinamsumbuwa

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 Před 6 lety

      Yah lazima jamhuri yamagu ijulishwe

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 Před 6 lety

      Millard Ayo tafuta mzaliwa wa comoro sio mpita njia halafu mtu mwenyewe haeleweki anakurupuka tu. Sisi hapa tangu tuanze kutumia simu zamkononi lazima ufike ofisini na kitambulisho chako ukasajiliwe halafu ndio upewe line.huko tz line watu walikuwa nawanunua barabarani kama unanunua nyanaya tu unanunuwa unaweka kwenye simu yako. Ilikuwa 2009 ndio mlioanza taratibu zaku sajili.
      Mimi nilipitia hiyo ishu.

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 Před 4 lety

    tutajie fursa za huko tuje kufanya biashara

  • @shabanramadhan3940
    @shabanramadhan3940 Před 7 lety

    Yaaan nyuma tena sanaaa

  • @famffamf40
    @famffamf40 Před 7 lety

    She's not the first Why didn't ask the first

  • @hammerQ954
    @hammerQ954 Před 7 lety +1

    upande wa mama yangu

  • @decodesttz
    @decodesttz Před rokem

    sasa uko s wawaachie tu samak waish

  • @BILALKASSIM-ol6kk
    @BILALKASSIM-ol6kk Před 8 měsíci

    Mh

  • @mgenisana7610
    @mgenisana7610 Před 7 lety

    Pesa yetu kweli karatasi😂😂

  • @philipomakanamabilikaathum6394

    hiyo nchi bado inatecnelojia ndogo inamitandao Miwili daah noumer

  • @ashahaji4936
    @ashahaji4936 Před 7 lety

    Milady nauli ya tz kwenda huko sh ngap?

  • @kingroller5456
    @kingroller5456 Před 7 lety

    usafiri ukoje kutoka dar mpaka comoro? unasafiri kwanjia gani ?

  • @metalcombat4470
    @metalcombat4470 Před 7 lety

    Wame tawala Wafaransa huko hivyo marndeleo ni big issue. Waambie kuhusu ADA, Millard. Kwa Comoro kwa mke ndo kwenye familia na si kwa mume.

  • @alawithebestconcept231

    Please go back to making a video nowadays because something it's readying change 🇰🇲🇰🇲😁😁

  • @alinasor8553
    @alinasor8553 Před 23 dny

    Bc kuzuri uko

  • @shabanidigalu6683
    @shabanidigalu6683 Před 2 lety

    Vitz kama bodaboda

  • @nakalikyumile3234
    @nakalikyumile3234 Před rokem

    Hii interview ya kipuuzi ni sawa na historia ya jamii fulani, kuandikwa na jamii tofauti, mwandishi ilitakiwa a wahoji wenyeji, huwezi ukaja kwetu wanyakyusa, ati ukataka historia yetu kule busokelo ati ukaanza kuwahoji wahehe wa iringa! Idiots

  • @islamnurdin389
    @islamnurdin389 Před 7 lety +1

    comores hamna dala dala muini ndio maana unaona izo gari ndogo afu uyu dada anae hojiwa hapa ni muongo sijuw kiswahili kinamsumbuwa au

    • @fatimayoussouf4878
      @fatimayoussouf4878 Před 6 lety

      Islam Nurdin anakurupuka tu

    • @sadikimgassa4215
      @sadikimgassa4215 Před 5 lety

      Islam Nurdin Dada anae hojiwa anaitwa mwanjuma Ismael ni mcomoro mwenye makazi Yale dar es salaam Tz,na anaishi Kigamboni,na ameolewa na mwanaume Wa kicomoro anayeishi ufaransa

    • @hooswengosha2985
      @hooswengosha2985 Před 3 lety

      Tupe kweli yko

    • @lydiampayo597
      @lydiampayo597 Před 5 měsíci

      Yupo facts,,ila ww ndo hujui

  • @aliykibabe9033
    @aliykibabe9033 Před 4 lety

    Hakufai uko

  • @faidasemitende8147
    @faidasemitende8147 Před rokem +1

    Broo mm Niko huku

    • @dseven7094
      @dseven7094 Před 9 měsíci

      mzee natka nije nitembee huko niandae kam bei gani hivi

  • @fatimayoussouf4878
    @fatimayoussouf4878 Před 6 lety +4

    Halafu wewe ayo,huyo dada nimuongo, kwanza ukitaka kujuwa vizuri katika nchi yoyote unatafuta mzaliwa sio mtu ambae anaishi. hata kama aliishi miaka 100 hawezi kukwambia ukweli halafu hilo dada muongo kabisa anajifanya mjuaji mtu mwenyewe hajui chochote kuhusu mila na desturi za comoro anakurupuka kuelezea asioyajuwa . Eti lazima mwanaume aishi kwa mkewe.
    Mboba kuna wanaume wanajenga nyumbazao na wana wachukuwa wakezao wanaishi pope .
    Cha pili wewe ayo kila kitu kinachofanyika nchi yoyote kuna kuwa na hikma ndani yake yake
    Kwanini hujamuulizia hikma yakuwa mwanamke anajengewa?
    Ndio mana nilisema pale awali kwamba ungetafuta mzaliwa, sio mtu wakuiishi.
    Hayo magorofa mnayo yavunia
    Moroni tuna papenda kama valivyo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před 2 lety

      Je wewe ni mkomoro

    • @decodesttz
      @decodesttz Před rokem

      kubaya bwana hyp nchi mlitakiwa muwaachie samak nao waishi so kwakuish watu huko😊✌KUBAYAAAA

    • @lovenessmushendwa1230
      @lovenessmushendwa1230 Před rokem

      Ni kweli: yupo sahihi

    • @JanethMadios-oe5ue
      @JanethMadios-oe5ue Před 9 měsíci

      Mbona imekuuma dada, kubaya ndio kwani uongo???? Tena kubaya haswaaaa hapo mjini kwenu ndo kama kijijini kwetu tuu ni kubaya kubaya kubaya hata kama mnajivunia lazima mjivunie ndo kwenu tena ila kiuhalisia ni kamji kabaya afu kanatisha sijui kapoje kapoje mimi siwezi ishi huko bora niende nikaishi kijijini kwetu tuu

    • @abedysteven4930
      @abedysteven4930 Před 4 měsíci

      ​@Janethhahaha🤣🤣🤣🤣Madios-oe5ue