MAKONDA AKASIRIKA, ATOA MAFUTA YA KUPAMBANA NA WEZI WA ARUSHA "TUTALAUMIANA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2024

Komentáře • 70

  • @nahlaaasidee1848
    @nahlaaasidee1848 Před 21 dnem +2

    Mh Makonda Allah akulinde dhidi ya wabaya katika juhudi zako za kujitoa kwa ajili ya wananchi wenzako, huo ndo uzalendo na ubunifu wa uongozi,...wananchi tumuunge mkono Mh Makonda ktk harakati zake kwa kweli anajitoa kwa ajili ya wananchi wenzake...
    Kwa kweli Mola akulinde, tupo pamoja na ww mheshimiwa.

  • @Innocentnyika-ml5tr
    @Innocentnyika-ml5tr Před 22 dny +5

    Safi you are more than leader

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před 22 dny +4

    Makonda Allahu Akuhifadhi wewe na Family yako

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed Před 22 dny +4

    Makonda Mbunifu sanaaaaaaa ila kua na Subra ya kufika mbali Utanikumbuka ❤❤❤❤❤❤

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před 22 dny +1

      Unamaana anaharaka kufika mbali au mbona sielewi 🤔🤔🤔

    • @salimsoyo8118
      @salimsoyo8118 Před 21 dnem

      ,,😂😂😂😂😂😂😂​@@user-nb6yh2bn9y

  • @RubenMmassy
    @RubenMmassy Před 20 dny

    Mhe. Paul Makonda hongera sana kwa kuanzisha hilo zoezi la kutoa mafuta na vitendea kazi kama magari na pikipiki kwa ajili ya kukomesha zoezi la wizi

  • @PeterMichael-ks4jw
    @PeterMichael-ks4jw Před 22 dny +1

    Asante sana makonda kazi nzuri

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před 22 dny +4

    Mm kwa kwel nasema kutoka moyon CCM mpen nafac makonda ambayo atatugusa watanzania wotee hata ya uwazir mkubwa nabbaadae ikiwezekana kwa mapenz ya mungu aiongoz Tanzania

  • @PrinceHendry-hp8vv
    @PrinceHendry-hp8vv Před 22 dny +6

    Wanapigaga konyagi ya kupima usiku mkuu chai watatapika

  • @user-qg3nu1kv2n
    @user-qg3nu1kv2n Před 22 dny +5

    Umetoa mafuta mengi sana mkuu toa lita 100 tu kwa wananchi wenye hasira kali utakuwa umeokoa mafuta mengi sana

    • @ms123ru
      @ms123ru Před 22 dny +1

      😂😂😂😂😂😂 daah kaka

  • @emanuelavaleriani8646
    @emanuelavaleriani8646 Před 22 dny +2

    Arusha mpo vizuri

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i Před 22 dny +1

    Pamoja sana bingwa 👊

  • @hassanmkono1563
    @hassanmkono1563 Před 21 dnem

    Well said broo

  • @user-xw3kj6dt7p
    @user-xw3kj6dt7p Před 21 dnem

    Mmmh wewe ni mfano wa kuigwa upo vizuri sana barikiwa sana

  • @yessesamsom961
    @yessesamsom961 Před 21 dnem

    Safi sana kamanda makonda ila la zisda? Ni huu usafiri wa Costa zinazoenda moshi kutoka arusha upakuani wake sio mzuri siti ziko nne 4 ila aburia wanafisiwa wake watano haifai mkuu tunaomba ilikemee hilo tafadhali sana kwaujumla hata zinazoenda kikatiti nikitokea arusha mjini na zo ni hivyohivyo tunaomba ilikemee hilo tafadhali sana tuko pamoja mkuu wetu.

  • @user-yc3hb9wl6b
    @user-yc3hb9wl6b Před 22 dny +1

    Mungu Makonda mpe awe rais wa nchi Mungu naomba mpe nafasi hiyo

  • @GervasiMwacha
    @GervasiMwacha Před 21 dnem +2

    Haya sasa. Na kahawa ya usiku mtapata pigeni kazi wakuu.

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 Před 20 dny

    Safi sana

  • @HamadBashir-bs5wo
    @HamadBashir-bs5wo Před 22 dny +2

    Wawekewe nakupigwa picha kwenye vituo vya mafuta

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c Před 22 dny +3

    Mkuu mm naamin utatoa ila wana tabia yakusema hawana mafuta yan hiyo haikwepeki hiyo ni tabia yao hapo wataoiga salut sana ila kwenye utekelezaji mh

  • @Franco_carlo25
    @Franco_carlo25 Před 21 dnem

    Nilidhani ni mafuta ya kuwachomea wezi😂😂😂😂

  • @user-id6xo9td6k
    @user-id6xo9td6k Před 22 dny +3

    Mmmh dogo ww, kongole,ni.mbunifu sana. Endelea kuna nuru mbele yako.

  • @kolumanialoyce4623
    @kolumanialoyce4623 Před 21 dnem

    mkuu wangu wa mkoa MUNGU yupo
    pamoja na wewe fanya kazi tupo pamoja

  • @hbdina
    @hbdina Před 22 dny +2

    😂😂😂Makonda watu weusi tuige mfano wa Kiongozi huyu kwa moyo wa dhati anahudumia taifa la Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿

    • @hbdina
      @hbdina Před 21 dnem

      Kwanini viongozi weusi wasiwe kama Makonda?Nchi za Kiafrica zingekuwa mbali kiuchumi na maendeleo ya jamii kiujumla

  • @nickmkude7571
    @nickmkude7571 Před 22 dny +1

    Makonda ananikumbusha historia ya Yusuph alivyokuaga mbunifu kuitoa kwenye njaa nchi ya misri

  • @GiftAyo-s9e
    @GiftAyo-s9e Před 21 dnem

    Tunamshukuru mama kwa kutupa uyu kiumbe jamn

  • @aloyztv8434
    @aloyztv8434 Před 20 dny

    Safi sana ila sasa katabia ka kusema tuchangie kataisha hauuu???

  • @cosein
    @cosein Před 22 dny

    Hapo kwenye kahawa ni htr sana

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před 22 dny +2

    Usalama ukishakaa vizuri ingia kwa wakulima wapate pembejeo wazalishe vya kutosha. Nani kama wewe? Hakuna!!

  • @aguumoppao15
    @aguumoppao15 Před 21 dnem

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m Před 22 dny +2

    Wizara husika mpoo

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Před 22 dny +1

    Mitano tena

  • @feysalramadhan8541
    @feysalramadhan8541 Před 22 dny

    Eye ndo mwekit wa usalama mkoa..ivo lazima atengeze usalama wakutosha kwenye mkoa wake,,aman ikiwemo laia hufanya kaz vzur ..binadam mda mwngne tusibeze kilaktu .

  • @warrenmgode1837
    @warrenmgode1837 Před 21 dnem

    Nikweli selikali inaweza kasa mafuta, hii ni mbinu za kisiasa,kutishya watu polis wanafeli makonda anazalilisha jeshi mafuta ni aibu

  • @SmilingFuchsiaFlower-jl7dg

    President poul makonda

  • @NeemaNjera-ho6ln
    @NeemaNjera-ho6ln Před 22 dny +1

    Hao.polisi.wenyewe.waizi.

  • @paulolmabu7161
    @paulolmabu7161 Před 18 dny

    Kuna wakati unatamani baadhi ya matamko ya Makonda yatimizwe na mikoa yote

  • @DM_15
    @DM_15 Před 22 dny +1

    Safisana

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 22 dny

    Yani makonda bn kila sem akipita anaacha alama Yani kapewa mkoa anafanya kazi kweli kama kapewa nchi sasa akipewa nchi sibalaa iyo

  • @kalengashoppingcenter1108

    Mafuta yatauzwa hayo sio mda na watendaji waovu unao humo humo,,,, tena washatafuta wateja vile tu ulivyowaambia

  • @ShamsiKasoma-fn4cl
    @ShamsiKasoma-fn4cl Před 21 dnem

    kuna mtu anasema msomi halafu maarifa hana ili jamaa hata lisingeenda shule hata darasa mmoja kwa kaz hz ni zaidi ya msoma piga kaz kaka

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao Před 21 dnem

    Hiii Millard ayo. Niyakinafki Mambo ya CHADEMA hairushi achaaaaa roho mbayaaa u jamaa

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd Před 19 dny

      Ushaona chadema wanahudumia wananchi wacha siasa

    • @dizzosukariyaoSukariyao
      @dizzosukariyaoSukariyao Před 19 dny

      @@AllyMaya-yj3xdKwan u umeudumiwa unavyo sema Chadema aiudumii wananchii 🤣 unafel

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 22 dny

    Watayauza yote hayo mafuta

    • @msafiriomary893
      @msafiriomary893 Před 22 dny

      Hapo Sasa wanainchi mjiandae kubambikizwa kesi hro diri kwa polis wamepata

  • @ukweli255
    @ukweli255 Před 22 dny +4

    Kuna Ubaya Gani hili Taifa Likapata viongozi Jasiri na wenye Maono tu...Hasa kutoka Kanda ya Ziwa
    Fikiria John Heche Rais wa Tanzania halafu Paulo Makonda Waziri Mkuu🤠

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 22 dny

    JWTZ unaiingizaje huku?

    • @salvatoryboniface1089
      @salvatoryboniface1089 Před 21 dnem

      Kwani ndo nn wasiingizwe huko? Shda ni nn kwa mtazamo wako

    • @celestinermantenga2463
      @celestinermantenga2463 Před 21 dnem

      @@salvatoryboniface1089 hao JWTZ lazima wawepo wezi wengine wana mbinu za Al-shabab lazima wakutane na hiyo kubwa yake JWTZ.

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 22 dny +1

    Lakini ujue hiyo siyo yako,ni kazi ya wizara ya mambo ya ndani.Wewe fikiria kwa nini kuna wizi na ukomeshe umasikini wa wananchi masikini wasio na kipato.
    Hata uwape mapipa ya mafuta
    kama hujui namna ya kuondoa umasikini ni bure.
    Ni bahati mbaya sana kuwa na viongozi wasiojali wanyonge.
    Halafu hayo mafuta unayodai mpaka Mungu aseme basi 😂,kwani ni mvua?

    • @user-id6xo9td6k
      @user-id6xo9td6k Před 22 dny +1

      Unashangaza sana

    • @AleiHadji-js3ed
      @AleiHadji-js3ed Před 22 dny

      Wacha Choyo 😢😢😢😢

    • @KevinJamesVictor-os5xd
      @KevinJamesVictor-os5xd Před 22 dny +1

      Kwn ukiwa maskini ndo ufanye uhalifu? Makonda tunakuombea sn bro pga kzi

    • @florianhenry7198
      @florianhenry7198 Před 22 dny +1

      Wewe kibaka nn umasikin anawezaje kumuondoa kwako usipofanya kazi na kulindiwa Mali zako Kwa usalama ??

    • @salvatoryboniface1089
      @salvatoryboniface1089 Před 21 dnem

      Sawa hyo cyo yake nahc itakuwa y'ako,,,uvunjifu wa Amani unapotokea katika mkoa anaewajibika ni wizara cndyo😂😂 kweli Akili ni nywele

  • @robertngowi9228
    @robertngowi9228 Před 22 dny +1

    Vibaka wanachomwa kila leo mh usiwalee hao wanaojiita wadudu futa kabisa huo ujinga wa wadudu watakuangusha mh