Mh Makonda Allah akulinde dhidi ya wabaya katika juhudi zako za kujitoa kwa ajili ya wananchi wenzako, huo ndo uzalendo na ubunifu wa uongozi,...wananchi tumuunge mkono Mh Makonda ktk harakati zake kwa kweli anajitoa kwa ajili ya wananchi wenzake... Kwa kweli Mola akulinde, tupo pamoja na ww mheshimiwa.
Mm kwa kwel nasema kutoka moyon CCM mpen nafac makonda ambayo atatugusa watanzania wotee hata ya uwazir mkubwa nabbaadae ikiwezekana kwa mapenz ya mungu aiongoz Tanzania
Safi sana kamanda makonda ila la zisda? Ni huu usafiri wa Costa zinazoenda moshi kutoka arusha upakuani wake sio mzuri siti ziko nne 4 ila aburia wanafisiwa wake watano haifai mkuu tunaomba ilikemee hilo tafadhali sana kwaujumla hata zinazoenda kikatiti nikitokea arusha mjini na zo ni hivyohivyo tunaomba ilikemee hilo tafadhali sana tuko pamoja mkuu wetu.
Kuna Ubaya Gani hili Taifa Likapata viongozi Jasiri na wenye Maono tu...Hasa kutoka Kanda ya Ziwa Fikiria John Heche Rais wa Tanzania halafu Paulo Makonda Waziri Mkuu🤠
Lakini ujue hiyo siyo yako,ni kazi ya wizara ya mambo ya ndani.Wewe fikiria kwa nini kuna wizi na ukomeshe umasikini wa wananchi masikini wasio na kipato. Hata uwape mapipa ya mafuta kama hujui namna ya kuondoa umasikini ni bure. Ni bahati mbaya sana kuwa na viongozi wasiojali wanyonge. Halafu hayo mafuta unayodai mpaka Mungu aseme basi 😂,kwani ni mvua?
Mh Makonda Allah akulinde dhidi ya wabaya katika juhudi zako za kujitoa kwa ajili ya wananchi wenzako, huo ndo uzalendo na ubunifu wa uongozi,...wananchi tumuunge mkono Mh Makonda ktk harakati zake kwa kweli anajitoa kwa ajili ya wananchi wenzake...
Kwa kweli Mola akulinde, tupo pamoja na ww mheshimiwa.
Safi you are more than leader
Makonda Allahu Akuhifadhi wewe na Family yako
Makonda Mbunifu sanaaaaaaa ila kua na Subra ya kufika mbali Utanikumbuka ❤❤❤❤❤❤
Unamaana anaharaka kufika mbali au mbona sielewi 🤔🤔🤔
,,😂😂😂😂😂😂😂@@user-nb6yh2bn9y
Mhe. Paul Makonda hongera sana kwa kuanzisha hilo zoezi la kutoa mafuta na vitendea kazi kama magari na pikipiki kwa ajili ya kukomesha zoezi la wizi
Asante sana makonda kazi nzuri
Mm kwa kwel nasema kutoka moyon CCM mpen nafac makonda ambayo atatugusa watanzania wotee hata ya uwazir mkubwa nabbaadae ikiwezekana kwa mapenz ya mungu aiongoz Tanzania
No awe mkuu wa majeshi yote Africa
Wanapigaga konyagi ya kupima usiku mkuu chai watatapika
Umetoa mafuta mengi sana mkuu toa lita 100 tu kwa wananchi wenye hasira kali utakuwa umeokoa mafuta mengi sana
😂😂😂😂😂😂 daah kaka
Arusha mpo vizuri
Pamoja sana bingwa 👊
Well said broo
Mmmh wewe ni mfano wa kuigwa upo vizuri sana barikiwa sana
Safi sana kamanda makonda ila la zisda? Ni huu usafiri wa Costa zinazoenda moshi kutoka arusha upakuani wake sio mzuri siti ziko nne 4 ila aburia wanafisiwa wake watano haifai mkuu tunaomba ilikemee hilo tafadhali sana kwaujumla hata zinazoenda kikatiti nikitokea arusha mjini na zo ni hivyohivyo tunaomba ilikemee hilo tafadhali sana tuko pamoja mkuu wetu.
Mungu Makonda mpe awe rais wa nchi Mungu naomba mpe nafasi hiyo
Haya sasa. Na kahawa ya usiku mtapata pigeni kazi wakuu.
Safi sana
Wawekewe nakupigwa picha kwenye vituo vya mafuta
Mkuu mm naamin utatoa ila wana tabia yakusema hawana mafuta yan hiyo haikwepeki hiyo ni tabia yao hapo wataoiga salut sana ila kwenye utekelezaji mh
Nilidhani ni mafuta ya kuwachomea wezi😂😂😂😂
Mmmh dogo ww, kongole,ni.mbunifu sana. Endelea kuna nuru mbele yako.
mkuu wangu wa mkoa MUNGU yupo
pamoja na wewe fanya kazi tupo pamoja
😂😂😂Makonda watu weusi tuige mfano wa Kiongozi huyu kwa moyo wa dhati anahudumia taifa la Tanzania 🇹🇿 🇹🇿 🇹🇿
Kwanini viongozi weusi wasiwe kama Makonda?Nchi za Kiafrica zingekuwa mbali kiuchumi na maendeleo ya jamii kiujumla
Makonda ananikumbusha historia ya Yusuph alivyokuaga mbunifu kuitoa kwenye njaa nchi ya misri
Tunamshukuru mama kwa kutupa uyu kiumbe jamn
Safi sana ila sasa katabia ka kusema tuchangie kataisha hauuu???
Hapo kwenye kahawa ni htr sana
Usalama ukishakaa vizuri ingia kwa wakulima wapate pembejeo wazalishe vya kutosha. Nani kama wewe? Hakuna!!
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Wizara husika mpoo
Mitano tena
Eye ndo mwekit wa usalama mkoa..ivo lazima atengeze usalama wakutosha kwenye mkoa wake,,aman ikiwemo laia hufanya kaz vzur ..binadam mda mwngne tusibeze kilaktu .
Nikweli selikali inaweza kasa mafuta, hii ni mbinu za kisiasa,kutishya watu polis wanafeli makonda anazalilisha jeshi mafuta ni aibu
President poul makonda
Hao.polisi.wenyewe.waizi.
Kuna wakati unatamani baadhi ya matamko ya Makonda yatimizwe na mikoa yote
Safisana
Yani makonda bn kila sem akipita anaacha alama Yani kapewa mkoa anafanya kazi kweli kama kapewa nchi sasa akipewa nchi sibalaa iyo
Mafuta yatauzwa hayo sio mda na watendaji waovu unao humo humo,,,, tena washatafuta wateja vile tu ulivyowaambia
kuna mtu anasema msomi halafu maarifa hana ili jamaa hata lisingeenda shule hata darasa mmoja kwa kaz hz ni zaidi ya msoma piga kaz kaka
Hiii Millard ayo. Niyakinafki Mambo ya CHADEMA hairushi achaaaaa roho mbayaaa u jamaa
Ushaona chadema wanahudumia wananchi wacha siasa
@@AllyMaya-yj3xdKwan u umeudumiwa unavyo sema Chadema aiudumii wananchii 🤣 unafel
Watayauza yote hayo mafuta
Hapo Sasa wanainchi mjiandae kubambikizwa kesi hro diri kwa polis wamepata
Kuna Ubaya Gani hili Taifa Likapata viongozi Jasiri na wenye Maono tu...Hasa kutoka Kanda ya Ziwa
Fikiria John Heche Rais wa Tanzania halafu Paulo Makonda Waziri Mkuu🤠
JWTZ unaiingizaje huku?
Kwani ndo nn wasiingizwe huko? Shda ni nn kwa mtazamo wako
@@salvatoryboniface1089 hao JWTZ lazima wawepo wezi wengine wana mbinu za Al-shabab lazima wakutane na hiyo kubwa yake JWTZ.
Lakini ujue hiyo siyo yako,ni kazi ya wizara ya mambo ya ndani.Wewe fikiria kwa nini kuna wizi na ukomeshe umasikini wa wananchi masikini wasio na kipato.
Hata uwape mapipa ya mafuta
kama hujui namna ya kuondoa umasikini ni bure.
Ni bahati mbaya sana kuwa na viongozi wasiojali wanyonge.
Halafu hayo mafuta unayodai mpaka Mungu aseme basi 😂,kwani ni mvua?
Unashangaza sana
Wacha Choyo 😢😢😢😢
Kwn ukiwa maskini ndo ufanye uhalifu? Makonda tunakuombea sn bro pga kzi
Wewe kibaka nn umasikin anawezaje kumuondoa kwako usipofanya kazi na kulindiwa Mali zako Kwa usalama ??
Sawa hyo cyo yake nahc itakuwa y'ako,,,uvunjifu wa Amani unapotokea katika mkoa anaewajibika ni wizara cndyo😂😂 kweli Akili ni nywele
Vibaka wanachomwa kila leo mh usiwalee hao wanaojiita wadudu futa kabisa huo ujinga wa wadudu watakuangusha mh
Sio wote niwahalifu mkuu,japo ndani Yao Kuna wahalifu.