VITU SITA AMBAVYO HAKUNA KIGOMA "SUPERMARKET, SHOWROOMS, CHUO KIKUU"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 01. 2022

Komentáře • 86

  • @ommymp9058
    @ommymp9058 Před 2 lety +7

    Nashukuru sana kwa taarifa hii,maana ni upendo wa ajabu kwa wanakigoma maana umefungua milango ya fursa ili wenye uwezo wawekeze,ingawa katika vitu hivo mikoa mingi hakuna Kama singida,kagera nk ila kwakua umeiona kgm naomba mambo haya yafike ikulu hasa UNIVERSITY

  • @lelkaya7912
    @lelkaya7912 Před 2 lety +7

    Mimi ni mkongomani ambaye nilizowea kutembelea Kigoma sana, na nafurahi kuona video nzuri ya drone footage ya Kigoma. HASANTE Millard Ayo. Tungependelea kuona mitaa jinsi imebadilika kama Mji mwema Kilima Hewa, Mwanga, Ujiji, . . .

    • @sebastianalbert2857
      @sebastianalbert2857 Před rokem +1

      Mimi ni mzaliwa wa Dodoma ila kigoma nimeishi sana maeneo ya kilima hewa nilikupenda sana kigoma

    • @francismadoshi8529
      @francismadoshi8529 Před rokem

      Mkoa wa Mwanza hauna University ya serikali. Ile iliyopo imejenggwa na wamisionary! Lini serikali itajenga chuo kikuu kama UCD au UDOM?

  • @mussajuma7119
    @mussajuma7119 Před rokem +1

    Kiuhalisia kigoma Ina badilika kigoma ya mwaka 2000 ni tofauti na ya mwaka 2023

  • @KhalidKhan-ud9cz
    @KhalidKhan-ud9cz Před 10 měsíci +1

    Tanzania Dar Esalam mzuri Sana 💝💞💝💞💝

  • @rugendorunene545
    @rugendorunene545 Před 2 lety

    This is so Educational.

  • @ndimuligobikingwe8562
    @ndimuligobikingwe8562 Před 2 lety +2

    Good nimeipenda Sana Ila kunavitu vingine ulivovitaja humo , mikoa mingi havipo , vingi ulivovisema vinapatika Sana Sana dar, Arusha na mwanza tu labda dodoma baadhi

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    Safi sana hiyo itawasaidia watu kujua fursa , naomba piga hivo mikoa yote , kujua nini hakipo..

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 Před 2 lety +5

    Mikoa mingine haina Ziwa wala bandari kama Kigoma. Kila Mkoa una Chuo Kikuu Huria. Hata Kigoma kipo!

  • @gracejulius3966
    @gracejulius3966 Před 2 lety +3

    Kigoma ina wasanii maarufu nchini wenye uwezo Mkubwa kifedha wanaweza kuja wekeza nyumbani hususani kwenye mapungufu uliyoyaona. Charity begins at home

  • @gapablessgadison6863
    @gapablessgadison6863 Před 2 lety +2

    MUNGU atusaidie turudi nyumbani kumenoga waha wenzangu njooni KIGOMA muwekeze😭😭

  • @yasiniamri5458
    @yasiniamri5458 Před 2 lety +2

    Nyumban kwangu🔥🔥🔥

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo Před měsícem

    Ooh okay

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem

    Ahsante sana kwa video hii yenye logic

  • @musamunyota5645
    @musamunyota5645 Před 2 lety

    🙌

  • @selemanishabani6843
    @selemanishabani6843 Před 2 lety +1

    Ni kweli kabisaaaa

  • @alluminiumexperttz.12mview13

    Mmewatangazia sunsets hotel bure

  • @amosmunezero9958
    @amosmunezero9958 Před 2 lety

    Wow, very strange, nilishawai kufika Kigoma, sikua najua kama hakuna choo kijuu, mji strategic kama Kigoma unakosa iyo huduma - Eh serekali inabidi itizame ilo jambo

  • @andrewmachage9102
    @andrewmachage9102 Před 2 lety +3

    Showroom ipo bn mji mwema pale ya mzee mmja anaitwa mtei

  • @micky7626
    @micky7626 Před 2 lety +1

    Home swt home

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 Před rokem +2

    Ni ukiritimba tu lkn kigoma iliyakiwa kua na kila kitu hata uwanja mkubwa wa ndege hapo ni mpakani hakukutakiwa kukosekana hivyo. Bandari inayopakana na nchi 3. Roho mbaya za watu.

  • @davidntahindwa752
    @davidntahindwa752 Před 6 měsíci +1

    mbona ka wafananisha na Dar

  • @salimramadhani740
    @salimramadhani740 Před rokem

    From Burundi in Cape Town sawa

  • @HARMONITZ
    @HARMONITZ Před 2 lety +4

    NIPA ZURI SANA, UMETAJA SITA YA SABA NI VIWANDA HAKUNA. JAPO HAVIPO BADO NITAUPENDA MKOA WANGU.

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety +1

      Mkoa mzuri, tena clean ! Mama Samia atawapa tuzo ya usafi! 🤣🤣🤣 Mmetaja viwanda, nami nitaongezea fursa zingine ambazo hazipo: Ya 8 ni AIRPORT ya kimataifa (kama ile ya Mwanza inayojengwa leo). Ya 9 ni SOKO la kisasa. Ya 10 ni Chuo cha VETA. Ya 12 ni HOSPITALI ya KANDA (Kama ile ya Bugando au ile itakayojengwa Chato). Ya 13 ni RELI (sgr) na STATION kubwa ya KISASA... (Kigoma is a strategic zone (Brdi, Congo, Rda)>>>>>>> Mkoa huu una historia kubwa, ila umesahaulika kwa muda mrefu sasa!

    • @bundende
      @bundende Před 2 lety

      ukwel mtupu uko fact kabisa

  • @gejoboyofficialtz8961

    My home

  • @hansmedia9767
    @hansmedia9767 Před 2 lety

    Cinema _ #HomeTheter

  • @alexjos7625
    @alexjos7625 Před rokem

    Kuna mini supermarkets

  • @jambo3751
    @jambo3751 Před 2 lety +1

    ALI KIBA NA DIAMOND njooni huku musikilize hii habari🏃🏃🏃.

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Před 2 lety +1

    Uchumi mdogo Kigoma vyote vilivyotajwa kwenye list havina tija/maslahi huko so haviwezi kulipa kibiashara. Hapo labda serikali ijenge chuo ila sio mtu binafsi lazima upate hasara takatifu. Nonetheless ni mkoa wenye potential. Natoka Kigoma by the way.

    • @hamidahamidu16
      @hamidahamidu16 Před 2 lety

      Well explained 👏 👌 👍 🙌 😀 ☺️

  • @bigboys016
    @bigboys016 Před 2 lety +3

    Ulete supermarket huku umuuzie nani wakati kilakitu sokomalungu kipo,

    • @amelinamwaduga9724
      @amelinamwaduga9724 Před 2 lety

      Aswaaaa

    • @ndimuligobikingwe8562
      @ndimuligobikingwe8562 Před 2 lety

      Aswaaa inabidi aelewe huyo mwandishi kuwa sisi kigoma tunakula vitu asilia, Nani aende kununua samaki supermarket sh 10000 wakati nikteremka hapo chini ziwan nakija na samaki wakutosha wa buku mbili, nachenchi inarudi

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Před 2 lety

      Kwahyo unadhani super marketing sawa na local market?ndio maana bado mko gizani mnahitaji mwanga

  • @patrickntwali2435
    @patrickntwali2435 Před 2 lety +1

    Kigoma was part of burundi before white colonial come. kiha and kirundi has same accent

    • @emmanuelchiza7733
      @emmanuelchiza7733 Před rokem +1

      Sasa shada ipo wapi,
      Kuna wahaya kagera pia uganda
      Kuna masai arusha pia kenya
      Kuna makonde mtwara pia Mozambique
      Kuna wanyasa ruvuma pia malawi

  • @user-qg1iy5ov3u
    @user-qg1iy5ov3u Před 11 měsíci +1

    Mkoa wa kigoma ulianza mwaka gani

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Před 2 lety

    Tanya ivo kwa mkoa wa morogoro

  • @vincosmeticsmarvin
    @vincosmeticsmarvin Před rokem

    Kigoma ifutwe tu 😂😂😂😂

  • @kapelotz9967
    @kapelotz9967 Před 2 lety

    Axante

  • @Dottopeche
    @Dottopeche Před 2 lety

    Sio kweli chuo kikuu kipo

  • @user-th9zs2ie4e
    @user-th9zs2ie4e Před 2 lety +1

    Ila saafiii tu c tunajivunia Ivo Ivo

  • @cvanoedward3093
    @cvanoedward3093 Před 2 lety +1

    Mengine hata Iringa hatuna

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri9453 Před 2 lety

    Mme kosa vua kusema

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před rokem

    Lkn si wanafuraha wenyw

  • @benjaminmshana9294
    @benjaminmshana9294 Před 2 lety

    Tafuta neno zuri kuwasilisha unachomaanisha sidhani kama ni sahihi supermarket kuita kitu, chuo Kikuu, showroom nk ukiwa mwana habari ni sehemu ya mwalimu kuelimisha jamii, pls

    • @selemanmaganga6013
      @selemanmaganga6013 Před 2 lety

      Ulitaka haitaje? alitaka haite mtu au; Waha bwana wabishi Kweli 😁😁😁

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Benjamin yuko sahihi... Journalist, unaweza kutumia neno "FURSA" (au fursa za kibiashara)

    • @benjaminmshana9294
      @benjaminmshana9294 Před 2 lety +1

      @@selemanmaganga6013 naamini hujanielewa kabisa, kwanza hujui Kiswahili hakuna neno HAITEJE wala HAITEJE, pili mimi sio Muha, tatu bora angetumia neno HUDUMA neno VITU SITA ..................., sio mahali pake - afuatilie kwa faida yake na kuuliza si ujinga

  • @donaldelias6689
    @donaldelias6689 Před 2 lety +1

    Kwaiyo ndo mtutangaze?

    • @boazgwanko7254
      @boazgwanko7254 Před rokem

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 tumekwishaaa

  • @ImmanuelRenatus
    @ImmanuelRenatus Před rokem

    Kwanza Selikar haina sapoti ya mkoa wetu umeutenga kabisa

  • @issabinmaryam7450
    @issabinmaryam7450 Před 2 lety +4

    Naskia pia hakuna watu weupe ni kweli ??

  • @boashamah3642
    @boashamah3642 Před 2 lety

    Mimi niko huku ulaya nilikuwa ninampango wakureta biashara ya magari madogo madogo

  • @emanuelmoshama3899
    @emanuelmoshama3899 Před 2 lety +1

    Sasa Lindi ata ivyo vilivyopo kigoma havipo

  • @bilalijuma527
    @bilalijuma527 Před 6 měsíci +1

    Uongo mtupu

  • @nasorobangara2924
    @nasorobangara2924 Před 2 lety

    Wee pimbi golofa zipo hadi rosha nane

  • @desmond-87
    @desmond-87 Před 2 lety +1

    Show room ipo

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 Před 2 lety

    Ila wana uchawi usisahau

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety +1

      😀🙆‍♀️Hawazidi Tanga, Lindi, Sumbawanga (Rukwa), nk...🚴‍♂️🚴‍♂️🚴‍♂️ Yaani, uchawi unanuka kila mahali 🤦‍♂️ Tumrudie Mwenyezi Mungu, jamaani!🙏🏽🙏🏽🤲🤲

  • @francismadoshi8529
    @francismadoshi8529 Před rokem +1

    Supermarket na choose kikuu havimo pia shinyanga na simiyu mikoa yenye zahabu na aliasing! Kwanini?
    Hata Geita region iliyo na mgodi wa dhahabu nyingi sana toka mwaka 1898 haina chuo kikuu au maghorofa marefu. Kwanini

  • @sidrasidra8616
    @sidrasidra8616 Před 2 lety +1

    Kigoma ni Burundi sema tuli wazulumu.😁ukweli ndio huu kata kubali ndio hivyo 🏃‍♀️

  • @frankngoloka2589
    @frankngoloka2589 Před 2 lety

    Waziri wa Elimu makamu wa Rais wote wanatoka huko,kwanini hawawatendei haki?

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 2 lety

      Tutamkumbuka JPM maana alituonyesha mfano Chato! Amebadili kwao katika dakika chache tu!

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri9453 Před 2 lety +1

    Mme kosa taarifa
    Kuna mikoa mingi tu hakuna hivyo vitu y kigoma mnakosa weredi

  • @Dottopeche
    @Dottopeche Před 2 lety

    Samahani kwa hiyo comment nisahihi kwa yote yaliyozungumzwa

  • @chumbulajames9895
    @chumbulajames9895 Před 2 lety

    Uko n kelele2 ndy wanajua najungupia

  • @niyomugabojohn8329
    @niyomugabojohn8329 Před 2 lety

    Kigoma ni wachawi ndio maana AkunA vyuo vikuu

  • @novatusyohana9349
    @novatusyohana9349 Před 2 lety

    Vyote hivyo sioni kma vina tija
    Tatzo kubwa mkoa wa kigoma Ni changa moto ya ajira hasa za viwandani maana vijana wote kigoma hatuna ajira zaidi ya kilimo Cha jimbe la mkono

  • @morombotv
    @morombotv Před 2 lety

    Cinema zpo ujafanya uchunguz wewe sema n dogo mwanga