Wachaga| Ukweli kuhusu tabia zao| kabila kubwa| wasomi| chini ya mlima Kilimanjaro

Sdílet
Vložit

Komentáře • 19

  • @annemlay11
    @annemlay11 Před rokem +3

    Umejieleza vizuri sana lakini wachaga sio wabinafsi bali hawana muda wa kupoteza hivo hujitenga na wazembe wanaoendeleza umaskini.

  • @natafutapesa9678
    @natafutapesa9678 Před 2 lety +4

    Daah msimulizi uko vizuri sana kaka ahsante sana kwa kutuletea historia za asili zetu Tanzania

  • @user-ih5nb9kv4y
    @user-ih5nb9kv4y Před 6 měsíci +1

    Simulizi yakoiko vizuri san kuna wachaga wengine hawajui kuusu koo zao kama mm. Nimejifunza mengi sana

  • @augustinomashallo8943
    @augustinomashallo8943 Před rokem +2

    Me yangu mashallo

  • @ericangao2243
    @ericangao2243 Před 6 měsíci +1

    Umejaribu kuweka wazi Lakin mengine sio kweli hasa koo na sehemu wanakoishi ..eti wabinafsi!!!..tunasubiri makabila mengine

  • @MariamHemed-zt8xo
    @MariamHemed-zt8xo Před 3 měsíci

    Wapare umewaachia wapii we huijui kilimanjaro vzur ndugu tuulize ss wazaliwa

  • @francismadoshi8529
    @francismadoshi8529 Před 11 měsíci +1

    Wewe unataka kudumisha ukabila tu!

  • @francismadoshi8529
    @francismadoshi8529 Před 11 měsíci +2

    Kwa nini hakuna lugha moja ya Kichagga kama vile Waha, Wahaya na Wanyamwezi wana lugha moja.

  • @emanuelurioh1431
    @emanuelurioh1431 Před 6 měsíci +1

    Una ukabila

  • @germinmassawe3240
    @germinmassawe3240 Před 2 lety +1

    Ooog saaana

  • @mariomsigwa9428
    @mariomsigwa9428 Před 2 lety +2

    Filihunja na eddy 💪

  • @salumzuberi1379
    @salumzuberi1379 Před 2 lety +1

    Yenyew mzee... Af naomba picha na wewe..😁

  • @gracemosha5634
    @gracemosha5634 Před 2 lety

    So kweli kwamba wachagga wanarudi Christmas kutambikia Bali ni kupumzika na kukutana na familia hayo mengine umeongezea.na Kila familia hutofautiana.

  • @mbuyaelyaoni6266
    @mbuyaelyaoni6266 Před rokem +1

    Nadhani ni vyema ukafanya tafiti sawasawa kabla jujatoa maelezo yako. Kuna mambo mengi umeyaelezea ambayo nadhani kwako ni ya kutunga, I mean fiction. Nina swali, je, hizi stori za ajabu ajabu unataka kumfurahisha nani?