Velikost videa: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Zobrazit ovladače přehrávání
Automatické přehrávání
Přehrát
Umejieleza vizuri sana lakini wachaga sio wabinafsi bali hawana muda wa kupoteza hivo hujitenga na wazembe wanaoendeleza umaskini.
Daah msimulizi uko vizuri sana kaka ahsante sana kwa kutuletea historia za asili zetu Tanzania
Simulizi yakoiko vizuri san kuna wachaga wengine hawajui kuusu koo zao kama mm. Nimejifunza mengi sana
Me yangu mashallo
Umejaribu kuweka wazi Lakin mengine sio kweli hasa koo na sehemu wanakoishi ..eti wabinafsi!!!..tunasubiri makabila mengine
Wapare umewaachia wapii we huijui kilimanjaro vzur ndugu tuulize ss wazaliwa
Wewe unataka kudumisha ukabila tu!
Kwa nini hakuna lugha moja ya Kichagga kama vile Waha, Wahaya na Wanyamwezi wana lugha moja.
😅😅😅😅😅😅
Una ukabila
Ooog saaana
Umetuweza bro
Filihunja na eddy 💪
Yenyew mzee... Af naomba picha na wewe..😁
Ucjal kaka
So kweli kwamba wachagga wanarudi Christmas kutambikia Bali ni kupumzika na kukutana na familia hayo mengine umeongezea.na Kila familia hutofautiana.
Tatizo hawajui wanapenda kusema VITU BILA UTHIBITISHO😂
Nadhani ni vyema ukafanya tafiti sawasawa kabla jujatoa maelezo yako. Kuna mambo mengi umeyaelezea ambayo nadhani kwako ni ya kutunga, I mean fiction. Nina swali, je, hizi stori za ajabu ajabu unataka kumfurahisha nani?
😅😅😅😅😅😅😅
Umejieleza vizuri sana lakini wachaga sio wabinafsi bali hawana muda wa kupoteza hivo hujitenga na wazembe wanaoendeleza umaskini.
Daah msimulizi uko vizuri sana kaka ahsante sana kwa kutuletea historia za asili zetu Tanzania
Simulizi yakoiko vizuri san kuna wachaga wengine hawajui kuusu koo zao kama mm. Nimejifunza mengi sana
Me yangu mashallo
Umejaribu kuweka wazi Lakin mengine sio kweli hasa koo na sehemu wanakoishi ..eti wabinafsi!!!..tunasubiri makabila mengine
Wapare umewaachia wapii we huijui kilimanjaro vzur ndugu tuulize ss wazaliwa
Wewe unataka kudumisha ukabila tu!
Kwa nini hakuna lugha moja ya Kichagga kama vile Waha, Wahaya na Wanyamwezi wana lugha moja.
😅😅😅😅😅😅
Una ukabila
Ooog saaana
Umetuweza bro
Filihunja na eddy 💪
Yenyew mzee... Af naomba picha na wewe..😁
Ucjal kaka
So kweli kwamba wachagga wanarudi Christmas kutambikia Bali ni kupumzika na kukutana na familia hayo mengine umeongezea.na Kila familia hutofautiana.
Tatizo hawajui wanapenda kusema VITU BILA UTHIBITISHO😂
Nadhani ni vyema ukafanya tafiti sawasawa kabla jujatoa maelezo yako. Kuna mambo mengi umeyaelezea ambayo nadhani kwako ni ya kutunga, I mean fiction. Nina swali, je, hizi stori za ajabu ajabu unataka kumfurahisha nani?
😅😅😅😅😅😅😅