DKT SAMIA AWA MKALI KUKAMILIKA KWA MRADI WA UMEME KATAVI ATOA MAAGIZO MAZITO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza mara baada ya kutembelea mradi wa Ujenzi wa njia ya Kusafirisha umeme wa msongo wa Kilovoti 132 kutoka Tabora hadi Mpanda pamoja na Ujenzi wa vituo vya Kupoza na kusambaza Umeme vya Inyonga, wilayani Mlele, mkoani Katavi leo terehe 13 Julai, 2024.

Komentáře •