🔴
Vložit
- čas přidán 13. 06. 2024
- 🔴#Live: ALIYEKUWA MSAIDIZI wa RAIS SAMIA - PETRO MAGOTI AAPA KUWA MKUU wa WILAYA ya KISARAWE...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Hongera safi Petro,mwenyezi mungu akutangulie na kukusaidia kwenda kutumikia nchi yetu,CONGRATS
Saafi Mhe Petro Magoti Mungu akuongoze vyema katika usmamizi wako wa ulinzi nausarama wilaya ya kisarawe.
Bonge Moja la point. Nafanya kazi sana usinihurumie big up mh
Well said mh. Mungu akuwezeshe utimize kazi zako vyema.
Muheshimiwa una sauti kama ya uncle Magufuli. Mungu akulinde nakukubali sana
Safi sana uteuzi wa haki. Namuona mkewe joy kanenepa mashallah, Mungu akutangulie mh Petro ❤.
Hongera sana Kwa kuaminiwa.
Hongera kaka
Amen
Ubarikiwe Raisi Samia
Safi sana Petro na hongera sana
Hongera sana magoti
Hongera sana mkuu mungu akuongoze salama
Dah
Pongezi mh, Rais kazi nzuri hiyo huna ubaguzi wowote
Hivi yule aliyekuwa anasema usichanganye siasa na dini yuko wapi? Barikiwe mr magoti
Mhhh sijawahi kuiona hii
Mwamba wa mzee wa mangu nina Imani naww kira rakheri mkuu
Mtu wa maana kabisa
Petro piga kazi mugu akutetee kwa kazi yako ya ukuu wa wilaya ya kisalawe
Mtu wa maana kabisa magoti
ANZA NA KIJIJI.CHA VISEGESE KISARAWE. WAMETUHUJUMU ARDHI UKANDA WA VIWANDA HV SASA NI MWAKA WA 12
Kila jema kaka
Yule marehemu bado hajaapishwa
Mkuu wa wilaya anaapishwa na mkuu wa mkoa.
Iv kikwete yupo wap siku iz
Ni Kiki au. Dc anaaposhwa na RC VIPI LEO PETRO.ANAAPOSHWA NA RAIS
Humuoni mkuu wa mkoa wa pwani au niwewale wapiga Kila kitu
Mkuu wa mkoa kama Rais
Tutapigwa mpaka tuchake
Mheshimiwa kijiji cha kisangile chore umeme umeishia kati tokea magufuri arivyokufa mpaka reo umeme hajafika barabara ajira ya akina mama hatuna mpaka tumekimbia nchi yangu nipo oman watoto wangu wanatabika utupe ajira na watoto wetu
Biblia hapo haina dill
Yahni
Mtu wa maana kabisa