![Mwanahabari Digital](/img/default-banner.jpg)
- 2 529
- 17 459 285
Mwanahabari Digital
Tanzania
Registrace 7. 02. 2017
Mwanahabari Digital we are dealing with providing all kind of news and broadcasting around East Africa.
Pata habari kwa haraka na uhakika kila wakati katika ukurasa huu. USISAHAU KU-SUBCRIBE
Pata habari kwa haraka na uhakika kila wakati katika ukurasa huu. USISAHAU KU-SUBCRIBE
Video
CLIP: MBOWE CHADEMA WATANGAZA VITA UCHAGUZI UJAO 2025 WADAI VISHINDO VYA MOTO KUIBEBA BENDERA
zhlédnutí 50Před 4 hodinami
CLIP: MBOWE CHADEMA WATANGAZA VITA UCHAGUZI UJAO 2025 WADAI VISHINDO VYA MOTO KUIBEBA BENDERA
VIDEO: UTAUPENDA UTANI WA DKT SAMIA KWA WAZIRI WA KILIMO MHE.BASHE NYUMBANI KWA MIZENGO PINDA
zhlédnutí 48Před 5 hodinami
VIDEO: UTAUPENDA UTANI WA DKT SAMIA KWA WAZIRI WA KILIMO MHE.BASHE NYUMBANI KWA MIZENGO PINDA
DUH ! DKT SAMIA AWAKA MBAYA "UKISAFIRISHA CHAKULA NJE YA NCHI ,UWE NA KIBALI KUTOKA WIZARA YA KILIMO
zhlédnutí 76Před 6 hodinami
*ANAETOA CHAKULA NJE AWE NA KIBALI*📌 Hayo ameyasema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan leo Julai 16,2024 wakati akizindua Vihenge, Maghala ya kuhifadhi Chakula ya NFRA na msimu wa ununuzi wa nafaka eneo la Konondo Halmashauri ya Sumbawanga Mkoani Rukwa Rais Samia _"Tunajenga Maghala ya aina hii Vihenge ili Wakulima mnapovuna Serikali iwezekununua na kuhifadhi k...
DKT .SAMIA AITAJA 2025 SUMBAWANGA ASEMA "TUHAKIKISHE TUNACHUKUA VITONGOJI VYOTE NA MITAA" RUKWA
zhlédnutí 165Před 8 hodinami
RAIS DKT.SAMIA AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI UWANJA WA NDEGE , *RUKWA* 📌 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka Jiwe la Msingi Uwanja wa Ndege wa Rukwa ikiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 16 Julai, 2024
SUALA LA UHARIFU KATAVI RAIS SAMIA AWEKA WAZI KILA KITU NAKUTOA MAAGIZO HAYA
zhlédnutí 171Před 12 hodinami
SUALA LA UHARIFU KATAVI RAIS SAMIA AWEKA WAZI KILA KITU NAKUTOA MAAGIZO HAYA
VIDEO :A-Z TRUMP ALIVOKOSWA NA RISASI MKUTANO UKAHAIRISHWA TAZAMA
zhlédnutí 611Před 4 hodinami
VIDEO :A-Z TRUMP ALIVOKOSWA NA RISASI MKUTANO UKAHAIRISHWA TAZAMA
KIVUMBI FREEMAN MBOWE APANGA KUISAFISHA CCM UCHAGUZI UJAO
zhlédnutí 302Před 7 hodinami
KIVUMBI FREEMAN MBOWE APANGA KUISAFISHA CCM UCHAGUZI UJAO
DKT SAMIA AWA MKALI KUKAMILIKA KWA MRADI WA UMEME KATAVI ATOA MAAGIZO MAZITO
zhlédnutí 352Před 7 hodinami
DKT SAMIA AWA MKALI KUKAMILIKA KWA MRADI WA UMEME KATAVI ATOA MAAGIZO MAZITO
SUGU AVURUGWA UPYA ! MBELE YA HADHARA AKUMBUSHIA ALIVOKAMATWA NAKUACHA WATU MIDOMO WAZI
zhlédnutí 437Před 9 hodinami
SUGU AVURUGWA UPYA ! MBELE YA HADHARA AKUMBUSHIA ALIVOKAMATWA NAKUACHA WATU MIDOMO WAZI
DUH! MBOWE ATOBOA SIRI JINSI MKURUGENZI WA PRECISION AIR ALIVYONYIMWA KUJENGA CHUO CHA URUBANI
zhlédnutí 557Před 9 hodinami
DUH! MBOWE ATOBOA SIRI JINSI MKURUGENZI WA PRECISION AIR ALIVYONYIMWA KUJENGA CHUO CHA URUBANI
HAIRUHUSIWI KUFUGA KWENYE VIZIMBA UKIONA MTU ANAWATESA "RIPOTI HARAKA" ANAW & TAWESO WAUNGANA KU....
zhlédnutí 167Před 9 hodinami
HAIRUHUSIWI KUFUGA KWENYE VIZIMBA UKIONA MTU ANAWATESA "RIPOTI HARAKA" ANAW & TAWESO WAUNGANA KU....
HISTORIA YA WAASISI WA CHADEMA WALIVYOPAMBANA KUSIMAMISHA CHAMA FAHAMU KILA KITU MPAKA MWISHO
zhlédnutí 449Před 16 hodinami
HISTORIA YA WAASISI WA CHADEMA WALIVYOPAMBANA KUSIMAMISHA CHAMA FAHAMU KILA KITU MPAKA MWISHO
"NIMEHAMA CHADEMA KUNA RUSHWA SANA " UPENDO PENEZA
zhlédnutí 751Před 19 hodinami
"NIMEHAMA CHADEMA KUNA RUSHWA SANA " UPENDO PENEZA
KIMEWAKA WAZIRI MKUU ABAINI MADUDU ''WAPELEKWE KWENYE VYOMBO VYA SHERIA " AWAONDOA WATUMISHI
zhlédnutí 127Před 19 hodinami
KIMEWAKA WAZIRI MKUU ABAINI MADUDU ''WAPELEKWE KWENYE VYOMBO VYA SHERIA " AWAONDOA WATUMISHI
WAZIRI MKUU AWA MBOGO "MILIONI 500 ZIMEENDA WAPI ? WAHOJI FEDHA HIZO KUTUMIKA VIBAYA
zhlédnutí 341Před 19 hodinami
WAZIRI MKUU AWA MBOGO "MILIONI 500 ZIMEENDA WAPI ? WAHOJI FEDHA HIZO KUTUMIKA VIBAYA
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAKA: "ONDOENI HAYO MADAWATI YENU HAYANA UBORA"
zhlédnutí 248Před 21 hodinou
WAZIRI MKUU MAJALIWA AWAKA: "ONDOENI HAYO MADAWATI YENU HAYANA UBORA"
IMEVUJA MSIGWA KUFUNGUKA SABABU YA KUHAMIA CCM WENGINE 19 "COVID 19" KUFUATA MKUMBO
zhlédnutí 686Před dnem
IMEVUJA MSIGWA KUFUNGUKA SABABU YA KUHAMIA CCM WENGINE 19 "COVID 19" KUFUATA MKUMBO
WAHAMIAJI HARAMU WAKAMATWA ARUSHA LORI LAO LAPINDUKA
zhlédnutí 193Před dnem
WAHAMIAJI HARAMU WAKAMATWA ARUSHA LORI LAO LAPINDUKA
UVCCM WAFANYA ZIARA BANDARI YA DSM KUJIONEA MAAJABU YA RAIS SAMIA "UWEKEZAJI WA DP WORLD ULISEMWA
zhlédnutí 825Před dnem
UVCCM WAFANYA ZIARA BANDARI YA DSM KUJIONEA MAAJABU YA RAIS SAMIA "UWEKEZAJI WA DP WORLD ULISEMWA
VIJANA WANAKUFA NA PIKIPIKI UKIENDA PALE MOI HALI NI MBAYA ,NIMEONGEA NA PROF.JANABI TUFANYE NAMNA
zhlédnutí 446Před dnem
VIJANA WANAKUFA NA PIKIPIKI UKIENDA PALE MOI HALI NI MBAYA ,NIMEONGEA NA PROF.JANABI TUFANYE NAMNA
A-Z TAJIRI MANJI ALIVYOTESWA NA PESA ZAKE MPAKA KUKIMBILIA ULAYA FAHAMU JINSI ALIVYOWEKEZA NA....
zhlédnutí 1,1KPřed 14 dny
A-Z TAJIRI MANJI ALIVYOTESWA NA PESA ZAKE MPAKA KUKIMBILIA ULAYA FAHAMU JINSI ALIVYOWEKEZA NA....
YAIBUKA MAPYA SAKATA LA SUKARI NCHINI KUPOTEA NA WALIOTUMWA KULETA UKWELI WOTE.
zhlédnutí 566Před 14 dny
YAIBUKA MAPYA SAKATA LA SUKARI NCHINI KUPOTEA NA WALIOTUMWA KULETA UKWELI WOTE.
DUH!! MFANYABIASHARA ATOBOA SIRI KARIAKOO/"Wanaficha ukweli SERIKALI haijui haya.
zhlédnutí 108Před 14 dny
DUH!! MFANYABIASHARA ATOBOA SIRI KARIAKOO/"Wanaficha ukweli SERIKALI haijui haya.
🔴IMEVUJA!!! PETER MSIGWA KUNUNULIWA NA CCM UKWELI HUU HAPA UMEWEKWA WAZI TAZAMA MWANZO-MWISHO.
zhlédnutí 449Před 14 dny
🔴IMEVUJA!!! PETER MSIGWA KUNUNULIWA NA CCM UKWELI HUU HAPA UMEWEKWA WAZI TAZAMA MWANZO-MWISHO.
IMEFICHUKA!! KUHUSU PETER MSIGWA KUAMIA CCM/"KANUNULIWA WE UMEONA WAPI?
zhlédnutí 664Před 14 dny
IMEFICHUKA!! KUHUSU PETER MSIGWA KUAMIA CCM/"KANUNULIWA WE UMEONA WAPI?
EEHI !MENEJA DAWASA ASIMAMISHWA KAZI UZEMBE WA TATIZO LA MAJI WAZIRI AWESO AKAZA NDITA
zhlédnutí 327Před 14 dny
EEHI !MENEJA DAWASA ASIMAMISHWA KAZI UZEMBE WA TATIZO LA MAJI WAZIRI AWESO AKAZA NDITA
IMEVUJA!! MSIGWA KWA MARA YA KWANZA ATOA SIRI KWANINI AMETOKA CHADEMA
zhlédnutí 7KPřed 14 dny
IMEVUJA!! MSIGWA KWA MARA YA KWANZA ATOA SIRI KWANINI AMETOKA CHADEMA
DUH MSIGWA AWAKIMBIA CHADEMA AENDA CCM LEO
zhlédnutí 1,5KPřed 14 dny
DUH MSIGWA AWAKIMBIA CHADEMA AENDA CCM LEO
KENYA Mahakama yazuia Polisi kutumia MABOMU dhidi ya waandamaji Mbunge asimulia alivyonusurika KUFA
zhlédnutí 495Před 14 dny
KENYA Mahakama yazuia Polisi kutumia MABOMU dhidi ya waandamaji Mbunge asimulia alivyonusurika KUFA
Jitandike mwenyewe
Umewauza kWa sukari sasa unawatapeli tena. Kubebana na kutoa bijikanga bado kuko. Ni aibu Waziri. Bei mzigo Kipa’yı duni hakiwanufaidhi wananchi na ulaghai pale pale.
Tuko pamoja kinara
Mhhh tapeli tena
Sioni ubaya wowote maana sote ni Wana wa mungu na vazi lake limefinika mwili wote ni na alie na mungu ndani yake habangui na hafai kutenga yeyote tunapaswa kukaa kwa karibu Zana na kuwaubiria watu wajuwe mungu sio kuwa tenga na kuwaukumu jamani tujichunguze sana tunaojiita tumeokoka
Uharifu ndio nini jamani?kwanini hiyo Swala usiandike Swara.
Huu ni uwezekaji wa kizalendo kama wekezaji zingine hivyo asikilizwe
Serikali ya Tanzania iunge mkono jitihada za daktari T msigwa kuhusiana gunduzi tiiba/chanjo ya UK MWI
Kwann unatumia sauti kama ya wachungaji? Ongea tu taratibu. Ukiona mtu anaingea hii sauti ujue ana tatizo la kisaikolojia. Na anaumwa akili
May God have mercy on us, in Jesus name
Uko chini ya nini? Inasikitidha sana. Ni haki yao wanayostahili na imechelewa sana sana. Unaomboleza badala ya kuidai. Tanzania tukoje?
Mimi na simama na ccm ambao una sema wezi ndio wanao tufaa
Hahahaha wewe una ota mchana mchana uingowe ccm wewe
Jaribuni kunadi pia sera zenu,msijikite kulalamika kila wakati.
Bw Twaha wewe pumzika
Hongerasana kak
Jibu la lisu halina mshikano wowote
Kuna njia inaonekana ni nzuri machoni poko kumbee niyaupotevu tengeneza na yes mda bado
😅😅😅 ndio bye bye yaan kisiasa
😢😢😢 May the Lord be with you ❤️ Your belief is different. How can light be with darkness 😔😢😢
Njaa inakusumbua wewe mpuuzi Chadema kulikua na Rushwa nn kilikuweka mudaa wote
You are so stupid!!
Mage kasema kweli hilo mama lenu halifai
Pubavu zenu
Kumbe na wewe uliuza vitumbua kyadomo ukapata mtaji wa Jani la mgomba?
Kuwa na akiba ya maneno upendo
Lazima uwe mjinga
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Machawa tu wenye njaa Kali nyie,
Very scientific reasons. Sasa Mpina na wafuasi wake na wenyewe walete data zinazokataa maelezo haya kwamba hayana ukweli. Mpina anamatatizo ndio maana alifukuzwa Uwaziri Wizara ya Utalii na Mali Asili. Hebu tuwekeeni takwimu zake za utendaji wake wakati akiwa Waziri. Iwapo Mhe. Mpina kapewa adhabu na hawa Wafanyabiashara waliotudanganya wanyang'anywe leseni zao za biashara ya sukari.
😅😅😂 nimeipenda tu hiyo mizigo ikipaKuliwa ila kitaani hali tete mola awabariki nyie wenzetu kwa kupata
The plan of the devil is to hide the truth of the word of God, that people may not understand the right preaching from the wrong and the right gospel music from the wrong. Some are agents from hell
Mmmm bora niangarie dj afro
Nch hii inavijana wa hovyo sana hususani kwenye ccm
Huyo nikejeli
Sijuwi nn unazungumza haha ni vichekesho wwtulia mm anaongozavyema
Kapige mosumali ayubu ana chukua namba
Una msifia mwenzako lakini baba Sasa ivi ume pungua kasi
Kubalini kubadili katiba tuone huo uko consistent unayosema. Chama kinategemea nguvu za dola kubaki madarakani halafu kinajinasibu kinapendwa
Kumbe munafahamu kama pikipiki sio kazi wacheni ujinga
Lema alisema bodaboda sio kazi lkn hatujamuelewa
Mchambua mchele pale anapojaribu kuchambua soka bila kua na uelewa mkubwa kuhusu mpira wa Tanzania....eti yanga ndio timu ya kwanza kucheza semi final ya Caf wakati Simba kashacheza mpaka finali ya michuano hio 1993
Sasa muone sukari ya nje imeshuka munanza kujitokeza acheni abali za Hali ya hewa nyie mmepandisha sukari kwamasilahi yenu bnafs
Open kweli kipo vzuri japokuwa madogo wa vyuo vingine wanakidharau lakini mm shaidi nimemaliza open npo kwa ofisi lakini uwezo watu wengine tunawapita mbali sana,
Bora wamekamatwa Hao ndio wanafanya Graduates wa open wadharaulike
2025 campaign iringa msimpe kura huyooooo
Wewe nawe huelewi lugha. Mtu atanunuliwaje? Amehongwa pesa siyo kununuliwa. Utamnunua umpeleke wapi. Elewa lugha wewe.
Ila manara
Siwaamini karibu wote hao uliowataja. Ni bora Tanzania tupuuze haya na tufanye uamuzi ambao kila mmoja wetu anakiamini. Na siiamini CCM. Sina chuki nao kimepoteza mwelekeo na hakiaminiki. Hakuna tume huru hapa kutokea ccm tu. Na kutoka kwa mwanasheria mkuu ni aibu kwa Taifa.Tuwaachie wananchi wenyewe waamue. Huu ni mwongozo mtupu. Msigwa kakosa cheo kasaliti umma. Mbona CCM imetawala miaka 60. Na tatizo linakuja wewe ni mwana CCM . Huko huru na hili nitatizo number moja. Msigwa kabeba Tanzania lini? Hizo ndizo mbwembwe tunazozikataa. Tilia chumvi mambo. Sina imani nawe. Mwizi na mnunuzi hawezi kuwa mkweli na huu si utani. Kahama baada ya kukosa cheo. Hakuna kitu hapa.ongelea wanaotekwa na polisi. HATUKUELEWI Unatambia nini na ardhi ni mali yetu? Mbona sikuelewi. Hawatakuja, comfort zone ya rushwa, uonevu, hongo na rushwa, ndo hiyo comfort zone unayoi hubiri kweli.
😂😂kazi uzi mara paaaumeukwaa ubunge wa kuteuliwa
Unattafuta uteuzi kwa gharama yoyote ile😮😮😮