DUH ! DKT SAMIA AWAKA MBAYA "UKISAFIRISHA CHAKULA NJE YA NCHI ,UWE NA KIBALI KUTOKA WIZARA YA KILIMO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • *ANAETOA CHAKULA NJE AWE NA KIBALI*📌
    Hayo ameyasema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan leo Julai 16,2024 wakati akizindua Vihenge, Maghala ya kuhifadhi Chakula ya NFRA na msimu wa ununuzi wa nafaka eneo la Konondo Halmashauri ya Sumbawanga Mkoani Rukwa
    Rais Samia
    _"Tunajenga Maghala ya aina hii Vihenge ili Wakulima mnapovuna Serikali iwezekununua na kuhifadhi kwa haraka ,Niwaombe mkuu wa mkoa fuatilia hilo lakini wakuu wa Wilaya kuhakikisha chakula hakitoki anaetoa chakula nje awe na kibali kutoka Wizara ya Kilimo "
    na
    Ngangambe

Komentáře •