MAKONDA ABANANISHWA NA WAMASAI NGORONGORO WAZIRI LUKUVI, KABUDI WAJITOKEZA WAMTAJA RAIS SAMIA
Vložit
- čas přidán 12. 09. 2024
- #Mwanahabari digital Fuatilia Channel ya habari za kijamii,siasa zinazohusu Tanzania
Akaunti zetu za mitandao ya kijamii
Instagram: habari_digital,
Facebook:Mwanahabari digital
Twitter:HabariDigital
Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia
Najivunia ckuzaliwa Mtwara ahsante mungu na awape amani watu wa ngorongoro
Hivi tcra mkibutua kwa kukatakata network ndio hatutaelewa au ni mkwara na hofu ya kuusikia ukweli tu!
Maji yashaanza kuingia puani😂😂
Pale ambapo Profesa aongea kama mlevi!!
Alitia hurumaaa
Wamasai wanajifanya wabishi
Samia toboko wakajibu twaaa maana yake afie mbele😂😂😂😂
Nilichosikia ni kwamba hatwendi msomera.
😂😂😂😂 wammeyyattimmbaaa yanawatokea puani.
Maskini Hawa jamaa wameonyesha utulivu wa hali ya juu Yani kiukweli wakichachamaaa hao wote wallah tunatafutana.
Atacama mbado aje,mweyew
Watu wangorongoro wabish Sanaa lakin hawawez pambana na serikali waende tu huko msomera
Ukitangulia wewe na Mamako, wao wayafuata!!
Huyo sio muumini ni shetani
Ni ushetani kabisa
Hivi huyu Professor wa Jalalani ni Chizi au Mwenawazimu?Anawapenda watu aliowazuilia Huduma Zote za Msingi.Ikiwemo Afya,Elimu na hatuwazuilia Chakula kisiingizwe ndani ya Ngorongoro.Hayo ndio Mapenzi kutoka kwa Samia?Wewe Professor wa Jalalani na hao Wenzio muliotumwa ni Washenzi kama huyo aliewatuma.Mungu awalaani ninyi na Vizazi Vyenu.Hivi mnajua ni watu wanhapi Wamepoteza Maisha pamoja na watoto kukosa Chanjo.Nyie watu muna Roho za kishetani sana.
Hawa ni zaidi ya shetani mwisho wao upo karibu
Nilichosikia ni kwamba hatwendi msomera.