MAKONDA ABANANISHWA NA WAMASAI NGORONGORO WAZIRI LUKUVI, KABUDI WAJITOKEZA WAMTAJA RAIS SAMIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 09. 2024
  • #Mwanahabari digital Fuatilia Channel ya habari za kijamii,siasa zinazohusu Tanzania
    Akaunti zetu za mitandao ya kijamii
    Instagram: habari_digital,
    Facebook:Mwanahabari digital
    Twitter:HabariDigital
    Kama huja subscribe bado, tafadhali fanya hivyo na msahuri mwenzako pia

Komentáře • 17

  • @lukumanisharifu
    @lukumanisharifu Před 19 dny +2

    Najivunia ckuzaliwa Mtwara ahsante mungu na awape amani watu wa ngorongoro

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Před 19 dny

    Hivi tcra mkibutua kwa kukatakata network ndio hatutaelewa au ni mkwara na hofu ya kuusikia ukweli tu!

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 Před 19 dny

    Maji yashaanza kuingia puani😂😂

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo Před 19 dny

    Pale ambapo Profesa aongea kama mlevi!!
    Alitia hurumaaa

  • @henryndosi2002
    @henryndosi2002 Před 19 dny

    Wamasai wanajifanya wabishi

  • @user-op7vm9mr3z
    @user-op7vm9mr3z Před 20 dny

    Samia toboko wakajibu twaaa maana yake afie mbele😂😂😂😂

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 Před 19 dny

    Nilichosikia ni kwamba hatwendi msomera.

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 Před 19 dny

    😂😂😂😂 wammeyyattimmbaaa yanawatokea puani.

  • @johnbundala7596
    @johnbundala7596 Před 19 dny

    Maskini Hawa jamaa wameonyesha utulivu wa hali ya juu Yani kiukweli wakichachamaaa hao wote wallah tunatafutana.

  • @BarakaMolle-t8l
    @BarakaMolle-t8l Před 19 dny

    Atacama mbado aje,mweyew

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před 19 dny

    Watu wangorongoro wabish Sanaa lakin hawawez pambana na serikali waende tu huko msomera

  • @HijaSaid-xd7fg
    @HijaSaid-xd7fg Před 19 dny

    Huyo sio muumini ni shetani

  • @FurahaNelson-z6c
    @FurahaNelson-z6c Před 19 dny

    Ni ushetani kabisa

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 Před 20 dny

    Hivi huyu Professor wa Jalalani ni Chizi au Mwenawazimu?Anawapenda watu aliowazuilia Huduma Zote za Msingi.Ikiwemo Afya,Elimu na hatuwazuilia Chakula kisiingizwe ndani ya Ngorongoro.Hayo ndio Mapenzi kutoka kwa Samia?Wewe Professor wa Jalalani na hao Wenzio muliotumwa ni Washenzi kama huyo aliewatuma.Mungu awalaani ninyi na Vizazi Vyenu.Hivi mnajua ni watu wanhapi Wamepoteza Maisha pamoja na watoto kukosa Chanjo.Nyie watu muna Roho za kishetani sana.

  • @gerkombo6512
    @gerkombo6512 Před 19 dny

    Nilichosikia ni kwamba hatwendi msomera.