Sema kabisa, sema tu, usimtaje mwanao wakati wamemuua, mchungaji kila ukikumbuka we taja tu kwani kuna ubaya gani hapo, kutaja majina ya watu waovu ni sawa, utasemaje maovo bila kutaja watenda maovu? Kwa mfano mwizi akiiba akipelekwa mahakamani lazima atajwe jina lake, bila jina hiyo sio kesi tena.
Wewe ni taa unatuangazia nuru tuweze kuona vinavyotuzunguka lakini kuna wanaoikataa nuru wanataka kuipasua taa ili tubakie gizani. Mungu akushike sana pastor!
Hujui hata kuhubiri ni nini limbukeni wa mitandao. Ni kwa sababu unajua mungu mzungu. 1 Wakorintho 4:1 Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na "MAWAKILI" wa siri za Mungu. Kazi ya wakili ni nini kama si kumtetea boss wake?
Watu punguzeni unafiki minapenda sana kusoma coment za watu namajina asa mtumishi kalizungumzia hili mnampongeza ikatokea hawo watu wamemchukulia hatua mbarikiwa nyie wenyew mnageuka nakukoment kuwa amejihonga kusema watu hyo mala mfundisheni adabu jamn kiukweli huwa sipendezwi kama umebarikiwa na nacho ongea sema ukweli sema ukweli sy wanao msema vizuri umo kwa wanao msema vibaya umo pia
Mungu awe upande wako akupiganie, swali la kwanini au mbona halitaachwa kuulizwa na Wacha Mungu hata Yesu alisema mbona umeniacha? Lakini hakuwa ameachwa👏
Kristo hapiganiwi au kupambaniwa kwa bunduki. Mtume Petro kwa hisia hizo hizo za kuwaza kumtetea Yesu kwa mabavu, alithubutu kumkata askari aliyemkamata Yesu, akidhani ndio utaratibu wa kumtetea Yesu!. Aliishia kukemewa. Yesu alikiri kuwa alikuwa na uwezo wa kujipambania, hakuhitaji msaada wa Petro. Mzee hicho anachokihamasisha hakipo ndani ya uwezo wa Wakristo, Wala siyo kazi yetu kuvutana na mtu anayemtukana Mungu. Malipo yake huyo yapo. Kwa kuwa Mungu ameweka siku atakayowahukumu walimwengu.Mdo.17:30.
Ni kweli kina Mwakyembe wanafanya vizuri sana! Shida iko kwa wachungaji wa mshahara,yani wanajenga makanisa kwa fedha za msaada za hao mashoga je watakubali kuingia vitani kuwapinga? Kweli kuna kazi ila tuendelee na mpambano
Mchungaji unachosema ni kweli kabisa tangu wakina mwakyembe waanze kuzungumzia hiyo ishu sijaona mchungaji akiinuka kuwapa sapoti hazarani naona wakitoka hapo wanaendelea na kawaida zao makanisani kwao
Kweli Catherine na mwakyembe wanapiga kelele sana kuhusu hili janga lakini Je vipi kuhusu hawa wachungaji wanaohubiriwa??? Je wataenda kuyaishi na kutekeleza?? Na kuhusu majina ya wahusika baadhi wanayaweka kapuni wawatoe tu hadharani
NIMEKUNUKUU HIVI : Ni mchungaji Gani wa Leo hii atakuwatayari kukemea haya hadhalani Kisha apotezee maslahi yake ya misaada na urafiki na Hawa wabaya ? Jibu : Ni kwamba hakuna mchungaji au Askofu wa jinsi hiyo Kwa Leo isipokuwa Mwakyembe ,Kahabi na Mbarikiwa !
@@Mbarikiwa_Mwakipesile ila tambua so kila MTU in mbaya kwako wengine sisi wema n tunakuombea kwa kazi njema unayofanya tu m domo wako haujatahiliwa sikupaswa kutukanwaa hivi katika majibu yako ulitakiwa ku toa majibu ya kubariki na so kuvuluga imani yangu kwako tutajifunza mini kwa matusi hayo? Ulitakiwa kunielewesha sio kunishambulia na atusi
Ni kwa sababu unajua mungu mzungu. 1 Wakorintho 4:1 Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na "MAWAKILI" wa siri za Mungu. Kazi ya wakili ni nini kama si kumtetea boss wake?
Hii channel na hil kanisa waliojaa ni vipofu hata comment zao znaonyesha yan mtu anakemea ushoga af anakuja mtu kuleta maneno yake yasioeleweka af kuna watu wanakuja kumsfia tu kila kitu aminaaa wakt hamjui mfanyako kwahyo nyinyi mnfurahia waliosema amri kumi ni ushenzi????
Huenda kila atakayesoma comment yako atakuona tahira kwa sababu huyu hajapingana na Mwakyembe na Catherine. Ila wewe kwa utahira wako ndio ume comment kwa kusoma title bila kuelewa imemaanisha nini
Huu utumwa wa fikra umeharibu sana maisha ya watu. Yaani wawepo wajinga wanaoigiza utakatifu kumbe nyuma ya pazia wanafadhili kizazi hiki kupotezewa dira na utu wao wewe unakuja na vingereza vyako vya kuwastiri ukidhani ndio ustaarabu
Telling him in private is pointless cowardice, the one who insults Christianity has insulted him in public, and he is being told in public, how do you feel compassion for savages? without the ten commandments of God the church has no meaning here In the world
Binafsi Mwakyembe na Catherine wamejilipua, wanasema na wanatimiza wajibu wao. Anayesikia na abadilike
Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana Mimi Niko Lusaka Zambia nakufatilia vizuri sana napia nabarikiwa sana nakuyatendea kazi m ahubiri yako
Amina Amina ,Mchungaji unao sema ni kweli ,DAMU ya YESU ikufunike milele 🙏🙏🙏🙏
Nlijua tu hili utalilipua tuu BARIKIWA sana
Bwana Mbarikiwa Usihofu Mungu yupam9ja nawe Roho ya Mungu Ipo pamoja nawe Ume Msikia huwa nyuma yako?
Mungu akubariki mchungaji
Baba yetu ichii milele Mungu akulinde sawa na mapenzi yake mwenyewe amen?
Ubarikiwe Sana mbarikiwa kwa kusisitiza hilo na ndiko kuokoa Roho za watu
Mzee unafafanua kwa level ya juu sana
Hongera sana
Sema kabisa, sema tu, usimtaje mwanao wakati wamemuua, mchungaji kila ukikumbuka we taja tu kwani kuna ubaya gani hapo, kutaja majina ya watu waovu ni sawa, utasemaje maovo bila kutaja watenda maovu? Kwa mfano mwizi akiiba akipelekwa mahakamani lazima atajwe jina lake, bila jina hiyo sio kesi tena.
Balikiwa Sana mtumishi wabwana nyakati hizi nishida wasema kweli huchukiwa injapa Mungu kachoka Na uovu huu shida ipo tusipo pinga uovi huu
Ameeeeeen
Ubarikiwe sana mzee,mimi mwanao katika Kristo Yesu naitaka sana roho yako
Uko sahihi sana Mtumishi
Yaani inasikitisha mnoo 😢😢
Wewe ni taa unatuangazia nuru tuweze kuona vinavyotuzunguka lakini kuna wanaoikataa nuru wanataka kuipasua taa ili tubakie gizani. Mungu akushike sana pastor!
Amina, MUNGU na akazidi kumshikilia kila kuitwapo leo. Amina.
Tungepata watumishi watano tu wenye msimamo huu tungeendelea sana na tungefika mbali sana
Mungu Hapiganiwi kazi yetu nikuubili tu watu wajue maji na mafuta yani wajue kweli na uongo
Hujui hata kuhubiri ni nini limbukeni wa mitandao. Ni kwa sababu unajua mungu mzungu. 1 Wakorintho 4:1 Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na "MAWAKILI" wa siri za Mungu.
Kazi ya wakili ni nini kama si kumtetea boss wake?
Watu punguzeni unafiki minapenda sana kusoma coment za watu namajina asa mtumishi kalizungumzia hili mnampongeza ikatokea hawo watu wamemchukulia hatua mbarikiwa nyie wenyew mnageuka nakukoment kuwa amejihonga kusema watu hyo mala mfundisheni adabu jamn kiukweli huwa sipendezwi kama umebarikiwa na nacho ongea sema ukweli sema ukweli sy wanao msema vizuri umo kwa wanao msema vibaya umo pia
Ujobhile lelo gwankasanga nkaja.big up.
Mungu awe upande wako akupiganie, swali la kwanini au mbona halitaachwa kuulizwa na Wacha Mungu hata Yesu alisema mbona umeniacha? Lakini hakuwa ameachwa👏
Mungu akutunze sana
nabadikishwa sana na ukemeaji wako wa wazi.
Viongozi wa Dini za kikristo ni shida wanaangalia matumbo Yao tu
Barikiwa sana sana mchungaji wetu
Mshirika aombewe mchungaji achangiwe eeeeee mwenyezi mungu tupe ufaham zaidi
Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa Mungu
Kristo hapiganiwi au kupambaniwa kwa bunduki. Mtume Petro kwa hisia hizo hizo za kuwaza kumtetea Yesu kwa mabavu, alithubutu kumkata askari aliyemkamata Yesu, akidhani ndio utaratibu wa kumtetea Yesu!. Aliishia kukemewa. Yesu alikiri kuwa alikuwa na uwezo wa kujipambania, hakuhitaji msaada wa Petro. Mzee hicho anachokihamasisha hakipo ndani ya uwezo wa Wakristo, Wala siyo kazi yetu kuvutana na mtu anayemtukana Mungu. Malipo yake huyo yapo. Kwa kuwa Mungu ameweka siku atakayowahukumu walimwengu.Mdo.17:30.
Ukiwa tahira hujui hata Kristo ni nini au kutetea Kristo ni nini. Subiri yakukute
Chuma hunoa chuma, Injiri iliyo nyooka
Chuma hunoa chuma; Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.
Mithali 27:17
UFILAJI, NA USHOGA NA DHULUMA NA UBADHILIFU NA UFISADI NA DHULUMA NA UDHALIMU;
UNAONGEZEKA KILA
KONA YA DUNIA.
Mungu azidi kukulinda Mtumishi wa Mungu.
Mungu akutetee sana mtu wa mbinguni
Ni kweli kina Mwakyembe wanafanya vizuri sana! Shida iko kwa wachungaji wa mshahara,yani wanajenga makanisa kwa fedha za msaada za hao mashoga je watakubali kuingia vitani kuwapinga? Kweli kuna kazi ila tuendelee na mpambano
Kiujumla misaada yote inayo kuja nchini na ile mama yetu anayo enda kuiomba nje nyuma yake ina ushoga,usenge,nk
Mchungaji unachosema ni kweli kabisa tangu wakina mwakyembe waanze kuzungumzia hiyo ishu sijaona mchungaji akiinuka kuwapa sapoti hazarani naona wakitoka hapo wanaendelea na kawaida zao makanisani kwao
Wanaogopa wasije wakakosa kuwa na urafiki na Kaisari
Amina
😢😢🙏🙏🙏 Amina mtumishi
Hata kama watakuuwa, huna hatia camanda💪
Duh aise ,hatar
Umeongea vyema sana mtumishi ila hicho kichwa cha habari. Kavurundavaloandika
Balikiwa baba
Mbarikiwa kaa kwenye karama yako ya kukemea dhambi hapo ndo ulipoitiwa
Hawapo na hatujawaona baba
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.
Unaongea kwa uchungu sana
Maasikofu na wachungaji wengi wamelewa mapato tu
mwakyembe unachanga mambo ya siasa na dini,mi na shauri hao wasenge ndio waende kanisani hili wakajue neno la mungu,
Unasema ukweli sana
ushog makanisani
Unasema ukweli
WATU WANAPENDA INJILI LAINI) INJILI NGUMU HAWAITAKI (MBARIKIWAA)
NA HUU USHOGA UNAENDEKEZWA ZAIDI HAPA TANZANIA. UKILINGANISHA NA NNCHI ZA JIRANI .
Nlikuwa nakukubali Kuna kitu kilionesha kuwa wewe sio mtu mzuri na sio mkweli
Kweli Catherine na mwakyembe wanapiga kelele sana kuhusu hili janga lakini Je vipi kuhusu hawa wachungaji wanaohubiriwa??? Je wataenda kuyaishi na kutekeleza?? Na kuhusu majina ya wahusika baadhi wanayaweka kapuni wawatoe tu hadharani
Nimecheka kweli ndomaana mimi stoi sadaka yakulazimishwa. Naninapotoa. Natoa mchango wa mtaa kwa mtaa. Ikahubiri injiri pesa yangu
Watumishi pesa inamwondolea ujasiri
Wanaogopa kufa wakipinga lkn Bado wanajiita ni wachungajii
Kweli
Mshahara wa KIDHALIMU, ndo Unawasumbua.
Kwa MUNGU ni kumtumikia tu katika Upendo wake tu.
NIMEKUNUKUU HIVI : Ni mchungaji Gani wa Leo hii atakuwatayari kukemea haya hadhalani Kisha apotezee maslahi yake ya misaada na urafiki na Hawa wabaya ?
Jibu : Ni kwamba hakuna mchungaji au Askofu wa jinsi hiyo Kwa Leo isipokuwa Mwakyembe ,Kahabi na Mbarikiwa !
HIYO MIKOPO MMMHHHH !!! MASHARTI YAKE WANAYAJUA CCM, KWA SABABU HAWATUELEZI WANANCHI. HIYO NI HATARI SANA KWA KIZAZI KIJACHO.
Amina amina amina baba, barikiwa saaaaaana
Mbona Mwamposa Huwa anawapinga sana
Mh.shoga apinge mashoga wenzie???acha utoto bhanA
Mhhhhhhhhh !!!!!!!
Mwamposa kama Mwamposa?????
@@PastorsTzHiyo nayo kali.
@@sifawayesu7079Hiyo nayo tena kali.
Nyakati za mwisho na za hatari kazi ya mpinga kristo inafanya kazi kwa nguvu zote
Kuna kitu sijaelewa apo eti Yesu ni mzungu na Paulo ni wazungu, au mwakipesile umejikoroga apo , maana Kuna kitu sijaelewa apo 😮
Rudia tena kuskiliza utaelewa amesema "assume kwamba Yesu na paulo walikua ni wazungu" ila hajasema moja kwa moja kwamba walikua ni wazungu.
Rudia kusikiliza Upya ndo utaelewa kilichomanishwa.
Mtumishi kasema tu- assume km Yesu, Paulo ni wazungu!!! Hakusema ni Wazimungu🙄
Tuna assume kwamba yesu alikuwa mzungu siyo alikuwa mzungu
Au mtumishi sijakuelewaqa
Umecomment kwa kusoma title haujasikiliza kilicho ndani. Na kama umesikiliza hata kwa dakika kumi basi kuna nati imepotea kwenye ubongo wako.
Rudia kusikiliza upya mwazo mwisho, arafu ndo uje tena huku, kuangalia Pumba Pumba zako.
Ila imi sio ba
@@Mbarikiwa_Mwakipesile ila tambua so kila MTU in mbaya kwako wengine sisi wema n tunakuombea kwa kazi njema unayofanya tu m domo wako haujatahiliwa sikupaswa kutukanwaa hivi katika majibu yako ulitakiwa ku toa majibu ya kubariki na so kuvuluga imani yangu kwako tutajifunza mini kwa matusi hayo? Ulitakiwa kunielewesha sio kunishambulia na atusi
Wakirsto hawatetei Mungu wala kiristo wake Mungu wetu hujipigania mwenyewe
Ni kwa sababu unajua mungu mzungu. 1 Wakorintho 4:1 Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na "MAWAKILI" wa siri za Mungu.
Kazi ya wakili ni nini kama si kumtetea boss wake?
Yanayompata Mbarikiwa ameyatafuta mwenyewe. Usijitetee hapa, kajitetee mahakamani. Mwana kulitaka mwana kulipata.
Kosa LA mwakiembe mini?
Umecomment kwa kusoma title haujasikiliza kilicho ndani. Na kama umesikiliza hata kwa dakika kumi basi kuna nati imepotea kwenye ubongo wako.
@@Mbarikiwa_MwakipesileJibu linamtosha, ndo saizi yake.
Penda kusikiliza Jambo mpaka mwisho, hacha kujichetua.
@@Mbarikiwa_Mwakipesile ubarikiwe sana kwa kwa maelezo m azuri nimekuelewa mtumishi kwa majibu yako yenye chumvi mmmmmh IPO kazi
Hii channel na hil kanisa waliojaa ni vipofu hata comment zao znaonyesha yan mtu anakemea ushoga af anakuja mtu kuleta maneno yake yasioeleweka af kuna watu wanakuja kumsfia tu kila kitu aminaaa wakt hamjui mfanyako kwahyo nyinyi mnfurahia waliosema amri kumi ni ushenzi????
Huenda kila atakayesoma comment yako atakuona tahira kwa sababu huyu hajapingana na Mwakyembe na Catherine. Ila wewe kwa utahira wako ndio ume comment kwa kusoma title bila kuelewa imemaanisha nini
Hahahaha haya bhan pole maana hujajua kusudi na lengo
Katika "PUMBA" Kweli Umejaa
Pumba Pumba kichwani Mwako.
Mungu akubariki sana uliejaa hekima
Ñakuelewa
Wewe unapenda shida na watu acha a na maish ya watu
Eti achana na maisha ya watu adili na maisha ya mbuzi au na wewe ni shoga?
Kwani we pia ni SHOGAMSENGE?.
Hujui unacho ongea
Shoga huyu
It is not right to be correcting people publicly. Reach out to them privately.
Huu utumwa wa fikra umeharibu sana maisha ya watu. Yaani wawepo wajinga wanaoigiza utakatifu kumbe nyuma ya pazia wanafadhili kizazi hiki kupotezewa dira na utu wao wewe unakuja na vingereza vyako vya kuwastiri ukidhani ndio ustaarabu
Read ISAIAH 58:1--
Nawe pia ni miongoni mwao zezeta mkumbwa unahisi kingereza mavi chako ndio ustaarabu
Telling him in private is pointless cowardice, the one who insults Christianity has insulted him in public, and he is being told in public, how do you feel compassion for savages? without the ten commandments of God the church has no meaning here In the world
Wewe mbona umekosoa hazarani hapo hiyo comment si ungetuma inbox!!. Kwenda zako
Huu ndio uhubiri
Taja live
Maaskofu mashoga wapo na wachungaji piaaa
Wachuja mbu wameza ngamia
Mbarikiwa Mwakipesile
Hawa wakristo wanaendeleza ushoga na usagaji kwa nguvu zote
Mbarikiwa Mwakipesile