Mbarikiwa Awamu hii amrukia Mwakyembe na Catherine Kahabi

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 06. 2024
  • Edit with InShot: inshotshare.app

Komentáře • 127

  • @rehemavickie6521
    @rehemavickie6521 Před měsícem +7

    Binafsi Mwakyembe na Catherine wamejilipua, wanasema na wanatimiza wajibu wao. Anayesikia na abadilike

  • @mosessiame7882
    @mosessiame7882 Před měsícem +6

    Mungu akubariki sana mtumishi wa bwana Mimi Niko Lusaka Zambia nakufatilia vizuri sana napia nabarikiwa sana nakuyatendea kazi m ahubiri yako

  • @irenemuia2718
    @irenemuia2718 Před měsícem +6

    Amina Amina ,Mchungaji unao sema ni kweli ,DAMU ya YESU ikufunike milele 🙏🙏🙏🙏

  • @mercyzawadi8072
    @mercyzawadi8072 Před měsícem +8

    Nlijua tu hili utalilipua tuu BARIKIWA sana

  • @MagsKitundu-wb2wm
    @MagsKitundu-wb2wm Před měsícem +5

    Bwana Mbarikiwa Usihofu Mungu yupam9ja nawe Roho ya Mungu Ipo pamoja nawe Ume Msikia huwa nyuma yako?

  • @ambonisyekasanga6017
    @ambonisyekasanga6017 Před měsícem +7

    Mungu akubariki mchungaji

  • @DanielKoipapei
    @DanielKoipapei Před měsícem +4

    Baba yetu ichii milele Mungu akulinde sawa na mapenzi yake mwenyewe amen?

  • @HenrickMhema
    @HenrickMhema Před měsícem +3

    Ubarikiwe Sana mbarikiwa kwa kusisitiza hilo na ndiko kuokoa Roho za watu

  • @PastorsTz
    @PastorsTz Před měsícem +4

    Mzee unafafanua kwa level ya juu sana

  • @Wiittole
    @Wiittole Před měsícem +4

    Hongera sana

  • @godwinkileo7702
    @godwinkileo7702 Před měsícem +5

    Sema kabisa, sema tu, usimtaje mwanao wakati wamemuua, mchungaji kila ukikumbuka we taja tu kwani kuna ubaya gani hapo, kutaja majina ya watu waovu ni sawa, utasemaje maovo bila kutaja watenda maovu? Kwa mfano mwizi akiiba akipelekwa mahakamani lazima atajwe jina lake, bila jina hiyo sio kesi tena.

  • @mchungajimpigauzitv5703
    @mchungajimpigauzitv5703 Před měsícem +1

    Balikiwa Sana mtumishi wabwana nyakati hizi nishida wasema kweli huchukiwa injapa Mungu kachoka Na uovu huu shida ipo tusipo pinga uovi huu

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 Před měsícem

    Ameeeeeen
    Ubarikiwe sana mzee,mimi mwanao katika Kristo Yesu naitaka sana roho yako

  • @yudanziku6030
    @yudanziku6030 Před měsícem +3

    Uko sahihi sana Mtumishi

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před měsícem +4

    Yaani inasikitisha mnoo 😢😢

  • @isaacsanga9707
    @isaacsanga9707 Před měsícem +5

    Wewe ni taa unatuangazia nuru tuweze kuona vinavyotuzunguka lakini kuna wanaoikataa nuru wanataka kuipasua taa ili tubakie gizani. Mungu akushike sana pastor!

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

      Amina, MUNGU na akazidi kumshikilia kila kuitwapo leo. Amina.

  • @winfordkyando6834
    @winfordkyando6834 Před měsícem +1

    Tungepata watumishi watano tu wenye msimamo huu tungeendelea sana na tungefika mbali sana

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon

    Mungu Hapiganiwi kazi yetu nikuubili tu watu wajue maji na mafuta yani wajue kweli na uongo

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem +1

      Hujui hata kuhubiri ni nini limbukeni wa mitandao. Ni kwa sababu unajua mungu mzungu. 1 Wakorintho 4:1 Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na "MAWAKILI" wa siri za Mungu.
      Kazi ya wakili ni nini kama si kumtetea boss wake?

  • @neemachonya8083
    @neemachonya8083 Před měsícem +4

    Watu punguzeni unafiki minapenda sana kusoma coment za watu namajina asa mtumishi kalizungumzia hili mnampongeza ikatokea hawo watu wamemchukulia hatua mbarikiwa nyie wenyew mnageuka nakukoment kuwa amejihonga kusema watu hyo mala mfundisheni adabu jamn kiukweli huwa sipendezwi kama umebarikiwa na nacho ongea sema ukweli sema ukweli sy wanao msema vizuri umo kwa wanao msema vibaya umo pia

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o Před měsícem

    Ujobhile lelo gwankasanga nkaja.big up.

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 Před měsícem

    Mungu awe upande wako akupiganie, swali la kwanini au mbona halitaachwa kuulizwa na Wacha Mungu hata Yesu alisema mbona umeniacha? Lakini hakuwa ameachwa👏

  • @naomysamuel6799
    @naomysamuel6799 Před měsícem

    Mungu akutunze sana
    nabadikishwa sana na ukemeaji wako wa wazi.

  • @georgekimasaofficial1629
    @georgekimasaofficial1629 Před měsícem +6

    Viongozi wa Dini za kikristo ni shida wanaangalia matumbo Yao tu

  • @amirymwanda
    @amirymwanda Před měsícem

    Barikiwa sana sana mchungaji wetu

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando Před měsícem

    Mshirika aombewe mchungaji achangiwe eeeeee mwenyezi mungu tupe ufaham zaidi

  • @user-kl6zb6so3i
    @user-kl6zb6so3i Před měsícem

    Mungu aendelee kukutumia Mtumishi wa Mungu

  • @PeterJackson-uh2ik
    @PeterJackson-uh2ik Před měsícem +3

    Kristo hapiganiwi au kupambaniwa kwa bunduki. Mtume Petro kwa hisia hizo hizo za kuwaza kumtetea Yesu kwa mabavu, alithubutu kumkata askari aliyemkamata Yesu, akidhani ndio utaratibu wa kumtetea Yesu!. Aliishia kukemewa. Yesu alikiri kuwa alikuwa na uwezo wa kujipambania, hakuhitaji msaada wa Petro. Mzee hicho anachokihamasisha hakipo ndani ya uwezo wa Wakristo, Wala siyo kazi yetu kuvutana na mtu anayemtukana Mungu. Malipo yake huyo yapo. Kwa kuwa Mungu ameweka siku atakayowahukumu walimwengu.Mdo.17:30.

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Ukiwa tahira hujui hata Kristo ni nini au kutetea Kristo ni nini. Subiri yakukute

  • @ambonisyekasanga6017
    @ambonisyekasanga6017 Před měsícem +4

    Chuma hunoa chuma, Injiri iliyo nyooka

    • @billmkushi849
      @billmkushi849 Před měsícem

      Chuma hunoa chuma; Ndivyo mtu aunoavyo uso wa rafiki yake.
      Mithali 27:17

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

    UFILAJI, NA USHOGA NA DHULUMA NA UBADHILIFU NA UFISADI NA DHULUMA NA UDHALIMU;
    UNAONGEZEKA KILA
    KONA YA DUNIA.

  • @user-vi2zx1qj3d
    @user-vi2zx1qj3d Před měsícem

    Mungu azidi kukulinda Mtumishi wa Mungu.

  • @yohanakinyunyi
    @yohanakinyunyi Před měsícem

    Mungu akutetee sana mtu wa mbinguni

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před měsícem +1

    Ni kweli kina Mwakyembe wanafanya vizuri sana! Shida iko kwa wachungaji wa mshahara,yani wanajenga makanisa kwa fedha za msaada za hao mashoga je watakubali kuingia vitani kuwapinga? Kweli kuna kazi ila tuendelee na mpambano

  • @emmanuelmanga3478
    @emmanuelmanga3478 Před měsícem +2

    Kiujumla misaada yote inayo kuja nchini na ile mama yetu anayo enda kuiomba nje nyuma yake ina ushoga,usenge,nk

  • @barakamwamtenga2448
    @barakamwamtenga2448 Před měsícem +1

    Mchungaji unachosema ni kweli kabisa tangu wakina mwakyembe waanze kuzungumzia hiyo ishu sijaona mchungaji akiinuka kuwapa sapoti hazarani naona wakitoka hapo wanaendelea na kawaida zao makanisani kwao

    • @EliyaMwangobe
      @EliyaMwangobe Před 14 dny

      Wanaogopa wasije wakakosa kuwa na urafiki na Kaisari

  • @victorkamugisha2282
    @victorkamugisha2282 Před měsícem

    Amina

  • @ayoubmwangonji2357
    @ayoubmwangonji2357 Před měsícem

    😢😢🙏🙏🙏 Amina mtumishi

  • @adamjulius9782
    @adamjulius9782 Před měsícem

    Hata kama watakuuwa, huna hatia camanda💪

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před měsícem

    Duh aise ,hatar

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Před měsícem

    Umeongea vyema sana mtumishi ila hicho kichwa cha habari. Kavurundavaloandika

  • @TweluKalinga
    @TweluKalinga Před měsícem

    Balikiwa baba

  • @samwelingasa1638
    @samwelingasa1638 Před měsícem

    Mbarikiwa kaa kwenye karama yako ya kukemea dhambi hapo ndo ulipoitiwa

  • @JuliusMakwengwe
    @JuliusMakwengwe Před měsícem

    Hawapo na hatujawaona baba

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před měsícem +2

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌.

  • @user-ne5cg4vv1h
    @user-ne5cg4vv1h Před měsícem +1

    Unaongea kwa uchungu sana

  • @yohanakinyunyi
    @yohanakinyunyi Před měsícem

    Maasikofu na wachungaji wengi wamelewa mapato tu

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 Před měsícem

    mwakyembe unachanga mambo ya siasa na dini,mi na shauri hao wasenge ndio waende kanisani hili wakajue neno la mungu,

  • @edwardkahembetz
    @edwardkahembetz Před měsícem

    Unasema ukweli sana

  • @masoudabdallah9878
    @masoudabdallah9878 Před 27 dny

    ushog makanisani

  • @JoshuaStanley-qu3im
    @JoshuaStanley-qu3im Před měsícem

    Unasema ukweli

  • @tumainjoseph7189
    @tumainjoseph7189 Před měsícem

    WATU WANAPENDA INJILI LAINI) INJILI NGUMU HAWAITAKI (MBARIKIWAA)

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Před měsícem

    NA HUU USHOGA UNAENDEKEZWA ZAIDI HAPA TANZANIA. UKILINGANISHA NA NNCHI ZA JIRANI .

  • @user-cy1od5xr8x
    @user-cy1od5xr8x Před 29 dny

    Nlikuwa nakukubali Kuna kitu kilionesha kuwa wewe sio mtu mzuri na sio mkweli

  • @JasminEddy-cc3tx
    @JasminEddy-cc3tx Před měsícem

    Kweli Catherine na mwakyembe wanapiga kelele sana kuhusu hili janga lakini Je vipi kuhusu hawa wachungaji wanaohubiriwa??? Je wataenda kuyaishi na kutekeleza?? Na kuhusu majina ya wahusika baadhi wanayaweka kapuni wawatoe tu hadharani

  • @user-wg2gd2nl6c
    @user-wg2gd2nl6c Před měsícem

    Nimecheka kweli ndomaana mimi stoi sadaka yakulazimishwa. Naninapotoa. Natoa mchango wa mtaa kwa mtaa. Ikahubiri injiri pesa yangu

  • @thomaskitemi3283
    @thomaskitemi3283 Před měsícem

    Watumishi pesa inamwondolea ujasiri

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando Před měsícem +2

    Wanaogopa kufa wakipinga lkn Bado wanajiita ni wachungajii

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Před měsícem

      Kweli

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

      Mshahara wa KIDHALIMU, ndo Unawasumbua.
      Kwa MUNGU ni kumtumikia tu katika Upendo wake tu.

  • @EliyaMwangobe
    @EliyaMwangobe Před 14 dny

    NIMEKUNUKUU HIVI : Ni mchungaji Gani wa Leo hii atakuwatayari kukemea haya hadhalani Kisha apotezee maslahi yake ya misaada na urafiki na Hawa wabaya ?
    Jibu : Ni kwamba hakuna mchungaji au Askofu wa jinsi hiyo Kwa Leo isipokuwa Mwakyembe ,Kahabi na Mbarikiwa !

  • @willymgaya7618
    @willymgaya7618 Před měsícem

    HIYO MIKOPO MMMHHHH !!! MASHARTI YAKE WANAYAJUA CCM, KWA SABABU HAWATUELEZI WANANCHI. HIYO NI HATARI SANA KWA KIZAZI KIJACHO.

  • @BeatriceKalembwane
    @BeatriceKalembwane Před měsícem +1

    Mbona Mwamposa Huwa anawapinga sana

    • @PastorsTz
      @PastorsTz Před měsícem +1

      Mh.shoga apinge mashoga wenzie???acha utoto bhanA

    • @sifawayesu7079
      @sifawayesu7079 Před měsícem +1

      Mhhhhhhhhh !!!!!!!
      Mwamposa kama Mwamposa?????

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

      ​@@PastorsTzHiyo nayo kali.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

      ​@@sifawayesu7079Hiyo nayo tena kali.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Před měsícem

    Nyakati za mwisho na za hatari kazi ya mpinga kristo inafanya kazi kwa nguvu zote

  • @user-sn9te4gn9u
    @user-sn9te4gn9u Před měsícem +1

    Kuna kitu sijaelewa apo eti Yesu ni mzungu na Paulo ni wazungu, au mwakipesile umejikoroga apo , maana Kuna kitu sijaelewa apo 😮

    • @amedelucas
      @amedelucas Před měsícem

      Rudia tena kuskiliza utaelewa amesema "assume kwamba Yesu na paulo walikua ni wazungu" ila hajasema moja kwa moja kwamba walikua ni wazungu.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

      Rudia kusikiliza Upya ndo utaelewa kilichomanishwa.

    • @hafsalucky1088
      @hafsalucky1088 Před měsícem

      Mtumishi kasema tu- assume km Yesu, Paulo ni wazungu!!! Hakusema ni Wazimungu🙄

    • @JasminEddy-cc3tx
      @JasminEddy-cc3tx Před měsícem

      Tuna assume kwamba yesu alikuwa mzungu siyo alikuwa mzungu

  • @Alexthadey-lm3ju
    @Alexthadey-lm3ju Před měsícem

    Au mtumishi sijakuelewaqa

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem +1

      Umecomment kwa kusoma title haujasikiliza kilicho ndani. Na kama umesikiliza hata kwa dakika kumi basi kuna nati imepotea kwenye ubongo wako.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

      Rudia kusikiliza upya mwazo mwisho, arafu ndo uje tena huku, kuangalia Pumba Pumba zako.

    • @Alexthadey-lm3ju
      @Alexthadey-lm3ju Před měsícem

      Ila imi sio ba

    • @Alexthadey-lm3ju
      @Alexthadey-lm3ju Před měsícem

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile ila tambua so kila MTU in mbaya kwako wengine sisi wema n tunakuombea kwa kazi njema unayofanya tu m domo wako haujatahiliwa sikupaswa kutukanwaa hivi katika majibu yako ulitakiwa ku toa majibu ya kubariki na so kuvuluga imani yangu kwako tutajifunza mini kwa matusi hayo? Ulitakiwa kunielewesha sio kunishambulia na atusi

  • @MichaelDonaldnchingaMichaelDon

    Wakirsto hawatetei Mungu wala kiristo wake Mungu wetu hujipigania mwenyewe

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem

      Ni kwa sababu unajua mungu mzungu. 1 Wakorintho 4:1 Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na "MAWAKILI" wa siri za Mungu.
      Kazi ya wakili ni nini kama si kumtetea boss wake?

  • @user-cz5oy1od5d
    @user-cz5oy1od5d Před měsícem

    Yanayompata Mbarikiwa ameyatafuta mwenyewe. Usijitetee hapa, kajitetee mahakamani. Mwana kulitaka mwana kulipata.

  • @Alexthadey-lm3ju
    @Alexthadey-lm3ju Před měsícem

    Kosa LA mwakiembe mini?

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem +1

      Umecomment kwa kusoma title haujasikiliza kilicho ndani. Na kama umesikiliza hata kwa dakika kumi basi kuna nati imepotea kwenye ubongo wako.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

      ​@@Mbarikiwa_MwakipesileJibu linamtosha, ndo saizi yake.

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

      Penda kusikiliza Jambo mpaka mwisho, hacha kujichetua.

    • @Alexthadey-lm3ju
      @Alexthadey-lm3ju Před měsícem

      @@Mbarikiwa_Mwakipesile ubarikiwe sana kwa kwa maelezo m azuri nimekuelewa mtumishi kwa majibu yako yenye chumvi mmmmmh IPO kazi

  • @dsgroup6093
    @dsgroup6093 Před měsícem

    Hii channel na hil kanisa waliojaa ni vipofu hata comment zao znaonyesha yan mtu anakemea ushoga af anakuja mtu kuleta maneno yake yasioeleweka af kuna watu wanakuja kumsfia tu kila kitu aminaaa wakt hamjui mfanyako kwahyo nyinyi mnfurahia waliosema amri kumi ni ushenzi????

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před měsícem +1

      Huenda kila atakayesoma comment yako atakuona tahira kwa sababu huyu hajapingana na Mwakyembe na Catherine. Ila wewe kwa utahira wako ndio ume comment kwa kusoma title bila kuelewa imemaanisha nini

    • @dsgroup6093
      @dsgroup6093 Před měsícem

      Hahahaha haya bhan pole maana hujajua kusudi na lengo

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před měsícem +1

      Katika "PUMBA" Kweli Umejaa
      Pumba Pumba kichwani Mwako.

    • @dsgroup6093
      @dsgroup6093 Před měsícem

      Mungu akubariki sana uliejaa hekima

    • @rehemavickie6521
      @rehemavickie6521 Před měsícem

      Ñakuelewa

  • @Niget-us1np
    @Niget-us1np Před měsícem

    Wewe unapenda shida na watu acha a na maish ya watu

  • @Kasa.c
    @Kasa.c Před měsícem +1

    It is not right to be correcting people publicly. Reach out to them privately.

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 Před měsícem +2

      Huu utumwa wa fikra umeharibu sana maisha ya watu. Yaani wawepo wajinga wanaoigiza utakatifu kumbe nyuma ya pazia wanafadhili kizazi hiki kupotezewa dira na utu wao wewe unakuja na vingereza vyako vya kuwastiri ukidhani ndio ustaarabu

    • @irenemuia2718
      @irenemuia2718 Před měsícem +2

      Read ISAIAH 58:1--

    • @kamanapomo7029
      @kamanapomo7029 Před měsícem +3

      Nawe pia ni miongoni mwao zezeta mkumbwa unahisi kingereza mavi chako ndio ustaarabu

    • @godwinkileo7702
      @godwinkileo7702 Před měsícem

      Telling him in private is pointless cowardice, the one who insults Christianity has insulted him in public, and he is being told in public, how do you feel compassion for savages? without the ten commandments of God the church has no meaning here In the world

    • @johnsonjohn-qz7cq
      @johnsonjohn-qz7cq Před měsícem

      Wewe mbona umekosoa hazarani hapo hiyo comment si ungetuma inbox!!. Kwenda zako

  • @jonathankessy9615
    @jonathankessy9615 Před měsícem +1

    Huu ndio uhubiri
    Taja live
    Maaskofu mashoga wapo na wachungaji piaaa
    Wachuja mbu wameza ngamia

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King Před měsícem

    Mbarikiwa Mwakipesile

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před měsícem +2

    Hawa wakristo wanaendeleza ushoga na usagaji kwa nguvu zote

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King Před měsícem

    Mbarikiwa Mwakipesile