BIBLIA IMEFANYIWA MABADILIKO ZAIDI YA MARA 1000 - GeorDavie TV
Vložit
- čas přidán 16. 01. 2023
- SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
TUFUATILIE
▶︎ Facebook: / geordavietv
▶︎ Instagram: / geordavietv
▶︎@GeorDavie Maarifa
Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, kazi tunayo mpaka yesu arudi tutanyooka.
Nabii Mkuu??
Ww unayo maarifa yapi wakati unamatatizo kibao
@@mmasymerry1233 dogo kaa kwa kutulia, mimi nilivyo Huwezi jipima na mimi kifedha, kiimani na kwa baraka, KAMA COMMENT YANGU IMEKUGUSA POLE, BUT BINAFSI SIWEZI KUBALIANA NA UPUUZI HUU.
@@drdd774 kw kweli bibilia ukisoma kuna mambo manne
1 kuna maneno ya Mungu
2 kuna maneno matakatifu sio ya Mungu
3 maneno ya mitume
4 kuna maneno sio ya mitume
@@abduomar8438 imeandikwa wapi?
Ushabiki ni mbaya sana.. ndiomaana kuna watu walikuwa wanashabikia Yesu asulubiwe bila kujua ni kwanini.
Bila shaka huu ni mpango wakutuletea bible mpya
Manabii wa siku za mwisho huwa wanawapoteza vipofu wenzao na si watu wanaolijua Neno la Mungu.
Ni kwel kabisa hili somo amekadhifu neno la Mungu na pia ameonyesha kuwa dini yake Haina biblia thabiti ila in biblia isiyoaminika
@@hebrew1214 mm muislamu niwambie huyo nabii wenu kasema ukweli someni historia ya bibilia utaelewa zaidi
Angalia agano la kale na Agano jipya, utaona utofauti mkubwa.
Nakuelewa Baba yangu. Burundi Gitega niko hapa nakukuelewa Zaidi na Zaidi
Nenda you tube andika KATEKELA NDIPO UTAMJUA KIUNDANI HUYU UNAYE MWAMINI
Nabii mkuu,mwenyezi Mungu anataka anapenda kuongea na watu wake kupitia manabii................................................
Kiongozi kipofu akiwaongozi vipofu wezake watatumbukia wote shimoni, vipofu wanamshangilia kipofu mwezao anapo wapeleka katika shimo la Jehanam,ole! Ole, endeleeni kujifariji na njia pana iendayo upotevuni, siku hiyo mtajua mnafikiri Mungu ni bibi yenu au mjomba wenu
Wewe hayo macho umeyapatia wapi, na lini au unaongea kwa sabab unamdogo, uwe unaangalia cha kusema kabla hujaongea, ww unaweza kujilinganisha na nabii ambae ni mwonaji,
Nabii Mkuu Safi yuko Safi sana wewe unaetukana wewe ni kipofu shimoni.nabii Mkuu anaendelea kusitawi kashifa yako makukano ndiyo yanayo mpekeka zaidi katika mafunuo ya Mungu mwenyewe halisi
Wewe tutakuchungulia kwa chini as tukiwa tunasifu tukiwa na Yesu wetu
@@zenahjacob7773 nyinyi ndio hamuja muelewa huyo nabii wenu anasema bibilia sio kitabu cha Mungu kw asilimia 💯 tofauti na kitabu cha waislamu ni kitabu cha Mungu toka kilipoteremshwa hakijawahi kufanyiwa marekebisho mpaka leo na hakitafanyiwa marekebisho
@@jescadeogratias5292 kazi kwako
Mmmmm!! !!apana maandiko hayajatungwa Wala ata sio akili zao Bali waliongozwa na Roho mt. Kuyaandika .
Uposawa mlevi huyu anapotosha Hawa watu na Wana shagilia kweli kweli
Uko vizuri mweshimiwa nabii mkuu. Uishi miaka mingi
2petro 1:19 mkijua neno hili kwanza hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu
20 maana unabii haukuletwa kwa mapenzi ya mwanadamu Bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na roho mtakatifu.
Ninnyi mmefubukiqa hayo
Uko sawa
Sikiliza na kuelewa usikurupuke na maandiko title inasema baadhi ya maandiko ni ya watu sasa uliwahi kusoma hii
10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
1 Wakorintho 7:10
12 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
1 Wakorintho 7:12
Hapana Neno la Mungu, liliandikwa na mitume wa Mungu waliongozwa na Roho mtakatifu, yoote yatapita lakin neno litasimama!
Hao mitume ni akina nani. Unajua kuwa bibilia ilipaswa kuwa na vitabu vingapi. Tafuta maarifa upone na wewe mwenyewe.
Biblia Ina vitabu 66, wandishi wa biblia kuna manabii wakubwa km kina Eliya na musa, Na wanafunz 12 wa yesu, Na Paulo ambae alikuja bahada ya yesu kwenda mbingun
we unadhan vilitakiwa viwe vitabu vingapi@@user-eb2el9kw6m
Nabii unakoelekea si salama
Jifanye tu nabii inatosha mengine achana nayo
Unajichanganya wewe Ivo ni kutaka kusema Mungu hakuwa na huwezo wa kuwafanya watu wahifadhi bibilia ama unataka kupeleka wengi JEHANAMU
Kitabu Cha enoko twambie kipo ndanii ya biblia
@@joshuajereman7510 yenye umeandikiwa unaona hutaki kushika na kufanya mapenzi ya Mungu sasa cha Enoch ndicho kitakacho kuokoa
Manabii wa siku za mwisho huwa wanaongea maneno yao wenyewe ili kujitwalia utukufu.
@@JESUSISLO891 una akili sana we ndgu, yaliyofunuliwa ni ya kwetu na wanetu basi
@@joshuajereman7510 shughulika kwanza na vilivyopo, yaliyofunuliwa ndyo yanayotuhusu,
No kwa hili la maandiko hapana, Nabii kakosea. Biblia imeandikwa na kutunzwa kwa msaada wa Roho Mtakatifu na sio kwa kufikiria kwa watu.
Amekosea vp bibilia ni tabu la hovyo ni mawazo ya watu Qur an ni kitabu Cha Allah pekee
Ndio maana kuna Agano la kale
Kila Nabii ana kalenda yake,Yesu 0-2023. hao wengine kalenda zao zipi.hujui chochote.
{ Kwenye makundi ya Imani wajinga ni wengi}
I don't see the HOLY SPIRIT here...and definitely if the HOLY SPIRIT isn't there there's another spirit
Clear
Huyu ni ibilisi mwenyewe
True
Biblia ni neno la Mungu lililovuviwa na Roho mtakatifu full stop hakuna kusogeza Wala nini
Matayo 24 : 24 , ji someye mwenewe.
Hatuoni mushangao na yoote hayo muyafanyayo, kwa sababu YESU alikuwa ameisha tutaarifu mapema kabla ...
Uzuni tunayo, ni weengi wamepotezwa, na tunajioneya, wamesahau MATAYO 24:24, Yesu alikuwa maisha tutaharifu mapema
MUNGU wetu Ainuriwe milele na milele Anauwezo wa kutajirisha kushinda shetanni utajiri kutoka kwa shetani ni mateso tu.tunasikia ushuhuda wawengi,wakilia Nabi MUNGU Yehova akubariki
Baba MUNGU akubariki unazidi kunifungua
Sasa kama huamini katika Maandiko ya Biblia kwamba zilikuwa fikra za watu, nini msingi wa huduma yako?
Ningetaman alijibu hili swali,
Nawe nikupe swali lenye uthibitisho hapa unijibu
10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
1 Wakorintho 7:10
12 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
1 Wakorintho 7:12
chunguza hiyo mistari miwili hapo unipe jibu paulo ndiposa ujue nabii mkuu Yuko sahihi
Niulize huyu mzee aliepotezwa na fetha huyu Imani yake ni gani??? Huyu si mpagani huyu
MIMI SIJAKUEKEWA. swali hili litakusaidia ukilitafutia majibu .Nini maana ya IMANI? ...SOMA ,WAEBRANIA 11:1-3. JUU YA IMANI , USIFUNDISHE WATU VITU VINAVYO ONEKANA WAKATI BIBLIA NDIYO MWONGOZO WAKO USIKUFURU HIVYO .Zingatia ujumbe wa Malaika wa tatu , usipotoshe MAANDIKO AMBAYO NDIYO IMANI YETU WA KRISTO IMEJENGWA HUMO KATIKA NENO (BIBLI)
Ameen baba umesema ukweli kunawakati nilifunuliwa hivyo umesema baba
MNA feli wapi nyieee..mzee USI Force King.🙄🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼
walisha pita wenye nafasi hyo..🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼.
Wewe mwenyewe unajijua... tusikuhukumu jihukumu mwenyew kwani kiama i karibu.
Aii Yani ni uchungu 😭 maneno ya huyu mzee , anavyo aibisha kanisa
Piga Kazi Baba Nabii Mkuu,
Najifunza saana ...
Nipo kisongo Kiwandani Arusha.
fundisho hili limenifanya nikukubali na kuanza kukufatilia nabii mkuu. you have deep understanding of reality.
Wewe umelainika kama Hawa jamaa wangu achaa kumini ujingaa
Wewe Davi huto wapotosha wote!!
Sasa ayo mahubiri ya biblia imebadilishwa ita saidia nini watu ,Kuweni hange na ma funzo ya uyu jama. Kumbuka nabi mkuu ni YESU pekeyake
Sasa wewe nabii Mkuu kama neno sio kweli wewe umetowaa wapi ya Mungu wakweli unayo wafundishaa watu wako nafikiri umekosa laa kusema wewe nilikufutilia mwanzo nakajua wewe ni nabii kupee wewe umeishawa dunia inakushanga sana kupee mandiko ya mekulenga wewe kwamba watakuja wapingaa kiristo amaa kweli pesa niajabu wewe yani unawapotesa kisapesa kumbuka ataa yuda nitamaa ya pesa imefanyaa achee Mungu naa wewe ifio kama ulikuwaa mwanzo mutumisha kwaa sasa wewe sio umebakii kukusanyaa kondoo ya Mungu naa kupotesa bora hawa wasanii amboo wao wanaimba kutafuta pesa kupitia burudani lakin wewe unachesa naa Mungu okay baba yangu utajuta
Baba Yangu Nabii Mkuu Dr Geordavie Ni wakati wake akuna wakupinga
Mpotoshaji mkubwa huyu hapa akuna mungu Ni shetani mtupu
"Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu."
2PETERO1:21
BWANA NA AKUKEMEE KWA KUHADAA WATU WAKE MASKINI KWA JINA LA YESU.
From Geita Tanzania East Africa ❤️🇹🇿 much love to you nabii mkuu Ni mtu wa Mungu Ndio maana hajazima comments
Kwahyo Nabii unataka utwambie biblia ni nn... ndo maana Qur'an ni kitabu kisicho na Shaka ndani yake
Kwelikabisa Nabii 🙏🙏🙏🙏🙏
Asante baba nabii napata faraja na amani nipo pamoja nawe baba
Bible ni moja tuu Uko saw kabisa Nabii
From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 but it don't believe these words that you spoke ..... I believe the bible
Same here
🤣🤣Kwani jopo lenyewe linasemaje? Mimi nakuelewa sana Baba yangu Hii inahitaji Akili kubwa kukuelewa Asante sana 🙏
Hahaha 🤣🤣 bibilia kumbe kitabu cha kisichiloeleweka
Achana na huyu ameshakua mpinga kristo
Nabii nimekuelewa vzr
kuwa bibilia ni maneno ya watu sio ya mungu au sio
2 Timotheo 3:13
[13]lakini watu wabaya na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.
But evil men and seducers shall wax worse and worse, deceiving, and being deceived.
Manabii wa leo wanataka kufunua siri gani za Mungu ambazo hazijafunuliwa na Yesu Kristo Mwenyewe na Yohane?
🇧🇮🇧🇮🇧🇮✌️
Umenena kweli, hawawezi kukuelewa ila mpaka wasome Biblia na Biblia, na kila kipengele kinachoonekana kinaharibu baada ya kutoka New Version itatoka mstari huo huo utakuja na maana nyingine.
Umenena vyema, tusivunje mahusiano
Bado tu hujatafakari kuwa bibilia sio kitabu cha Mungu
Hivi Binadamu wanaweza kulogwa kiasi hiki? Mnadanganywa kiasi kwamba nawaona kama mko Dunia ambayo siyo ya Mungu; je! Unasaport mtu kusema Biblia imetungwa tuu na watu? Kwa hiyo siyo maneno ya Mungu ni ya watu? Ole wako wewe upindashae maandiko Mungu atakulisha Adhabu ya milele na wafuasi wako.
Jamani jamani ,, siku mungu ashuka kwahilo kabisa hamtaamini ,,
Tangu nianze kufuatilia sijawahi ona Yesu kristo anahubiriwa hapo zaidi ya kugawa pesa na kukashifu maandiko.
Yesu hawezi kuhubiriwa hapo zaidi ya mtu kujichukulia utukufu kwa kutaka kuonekana yeye ni kama Yesu.
@@hebrew1214 kweli eh huko kujitwalia utukufu MUNGU amwache kwa miaka yote 40 ya kiutumishi je vip yule aliyeliwa na chango kwa kuonekana kama mungu kama biblia inenavyo!??
Huyu tunamkabithi mikononi mwa MUNGU,, amushughulikie vile aliwashughulikia wengine
We kenge manyoya Mungu atakua na maana gan kama asngeweza kulilinda neno lake lililothibtshwa? 🙄
😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Huyu ananuka mbele za MUNGU
Nataka historia ya mabadiliko ya vitabu hivyo,usituchanganye,acha kutetea udhaifu wako kwa kulikosoa Neno la MUNGU,umekuwa mhubiri wa muda mrefu sinawahi sikia ukisema hayo,hii ni dalili ya anguko,halafu mbona unachukizwa na uamsho au dawa imeingia🔥
Jamani naomba ulete hiyo biblia yako uliyopewa na Mungu ili tuifuate.kwa sababu hapo unatufundisha tuiogope Biblia .
Kweli siku za mwisho!!!!!!.
Kabisa mkuu
Anayesema unabii umekwisha anahitaji maombi macho ya rohoni yafunguliwe..
Kristu alituachia roho mtakatifu na moja ya mapaji Saba ni unabii...
Siku inakuja asema Bwana Mungu kitabu cha sefania 1:17 ataufanya mwili wako kama mavi na damu yako ataimwaga katika mavumbi injili za matumbo yenu na sifa za wa nadamu siku yaja zitakoma. Danieli 12:2 siku ya ufufuo utapata aibu ya milele
Tafuta Mungu wa kumuabudia bro acha kupoteza Muda
Brother where did you get this revelation? Did they guess?
Ile Ni kweli mutumishi wa Mungu, MUNGU Yehova kiisha kuinua Hakuna mwanadamu wa kukushusha chini,tuliisha sikia ushuhuda mwingi kwa watu walipata Mali kupitia njia ya Freemason nauliminate na ma shurti wanapewa wewe nitofauti na wao.Endelesha kazi ya MUNGU na uendelee kutenda mema kwa wote bilakubaguwa tunakuona Burundi,Uganda wanakuya shuhudia,Nigeria wanakuyashuhudia matendo mazuri unatendea watu wa Mungu usichoke usisahau nasisi wa Congomani utuombee pia
Hakika unawafundishawatu wakuerewe wewe sio mungu piga pesa zawajinga nabi mkorogo
Inalilahuainalahirajiuni Unabi ulishakwisha kwa Mohamad s.a.w. so we wadanganye tu, hao Assalamualeikum🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Umerogwa wewe, labda kwenu manabii wameisha yani unamdharaulisha MUNGU MWENYEZI(YESU KRISTO) kwamba kaishiwa, hivi unajua maana ya neno manabii au unaongea tu, shetani anamanabij wake ambao ni wachawi, waganga na maagent wakuzimu, wakubwa kwa wadogo, inakuaje leo hii MUNGU(YESU KRISTO) useme hawez kuleta manabij akat manabii wa shetan wamejazana dunian unataka kuniambia kaishiwa, huna akili kweli wewe, dini yako ndo inavyokudanganya eeh
Muhammad sio nabii wa mungu
Manabii bado wapo ingawa siyo wote wa kweli
@@johngerald4677 sawa sio nabii ila huyu ndie yeye..ila ck zote ukweli hujitenga..na mngetaka kujifunza bac mngeckiliza aliyo yasema kisha mkatafakali..aliyo yasema yote ni kweli wala hakuongopa tofaut ni uelewa..mm nimemuelewa sana na hiyo ndio tofaut yetu na nyinyi...sis sio mashabiki sis ni waumin hatuendi misikitin kuwashabikia na kuwashangilia masheikh...bali kufanya ibada..kijifunza na kupata elimu juu ya muumin wa kweli sio shangwe misikitin...sababu mahala pa ibada ni mahala pa toba,,mahala pakujitafakali zaid wew ni nan??nin ufanye upate kufaulu...hamuwez kuelewa nyie...utofaut ndio mkubwa wala hauelezeki...:N:B (msije kusema hawakukwambien kama kweli nyie ni waumin wakweli na mnaenda kwa ajili ya ibada nakujifunza na si kwa ajili ya shangwe basi tafakalin alicho kisema..
Majini matuupu
Tatizo unaongea Kwa kutumia maneno yako, tunataka utoe andiko,,,,,
Safi sana.
Anatakiwa kuongea "Kama yanenavyo maandiko" na sio maneno yake ambayo hayana uthibitisho kimaandiko.
@@hebrew1214 🇧🇮
Ata pale Yesu alipofungua gombo la chuo cha nabii Isaya na kupasoma alipoandikwa bado walitaka kumpiga kwa mawe ila akapita katikati yao akaenda zake.....
2:11 tobaaaaa kumbe mnajua hilo
Mmmmh?????
Sav sana
Kweli wanaokusikiliza ni vipofu na viziwi
Kweli mengine sio yakufundisha yanaua imani
Tafuta ukweli kuhusu bibilia utajuwa je ni kitabu cha Mungu au la
Wangesema mashekhe mngesema wanakashifu ukristo, kumbe vitu vimo ndani ya Quran, Bible imechakachuliwa
Ongeraaa
Ni kweli kabisa nabii mkuu, mfano kuhusu wakristo kuwa na mke mmoja, hii sheria iko andiko gani..?
Kitabu Cha mwanzo kasome
Hakuna aya ni mawazo ya watu tu kuowa mke mmoja na kula nguruwe ni mawazo ya watu
Mathayo 19::3-9
Mmh
Cheki amorapa anasubir kuitwa hapo apewe range mjomba...
Neno la MUNGU ni upanga end of the day neno lake bwana litakusanya ghadhabu nyingi ili kupatiliza wana wa uovu tulionao sasa( kolosai 3:16 ) be care
we wambie tu mungu hayupo kwanini unaficha
SOMA DIBAJI UTAYAONA HAYO UNAYOYASEMA JB
Wanaosema hivyo wana wivu
Nimebarikiwa baba nabii mkuu
"Nabii Mkuu??? "
Is this not the antchrist?
Nabii mkuu uishi miaka mingi sana.Kweli wamekurupuka,hata mtu hajui alichoitiwa,anapayukaa,anajua Mungu amekuagíza nn ufanye?Baba Kata mawimbi tuko nyuma yako,haiwezekani tubadilishwe kwa elimu za kula makande
No kwa hili la maandiko hapana. Kwa hiyo msingi wa huduma yake ni nini?
Ww bado hujasoma bibilia mm ni muislamu nimesoma bibilia huyo nabii wenu kasema ukweli ukitafakari utajuwa au ukisoma history ya bibilia utajuwa bibilia sio kitabu cha mungu km nabii wenu anavyosema nina mawazo ya watu tofaut na kitabu cha waislamu hakijawahi kubadilishwa toka ilipoteremshwa
Una compromise kwa jambo ambalo hulielewi kabisa. Usidanganye watu.
Matango pori Yani wewe una hakiri kuliko Mungu? Toa ushahid biblia inasema wote walioandika neno la Mungu wakiongozwa na roho mtakatifu, ndiyo mana neno Hilo ni pumzi ya Mungu. Akika wadanganye ao waumini wako autoi ushahid wa neno isipokuwa unaongea maneno yako tu ili kujenga himaya kweli?
Aya soma waebrania af na utwambie kitabucha enoko kikwapi nasisi ndoo tukuambie mana juziii tuu hapa walitaka kubadirii bblia we nani usiambiwe ukweriii soma isaya ayubu maombolezo na mambo mengine soma ufunuo
Hivi huyu jamaa mbona sioni hata siku moja akifundusha neno la Mungu? Naomba kufahamishwa.
Ebrania 1:1-2
Neno LA Mungu lipo wazi kabisa.Nyakati hizi tulizonazo Bwana Mungu anasema kupitia Mwana(Yesu) ambaye ndiye Neno na si hawa manabii wa siku za mwisho ambao wanapenda sana kuabudiwa na wanadamu.
@@hebrew1214 siku za mwisho ulipewa habari wewe mbona mimi najua ata mwana wa adamu hajui?
Si utupee yako takatifu yenye ukamilifu
Matango pori
hata mashoga wana manabii si mungu anaongea na madhoga pia
Kweli agents wa shetani ni wengi dunia hii
Wewe Davy unanuka mbele za MUNGU unanuka uvondooooooooooo ovuundooooooooo🤮🤮🤮🤧🤧🤧mbana yesu akukemeee
Mungu akusammehe. Makufuru yako yamejaa kipimo chake. Neno la Mungu ni kweli na ni Amina. Ni heri kwako kama ungetubu ili Yesu akusammehe
Nabii wa mchongo 🤣🤣🤣.
Heti anajiita nabii mkuu.
Wiiiiiiiii.
Huyu ni nabii wa wajinga ,, ndio maana wamekaa hapo wakitazama sula yake hiyo Hana chochote ibilisi mwenyewe
Hivi wewe Davy unamshinda Nebukadresa mfalme
Kwerii mana hata kitabu Cha enoko akipogiii mtumishiii upo sahiii
Nyie mnayomfuata ndio mnakakiwa kujitafakari
Nabii mkuu Ni mtu wa Mungu Ndio maana hajazima comments Kama wahuni wengine wanaozima comment
Sasa hawa ndio wachungaji? Kipofu wa kushangaza kabisa!!!! Mtu huyu yuko hapa kwa sababu ya Biblia anayoikosoa???
Yaani Unabii ufananiahe na Ualimu?!🤣🤣🤣
Hapo tu mathabahuni ndipo MUNGU atakapo kuonyesha yeye si wa vile unavyo fikiri, wewe hivi utajiri umekudanganya , na utamfikia sulemani kweli?????
Chaka hahahaha baba nipo nawewe 100
Makafiri wana vituko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kafiri ni yule asiemwamini au kuwa na imani ya YESU KRISTO, kama huna imani ya YESU KRISTO jihesabu kuwa kafiri
@@Churchofecclesia Tafsiri ya wapi hiyo kaka jambazi?
Manaje kwanza ncheke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@amiripolwe985 tafsiri ya biblia, usilolijua n sawa na usiku wa giza
@@Churchofecclesia we ni mkiristo
@@abduomar8438 usiulize makofi polisi, tena mwenye imani dhabiti ya YESU KRISTO, MUNGU MKUU, MUNGU MWENYEZI, MWENYEZI MUNGU(YESU KRISTO)
You are not nabii sir stop kupotosha watu,nyie niwafwasi wa farao,Mungu atawaadhibu kama jinsi alimuadhibu farao kubwa lenu,mtakaushwa wazimawazima juu hamko chini hamko.hiyi dunia tu tunapita panasiku hiyo pumzi unatumia kupotosha watu,itaziba,sijuwi nyie mnajiita manabi Mungu atawaadhibu adhabu gani!!!!
Waislam tuachieni Nabii wetu mambo ya wakirsto ni wakirsto hayawahusu.
Mja Laana huyu. Mtumishi wa Ibilisi haswa. Maandiko yanasema anayehubiri Injili nyingine na Alaaniwe!!!
Amina Kaka huyu amelikana neno la Mungu aliye hai
Tena amenena wazi wazi kuwa biblia ina madhaifu wakati Mungu Ni neno na Mungu hana madhaifu
@@cmb6342 usimlani kasema ukweli kabisa bibilia sio kitabu cha mungu
Alaaaaniweeee kwa jina la yesu 😭
@@everlynenanjala9747 aminaa