BIBLIA IMEFANYIWA MABADILIKO ZAIDI YA MARA 1000 - GeorDavie TV

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 16. 01. 2023
  • SMS/WhatsApp au Piga namba: (Makao Makuu) +255 784 31 51 91 au +255 754 31 51 91 au +255 715 31 51 91 au kwa msaada zaidi. Tupo Arusha, Tanzania, East Africa. Pia Download App yetu na ufurahie huduma zetu, Nenda AppStore au PlayStore andika geordavie halafu itakuja GeorDavie Ministries, endelea kupakua. Na Endapo Umeguswa na Huduma hii na Unapenda Kutoa Sadaka yako Tuma Kwenye namba hii (M-Pesa): +255 769 00 00 34 au (kwa AirTelMoney) +255 788 00 00 35. Pia unaweza Kusikiliza redio yetu sasa hivi Online, nenda: www.nyu.radio12345.com
    Keeping Up With God's Kingdom Government Standards!
    TUFUATILIE
    ▶︎ Facebook: / geordavietv
    ▶︎ Instagram: / geordavietv
    ▶︎@GeorDavie Maarifa

Komentáře • 193

  • @drdd774
    @drdd774 Před rokem +12

    Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa, kazi tunayo mpaka yesu arudi tutanyooka.

    • @hebrew1214
      @hebrew1214 Před rokem

      Nabii Mkuu??

    • @mmasymerry1233
      @mmasymerry1233 Před rokem

      Ww unayo maarifa yapi wakati unamatatizo kibao

    • @drdd774
      @drdd774 Před rokem +3

      @@mmasymerry1233 dogo kaa kwa kutulia, mimi nilivyo Huwezi jipima na mimi kifedha, kiimani na kwa baraka, KAMA COMMENT YANGU IMEKUGUSA POLE, BUT BINAFSI SIWEZI KUBALIANA NA UPUUZI HUU.

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      @@drdd774 kw kweli bibilia ukisoma kuna mambo manne
      1 kuna maneno ya Mungu
      2 kuna maneno matakatifu sio ya Mungu
      3 maneno ya mitume
      4 kuna maneno sio ya mitume

    • @davyadamsontz
      @davyadamsontz Před rokem

      @@abduomar8438 imeandikwa wapi?

  • @expert5898
    @expert5898 Před rokem +1

    Ushabiki ni mbaya sana.. ndiomaana kuna watu walikuwa wanashabikia Yesu asulubiwe bila kujua ni kwanini.

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 Před rokem +6

    Bila shaka huu ni mpango wakutuletea bible mpya

    • @hebrew1214
      @hebrew1214 Před rokem

      Manabii wa siku za mwisho huwa wanawapoteza vipofu wenzao na si watu wanaolijua Neno la Mungu.

    • @cmb6342
      @cmb6342 Před rokem

      Ni kwel kabisa hili somo amekadhifu neno la Mungu na pia ameonyesha kuwa dini yake Haina biblia thabiti ila in biblia isiyoaminika

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      @@hebrew1214 mm muislamu niwambie huyo nabii wenu kasema ukweli someni historia ya bibilia utaelewa zaidi

    • @shafiismaily9223
      @shafiismaily9223 Před rokem

      Angalia agano la kale na Agano jipya, utaona utofauti mkubwa.

  • @josephitangishaka960
    @josephitangishaka960 Před rokem +2

    Nakuelewa Baba yangu. Burundi Gitega niko hapa nakukuelewa Zaidi na Zaidi

    • @nelsonnyamle
      @nelsonnyamle Před 28 dny

      Nenda you tube andika KATEKELA NDIPO UTAMJUA KIUNDANI HUYU UNAYE MWAMINI

  • @josephakure6743
    @josephakure6743 Před rokem +3

    Nabii mkuu,mwenyezi Mungu anataka anapenda kuongea na watu wake kupitia manabii................................................

  • @frankmpoto5347
    @frankmpoto5347 Před rokem +16

    Kiongozi kipofu akiwaongozi vipofu wezake watatumbukia wote shimoni, vipofu wanamshangilia kipofu mwezao anapo wapeleka katika shimo la Jehanam,ole! Ole, endeleeni kujifariji na njia pana iendayo upotevuni, siku hiyo mtajua mnafikiri Mungu ni bibi yenu au mjomba wenu

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před rokem

      Wewe hayo macho umeyapatia wapi, na lini au unaongea kwa sabab unamdogo, uwe unaangalia cha kusema kabla hujaongea, ww unaweza kujilinganisha na nabii ambae ni mwonaji,

    • @zenahjacob7773
      @zenahjacob7773 Před rokem

      Nabii Mkuu Safi yuko Safi sana wewe unaetukana wewe ni kipofu shimoni.nabii Mkuu anaendelea kusitawi kashifa yako makukano ndiyo yanayo mpekeka zaidi katika mafunuo ya Mungu mwenyewe halisi

    • @jescadeogratias5292
      @jescadeogratias5292 Před rokem

      Wewe tutakuchungulia kwa chini as tukiwa tunasifu tukiwa na Yesu wetu

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem +1

      @@zenahjacob7773 nyinyi ndio hamuja muelewa huyo nabii wenu anasema bibilia sio kitabu cha Mungu kw asilimia 💯 tofauti na kitabu cha waislamu ni kitabu cha Mungu toka kilipoteremshwa hakijawahi kufanyiwa marekebisho mpaka leo na hakitafanyiwa marekebisho

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      @@jescadeogratias5292 kazi kwako

  • @upendomollelu7260
    @upendomollelu7260 Před rokem +8

    Mmmmm!! !!apana maandiko hayajatungwa Wala ata sio akili zao Bali waliongozwa na Roho mt. Kuyaandika .

    • @everlynenanjala9747
      @everlynenanjala9747 Před rokem

      Uposawa mlevi huyu anapotosha Hawa watu na Wana shagilia kweli kweli

  • @godfreykaaya2344
    @godfreykaaya2344 Před 11 měsíci

    Uko vizuri mweshimiwa nabii mkuu. Uishi miaka mingi

  • @stevenhinjo9664
    @stevenhinjo9664 Před rokem +4

    2petro 1:19 mkijua neno hili kwanza hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu
    20 maana unabii haukuletwa kwa mapenzi ya mwanadamu Bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu wakiongozwa na roho mtakatifu.

    • @zawadijosia5768
      @zawadijosia5768 Před rokem

      Ninnyi mmefubukiqa hayo

    • @zawadijosia5768
      @zawadijosia5768 Před rokem

      Uko sawa

    • @R.Dickon
      @R.Dickon Před rokem

      Sikiliza na kuelewa usikurupuke na maandiko title inasema baadhi ya maandiko ni ya watu sasa uliwahi kusoma hii
      10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
      1 Wakorintho 7:10
      12 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
      1 Wakorintho 7:12

  • @Kidotii
    @Kidotii Před rokem +9

    Hapana Neno la Mungu, liliandikwa na mitume wa Mungu waliongozwa na Roho mtakatifu, yoote yatapita lakin neno litasimama!

    • @user-eb2el9kw6m
      @user-eb2el9kw6m Před 10 měsíci

      Hao mitume ni akina nani. Unajua kuwa bibilia ilipaswa kuwa na vitabu vingapi. Tafuta maarifa upone na wewe mwenyewe.

    • @joycekelvin5434
      @joycekelvin5434 Před 7 měsíci

      Biblia Ina vitabu 66, wandishi wa biblia kuna manabii wakubwa km kina Eliya na musa, Na wanafunz 12 wa yesu, Na Paulo ambae alikuja bahada ya yesu kwenda mbingun

    • @lutenganoclement9357
      @lutenganoclement9357 Před 3 měsíci

      we unadhan vilitakiwa viwe vitabu vingapi​@@user-eb2el9kw6m

  • @anytime5685
    @anytime5685 Před rokem +4

    Nabii unakoelekea si salama
    Jifanye tu nabii inatosha mengine achana nayo

  • @JESUSISLO891
    @JESUSISLO891 Před rokem +8

    Unajichanganya wewe Ivo ni kutaka kusema Mungu hakuwa na huwezo wa kuwafanya watu wahifadhi bibilia ama unataka kupeleka wengi JEHANAMU

    • @joshuajereman7510
      @joshuajereman7510 Před rokem

      Kitabu Cha enoko twambie kipo ndanii ya biblia

    • @JESUSISLO891
      @JESUSISLO891 Před rokem +1

      @@joshuajereman7510 yenye umeandikiwa unaona hutaki kushika na kufanya mapenzi ya Mungu sasa cha Enoch ndicho kitakacho kuokoa

    • @hebrew1214
      @hebrew1214 Před rokem +1

      Manabii wa siku za mwisho huwa wanaongea maneno yao wenyewe ili kujitwalia utukufu.

    • @devisfidel7883
      @devisfidel7883 Před rokem +2

      @@JESUSISLO891 una akili sana we ndgu, yaliyofunuliwa ni ya kwetu na wanetu basi

    • @devisfidel7883
      @devisfidel7883 Před rokem

      @@joshuajereman7510 shughulika kwanza na vilivyopo, yaliyofunuliwa ndyo yanayotuhusu,

  • @jeremiahmagau8623
    @jeremiahmagau8623 Před rokem +7

    No kwa hili la maandiko hapana, Nabii kakosea. Biblia imeandikwa na kutunzwa kwa msaada wa Roho Mtakatifu na sio kwa kufikiria kwa watu.

    • @abdalahsuleman2791
      @abdalahsuleman2791 Před rokem

      Amekosea vp bibilia ni tabu la hovyo ni mawazo ya watu Qur an ni kitabu Cha Allah pekee

    • @shafiismaily9223
      @shafiismaily9223 Před rokem

      Ndio maana kuna Agano la kale

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Před rokem +2

    Kila Nabii ana kalenda yake,Yesu 0-2023. hao wengine kalenda zao zipi.hujui chochote.
    { Kwenye makundi ya Imani wajinga ni wengi}

  • @samwelsamiji6593
    @samwelsamiji6593 Před rokem +8

    I don't see the HOLY SPIRIT here...and definitely if the HOLY SPIRIT isn't there there's another spirit

  • @emmanuelsanga7363
    @emmanuelsanga7363 Před rokem

    Biblia ni neno la Mungu lililovuviwa na Roho mtakatifu full stop hakuna kusogeza Wala nini

  • @mukanyataki5120
    @mukanyataki5120 Před rokem +1

    Matayo 24 : 24 , ji someye mwenewe.
    Hatuoni mushangao na yoote hayo muyafanyayo, kwa sababu YESU alikuwa ameisha tutaarifu mapema kabla ...
    Uzuni tunayo, ni weengi wamepotezwa, na tunajioneya, wamesahau MATAYO 24:24, Yesu alikuwa maisha tutaharifu mapema

  • @hatangimbabazisenzoga3245

    MUNGU wetu Ainuriwe milele na milele Anauwezo wa kutajirisha kushinda shetanni utajiri kutoka kwa shetani ni mateso tu.tunasikia ushuhuda wawengi,wakilia Nabi MUNGU Yehova akubariki

  • @philipomashaka
    @philipomashaka Před rokem

    Baba MUNGU akubariki unazidi kunifungua

  • @jeremiahmagau8623
    @jeremiahmagau8623 Před rokem +8

    Sasa kama huamini katika Maandiko ya Biblia kwamba zilikuwa fikra za watu, nini msingi wa huduma yako?

    • @jamestocta3075
      @jamestocta3075 Před rokem

      Ningetaman alijibu hili swali,

    • @R.Dickon
      @R.Dickon Před rokem

      Nawe nikupe swali lenye uthibitisho hapa unijibu
      10 Lakini wale waliokwisha kuoana nawaagiza; wala hapo si mimi, ila Bwana; mke asiachane na mumewe;
      1 Wakorintho 7:10
      12 Lakini watu wengine nawaambia mimi, wala si Bwana, ya kwamba iwapo ndugu mmoja ana mke asiyeamini, na mke huyo anakubali kukaa naye asimwache.
      1 Wakorintho 7:12
      chunguza hiyo mistari miwili hapo unipe jibu paulo ndiposa ujue nabii mkuu Yuko sahihi

    • @everlynenanjala9747
      @everlynenanjala9747 Před rokem

      Niulize huyu mzee aliepotezwa na fetha huyu Imani yake ni gani??? Huyu si mpagani huyu

    • @josephmhagama8791
      @josephmhagama8791 Před rokem +1

      MIMI SIJAKUEKEWA. swali hili litakusaidia ukilitafutia majibu .Nini maana ya IMANI? ...SOMA ,WAEBRANIA 11:1-3. JUU YA IMANI , USIFUNDISHE WATU VITU VINAVYO ONEKANA WAKATI BIBLIA NDIYO MWONGOZO WAKO USIKUFURU HIVYO .Zingatia ujumbe wa Malaika wa tatu , usipotoshe MAANDIKO AMBAYO NDIYO IMANI YETU WA KRISTO IMEJENGWA HUMO KATIKA NENO (BIBLI)

    • @solsimaniakanam7843
      @solsimaniakanam7843 Před rokem

      Ameen baba umesema ukweli kunawakati nilifunuliwa hivyo umesema baba

  • @jeremiapeter683
    @jeremiapeter683 Před rokem +4

    MNA feli wapi nyieee..mzee USI Force King.🙄🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼
    walisha pita wenye nafasi hyo..🤣🤣🤣🤣🤣🙌🏼🙌🏼.

  • @alicejumaa89
    @alicejumaa89 Před rokem +2

    Wewe mwenyewe unajijua... tusikuhukumu jihukumu mwenyew kwani kiama i karibu.

    • @everlynenanjala9747
      @everlynenanjala9747 Před rokem

      Aii Yani ni uchungu 😭 maneno ya huyu mzee , anavyo aibisha kanisa

  • @PROPHETPCANTENA
    @PROPHETPCANTENA Před 11 měsíci

    Piga Kazi Baba Nabii Mkuu,
    Najifunza saana ...
    Nipo kisongo Kiwandani Arusha.

  • @renatusgasembe3338
    @renatusgasembe3338 Před 10 měsíci

    fundisho hili limenifanya nikukubali na kuanza kukufatilia nabii mkuu. you have deep understanding of reality.

  • @everlynenanjala9747
    @everlynenanjala9747 Před rokem +1

    Wewe Davi huto wapotosha wote!!

  • @Stayawayfromislam2
    @Stayawayfromislam2 Před rokem +2

    Sasa ayo mahubiri ya biblia imebadilishwa ita saidia nini watu ,Kuweni hange na ma funzo ya uyu jama. Kumbuka nabi mkuu ni YESU pekeyake

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj Před 22 dny

    Sasa wewe nabii Mkuu kama neno sio kweli wewe umetowaa wapi ya Mungu wakweli unayo wafundishaa watu wako nafikiri umekosa laa kusema wewe nilikufutilia mwanzo nakajua wewe ni nabii kupee wewe umeishawa dunia inakushanga sana kupee mandiko ya mekulenga wewe kwamba watakuja wapingaa kiristo amaa kweli pesa niajabu wewe yani unawapotesa kisapesa kumbuka ataa yuda nitamaa ya pesa imefanyaa achee Mungu naa wewe ifio kama ulikuwaa mwanzo mutumisha kwaa sasa wewe sio umebakii kukusanyaa kondoo ya Mungu naa kupotesa bora hawa wasanii amboo wao wanaimba kutafuta pesa kupitia burudani lakin wewe unachesa naa Mungu okay baba yangu utajuta

  • @sonkokenyaartist
    @sonkokenyaartist Před rokem +3

    Baba Yangu Nabii Mkuu Dr Geordavie Ni wakati wake akuna wakupinga

  • @richardsilvanus8927
    @richardsilvanus8927 Před rokem +1

    Mpotoshaji mkubwa huyu hapa akuna mungu Ni shetani mtupu

  • @danielwangwe8621
    @danielwangwe8621 Před rokem

    "Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu."
    2PETERO1:21
    BWANA NA AKUKEMEE KWA KUHADAA WATU WAKE MASKINI KWA JINA LA YESU.

  • @mwigarleysaid5406
    @mwigarleysaid5406 Před rokem

    From Geita Tanzania East Africa ❤️🇹🇿 much love to you nabii mkuu Ni mtu wa Mungu Ndio maana hajazima comments

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultan Před rokem +4

    Kwahyo Nabii unataka utwambie biblia ni nn... ndo maana Qur'an ni kitabu kisicho na Shaka ndani yake

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před rokem +1

    Kwelikabisa Nabii 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @Tadeo.luzwili
    @Tadeo.luzwili Před rokem

    Asante baba nabii napata faraja na amani nipo pamoja nawe baba

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před rokem

    Bible ni moja tuu Uko saw kabisa Nabii

  • @armindodamiao3201
    @armindodamiao3201 Před rokem +1

    From Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 but it don't believe these words that you spoke ..... I believe the bible

  • @salmampinga4995
    @salmampinga4995 Před rokem +1

    🤣🤣Kwani jopo lenyewe linasemaje? Mimi nakuelewa sana Baba yangu Hii inahitaji Akili kubwa kukuelewa Asante sana 🙏

  • @suzandavd5213
    @suzandavd5213 Před rokem

    Nabii nimekuelewa vzr

    • @aliiddi4268
      @aliiddi4268 Před rokem

      kuwa bibilia ni maneno ya watu sio ya mungu au sio

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj Před 2 měsíci

    2 Timotheo 3:13
    [13]lakini watu wabaya na wadanganyaji wataendelea, na kuzidi kuwa waovu, wakidanganya na kudanganyika.
    But evil men and seducers shall wax worse and worse, deceiving, and being deceived.

  • @gasparmwanalyela2794
    @gasparmwanalyela2794 Před rokem +1

    Manabii wa leo wanataka kufunua siri gani za Mungu ambazo hazijafunuliwa na Yesu Kristo Mwenyewe na Yohane?

  • @prosperbirorimana5982

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮✌️

  • @safiaseifhamad4100
    @safiaseifhamad4100 Před rokem +1

    Umenena kweli, hawawezi kukuelewa ila mpaka wasome Biblia na Biblia, na kila kipengele kinachoonekana kinaharibu baada ya kutoka New Version itatoka mstari huo huo utakuja na maana nyingine.
    Umenena vyema, tusivunje mahusiano

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      Bado tu hujatafakari kuwa bibilia sio kitabu cha Mungu

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 Před rokem +3

    Hivi Binadamu wanaweza kulogwa kiasi hiki? Mnadanganywa kiasi kwamba nawaona kama mko Dunia ambayo siyo ya Mungu; je! Unasaport mtu kusema Biblia imetungwa tuu na watu? Kwa hiyo siyo maneno ya Mungu ni ya watu? Ole wako wewe upindashae maandiko Mungu atakulisha Adhabu ya milele na wafuasi wako.

  • @samwelimwanja4105
    @samwelimwanja4105 Před rokem +4

    Tangu nianze kufuatilia sijawahi ona Yesu kristo anahubiriwa hapo zaidi ya kugawa pesa na kukashifu maandiko.

    • @hebrew1214
      @hebrew1214 Před rokem +1

      Yesu hawezi kuhubiriwa hapo zaidi ya mtu kujichukulia utukufu kwa kutaka kuonekana yeye ni kama Yesu.

    • @R.Dickon
      @R.Dickon Před rokem

      @@hebrew1214 kweli eh huko kujitwalia utukufu MUNGU amwache kwa miaka yote 40 ya kiutumishi je vip yule aliyeliwa na chango kwa kuonekana kama mungu kama biblia inenavyo!??

    • @everlynenanjala9747
      @everlynenanjala9747 Před rokem

      Huyu tunamkabithi mikononi mwa MUNGU,, amushughulikie vile aliwashughulikia wengine

  • @blues4life633
    @blues4life633 Před rokem +3

    We kenge manyoya Mungu atakua na maana gan kama asngeweza kulilinda neno lake lililothibtshwa? 🙄

  • @talpacompany8358
    @talpacompany8358 Před rokem +1

    Nataka historia ya mabadiliko ya vitabu hivyo,usituchanganye,acha kutetea udhaifu wako kwa kulikosoa Neno la MUNGU,umekuwa mhubiri wa muda mrefu sinawahi sikia ukisema hayo,hii ni dalili ya anguko,halafu mbona unachukizwa na uamsho au dawa imeingia🔥

  • @christinamsoka
    @christinamsoka Před rokem +1

    Jamani naomba ulete hiyo biblia yako uliyopewa na Mungu ili tuifuate.kwa sababu hapo unatufundisha tuiogope Biblia .

  • @user-mf6lz5ro8e
    @user-mf6lz5ro8e Před 11 měsíci

    Kweli siku za mwisho!!!!!!.

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Před rokem

    Kabisa mkuu

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 Před rokem

    Anayesema unabii umekwisha anahitaji maombi macho ya rohoni yafunguliwe..
    Kristu alituachia roho mtakatifu na moja ya mapaji Saba ni unabii...

  • @eliamwasomola5074
    @eliamwasomola5074 Před rokem +1

    Siku inakuja asema Bwana Mungu kitabu cha sefania 1:17 ataufanya mwili wako kama mavi na damu yako ataimwaga katika mavumbi injili za matumbo yenu na sifa za wa nadamu siku yaja zitakoma. Danieli 12:2 siku ya ufufuo utapata aibu ya milele

    • @AmiBoy-vs2td
      @AmiBoy-vs2td Před rokem

      Tafuta Mungu wa kumuabudia bro acha kupoteza Muda

  • @abelsonda4486
    @abelsonda4486 Před rokem

    Brother where did you get this revelation? Did they guess?

  • @hatangimbabazisenzoga3245

    Ile Ni kweli mutumishi wa Mungu, MUNGU Yehova kiisha kuinua Hakuna mwanadamu wa kukushusha chini,tuliisha sikia ushuhuda mwingi kwa watu walipata Mali kupitia njia ya Freemason nauliminate na ma shurti wanapewa wewe nitofauti na wao.Endelesha kazi ya MUNGU na uendelee kutenda mema kwa wote bilakubaguwa tunakuona Burundi,Uganda wanakuya shuhudia,Nigeria wanakuyashuhudia matendo mazuri unatendea watu wa Mungu usichoke usisahau nasisi wa Congomani utuombee pia

    • @leonardmwayeya13
      @leonardmwayeya13 Před rokem

      Hakika unawafundishawatu wakuerewe wewe sio mungu piga pesa zawajinga nabi mkorogo

  • @baysadam235
    @baysadam235 Před rokem +3

    Inalilahuainalahirajiuni Unabi ulishakwisha kwa Mohamad s.a.w. so we wadanganye tu, hao Assalamualeikum🇲🇿🇲🇿🇲🇿

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před rokem

      Umerogwa wewe, labda kwenu manabii wameisha yani unamdharaulisha MUNGU MWENYEZI(YESU KRISTO) kwamba kaishiwa, hivi unajua maana ya neno manabii au unaongea tu, shetani anamanabij wake ambao ni wachawi, waganga na maagent wakuzimu, wakubwa kwa wadogo, inakuaje leo hii MUNGU(YESU KRISTO) useme hawez kuleta manabij akat manabii wa shetan wamejazana dunian unataka kuniambia kaishiwa, huna akili kweli wewe, dini yako ndo inavyokudanganya eeh

    • @johngerald4677
      @johngerald4677 Před rokem +1

      Muhammad sio nabii wa mungu

    • @noelbernard6390
      @noelbernard6390 Před rokem +1

      Manabii bado wapo ingawa siyo wote wa kweli

    • @yousupjabri7304
      @yousupjabri7304 Před rokem

      @@johngerald4677 sawa sio nabii ila huyu ndie yeye..ila ck zote ukweli hujitenga..na mngetaka kujifunza bac mngeckiliza aliyo yasema kisha mkatafakali..aliyo yasema yote ni kweli wala hakuongopa tofaut ni uelewa..mm nimemuelewa sana na hiyo ndio tofaut yetu na nyinyi...sis sio mashabiki sis ni waumin hatuendi misikitin kuwashabikia na kuwashangilia masheikh...bali kufanya ibada..kijifunza na kupata elimu juu ya muumin wa kweli sio shangwe misikitin...sababu mahala pa ibada ni mahala pa toba,,mahala pakujitafakali zaid wew ni nan??nin ufanye upate kufaulu...hamuwez kuelewa nyie...utofaut ndio mkubwa wala hauelezeki...:N:B (msije kusema hawakukwambien kama kweli nyie ni waumin wakweli na mnaenda kwa ajili ya ibada nakujifunza na si kwa ajili ya shangwe basi tafakalin alicho kisema..

    • @nestarnestar4520
      @nestarnestar4520 Před rokem

      Majini matuupu

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před rokem +4

    Tatizo unaongea Kwa kutumia maneno yako, tunataka utoe andiko,,,,,

    • @hebrew1214
      @hebrew1214 Před rokem

      Safi sana.
      Anatakiwa kuongea "Kama yanenavyo maandiko" na sio maneno yake ambayo hayana uthibitisho kimaandiko.

    • @prosperbirorimana5982
      @prosperbirorimana5982 Před rokem

      @@hebrew1214 🇧🇮

    • @R.Dickon
      @R.Dickon Před rokem

      Ata pale Yesu alipofungua gombo la chuo cha nabii Isaya na kupasoma alipoandikwa bado walitaka kumpiga kwa mawe ila akapita katikati yao akaenda zake.....

  • @omaar5693
    @omaar5693 Před rokem

    2:11 tobaaaaa kumbe mnajua hilo

  • @hebrew1214
    @hebrew1214 Před rokem +1

    Mmmmh?????

  • @samwelmollel602
    @samwelmollel602 Před rokem

    Sav sana

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj Před 2 měsíci

    Kweli wanaokusikiliza ni vipofu na viziwi

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 Před rokem

    Kweli mengine sio yakufundisha yanaua imani

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      Tafuta ukweli kuhusu bibilia utajuwa je ni kitabu cha Mungu au la

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 Před rokem

    Wangesema mashekhe mngesema wanakashifu ukristo, kumbe vitu vimo ndani ya Quran, Bible imechakachuliwa

  • @Rastermirish
    @Rastermirish Před rokem

    Ongeraaa

  • @wilsonm.7376
    @wilsonm.7376 Před rokem

    Ni kweli kabisa nabii mkuu, mfano kuhusu wakristo kuwa na mke mmoja, hii sheria iko andiko gani..?

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 Před rokem

    Mmh

  • @anwary_sultan
    @anwary_sultan Před rokem +1

    Cheki amorapa anasubir kuitwa hapo apewe range mjomba...

  • @johnmgaya2280
    @johnmgaya2280 Před rokem

    Neno la MUNGU ni upanga end of the day neno lake bwana litakusanya ghadhabu nyingi ili kupatiliza wana wa uovu tulionao sasa( kolosai 3:16 ) be care

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 Před 2 měsíci

    we wambie tu mungu hayupo kwanini unaficha

  • @mtailwahamisi
    @mtailwahamisi Před rokem

    SOMA DIBAJI UTAYAONA HAYO UNAYOYASEMA JB

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Před rokem

    Wanaosema hivyo wana wivu

  • @jamesncheye3957
    @jamesncheye3957 Před rokem

    Nimebarikiwa baba nabii mkuu

  • @kennedykimutai2298
    @kennedykimutai2298 Před rokem

    Is this not the antchrist?

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 Před rokem +1

    Nabii mkuu uishi miaka mingi sana.Kweli wamekurupuka,hata mtu hajui alichoitiwa,anapayukaa,anajua Mungu amekuagíza nn ufanye?Baba Kata mawimbi tuko nyuma yako,haiwezekani tubadilishwe kwa elimu za kula makande

    • @jeremiahmagau8623
      @jeremiahmagau8623 Před rokem

      No kwa hili la maandiko hapana. Kwa hiyo msingi wa huduma yake ni nini?

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      Ww bado hujasoma bibilia mm ni muislamu nimesoma bibilia huyo nabii wenu kasema ukweli ukitafakari utajuwa au ukisoma history ya bibilia utajuwa bibilia sio kitabu cha mungu km nabii wenu anavyosema nina mawazo ya watu tofaut na kitabu cha waislamu hakijawahi kubadilishwa toka ilipoteremshwa

  • @enocktuza1819
    @enocktuza1819 Před rokem

    Una compromise kwa jambo ambalo hulielewi kabisa. Usidanganye watu.

  • @calistustitus4566
    @calistustitus4566 Před rokem +2

    Matango pori Yani wewe una hakiri kuliko Mungu? Toa ushahid biblia inasema wote walioandika neno la Mungu wakiongozwa na roho mtakatifu, ndiyo mana neno Hilo ni pumzi ya Mungu. Akika wadanganye ao waumini wako autoi ushahid wa neno isipokuwa unaongea maneno yako tu ili kujenga himaya kweli?

    • @joshuajereman7510
      @joshuajereman7510 Před rokem

      Aya soma waebrania af na utwambie kitabucha enoko kikwapi nasisi ndoo tukuambie mana juziii tuu hapa walitaka kubadirii bblia we nani usiambiwe ukweriii soma isaya ayubu maombolezo na mambo mengine soma ufunuo

    • @henrymwaipaja3512
      @henrymwaipaja3512 Před rokem

      Hivi huyu jamaa mbona sioni hata siku moja akifundusha neno la Mungu? Naomba kufahamishwa.

  • @edwinmbwilo6128
    @edwinmbwilo6128 Před rokem

    Ebrania 1:1-2

    • @hebrew1214
      @hebrew1214 Před rokem

      Neno LA Mungu lipo wazi kabisa.Nyakati hizi tulizonazo Bwana Mungu anasema kupitia Mwana(Yesu) ambaye ndiye Neno na si hawa manabii wa siku za mwisho ambao wanapenda sana kuabudiwa na wanadamu.

    • @R.Dickon
      @R.Dickon Před rokem

      @@hebrew1214 siku za mwisho ulipewa habari wewe mbona mimi najua ata mwana wa adamu hajui?

  • @fredrick5514
    @fredrick5514 Před rokem

    Si utupee yako takatifu yenye ukamilifu

  • @samwelinyaku3810
    @samwelinyaku3810 Před rokem

    Matango pori

  • @omaar5693
    @omaar5693 Před rokem

    hata mashoga wana manabii si mungu anaongea na madhoga pia

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj Před 2 měsíci

    Kweli agents wa shetani ni wengi dunia hii

  • @everlynenanjala9747
    @everlynenanjala9747 Před rokem +1

    Wewe Davy unanuka mbele za MUNGU unanuka uvondooooooooooo ovuundooooooooo🤮🤮🤮🤧🤧🤧mbana yesu akukemeee

    • @mungaibrahimmchengwa7052
      @mungaibrahimmchengwa7052 Před rokem

      Mungu akusammehe. Makufuru yako yamejaa kipimo chake. Neno la Mungu ni kweli na ni Amina. Ni heri kwako kama ungetubu ili Yesu akusammehe

  • @justineluchelo
    @justineluchelo Před rokem +1

    Nabii wa mchongo 🤣🤣🤣.
    Heti anajiita nabii mkuu.
    Wiiiiiiiii.

    • @everlynenanjala9747
      @everlynenanjala9747 Před rokem

      Huyu ni nabii wa wajinga ,, ndio maana wamekaa hapo wakitazama sula yake hiyo Hana chochote ibilisi mwenyewe

  • @everlynenanjala9747
    @everlynenanjala9747 Před rokem

    Hivi wewe Davy unamshinda Nebukadresa mfalme

  • @joshuajereman7510
    @joshuajereman7510 Před rokem

    Kwerii mana hata kitabu Cha enoko akipogiii mtumishiii upo sahiii

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 Před rokem

    Nyie mnayomfuata ndio mnakakiwa kujitafakari

  • @mwigarleysaid5406
    @mwigarleysaid5406 Před rokem

    Nabii mkuu Ni mtu wa Mungu Ndio maana hajazima comments Kama wahuni wengine wanaozima comment

  • @Annsikoboy-ut8bs
    @Annsikoboy-ut8bs Před rokem

    Sasa hawa ndio wachungaji? Kipofu wa kushangaza kabisa!!!! Mtu huyu yuko hapa kwa sababu ya Biblia anayoikosoa???

  • @alhadajjmohammedsmith9042

    Yaani Unabii ufananiahe na Ualimu?!🤣🤣🤣

  • @everlynenanjala9747
    @everlynenanjala9747 Před rokem

    Hapo tu mathabahuni ndipo MUNGU atakapo kuonyesha yeye si wa vile unavyo fikiri, wewe hivi utajiri umekudanganya , na utamfikia sulemani kweli?????

  • @alexmalyango1405
    @alexmalyango1405 Před rokem +1

    Chaka hahahaha baba nipo nawewe 100

  • @amiripolwe985
    @amiripolwe985 Před rokem

    Makafiri wana vituko 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před rokem

      Kafiri ni yule asiemwamini au kuwa na imani ya YESU KRISTO, kama huna imani ya YESU KRISTO jihesabu kuwa kafiri

    • @amiripolwe985
      @amiripolwe985 Před rokem

      @@Churchofecclesia Tafsiri ya wapi hiyo kaka jambazi?
      Manaje kwanza ncheke 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před rokem

      @@amiripolwe985 tafsiri ya biblia, usilolijua n sawa na usiku wa giza

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      @@Churchofecclesia we ni mkiristo

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia Před rokem

      @@abduomar8438 usiulize makofi polisi, tena mwenye imani dhabiti ya YESU KRISTO, MUNGU MKUU, MUNGU MWENYEZI, MWENYEZI MUNGU(YESU KRISTO)

  • @alimatambwe3402
    @alimatambwe3402 Před rokem

    You are not nabii sir stop kupotosha watu,nyie niwafwasi wa farao,Mungu atawaadhibu kama jinsi alimuadhibu farao kubwa lenu,mtakaushwa wazimawazima juu hamko chini hamko.hiyi dunia tu tunapita panasiku hiyo pumzi unatumia kupotosha watu,itaziba,sijuwi nyie mnajiita manabi Mungu atawaadhibu adhabu gani!!!!

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před rokem

    Waislam tuachieni Nabii wetu mambo ya wakirsto ni wakirsto hayawahusu.

  • @yohanayusuf4713
    @yohanayusuf4713 Před rokem +3

    Mja Laana huyu. Mtumishi wa Ibilisi haswa. Maandiko yanasema anayehubiri Injili nyingine na Alaaniwe!!!

    • @cmb6342
      @cmb6342 Před rokem

      Amina Kaka huyu amelikana neno la Mungu aliye hai

    • @cmb6342
      @cmb6342 Před rokem

      Tena amenena wazi wazi kuwa biblia ina madhaifu wakati Mungu Ni neno na Mungu hana madhaifu

    • @abduomar8438
      @abduomar8438 Před rokem

      @@cmb6342 usimlani kasema ukweli kabisa bibilia sio kitabu cha mungu

    • @everlynenanjala9747
      @everlynenanjala9747 Před rokem +2

      Alaaaaniweeee kwa jina la yesu 😭

    • @yohanayusuf4713
      @yohanayusuf4713 Před rokem

      @@everlynenanjala9747 aminaa