Maktaba ya Vatican: Jumba lenye Siri za kutisha, yajue yaliyomo na kwanini yamefichwa hadi leo

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 167

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před rokem +9

    Hapa Kuna kikubwa cha kujifunza kutokana na taarifa ,Allahmdulilah A m Muslim

  • @bonita329
    @bonita329 Před rokem +21

    Sauti ya sky naipenda unasikiliza story hadi unasikia raha☺️
    Big Love from Germany🇩🇪🙌🏼
    Vatican Roma italy utalii wangu wa kwanza kabisa nilianza kutembelea kwenye jumba la Vatican kwanza nilishangaa sana viongozi walio kufa maiti zao zinaishi kwenye jeneza la vioo na wamelala vizuri tu wima😬🧐
    kuhusu vitabu vinavyohusishwa na uchawi ni kweli vipo maktaba hizo tena uchawi huo unasoma tu nakufata maelekezo na uchawi unakuja live aswa huko UK na marekani kama vile tunavyoona kwa movies zao ni vitu vyakweli kabisa

  • @febrowizkindi
    @febrowizkindi Před rokem +7

    simulizi hizi ndo zinaitajikwa
    sauti la Sky Mashallah😍😍
    5/5 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @manasekamnde5802
    @manasekamnde5802 Před rokem +8

    Yaani wakati wengine wanatuandikia habar za hofu ya Ebola na Corona sky anatutuliza na story nzuri Kama hz bro Mungu azid kukuinua

  • @noel3290
    @noel3290 Před rokem +13

    You should have a podcast talking about history and i will subscribe. By far the best story i have listened from you. I love history myself but the Roman Empire is just something else. Talk about their architecture someday. It’s believed they had heated floors way even before electricity. I wonder how the modern architecture is so basic

    • @josephsebe5857
      @josephsebe5857 Před rokem

      Yes please show that primitive jealous angry man. THAT ROMA WASN'T BUILT IN HIS BRAIN 🤣 THAT'S WHY HE BRING US STUPID THINGS.

    • @maggiestanley5552
      @maggiestanley5552 Před rokem

      😅

  • @avelinekafuru5146
    @avelinekafuru5146 Před rokem +3

    Imani, Tumaini na Upendo.
    Mungu ni UPENDO.

  • @silvananjunwa7905
    @silvananjunwa7905 Před rokem +5

    Asante sana naubarikiwe,Katoriki Mungu azidi kuisamia Roho Mt.azidi kutusimamia tusitenguke kiimani.

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE Před měsícem +1

      ujinga, yaani mmetengana wote nyinyi madhehebu ambapo siyo maagizo ya KRISTO.

  • @helenamwaipaja7749
    @helenamwaipaja7749 Před měsícem

    Inasisimua sanaaaa,ila bado Biblia tuliyonayo ina majibu ya maisha yetu,Maana Mungu wetu haokoi kwa wingi wala uchache,yanayosha tuliyoyasikia

  • @crazy3462
    @crazy3462 Před rokem +1

    Sns br unajua sana napenda sana kaz zako endelea nakaz nzuri

  • @DonMooSTUDIO_Express
    @DonMooSTUDIO_Express Před rokem +6

    Hapa sasa ndip mmenipata sns nime subscribe leo... asante sana Sky

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před rokem +2

    Wafundishen uchawi mzul awa watu weus kama mkaa Mana wenzetu Wana uchawi mzul unao leta faida nasio kutiana hasara

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Před rokem +3

    Thank you SNS ❣️❣️❣️❣️

  • @amirclassic8326
    @amirclassic8326 Před rokem

    Safi Sana bro nakupata kutokea Canada🇨🇦🍁🍁🍁🍁👍👍👍🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦

  • @guledomary2812
    @guledomary2812 Před rokem

    Sky Walker.. we ni nomaa unajua kupanga matukio na kusimlia unafanya msikiliza sio tu kufurahia historia Bali pia kujifunza.. hakika hii SmS itafika Mbali Kwa ufanisi

  • @philiplenardsylvester6063

    Nimeipenda hii kinoma👏👏👏🇹🇿🇹🇿

  • @alexmwanioti6390
    @alexmwanioti6390 Před rokem +9

    Wanaoujua ulimwengu huu ndio wanaouendesha, kuna siri kubwa sana juu ya maendeleo ya dunia hii tunayoiona

    • @neemambotola1139
      @neemambotola1139 Před rokem

      Kweli Dunia Ina mambo mengi sana sisi tunaojifanya wajuaji ndo hatujui chochote..

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu Před 5 měsíci

    Irmao você é bom talentoso ❤❤❤

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 Před rokem

    Boss leo nimwkuelewa sana kwa be hii noma sanaa

  • @josephjulius3327
    @josephjulius3327 Před rokem

    Thanks for this dunia ina siri kubwa

  • @mamafaiza1720
    @mamafaiza1720 Před rokem +1

    Napendaga simuliziii

  • @mosespeter2508
    @mosespeter2508 Před rokem

    Mungu atusaidie sana

  • @j-ray4711
    @j-ray4711 Před rokem +4

    Knowledge nyingi zipo kwenye maandishi ambapo Kuna Siri nyingi zimefichwa.

  • @emanuelgavile3503
    @emanuelgavile3503 Před rokem +5

    Sauti kama ni tv bas zaidi ya HD

  • @amour5535
    @amour5535 Před rokem +3

    Ngoja waje mm nasikiliza tu

  • @ibrahimaziz7158
    @ibrahimaziz7158 Před rokem +6

    Ukute hii maktaba imejaaa siri za kichawi tu hakuna zaidi cc kitabu chetu kimoja tu kinatosha

  • @francisjoseph1074
    @francisjoseph1074 Před rokem +17

    Sky kila siku huwa nakufiatilia sana ILA Leo ndo nimekuwa kwenye Top list yangu ya watu ninaowakubari Duniani coz mko pafect na mnauelewa mkubwa mno, ASA kwenye story ya maktaba ILA nakuomba umtafute Mtumish mmoja anaitwa bishop Aurelian ngonyani mwanathiologia naimani utamuuliza maswali mazuli kuhusu historia ya kanisa na dunia Kwa ujumla jamaa anajua na ana iQ ya juu

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před rokem +9

      Asante sana Francis kwa pongezi na pia suggestion, tutalifanyia kazi

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před rokem

      Yaani kila tunapozidi kuelewa mambo ndipo tunajikuta tuko kwenye mvurugano mkubwa sana, sasa je ?? Tunaelewa au tunajikoroga???

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před rokem

      Je ?? Hizi dini zote hizi , ni hadisi ya kutengeneza au ni kweli ,,,mengi tumefichwa.lakini iko siku

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Před 7 měsíci

      ​@@ezekieljacob5795dini ya kweli ni ukristo sababu inahushahidi WA kimaandishi kihistoria kisayanci na kithioligia

    • @dogojanja6235
      @dogojanja6235 Před 6 měsíci

      Ukitaka kujua dini Ya kweli ni ipi soma Yakobo 1. :27 ​@@francisjoseph1074

  • @sinaloa5698
    @sinaloa5698 Před rokem +4

    Bibilia ya kwanza original imefichwa humo piaa

  • @josephignas3988
    @josephignas3988 Před rokem +3

    Hata Bible ya kwanza original imefichwa humo yenye muongozo sahihi isiyochakachuliwa na yenye utabiri wa Mtume Mohammad kuwa ndiye atakayefata baada ya yesu (Issa) na ukweli tofaut na bible ya kileo upo humo ila wakristo wa leo hawajui jambo hilo na hivyo wamepotezwa tayari na utawala wa kirumi (kanisa catholic la leo)

    • @yusuphmwamlima2902
      @yusuphmwamlima2902 Před rokem

      Hakuna sir inayofichwa ya kidin humo
      Kunafichwa mambo yanayofanyika humo na baadhi ya viumbe vinavyo waongoza katika kutimiza mambo yao

    • @DeoKanyatta
      @DeoKanyatta Před 2 měsíci

      Mmetoka ktk madam, mnaleta ukenge,nye zenu zi wapi?

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Před rokem +1

    Brother Sky ishu kama hizi jaribu kuelezea kiundani bila kuacha maana ya baadhi ya maneno ambayo hatuelewi. protestant ndio nini mfano🙋🏾‍♂️

    • @josephignas3988
      @josephignas3988 Před rokem +2

      Protestant ni makanisa yote tofaut na roman Catholic. Yaan makanisa yote nje na roman Catholic au yaliyo kinyume na catholic ndio yanaitwa "protestant" . Protestant ina maana ya mpingaji

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 Před 4 měsíci

    Your correct

  • @masumbukomaganga438
    @masumbukomaganga438 Před rokem +1

    Humo ndiyo mna siri ya jinsi kanisa katoliki lilivyo badili sabato ya kibiblia ya siku ya Saba jumamosi na kuifanya siku ya kwanza ya juma jumapili kuwa badala ya sabato

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Před rokem +6

    Sns nmekupongeza kwasababu umefuatilia kitu kilichokweli Rome empire ulifanya vitu visivyokawaida lkn pia ulipoungana serikali na Dini ulifanya kufuru ambazo ziliua zaid ya mamilioni ya waumin kikatili mno kuna agenda kubwa mno humo lkn pia hata freemasons waanzilishi wapo humo, na makundi makubwa ya sili Na mipango mipya ya Dunia na naamini hawataweza kuweka wazi mambo yao kwasababu watu watastaajabu mambo hayo

    • @Expedito2512
      @Expedito2512 Před rokem +1

      Maskini wewe una mawazo ya kifara kweli

    • @SimuliziNaSauti
      @SimuliziNaSauti  Před rokem +1

      Shukrani sana Jackson

    • @jacksonngusi4122
      @jacksonngusi4122 Před rokem +1

      @@Expedito2512 njoo na reason usiende tu

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 Před rokem +3

      @@SimuliziNaSauti kanisa limepitia mateso zaidi ya miaka Mia mbili likiteswa na makaisali WA Roman empire makaisali wamewauwa watakatifu na wakristo WA kweli , ILA mungu alivyowaajabu neno liliwafikia na wakaaminki na kua wakristo ulisoma katika ufunuo kuna kumbe za makanisa Saba ya kinabii kama Unaakili ukisoma na ukaelewa hizo jumbe utagundua kitu

    • @MethodRwekaza
      @MethodRwekaza Před rokem

      ​@@francisjoseph1074k

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 Před 7 měsíci

    Sauti nzuri

  • @Tina-ff4pr
    @Tina-ff4pr Před rokem +2

    Mwisho wao umekaribia

  • @catherinemhagama7505
    @catherinemhagama7505 Před rokem

    Tumeipenda story hi ila itabidi. Nisome kwa kurudiarudia ndiyo nitaielewa vizuri zaidi. Nimeipenda story hi Ina mafundisho mengi mno

  • @user-ic1fs9bf1v
    @user-ic1fs9bf1v Před 10 měsíci +1

    Nipe history ya Lilith mke wa Kwanza wa Adam ambae Kwenye Bible wameficha na kumuweka Hawa
    KISA CHA LILITH NA VITABU VILIVYOONDOLEWA KWENY BIBLE

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Před rokem +8

    Walio kiona kitabu cha ngoswe PENZI kitovu cha UZEMBE gonga like yako.

  • @ZQTANZANIA
    @ZQTANZANIA Před rokem +3

    Nachokijua mimi na natamani wengine wakijue ni kuwa, endapo vatikan wataamua kufichua kila kitu kilicho kwenye hio maktaba basi naamini hakutakuwa na ukatoliki wala ukristo maana lisemwalo lipo na kama halipo laja.
    Nalo ni kwamba "dini ya asili na ya mwanzo tangia dunia kuumbwa ni UISILAMU" tuwe watafiti binafsi na tuwe wepesi kuukubali ukweli.

    • @abduljuma2214
      @abduljuma2214 Před rokem +2

      @ kheri Mombasa Toa ushahidi wowote wa kihistoria nje ya quran kwamba kulikuwa na uislam kabla ya nabii muhamad

    • @anastaziamathias8861
      @anastaziamathias8861 Před rokem +1

      Uislam ulikuja baada ya ukristu

    • @abdimohamed3953
      @abdimohamed3953 Před rokem

      @@abduljuma2214 umetoa hoja nzur

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 Před rokem

      Punda we Islamic imeanza lini acha kijidanganya Dini ya majini nyiye

  • @maila561
    @maila561 Před rokem +2

    here we go👌

  • @francismwacha253
    @francismwacha253 Před rokem +9

    Aisee hii makala ndo pendwa kwangu.. nimeikubali mno kanisa lina hazina bhn na nahic kuna maandishi yale ambayo hayakuwekwa kwenye biblia yamo humu..

    • @frankjosephmush4530
      @frankjosephmush4530 Před rokem

      Kweli atamimi nasikiaga inavyosemekanaga mambo yote ayakuwekwa kwenye biblia

    • @hashimalsaadat4905
      @hashimalsaadat4905 Před rokem

      @@frankjosephmush4530
      Ikiwa Biblia Haijakamilika Basi Hata Ukristo Upo Nusu Bado Dini Haijajitosheleza

    • @sweetyjanne255
      @sweetyjanne255 Před rokem

      Sasa hao wanaoficha jamani kwanini wafiche maagizo ya Mungu??

    • @Mariamkimaro2024
      @Mariamkimaro2024 Před rokem

      @@hashimalsaadat4905 rafiki okoka acha ushabiki wa dini
      Yesu anakupenda mpatie maisha yako utajua ukweli usio ujua

    • @audifansisafari5587
      @audifansisafari5587 Před rokem

      @@Mariamkimaro2024 kuokoka ndiyo nini rafiki soma BIBILIA vizuri

  • @yusuphmwamlima2902
    @yusuphmwamlima2902 Před rokem

    Tunaendeshwa na mifumo ya baadhi ya viumbe kwa kutimiza mambo yao. Humo kunatunzwa viumbe na taratib za hao viumbe ili kutimiza ujio wao wa kuwapumbaza viumbe binadamu

  • @charlesdaniel6212
    @charlesdaniel6212 Před rokem +3

    Kaka hizi ndo vitu tunataka kusia

  • @kwilekesyakyamba3090
    @kwilekesyakyamba3090 Před rokem +1

    Unaweza sana historian na uwe upande uo uko kwingine waachie vijana

  • @jumamofu9573
    @jumamofu9573 Před rokem

    Kilomita 85 hiyo Ni corido yenye shelf iliyo jaa vitabu Dooh!! Hakika Ni kubwa kwa kweli!

  • @meekman1805
    @meekman1805 Před rokem

    Mimi naamini kuwa ni kweli hizo Maktaba zina siri nyingi ambazo hawataki kuzitoa.

  • @eliudimwakasenga9754
    @eliudimwakasenga9754 Před rokem +1

    Nakubali kaka tunajifunza hakika

  • @issasalum8544
    @issasalum8544 Před rokem +1

    naomba hiz simulizi zipewe JINA

  • @sofiamsuya2254
    @sofiamsuya2254 Před 6 měsíci

    Upuuzi tu, tutakuamin vip

  • @mwalimuwakiingereza241

    Wanakula nyama au njama? Asante sana kwa ku share nasi habari nyeti

    • @franklachman8883
      @franklachman8883 Před rokem +1

      Njama. Ulimi hauna mfupa..naukakika alimaanisha neno Njama.

  • @user-nv6wt3nx5h
    @user-nv6wt3nx5h Před 2 měsíci

    Nyaraka nyingi waliiba kwenye nchi mbàlimbali...misri,Israel ni

  • @jamesimanwel5089
    @jamesimanwel5089 Před 5 měsíci

    Ni Siri Kwa wengine lakini sisi Waadventista wasabato tunaujua ukweli wote! Nabii Ellen White ameonyeshwa yote

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g Před 9 měsíci

    Kilometa 83 mmmhh mbona parefu

  • @jamesimanwel5089
    @jamesimanwel5089 Před 5 měsíci

    Tafta kitabu cha Great Controversy( pambano kuu) kimeandikwa na Ellen. G. White kuna siri za upapa nying

  • @saumusalimuhassan2499

    Hii ndio *SIMULIZI NA SAUTI* SASA

  • @azizbashir
    @azizbashir Před rokem

    PIA KUFICHA UKWELI WA KUJA KWA MTUME MUHAMMAD KWAMBA HATAKUJA NA KITABIRIWA YA YESU

    • @henrysizya239
      @henrysizya239 Před rokem

      Kwani ni aya au sura gani ndani ya kuraani inayosema Nabii Issa Bin Mariam alitabili ujio wa Muhammad?

  • @julianacellestine801
    @julianacellestine801 Před rokem +1

    Acha uongo.

  • @paskalimallya5294
    @paskalimallya5294 Před rokem +2

    💥☺️

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Před rokem +10

    Hakuna siri isipokua kuna uchawi wa kiwango chajuu. Kwakua siri kwaaslimia kubwa hufanywa na wachawi ili watu wangi wasijue namna wanavyouawa. Na bibilia ni moja ya wachawi Hao Hao ambao wameiandika na kutugawagawa vikundi ambavyo havielewani hata kwa jambo moja. Ukweli huwaunganisha watu, wangekua wameficha ukweli sote wangetuachia tujue. Lakini kwakua wameficha uovu na mambo mabaya ya viumbe kutoka kwenye sayari tofauti. Wanajua kua tukijua, kesho tutakua kama wao kwenye uchawi

    • @goodluckmsoka3660
      @goodluckmsoka3660 Před rokem

      Ndio maana inakuwa siri

    • @japhetrobert1728
      @japhetrobert1728 Před rokem +4

      Huo nimtazamo wako na fikra zako binafsi.

    • @shimbazakayo1058
      @shimbazakayo1058 Před rokem +1

      Maajabu umeweka profile picha ya harusi(umem-beba mke wako) baada ya kufunga ndoa kanisani

    • @piusnkwale
      @piusnkwale Před rokem

      @Barry, mimi nakuelewa haya mambo yana siri kubwa sana sio rahisi mtu kuelewa unless you go deeper spiritually ,

    • @aloyceisdory7855
      @aloyceisdory7855 Před rokem +1

      Chuki za kidin zitakuuwa tatizo upo kwenye dini amboyo historia yake inaanza kwa mchungaji alikua kibaka 😂😂😂😂

  • @josephinematemba5100
    @josephinematemba5100 Před rokem

    Toa na simulizi ya Martin Luther pia

  • @nadrahassan5241
    @nadrahassan5241 Před rokem

    😂😂😂nam hata mchana siwezi nikiwa peke yangu maana mmh

  • @francisjackson6524
    @francisjackson6524 Před rokem

    Kilometer 85.3!!!

  • @rosemaryismaily001
    @rosemaryismaily001 Před rokem +2

    Kwaiyo hiyo maktaba imehifadhi historia za wizi za kila pahal

  • @salamamshana1004
    @salamamshana1004 Před rokem

    Mengi yamefichwa kwenye hizo maktaba na kibwa zaidi ni kuficha UKWELI WA MAMBO..MAMBO MENGI YAMEPINDISHWA NA WATU WAMEFANYWA VIPOFU KWA KUTOJUA
    ILA MINGU NI MWEMA, KILA JAMBO LIMEWEKWA WAZI, INGAWA BADO WATU HAWAONI..

  • @filomenabarongo693
    @filomenabarongo693 Před rokem

    Mambo ni mazito sana

  • @pauloptatmosha8115
    @pauloptatmosha8115 Před rokem

    Your story needs to be supplemented with primary sources. Otherwise it is based on unproved accusations and thus it does not qualify to be called scientific. Provide primary sources please

  • @bongonews6542
    @bongonews6542 Před rokem +1

    Makao makuu ya siri za freemason na devel

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu Před 5 měsíci

    Nini: makitaba inakilomita 83!!!??

  • @sarafinafranci8481
    @sarafinafranci8481 Před rokem

    Muongo sana.

  • @jaymandy8136
    @jaymandy8136 Před rokem +1

    Sky ww ni msimuliaji bora kwa ss aisee

  • @henry1933
    @henry1933 Před rokem

    Doh

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 Před rokem +4

    Wakwanza Leo 🤪

  • @boscomtani1006
    @boscomtani1006 Před rokem

    Km 85.3?

  • @mastaplan
    @mastaplan Před rokem

    Mkuu lete habari za ANNUNAK

  • @allymtapera5370
    @allymtapera5370 Před rokem

    Tuletee mwendelezo

  • @isackhassan6551
    @isackhassan6551 Před rokem

    Ukweli siku zote humuweka mtu huru na hawa jamaa hawataki tuwe huru kifkra kwamwe.

  • @mkaapwekekariakoo6417
    @mkaapwekekariakoo6417 Před rokem +4

    Kuna Tofauti Kati ya SIRI na UZEMBE WA KUSOMA. (nyingi si siri za kufichwa bali ujinga wa kusoma ndo unafanya zionekane siri. Maana kuna baadhi yaliyosemwa kama siri na sns, ki uhalali si siri bali kuwa na knowlege kutoka kwa secondary sources kama si mbali kabisa na ukweli halisi. Kwa kutokuwa na primary sources imformation, SNS mmpetupigw chuma kizito"🙏🙏)... maana kuna ulivyoviita siri, na wakati watu wana ufahamu navyo miaka dahali ilopita. Chunguza zaidi wasaa mwingine🙏🙏

    • @josephsebe5857
      @josephsebe5857 Před rokem +1

      Mbuzi kimpigia zeze ndio kwanza ANAFIKIRI SASA FIMBO IMEKUWA BUYU RUNGU. 🤣

    • @mkaapwekekariakoo6417
      @mkaapwekekariakoo6417 Před rokem

      @@josephsebe5857 🤣🤣🤣🤣 kwamba wamepita kama hii comment haramu maana inahalalisha vilivyokwisha kuharamishwa na ulimwengu wa kupewa pongezi bila kutiwa hata hoja moja ya kuonekana kuwa kuna pahala ngumu kufikika bila kupongeza asiyekupa zawadi ya kukupigia meza za wabunge🤣🤣

    • @maalimseifk-gumuadui123
      @maalimseifk-gumuadui123 Před rokem +1

      Ujuaji ukizidi sana unakua ni upumbavu 🙌🏼Hilo ndo neno langu la leo

    • @mkaapwekekariakoo6417
      @mkaapwekekariakoo6417 Před rokem

      @@maalimseifk-gumuadui123 🤔🤔upumbavu nao ukizidi🤣🤣🤣🤣

  • @duniamapitosotewamungu3467

    vitabu vyote hvy ambavyo vimo humo basi ukisoma kitabu kimoja tu ( Qur -Ann ) basi utakuwa umesoma vyote hvy

    • @thomaschambala1475
      @thomaschambala1475 Před rokem

      Ingekua hivyo hao wanaotafuta majibu kule maktaba s wangeenda kusoma hyo Quran

  • @kalengashoppingcenter1108

    Dunia yetu

  • @akidashekue163
    @akidashekue163 Před rokem

    Maktaba ya Freemason

  • @aminaanab1071
    @aminaanab1071 Před rokem +7

    Wana ficha Siri kubwa ya juu ya yesu kumzunguzia mtume wetu Muhammad salallahu alehi wasalam

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Před rokem

      Ndio maana wanaficha mandishi kwa library

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Před rokem

      Hiyo ndio point 👉

    • @josephevaristi8923
      @josephevaristi8923 Před rokem +1

      Je itakuwaje kama wameficha ukweli kwamba huyo Yesu hakuwahi kuwepo Bali ni mtu wakubuniwa,?,ikiwa ni hvyo bado utakuwa na nguvu yakujitapa na uislam wako

    • @piusnkwale
      @piusnkwale Před rokem

      @@josephevaristi8923 kuna nguvu katika Yesu watu tumeshaprove ilo,soma biblia achana na mambo ya Siri haya hayakupeleki popote,biblia ndio msema kweli hawa wote Siri zao ni mambo ya giza tu

    • @aminaanab1071
      @aminaanab1071 Před rokem

      Mwenyewe unajichanganya uko kwa kitu wewe Mwenyewe huna Imani nacho

  • @ibnbaazalrufiji1468
    @ibnbaazalrufiji1468 Před rokem

    👍🇿🇦🇿🇦

  • @hamismabula9934
    @hamismabula9934 Před rokem

    Hiyo SIRI ya nini kwenye kutangaza neno la MUNGU? Bac kuna tatizo kwa hali hiyo!!! Kuna mambo yasiyofaa, wanaficha ili watu wasijue!

  • @Lizy98067
    @Lizy98067 Před rokem

    🇨🇭🇨🇭🇨🇭🇨🇭

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️👍.

  • @innocentivictor3078
    @innocentivictor3078 Před rokem

    Ombi kwann usiwe unaadisia wewe, story zote, unajua kwakweli

  • @pauloptatmosha8115
    @pauloptatmosha8115 Před rokem

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @williamgideme2689
    @williamgideme2689 Před rokem +1

    Ndiyo mmuelewe ukristo kwa ujumla uko chini ya uongoozi wa ibilisi. Kanisa katoliki ndilloo lililobebaa uhaalifu mkuuu kkuhusu ukweli wa kinsi walivyyotendaa mambo yao kwa siri ilii wasisemmwee , majumba hayo ni makazi ya ibilisi. Hatta Mungu waao wa utatu alittengenezwa katika ad 325,, wakati wa Constattine

    • @pascalerick3525
      @pascalerick3525 Před rokem

      Nao wanataka uishie kujua hvyo ili ubaki mjinga siku zote

    • @HildaenosMwinuka-ej7zg
      @HildaenosMwinuka-ej7zg Před 8 měsíci

      Pole hujui mambo mengi hata uislamu una mambo unafanana na Ukatoriki mbona kama ukristo ni uibilisi.

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Před rokem

    Msimulizi.unakosea sana unapotowa maelezo ya uwongo dhidi ya kanisa katoliki...wewe unajuwa zaidi kuliko wakristo wakatoliki ? Embu weka Udini pembeni wa kisabato...weka chuki pembeni / acha husuda na wivu usiyo na faida yoyote...usipotoshe ukweli kuwa uwongo..tubu hiyo dhambi..

  • @josephsebe5857
    @josephsebe5857 Před rokem

    RONGORONGO ETI JUMBA KUBWA LINATISHA NA GOROFA ZA DUBAI NA SHANGHAI MBONA HUSEMI WEWE ACHA UJINGA. .KAWACHUNGE NGEDERE WASILE MIHOGO YA BIBI HUKO UWASEME NGEDERE NI WATU 🤣🤣🤣🤣