IPM AWAGEUKA WENZAKE KWA HERUFI KUBWA, HAWA NI WAONGO KITAMBAA 20,000 JE MARA 10,000 NI MILION 200

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024

Komentáře • 18

  • @TUMLACKMSIGWA
    @TUMLACKMSIGWA Před 18 dny

    Brother hongera kwa kauli yako leo umeokoka

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Před 18 dny +2

    Kwa Yesu Kristo ndo kila kitu kwake; naam hakika.

  • @paschalfausitine7108
    @paschalfausitine7108 Před 18 dny +1

    Barikiwa mom mchungaji , ipm, ukwwer ,anaujuwa sema , wanajizisaulisha, nyie kazeni mwendo yesu wa kweri yupo ,pamoja. Na kikosi kazi,

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 Před 18 dny +1

    Kikosi chenu tumeshakielewa sana ndicho kimebeba kila kitu katika nyanja ya Imani huko tanzania, pigeni injili SANA

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg

    Kazi kweli kweli

  • @elishadodi8787
    @elishadodi8787 Před 17 dny

    Huyo IPM leo ndiyo kaongea vizuri ila kwenye uvaaji wa kikahaba anaoupigia kampeni simuungi mkono mpaka dakika ya mwisho. Naona ameanza kusogea karibu na lango la uzima. Ni nani aliyemuonya aikimbie ghadhabu ijayo?

  • @user-um7kj5kf6p
    @user-um7kj5kf6p Před 14 dny

    Kunakitu kipo hapa ni uelewa wa neno la mungu shetani huzuia mafanikio mungu huacilia njia ya kufanikiwa. Wakati yesu amewakuta akina Petro wamevua samaki usiku kucha wasipate lakini alipokuja yesu akawaambia shusheni nyavu wakamjibu bwana tumevua usiku kucha hatujapata kwa neno lako tutashusha walipofanya hivyo wakavua samaki wengi Sana ikomiujiza mikubwa kwa yesu. Pale pasipokuwa na mafanikio kwa upako wa jina la yesu Kuna baraka nyingi. Hamuutafuti uweza wa bwana kazi yenu kuwachambua watumishi tafuteni uweza wa bwana mkawafungue watu waliofungwa. Mnacheleweshwa na umbeya na unafiki. Hataakina Petro walifanya kazi lakini samaki hawakupatikana Ila kwa neno la yesu wakavua wengi Sana. Someni neno acheni umbeya

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 Před 18 dny +2

    Acheni huduma za wenzenu, hamna hata haibu nyie hamjafika popote, Mwamposya atawaombea ninyi juu ya umbeya kwa kutumia neno la Mungu

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před 18 dny

      Tokapa 😏😏😏

    • @sifabujune
      @sifabujune Před 18 dny +1

      Hahahaaaaaaa
      Mimi narudia kusema aombee Tanzania ili wanaotudai wasahau au hera zishuke wazipokeeee

    • @ugalidona-cs2yn
      @ugalidona-cs2yn Před 18 dny

      @@sifabujune kweli Akaombe Madeni Yakasahulike ya Nchi ya Tanzania 🇹🇿.

  • @user-vu8fk2kz7l
    @user-vu8fk2kz7l Před 18 dny

    kwani lazima kuwasema hao watumishi

  • @goldermeirshoo1228
    @goldermeirshoo1228 Před 18 dny

    Mna stress, mnatakiwa kumuona Daktari mapema kwani mnateta kutumia neno la Mungu, mnaongea habari nyingi za watumishi kuliko neno la Mungu

    • @Mbarikiwa_Mwakipesile
      @Mbarikiwa_Mwakipesile  Před 18 dny

      @goldenmeirshoo1228
      Daktari tunamuona na hatujaanza Leo, mateto hayajaanzia kwetu bali hata Yesu alisema enyi mafarisayo wanafiki mnakula nyumba za wajane na kwa unafiki mnasali sala ndefu Mathayo 23:13 na hapo tumesoma umbea wa Yeremia

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y Před 18 dny

      tokapa 😏😏😏

    • @sifabujune
      @sifabujune Před 18 dny

      Wewe mwadam ukikoment pumba kama hizi kwenye crips zangu nakublock haraka sana iwezekanavyo maana hauna nia njema kabisaaaaa

    • @user-vu8fk2kz7l
      @user-vu8fk2kz7l Před 18 dny

      kwani wote ni Wana shida na ni wenye dhambi wachungaji wa Leo inakuaje mnasemana wakiacha hizo kazi Nan atafanya😂😂

    • @user-vu8fk2kz7l
      @user-vu8fk2kz7l Před 18 dny

      kwani wote ni Wana shida na ni wenye dhambi wachungaji wa Leo inakuaje mnasemana wakiacha hizo kazi Nan atafanya