Huyo IPM leo ndiyo kaongea vizuri ila kwenye uvaaji wa kikahaba anaoupigia kampeni simuungi mkono mpaka dakika ya mwisho. Naona ameanza kusogea karibu na lango la uzima. Ni nani aliyemuonya aikimbie ghadhabu ijayo?
Kunakitu kipo hapa ni uelewa wa neno la mungu shetani huzuia mafanikio mungu huacilia njia ya kufanikiwa. Wakati yesu amewakuta akina Petro wamevua samaki usiku kucha wasipate lakini alipokuja yesu akawaambia shusheni nyavu wakamjibu bwana tumevua usiku kucha hatujapata kwa neno lako tutashusha walipofanya hivyo wakavua samaki wengi Sana ikomiujiza mikubwa kwa yesu. Pale pasipokuwa na mafanikio kwa upako wa jina la yesu Kuna baraka nyingi. Hamuutafuti uweza wa bwana kazi yenu kuwachambua watumishi tafuteni uweza wa bwana mkawafungue watu waliofungwa. Mnacheleweshwa na umbeya na unafiki. Hataakina Petro walifanya kazi lakini samaki hawakupatikana Ila kwa neno la yesu wakavua wengi Sana. Someni neno acheni umbeya
@goldenmeirshoo1228 Daktari tunamuona na hatujaanza Leo, mateto hayajaanzia kwetu bali hata Yesu alisema enyi mafarisayo wanafiki mnakula nyumba za wajane na kwa unafiki mnasali sala ndefu Mathayo 23:13 na hapo tumesoma umbea wa Yeremia
Brother hongera kwa kauli yako leo umeokoka
Kwa Yesu Kristo ndo kila kitu kwake; naam hakika.
Barikiwa mom mchungaji , ipm, ukwwer ,anaujuwa sema , wanajizisaulisha, nyie kazeni mwendo yesu wa kweri yupo ,pamoja. Na kikosi kazi,
Kikosi chenu tumeshakielewa sana ndicho kimebeba kila kitu katika nyanja ya Imani huko tanzania, pigeni injili SANA
Kazi kweli kweli
Huyo IPM leo ndiyo kaongea vizuri ila kwenye uvaaji wa kikahaba anaoupigia kampeni simuungi mkono mpaka dakika ya mwisho. Naona ameanza kusogea karibu na lango la uzima. Ni nani aliyemuonya aikimbie ghadhabu ijayo?
Kunakitu kipo hapa ni uelewa wa neno la mungu shetani huzuia mafanikio mungu huacilia njia ya kufanikiwa. Wakati yesu amewakuta akina Petro wamevua samaki usiku kucha wasipate lakini alipokuja yesu akawaambia shusheni nyavu wakamjibu bwana tumevua usiku kucha hatujapata kwa neno lako tutashusha walipofanya hivyo wakavua samaki wengi Sana ikomiujiza mikubwa kwa yesu. Pale pasipokuwa na mafanikio kwa upako wa jina la yesu Kuna baraka nyingi. Hamuutafuti uweza wa bwana kazi yenu kuwachambua watumishi tafuteni uweza wa bwana mkawafungue watu waliofungwa. Mnacheleweshwa na umbeya na unafiki. Hataakina Petro walifanya kazi lakini samaki hawakupatikana Ila kwa neno la yesu wakavua wengi Sana. Someni neno acheni umbeya
Acheni huduma za wenzenu, hamna hata haibu nyie hamjafika popote, Mwamposya atawaombea ninyi juu ya umbeya kwa kutumia neno la Mungu
Tokapa 😏😏😏
Hahahaaaaaaa
Mimi narudia kusema aombee Tanzania ili wanaotudai wasahau au hera zishuke wazipokeeee
@@sifabujune kweli Akaombe Madeni Yakasahulike ya Nchi ya Tanzania 🇹🇿.
kwani lazima kuwasema hao watumishi
Mna stress, mnatakiwa kumuona Daktari mapema kwani mnateta kutumia neno la Mungu, mnaongea habari nyingi za watumishi kuliko neno la Mungu
@goldenmeirshoo1228
Daktari tunamuona na hatujaanza Leo, mateto hayajaanzia kwetu bali hata Yesu alisema enyi mafarisayo wanafiki mnakula nyumba za wajane na kwa unafiki mnasali sala ndefu Mathayo 23:13 na hapo tumesoma umbea wa Yeremia
tokapa 😏😏😏
Wewe mwadam ukikoment pumba kama hizi kwenye crips zangu nakublock haraka sana iwezekanavyo maana hauna nia njema kabisaaaaa
kwani wote ni Wana shida na ni wenye dhambi wachungaji wa Leo inakuaje mnasemana wakiacha hizo kazi Nan atafanya😂😂
kwani wote ni Wana shida na ni wenye dhambi wachungaji wa Leo inakuaje mnasemana wakiacha hizo kazi Nan atafanya