Mchungaji Mbarikiwa wewe ni mtumishi wa Mungu hakika! Mungu anazidi kukujaza ufahamu wa kuwastaajabisha hata maadui wanaokushambulia. Umeteswa sana kiasi ambacho bila Mungu ungeshachanganyikiwa akili lakini kadri wanavyokutesa ndivyo Mungu anakuongezea akili na hekima ya kuifafanua kweli na haki! Mungu azidi kutumia kadri apendavyo! Amen!
Bwana ahimidiwe kwa ajili kazi hii mtumishi unayoifanya ya kuwarudisha watu kwenye injili ya kweli,kukemea dhuluma,na upotoshaji.Hakika unauonea wivu injili hii kupotoshwa.ubarkiwe sana unanibariki nikiwa loliondo
amen pastor umefundisha vyema...kiukweli joseph nyuki na lusekelo wamekosea sana kuwakataza wasio na kitu kutia miguu yao kanisani sijui wanataka waende wapi.
Ina maana wenye shida wasisikie neno la Mungu. Kanisani ndio sehemu ya kukimbilia. Jamani someni biblia, mstransilate biblia. Nilipokuwa sina pesa nilijitoa kama sadaka, nilikuwa nasafisha makanisa bila kulipwa, nilijitolea kwa miezi sita, nilimpa Mungu muda na nguvu alizonipa, kwa sasa nawajengea wachungaji makanisa na ni support mzuri sana wa gospel of jesus christ. Nilikuwa sina pesa nilipata maarifa kutoka kanisani.aacheni kuwafukuza wasio na pesa kanisani wanaweza wakawa baraka kwa njia nyingine.
Baba hawa ni matapeli kweli hawana tofauti na chuma ulete. Tunakuja tupo njiani kuwafuta matapeli hawa Tanzania, Hawafanyi kazi wao hutaka ulaji kutoka kwetu.
Injili ni kutetea wanao Onewa Na WADHALIMU. NGORONGORO NA LOLIONDO NA MSOMERA, BADO WANALIA NA KUTESEKA KWA MACHOZI YALIO JAA UCHUNGU Na MANUNGUNIKO JUU Ya UTAWALA Wa KIDHALIMU.
Vikoba taype. Hubiri watu wabarikiwe wafanikiwe wapate cha kutoa, wao wanakumbuka kuhubir kutoa, zimepatikanaje sio kazi yao kujua, wana wa majoka hawa.
Hao ndo wanaweka ugumu wa injiri, wanaona wakafungue makanisa ili wajinufaishe kwa kusimamia vifungu baadhi hata wasiweze kuvitafsiri kwa HEKIMA ya Roho wake KRISTO😢
Munasumbua network tuonyeshe na kanisani kwako hapo hatukuelewi kwasababu umechukua neno moja tu hujaanzana naye mwanzo umetuonyesha neno moja tu na ndo unalo hukumia mtu.
Wakemee namimi Niko nawakemea kwenye koment hapa kwajina layesu mngu ikimpendeza kufanya miujiza aanze nahivyo vihubili vinavyo potosha kwasababu ya Tamaa ya mali na vyeo avishike midomo viwe vibubu mpaka vitakapo tubu ndipo vimjue mngu wakweli viachane nahuyo mngu mpenda pesa amina
Mungu ni wa wote wenye mwili ninyi mtakao sadaka ni tamaa zenu tu pia sadaka ya kwanza njema ni kuitoa miili yetu kama dhabihu takatifu endelee mtu wa Mungu kuwapiga spana matapeli hao
5 Lakini jicho la Mungu lilikuwa likiwaelekea wazee wa Wayahudi, hao wasiwazuie, hata habari ile imfikilie Dario, ndipo jawabu litakapopatikana kwa waraka. Ezra 5:5 👉 Barikiwe sana kama lilivyo jina lako babangu 🙏
Siyo vyema kutafsiri Biblia kama upendavyo ili tu uwapinge wengine ,hapana hiyo si sawa.Na usitowe maneno mengine kichwani mwako ilimradi uwafurahishe wanadamu hasa wasiopenda kumtolea Mungu hiyo si sawa unawadanganya watu.
Mungu angekuwa anangalia sadaka kwanza basi hakuna ambaye angeokoka MATHAYO 12:7 Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Bila shaka na wewe ni zao hao Wahubili hao.
Wasio na Sadaka ndiyo wasiende kwa wahubiri wenye njaa Ila wenye dhambi hawaoni shida kwao. Wapo radhi wawe wazinifu kanisa Zima Ila siyo wasio na Sadaka. Kwa Mwenye macho ya roho na ufahamu wa Mungu siyo kazi ngumu kuwajua Hawa matapeli wa injili. Huu ujinga kiukweli tusiunyamazie
Yes wapo masikini mm nawajua ninwanaomba na kuililia nchi hii inakuwa salama na MUNGU ametuagiza tutor sadaka kwa masikini tena hao masikini ndo wasafi na MUNGU amesema shida sana matajili kuulidhi ufalume wa MUNGU
Ukweli mm nipo pamoja na ww mbalikiwa kwa sasa kanisa limejaa wahuni miwigi mividuku na kujibadilisha langi ambazo MUNGU Alitupa kanisa limepoteza mwelekoe eti kama huna sadaka usije alafu watu masikini waende wapi hakuna ukweli hapo
Hapo umedanganya nimefuatilia misitari uliyosoma hakuna mahali panaposema "hapo ndipo usiingie mikono mitupu" hayo maneno umeyaongeza mwenyewe kwa sababu unataka Biblia ukufuate wewe unachofikiri.Nyie mnao mfuatilia kuweni makini na anachosema. Maneno mengine anayaongeza.
MUNGU akubariki pastor mbarikiwa Kazi yako siyo Bure, usiache kusema wengi wanafunguka kwa elimu yako
Wabarikiwe wenye kunena kweli na haki na kuwarudisha kondoo waliopotea kundini, aamiin.
Hongera baba na mtumishi wa kweli. Mbwa mwitu na wanyang'anyi hao
pastor Mbalikiwa uko vzur sana, ww ni kiongoz mzur.
Mungu akubariki sana Mtumishi wake "unasema kweli ya Mungu ambayo siku zote huwa mwiba kwa wasio na maarifa yatokayo kwa Mungu" 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Wewe mzee Mbarikiwa ni maombi yangu uishi miaka mingi nakupenda sana
Mnawapa heshima kubwa kuwaita pasta, nabii, mtume, Mzee eti wa upako...nk......tuwaite kama alivyo waita YESU ....mbwa mwitu, mbweha... wanyang'anyi..
Safi
Mchungaji Mbarikiwa wewe ni mtumishi wa Mungu hakika! Mungu anazidi kukujaza ufahamu wa kuwastaajabisha hata maadui wanaokushambulia. Umeteswa sana kiasi ambacho bila Mungu ungeshachanganyikiwa akili lakini kadri wanavyokutesa ndivyo Mungu anakuongezea akili na hekima ya kuifafanua kweli na haki! Mungu azidi kutumia kadri apendavyo! Amen!
Hakika, Mungu Aendelee kumtumia
Naam Hakika MUNGU Ni Mwema.
Bwana ahimidiwe kwa ajili kazi hii mtumishi unayoifanya ya kuwarudisha watu kwenye injili ya kweli,kukemea dhuluma,na upotoshaji.Hakika unauonea wivu injili hii kupotoshwa.ubarkiwe sana unanibariki nikiwa loliondo
Yaaan huyu mbarikiwa namkubali sana Mungu amlinde sana ndo anayehubiriiii injili ya kweli
Kanisa la sasa linahitaji wahubiri kama huyu mtu wa Mungu, Mungu na akulinde kwa Damu ya Yesu.
Umeongea vizuri sana mtumishi wa Lord Jesus!... Blessed.
Yaani Joseph Nyuki kanikera kudadadeki! Kweli ama kweli ukristo umeingiliwa, hii Imani mhhhhh! Yaani siku hizi wanataka pesa pesa pesa
safi sana kiongozi (Mbalikiwa Mwakipesile), mm umenisaidia sana kuelewa mambo, na umenitoa kwenye giza la ujinga
Nyuki alisahau na yeye alikua maskini,Leo kainuliwa anazarau maskini
amen pastor umefundisha vyema...kiukweli joseph nyuki na lusekelo wamekosea sana kuwakataza wasio na kitu kutia miguu yao kanisani sijui wanataka waende wapi.
Mbarikiwa.nakukubali sana. Mungu amekuleta kwa ajili ya wakati kama huu. Matapeli wanasema maskini asiendi kanisani.
Ina maana wenye shida wasisikie neno la Mungu. Kanisani ndio sehemu ya kukimbilia. Jamani someni biblia, mstransilate biblia. Nilipokuwa sina pesa nilijitoa kama sadaka, nilikuwa nasafisha makanisa bila kulipwa, nilijitolea kwa miezi sita, nilimpa Mungu muda na nguvu alizonipa, kwa sasa nawajengea wachungaji makanisa na ni support mzuri sana wa gospel of jesus christ. Nilikuwa sina pesa nilipata maarifa kutoka kanisani.aacheni kuwafukuza wasio na pesa kanisani wanaweza wakawa baraka kwa njia nyingine.
Baba hawa ni matapeli kweli hawana tofauti na chuma ulete. Tunakuja tupo njiani kuwafuta matapeli hawa Tanzania, Hawafanyi kazi wao hutaka ulaji kutoka kwetu.
Ubarikiwe sana mchungaji Mbarikiwa nakuelewa
Watu wanachukia kweli wanapenda uongo Mtumishi Mungu akubariki simamia kweli ya Mungu
Nilikuwa kwa wachumia matumbo
Amen, Mungu azidi kubariki mtumishi udumu kuinena kweli ya Mungu Kama ilivyo
Injili ni kutetea wanao Onewa
Na WADHALIMU.
NGORONGORO NA LOLIONDO NA MSOMERA, BADO WANALIA
NA KUTESEKA KWA
MACHOZI YALIO JAA UCHUNGU
Na MANUNGUNIKO JUU Ya
UTAWALA Wa KIDHALIMU.
Hata kanisani kwetu mchungaji wetu anatukamua kwelikweli yaani mpaka unatamani uishi tu maana ni afadhali mpagani kuliko vikoba vya hapa kanisani
Vikoba taype. Hubiri watu wabarikiwe wafanikiwe wapate cha kutoa, wao wanakumbuka kuhubir kutoa, zimepatikanaje sio kazi yao kujua, wana wa majoka hawa.
Mbarikiwa upo vzr Mungu akubariki sana.
Dunia imekwisha kabisa baba yetu ubarikiwe sana baba yetu i?
Amina mtu wa Mungu Mungu akulinde sana
Wewe ndiye mtu wa Mungu tena wa Busara uliyepo huko tanzania tunajivunia sana
Hapo sasa naona wanaanza kukuelewa....
❤
Barikiwa sana mtu wa Mungu
Mtumishi songa Mbele kama tanzania ingelikuwa na wachungaji kama awa ingelipendeza sana tanzania na wanawake kuvalia suruali kusingekuwepo tanzania
Unachosema ni kweli tunaibiwa lakini mijitu sijui midishi imeyumba
Nyosha mapito ya bwana baba kanisa limeingiliwa na vibaka
Ubarikiwe sana pastor.
Tupo pamoja
Ubarikiwe Mno
Mungu akubariki Mwakipesile
Mungu akulidee uendelee kutuelimisha ilitujuwe kweli yotee
Chapa injili SANA baba aah, chapa injili vya kutosha Mungu tunayemwabudu atakupigania Amina
Asante mlinzi nakukubari mtu aliae nyikani.
Nakuelewa pastor
Kweli baba.wamepototokahao.ameeeen
Asante sana brother
Piga kazi
NIMEKUELEWA SASA MCHUNGAJI UNAPAMBANA SANA ...MUNGU AKUBARIKI
Kama kuna manabii wa uongo basi Mungu aliye hai uinua watumishi Kama mbarikiwa
Mungu.akubariki
Kweli kabis baba ubarikiwe
Hao ndo wanaweka ugumu wa injiri, wanaona wakafungue makanisa ili wajinufaishe kwa kusimamia vifungu baadhi hata wasiweze kuvitafsiri kwa HEKIMA ya Roho wake KRISTO😢
Mungu atusaidie sana 🙏
MUNGU akulinde Balikiwa
Fungu la 10 ni kama TRA ndogo, usipotoa unashitakiwa na kuhukumiwa.
Amina Amina
Munasumbua network tuonyeshe na kanisani kwako hapo hatukuelewi kwasababu umechukua neno moja tu hujaanzana naye mwanzo umetuonyesha neno moja tu na ndo unalo hukumia mtu.
Hufungwe ww songa mbele kanisa limetiwa ujinga vusuluali na misengenyo na kutoambizana ukweli hadi pombe xinakubaliwa kunywa tu
Ameeni baba kweli kabisa umefundisha vizuri
Wakemee namimi Niko nawakemea kwenye koment hapa kwajina layesu mngu ikimpendeza kufanya miujiza aanze nahivyo vihubili vinavyo potosha kwasababu ya Tamaa ya mali na vyeo avishike midomo viwe vibubu mpaka vitakapo tubu ndipo vimjue mngu wakweli viachane nahuyo mngu mpenda pesa amina
Mungu ni wa wote wenye mwili ninyi mtakao sadaka ni tamaa zenu tu pia sadaka ya kwanza njema ni kuitoa miili yetu kama dhabihu takatifu endelee mtu wa Mungu kuwapiga spana matapeli hao
Mubarikiwa endelea mbaana sana Wala usiangalie ni nani Wala usiongopee
👊👍✌️.
Eeeeeee Aminaaaa baba ,mtu ndiye zaidi ya pesa
Ameeni
Kwani hawa watu ambao wanaoabudu katika makanisa haya hawafikiri utapeli wa hawa majamaaa?? au wamefungwa akiri??
Ameeni Ameeni pia
Hii mijamaa ni mitapeli ya dunia.
Kwasa pandambegu. wengine wengiwao niwaongo. manabii matatizo. mitume nishida hao hao kimbia
Hongera sana wape ukweli hao
Nakukubali,hapo umesema kweli.
Awa siyoo wachungaji wachumia tumbo nawapiga Dili
5 Lakini jicho la Mungu lilikuwa likiwaelekea wazee wa Wayahudi, hao wasiwazuie, hata habari ile imfikilie Dario, ndipo jawabu litakapopatikana kwa waraka.
Ezra 5:5
👉 Barikiwe sana kama lilivyo jina lako babangu 🙏
Kweli baba
Pamoja mtumishi waambie
❤❤❤❤
😂😂😂majambazi tu nyie mzee wa upoko na nyuki😂😂😂
Uyu nyuki nyuki si alikuwa mwimbaji sasa imekuwaje awe pastor saiv muhuni uyo na mm nafuta nyimbo zake zoote kwa simu tumkatae watanzania atufai tena
Uimbaji ni form ya utumishi
Hawa ni wahuni na matapeli TU!
Tumwombee Joseph Nyuki ndgzng wakristo
Hawa ni wachungaji matapeli na hawa sio watumishi wa kweli
MUNGU WA MBINGUNI AKUBALIKI SANA MTUMISHI NAKUEREWA VIZURI SANA SEMA KWERI TUPONE
Biblia inasema itoeno miiliyenu kama zabiu yani kwenda kanisa tu nisadakatosha
UBALIKIWE Sana mtumishi wa MUNGU
Mwalimu naomba namba ya mke wako
Lusekelo nimemfuta ktk watumishi wa Mungu wa ukweli mwanzoni nilijua yuko ktk nuru kumbe yuko ktk giza
wanawakusanya watu kwenye magari yao ila wakawatapeli
Makanisa ya mashetani ,wanavuta bangi hao ,Bora uwafumbue macho kwa wasio jua ubarikiwe mtumishi kikosi kazi,
Kulanao sahani moja mbwa wakubwa hawa
Mpaka mje mgundue biblia imeandikwa na maginius ya kizungu kwa waafrika matahila.
WAPIGWEE
Kwa hili nakuunga mkono....
wewe. nimutumishi nzuli ningekuwa. Nipo. Mkowa. Wako. ningesali. kanisanikwako ilamtumishi nkunawengine. hatakwaiyaliyao. hawatoi. hata zaka malimbuko hawatoi kamili. inavyotakiwa haounawasaidiaje
Mi nasali nyumbani
Siyo vyema kutafsiri Biblia kama upendavyo ili tu uwapinge wengine ,hapana hiyo si sawa.Na usitowe maneno mengine kichwani mwako ilimradi uwafurahishe wanadamu hasa wasiopenda kumtolea Mungu hiyo si sawa unawadanganya watu.
Mungu angekuwa anangalia sadaka kwanza basi hakuna ambaye angeokoka
MATHAYO 12:7 Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Bila shaka na wewe ni zao hao Wahubili hao.
Wataendelea kujibainisha wenyewe na kazi zao hawa mashetani
Kwamujibu wa maandiko hao niwachungaji wezi na wanyang'anyi Yesu alisha sema
Andiko huua roho huuisha tafuta ufunuo ndipo unaweza kulifundisha neno Kwa usahihi.
Toeni sadaka acheni kumuibia MUNGU
Wasio na Sadaka ndiyo wasiende kwa wahubiri wenye njaa Ila wenye dhambi hawaoni shida kwao. Wapo radhi wawe wazinifu kanisa Zima Ila siyo wasio na Sadaka. Kwa Mwenye macho ya roho na ufahamu wa Mungu siyo kazi ngumu kuwajua Hawa matapeli wa injili. Huu ujinga kiukweli tusiunyamazie
Yes wapo masikini mm nawajua ninwanaomba na kuililia nchi hii inakuwa salama na MUNGU ametuagiza tutor sadaka kwa masikini tena hao masikini ndo wasafi na MUNGU amesema shida sana matajili kuulidhi ufalume wa MUNGU
Ukweli mm nipo pamoja na ww mbalikiwa kwa sasa kanisa limejaa wahuni miwigi mividuku na kujibadilisha langi ambazo MUNGU Alitupa kanisa limepoteza mwelekoe eti kama huna sadaka usije alafu watu masikini waende wapi hakuna ukweli hapo
Anayetukana nadhani akili zake hazipo sawa
Peleka injili mbalikiwa
Wezi ndio Wanao sajiliwa nakuliita nikanisa
Wajifunze kwa kanisa katoliki hakuna upuuzi wa hivyo
Dunia imeisha Mweeee baba Mungu akupe heri mm bado najitafta nipate hata hatua kadhaa japo niricherewa nikiwa kwa wachumba matumbo.
Hapo umedanganya nimefuatilia misitari uliyosoma hakuna mahali panaposema "hapo ndipo usiingie mikono mitupu" hayo maneno umeyaongeza mwenyewe kwa sababu unataka Biblia ukufuate wewe unachofikiri.Nyie mnao mfuatilia kuweni makini na anachosema. Maneno mengine anayaongeza.
Hizo verses ni supportive kuwa sio lazima uwe Tajiri utoe Sadaka au inapinga pia wachungaji wanaojaribu kutumia lugha ya kitisho
Matapeli ni wengi sana, mzee wa upako tulichanga tupate kanisa la barabarani lakini akaenda kununua nyumba mikocheni ya Mariele.