Mtashughulikiwa usiku na mchana kwa nguvu ile ile itakayotumika kupotosha

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 07. 2024
  • Edit with InShot: v.inshotapp.net/invite

Komentáře • 133

  • @theonestrenatus954
    @theonestrenatus954 Před 19 dny +3

    MUNGU akubariki pastor mbarikiwa Kazi yako siyo Bure, usiache kusema wengi wanafunguka kwa elimu yako

  • @hemedsimba492
    @hemedsimba492 Před 19 dny +2

    Wabarikiwe wenye kunena kweli na haki na kuwarudisha kondoo waliopotea kundini, aamiin.

  • @mwlekartiesmwankenja3602
    @mwlekartiesmwankenja3602 Před 19 dny +2

    Hongera baba na mtumishi wa kweli. Mbwa mwitu na wanyang'anyi hao

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 Před 19 dny +2

    pastor Mbalikiwa uko vzur sana, ww ni kiongoz mzur.

  • @malakimapunda010
    @malakimapunda010 Před 19 dny +2

    Mungu akubariki sana Mtumishi wake "unasema kweli ya Mungu ambayo siku zote huwa mwiba kwa wasio na maarifa yatokayo kwa Mungu" 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @apostleelisha2994
    @apostleelisha2994 Před 19 dny +2

    Wewe mzee Mbarikiwa ni maombi yangu uishi miaka mingi nakupenda sana

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 19 dny +5

    Mnawapa heshima kubwa kuwaita pasta, nabii, mtume, Mzee eti wa upako...nk......tuwaite kama alivyo waita YESU ....mbwa mwitu, mbweha... wanyang'anyi..

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 Před 19 dny +12

    Mchungaji Mbarikiwa wewe ni mtumishi wa Mungu hakika! Mungu anazidi kukujaza ufahamu wa kuwastaajabisha hata maadui wanaokushambulia. Umeteswa sana kiasi ambacho bila Mungu ungeshachanganyikiwa akili lakini kadri wanavyokutesa ndivyo Mungu anakuongezea akili na hekima ya kuifafanua kweli na haki! Mungu azidi kutumia kadri apendavyo! Amen!

  • @YohanaKuyato
    @YohanaKuyato Před 19 dny +1

    Bwana ahimidiwe kwa ajili kazi hii mtumishi unayoifanya ya kuwarudisha watu kwenye injili ya kweli,kukemea dhuluma,na upotoshaji.Hakika unauonea wivu injili hii kupotoshwa.ubarkiwe sana unanibariki nikiwa loliondo

  • @msanginaza905
    @msanginaza905 Před 19 dny +2

    Yaaan huyu mbarikiwa namkubali sana Mungu amlinde sana ndo anayehubiriiii injili ya kweli

  • @peterkaji7552
    @peterkaji7552 Před 13 dny +1

    Kanisa la sasa linahitaji wahubiri kama huyu mtu wa Mungu, Mungu na akulinde kwa Damu ya Yesu.

  • @DavidMatata
    @DavidMatata Před 19 dny +2

    Umeongea vizuri sana mtumishi wa Lord Jesus!... Blessed.

  • @zawadimwakapala7935
    @zawadimwakapala7935 Před 19 dny +4

    Yaani Joseph Nyuki kanikera kudadadeki! Kweli ama kweli ukristo umeingiliwa, hii Imani mhhhhh! Yaani siku hizi wanataka pesa pesa pesa

  • @johnkaliwanje434
    @johnkaliwanje434 Před 19 dny +1

    safi sana kiongozi (Mbalikiwa Mwakipesile), mm umenisaidia sana kuelewa mambo, na umenitoa kwenye giza la ujinga

  • @user-jr3xs9sb9x
    @user-jr3xs9sb9x Před 19 dny +4

    Nyuki alisahau na yeye alikua maskini,Leo kainuliwa anazarau maskini

  • @nicholaussteven3188
    @nicholaussteven3188 Před 19 dny +1

    amen pastor umefundisha vyema...kiukweli joseph nyuki na lusekelo wamekosea sana kuwakataza wasio na kitu kutia miguu yao kanisani sijui wanataka waende wapi.

  • @enocktuza1819
    @enocktuza1819 Před 4 dny

    Mbarikiwa.nakukubali sana. Mungu amekuleta kwa ajili ya wakati kama huu. Matapeli wanasema maskini asiendi kanisani.

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před 19 dny +3

    Ina maana wenye shida wasisikie neno la Mungu. Kanisani ndio sehemu ya kukimbilia. Jamani someni biblia, mstransilate biblia. Nilipokuwa sina pesa nilijitoa kama sadaka, nilikuwa nasafisha makanisa bila kulipwa, nilijitolea kwa miezi sita, nilimpa Mungu muda na nguvu alizonipa, kwa sasa nawajengea wachungaji makanisa na ni support mzuri sana wa gospel of jesus christ. Nilikuwa sina pesa nilipata maarifa kutoka kanisani.aacheni kuwafukuza wasio na pesa kanisani wanaweza wakawa baraka kwa njia nyingine.

  • @WILLIAMSINGANO-qn2yh
    @WILLIAMSINGANO-qn2yh Před 19 dny +2

    Baba hawa ni matapeli kweli hawana tofauti na chuma ulete. Tunakuja tupo njiani kuwafuta matapeli hawa Tanzania, Hawafanyi kazi wao hutaka ulaji kutoka kwetu.

  • @user-bg9ct3yn8w
    @user-bg9ct3yn8w Před 19 dny +1

    Watu wanachukia kweli wanapenda uongo Mtumishi Mungu akubariki simamia kweli ya Mungu

  • @stamilinyakunga
    @stamilinyakunga Před 20 dny +5

    Nilikuwa kwa wachumia matumbo

  • @agnesyjoseph3906
    @agnesyjoseph3906 Před 19 dny

    Amen, Mungu azidi kubariki mtumishi udumu kuinena kweli ya Mungu Kama ilivyo

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Před 19 dny +2

    Injili ni kutetea wanao Onewa
    Na WADHALIMU.
    NGORONGORO NA LOLIONDO NA MSOMERA, BADO WANALIA
    NA KUTESEKA KWA
    MACHOZI YALIO JAA UCHUNGU
    Na MANUNGUNIKO JUU Ya
    UTAWALA Wa KIDHALIMU.

  • @NebatiMgute
    @NebatiMgute Před 19 dny +2

    Hata kanisani kwetu mchungaji wetu anatukamua kwelikweli yaani mpaka unatamani uishi tu maana ni afadhali mpagani kuliko vikoba vya hapa kanisani

  • @YustoNgede
    @YustoNgede Před 13 dny

    Vikoba taype. Hubiri watu wabarikiwe wafanikiwe wapate cha kutoa, wao wanakumbuka kuhubir kutoa, zimepatikanaje sio kazi yao kujua, wana wa majoka hawa.

  • @user-is9sd4mz9d
    @user-is9sd4mz9d Před 18 dny

    Mbarikiwa upo vzr Mungu akubariki sana.

  • @DanielKoipapei
    @DanielKoipapei Před 19 dny +3

    Dunia imekwisha kabisa baba yetu ubarikiwe sana baba yetu i?

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh Před 7 dny

    Amina mtu wa Mungu Mungu akulinde sana

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 Před 19 dny +1

    Wewe ndiye mtu wa Mungu tena wa Busara uliyepo huko tanzania tunajivunia sana

  • @user-sc2yw5kk5r
    @user-sc2yw5kk5r Před 18 dny +1

    Hapo sasa naona wanaanza kukuelewa....

  • @user-le6jm2tf5y
    @user-le6jm2tf5y Před 18 dny

    Barikiwa sana mtu wa Mungu

  • @TAG-863
    @TAG-863 Před 18 dny

    Mtumishi songa Mbele kama tanzania ingelikuwa na wachungaji kama awa ingelipendeza sana tanzania na wanawake kuvalia suruali kusingekuwepo tanzania

  • @user-mo2sb2nh8u
    @user-mo2sb2nh8u Před 19 dny +2

    Unachosema ni kweli tunaibiwa lakini mijitu sijui midishi imeyumba

  • @AnaniaKyando
    @AnaniaKyando Před 19 dny +2

    Nyosha mapito ya bwana baba kanisa limeingiliwa na vibaka

  • @ExavelySimbey
    @ExavelySimbey Před 19 dny

    Ubarikiwe sana pastor.
    Tupo pamoja

  • @ezekielmakililo
    @ezekielmakililo Před 18 dny

    Ubarikiwe Mno

  • @surylinetv4677
    @surylinetv4677 Před 19 dny

    Mungu akubariki Mwakipesile

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 15 dny

    Mungu akulidee uendelee kutuelimisha ilitujuwe kweli yotee

  • @mbelechimakobola8835
    @mbelechimakobola8835 Před 19 dny

    Chapa injili SANA baba aah, chapa injili vya kutosha Mungu tunayemwabudu atakupigania Amina

  • @mengindegeya2780
    @mengindegeya2780 Před 19 dny

    Asante mlinzi nakukubari mtu aliae nyikani.

  • @janepatrickmesso7487
    @janepatrickmesso7487 Před 17 dny

    Nakuelewa pastor

  • @SAUTIYAHAKI
    @SAUTIYAHAKI Před 11 dny

    Kweli baba.wamepototokahao.ameeeen

  • @jonathankessy9615
    @jonathankessy9615 Před 19 dny

    Asante sana brother
    Piga kazi

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 Před 19 dny +2

    NIMEKUELEWA SASA MCHUNGAJI UNAPAMBANA SANA ...MUNGU AKUBARIKI

  • @gwamakaadamson131
    @gwamakaadamson131 Před 18 dny

    Kama kuna manabii wa uongo basi Mungu aliye hai uinua watumishi Kama mbarikiwa

  • @Josephineisack-go1wu
    @Josephineisack-go1wu Před 18 dny

    Mungu.akubariki

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe4061 Před 19 dny

    Kweli kabis baba ubarikiwe

  • @Gwa-Kayaga
    @Gwa-Kayaga Před 19 dny +1

    Hao ndo wanaweka ugumu wa injiri, wanaona wakafungue makanisa ili wajinufaishe kwa kusimamia vifungu baadhi hata wasiweze kuvitafsiri kwa HEKIMA ya Roho wake KRISTO😢

  • @SmilingArcade-xj7zg
    @SmilingArcade-xj7zg Před 19 dny

    Mungu atusaidie sana 🙏

  • @Upendo6405
    @Upendo6405 Před 10 hodinami

    MUNGU akulinde Balikiwa

  • @ustawiwetu
    @ustawiwetu Před 18 dny

    Fungu la 10 ni kama TRA ndogo, usipotoa unashitakiwa na kuhukumiwa.

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja7792 Před 19 dny

    Amina Amina

  • @AdamJonas-sx4mi
    @AdamJonas-sx4mi Před 19 dny

    Munasumbua network tuonyeshe na kanisani kwako hapo hatukuelewi kwasababu umechukua neno moja tu hujaanzana naye mwanzo umetuonyesha neno moja tu na ndo unalo hukumia mtu.

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Před 19 dny +1

    Hufungwe ww songa mbele kanisa limetiwa ujinga vusuluali na misengenyo na kutoambizana ukweli hadi pombe xinakubaliwa kunywa tu

  • @user-bg9ct3yn8w
    @user-bg9ct3yn8w Před 19 dny

    Ameeni baba kweli kabisa umefundisha vizuri

  • @user-qm2ve7tx3s
    @user-qm2ve7tx3s Před 19 dny

    Wakemee namimi Niko nawakemea kwenye koment hapa kwajina layesu mngu ikimpendeza kufanya miujiza aanze nahivyo vihubili vinavyo potosha kwasababu ya Tamaa ya mali na vyeo avishike midomo viwe vibubu mpaka vitakapo tubu ndipo vimjue mngu wakweli viachane nahuyo mngu mpenda pesa amina

  • @amosnjiaapostle
    @amosnjiaapostle Před 19 dny +2

    Mungu ni wa wote wenye mwili ninyi mtakao sadaka ni tamaa zenu tu pia sadaka ya kwanza njema ni kuitoa miili yetu kama dhabihu takatifu endelee mtu wa Mungu kuwapiga spana matapeli hao

  • @StevenMutale-xt9yj
    @StevenMutale-xt9yj Před 19 dny

    Mubarikiwa endelea mbaana sana Wala usiangalie ni nani Wala usiongopee

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před 17 dny

    👊👍✌️.

  • @TUMUENZIMBARIKIWA
    @TUMUENZIMBARIKIWA Před 19 dny

    Eeeeeee Aminaaaa baba ,mtu ndiye zaidi ya pesa

  • @user-bg9ct3yn8w
    @user-bg9ct3yn8w Před 19 dny

    Ameeni

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk Před 19 dny

    Kwani hawa watu ambao wanaoabudu katika makanisa haya hawafikiri utapeli wa hawa majamaaa?? au wamefungwa akiri??

  • @user-bg9ct3yn8w
    @user-bg9ct3yn8w Před 19 dny

    Ameeni Ameeni pia

  • @odilomwemeziernest646
    @odilomwemeziernest646 Před 18 dny

    Hii mijamaa ni mitapeli ya dunia.

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Před 16 dny

    Kwasa pandambegu. wengine wengiwao niwaongo. manabii matatizo. mitume nishida hao hao kimbia

  • @lailaiza7288
    @lailaiza7288 Před 19 dny

    Hongera sana wape ukweli hao

  • @EnockTuza
    @EnockTuza Před 19 dny

    Nakukubali,hapo umesema kweli.

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 Před 15 dny

    Awa siyoo wachungaji wachumia tumbo nawapiga Dili

  • @obedimunguachiza8434
    @obedimunguachiza8434 Před 19 dny +1

    5 Lakini jicho la Mungu lilikuwa likiwaelekea wazee wa Wayahudi, hao wasiwazuie, hata habari ile imfikilie Dario, ndipo jawabu litakapopatikana kwa waraka.
    Ezra 5:5
    👉 Barikiwe sana kama lilivyo jina lako babangu 🙏

  • @stamilinyakunga
    @stamilinyakunga Před 20 dny

    Kweli baba

  • @user-jl5uh1xq9f
    @user-jl5uh1xq9f Před 19 dny

    Pamoja mtumishi waambie

  • @ayoubmwangonji2357
    @ayoubmwangonji2357 Před 19 dny

    ❤❤❤❤

  • @thimoteslangay2010
    @thimoteslangay2010 Před 19 dny

    😂😂😂majambazi tu nyie mzee wa upoko na nyuki😂😂😂

  • @adophmmole6389
    @adophmmole6389 Před 19 dny

    Uyu nyuki nyuki si alikuwa mwimbaji sasa imekuwaje awe pastor saiv muhuni uyo na mm nafuta nyimbo zake zoote kwa simu tumkatae watanzania atufai tena

  • @eliamtinda7222
    @eliamtinda7222 Před 19 dny

    Hawa ni wahuni na matapeli TU!

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 Před 19 dny

    Tumwombee Joseph Nyuki ndgzng wakristo

  • @princenelsonsinko5237
    @princenelsonsinko5237 Před 19 dny

    Hawa ni wachungaji matapeli na hawa sio watumishi wa kweli

  • @user-vw2kb8hp9u
    @user-vw2kb8hp9u Před 19 dny

    MUNGU WA MBINGUNI AKUBALIKI SANA MTUMISHI NAKUEREWA VIZURI SANA SEMA KWERI TUPONE

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh Před 7 dny

    Biblia inasema itoeno miiliyenu kama zabiu yani kwenda kanisa tu nisadakatosha

  • @user-ro2mb5uc1y
    @user-ro2mb5uc1y Před 19 dny

    UBALIKIWE Sana mtumishi wa MUNGU

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před 19 dny

    Lusekelo nimemfuta ktk watumishi wa Mungu wa ukweli mwanzoni nilijua yuko ktk nuru kumbe yuko ktk giza

  • @PaulRuben-eu5nh
    @PaulRuben-eu5nh Před 7 dny

    wanawakusanya watu kwenye magari yao ila wakawatapeli

  • @EmanuelStart-jd1vr
    @EmanuelStart-jd1vr Před 19 dny

    Makanisa ya mashetani ,wanavuta bangi hao ,Bora uwafumbue macho kwa wasio jua ubarikiwe mtumishi kikosi kazi,

  • @Magufuli.
    @Magufuli. Před 19 dny

    Kulanao sahani moja mbwa wakubwa hawa

  • @designdesign4426
    @designdesign4426 Před 19 dny

    Mpaka mje mgundue biblia imeandikwa na maginius ya kizungu kwa waafrika matahila.

  • @WTC492
    @WTC492 Před 19 dny

    WAPIGWEE

  • @janelithaSolomon
    @janelithaSolomon Před 19 dny

    Kwa hili nakuunga mkono....

  • @PeterMahona-zd3oz
    @PeterMahona-zd3oz Před 16 dny

    wewe. nimutumishi nzuli ningekuwa. Nipo. Mkowa. Wako. ningesali. kanisanikwako ilamtumishi nkunawengine. hatakwaiyaliyao. hawatoi. hata zaka malimbuko hawatoi kamili. inavyotakiwa haounawasaidiaje

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg

    Mi nasali nyumbani

  • @ronaldsikaponda3553
    @ronaldsikaponda3553 Před 19 dny

    Siyo vyema kutafsiri Biblia kama upendavyo ili tu uwapinge wengine ,hapana hiyo si sawa.Na usitowe maneno mengine kichwani mwako ilimradi uwafurahishe wanadamu hasa wasiopenda kumtolea Mungu hiyo si sawa unawadanganya watu.

    • @Furahamwasyika
      @Furahamwasyika Před 19 dny +3

      Mungu angekuwa anangalia sadaka kwanza basi hakuna ambaye angeokoka
      MATHAYO 12:7 Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia. Bila shaka na wewe ni zao hao Wahubili hao.

  • @elishadodi8787
    @elishadodi8787 Před 20 dny

    Wataendelea kujibainisha wenyewe na kazi zao hawa mashetani

  • @valelianonyato-gx5bq
    @valelianonyato-gx5bq Před 19 dny

    Kwamujibu wa maandiko hao niwachungaji wezi na wanyang'anyi Yesu alisha sema

    • @RizikiEsromu
      @RizikiEsromu Před 19 dny

      Andiko huua roho huuisha tafuta ufunuo ndipo unaweza kulifundisha neno Kwa usahihi.

    • @user-xd7gb9ub4t
      @user-xd7gb9ub4t Před 16 dny

      Toeni sadaka acheni kumuibia MUNGU

  • @elishadodi8787
    @elishadodi8787 Před 20 dny

    Wasio na Sadaka ndiyo wasiende kwa wahubiri wenye njaa Ila wenye dhambi hawaoni shida kwao. Wapo radhi wawe wazinifu kanisa Zima Ila siyo wasio na Sadaka. Kwa Mwenye macho ya roho na ufahamu wa Mungu siyo kazi ngumu kuwajua Hawa matapeli wa injili. Huu ujinga kiukweli tusiunyamazie

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Před 19 dny

      Yes wapo masikini mm nawajua ninwanaomba na kuililia nchi hii inakuwa salama na MUNGU ametuagiza tutor sadaka kwa masikini tena hao masikini ndo wasafi na MUNGU amesema shida sana matajili kuulidhi ufalume wa MUNGU

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Před 19 dny

      Ukweli mm nipo pamoja na ww mbalikiwa kwa sasa kanisa limejaa wahuni miwigi mividuku na kujibadilisha langi ambazo MUNGU Alitupa kanisa limepoteza mwelekoe eti kama huna sadaka usije alafu watu masikini waende wapi hakuna ukweli hapo

  • @user-mo2sb2nh8u
    @user-mo2sb2nh8u Před 19 dny

    Anayetukana nadhani akili zake hazipo sawa

  • @FestoMbwilo-xf9px
    @FestoMbwilo-xf9px Před 19 dny

    Peleka injili mbalikiwa

  • @ashelikilele167
    @ashelikilele167 Před 19 dny

    Wezi ndio Wanao sajiliwa nakuliita nikanisa

  • @valelianonyato-gx5bq
    @valelianonyato-gx5bq Před 19 dny

    Wajifunze kwa kanisa katoliki hakuna upuuzi wa hivyo

  • @stamilinyakunga
    @stamilinyakunga Před 20 dny

    Dunia imeisha Mweeee baba Mungu akupe heri mm bado najitafta nipate hata hatua kadhaa japo niricherewa nikiwa kwa wachumba matumbo.

  • @ronaldsikaponda3553
    @ronaldsikaponda3553 Před 19 dny

    Hapo umedanganya nimefuatilia misitari uliyosoma hakuna mahali panaposema "hapo ndipo usiingie mikono mitupu" hayo maneno umeyaongeza mwenyewe kwa sababu unataka Biblia ukufuate wewe unachofikiri.Nyie mnao mfuatilia kuweni makini na anachosema. Maneno mengine anayaongeza.

    • @albamwanja4304
      @albamwanja4304 Před 19 dny

      Hizo verses ni supportive kuwa sio lazima uwe Tajiri utoe Sadaka au inapinga pia wachungaji wanaojaribu kutumia lugha ya kitisho

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 Před 19 dny +1

    Matapeli ni wengi sana, mzee wa upako tulichanga tupate kanisa la barabarani lakini akaenda kununua nyumba mikocheni ya Mariele.