Nabarikiwa Sana Kwa mafundisho yako naomba unisaidie kwa mfano Mimi nimezoea nikipata ela natoa aslimia 10 kama shukrani kwa Mungu aslmia 40 matumiz ya lazma aslimia 30 naingiza kwenye kuendeleza ujez kijijini aslia 20 nakuza mirad midogo midogo kama ufugaj kuku na ela inaisha na ninanza kukusa ya mayai kidogo kidogo nasevu ikitokea dharura naitumia kwenye kusolvu ikishindikana nanza kuuza badhi ya kuku ili ni solvu io dharura embu nisaidia hapo nakosea 😮au ni njia moja wapo ya kusevu.
Aina hii ya elimu ni faida kubwa mno kwa jamii, maana Kuna mtu anaamini akiwa na kipato hawezi kusevu pesa kumbe anatakiwa aweke hata elfu 10 tu kwa mwezi baada ya mwaka una laki na ishirini ambapo unaweza fungua hata genge dogo kuliko kula hela yote
Nabarikiwa Sana Kwa mafundisho yako naomba unisaidie kwa mfano Mimi nimezoea nikipata ela natoa aslimia 10 kama shukrani kwa Mungu aslmia 40 matumiz ya lazma aslimia 30 naingiza kwenye kuendeleza ujez kijijini aslia 20 nakuza mirad midogo midogo kama ufugaj kuku na ela inaisha na ninanza kukusa ya mayai kidogo kidogo nasevu ikitokea dharura naitumia kwenye kusolvu ikishindikana nanza kuuza badhi ya kuku ili ni solvu io dharura embu nisaidia hapo nakosea 😮au ni njia moja wapo ya kusevu.
Najifunza mengi sana kaka joel na toka ni kufatilie umenibadili kiakili sana.. Mungu akubariki
Unajua Hadi unakela mwalimu
Najifunza mno kuna mahali nimesogea..
YESU akutunze Mtumishi
Kabisa yaani tunakosea hapo
What a lesson!!!! .Our attitude for what we earn must change in order to achieve our financial freedom .I learned a lot be blessed bro
LET’S TALK FINANCE WAS 🙌🙌🙌🙌🙌 bless you brother Joel.
Joel Nanauka mnyama.
Yaah bajeti ni kitu Cha muhimu Kwa ajili ya ustawi
Hakika mimi imenisaidia sana katika maisha yangu, tangu nikiwa kwenye ajira hadi nimestaafu, naandaa bajeti kabla sijachukua fedha.
You are fine, boss, you know what you are talking about, I understand you too
Mungu azidi kukubariki kaka Joel hakika unasaidia wengi
Nimeipenda na imenigusa sana,Asante kaka Joel see me at the top.
Lormodo wangu wasiku zote huwa ni ww
UBARIKIWE SAAAANA
Barikiwa sana kwa kutuelimisha kaka
Asant sana kk MUNGU akubarik asee
Asante ubarikiwe kuliko jana unazidi kutujenga sana
Asante saana Mr joel hapa nimechukua ki2
Mungu akubariki
We braza wewee ........
One love
😂😂😂😂😂😂😂Ila. Joel 😅🙌🏿💃
Kaka mm nakuelewa na nimeanza kufanyia kazi masomo yko ubarikiwe 🙏
Imeendahiyo
Best logic person,congrats you kaka
Hongera Kaka unatupa Hamas sana
Mungu azidi kukuweka Kaka
Naitumia hii kaka Joel inanisaidia sana shukran 👏🏻
Asante sana ndugu yetu Joel.
Sijawahi kukupinga
Asante kwa elimu nzuri.
Aina hii ya elimu ni faida kubwa mno kwa jamii, maana Kuna mtu anaamini akiwa na kipato hawezi kusevu pesa kumbe anatakiwa aweke hata elfu 10 tu kwa mwezi baada ya mwaka una laki na ishirini ambapo unaweza fungua hata genge dogo kuliko kula hela yote
Na
kuelewa mwalimu w
angu
Kaka nimeipenda hii na Kila nitazamapo video zako Kuna kitu kipya huwa nakipata.
Amina
Asante sana
Najifunza mazuri sana
safizana💔💔💔
Naendelea kujifunza 🙏
Yaani hii ni zaidi ya njia ya kuifuata unarikiwe kaka mkubwa 🎉
Nimekuelewa sasa
Barikiwa sana kaka,
Asante
Nimependa
Asantee sana kaka nanauka najifunza mengi sana kupitia ww namuomba mungu akutunze uendeleee kutufundisha zaidi na zaidii
Ada za wanafunzi zinaingia kwenye nini needs,wants au savings?
🙏🙏
Kweny ii video tumekua tukijifunza na kufurahi
❤❤❤❤
Good idea broo
Hapo kwenye kula mkate na mbegguduuh shukran
Great lessons!
Thank you
Ubarikiwe kwa somo nzuri
God bless you
❤❤❤❤🎉🎉🎉
Well said😅
Wasiofanya bajeti wengi kichaka Chao Cha kujificha,kipato changu kidogo nitafanyeje bajeti,😅😅😅
Mr ningependa kujua ni ciku gan hiz clip mpya huwaga xinatoka coz nahitaji nifuatilie kwa karib xaid, ili nijifunxe maxur kutoka kwako brother
U
Nice
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Well said😅