VITU VINAVYOATHIRI UKUAJI WA BIASHARA YAKO - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 02. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 24

  • @user-vh2dy9lo3k
    @user-vh2dy9lo3k Před 4 měsíci +1

    Tangu nianze kusikiliza vipindi vyako mabadiliko nayaona sana.

  • @mrbebabeba
    @mrbebabeba Před 4 měsíci

    Ahsante

  • @PhilipMsasa-uj6cu
    @PhilipMsasa-uj6cu Před 4 měsíci +2

    Duuh,, ni kweli maana ofisi yangu inakalibia kufa kwaajili ya kukosa ujuzi,

  • @ramadhanmkenda5918
    @ramadhanmkenda5918 Před 4 měsíci +1

    Mwalim wa muda wote

  • @alfoncmanoni3033
    @alfoncmanoni3033 Před 4 měsíci +1

    You're my mentor always

  • @mohamedkudura8114
    @mohamedkudura8114 Před 4 měsíci +1

    Asante MUNGU akupe kheri,Mimi nishauri Nina mpango WA uwekezaji uwandishi wa vitabu kitu kigumu Kwa ni kuandika Ila kila kitu cha kuandika ninacho yaani reference

  • @JohnsonMbelwa-rv7jy
    @JohnsonMbelwa-rv7jy Před 4 měsíci

    Always I'salute you my Mental coach.

  • @joely22
    @joely22 Před 4 měsíci

    Je kama Sina ujuzi wa biashar

  • @Johmery
    @Johmery Před 4 měsíci

    Nice ❤❤❤❤❤

  • @user-mi2eu8xo6e
    @user-mi2eu8xo6e Před 4 měsíci

    Nakuelewa sana kaka

  • @tumainselestine3398
    @tumainselestine3398 Před 4 měsíci

    Nimevutiwa na hii mada.

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Před 4 měsíci

    Asante mwalimu

  • @blessvevo
    @blessvevo Před 4 měsíci

    ❤❤😊

  • @user-gz1cd6kn5j
    @user-gz1cd6kn5j Před 4 měsíci

    Mimi ni meanzisha biashara tatizo kupata mtu sahihi ndiyo imekuwa tatizo

  • @sir-ema6719
    @sir-ema6719 Před 4 měsíci

    ❤❤❤❤

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Před 4 měsíci

    Kwekweli ujuzi ndiyo kilakitu

  • @thadeomfaume7166
    @thadeomfaume7166 Před 4 měsíci +3

    Mwalim wang wa wakati wote joer naomba msaada mimi udhaifu wangu ni kwenye usimamizi au ikiwezekana naomba namba yako

    • @masaulaharuni4025
      @masaulaharuni4025 Před 4 měsíci +1

      Anaitwa "Joel" na sio Joer...Nimejifunza jinsi ya kutamka jina la mtu kwa ufasaha,na jinsi anavyojisikia vibaya kuona jina lake limekosewa.
      Nilijifunza kutoka kwa mwalimu wangu kiongozi.
      Coach "Joel Nanauka."

    • @thadeomfaume7166
      @thadeomfaume7166 Před 4 měsíci

      Sawa mkuuu

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 4 měsíci +1

    Kanuni vs Utamaduni. hahaha.. sioni sababu ya kutocheka japo kwa masikitiko maana binafsi utamaduni(subconscious) ina mkono mrefu. Hata hivyo mnara wa kanuni kusimama juu hata mawinguni ni moja ya malengo yngu 2024.

  • @user-iu7nx9um1u
    @user-iu7nx9um1u Před 4 měsíci

    Mwalimu wangu, hivi nawezaje kutambua ratiba ya matamasha ysko unayofanya kwani dhamira nami niweze kuhudhuria kwenye makongamano unayofanya?

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před 4 měsíci

      Huwa napost kwenye facebook na Instagram

  • @hassanihassani7154
    @hassanihassani7154 Před 4 měsíci +2

    Apo kirichopungua kwng nikutafuta ujuz ambao sina ilinifke kure ninapoerekea kibiashala