Nashukuru sana kaka joeli umebadilisha sana utu na uwezo wangu wa ndani kabla sijaanza kupata haya mafundisho yako nilikuwa naishi careless life nilikuwa sina vision pamoja nakuwa nipo ndani ya ajira mwaka wa tano lakini nilikuwa sioni matunda ya kazi yangu wala thamani yake lkn baada ya kujifunza natakiwa nithamini kile nilichonacho basi naishi kwa furaha na matumaini makubwa huku nikiwa na vision ndani yang
Kuna lafiki yng mmoja iv mnaigeria nilichagua kumpenda lakin alichukulia powa na hakuliona Hilo, akaniona dhaifu hatimae ikaishia kugombana ..but nikaamua kumuacha aende ila naamin atanitafuta nakunikumbuka BCS nilimpenda kidhati lakin tulikuwa tunapishana saaana..nimeamua kumuacha aende
Umezungumza vyema kabisa, Nashukuru Mungu niliweza kuonesha jinsi nampenda Mama yangu kabla hajafariki😢
Nashukuru sana kaka joeli umebadilisha sana utu na uwezo wangu wa ndani kabla sijaanza kupata haya mafundisho yako nilikuwa naishi careless life nilikuwa sina vision pamoja nakuwa nipo ndani ya ajira mwaka wa tano lakini nilikuwa sioni matunda ya kazi yangu wala thamani yake lkn baada ya kujifunza natakiwa nithamini kile nilichonacho basi naishi kwa furaha na matumaini makubwa huku nikiwa na vision ndani yang
Io ni kweli kabisaa👌 upendo pia inasaidia kupunguza chuki na kuishi maisha ya amani na furaha😊
Ahasante sna mwlimu Joel hakika kwanzia leo sintapuuza upendo anao nionyesha baba angu
Kuna lafiki yng mmoja iv mnaigeria nilichagua kumpenda lakin alichukulia powa na hakuliona Hilo, akaniona dhaifu hatimae ikaishia kugombana ..but nikaamua kumuacha aende ila naamin atanitafuta nakunikumbuka BCS nilimpenda kidhati lakin tulikuwa tunapishana saaana..nimeamua kumuacha aende
focus na maisha yako
Umalaya2😂😂😂😂
Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana
❤🎉 wewe Mr Joel Nanauka akika Mungu amekuleta kwenye maisha yetu ili ubebe Baraka zetu .Watu wafanikiwe kuzishinda changamoto kupitia wewe.
Hello Joel! Zile video clips za FINANCIAL LAWS hujapost Tena. Tunazihitaji kujua hizo kanuni za mafanikio ya fedha. Kindly send for us
Kaka we we ni mwalimu Mungu akubariki sana tunajifunza mengi kutoka kwako.
Hallo Teacher very True wanapopoteza.?😔....
Asante Sana mwalim umenifunza Hongere sana, MWENYEZI MUNGU AKUBARIKI SANA na akutunze kwenye huu utumishi
Wakupendwa ni ndugu na wazaziii2❤❤❤❤❤❤❤
Nashukuru kwa elimu🎉
Elimu nzuri kabisa anatostahili kila mwanadamu ili kuishi vizuri. Big up sana
Asante Joel.. kwa.. mafundisho yko mungu azidi kukubariki
Umeongea kweli mkuu ❣️
Big love father❤❤❤🎉
❤❤❤❤asatee mwalimu
Upendo ✊✈️🔥
very trueee❤
Hongeraa
Thanks Joel
Asante Sana
Kweli bro Mambo haya yapo
🎉🎉Joel nanauka
Well sayed
Asante
Exactly
Fact
True
🙏🙏🙏
Tru
Vp
Bro umepotea hz siku hz
Mpunguze sauti ya huo mdundo mkuna mda ina meza sauti ya mwalimu tunakua hatuskii baadhi ya maneno
True
Hata kasipokuwepo ni vizuri utulivu wa sauti inakuwa inasikika kakiwa kameishia..
Fact