Mimi ni fundi wa kushona nguo ira ndoto yangu ni kumiliki kampan kubwa saana inayojulikana Tanzania mpaka inje ya inch , namatumaini sana, na nimeshachukua hatua ya kwanza kurudi shule Kwa ajiri ya fashions and designer .
Binafsi uminiwezesha kufungua biashara kwa savingi,na Sasa nimeweza nunua eneo la hekari 7 najipanga kufungua nursery nikiwaxa nije niweke na pr ahsan Sana mkuu,,,tarehe 6/7 nakuja nikuone live
Joel uko vizur especially kwenye live , lakini hizi life wisdom zinakuwa zimepoa (binafsi ntafurahia contents zako Mungu akubariki), lakini the way unaongea inakuwa imepoa. Ni vizuri kuongeza pitch , volume n.k
Tangu nianze kujifunza kwako Kwa mda mfupi nimeona mabadiliko makubwa saana kwangu, hususani kujali wa kazi na kuongea mda kazini,na kuamka mapema sana.
Addition,,,,huwezi ukawa Bora kama unaiga Sana vitu wafanyavyo wengine,,,,, UNIQUENESS MATTER A LOT✈️
#SetYourselfApartFromTheCrowd
Asante sana kaka Joel hakika umekuwa baraka sana kwenye maisha MUNGU akubariki sana,
Mimi ni fundi wa kushona nguo ira ndoto yangu ni kumiliki kampan kubwa saana inayojulikana Tanzania mpaka inje ya inch , namatumaini sana, na nimeshachukua hatua ya kwanza kurudi shule Kwa ajiri ya fashions and designer .
Asanteh sana kaka Joel nanauka ....mafundixho yako ni mazuri🙏
Mungu akubariki sana Mtumishi natamani kuwasiliana nawe 🙏🙏🙏
Binafsi uminiwezesha kufungua biashara kwa savingi,na Sasa nimeweza nunua eneo la hekari 7 najipanga kufungua nursery nikiwaxa nije niweke na pr ahsan Sana mkuu,,,tarehe 6/7 nakuja nikuone live
Joel uko vizur especially kwenye live , lakini hizi life wisdom zinakuwa zimepoa (binafsi ntafurahia contents zako Mungu akubariki), lakini the way unaongea inakuwa imepoa. Ni vizuri kuongeza pitch , volume n.k
Asante sana brother, Mungu akubariki
Very constructive lesson
Tangu nianze kujifunza kwako Kwa mda mfupi nimeona mabadiliko makubwa saana kwangu, hususani kujali wa kazi na kuongea mda kazini,na kuamka mapema sana.
Naaam mwalim nilipotea nimeludi sasa nilikua najifunza kingereza kwaajili ya kujiunga kwenye group lako niwe na umaili!
🙏🙏
Huyu jamaa Mungu ambariki sana
Asante kaka.
Ni kweli brother, changamoto inafanya tuzidi kuwa strong,, Asante kwa Somi zuri
GOD BLESS YOU....
Nakufwatilia sana kaka najiona mbali kaka
Barikiwe sana kk hakika tunajufunza kila leo Asante sana 🙏🙏🙏
Asante xana kaka.. mafundisho yko...yamenifungua macho..barikiwa sana..kw kila jambo 🙏🙏
Joel🎉🎉🎉
We learn through you ❤
Ahsante sana 🎉
Naxukulu sana kaka hakika wewe niazina yataifa
Asante sana ❤
Somo nzuri
Hakika wewe ni tunu kaka kwenye taifa hili mungu akutunze sana.❤
Ameen Ameen
Sio kila fursa nzuri NI ya kwako✊🔥🔥🔥🔥🔥,,,,hii ndiyo kabsah 🔥
Kabsiaaa
@@joelnanauka 🔥✈️✨
Asant Kuna kitu nimejifunza
Tuendelee kujifunza
Asante my mentor watu wa nje ya inchi ya tz wanaweza je kujiunga na hiyo seminar?
Mimi ni mmoja wapo nmekuwa nikighairisha mambo, mfano naweza kufanya saving mpaka 100,000/= baadae natoa mpaka inaisha yote😭
Uzuri umeshajua tatizo, lifanyie kazi
Naitaji kuwa na maongezi na wewe, kwenye WhatsApp