LIFE WISDOM : UNAJENGA NINI - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 06. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 36

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 Před měsícem +5

    Addition,,,,huwezi ukawa Bora kama unaiga Sana vitu wafanyavyo wengine,,,,, UNIQUENESS MATTER A LOT✈️
    #SetYourselfApartFromTheCrowd

  • @johnkihiyo5393
    @johnkihiyo5393 Před měsícem +1

    Asante sana kaka Joel hakika umekuwa baraka sana kwenye maisha MUNGU akubariki sana,

  • @MartinLaban
    @MartinLaban Před měsícem +1

    Mimi ni fundi wa kushona nguo ira ndoto yangu ni kumiliki kampan kubwa saana inayojulikana Tanzania mpaka inje ya inch , namatumaini sana, na nimeshachukua hatua ya kwanza kurudi shule Kwa ajiri ya fashions and designer .

  • @khajirmussa
    @khajirmussa Před měsícem +4

    Asanteh sana kaka Joel nanauka ....mafundixho yako ni mazuri🙏

  • @aggreyyilima1917
    @aggreyyilima1917 Před měsícem +1

    Mungu akubariki sana Mtumishi natamani kuwasiliana nawe 🙏🙏🙏

  • @KIDUCHUCASHPOINT
    @KIDUCHUCASHPOINT Před měsícem

    Binafsi uminiwezesha kufungua biashara kwa savingi,na Sasa nimeweza nunua eneo la hekari 7 najipanga kufungua nursery nikiwaxa nije niweke na pr ahsan Sana mkuu,,,tarehe 6/7 nakuja nikuone live

  • @AlenKinyina
    @AlenKinyina Před měsícem

    Joel uko vizur especially kwenye live , lakini hizi life wisdom zinakuwa zimepoa (binafsi ntafurahia contents zako Mungu akubariki), lakini the way unaongea inakuwa imepoa. Ni vizuri kuongeza pitch , volume n.k

  • @user-jh6jf2vr4o
    @user-jh6jf2vr4o Před měsícem

    Asante sana brother, Mungu akubariki

  • @batsondeux1173
    @batsondeux1173 Před měsícem

    Very constructive lesson

  • @MartinLaban
    @MartinLaban Před měsícem

    Tangu nianze kujifunza kwako Kwa mda mfupi nimeona mabadiliko makubwa saana kwangu, hususani kujali wa kazi na kuongea mda kazini,na kuamka mapema sana.

  • @godfreygerase8713
    @godfreygerase8713 Před měsícem

    Naaam mwalim nilipotea nimeludi sasa nilikua najifunza kingereza kwaajili ya kujiunga kwenye group lako niwe na umaili!

  • @EliaLaurent-r6q
    @EliaLaurent-r6q Před měsícem

    🙏🙏

  • @davidbiseko511
    @davidbiseko511 Před měsícem

    Huyu jamaa Mungu ambariki sana

  • @julianalaly2095
    @julianalaly2095 Před měsícem +1

    Asante kaka.

  • @victoriavictoria8481
    @victoriavictoria8481 Před měsícem

    Ni kweli brother, changamoto inafanya tuzidi kuwa strong,, Asante kwa Somi zuri

  • @user-ev6qt3ps2n
    @user-ev6qt3ps2n Před měsícem

    GOD BLESS YOU....

  • @hendrypeter6182
    @hendrypeter6182 Před měsícem

    Nakufwatilia sana kaka najiona mbali kaka

  • @mathewmartin4413
    @mathewmartin4413 Před měsícem

    Barikiwe sana kk hakika tunajufunza kila leo Asante sana 🙏🙏🙏

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 Před měsícem

    Asante xana kaka.. mafundisho yko...yamenifungua macho..barikiwa sana..kw kila jambo 🙏🙏

  • @user-wx6sm7hl5n
    @user-wx6sm7hl5n Před měsícem

    Joel🎉🎉🎉

  • @AnatoliMbwambo-gj2ly
    @AnatoliMbwambo-gj2ly Před měsícem

    We learn through you ❤

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv Před měsícem

    Ahsante sana 🎉

  • @user-xw9xr9wd9m
    @user-xw9xr9wd9m Před měsícem

    Naxukulu sana kaka hakika wewe niazina yataifa

  • @HalimaAmadi
    @HalimaAmadi Před měsícem +1

    Asante sana ❤

  • @masudibaja
    @masudibaja Před měsícem

    Somo nzuri

  • @user-je2qo8cp9e
    @user-je2qo8cp9e Před měsícem

    Hakika wewe ni tunu kaka kwenye taifa hili mungu akutunze sana.❤

  • @goldiegranted5501
    @goldiegranted5501 Před měsícem +1

    Sio kila fursa nzuri NI ya kwako✊🔥🔥🔥🔥🔥,,,,hii ndiyo kabsah 🔥

  • @GraceSteven-qq5hn
    @GraceSteven-qq5hn Před měsícem

    Asant Kuna kitu nimejifunza

  • @leilahl7024
    @leilahl7024 Před měsícem

    Asante my mentor watu wa nje ya inchi ya tz wanaweza je kujiunga na hiyo seminar?

  • @alexlucas1571
    @alexlucas1571 Před měsícem +4

    Mimi ni mmoja wapo nmekuwa nikighairisha mambo, mfano naweza kufanya saving mpaka 100,000/= baadae natoa mpaka inaisha yote😭

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před měsícem +1

      Uzuri umeshajua tatizo, lifanyie kazi

  • @Elishanabagingisemvayle-ob4cm

    Naitaji kuwa na maongezi na wewe, kwenye WhatsApp