Hongera xana bro Joel kwa ubora mafunzo yako kitu kimoja Cha kipekee xana huna matangazo mengi you always start with "KARIBU KWENYE LIFE WISDOM SERIES" big up sana huna Mambo Kama cile " Kama ndo Mara ya kwanza kuangalia Chanel hii subscribe Mara bonyeza alama ya kengele" ❤
Kaka ni kweli kabisa, hata kanuni za Kiroho yaan kwenye Iman ya Dini ipo hvyo. Tunawadhulumu sana waajiri wetu tukiamini wao hawana shida.
Yah maisha nikinyume ukipanda dhuluma na wewe utavuna dhuluma amen mr.joel❤
Asante kaka MUNGU akubariki kwa mafundisho haya mazuri
Hongera xana bro Joel kwa ubora mafunzo yako kitu kimoja Cha kipekee xana huna matangazo mengi you always start with "KARIBU KWENYE LIFE WISDOM SERIES" big up sana huna Mambo Kama cile " Kama ndo Mara ya kwanza kuangalia Chanel hii subscribe Mara bonyeza alama ya kengele" ❤
Nashukuru sana, tuendelee kujifunza na kuwashirikisha wengine
Asante Kaka Mungu aku bariki 🎉🎉🎉✍️🇨🇩
Naomba kaka Joel uandae pia kwa watu wa Arusha tuko tayari kupata kongamano
ASante sana bro nimepata kitu
Mungu akubarik kaka hakika usipo thamini cha mwenzako hata cha kwako huwezi kukithamini❤
Asante sana kaka kwa somo zuri
Asantee sana❤
Mungu akubariki unatuinua wengi
Asante kaka Joel kwa mafundisho mazuri
Asante nimejifunza Joel 🙏🙏
Asante sana kaka Joel
Asante Sana
Ahsante sana
Asante kiongozi
Hakika ubaya humrudia mtu anayefanya ubaya
Karma