Daaa we baba barikiwa sana yani kila nikiingia katika page yako lazima nitoke na kipya sikuwahi ulijua hili mim ni bluu na mwenza wangu ni kijani basi hakuna kitu kinachoharibika nimefurahi sana kulisikia hili somo
Asante sana mwalimu Joel, Amen 🙏🏼 Mimi Ni Green, je natakiwa rangi gani ili niweze kufanikiwa Naomba msaada wako. Nawaza blue + orange nawahitaji wote 🤔!
Mimi ni Blue na muhitaji sana orange…. Maana naendeshwa an hisia na nipo slow kwenye kuamua kufanya kitu. Na rangi ninayoipenda ni Royal Blue sujui ni kwasababu mimi ni wa September (sapphire)😅
Tunavipateje vitabu vyalko vya Timing Malengo yako!? Sisi wa Mikoani. Pia tu naomba kama unaifisi za Kanda Uwe unatujulisha Kenya Epsod zako ili tuweze Kuvipata kirahisi. Mfano. Mbeya, Kwanza, Arusha, Dodoma.
hakika wewe ni zaid ya mwalimu mungu azidi kukupa afya njema uzidi kutufundisha
Daaa we baba barikiwa sana yani kila nikiingia katika page yako lazima nitoke na kipya sikuwahi ulijua hili mim ni bluu na mwenza wangu ni kijani basi hakuna kitu kinachoharibika nimefurahi sana kulisikia hili somo
Thanks you sir niko Gold
Mungu ni Mwema Sana Mimi Hapa Nisha Jiona Kabisa Ni Gold🌟🌟🌟 Kabisa
Waooo pamoja
Joel hii nikweri kabisa,mm ni gold mume wangu ni orange,but maisha na hawa watu ni ngumu sana.
Asante bro mungu akubariki sana..
Barikiwa sanaaaa nanauka
Shukraan kaka Joel
Ubarikiwe sana kaka kwa somo zuri, kupitia somo ili litanisaidia namna ya kuhusiana na watu
Maana mm nishajijua mimi ni rangi ipi.
Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU, mm ni Gold na mume wangu ni blue, Thank you very much kwa kutufundisha
Gold naitaji blue❤ ubarikiwe bure kaka joel nakupenda bure
Asante sana mwalimu Joel, Amen 🙏🏼
Mimi Ni Green, je natakiwa rangi gani ili niweze kufanikiwa Naomba msaada wako. Nawaza blue + orange nawahitaji wote 🤔!
Kaka angu hii inanihusu mimi..🙏🏿🙏🏿💪🏿
Is Gold
Najiona kwenye Gold.
Nakufatilia bro Joel
Gold.
Mungu azid kukuinua sichok kukufwatilia ❤ mim ni blue na gold kidog
Wao so nice
Barikiwa kaka,mimi ni blue
Gold
Amina sana
Natamani siku moja nikuone mungu anipe kibari umenibadirisha sana
Ukienda kumwona nipitie Mimi mwenyew nataka nitengeneze bango niweke dkn kwangu ILi kila anae pita nimuelezee
God bless you brother
Pengezi kwa wazazi wako ..... na kwako shukran ubarikiwe
Ameen Ameen Ahsante sana
Blue colour 🎉❤
Mimi ni Gold
Kaka J skuiz unakua chibonge.
Gold is good
Kaka Upon vizuri Sana
Mimi Nana Ni Gold nahitaji green
I am blue,I need gold or green to make a perfect match.
blue color
Gold mtupu frampa boy
Amen
Mimi gold wife blue asante sana Coach hivi sasa tuna miaka 30 ya ndoa! Kumbe ilikuwa ni chemistry nzuri
Nashukuru sana kwa darasa zuri kaka @Joel Nanauka. Mimi Ni Green🟢
Safiiii👏🏻👏🏻
Am typical GREEN...
Balikiwa Sana Kaka Joel🙏🏽🙏🏽,me blue. kila nikifungua page yako lazima nitoke na mmb mapya ,
Shukrani 🙏🏽
Mini blue color.
Green 💚
Green 😂😂 Duh nakubali sana
🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Mimi ni blue I think nahitaji gold ili twende sawa👍 Asante sana Mungu akupe maisha marefu 🙏🙏🙏
Yani mi hapo ni orange 💯
Am greeen😂
Mwenzangu😂
Blue
🔥🔥🔥
Nimesikiliza kwa umakini na nimejigundua nipo kwenye kundi la GOLD
asee nimejiina ni green 100%
Blue 🔵
Je hizi personality zinaweza baadliika (mean kuna uwezo wakubadili personality)
Ni ngumu sana juu ni tabia na nadhani tabia haina dawa.
@@minaaminaa1781 tabia haina dawa ila sikuna namna ya kureplace tabia fulani kwa kuingia kwenye uraibu wa tabia fulani
🎉🎉
Umeniandikia Meseji kwa herufi kubwa 😁 chanzo cha kuachana
Mimi ni Gold...Namtaka Green akamilishe mapungufu kidogo
ASANTE
am green color, need blue color. Thanks
Asante kaka apa mm ni blue 99% lkn kwa swala la biashara ni orange lkn nimejifunza niwe na wa kala gani ili mambo yaende.
mimi ni Blue walah
BLUE COLOR
Good leo nimetambua kuwa mimi ni ORANGE 🍊 axante 💯🙏
Hongera sana kwa kujitambua👏🏻👏🏻
Asante Sana nimejijua leo mm ni bluu
@@joelnanaukaAsante🎉
Mimi hapo blue 💙
Mimi ni bluu
Blue nimimi Waka huja msema mwingine Sasa nifanyeje kuji balance?
🔵 BLUE kabisa hapa😂
Yaani hii orange ni kama umeniongelea mm hakuna hata kimoja nilichokosa😂😂😂
Mimi najiona kwenye Green nina hitaji watu wa BLUE
Mimi ni 🔵 blue. Na gold ndani yake gold
Hivi vitabu vyako tunavipataje tulio nje ya Tanzania?
Dominant colour Yangu ni Blue
Je gold na green wana mapungufu gani?
Blue. Pia nahitaji mtu wa green
Mke wangu ni orange mimi ni gold nifanyeje.
Am green sir joel..ebu nishauri mke wa namna gani anani fit apo😢
Green
Mimi gold mke wangu orange bac nahic niko vizuri.
Blue hyo nahitaj gold
Mimi ni Green
Kumbe mimi ni Gold corol(melacolin)mke wangu ni orange(sungwin
Im green
BLUE HEBU NJOENI KWANZA JAMANI MM BLUE 😢KABISA JAMANI KABISAAAA
Mm ni blue colour
Me langi yangu ni Gold namwitaji green color
Mimi yangu blue aisee ila iyo orange naona sifa zote husband anazo
Leo nimeelewa kwa nini nazozana sana na mtoto wangu,kumbe yy ni orange hana hisia hajali wala nini.
Mbona tumo kote inakuwaje?
Brother me Ni blue
Mimi ni blue kabisaa ila Nina vi element vya kidogo gold nadhani namuhitaji green
Mimi ni gold,na nimejipenda kua gold nahitaji blue.
Kaka Joe Mimi ni orange 🧡 please help me 😂❤
Daaa, mbona mimi nipo kwenye magroup matatu tofauti yaani Blue,Gold na Green?
😅😅😅😅😅😅😅😅
Orange nipo hapa😂😂😂😂
Mimi no gold ni mimisi orange
Swali kwako life coucher je unaweza kuwa co-color?
Zuj,h,h,h,h,h,h,h,h,h,,h,,,,,,h,,
Aisee mimi ni orange kabisa, hapa naitaji msaada ili kuweza kuwa sawa
Mm mbona nipo blue automatic na yellow kidogo??
Hongera kwa kujitambua 👏🏻👏🏻
Mimi ni Blue na muhitaji sana orange…. Maana naendeshwa an hisia na nipo slow kwenye kuamua kufanya kitu. Na rangi ninayoipenda ni Royal Blue sujui ni kwasababu mimi ni wa September (sapphire)😅
Safi Hongera kwa kujijua na kujua unachohitaji
iam blue😂😂
Ila orange jmn.Yaan kuandika meseji kwa herufi kubwa ni kosa
Tunavipateje vitabu vyalko vya Timing Malengo yako!? Sisi wa Mikoani. Pia tu naomba kama unaifisi za Kanda Uwe unatujulisha Kenya Epsod zako ili tuweze Kuvipata kirahisi. Mfano. Mbeya, Kwanza, Arusha, Dodoma.
My dominant color is green 😂
Green😂
Typical orange😂
na hii orange ina watu wengi😅😅😅 ushindani mwingi
😅😅