Napenda sana mafunzo yako kaka joel nanauka ipo cku tutakutana live nanitakuambia kiasi gani umebadilisha maisha yangu kifupi tu mm na familia yangu tunakuombea kwa mungu azidi kukupa uzima
Namba 5 imenitokea kuna Brother alinipatia kazi yake lakin changamoto nikwenye malipo alinipiga tarehe basi sikuendelea kumdai ikapita kama Mwaka sjaonana naye siku nimekutna naye sikuwa na mchongo daah yule Brother MUNGU amuweke salama alinionganishia kazi mpka sahvi naendelea nayo je ningegombana naye kisa akunilipa (Joel unacho fundisha ni kweli MUNGU akubariki)
Haya maneno ninayopitia mimi wakati huu,kiukweli kama vile unanisema mimi kwa ninayopitia wakati juu ya watu wanavyonisema,,,,japo siyajali naendelea kupambania future yangu!!!! MUNGU AKUBARIKI SANA KAKA JOEL NANAUKA
Dah, Mungu akubariki sana kaka, 7:18 haya unayoyaongea mm nimeyaishi na kama si huyu Mungu sijui leo ninggekuwa wapi ila namshukuru kwa kuwa alinipa uwezo wa kunyanyuka tena na sasa nipo napambana maana najua kesho yangu ni fumbo.
Mimi nimemdai mtu laki moja kakaa nayo mwaka mzima nimeongea maneno yote mix kumtangaza kwa watu kua sio mlipaji na ni mbaya sana!!!!! Bwanae nashangaa kumbe kuna sehemu kawekeza akapiga ela kanipa laki 6 na msamaha hd naona aibu //// ningejua
Heheee kaka watu wanajua kuhukumuuu yaaani pitia changamoto uone uhalisi wa mioyo ya wanadamu wanajua kumdharau mtu mpaka unaweza jishtukia kwamba umekuwa sio binadam nini!! So painful
I see Watu wengi WApo hivo ..Mimi ninapitia changamoto hiyo Sasa .umeeleza kama uliniona Mimi ninayopitia. Ashukuriwe Mungu jibu la maisha Yetu analo yéyé pekee.
Habar Mwalimu Joel, mimi kuna mtu namdai na nilikuwa tayari namuona hafai Lakn kumbe nakosea sana, nimejifunza na nitaendelea kushirikiana nae. Ubarikiwe sana
Nashukuru sana pro kwa hio elimu Niko nakudwatilia sana kutoka kenya mungu akupe maisha marefu umetusaitia sana hatukujua kuishi na watu lakini sasa tumejua❤❤❤❤❤
Je kama ni kiburi wkt wa changamoto zake kwanini unamwelekeza haelekezeki na anaharibu vitu kw jicho la husuda kisa changamoto zake, utafikiri mimi sina zangu, unamsaidiaje sasa mbishi na muharibifu
Ya mwisho imenigusa aisee Kuna rafk yang nilimkopesha pesa nilidai San ila hakunilpa ,,,ila mwak mmoja baadae alinisaidia San msaada mkubwa Zaid ya Ile pesa
Hii ni hali halisi ya maisha tunayoishi nayo. Na daima tunapaswa kujikita katika misingi ya kusaidiana. Siku mojanimekutana na mtu amelewa nyang'anyang'a halafu ananiomba nimtoa buku. Hii imekaeje?
Joeli yote haya Huwa unayapta wapi?ninaomba unisaidie video zako zote tangu ulipo Anza hii kazi ya mafundisho nijue na ghalama zako tafadhali ili nipate nafasi ya kuwafundindisha na familia yangu Elimu kubwa kama hii .
Napenda sana mafunzo yako kaka joel nanauka ipo cku tutakutana live nanitakuambia kiasi gani umebadilisha maisha yangu kifupi tu mm na familia yangu tunakuombea kwa mungu azidi kukupa uzima
Joel nanauka We Jamaa unajua sana asee,,,,Kila nikikusikiliza Huwa sikuchoki.....
Kesho ya Mtu ni fumbo!
Asante sana Joel nanauka
Dah Mungu akubariki joel
Somo zuri saaana my Brother
Kesho ya mtu ni kubwa.
Mafumdisho haya yameniguza sana
Kaka Joel napenda mafundisho Yako coz unafundisha mikakati ya hera pia ndani yake unafundisha neno la mungu. Mungu akubariki sana
Namba 5 imenitokea kuna Brother alinipatia kazi yake lakin changamoto nikwenye malipo alinipiga tarehe basi sikuendelea kumdai ikapita kama Mwaka sjaonana naye siku nimekutna naye sikuwa na mchongo daah yule Brother MUNGU amuweke salama alinionganishia kazi mpka sahvi naendelea nayo je ningegombana naye kisa akunilipa (Joel unacho fundisha ni kweli MUNGU akubariki)
🎉❤🎉❤That' gteat
Kaka uko sahihi kabisa kwa kweli mm nashukuru sana, ila nimejifunza sana hili somo zuri na nimelielewa sana ❤
Haya maneno ninayopitia mimi wakati huu,kiukweli kama vile unanisema mimi kwa ninayopitia wakati juu ya watu wanavyonisema,,,,japo siyajali naendelea kupambania future yangu!!!! MUNGU AKUBARIKI SANA KAKA JOEL NANAUKA
MUNGU akubariki sana
Somo zuri sana
Mimi iyo namba 2 nimeiona kwa baba angu alivo shuka kiuchumi watu walimzarau Sana hata ndugu wakalibu lakini mungu nimwema saiv ameinuka
Pole ndugu yangu
Hoja nzuri
Dah, Mungu akubariki sana kaka, 7:18 haya unayoyaongea mm nimeyaishi na kama si huyu Mungu sijui leo ninggekuwa wapi ila namshukuru kwa kuwa alinipa uwezo wa kunyanyuka tena na sasa nipo napambana maana najua kesho yangu ni fumbo.
Mimi nimemdai mtu laki moja kakaa nayo mwaka mzima nimeongea maneno yote mix kumtangaza kwa watu kua sio mlipaji na ni mbaya sana!!!!! Bwanae nashangaa kumbe kuna sehemu kawekeza akapiga ela kanipa laki 6 na msamaha hd naona aibu //// ningejua
Heheee kaka watu wanajua kuhukumuuu yaaani pitia changamoto uone uhalisi wa mioyo ya wanadamu wanajua kumdharau mtu mpaka unaweza jishtukia kwamba umekuwa sio binadam nini!! So painful
Shkran sn kk Joel🙏🙏🙏
Somo lako nimelielewa Sana na kanuni yako pia💯💯
Kila siku najifunza mambo mapya kutoka kwako💯🙏
Broe Joel my mirrow tusaidie kupata DVD zako kama flash za mafunzo yako.
Uyu jamaa ana akili nyingi sana cjawai ona
🎉🎉🎉✍️🇨🇩
Mungu amejitosheleza kila idara ,tazama tazama na tafakari watu wa aina ya Joel wapo wanatema madini tyu ...Mungu atupe nn sie
Vizuri sana
Mmh😢😢😢😢
Leo Niko kuendesha kampun yangu kwa sabab ya vitabu vyako na spech zako umenifanya jijafute na nimejipata imebak kukua t
I see
Watu wengi WApo hivo ..Mimi ninapitia changamoto hiyo Sasa .umeeleza kama uliniona Mimi ninayopitia.
Ashukuriwe Mungu jibu la maisha Yetu analo yéyé pekee.
Jo you are King Solomon of nowadays !!!!
Joel mungu akuongezee maarifa
Habar Mwalimu Joel, mimi kuna mtu namdai na nilikuwa tayari namuona hafai Lakn kumbe nakosea sana, nimejifunza na nitaendelea kushirikiana nae.
Ubarikiwe sana
Naweza pata soft copy ya money formula gharama zikoje
Nashukuru sana pro kwa hio elimu Niko nakudwatilia sana kutoka kenya mungu akupe maisha marefu umetusaitia sana hatukujua kuishi na watu lakini sasa tumejua❤❤❤❤❤
Je kama ni kiburi wkt wa changamoto zake kwanini unamwelekeza haelekezeki na anaharibu vitu kw jicho la husuda kisa changamoto zake, utafikiri mimi sina zangu, unamsaidiaje sasa mbishi na muharibifu
Ila we jamaa nakuelewa san I wish siku moja takuona tu
Hii ya kudharauliwa kwasababu ya kutokuwa na kipato (ulofa) ni maarufu sana. Binafsi ilinikuta.
real this is true,Bro Joel
Mimi nakuonaga kama nabii, mana kila napokarbia kujikwaa nakutana na videos zako znanionya
Ngulii 🔥 🙌
Nakupata kaka Joel
Asante sana JN
Bro unaweza unagusa maisha ya Kila mmoja
Hi brother, Asante kwa kunipa tumaini bro
Asante sana Kwa ujumbe mzur
Mada nzur sana
First view
Ahsante kaka
Mimi kipara nishamwomba jamaa yangu nimeishiwa mtaji akaninyima leo anaishi kwangu na mwenyewe anahadhia aliyonitendea
Amen
I have learned something new
Ya mwisho imenigusa aisee Kuna rafk yang nilimkopesha pesa nilidai San ila hakunilpa ,,,ila mwak mmoja baadae alinisaidia San msaada mkubwa Zaid ya Ile pesa
See u at the top
See you At the top 🙌🏿🥰
My great teacher ❤❤
Hii ni hali halisi ya maisha tunayoishi nayo. Na daima tunapaswa kujikita katika misingi ya kusaidiana. Siku mojanimekutana na mtu amelewa nyang'anyang'a halafu ananiomba nimtoa buku. Hii imekaeje?
Asante sana
Joeli yote haya Huwa unayapta wapi?ninaomba unisaidie video zako zote tangu ulipo Anza hii kazi ya mafundisho nijue na ghalama zako tafadhali ili nipate nafasi ya kuwafundindisha na familia yangu Elimu kubwa kama hii .
Kesho ni fumbo
Brother mafunzo yako yatabadilisha maisha ya yoyote yule endapo atayaishiii haya mafunzo. Maneno yako yanauzito sana ndani yake