USIDHARAU MTU KWA KILE ANACHOKIPITIA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 09. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 61

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 Před 9 měsíci +15

    Napenda sana mafunzo yako kaka joel nanauka ipo cku tutakutana live nanitakuambia kiasi gani umebadilisha maisha yangu kifupi tu mm na familia yangu tunakuombea kwa mungu azidi kukupa uzima

  • @user-vj3we8mm4u
    @user-vj3we8mm4u Před 9 měsíci +3

    Joel nanauka We Jamaa unajua sana asee,,,,Kila nikikusikiliza Huwa sikuchoki.....

  • @BukelebeTv
    @BukelebeTv Před 9 měsíci +6

    Kesho ya Mtu ni fumbo!

  • @YunusMgunga
    @YunusMgunga Před 3 dny

    Asante sana Joel nanauka

  • @JoyceMathias-st5xp
    @JoyceMathias-st5xp Před měsícem

    Dah Mungu akubariki joel

  • @geoffreyluvanda7801
    @geoffreyluvanda7801 Před 8 měsíci

    Somo zuri saaana my Brother

  • @user-dr1qd7bu7e
    @user-dr1qd7bu7e Před 2 měsíci

    Kesho ya mtu ni kubwa.

  • @vicomslenses8109
    @vicomslenses8109 Před 9 měsíci

    Mafumdisho haya yameniguza sana

  • @stanleyandrea5153
    @stanleyandrea5153 Před 9 měsíci +2

    Kaka Joel napenda mafundisho Yako coz unafundisha mikakati ya hera pia ndani yake unafundisha neno la mungu. Mungu akubariki sana

  • @davidmarik4633
    @davidmarik4633 Před 9 měsíci +3

    Namba 5 imenitokea kuna Brother alinipatia kazi yake lakin changamoto nikwenye malipo alinipiga tarehe basi sikuendelea kumdai ikapita kama Mwaka sjaonana naye siku nimekutna naye sikuwa na mchongo daah yule Brother MUNGU amuweke salama alinionganishia kazi mpka sahvi naendelea nayo je ningegombana naye kisa akunilipa (Joel unacho fundisha ni kweli MUNGU akubariki)

  • @194summer
    @194summer Před 26 dny

    🎉❤🎉❤That' gteat

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 Před 8 měsíci

    Kaka uko sahihi kabisa kwa kweli mm nashukuru sana, ila nimejifunza sana hili somo zuri na nimelielewa sana ❤

  • @macksemuyango6108
    @macksemuyango6108 Před 9 měsíci +1

    Haya maneno ninayopitia mimi wakati huu,kiukweli kama vile unanisema mimi kwa ninayopitia wakati juu ya watu wanavyonisema,,,,japo siyajali naendelea kupambania future yangu!!!! MUNGU AKUBARIKI SANA KAKA JOEL NANAUKA

  • @barakanyamafu5937
    @barakanyamafu5937 Před 5 měsíci

    MUNGU akubariki sana

  • @user-gy1lb9fo2b
    @user-gy1lb9fo2b Před 8 měsíci

    Somo zuri sana

  • @evahcricens7355
    @evahcricens7355 Před 9 měsíci +15

    Mimi iyo namba 2 nimeiona kwa baba angu alivo shuka kiuchumi watu walimzarau Sana hata ndugu wakalibu lakini mungu nimwema saiv ameinuka

  • @saidilembris9253
    @saidilembris9253 Před 8 měsíci

    Hoja nzuri

  • @doricemphuru6599
    @doricemphuru6599 Před 9 měsíci +1

    Dah, Mungu akubariki sana kaka, 7:18 haya unayoyaongea mm nimeyaishi na kama si huyu Mungu sijui leo ninggekuwa wapi ila namshukuru kwa kuwa alinipa uwezo wa kunyanyuka tena na sasa nipo napambana maana najua kesho yangu ni fumbo.

  • @JohnMayuki-kh8qp
    @JohnMayuki-kh8qp Před 9 měsíci +1

    Mimi nimemdai mtu laki moja kakaa nayo mwaka mzima nimeongea maneno yote mix kumtangaza kwa watu kua sio mlipaji na ni mbaya sana!!!!! Bwanae nashangaa kumbe kuna sehemu kawekeza akapiga ela kanipa laki 6 na msamaha hd naona aibu //// ningejua

  • @lucianambalamwezi1864
    @lucianambalamwezi1864 Před 9 měsíci +2

    Heheee kaka watu wanajua kuhukumuuu yaaani pitia changamoto uone uhalisi wa mioyo ya wanadamu wanajua kumdharau mtu mpaka unaweza jishtukia kwamba umekuwa sio binadam nini!! So painful

  • @rollahngimbwa6978
    @rollahngimbwa6978 Před 9 měsíci +1

    Shkran sn kk Joel🙏🙏🙏
    Somo lako nimelielewa Sana na kanuni yako pia💯💯
    Kila siku najifunza mambo mapya kutoka kwako💯🙏

  • @jimymp2569
    @jimymp2569 Před 9 měsíci

    Broe Joel my mirrow tusaidie kupata DVD zako kama flash za mafunzo yako.

  • @sadathboutique6253
    @sadathboutique6253 Před 2 měsíci

    Uyu jamaa ana akili nyingi sana cjawai ona

  • @mahambagislain9618
    @mahambagislain9618 Před 2 měsíci

    🎉🎉🎉✍️🇨🇩

  • @MuhidinMangu
    @MuhidinMangu Před 9 měsíci

    Mungu amejitosheleza kila idara ,tazama tazama na tafakari watu wa aina ya Joel wapo wanatema madini tyu ...Mungu atupe nn sie

  • @fundamengo7970
    @fundamengo7970 Před 9 měsíci +1

    Vizuri sana

  • @user-rg9en2ez2v
    @user-rg9en2ez2v Před 3 měsíci

    Mmh😢😢😢😢

  • @mussakaparatus4230
    @mussakaparatus4230 Před 9 měsíci

    Leo Niko kuendesha kampun yangu kwa sabab ya vitabu vyako na spech zako umenifanya jijafute na nimejipata imebak kukua t

  • @RoseNyandindi-db9sm
    @RoseNyandindi-db9sm Před 9 měsíci

    I see
    Watu wengi WApo hivo ..Mimi ninapitia changamoto hiyo Sasa .umeeleza kama uliniona Mimi ninayopitia.
    Ashukuriwe Mungu jibu la maisha Yetu analo yéyé pekee.

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Před 9 měsíci

    Jo you are King Solomon of nowadays !!!!

  • @user-vd5fe4ve6l
    @user-vd5fe4ve6l Před 9 měsíci

    Joel mungu akuongezee maarifa

  • @costantinmwambeso2955
    @costantinmwambeso2955 Před 9 měsíci

    Habar Mwalimu Joel, mimi kuna mtu namdai na nilikuwa tayari namuona hafai Lakn kumbe nakosea sana, nimejifunza na nitaendelea kushirikiana nae.
    Ubarikiwe sana

  • @emmynyambo8359
    @emmynyambo8359 Před 9 měsíci +1

    Naweza pata soft copy ya money formula gharama zikoje

  • @bonifacewanyonyi3555
    @bonifacewanyonyi3555 Před 8 měsíci

    Nashukuru sana pro kwa hio elimu Niko nakudwatilia sana kutoka kenya mungu akupe maisha marefu umetusaitia sana hatukujua kuishi na watu lakini sasa tumejua❤❤❤❤❤

  • @LudoMutalemwa
    @LudoMutalemwa Před 7 měsíci

    Je kama ni kiburi wkt wa changamoto zake kwanini unamwelekeza haelekezeki na anaharibu vitu kw jicho la husuda kisa changamoto zake, utafikiri mimi sina zangu, unamsaidiaje sasa mbishi na muharibifu

  • @felixrobert9734
    @felixrobert9734 Před 9 měsíci

    Ila we jamaa nakuelewa san I wish siku moja takuona tu

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Před 9 měsíci

    Hii ya kudharauliwa kwasababu ya kutokuwa na kipato (ulofa) ni maarufu sana. Binafsi ilinikuta.

  • @dafrosamsonge2007
    @dafrosamsonge2007 Před 9 měsíci

    real this is true,Bro Joel

  • @sebastiansappy5327
    @sebastiansappy5327 Před 9 měsíci

    Mimi nakuonaga kama nabii, mana kila napokarbia kujikwaa nakutana na videos zako znanionya

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 Před 9 měsíci

    Ngulii 🔥 🙌

  • @deokkweka6999
    @deokkweka6999 Před 9 měsíci

    Nakupata kaka Joel

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 Před 9 měsíci

    Asante sana JN

  • @jumananamwa3104
    @jumananamwa3104 Před 9 měsíci

    Bro unaweza unagusa maisha ya Kila mmoja

  • @austineouma4270
    @austineouma4270 Před 9 měsíci

    Hi brother, Asante kwa kunipa tumaini bro

  • @mr_pork2523
    @mr_pork2523 Před 9 měsíci

    Asante sana Kwa ujumbe mzur

  • @abeidmbarouk6280
    @abeidmbarouk6280 Před 9 měsíci

    Mada nzur sana

  • @StanslausKitandala-el4np
    @StanslausKitandala-el4np Před 9 měsíci

    First view

  • @HeriethSylvester-dm3nb
    @HeriethSylvester-dm3nb Před 9 měsíci

    Ahsante kaka

  • @KiparaOriginal-nt1zi
    @KiparaOriginal-nt1zi Před 9 měsíci

    Mimi kipara nishamwomba jamaa yangu nimeishiwa mtaji akaninyima leo anaishi kwangu na mwenyewe anahadhia aliyonitendea

  • @robbyman6213
    @robbyman6213 Před 9 měsíci

    Amen

  • @emilyjoshua8093
    @emilyjoshua8093 Před 9 měsíci

    I have learned something new

  • @FredrickMdendemi-eh7zn
    @FredrickMdendemi-eh7zn Před 9 měsíci

    Ya mwisho imenigusa aisee Kuna rafk yang nilimkopesha pesa nilidai San ila hakunilpa ,,,ila mwak mmoja baadae alinisaidia San msaada mkubwa Zaid ya Ile pesa

  • @abeidmbarouk6280
    @abeidmbarouk6280 Před 9 měsíci

    See u at the top

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 9 měsíci

    See you At the top 🙌🏿🥰

  • @AbbasAbdul-hamid-em3lv
    @AbbasAbdul-hamid-em3lv Před 9 měsíci +1

    My great teacher ❤❤

  • @mabulamasunga7378
    @mabulamasunga7378 Před 9 měsíci +1

    Hii ni hali halisi ya maisha tunayoishi nayo. Na daima tunapaswa kujikita katika misingi ya kusaidiana. Siku mojanimekutana na mtu amelewa nyang'anyang'a halafu ananiomba nimtoa buku. Hii imekaeje?

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před 9 měsíci

    Asante sana

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Před 9 měsíci

    Joeli yote haya Huwa unayapta wapi?ninaomba unisaidie video zako zote tangu ulipo Anza hii kazi ya mafundisho nijue na ghalama zako tafadhali ili nipate nafasi ya kuwafundindisha na familia yangu Elimu kubwa kama hii .

  • @EsterJames-sk4te
    @EsterJames-sk4te Před 9 měsíci

    Kesho ni fumbo

  • @ZephaniahSekwa-fl2go
    @ZephaniahSekwa-fl2go Před 9 měsíci

    Brother mafunzo yako yatabadilisha maisha ya yoyote yule endapo atayaishiii haya mafunzo. Maneno yako yanauzito sana ndani yake