VITU VYA KUANGALIA UNAPOACHANA NA MTU - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 04. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 82

  • @doreenkissia1087
    @doreenkissia1087 Před rokem +15

    Yeah sasa hivi ninaweza kujisimamia kwa sababu mme wangu alinifundisha vitu vingi sana na kunipa uwezo mkubwa wakufanya mambo makubwa pia kukabiliana na mambo makubwa eeh mwenyezi Mungu amuweke mahali pema peponi. 😭😭iam more stronger than yesterday. 😭😭

  • @younghero6767
    @younghero6767 Před rokem +2

    Ameniachia maumivu makali sana, mpaka sasa hivi najuta kwanni alikuja kwenye maisha! Yangu! Ila Namshukur sana, amenifundsha! Kupambana sanaa Mungu ampe maisha marefu kwenye ndoa yakee😢

  • @prospermaro8800
    @prospermaro8800 Před rokem +2

    See you at the top! Thank you for good lesson.

  • @jumamgimwa757
    @jumamgimwa757 Před 6 měsíci

    God bless your the gifted boy,hakika wew ni tunu iliyotoka kwa mungu,good resson to me and us.

  • @gressluhimbo1020
    @gressluhimbo1020 Před rokem +1

    God bless you, kaka Umekua faraja sana kwangu mwenyezi mungu akupe umri mrefu uzidi kuwafungua watu akili 🙏

  • @jonathanjeremiah3570
    @jonathanjeremiah3570 Před rokem +2

    Naamini watanzania wengi watakubaliana na hili soma wakimkum buka Magu

  • @happynescostat7420
    @happynescostat7420 Před rokem

    Ndugu MUNGU akubariki🙏nimeyaishi mafunzo ,

  • @lydiaseventy5509
    @lydiaseventy5509 Před rokem

    Asante kila wakati nabarikiwa na kujifunza kitu kipya Asante kwa masomo mazuri sana sana

  • @timothykengere2535
    @timothykengere2535 Před rokem +2

    Shukrani Ndugu Nanauka ukweli mtupu 📚📚📚 🎙️

  • @BoniphaceNuru-ek4gr
    @BoniphaceNuru-ek4gr Před rokem

    Mtumishi ,Kama Kuna somo umefundisha na limegusa Maisha yangu Mungu akubariki Sana

  • @user-zl5mt6lk4n
    @user-zl5mt6lk4n Před 10 měsíci

    Allah kher nashkuru aliyekuwa mume wangu aliniachia tabia nzur nying na nlijifunza mambo mengi mazuri kuptia yeye kubwa zaidi alinifundisha kuwasamehe watu wote walioikoea kabla ya kulala hilo siwez kulisahau na kila cku namuombea Dua ........japo tumeachana naamini rizki yamimi nayeye imeisha tu lkn aliishi namimi kwa wema Allah amzdishie

  • @muhidinussi6353
    @muhidinussi6353 Před rokem

    Nashukuru sana mwalimu Mungu akubariki

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 Před rokem +1

    Asante sana my brother from another mother

  • @MariamChidaga-cf4rg
    @MariamChidaga-cf4rg Před rokem

    Ahsante sana kaka joel unazidi kunivusha

  • @joliapantaleo349
    @joliapantaleo349 Před rokem +1

    Mwl nimejifunza vizuri Kwanza kujua muda niliopoteza na watu niliopoteza kwaajili yake

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge Před rokem

    Safi mzee baba nimekupata vizuri sanaa

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Před rokem

    Ahsante Sana kwa elimu hii

  • @hasanithabitisengenge9496

    mAmb kama haya nd nilikua nahitaji Mungu akubariki sanaa kakaaaa

  • @linacharles3583
    @linacharles3583 Před rokem

    Asante sana...imekuwa useful Kaka Joel

  • @beatricemabula4783
    @beatricemabula4783 Před rokem

    Kaniachia wema. Alikuwa .mwema sana sana

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +1

    🙏🔥👌🏽 Yani 🤦🏿‍♀️ sitaki kusema iyo Yq kwanza 🙌🏿 Ubarikiwe nanauka 💕

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Před rokem

    Bando langu natumia vile inatakiwa unatuonesha njia sahihi, wapo walio kosa mzazi awe baba mama pindi anakosa direction akuna wakumsawazisha your re-prsmnt after parent God bless you 🇹🇿🙏.

  • @user-qo3zl4fi6u
    @user-qo3zl4fi6u Před 6 měsíci

    Kaka joel nanauka aisee umebarikiwa sana na mungu ase

  • @washhjojo4840
    @washhjojo4840 Před rokem +1

    Asante kaka Joel Nina Imani hii video itawasaindia wengi mungu azidi kukuweka ili uzindi kutufunza mengi

  • @emmanuelmwandu.3126
    @emmanuelmwandu.3126 Před rokem

    Mungu akubariki sana brother.

  • @daudmsigwa4860
    @daudmsigwa4860 Před 11 měsíci

    Mungu azidi kukutumia

  • @sarachipando5391
    @sarachipando5391 Před rokem

    Nashukuru mungu baada tuu ya kuachana nae nikagundua Kuwa Kuna vitu nilikuwa najinyima ilikumfurahisha yeye

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Před rokem

    Asantesana mwalimu,nikweli miminimenyanyaswa sana kwenye dowa kilanikifanya biashara sikuwa na faida juu watoto wagheniteghe mimi,lakinisahii nimejifunza hatamimi kujiwekea kasevigh kidogho juu ya kuwA mbali na mwanaume asiniteghemee tena mimi.

  • @abuhaydatomar8607
    @abuhaydatomar8607 Před rokem

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭 you are really good, precede teaching us

  • @muhsinsalum8009
    @muhsinsalum8009 Před rokem +2

    Mengi tu nimejiufunza

  • @MiriamMichael-bj1ey
    @MiriamMichael-bj1ey Před rokem

    Thank you babaa

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe4953 Před rokem

    Asante Sana kaka 🤝

  • @abuujuma9653
    @abuujuma9653 Před rokem

    Nimekubali kiongozi

  • @marylinegoodluck-fj1zc
    @marylinegoodluck-fj1zc Před rokem +1

    Mimi niliona Kama nilitua mzigo mzito Sana japo baada ya Mimi kukaa mbali nae yeye ndo anatamani kurudi Hali Mimi Sina muda nae Tena na ninaendelea na Maisha yangu kwa amani kabisa

  • @kayombo4730
    @kayombo4730 Před rokem +1

    #AhsanteJoel

  • @greacembwnwilibati8197

    Mm nimeachana na Baba watoto wangu saizi nimekuwa na amani na fuha nanimejifuza mamba mengi sana

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Asante sana

  • @jonathanjeremiah3570
    @jonathanjeremiah3570 Před rokem

    Nimekukubali sana kaka,du naumia sana kukumbuka watu kadha wakadha ambao mimegundua sana umuhimu wao baada ya wao kuondoka maishani mwangu.

  • @neemakutandikila8555
    @neemakutandikila8555 Před rokem +1

    Live Long kaka Joel ✨
    Mtwara Tunaona Fahari sana kuwa na wewe

    • @neemakutandikila8555
      @neemakutandikila8555 Před rokem +2

      Kati ya vitu nimegundua baada ya kuachana na huyu mtu ni kuona ndoto zangu na career yangu ilikua inapotea Taratibu pasi mwenyew kutambua

    • @joelnanauka
      @joelnanauka  Před rokem +1

      Ahsante sana Neema🙏🏼🙏🏼

  • @shamhamood755
    @shamhamood755 Před rokem

    Maneno yako kweli kabisa So. Nini cha kufanya nini nipate niliopoteza

  • @salumzungu9299
    @salumzungu9299 Před rokem

    Hakika alipoondoka nimejisikia faraja sana mana nimejihis uwepes sana na kufanya v2 vyang na moyo wangu umekuwa 2li

  • @jescadeogratias5292
    @jescadeogratias5292 Před rokem

    Hakika Kaka J umeongea vitu vya maana sana.Ila Mimi katika maisha nimejifunza kutafakari kwamba,je huyu niliyenaye kwenye mahusiano Nina gain au napoteza.
    Mtu atafakari mapema,achukue maamuzi mapema,maana Ni maisha yake .
    Mtu una ndoto zako,mtu anaziharibu kwa sababu zake.Simamia ndoto zako.

    • @fransiscamrema5369
      @fransiscamrema5369 Před rokem

      Kaka nashukuru kwa SoMo nzuri umenigusa Sana maana Mimi nilifungwa Kama mbuzi. Ila Sasa hivi Niko na amani tele maana alikuwa ananikosesha amani hataki hata uongee na jirani.

  • @PhillipoHaule
    @PhillipoHaule Před rokem

    Niliona maumivu sana

  • @abeidmbarouk6280
    @abeidmbarouk6280 Před rokem

    See u at the top

  • @husseinkessy5656
    @husseinkessy5656 Před rokem

    Kwa kweli wakat nadate na yule mpuuzi nilijikuta nampa Zaid ya nnachoingiza.yani natumia chote bila kubaki hata na akiba lakin sas hv nd naona kwamba nilkuwa najinyima sana.naishia hapo nikisema nielezee ntajaza hata page 5.ila sas hiv nayafurahia maisha yangu umenibadilisha sana kiongozi.mungu akubariki.

  • @kalebumashamba5556
    @kalebumashamba5556 Před rokem +2

    Kwa kweli nilijua ni kwa kiasi gani nilimpenda kuliko cho chote maishani mwangu aliniachia maumivu makali sana yaliyo ambatana na majuto

    • @agnesspaul1866
      @agnesspaul1866 Před rokem

      Namshukuru Mungu kwa uwepo wako nikweli mahusiano yanaumiza unakuta mtu ana kuwa mubinafi hajati hata akisafiri anaonfoka haagi haachi chochote na anajua kina watoto Ila upande mwingine anahudumia kwa kweli mtu Kama huyu hata nikichukua maamuzi ya kuachana sizani Kama no tajuta😮😮😮😮😮 kuleamtoto pekee yako mwanaume yupo inaimiza jamani hajali watoto

    • @agnesspaul1866
      @agnesspaul1866 Před rokem

      Yataisha na utasahau

  • @husseinsalehe9511
    @husseinsalehe9511 Před rokem +1

    ... Mi nna usingizi... nitasikiliza vizuri kesho kaka Jo

  • @user-jg3rc7pz9p
    @user-jg3rc7pz9p Před 9 měsíci

    Baada ya kuachana na mume wangu nilipata amani kubwa nikatawaliwa na furaha ambayo niliikosa kwa miaka mingi

  • @essaukumburu3414
    @essaukumburu3414 Před rokem

    NI KWELI BAADA YA KUACHANA NA MKE WANGU YALIIBUKA MAMBO MENGI SANA KWANI MKE ALIANIKA SIRI ZANGU ZOTE HADHARANI !

  • @HadijaKayanda
    @HadijaKayanda Před rokem

    Nikwel....mda mwingine usihuzunike mtu anapokuacha😢

  • @Jackie_TZ
    @Jackie_TZ Před rokem

    Me too i used to think tha tulikua tunapendana na uyo mtu kumbe hell no ni mimi ndo nilikua nampenda but the day I learned how much I’ve sacrificed myself for him nilitoka kwenye hayo mahusiano bila kugeuka nyuma🤣🤣🤣ubarikiwe kaka hope others will learn from this✌️

  • @christinen8291
    @christinen8291 Před rokem +4

    Nashukuru sana Mungu, kwa kuachana na mme wangu😂

  • @markmwakyusa1368
    @markmwakyusa1368 Před rokem

    😎😎

  • @georgekaiche4489
    @georgekaiche4489 Před rokem

    Mr. Naomba niulize ili nifaham yupo mpenzi wangu wa zamani ambaye yeye aliomba kuachana nami hilo nikakubali lakn kwasiku za karibuni ananianza yeye kunitafut na kuniambia nipo kimya sana, nina roho mbaya simtafuti, amenimiss anatak kunion lakini Leo amenitafuta na kuniulizia hali ya mama yangu ambaye hamjui ila anajua ninaye mzazi wa kike nakusema alitaka tu kujua hali ya mama yangu mwisho akasema hakuwa na shida na Mimi lakini hapa najiuliza kwanini kila wakati unitafut Mimi na kunizungumzia mabaya kuwa nina roho mbaya yote haya uletwa na nini maana nakumbuka tulipo achana alisema amepata mtu wa kumchukulia uwangalifu na mwenyeuwezo wa kumpa pesa za kutosha na kila anachotaka nili dumu naye miaka 3 lakini yeye amekuwa kero sana tatizo ni nn Mr ?

  • @jamilaabdul5481
    @jamilaabdul5481 Před rokem

    Kaka Joel kila nikishamaliza kufungua biashara hua naingia kwenye page yako ili nikusikilize unatutia moyo sana kaka mm niliachana na mme wangu lakin kwa maisha niliyoish nae nilikua Mara nyingi natafuta furaha yake Zaid lakin baada yakuondoka nimegundua mambo mengi sana had nashangaa maana ananisema kwa mabaya sana na siku mbaya kwake japo sijasimama sana lakin naiman nitafika mbali pamoja na changamoto za kulea watt kusomesha lakin nimekua jasir sana kaka.

  • @julianachesco1620
    @julianachesco1620 Před rokem

    Yaan umeongea karibia yooote ndio yalinikuta

  • @user-si9fs6ui8j
    @user-si9fs6ui8j Před rokem

    Vep kak mm nilishi na mwnamk km rafk il sjawh kumvunjia heshm at ck moj nimemsidi sana.mengn wla hayasemek sas hv ananifnyi visa unanishaur vep

  • @user-si9fs6ui8j
    @user-si9fs6ui8j Před rokem

    Istoshe familia yao wnaniamn san tu il kuanza sasa nimeon bora niwe mbal naye

  • @MickyFundy
    @MickyFundy Před 3 měsíci

    M nimoja wap ambaye nilitokewa najamb hilo

  • @lucashenry2406
    @lucashenry2406 Před rokem

    Nlipotez san muda na hela baada ya kuachana nae ndo nikajua kumbe alikuw after money ila kipind nipokuw nae nlikuw km na upofu aseee

  • @Francoiskasangala-gc8vx

    apo umefunika kilakitu. Kaka du niya mapitotu

  • @Georgemorisiamani-oy3hf

    Mtumishi nipoa na mpenzi wangu kila kitu ukimwambia yeye ndio ushauli ana nakuta naumiza akili pwkeangu nifanye nn

  • @sospeterjuma9723
    @sospeterjuma9723 Před rokem

    Kiukweli sasaiv sioni kituchochote mkewangu aliondoka kwenda nyumban akasema anaenda kusalimia kisha nakuludi nyumban kipindi bado yuko nyumban nilkuwa nampa kileanacho kitaka mpaka nilkuwa balala njaa ilitu mkewangu apate kileanacho kitaka na mwanangu ilipofika talehe 28/2/2023 aliomba nauli ya kulud nyumban kwake nikamtumia akanambia baada ya skutatu atakuwa amefka kwangu lakin akawa anasema ntakujatu skuyoyote mpaka leo chaajabu nikiulza kosanini linalo kufanya usilud kwako ninini hasema wakat nmeshafanya hatuazote zinazotakiwa kwenye ndoa kiukweli naumia sana nabado nampenda sana najalibu kusahau lakin ndo kwanza naumia mwenyewe nmengi alinambia lakin ayoanayo nambia siyo makosa makubwa yakufanya asilud kwake nateseka sana naumia sana kafanya mpasuko wa moyo kwangu kafanya niwaze kiasi kwamba nataman nitoweke tu nisionekane kabsa 😭😭😭 naomba ushauli wako maana ndoa yangu inamiaka minne tu lakin sasaiv sielew nikitugani kimemkumba mkewangu maana nikituma sms anajibu anavyo taka yeye ukipga akipokea haongei mala anaelekeza cm kwa mwanangu nashindwa kuvumilia nmengi anayo nifanyia mpaka nashndwa nianzie wap JOEL NANAUKA naomba msaada wako sioni mwangu kwamkewangu mdawote kiza sion pakutokea napia sion pakushika atandugu zangu wakimpgia cm hapokei mpaka inafika seem naumia naishiwa nguvu kabsa naomben msaada maana ndo ndoayangu ya kwanza JOEL NANAUKA naomba msaada please🙏🙏

    • @getrudykitomary6390
      @getrudykitomary6390 Před rokem

      Pole Kama Kuna Jambo ulishawah kumfanyia baya la kumuumiza muombe msamaha ila Kama hamna jipe songa mbele utamsahau ucteseke Ivo pambana kutfta pesa usiuwe malengo yako kw a sababu ya mtu

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před rokem

    Nimejifunza vingi sana mtu muhimu anapoondoka kwenye maisha yako, sio rahisi sana bali itachukuwa muda kuanzisha kitu kimya na moyo ukakubali hicho kitu

    • @theresiachacha5180
      @theresiachacha5180 Před rokem

      Kiukweli nipo kwenye mahusiano na mtu ila ndani mwangu Sina Raha Wala amani naye kabisa

    • @ameirzapy1318
      @ameirzapy1318 Před rokem

      @@theresiachacha5180 pole

    • @thabitjadi
      @thabitjadi Před rokem +1

      Asnt Sana brother kwa elim mzuri naamini saiv nitakuwa napata mafunzo baaad ya mtu kuondoka

    • @edithmwasulama7005
      @edithmwasulama7005 Před 2 měsíci

      Amani eanza kuikosa lini. Kwa nini ulimkubali yaani kwa nn uliingia​@@theresiachacha5180