Jaman baba ubarikiwe sana hata hili suala la Christina Shusho kwa upande wangu naona ni bora watumishi wa Mungu wangekaa nae chini na kuzungumza nae pia sisi kama wakristo tunapaswa tuombeane jamani na wala sio kuhukumu wala sitetei uovu ila nataman tuu upendo katika Kristo usonge mbele
Hakika umeniinua Sana kifikra kwa niliyopitia hd Leo narud ktk comment lait kukosa neema ya IMANI ya Dini na vdeo zko zilizopita miaka 3 iliyopita ningekuwa ktk wimbi la wanaojidhurumu Nafsi kwa Kifo ila Duniani ni sehemu ya majaribu Leo napenda kkupa shukran sna Allah akufanyie wpc ktk maisha yko na akulipe KHER kwa kuutibu Moyo wangu nimesimama Imara naiyanza Safari yangu kwa UTHABITI mkubwa Utabaki kuwa JEMEDAR wangu ulimwenguni hta kma walikuwepo,wapo,na watakuwepo ila kwangu itabki THAMANI yko kwa sababu Elimu uliyonipa ndio PONYO la Jeraha la Moyo na Akili yngu. Unaweza na Utaendelea hvyo,nimeyaamdika hya machozi ya FURAHA ynanitoka.
Nikweri brother giza na nuru havipatani mara nyingi inatokea hivi mwenye chuki hupereka jambo la chuki,mahara fulani harafu wenye uwelewa mdogo hulisambanza jambo na kuishi nalo bila kuligeuza upande wa pili brother hii ni zambi kubwa sana na toba yake ni ngumu sana kutubu nisawa na mchanga uulushe juu wenye ujazo ule ule harafu uukusanye tena uleule uliourusha juu
Mungu akulinde na kukutunza kaka Joel ukweli kipindi nimeajiliwa nimehukumiwa katika mambo ambayo sikuwahi kuyafanya nikajiteteea lakin sikusikilizwa mwisho wa siku nikavumilia na mpaka sasa maisha ninayoisha nazidi kumshukuru na kumtukuza Mungu kwa kunijalia moyo wa uvumilivu Barikiwa sana kaka Joel
Kaka Joel kweli mafundisho yako ni mazuri sana,jamani mm nimeonewa sana,nasingiziwa mno hata kosa si langu lakin sikuzote Hua nashuka nakuabali liishe. Kaka Joel kuna mahali napita kwa sasa ni pagumu mno,natamani nipate no yako unishauri kaka Joel
Nikweli ilitusiumiye amakuwaumiza weghine,nivemakusikiza pandezote mbili.lakini sisi wanadamu hatufanani sisi chakwanza na chamuhimu sisi hukimbilia sana kuhukumu
Mungu akubari sana, Mimi nashangaa Serekali hawakuoni wanapolalamika madili yameisha kwa nini wasikutumie,enewe Joel najua Mungu atafanya wepesi katika maisha ya kuelimisha Watanzania
Mm nmewah kuhukumiwa kwakuwa nlkosa mtetezi maana mbali na kosa nlilofanya mwenye nguvu aliliongezea uzito,lkn kaka Joel kama wote wakizifuata hzo hatua zako zote tutawajishana lini huku dunian?
Naona sasa Hali hii inanikuta kimahusiano naomba msaada wako maana nadanganyiwa vitu kufanya ikiwa sifanyi mpk inapelekea mimi kupata shida ktk akili yng nakujiuliza maswali kwann anakusudia kusema ayo
Jaman baba ubarikiwe sana hata hili suala la Christina Shusho kwa upande wangu naona ni bora watumishi wa Mungu wangekaa nae chini na kuzungumza nae pia sisi kama wakristo tunapaswa tuombeane jamani na wala sio kuhukumu wala sitetei uovu ila nataman tuu upendo katika Kristo usonge mbele
Joeli wewe acha tu ndugu yangu!
Jifunze kuwasikiliza watu kabla hujawahukum, nimeongeza nguzo nyingine kupitia wewe see you at the top 🇯🇲🥇🎁↕️📤✅
Ww n mwalim bora sana Tanzania
Asante sana kaka
The Best speaker in TAnzania @joel
Najifunzaga sana sana sana kupitia wewe
Leo umefanya nimsamehe mtu wangu kwa hili Asante Sana kwa mafundisho
Nanauka upo sahihi ,,tunaendelea kujifunza mkuu bigup sana
Duh,,God bless you,,👏
Joel, mimi nimekuelewa sana. Yaani basi tu. Namshukuru Mungu alinipitisha katika yote, sasa imebaki historia tu
Hiii hali inapelekea kuwachukia watu daima yaani na hata kuhatibiana mipango na kuua ndoto za watu... Yaani nawachilkia Ila basii tuuu
Uko vizuri sana kaka Nauka , maneno yako yanamafunzo sana , ubarikiwe
Kaka nmetafta njia ya kuwasiliana na wewe moja kwa moja nimeshindwa nisaidie kaka
Ni kwli kabisa
Daa imewahi nitokea mimi nilikaa miaka miwili nilikuwa nakaa nalia na maumivu yake basi tu
Very wise brother.God bless you
Wenye ukweli atusikilizwi
Nazani nimewai mezani mapema kwa ajili ya chakula cha ubongo.
Asante Sana kwaushauri wako
Ubarikiwe Sana
Amekupa kibali uyu mungu 😂 i see you brother
Point
Umenigusa
Learn to listen people before you judge nimeelewa sana
Hakika umekuwa mwalimu bora sana kwangu kila iitwapo leo.
Asante kwasomo
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
❤❤Amina ilitokea Ivo nikaa kimpya kilicho wakuta wanajuta
Sijawahi kujita kukufuatilia kaka Joel
🙏
Asante kwa Shule 🙏
Hakika umeniinua Sana kifikra kwa niliyopitia hd Leo narud ktk comment lait kukosa neema ya IMANI ya Dini na vdeo zko zilizopita miaka 3 iliyopita ningekuwa ktk wimbi la wanaojidhurumu Nafsi kwa Kifo ila Duniani ni sehemu ya majaribu
Leo napenda kkupa shukran sna Allah akufanyie wpc ktk maisha yko na akulipe KHER kwa kuutibu Moyo wangu nimesimama Imara naiyanza Safari yangu kwa UTHABITI mkubwa
Utabaki kuwa JEMEDAR wangu ulimwenguni hta kma walikuwepo,wapo,na watakuwepo ila kwangu itabki THAMANI yko kwa sababu Elimu uliyonipa ndio PONYO la Jeraha la Moyo na Akili yngu.
Unaweza na Utaendelea hvyo,nimeyaamdika hya machozi ya FURAHA ynanitoka.
😢nimeukumiwa San Kaka mpaka ikapelekea kukosan na mama mzazi
May God take you higher 🙏❤...watanzania wengi sana tunasaidika na mafundisho yako Kaka Jo, Utunzwe na Bwana Yesu wewe na Familia yako.
Nikweri brother giza na nuru havipatani mara nyingi inatokea hivi mwenye chuki hupereka jambo la chuki,mahara fulani harafu wenye uwelewa mdogo hulisambanza jambo na kuishi nalo bila kuligeuza upande wa pili brother hii ni zambi kubwa sana na toba yake ni ngumu sana kutubu nisawa na mchanga uulushe juu wenye ujazo ule ule harafu uukusanye tena uleule uliourusha juu
Asante nashkuru kupati kuelewa ju yako
Elim ako ya Maisha inanikomboa sana kaka. Ubarikiwe
Mungu akulinde na kukutunza kaka Joel
ukweli kipindi nimeajiliwa nimehukumiwa katika mambo ambayo sikuwahi kuyafanya nikajiteteea lakin sikusikilizwa mwisho wa siku nikavumilia na mpaka sasa maisha ninayoisha nazidi kumshukuru na kumtukuza Mungu kwa kunijalia moyo wa uvumilivu
Barikiwa sana kaka Joel
Mada yako ipo sawa
Tunakuamini
Duhh uyu jamaa ana material safi sana ,, God bless you broo ✌
Mimi ni muhanga wa haya
Kaka hii hali iliniumiza sana sana mpaka sasa nashindwa kuwasamehe.
Ngulii 🔥 🐐🙌🙏
Life coach✊✊
Kaka Joel kweli mafundisho yako ni mazuri sana,jamani mm nimeonewa sana,nasingiziwa mno hata kosa si langu lakin sikuzote Hua nashuka nakuabali liishe. Kaka Joel kuna mahali napita kwa sasa ni pagumu mno,natamani nipate no yako unishauri kaka Joel
Nice one❤❤❤
Ubarikiwe San
Fact ❤
Barikiwa zaidi kaka
Asante nabalikiwa sana kupitia ww kaka Joel nanauka
Thanks sana bro unatujenga vijana tunashukuru sana🎉
🙏🙏🙏🙏
Nikweli ilitusiumiye amakuwaumiza weghine,nivemakusikiza pandezote mbili.lakini sisi wanadamu hatufanani sisi chakwanza na chamuhimu sisi hukimbilia sana kuhukumu
See you At the 🔝✨☑️
Ni Mimi kabisa yalinkuta😅😅😅😢😢
Nakuelewa sana kaka umenikumbusha mengi sana Mungu akutunze brother @joel
Ni kweli kabısa kıongozı ila " ignorance of the law, will not make you unpunıshed"....🤔🤔
See you at the top
Nime umia sana kwa ujumbe huu au Kuna mtu alikuambia habari zangu?
Mungu akubari sana, Mimi nashangaa Serekali hawakuoni wanapolalamika madili yameisha kwa nini wasikutumie,enewe Joel najua Mungu atafanya wepesi katika maisha ya kuelimisha Watanzania
Nashkur sana kaka Joel mungu akubariki sana nimejifunza kitu kikubwa sana kupitia hii mada
Unamsikiliza mtu unamuuliza alafu anakujibu kwa jeuri (mwanamke)... hii ikoje???
%100
Mm nmewah kuhukumiwa kwakuwa nlkosa mtetezi maana mbali na kosa nlilofanya mwenye nguvu aliliongezea uzito,lkn kaka Joel kama wote wakizifuata hzo hatua zako zote tutawajishana lini huku dunian?
Naona sasa Hali hii inanikuta kimahusiano naomba msaada wako maana nadanganyiwa vitu kufanya ikiwa sifanyi mpk inapelekea mimi kupata shida ktk akili yng nakujiuliza maswali kwann anakusudia kusema ayo
nina meng nitakayokuthibitishia ila kwa elimu yako tayl nimefanikiwa kuazisha campuni nikiwa na na miak 22.
Hongera sana sana👏🏼👏🏼
Asante kwa Shule 🙏