USIPENDE KUHUKUMU SANA WATU - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 28. 05. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 68

  • @velurakawiche5338
    @velurakawiche5338 Před 2 měsíci +1

    Jaman baba ubarikiwe sana hata hili suala la Christina Shusho kwa upande wangu naona ni bora watumishi wa Mungu wangekaa nae chini na kuzungumza nae pia sisi kama wakristo tunapaswa tuombeane jamani na wala sio kuhukumu wala sitetei uovu ila nataman tuu upendo katika Kristo usonge mbele

  • @joshuajackson3827
    @joshuajackson3827 Před rokem

    Joeli wewe acha tu ndugu yangu!

  • @gloriakawago6223
    @gloriakawago6223 Před rokem

    Jifunze kuwasikiliza watu kabla hujawahukum, nimeongeza nguzo nyingine kupitia wewe see you at the top 🇯🇲🥇🎁↕️📤✅

  • @Kabod-Bantu-Black-Pantera

    Ww n mwalim bora sana Tanzania

  • @jichofoundationtv6893

    The Best speaker in TAnzania @joel

  • @bonemwaminifu3935
    @bonemwaminifu3935 Před rokem

    Najifunzaga sana sana sana kupitia wewe

  • @maulidalasir2624
    @maulidalasir2624 Před rokem

    Leo umefanya nimsamehe mtu wangu kwa hili Asante Sana kwa mafundisho

  • @reiphan9894
    @reiphan9894 Před rokem

    Nanauka upo sahihi ,,tunaendelea kujifunza mkuu bigup sana

  • @farajamsepele3507
    @farajamsepele3507 Před rokem

    Duh,,God bless you,,👏

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 Před rokem +1

    Joel, mimi nimekuelewa sana. Yaani basi tu. Namshukuru Mungu alinipitisha katika yote, sasa imebaki historia tu

  • @masilastahona7010
    @masilastahona7010 Před rokem

    Hiii hali inapelekea kuwachukia watu daima yaani na hata kuhatibiana mipango na kuua ndoto za watu... Yaani nawachilkia Ila basii tuuu

  • @santiagobernabeu1611
    @santiagobernabeu1611 Před rokem

    Uko vizuri sana kaka Nauka , maneno yako yanamafunzo sana , ubarikiwe

  • @PhillemonAnthon
    @PhillemonAnthon Před rokem

    Kaka nmetafta njia ya kuwasiliana na wewe moja kwa moja nimeshindwa nisaidie kaka

  • @idrisanassor7744
    @idrisanassor7744 Před rokem

    Ni kwli kabisa

  • @vedastokeya3344
    @vedastokeya3344 Před rokem

    Daa imewahi nitokea mimi nilikaa miaka miwili nilikuwa nakaa nalia na maumivu yake basi tu

  • @academiazsoft
    @academiazsoft Před 10 měsíci

    Very wise brother.God bless you

  • @aloycemathew3926
    @aloycemathew3926 Před rokem

    Wenye ukweli atusikilizwi

  • @sangujohn1939
    @sangujohn1939 Před rokem +2

    Nazani nimewai mezani mapema kwa ajili ya chakula cha ubongo.

  • @eliasmugume254
    @eliasmugume254 Před rokem

    Asante Sana kwaushauri wako
    Ubarikiwe Sana

  • @emanuelkitomary1124
    @emanuelkitomary1124 Před rokem

    Amekupa kibali uyu mungu 😂 i see you brother

  • @user-qh4wx6pd6t
    @user-qh4wx6pd6t Před rokem

    Point

  • @judithnjalambaya2450
    @judithnjalambaya2450 Před rokem

    Umenigusa

  • @panduafricangiant4902
    @panduafricangiant4902 Před rokem +1

    Learn to listen people before you judge nimeelewa sana

  • @morismalela-es9hz
    @morismalela-es9hz Před rokem

    Hakika umekuwa mwalimu bora sana kwangu kila iitwapo leo.

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 Před rokem

    Asante kwasomo

  • @baboudeira9249
    @baboudeira9249 Před rokem

    🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před rokem

    ❤❤Amina ilitokea Ivo nikaa kimpya kilicho wakuta wanajuta

  • @erickgulayi2089
    @erickgulayi2089 Před rokem

    Sijawahi kujita kukufuatilia kaka Joel

  • @JudithWayoga-ce5lm
    @JudithWayoga-ce5lm Před rokem

    🙏

  • @frankpeter2077
    @frankpeter2077 Před rokem +1

    Asante kwa Shule 🙏

    • @saliingao2072
      @saliingao2072 Před rokem

      Hakika umeniinua Sana kifikra kwa niliyopitia hd Leo narud ktk comment lait kukosa neema ya IMANI ya Dini na vdeo zko zilizopita miaka 3 iliyopita ningekuwa ktk wimbi la wanaojidhurumu Nafsi kwa Kifo ila Duniani ni sehemu ya majaribu
      Leo napenda kkupa shukran sna Allah akufanyie wpc ktk maisha yko na akulipe KHER kwa kuutibu Moyo wangu nimesimama Imara naiyanza Safari yangu kwa UTHABITI mkubwa
      Utabaki kuwa JEMEDAR wangu ulimwenguni hta kma walikuwepo,wapo,na watakuwepo ila kwangu itabki THAMANI yko kwa sababu Elimu uliyonipa ndio PONYO la Jeraha la Moyo na Akili yngu.
      Unaweza na Utaendelea hvyo,nimeyaamdika hya machozi ya FURAHA ynanitoka.

  • @PhillemonAnthon
    @PhillemonAnthon Před rokem

    😢nimeukumiwa San Kaka mpaka ikapelekea kukosan na mama mzazi

  • @mwajabuhoza9919
    @mwajabuhoza9919 Před rokem

    May God take you higher 🙏❤...watanzania wengi sana tunasaidika na mafundisho yako Kaka Jo, Utunzwe na Bwana Yesu wewe na Familia yako.

  • @michaelkayoka1615
    @michaelkayoka1615 Před rokem

    Nikweri brother giza na nuru havipatani mara nyingi inatokea hivi mwenye chuki hupereka jambo la chuki,mahara fulani harafu wenye uwelewa mdogo hulisambanza jambo na kuishi nalo bila kuligeuza upande wa pili brother hii ni zambi kubwa sana na toba yake ni ngumu sana kutubu nisawa na mchanga uulushe juu wenye ujazo ule ule harafu uukusanye tena uleule uliourusha juu

  • @SalimMchagama
    @SalimMchagama Před rokem

    Asante nashkuru kupati kuelewa ju yako

  • @ellygach6515
    @ellygach6515 Před rokem

    Elim ako ya Maisha inanikomboa sana kaka. Ubarikiwe

  • @DjBensoni
    @DjBensoni Před rokem

    Mungu akulinde na kukutunza kaka Joel
    ukweli kipindi nimeajiliwa nimehukumiwa katika mambo ambayo sikuwahi kuyafanya nikajiteteea lakin sikusikilizwa mwisho wa siku nikavumilia na mpaka sasa maisha ninayoisha nazidi kumshukuru na kumtukuza Mungu kwa kunijalia moyo wa uvumilivu
    Barikiwa sana kaka Joel

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před rokem

    Mada yako ipo sawa
    Tunakuamini

  • @wisedulayo6531
    @wisedulayo6531 Před rokem

    Duhh uyu jamaa ana material safi sana ,, God bless you broo ✌

  • @salehaliy7198
    @salehaliy7198 Před rokem

    Mimi ni muhanga wa haya

  • @neemashirima6121
    @neemashirima6121 Před rokem

    Kaka hii hali iliniumiza sana sana mpaka sasa nashindwa kuwasamehe.

  • @abdlhaleem8380
    @abdlhaleem8380 Před rokem

    Ngulii 🔥 🐐🙌🙏

  • @nyikaummary814
    @nyikaummary814 Před rokem

    Life coach✊✊

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 Před rokem

    Kaka Joel kweli mafundisho yako ni mazuri sana,jamani mm nimeonewa sana,nasingiziwa mno hata kosa si langu lakin sikuzote Hua nashuka nakuabali liishe. Kaka Joel kuna mahali napita kwa sasa ni pagumu mno,natamani nipate no yako unishauri kaka Joel

  • @humphureyurasa8424
    @humphureyurasa8424 Před rokem

    Nice one❤❤❤

  • @akelishobanya-wz3xm
    @akelishobanya-wz3xm Před rokem

    Ubarikiwe San

  • @Msambyamashingwe
    @Msambyamashingwe Před rokem

    Fact ❤

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před rokem

    Barikiwa zaidi kaka

  • @gerraldgready8051
    @gerraldgready8051 Před rokem

    Asante nabalikiwa sana kupitia ww kaka Joel nanauka

  • @erickathanas
    @erickathanas Před rokem

    Thanks sana bro unatujenga vijana tunashukuru sana🎉

  • @brendaally
    @brendaally Před rokem

    🙏🙏🙏🙏

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Před rokem

    Nikweli ilitusiumiye amakuwaumiza weghine,nivemakusikiza pandezote mbili.lakini sisi wanadamu hatufanani sisi chakwanza na chamuhimu sisi hukimbilia sana kuhukumu

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    See you At the 🔝✨☑️

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před rokem

    Ni Mimi kabisa yalinkuta😅😅😅😢😢

  • @lucianambalamwezi1864

    Nakuelewa sana kaka umenikumbusha mengi sana Mungu akutunze brother @joel

  • @mrsultan8716
    @mrsultan8716 Před rokem

    Ni kweli kabısa kıongozı ila " ignorance of the law, will not make you unpunıshed"....🤔🤔

  • @sanggroupofcompanylimited.

    See you at the top

  • @abrahammwambije2769
    @abrahammwambije2769 Před rokem

    Nime umia sana kwa ujumbe huu au Kuna mtu alikuambia habari zangu?

  • @theresiamateru6426
    @theresiamateru6426 Před rokem

    Mungu akubari sana, Mimi nashangaa Serekali hawakuoni wanapolalamika madili yameisha kwa nini wasikutumie,enewe Joel najua Mungu atafanya wepesi katika maisha ya kuelimisha Watanzania

    • @zainabuziko7339
      @zainabuziko7339 Před rokem

      Nashkur sana kaka Joel mungu akubariki sana nimejifunza kitu kikubwa sana kupitia hii mada

  • @Kaizirege
    @Kaizirege Před rokem

    Unamsikiliza mtu unamuuliza alafu anakujibu kwa jeuri (mwanamke)... hii ikoje???

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před rokem

    %100

  • @herbertbavuma7228
    @herbertbavuma7228 Před rokem

    Mm nmewah kuhukumiwa kwakuwa nlkosa mtetezi maana mbali na kosa nlilofanya mwenye nguvu aliliongezea uzito,lkn kaka Joel kama wote wakizifuata hzo hatua zako zote tutawajishana lini huku dunian?

  • @cutting_timeless_barbersho1701

    Naona sasa Hali hii inanikuta kimahusiano naomba msaada wako maana nadanganyiwa vitu kufanya ikiwa sifanyi mpk inapelekea mimi kupata shida ktk akili yng nakujiuliza maswali kwann anakusudia kusema ayo

  • @millennakevah5975
    @millennakevah5975 Před rokem +1

    nina meng nitakayokuthibitishia ila kwa elimu yako tayl nimefanikiwa kuazisha campuni nikiwa na na miak 22.

  • @frankpeter2077
    @frankpeter2077 Před rokem

    Asante kwa Shule 🙏