Napenda kusikiliza nyimbo za injili sana na nikipata mtu wa kumwelezea changamoto yangu, hapo nakua sawa kabisa, Mungu aendelee kukulinda kwaajiri yangu
Nakumbuka alipofariki kiongozi mmoja mkubwa niliumia nikawa stamani kutoka nje, kule ndani nasikiliza nyimbo za misiba tu ziliimbwa sana kipindi kile hali yangu ilikua mbaya mtu mmoja akaniokoa kwa kunishauri kutoka nje na kutosikiliza nyimbo za majonzi ndipo nikapona. Nakuelewa sana mkufunzi
Ninavifanya sana kwa sasa maana nilipoteza kazi nikawa na mawazo sana kiasi nilimaliza mwezi ndani ila nikajiuliza mbona najiumiza mwenyewe baada ya hapo niakaamua kila siku asubuhi kutembea kuongea na watu tofauti imenisaidia kuludia hali ya kujiamini tena
Bro joel Kwanza nakuombea kwa mungu Akupe maixha marefu wewe na familia yako🙏🙏🙏 make naamin mimi bila wewe xidhaZna kama xahv mingekuwa hivi nilvyo kwa xaxa Kwa kweli umefunza mengi xana na penda xna kuxoma vitabu vyako nko strong xana life SHUKRAN
Nakubali sn mafundisho yk ila mm Kuna jambo huwa linanisumbua sn hasa kwenye ujasiliamali ama uzalishaji wng hasa pale ninapotaka kuweka akiba, nimejaribu mara kwa mara nashindwa je nakosea wp
Thanks bro , kusikilizq mziki huwa n jambo nalopenda kulifanya ,, pia kujichanganya na marafiki kupiga story au kujadiliana kitu hunisaidia sana kuondoa huzun nilionayo au mawazo .... 🙏 nimejifunza njia zingine Leo ubarikiwe
Yaan nikiwaga kwenye hiyo hali,huwa nasikilizaga nyimbo za kuabudu,nakunywa mpk pombe wakati mwingine,najiona km dunia imenitenga vile.ila nikitoka tu nasahu yote
Mimi ninapokutana na Changamoto ninakiri Ushindi, lipo neno ninalopenda kutoka ( Warumi 10:10) Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.
Nice but mimi ninapojisikia nipo down huwa natafakari ni ma ngapi Mungu amenipigania na bado nimeitwa kufanya makubwa zaidi kwani kuna watu hewa ninayovuta bure wengine wanalipia hospitali baada ya hapo najiambia nilikotoka ni chini zaidi ya hapa nilipo so nitapandishwa zaidi ya hapa pia
Kiukweli ushauri wako umeninikomaza na kuzidi kuniongezea hamasa katika mapambano yangu MUNGU akupe maisha marefuu hakika ww ni mkimbozi wa fikra zetu.
Napenda sana kusikiliza Qur-aan baada muda huzuni huisha nikisiliza maneno ya Allah hakuna linalodumu katika ardhi Alhamndulilah
Fatma Allaah akujalie uzidi kuwa ktk Ahlilkur an
MashaAllah Bi, Fatma mie pia napenda hivyo
umefunirahisha sana dadaang
Mashallha mungu azidishe watu mfano wako dada
Naendelea kusikiliza Gospel huku nikitembea balabalani
Napenda kusikiliza nyimbo za injili sana na nikipata mtu wa kumwelezea changamoto yangu, hapo nakua sawa kabisa, Mungu aendelee kukulinda kwaajiri yangu
Mungu akubariki sana joel nanauka wew ni mtu mwenye akili sana
Nakumbuka alipofariki kiongozi mmoja mkubwa niliumia nikawa stamani kutoka nje, kule ndani nasikiliza nyimbo za misiba tu ziliimbwa sana kipindi kile hali yangu ilikua mbaya mtu mmoja akaniokoa kwa kunishauri kutoka nje na kutosikiliza nyimbo za majonzi ndipo nikapona. Nakuelewa sana mkufunzi
Akili yako ni kubwa sana ndugu yangu ni mtaalamu sana wa physcology Tanzania nzima.
Ameen, namshukuru Mungu na ahsante
Sana kwa kweli yupo vizuri
hili somo limenigusa sana kaka nimejifunza sana maana mimi najitengaga sana ghafla yani
Daaa safi sana
Kila kitu dawa ktk kuishi
Bigg thanks 🙏,nimekupata Sana Mwl.Joel,
unanifaruji sana na maneno ma kweli
Nasikiliza gospel yan naweka sifa mpaka nahisi mimi ni tajiri nawakati mwingine nawatia moyo wengine na kuwasaidia
We jamaa mungu akuweke kwa ajiri yetu unanipaga nguvu kwa kila kitu thanks a lot
Barikiwa sana kaka, uwa natembea mara nyingi, hii ya kuandika nimeipenda zaidi #seeyouatthetop
Huwa napenda kusikiliza neno la Mungu na nyimbo za Mungu
Ubarikiwe kaka mkubwaa🙏🙏🎮
Yaani mungu ana makusudi na wewe kwetu thank u
thank you for your counselling bro , mimi mara nyingi nilikuwa nikifanya hivyo kusikiza nyimbo zinazoendana na situation nilio nayo
Umenivusha mbalii sanaa
Mi naandika sana muziki kaka❤
Mungu akutunze kaka kwasababu kila siku unayagusa sana maisha yangu ungekuwa hnafahamiana na wanangu ningesema huwa wanakuambia
Jo mercí beaucoup!!!
Ninavifanya sana kwa sasa maana nilipoteza kazi nikawa na mawazo sana kiasi nilimaliza mwezi ndani ila nikajiuliza mbona najiumiza mwenyewe baada ya hapo niakaamua kila siku asubuhi kutembea kuongea na watu tofauti imenisaidia kuludia hali ya kujiamini tena
Bro joel Kwanza nakuombea kwa mungu Akupe maixha marefu wewe na familia yako🙏🙏🙏 make naamin mimi bila wewe xidhaZna kama xahv mingekuwa hivi nilvyo kwa xaxa Kwa kweli umefunza mengi xana na penda xna kuxoma vitabu vyako nko strong xana life SHUKRAN
Asante Kaka Mungu Akufungulie Mengine Ambayo Bado Hajakufungulia Hii Imefanya Niweze Kumpata Njia Ya Kuwa Mtu Mpya Na Punguza Mawazo
Uwa natembea na kusikiliza mziki ila uwa unapenda sana kujitenga sijui nakuwa sawa au nakosea,? Naomba ushauli
Asante naamini mm Ni strong
Ahsante kwa elimu
Nakubali sn mafundisho yk ila mm Kuna jambo huwa linanisumbua sn hasa kwenye ujasiliamali ama uzalishaji wng hasa pale ninapotaka kuweka akiba, nimejaribu mara kwa mara nashindwa je nakosea wp
Asante sana kaka,, Mimi hua naipenda kutembea kuongea na watu nikikaa mwenyewe hua naumia zaidi Bora nijichanganye na watu.
Safi sanaaa
Mimi huwa Nakubali Na huwa Naanza Upya Naamuwa Kubadilika
Barikiwa sana mwalimu
Ishi sana
Umefanyika baraka sana
Thanks bro , kusikilizq mziki huwa n jambo nalopenda kulifanya ,, pia kujichanganya na marafiki kupiga story au kujadiliana kitu hunisaidia sana kuondoa huzun nilionayo au mawazo .... 🙏 nimejifunza njia zingine Leo ubarikiwe
Mimi napenda kusikiliza gospel music brother
Mungu akubariki sana
Hakika, elimu nzuri Kaka, mm huwa napenda kupitia nyimbo za injili zinazonitia moyo hivyo huwa napona mapema sana
Well explained.
#Madini.
Asante sana Nanauka
Ubarikiwe sana
It worth it to listen to this video .
Big up xan bro💪
Namshukuru kwa somo zuri, Mimi uwa unapenda sana kutembea huku nina sikilizia mziki,
Asante Mshauri na coach hodari. Mimi huwa nina fanya short exercise na kusikiliza muziki unao ni inua. Muda mwingine nina chora.
Naongzea Kuwa na sala inahitajika katika vipindi Kama hivi asante
Kaka ubarikiwe sana 4 umenigusa sana Ahsante sana Kaka
Ahsante brother
Asante kiongozi
Apreciate mkuu
Shukrani sana bro
Asante sana
Joel your bright
Hongera sana kaka
Kwa mimi napenda Sana kusoma Quran na kuleta adhikar ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Maa shaa Allah nimekupenda
@@fatmaomari7824 shukran jazzakalluhu heirr dadangu😘😘😘😘😘uko za wapi dear
زاد الله امثالك اختي العزيزه
الا بذكر الله تطمئن القلوب
Napenda sanaaa ushauri wako kaka
Thanks a lot
Mm napenda sana kwenda kucheza game
This is powerfully aki MWAKA MPYA BILA MUTU MPYA HAKUNA..asnt sana kaka
Ni kweli kabisaaaa
Kaka Mungu azidi kukubariki
Mie nikiwa down huwa nafanya mazoezi ya viungo uku nasikiliza muziki huwa najikuta niko sawa kwa kweli
BARIKIWA sana Mr.Joel ,Umenifundisha vitu vingi sana 2022 Ikiwemo Ujasiri, Kujiamini na Kuomba sanaa. Na sasa 2023 naendelea nawe.
🙏🙏🙏🙏🙏
Yaan nikiwaga kwenye hiyo hali,huwa nasikilizaga nyimbo za kuabudu,nakunywa mpk pombe wakati mwingine,najiona km dunia imenitenga vile.ila nikitoka tu nasahu yote
Mbona kama hii ni kwaajili yangu thanks bro
Good
Yeah Kweli Kabisa HASA MUSIC Sana 🤝 Joel we Ni Head Teacher 🤔 Asante kwa kunifunguwa kwa mengine
Ahsante sana Bosco
Good lesson, mm apo ni kusikiliza music nishawahi kufanya na nikapona vizur, ingawa rafiki yangu wa karibu alinilaumu Sana kutwa music
Gospel 🤦♀️ tena ambwene mwasongwe 😪kaka ana ni barikiwa sana🙌Ahsante sana nipe pata kitu kipya leo??
Mm napenda sana kusikilizaa simulizi mbali mbali hafu napendaa kuwa peke yangu na kuzungumunzaa peke yangu badaee 2 hali yangu inarund
Mimi naomba no ako 😢😢😢Niko na Hali isiyo ya kawaida 😢😢😢😢😢
Mimi ninapokutana na Changamoto ninakiri Ushindi, lipo neno ninalopenda kutoka ( Warumi 10:10) Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.
Hii video ni kwaajili yangu ukweli niko down sometime naona kama na give up
Kuskiliza nyimbo za Joel lwaga😅
Mkn
Hii ilikuwa yangu kbsaa imekuja muda muafakaa
Nice but mimi ninapojisikia nipo down huwa natafakari ni ma ngapi Mungu amenipigania na bado nimeitwa kufanya makubwa zaidi kwani kuna watu hewa ninayovuta bure wengine wanalipia hospitali baada ya hapo najiambia nilikotoka ni chini zaidi ya hapa nilipo so nitapandishwa zaidi ya hapa pia
Kingine ninachofanya Kusikiliza Nyimbo za Maabudu
Kutembea,kusikiliza nyimba za kanisa,nikishindwa sana huwanaliya ndipoinitoke kwamoya
😄 🤣 Bernadeta umetisha hadi ulie ndio uwe pow
😄 🤣 Bernadeta umetisha hadi ulie ndio uwe pow
@@samwelimwanja4105 eeeee kulia nilazima nikilia 2 hivi hutawainiona tena nikikusoghelea yani hivyoimeisha kabisa
Uko wapi bernadeta mi niko mwanza
Napenda tufahamiane kama hutojali waweza kunipa namba kwa mawasliano
Vipi kuhusu kusali? Like ufanye meditation, je, ni sahihi?
Mimi nafanya sport haswa kulukaluka kamba. Nasahau yote.
Joel na kubali hapo umesema ukweli 😊😊
Shukrani sana
To me writing down is the best things I really appreciate it is making me to get myself🫶
Kiukweli ushauri wako umeninikomaza na kuzidi kuniongezea hamasa katika mapambano yangu MUNGU akupe maisha marefuu hakika ww ni mkimbozi wa fikra zetu.
Asante sana