UFANYE NINI UKIJIONA UKO "DOWN" SANA - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 01. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 105

  • @fatmaomari7824
    @fatmaomari7824 Před rokem +31

    Napenda sana kusikiliza Qur-aan baada muda huzuni huisha nikisiliza maneno ya Allah hakuna linalodumu katika ardhi Alhamndulilah

  • @nursechunga4470
    @nursechunga4470 Před rokem +6

    Napenda kusikiliza nyimbo za injili sana na nikipata mtu wa kumwelezea changamoto yangu, hapo nakua sawa kabisa, Mungu aendelee kukulinda kwaajiri yangu

  • @194summer
    @194summer Před měsícem

    Mungu akubariki sana joel nanauka wew ni mtu mwenye akili sana

  • @naominyanzilamachongo9642

    Nakumbuka alipofariki kiongozi mmoja mkubwa niliumia nikawa stamani kutoka nje, kule ndani nasikiliza nyimbo za misiba tu ziliimbwa sana kipindi kile hali yangu ilikua mbaya mtu mmoja akaniokoa kwa kunishauri kutoka nje na kutosikiliza nyimbo za majonzi ndipo nikapona. Nakuelewa sana mkufunzi

  • @sendamachenge6311
    @sendamachenge6311 Před rokem +12

    Akili yako ni kubwa sana ndugu yangu ni mtaalamu sana wa physcology Tanzania nzima.

  • @upperclass68
    @upperclass68 Před měsícem

    hili somo limenigusa sana kaka nimejifunza sana maana mimi najitengaga sana ghafla yani

  • @bashirhassantipa5581
    @bashirhassantipa5581 Před 6 měsíci

    Daaa safi sana
    Kila kitu dawa ktk kuishi

  • @japhetjohn5697
    @japhetjohn5697 Před rokem

    Bigg thanks 🙏,nimekupata Sana Mwl.Joel,

  • @loyceakuku6019
    @loyceakuku6019 Před rokem

    unanifaruji sana na maneno ma kweli

  • @ZenorinaShio
    @ZenorinaShio Před 2 měsíci

    Nasikiliza gospel yan naweka sifa mpaka nahisi mimi ni tajiri nawakati mwingine nawatia moyo wengine na kuwasaidia

  • @daisymtitu6375
    @daisymtitu6375 Před rokem

    We jamaa mungu akuweke kwa ajiri yetu unanipaga nguvu kwa kila kitu thanks a lot

  • @vijanaadventist9274
    @vijanaadventist9274 Před rokem

    Barikiwa sana kaka, uwa natembea mara nyingi, hii ya kuandika nimeipenda zaidi #seeyouatthetop

  • @annakadudu4505
    @annakadudu4505 Před rokem

    Huwa napenda kusikiliza neno la Mungu na nyimbo za Mungu

  • @stevenfaston6059
    @stevenfaston6059 Před rokem +3

    Ubarikiwe kaka mkubwaa🙏🙏🎮

  • @hildamushashu5056
    @hildamushashu5056 Před rokem

    Yaani mungu ana makusudi na wewe kwetu thank u

  • @kabwalipilote8347
    @kabwalipilote8347 Před rokem +1

    thank you for your counselling bro , mimi mara nyingi nilikuwa nikifanya hivyo kusikiza nyimbo zinazoendana na situation nilio nayo

  • @eliamartine4720
    @eliamartine4720 Před rokem +1

    Umenivusha mbalii sanaa

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 Před 5 měsíci

    Mi naandika sana muziki kaka❤

  • @lucianambalamwezi1864

    Mungu akutunze kaka kwasababu kila siku unayagusa sana maisha yangu ungekuwa hnafahamiana na wanangu ningesema huwa wanakuambia

  • @stevenobunde9345
    @stevenobunde9345 Před 11 měsíci

    Jo mercí beaucoup!!!

  • @kingmwarabu3811
    @kingmwarabu3811 Před rokem +4

    Ninavifanya sana kwa sasa maana nilipoteza kazi nikawa na mawazo sana kiasi nilimaliza mwezi ndani ila nikajiuliza mbona najiumiza mwenyewe baada ya hapo niakaamua kila siku asubuhi kutembea kuongea na watu tofauti imenisaidia kuludia hali ya kujiamini tena

  • @karumekennedy7320
    @karumekennedy7320 Před rokem

    Bro joel Kwanza nakuombea kwa mungu Akupe maixha marefu wewe na familia yako🙏🙏🙏 make naamin mimi bila wewe xidhaZna kama xahv mingekuwa hivi nilvyo kwa xaxa Kwa kweli umefunza mengi xana na penda xna kuxoma vitabu vyako nko strong xana life SHUKRAN

  • @azizamajuto928
    @azizamajuto928 Před rokem +1

    Asante Kaka Mungu Akufungulie Mengine Ambayo Bado Hajakufungulia Hii Imefanya Niweze Kumpata Njia Ya Kuwa Mtu Mpya Na Punguza Mawazo

  • @kelvinbernard5453
    @kelvinbernard5453 Před rokem +2

    Uwa natembea na kusikiliza mziki ila uwa unapenda sana kujitenga sijui nakuwa sawa au nakosea,? Naomba ushauli

  • @khadijakisingo7920
    @khadijakisingo7920 Před rokem

    Asante naamini mm Ni strong

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Před rokem

    Ahsante kwa elimu

  • @jimymagere1794
    @jimymagere1794 Před rokem +1

    Nakubali sn mafundisho yk ila mm Kuna jambo huwa linanisumbua sn hasa kwenye ujasiliamali ama uzalishaji wng hasa pale ninapotaka kuweka akiba, nimejaribu mara kwa mara nashindwa je nakosea wp

  • @neemaryan9947
    @neemaryan9947 Před rokem +3

    Asante sana kaka,, Mimi hua naipenda kutembea kuongea na watu nikikaa mwenyewe hua naumia zaidi Bora nijichanganye na watu.

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před rokem +1

    Mimi huwa Nakubali Na huwa Naanza Upya Naamuwa Kubadilika

  • @user-qn7xd2uu8j
    @user-qn7xd2uu8j Před rokem

    Barikiwa sana mwalimu

  • @clementmkwemba6248
    @clementmkwemba6248 Před rokem

    Ishi sana
    Umefanyika baraka sana

  • @givenfredy3589
    @givenfredy3589 Před rokem

    Thanks bro , kusikilizq mziki huwa n jambo nalopenda kulifanya ,, pia kujichanganya na marafiki kupiga story au kujadiliana kitu hunisaidia sana kuondoa huzun nilionayo au mawazo .... 🙏 nimejifunza njia zingine Leo ubarikiwe

  • @rollingsmiller9514
    @rollingsmiller9514 Před rokem

    Mimi napenda kusikiliza gospel music brother

  • @confiancendayishimiye3951

    Mungu akubariki sana

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 Před rokem

    Hakika, elimu nzuri Kaka, mm huwa napenda kupitia nyimbo za injili zinazonitia moyo hivyo huwa napona mapema sana

  • @frankpeter2077
    @frankpeter2077 Před rokem

    Well explained.
    #Madini.

  • @marcopeter4091
    @marcopeter4091 Před rokem

    Asante sana Nanauka

  • @LakinaneMuna
    @LakinaneMuna Před 5 měsíci

    Ubarikiwe sana

  • @teacher_dory
    @teacher_dory Před rokem

    It worth it to listen to this video .

  • @karugabajastin2852
    @karugabajastin2852 Před rokem +2

    Big up xan bro💪

  • @kelvinbernard5453
    @kelvinbernard5453 Před rokem +1

    Namshukuru kwa somo zuri, Mimi uwa unapenda sana kutembea huku nina sikilizia mziki,

  • @ritakahurananga9866
    @ritakahurananga9866 Před rokem

    Asante Mshauri na coach hodari. Mimi huwa nina fanya short exercise na kusikiliza muziki unao ni inua. Muda mwingine nina chora.

  • @stelafrancisshenkunde9045

    Naongzea Kuwa na sala inahitajika katika vipindi Kama hivi asante

  • @fundivigaetzchannel1899

    Kaka ubarikiwe sana 4 umenigusa sana Ahsante sana Kaka

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před rokem

    Ahsante brother

  • @ntimishibanda3586
    @ntimishibanda3586 Před rokem

    Asante kiongozi

  • @academiazsoft
    @academiazsoft Před 10 měsíci

    Apreciate mkuu

  • @ashaidd2912
    @ashaidd2912 Před rokem

    Shukrani sana bro

  • @NeemaKaole
    @NeemaKaole Před rokem

    Asante sana

  • @FeisalShomari-fc3ej
    @FeisalShomari-fc3ej Před 6 měsíci

    Joel your bright

  • @evaleen4359
    @evaleen4359 Před rokem

    Hongera sana kaka

  • @mamakekhubeiby4206
    @mamakekhubeiby4206 Před rokem +1

    Kwa mimi napenda Sana kusoma Quran na kuleta adhikar ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

    • @fatmaomari7824
      @fatmaomari7824 Před rokem

      Maa shaa Allah nimekupenda

    • @mamakekhubeiby4206
      @mamakekhubeiby4206 Před rokem

      @@fatmaomari7824 shukran jazzakalluhu heirr dadangu😘😘😘😘😘uko za wapi dear

    • @aliykijangwa4447
      @aliykijangwa4447 Před rokem

      زاد الله امثالك اختي العزيزه
      الا بذكر الله تطمئن القلوب

  • @sadockedward2219
    @sadockedward2219 Před rokem

    Napenda sanaaa ushauri wako kaka

  • @Ms_Kasalah
    @Ms_Kasalah Před rokem

    Thanks a lot

  • @stevenfaston6059
    @stevenfaston6059 Před rokem

    Mm napenda sana kwenda kucheza game

  • @davidtvonline6020
    @davidtvonline6020 Před rokem +2

    This is powerfully aki MWAKA MPYA BILA MUTU MPYA HAKUNA..asnt sana kaka

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge Před rokem

    Mie nikiwa down huwa nafanya mazoezi ya viungo uku nasikiliza muziki huwa najikuta niko sawa kwa kweli

  • @janeflorencesajjabi1545

    BARIKIWA sana Mr.Joel ,Umenifundisha vitu vingi sana 2022 Ikiwemo Ujasiri, Kujiamini na Kuomba sanaa. Na sasa 2023 naendelea nawe.

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 Před měsícem

    Yaan nikiwaga kwenye hiyo hali,huwa nasikilizaga nyimbo za kuabudu,nakunywa mpk pombe wakati mwingine,najiona km dunia imenitenga vile.ila nikitoka tu nasahu yote

  • @priscaalbert
    @priscaalbert Před rokem +1

    Mbona kama hii ni kwaajili yangu thanks bro

  • @pizorlokiskune869
    @pizorlokiskune869 Před rokem

    Good

  • @boscobalame8018
    @boscobalame8018 Před rokem +2

    Yeah Kweli Kabisa HASA MUSIC Sana 🤝 Joel we Ni Head Teacher 🤔 Asante kwa kunifunguwa kwa mengine

  • @rehefehe8890
    @rehefehe8890 Před rokem

    Good lesson, mm apo ni kusikiliza music nishawahi kufanya na nikapona vizur, ingawa rafiki yangu wa karibu alinilaumu Sana kutwa music

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem

    Gospel 🤦‍♀️ tena ambwene mwasongwe 😪kaka ana ni barikiwa sana🙌Ahsante sana nipe pata kitu kipya leo??

  • @salmazwallo5920
    @salmazwallo5920 Před rokem +1

    Mm napenda sana kusikilizaa simulizi mbali mbali hafu napendaa kuwa peke yangu na kuzungumunzaa peke yangu badaee 2 hali yangu inarund

  • @subiraibrahim8100
    @subiraibrahim8100 Před rokem

    Mimi naomba no ako 😢😢😢Niko na Hali isiyo ya kawaida 😢😢😢😢😢

  • @richardmartin6429
    @richardmartin6429 Před rokem

    Mimi ninapokutana na Changamoto ninakiri Ushindi, lipo neno ninalopenda kutoka ( Warumi 10:10) Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.

  • @byClever
    @byClever Před rokem

    Hii video ni kwaajili yangu ukweli niko down sometime naona kama na give up

  • @shedrackemanuel5223
    @shedrackemanuel5223 Před 4 měsíci

    Kuskiliza nyimbo za Joel lwaga😅

  • @mosesfrancis8495
    @mosesfrancis8495 Před 11 měsíci

    Mkn

  • @magrethmeena
    @magrethmeena Před rokem

    Hii ilikuwa yangu kbsaa imekuja muda muafakaa

  • @chungwasingers
    @chungwasingers Před rokem

    Nice but mimi ninapojisikia nipo down huwa natafakari ni ma ngapi Mungu amenipigania na bado nimeitwa kufanya makubwa zaidi kwani kuna watu hewa ninayovuta bure wengine wanalipia hospitali baada ya hapo najiambia nilikotoka ni chini zaidi ya hapa nilipo so nitapandishwa zaidi ya hapa pia

  • @japhetjohn5697
    @japhetjohn5697 Před rokem

    Kingine ninachofanya Kusikiliza Nyimbo za Maabudu

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Před rokem

    Kutembea,kusikiliza nyimba za kanisa,nikishindwa sana huwanaliya ndipoinitoke kwamoya

    • @samwelimwanja4105
      @samwelimwanja4105 Před rokem

      😄 🤣 Bernadeta umetisha hadi ulie ndio uwe pow

    • @samwelimwanja4105
      @samwelimwanja4105 Před rokem

      😄 🤣 Bernadeta umetisha hadi ulie ndio uwe pow

    • @bernadetachari7648
      @bernadetachari7648 Před rokem

      @@samwelimwanja4105 eeeee kulia nilazima nikilia 2 hivi hutawainiona tena nikikusoghelea yani hivyoimeisha kabisa

    • @samwelimwanja4105
      @samwelimwanja4105 Před rokem

      Uko wapi bernadeta mi niko mwanza

    • @samwelimwanja4105
      @samwelimwanja4105 Před rokem

      Napenda tufahamiane kama hutojali waweza kunipa namba kwa mawasliano

  • @benekatare3948
    @benekatare3948 Před rokem

    Vipi kuhusu kusali? Like ufanye meditation, je, ni sahihi?

  • @ghfhfdtyfgggd6271
    @ghfhfdtyfgggd6271 Před rokem

    Mimi nafanya sport haswa kulukaluka kamba. Nasahau yote.

  • @mbelyterry1584
    @mbelyterry1584 Před rokem

    Joel na kubali hapo umesema ukweli 😊😊

  • @dianamuhumba
    @dianamuhumba Před rokem

    To me writing down is the best things I really appreciate it is making me to get myself🫶

  • @Delphinusdeodatus-xu6nf

    Kiukweli ushauri wako umeninikomaza na kuzidi kuniongezea hamasa katika mapambano yangu MUNGU akupe maisha marefuu hakika ww ni mkimbozi wa fikra zetu.

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem

    Asante sana