Heeeeeeee Mungu wangu Mungu wangu ume nizungumzia mimi mwanzo wa adith npaka mwisho na nilipata hekima ya kuwanazarau mapigo yao na mbinu zake adui yangu nilie mtafutia kazi na aka nigeuka amesema uongo mwingi sana amekuwa akilopoka kwa maboss mimi nimpevi sijibu wala sijielezei sasa mbaya zaidi kaomba likizo mwezi mzima nipo peke yangu ndio wame jua maboss nani mfanyaji kazi nani sio mfanyaji kazi😅😅😅😅
Ahsantee sana Kaka Joel...#Ujumbe1stCLass 👏👏👏
Hongera sana kaka kwa elimu unayotoa
Kweli mm nilimpoteza dadangu mdogo nimeona hakuna kitu kina maana katika hii dunia yani nimekata tamaa
Mungu aongeze hiyo huduma yako na ivuke mipaka mingi
Hongera kaka
Asante sana kaka kwa somo hii
🙏🙏 kwa somo zuri,MUNGU AKUBARIKI sana
Shukurani sana kaka
Kweli kabisa doctor
Wakati wa mungu ni wakati sahihi sana
Barikiwa daima'.
Shukuran sana
Kweli kabisa kaka kila jambo lina majira yake me ninekuelewa sana nilishawah kupitia nyakat ambazo Leo zinanipa majibu.
Heeeeeeee Mungu wangu Mungu wangu ume nizungumzia mimi mwanzo wa adith npaka mwisho na nilipata hekima ya kuwanazarau mapigo yao na mbinu zake adui yangu nilie mtafutia kazi na aka nigeuka amesema uongo mwingi sana amekuwa akilopoka kwa maboss mimi nimpevi sijibu wala sijielezei sasa mbaya zaidi kaomba likizo mwezi mzima nipo peke yangu ndio wame jua maboss nani mfanyaji kazi nani sio mfanyaji kazi😅😅😅😅
Amen amen amen
Nikweli asante sana
Good job
Yes!! wakat wa Mungu ndio sahh,,, bado natumain na ninasubr 🙏🙏
Aiseee hiii nilipitia sana sana .
Mungu akulinde brother somo zuri.
Shukran ni kweli sana kurudi Kwa mungu
Amen
Ujumbe mzuri sana brother J
see you at the top!
Asante sana JN
Waiting........
Mimi nitakuwa mwanafunzi wako wa media Hadi kifo kinatugawa
Mungu akutunze
Thanks
Asante sana 🙏
Amina
Brooo Namba tatu
Kabisaaa
Asante sana
Yani kaka chukua champain nakuja kulipa isizidi 30
unaweza kunitumia soft copy ya vitabu vyako kwenye email
Napenda hapo see you 😀
Say something Honor
Ivi ni kwanini ni ivo lakini???
Point namba mbili imenigusa
Mtumishi wa MUNGU, jamani mimi nahitaji vitabu vyako,kile cha TIMIZA MALENGO,NA MONEY FORMULA. vyote bei gani ntafurai sana ukinijibu
@joelnnauka Na mimi nahitaji hivi vitabu. Nimekuwa napiga namba ulizotoa sijawahi pokelewa!!
Karibu sana tuwasiliane kupitia 0762 31 21 71
@@joelnanauka asante sana.
Upo. Sawa
@@joelnanauka asante
Good job
Habari kaka,naomba kujua kwanini Huwa inaatokea mtu kuchaguliwa mara nyingi kuwa kiongozi kwenye maeneo kadhaa bila mhusika kutarajia
Ok thanks bro but nlikuwa nahitaj kujua Jinsi yakuongeza positive friends