Ushauri wangu kwako coach wewe unaweza kuwa mtu mzuri wa kumsikiliza mtu na kutoa ushauri huduma hii iweke iwe available nimewahi piga namba moja ya assistant wako kutafuta huduma kama hiyo ila nikajibiwa Bado hakuna huduma kama hiyo , kama Kuna mwingine anahitaji huduma hii pia ebu tuungane tumwambie Ndugu yetu kocha wetu Nanauka kuwa huduma hii ni muhimu haiweke
Ahsante ka joel kwa ujumbe wako mm huwa napata uchungu wakati mwingine bila sababu pengine nakosa aman na kusikia kulia kwa uchungu sana cjui ni ratizo gan hilo
Nilipitia uchungu hadi imani yangu ikayumba nikaamuacha mungu,sasa nahangaika kuutafta uso wa ngumu tena,sikujua kua lilikua ni jaribu kwangu, itoshe kusema moyo wangu umekua sugu kwa uchungu,
Bro. I sailed at the same boat of painful situations when i had my friend who devoted himself to stay with me,, and that was the time when i was desperate and jobless. But slowly this man started ignores and overrule me to an extent that he tarnishes my name to his friends,, but one thing about me is that i learned to be quiet when such situation comes. So that was an excuse for him to tarnish my name to his friends and that three weeks later he chased me out of his house at 9pm at night and that moment i didn't know where to go but fortunately the director at a certain college who was my friend saw me at that parthetic situation and accommodate me til date. Thank you for that advice at least you had soothe my anxiety and and stress about what happened to my life
Kaka unachokizungumza ni kweli kabisa lakini namna ya kumpata huyo mtu unayeweza kumuelezea hayo maumivu unayopitia, kwa mfano mimi mwenyewe nipo katika ya uchungu mzito kwa sababu ya kuondolewa mahali fulani kila nikijalibu kusahau inashindikana kaka.
Daddy ni kweli ulichosema ila ni vigumu nilishawahi kumwandikia mtu ujumbe ili anipe ushauri Kuna kitu kilikuwa kinaniumiza si nikajichanganya nikapost status nilitaka kuzimia Hadi nikaanza kuulizwa na watu ambao Huwa wanaview status zangu na hawasemi chochote wanauliza nani huyu nilitamani ardhi ipasuke niingie eeh 😂 nyie
Ushauri wangu kwako coach wewe unaweza kuwa mtu mzuri wa kumsikiliza mtu na kutoa ushauri huduma hii iweke iwe available nimewahi piga namba moja ya assistant wako kutafuta huduma kama hiyo ila nikajibiwa Bado hakuna huduma kama hiyo , kama Kuna mwingine anahitaji huduma hii pia ebu tuungane tumwambie Ndugu yetu kocha wetu Nanauka kuwa huduma hii ni muhimu haiweke
Yes,Sitakua nikifuatilia maisha ya mtu
Asante kk joel ...kw..kuendelea kutufungua.. barikiwa sana🙏🙏🙏
Kweli wapo awajui kuomba msamaa wezao ndio wanawaona wamakosa wao ajioni
Ahsante ka joel kwa ujumbe wako mm huwa napata uchungu wakati mwingine bila sababu pengine nakosa aman na kusikia kulia kwa uchungu sana cjui ni ratizo gan hilo
Nataka kuwa kama wewe,hata kama sitafanana na wewe at all but to be like you is enough to me ubarikiwe joe
Asante kwa somo kaka joel,nashukuru sana mungu akubariki
Ujumbe mzuri sana💪
😢😢😢Ubarikiwe sana
Asante kwa ushauri mzuri Kaka nitajitahidi kuondoa haya maumivu yanayonisumbua
Jaman kuumizwa hasa aliyekuumiza ni mtu wako wa krb hasa awe mtoto wako jaman
Nilipitia uchungu hadi imani yangu ikayumba nikaamuacha mungu,sasa nahangaika kuutafta uso wa ngumu tena,sikujua kua lilikua ni jaribu kwangu, itoshe kusema moyo wangu umekua sugu kwa uchungu,
Jitahidi kuachililia anza kujisamehe wewe kwanza ,kisha omba sana ndugu
Mm mtupu
Naitaji kuonana na ww kaka joel
Kufwatilia maisha ya mtu aliekuumiza ndio kunaongeza uchungu zaidi
Ukweli mtupu❤
Da WW ni kichwa,
Huu uchungu nilionao itabidi nikutafute Sir Joel
Duh its true bro bt some times it fail to forget some event
Ahsante saana imekuja wakati mwafaka kwangu
Naomba kununua vitabu nipo Zanzibar
Hakika nikweli. Ujumbe huu nidawa ya akili na moyo kuwa na amani kubwaaa
Unatuponya kaka Barikiwa zaidi kaka yangu
Bro. I sailed at the same boat of painful situations when i had my friend who devoted himself to stay with me,, and that was the time when i was desperate and jobless. But slowly this man started ignores and overrule me to an extent that he tarnishes my name to his friends,, but one thing about me is that i learned to be quiet when such situation comes. So that was an excuse for him to tarnish my name to his friends and that three weeks later he chased me out of his house at 9pm at night and that moment i didn't know where to go but fortunately the director at a certain college who was my friend saw me at that parthetic situation and accommodate me til date. Thank you for that advice at least you had soothe my anxiety and and stress about what happened to my life
Joel
Nikweli mwalimu unavyo sema .ila ninaswali mwalimu huwa unatembea mpaka kenya
Ni kweli nimepitia kwenye uchungu mkubwa mno,hauishi walionisababishia nawaona kila siku
Asante kwa somo zuri.
Ubarikiwe sana Kaka Hasante kwa somo zuri nimejifunza kitu.
Nimekuelewa sana kiongozi na ninadhani itanisaidia kwa hali ninayopitia sasa
Asante Sana
Ahsante
Nitaacha kumuongelea ongelea
Asante Kwa uponyaji
Thank you
Thats good bro
Kaka vitabu ni kwa lugha gan maana mim ngeli haipandi
Niliumi
Kk Joel Mm nateswa nahofu kiaskwamba moyo unaenda mbio ni fanyaj kuepuka??
Nafanya unachokifanya bro npo njombe nahitaji support
Thanx bro
Ahsante sana kaka ♥️
Napitia uchungu wa mapenzi najitahidi kujitoa lkn nashindwa
Dah haya mapenzi acha tu ndugu yangu
kaka joel kitabu cha timiza malengo yako nakipataje?
Kaka unachokizungumza ni kweli kabisa lakini namna ya kumpata huyo mtu unayeweza kumuelezea hayo maumivu unayopitia, kwa mfano mimi mwenyewe nipo katika ya uchungu mzito kwa sababu ya kuondolewa mahali fulani kila nikijalibu kusahau inashindikana kaka.
Njoo nikusikilize
@@BibiClassic-rl2jo Una uhakika wa kunisikiliza na kunisaidia kiushauri na kurudi kwenye hali yangu.
@@emanuelmanfred9856 tuombe mungu hkn kwake linaloshindikana
Nina changamoto kwa zaidi ya miaka8
Sasa mm nasamehe ila nafuta kweny akili yngu uyo mtu, je hii ni sawa?
Daddy ni kweli ulichosema ila ni vigumu nilishawahi kumwandikia mtu ujumbe ili anipe ushauri Kuna kitu kilikuwa kinaniumiza si nikajichanganya nikapost status nilitaka kuzimia Hadi nikaanza kuulizwa na watu ambao Huwa wanaview status zangu na hawasemi chochote wanauliza nani huyu nilitamani ardhi ipasuke niingie eeh 😂 nyie
Pole dear😂😂
@@bertinaafonsorapaz8345 😂😂 Asante
Ahsante
Amen sana mtumishi wa mungu abariki
Pole sana
Duh its true bro bt some times it fail to forget some event
Naomba kununua vitabu nipo Zanzibar