NAMNA YA KUONDOA UCHUNGU ULIONAO - JOEL NANAUKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 01. 2024
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 62

  • @mahonayoramu5083
    @mahonayoramu5083 Před 5 měsíci +3

    Ushauri wangu kwako coach wewe unaweza kuwa mtu mzuri wa kumsikiliza mtu na kutoa ushauri huduma hii iweke iwe available nimewahi piga namba moja ya assistant wako kutafuta huduma kama hiyo ila nikajibiwa Bado hakuna huduma kama hiyo , kama Kuna mwingine anahitaji huduma hii pia ebu tuungane tumwambie Ndugu yetu kocha wetu Nanauka kuwa huduma hii ni muhimu haiweke

  • @georgegaturu9071
    @georgegaturu9071 Před 6 měsíci +4

    Yes,Sitakua nikifuatilia maisha ya mtu

  • @brackskinyozi3280
    @brackskinyozi3280 Před 2 měsíci

    Asante kk joel ...kw..kuendelea kutufungua.. barikiwa sana🙏🙏🙏

  • @WastalaZumo
    @WastalaZumo Před měsícem

    Kweli wapo awajui kuomba msamaa wezao ndio wanawaona wamakosa wao ajioni

  • @KulwaCosmas-gj2jx
    @KulwaCosmas-gj2jx Před měsícem

    Ahsante ka joel kwa ujumbe wako mm huwa napata uchungu wakati mwingine bila sababu pengine nakosa aman na kusikia kulia kwa uchungu sana cjui ni ratizo gan hilo

  • @lukakivamba7245
    @lukakivamba7245 Před 6 měsíci +2

    Nataka kuwa kama wewe,hata kama sitafanana na wewe at all but to be like you is enough to me ubarikiwe joe

  • @silverminjal5108
    @silverminjal5108 Před 5 měsíci +1

    Asante kwa somo kaka joel,nashukuru sana mungu akubariki

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 Před 6 měsíci +2

    Ujumbe mzuri sana💪

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před 6 měsíci +3

    😢😢😢Ubarikiwe sana

  • @veronikafransiscomasanja5750

    Asante kwa ushauri mzuri Kaka nitajitahidi kuondoa haya maumivu yanayonisumbua

  • @user-qz6cg3hr4w
    @user-qz6cg3hr4w Před 5 měsíci

    Jaman kuumizwa hasa aliyekuumiza ni mtu wako wa krb hasa awe mtoto wako jaman

  • @user-ku5rh2yg5c
    @user-ku5rh2yg5c Před 6 měsíci +4

    Nilipitia uchungu hadi imani yangu ikayumba nikaamuacha mungu,sasa nahangaika kuutafta uso wa ngumu tena,sikujua kua lilikua ni jaribu kwangu, itoshe kusema moyo wangu umekua sugu kwa uchungu,

  • @dianadeoda3815
    @dianadeoda3815 Před 6 měsíci +1

    Naitaji kuonana na ww kaka joel

  • @barakastephano8889
    @barakastephano8889 Před 5 měsíci +1

    Kufwatilia maisha ya mtu aliekuumiza ndio kunaongeza uchungu zaidi

  • @user-ku5rh2yg5c
    @user-ku5rh2yg5c Před 6 měsíci +1

    Da WW ni kichwa,

  • @angelnjiku1979
    @angelnjiku1979 Před 6 měsíci +1

    Huu uchungu nilionao itabidi nikutafute Sir Joel

  • @user-yo2vn2gh4c
    @user-yo2vn2gh4c Před 5 měsíci

    Duh its true bro bt some times it fail to forget some event

  • @zachariajacob6559
    @zachariajacob6559 Před 6 měsíci +1

    Ahsante saana imekuja wakati mwafaka kwangu

  • @user-mt7qm5lb3m
    @user-mt7qm5lb3m Před 6 měsíci +1

    Naomba kununua vitabu nipo Zanzibar

  • @lucaskapula-sq4qk
    @lucaskapula-sq4qk Před 5 měsíci +2

    Hakika nikweli. Ujumbe huu nidawa ya akili na moyo kuwa na amani kubwaaa

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 Před 5 měsíci

    Unatuponya kaka Barikiwa zaidi kaka yangu

  • @user-mr5rl7ek9f
    @user-mr5rl7ek9f Před 5 měsíci

    Bro. I sailed at the same boat of painful situations when i had my friend who devoted himself to stay with me,, and that was the time when i was desperate and jobless. But slowly this man started ignores and overrule me to an extent that he tarnishes my name to his friends,, but one thing about me is that i learned to be quiet when such situation comes. So that was an excuse for him to tarnish my name to his friends and that three weeks later he chased me out of his house at 9pm at night and that moment i didn't know where to go but fortunately the director at a certain college who was my friend saw me at that parthetic situation and accommodate me til date. Thank you for that advice at least you had soothe my anxiety and and stress about what happened to my life

  • @FeisalShomari-fc3ej
    @FeisalShomari-fc3ej Před 6 měsíci +2

    Joel

  • @bernadetachari7648
    @bernadetachari7648 Před 6 měsíci +1

    Nikweli mwalimu unavyo sema .ila ninaswali mwalimu huwa unatembea mpaka kenya

  • @user-ok5hz9xv9m
    @user-ok5hz9xv9m Před 5 měsíci

    Ni kweli nimepitia kwenye uchungu mkubwa mno,hauishi walionisababishia nawaona kila siku

  • @daudisafiness1249
    @daudisafiness1249 Před 6 měsíci +1

    Asante kwa somo zuri.

  • @Yonzomc01
    @Yonzomc01 Před 6 měsíci

    Ubarikiwe sana Kaka Hasante kwa somo zuri nimejifunza kitu.

  • @zaitunijuma1051
    @zaitunijuma1051 Před 6 měsíci

    Nimekuelewa sana kiongozi na ninadhani itanisaidia kwa hali ninayopitia sasa

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před 6 měsíci +1

    Asante Sana

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 6 měsíci +1

    Ahsante

  • @MgeniRamadhani
    @MgeniRamadhani Před 6 měsíci +1

    Nitaacha kumuongelea ongelea

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před 5 měsíci

    Asante Kwa uponyaji

  • @user-xi4pd1yw7o
    @user-xi4pd1yw7o Před 6 měsíci +1

    Thank you

  • @SteveMichaels-vr8si
    @SteveMichaels-vr8si Před 6 měsíci

    Thats good bro

  • @user-ed9gc4gk3r
    @user-ed9gc4gk3r Před 5 měsíci

    Kaka vitabu ni kwa lugha gan maana mim ngeli haipandi

  • @Mwanafundi
    @Mwanafundi Před 6 měsíci

    Niliumi

  • @omarymsokolo38
    @omarymsokolo38 Před 2 měsíci

    Kk Joel Mm nateswa nahofu kiaskwamba moyo unaenda mbio ni fanyaj kuepuka??

  • @SteveMichaels-vr8si
    @SteveMichaels-vr8si Před 6 měsíci

    Nafanya unachokifanya bro npo njombe nahitaji support

  • @juliethbusso1761
    @juliethbusso1761 Před 6 měsíci

    Thanx bro

  • @SABI_YUMVA
    @SABI_YUMVA Před 6 měsíci +1

    Ahsante sana kaka ♥️

  • @user-mc3sd8bm8x
    @user-mc3sd8bm8x Před 5 měsíci

    Napitia uchungu wa mapenzi najitahidi kujitoa lkn nashindwa

  • @ismailsalum6958
    @ismailsalum6958 Před 6 měsíci

    kaka joel kitabu cha timiza malengo yako nakipataje?

  • @emanuelmanfred9856
    @emanuelmanfred9856 Před 6 měsíci +1

    Kaka unachokizungumza ni kweli kabisa lakini namna ya kumpata huyo mtu unayeweza kumuelezea hayo maumivu unayopitia, kwa mfano mimi mwenyewe nipo katika ya uchungu mzito kwa sababu ya kuondolewa mahali fulani kila nikijalibu kusahau inashindikana kaka.

  • @PatriciaJosephKanote-ss5mx
    @PatriciaJosephKanote-ss5mx Před 6 měsíci

    Sasa mm nasamehe ila nafuta kweny akili yngu uyo mtu, je hii ni sawa?

  • @VictoriaVenance-pz3gr
    @VictoriaVenance-pz3gr Před 6 měsíci +8

    Daddy ni kweli ulichosema ila ni vigumu nilishawahi kumwandikia mtu ujumbe ili anipe ushauri Kuna kitu kilikuwa kinaniumiza si nikajichanganya nikapost status nilitaka kuzimia Hadi nikaanza kuulizwa na watu ambao Huwa wanaview status zangu na hawasemi chochote wanauliza nani huyu nilitamani ardhi ipasuke niingie eeh 😂 nyie

  • @user-yo2vn2gh4c
    @user-yo2vn2gh4c Před 5 měsíci

    Duh its true bro bt some times it fail to forget some event

  • @user-mt7qm5lb3m
    @user-mt7qm5lb3m Před 6 měsíci

    Naomba kununua vitabu nipo Zanzibar