JAMBO MUHIMU UNAPOELEKEA MAFANIKIO - JOEL NANAUKA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 12. 2023
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.selar.co 🔥🔥🔥

Komentáře • 32

  • @aishamsemwa-zu3eo
    @aishamsemwa-zu3eo Před 4 měsíci

    Kaka joeli Mungu akumiminie baraka tele katika maisha yako

  • @williamcosmas1986
    @williamcosmas1986 Před 6 měsíci

    Eeee wahhhhh

  • @user-sn9bc7fv5l
    @user-sn9bc7fv5l Před 5 měsíci

    Mungu akubariki bwana Joel

  • @seraphinemuthama5119
    @seraphinemuthama5119 Před 6 měsíci

    Hasira kweli inanikalia mimi

  • @shedubwi
    @shedubwi Před 6 měsíci +1

    Hasira ili niandama kwa muda mrefu sana ila leo umenifungua akili BROTHER JOEL 🎉🎉🤝🤝🤝

  • @user-di8dt1ih4w
    @user-di8dt1ih4w Před 6 měsíci

    True kbsa

  • @nadiaseif
    @nadiaseif Před 6 měsíci

    Shukran kaka Joel

  • @SaidMkashari
    @SaidMkashari Před 6 měsíci +2

    Assalamualaikum Hisia Ile ninapotafuta kitu sikipati ndio inanumiza sana

  • @TalentedmediaTz
    @TalentedmediaTz Před 6 měsíci +1

    Unatoa elimu nzuri sana boss mungu azidi kukubariki

  • @tumainselestine3398
    @tumainselestine3398 Před 4 měsíci

    Zote ulizozitaja aina za kihisia zilikuwa zinanisumbua sana, lkn nashukuru hivi ninavyoandika huu ujumbe, nimefanikiwa kwa kiwango fulani kuanza kuzi-control najua bado nahitaji kuweka nguvu na jitihada za ziada lkn kwa hali ya sasa inanitia moyo na kunipa picha ya hapo kesho nitakuwa nina uwezo mkubwa wa kuziongoza hizo hisia

  • @rachelclifford5465
    @rachelclifford5465 Před 6 měsíci

    Hasira zinanisumbua sana , ila Leo umenipa somo ku bwa sana Bwana Joel, mwenyezi Mungu akulinde

  • @ShadiyaMahmoud
    @ShadiyaMahmoud Před 2 měsíci

    Nipo shinyanga kahama tanzania kaka joel je.?naweza pata vp vitabu vyako kwa ap kahama

  • @medlucas5686
    @medlucas5686 Před 6 měsíci

    Asante bro najifunza mengi Sana ukiwa na hali duni pia una hasira naona unaisha mwenyewe

  • @njoroboihastla
    @njoroboihastla Před 6 měsíci

    JOEL YOU ARE GENIUS BRO🤺💡🏌️‍♂️

  • @Chagha_lee_69
    @Chagha_lee_69 Před 6 měsíci

    Pamoja sana

  • @erickathanas
    @erickathanas Před 6 měsíci

    Thanks sana brother Joel kwa somo zuri

  • @emanuelchanya5182
    @emanuelchanya5182 Před 6 měsíci

    Ubarikiwe Joel

  • @imanimwashiuya223
    @imanimwashiuya223 Před 6 měsíci

    ukweri mutupo nirionahikwangu. irikupitia wewe nimejifunza vingisana. na mungu aendereekukupa marfa

    • @njoroboihastla
      @njoroboihastla Před 6 měsíci

      Umejifunza vingi kupitia huyu? Basi jifunze pia kusoma na kuandika kiufasaha itakusaidia sana ujue namna ya kutofautisha matumiz ya R na L" au tafuta kitabu kinaitwa "JIFUNZE KISWAHIL"

  • @joycesanga6951
    @joycesanga6951 Před 6 měsíci

    Asante Sana kwa Elimu ya Maisha

  • @aikajaphet1108
    @aikajaphet1108 Před 6 měsíci

    🙏🙏naisubiri kwa hamu

  • @mohammedrashid2906
    @mohammedrashid2906 Před 6 měsíci

    Ahsante

  • @emanueleugen921
    @emanueleugen921 Před 6 měsíci

    Hisia wakati nko chini kiuchumi

  • @kuruthumukondo7149
    @kuruthumukondo7149 Před 6 měsíci

    Shukrani kaka kwa elimu ❤❤

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa Před 6 měsíci

    Kweli umenifundisha kitu

  • @Sumay228
    @Sumay228 Před 6 měsíci +1

    Ikiwa nonstop kusingiziwa kukataliwa au Halifax ngumu ya maisha I think better uhame hilo eneo from there ni rahic kuachilia kuanza upya na kusamehe otherwise is not dat easy

    • @ashamadunda1532
      @ashamadunda1532 Před 6 měsíci +1

      Huwa nakosa furaha, kuona naonewa kwa kosa ambalo sijalifanya hvy huwa napatwa na hasira hadi nalia mwenyewe.... But now nitaweza juzi control ili niwe imara

    • @kezamutimajoselyne7848
      @kezamutimajoselyne7848 Před 6 měsíci

      J9k

  • @neemaanatory1880
    @neemaanatory1880 Před 6 měsíci

    Mungu akujalie maisha marefu yenye afya njema,amani furaha na maarifa zaidi uzidi kutuelimisha najifunza mengi kutoka kwako na napiga hatua🙏🙏

  • @alexpiusyoung1389
    @alexpiusyoung1389 Před 6 měsíci +1

    Hasira na Uzuni. Ndio vitu ambavyo vinafunga mafanikio yangu.

  • @user-qx6ov1yr2q
    @user-qx6ov1yr2q Před 6 měsíci

    Hasira ndo jambo linalonisumbua ila Leo umenifungua bro

  • @benjaminthomas3775
    @benjaminthomas3775 Před 6 měsíci

    Mbona hamna au muda bado jmn?