Wachapakazi hot Media kamlipe wewe ujuwi deni likoje mbona nyerere alivyokuwa hai ajaja kukamata au ndio usemi tulikuwa hatuna kitu kaja magu kafanya mambo wanaanza kuleta shobo tunawadai walitaka tuwe mapoyoyo kila siku
Ardhi anayodai fidia ni ya Watanzania, yeye ardhi yake ipo Canada na South Africa ambako ndio ana uraia wa nchi hizo, na kwa sheria za sasa za TZ Wageni hawaruhusiwi kumiliki ardhi nchini.
@@menikojohn2782 huyu ni raia wa ISRAEL kiasili alimiliki ardhi tangu TANGANYIKA haina katiba wala uhuru bado wa TANGANYIKA msome mfuatilie utajua ukweli wa mambo mm ni mtanzania na namuunga mkono kudai haki yake ndio maana alikua analipwa coz anahaki zake ishu sio utanzania ishu ukweli na usawa.
Nice Masanja we are together! Greet Rv.Daniel (Rumala mpya)
Ashike za serikali iliyomdhurumu siyo hii ya awamu ya tano ataumia mwenyewe na kizazi chake.
Ndege za kushika ni nyingi ashike baiwai joloe katyente njiwa sio hii ya mjomba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jamaa umenifurahisha sana hao ndege uliowataja aise
Joloe na katyente🤣🤣🤣🤣🤣umenkjmbusha mbali sn🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Hahaha katyente haha
Sawa baba mchungaji 😂😂
Kaka Fanya n ww uishike kama mkulima mwenzio
sikubali lazima na mimi niipande aah
Masanja mwanangu naomba unisaidie,mie mamako mtaji wa kufuga kuku aina ya broilers
Eti gubawa kunaweza kufukuza ndege hamna😂😂
Udesi beeh
Kushika ndege Ni kushika panapouma
Ajishike mwenyewe.
Dah!! Kesho kutwa nitaipanda namimi aisee mgaya uko viziri
Kubali kataeni dawa ya deni ni kulipa. Tanzania inadawa trilioni 65 kamili mnategemea watu wasidai fedha zao.
@@abdalahfarida2074 serikali ikikutaifisha huna chako tena nenda kilamahali hutapata kitu aisee
Am happy with you brother
hahahahahah,,,
😀
Mbona cjaona ckrin Kwa sit
😅😅😅
Ndio hii kumbe
TUMPE TWIGA MOJA ASHIKE, KENGE HUYO
Hata wakulima wadogo huwa wanadaiana,atashika lolote!
Ww Masanja kwenye wakulima humo kbs wala usijisifu
Sasa huo wivu......basi mkulima wewe🤷♂️🤷♂️🤷♂️🤷♂️
Masharubu Ndevu wewe humjui Masanja yaani katika wakulima wa east Africa siyo Tanzania na Masanja yumo hebu fanya kusogea pale Mbarali kidogo ukaone
Hivi kumbe kiseat chako kulikuwa cha kidirisha 😂😂 asking for Instagram followers..
Kama mnadaiwa zishikwe tu
Masharubu Ndevu za Kwapa. Hayo ni mavi tu ya kuuma hua yana kuja kwa msimu alafu yana acha. Sio kila wakati yana kuja.
Upimwe akili wewe unae shabikia ndege zishikwe...
Deni baya kwa Mungu ht udaiwe cent hamsini wajibu kulipa
Tuache ubabe usio na lazima jaman kama huyu jamaa anatudai tumlipe tu ndo dawa
Kwani yeye ndo mdai pekee?
Kashindwa mahakamani so what?
Kama una support mkulima ashike jembe au tractors akalime
Wachapakazi hot Media Anadai mkundu wako
Wachapakazi hot Media kamlipe wewe ujuwi deni likoje mbona nyerere alivyokuwa hai ajaja kukamata au ndio usemi tulikuwa hatuna kitu kaja magu kafanya mambo wanaanza kuleta shobo tunawadai walitaka tuwe mapoyoyo kila siku
Tusha mlipa mama yako hivi huko kifilo cha kufa mtu manyama ndani manyama nje
Unaongea nini wewe unadhani deni nayo ni comedy.
DAI CHAKO UONEKANE MBAYA MKULIMA SIO MBAYA ANADAI CHAKE
BAHARIA HD Mbona wewe inafirwa umenyamaza?
Chake ndege au jembe
Ardhi anayodai fidia ni ya Watanzania, yeye ardhi yake ipo Canada na South Africa ambako ndio ana uraia wa nchi hizo, na kwa sheria za sasa za TZ Wageni hawaruhusiwi kumiliki ardhi nchini.
@@menikojohn2782 huyu ni raia wa ISRAEL kiasili alimiliki ardhi tangu TANGANYIKA haina katiba wala uhuru bado wa TANGANYIKA msome mfuatilie utajua ukweli wa mambo mm ni mtanzania na namuunga mkono kudai haki yake ndio maana alikua analipwa coz anahaki zake ishu sio utanzania ishu ukweli na usawa.
@@immamlowe7151 nimenyamaza nini boy?
HUJUI CHOCHOTE WEWE MTU KAZURUMIWA MIAKA KIBAO DAWA NI KUMLIPA BASI ASIENDELEE KUTUSUMBUA,
Walikuwa wanalipa
Wilbert Charles acha hizo wewe angekuwa na haki ya kudai mbona kila akienda mahakamani anashindwa? Mlipe wewe sasa kama unaona ana kaki yake
Wilbert Charles Anadai Mkundu wenu
Njama za wapinzani wanataka
Niwaponzani tu
Uo ushamba usiwafanye watu washamba Tara wewe
Udesi beeh
Mujango uju usova sana kyeeeeee....isova rweli
Yanh unatoka shamba unapanda ndege wakat mm natoka shamba na staut
Ajichetue aje ashike ndege ya jeshi aone cha moto
Yaan tutamfyeka moja, dahh sipatii picha yaan huyu mzungu ni mshenzi kwelikweli. Hivi hatujui au.