Hakika kufanikiwa kuna hutaji kupambana sana Bila kujali watu wanasema nini kikubwa Ni kuangia njia unazopita kama zinaweza kufikisha kwenye malengo I learned great thing
This guy is a genius. Hapa ndo mahala watu wanachezewa akili na shetani kuanza kuwasema vibaya wenzao kwamba wanauza unga lakini ukweli ni kwamba pesa anayoingiza kwa miezi 6 tu kupitia shamba ni sawa na kiinua mgongo cha bregadia mstaafu wa jwtz miaka aliyokaa jeshini hadi akazeekea huko
Masanja ni mfano mzuri kwa vijana wengi waliofanikiwa na wanaotaka kufanikiwa, moja ya vitu ulivyofanikiwa sana ni UNYENYEKEVU na KUJISHUSHA, hongera sana.
Yani mabosi wote wangekuwa na upendo kwa wafanyakazi wao kiasi hiki bila kujali anapesa kiasi gani ingekuwa raha sana,hakika wewe ni kioo cha jamii mchungaji.
Masanja bratha unanikumbusha mbali Sana nimelima Sana mpunga nikiwa mbalari kikazi hapo estet proti za upande wa nyeregete mlango wa tatu B ,nilipiga Sana pesa kwa Sasa nimehamishiwa mkoa wa songwe kaka malima mahindi na alizeti,japo kua soko la mahindi Lina suasua,tupige kazi wazee waa kazi pesa ipo shamba.
Masanja amefanikiwa mnasema yuko freemason hamuoni juhidi zake katika kilimo??Hongera kaka Masanja kwa kujikita na kuweka juhudi zako katika kilimo Baba Mungu awe nawe.
Najuwa unaombewa sana kila kukicha nami nasema tu kwamba Mungu akujalie afya tele maana wewe ni kielekezo tosha kwa kizazi cha sasa,una mtumikia Mungu Baba na bado shuguli za kimwili unapambana Bwana awe nawe daima kaka mtumishi
Utani utani lkn utavuna Kk maisha yachukulia Kama utani utafika tu akuna kukata tamaa bro mambo unayoyafanya mngine hataona ujinga hila mm najifunza kwako jinsi yakuyakabili maisha unafanya km ufanyi masanja big up brother
Boss gani mwenye pesa zake anaweza kuyafanya haya jamani,hakuna tusidanganyane Masanja sijui nikufananishe nanani sijamuona.ubarikiwe sana wengine wakifanikiwa wanajifanya maisha yazamani km haya hawajapitia
Ilikua mwaka 2013 nilikutana na ww pale RUJEWA pindi sijahamieshwa kikazi ulikua dukani kwa keny, hadiwea ulikua ukisalimiana na mama keny nilikusalimu na ukanijibu freshi niliitaji nipige stori na ww ila ulikua fasta Sana ila takutafuta tuyajenge.
😂 nlkua Miongoni mwa wabishi wa kusubscribe kwenye hii account yako lkn kwa hii video clip umenikamata asee... Nimejikuta nasubscribe ...this Africa hw we do
Barikiwa , hongera sn huna ht ubishoo wengine hpo ht chini asingegusa kwenye gari ananyoshea vidore tu pesa imejaa tena mfukoni na zarau juu hata vijana hao angewaona maskini tu hawa, kumbe ajui bila ya hao kazi haiendi na wao wana umuhimu, daaa Masanja Mungu azidi kukuinua zaidi ya hapo, nasi tunaiga mfano wko kk
Kaka masanja E.kama utaion post hii naomba mawaxliano ako via madukathegreat@gmail.com au Nmekuwa nikikutafta kwa muda mrefu sana pacpo mafanikio. Barikiwa
Hakika kufanikiwa kuna hutaji kupambana sana
Bila kujali watu wanasema nini kikubwa Ni kuangia njia unazopita kama zinaweza kufikisha kwenye malengo
I learned great thing
Shikamo Baba. Roho yako uliyonayo na upendo ulionao ndio leo vimenifanya nami nijisihi nimtu niliyekumbukwa na Bwana. Love Love Love Love
This guy is a genius. Hapa ndo mahala watu wanachezewa akili na shetani kuanza kuwasema vibaya wenzao kwamba wanauza unga lakini ukweli ni kwamba pesa anayoingiza kwa miezi 6 tu kupitia shamba ni sawa na kiinua mgongo cha bregadia mstaafu wa jwtz miaka aliyokaa jeshini hadi akazeekea huko
Masanja ni mfano mzuri kwa vijana wengi waliofanikiwa na wanaotaka kufanikiwa, moja ya vitu ulivyofanikiwa sana ni UNYENYEKEVU na KUJISHUSHA, hongera sana.
Yani mabosi wote wangekuwa na upendo kwa wafanyakazi wao kiasi hiki bila kujali anapesa kiasi gani ingekuwa raha sana,hakika wewe ni kioo cha jamii mchungaji.
Na kimsingi haya ndiyo maisha ya muafrika halisi
Masanja bratha unanikumbusha mbali Sana nimelima Sana mpunga nikiwa mbalari kikazi hapo estet proti za upande wa nyeregete mlango wa tatu B ,nilipiga Sana pesa kwa Sasa nimehamishiwa mkoa wa songwe kaka malima mahindi na alizeti,japo kua soko la mahindi Lina suasua,tupige kazi wazee waa kazi pesa ipo shamba.
Waonyeshe waone Kaka wakiona Magari makubwa oho ajiunga. Fanyeni kazi achenimbwebwe masanja anajituma. Ukirudi mjinikukukwamrija🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏barikiwasanaaaaaaaaaaaa
Nashindwa ht namna ya kukusifia cozz una inspire watu saana masanja nakisingi Hays ndio maisha halisi ya mtanzania
Hongera sana masanja umenihamasisha sana, nitakutafuta
Masanja amefanikiwa mnasema yuko freemason hamuoni juhidi zake katika kilimo??Hongera kaka Masanja kwa kujikita na kuweka juhudi zako katika kilimo Baba Mungu awe nawe.
mimi naona anajituma sana kupambana
Masanja ujawahi jitenga na wtu mabosi wote wangekua na upendo uwo dah tungekua mbali
Mungu hakubariki mana nimejifunza mengi kutoka kwako.
Hahujali hu star.
masanja anelewa maisha sana big up mtumishi bonge la mpambanaji
Najuwa unaombewa sana kila kukicha nami nasema tu kwamba Mungu akujalie afya tele maana wewe ni kielekezo tosha kwa kizazi cha sasa,una mtumikia Mungu Baba na bado shuguli za kimwili unapambana Bwana awe nawe daima kaka mtumishi
Masanja nimekuelea sana natamani kuja kupanda mpunga jamani
Hahahaha haina basata hiyo mzee baba unafaa kuingwa hadi kupumua (THE GREAT MASANJA )
wew masanjaa sijui damu ysko ipojee
Hatareeee sanaaa witisha mswam makeketula
Utani utani lkn utavuna Kk maisha yachukulia Kama utani utafika tu akuna kukata tamaa bro mambo unayoyafanya mngine hataona ujinga hila mm najifunza kwako jinsi yakuyakabili maisha unafanya km ufanyi masanja big up brother
Hongera masanja hujawahi kujifanya kuwa star
Mungu azidi kukubariki
Hapo mwanawane sina cha kuongeza, zaid ya saluteeee
Wew sio bishoo.. Safi sana..
nakukubali kinoma mwanangu salute sana
Jamani nimejifunza kupitia huyu Kijana kiukweli Ubongo wako uko vizuri
Hahahahaa hatari unanikumbusha mbali masanja
Nakukubali sana bro......
Ubongooo wakooo nimeukubaliii
Bro we ni noma unaondoka lini huko nije tusalimiane
Amina mtumishi wamungu
Masanja nakukubali huna maisha ya bishoo kaka.
Saluti kwako
I LOVE YOU MORE MY BROTHER.
hahahahaa saaaafi sana shamba shambani
Safi sana.
God blees u
Adi raha mnachenza na boss wenu sio ma boss wengine babu washakuja na magali yao wew tena anakuona kama mavo wakati ndio unaemlimia shamba lake
this is real GOOD time and enjoyable🤑🤑🤑🤑
We noma sanaaaaaa
Raha sana haya mambo
Boss gani mwenye pesa zake anaweza kuyafanya haya jamani,hakuna tusidanganyane Masanja sijui nikufananishe nanani sijamuona.ubarikiwe sana wengine wakifanikiwa wanajifanya maisha yazamani km haya hawajapitia
Nice bro
Duuuh! Kwel we in mtu wawatu!!!
Najiona Mimi kabisa nikiwa kijijini🤣🤣🤣
Masanja
Dodoki daaa unakumbusha mbali sana😂😂😂
Nguo ndio dodoki😂😂😂😂😂
🔥🔥🔥
Vizuri sana masanja
Yaaan hapo umenikumbusha mbal brother
masanja we ni noma
Hahaaaaaaa masanja kumbusha mbal sana mm apo
Watu na kujichanganya kwao bhana
dodoki 😂😂😂😂😂😂😂nakumbuka mbali sana
MASANJA POST UNAVUA KAMBARE UTATRENDI UMCHOME MPAKA UNAVYOMLA NA UGALI;
Ilikua mwaka 2013 nilikutana na ww pale RUJEWA pindi sijahamieshwa kikazi ulikua dukani kwa keny, hadiwea ulikua ukisalimiana na mama keny nilikusalimu na ukanijibu freshi niliitaji nipige stori na ww ila ulikua fasta Sana ila takutafuta tuyajenge.
Massaja umenikumbusha kondoa sehem moja inaitwa kisese"kwenye mashamba ya mpunga tulikuwa tunaogelea hivyohivyo
hahahaha mkandamizaji hiv unajijua kwamba wewe ni fala 😂😂😂😂 ...some joking
uncledAvi Tv ufala wake ni nini
🤣🤣😋🤣🤣🤣🤣🤣🤣 noma sana
Upo vzuli San masanja
Learning only
Hahahahahaha wewe ninoma nawapenda wote
yan masanja hapo safiiiiii
hahahahah
masanja Sikuwezi
Kwa kweli sijawai kumwona mutu mishi mwenyeupendo kama masanja kwa watumishi wa kubwa ambao ni shagaona
Hahahahah eti shati dodoki
Mtu ulinikuta allkila chake mseme anaringa
emanuelllllll mgayaaaa
Oyaa wee kiboko mwanawane
Beach kidimbwi...
Wapi hapo ubaruku au mtoni
Unavituko masanja adi raha
Dahaaa apo umekunywa vikombe vingapi
Unahela umefnikiwa nakupendea hunaga zarau unacheza na jamaa kama ucheza tu yani hujali mazingira hakuna ubossi
Hahaa
umenifrahisha San kaka
Huogopi mamba
hivi hakuna maswindi?
hahahahahaa
😂😂😂😂
😂 nlkua Miongoni mwa wabishi wa kusubscribe kwenye hii account yako lkn kwa hii video clip umenikamata asee... Nimejikuta nasubscribe ...this Africa hw we do
Kichocho sasa apo
hakika wewe ni mfano wa kuigwa Nwana wane
moto moto moto NAKUPENDA KAKA
😀😀😀😀
Barikiwa , hongera sn huna ht ubishoo wengine hpo ht chini asingegusa kwenye gari ananyoshea vidore tu pesa imejaa tena mfukoni na zarau juu hata vijana hao angewaona maskini tu hawa, kumbe ajui bila ya hao kazi haiendi na wao wana umuhimu, daaa Masanja Mungu azidi kukuinua zaidi ya hapo, nasi tunaiga mfano wko kk
hayo maji hayatembei mtaugua kichocho
Kchocho mjn tu ahahaa wanao jfanya wao ndo wanajua usafi kumbe hamna lolote watu wanalindwa na Mungu tu
Kaka masanja E.kama utaion post hii naomba mawaxliano ako via madukathegreat@gmail.com au
Nmekuwa nikikutafta kwa muda mrefu sana pacpo mafanikio.
Barikiwa
Daaah natamani kuhamia huko
Unanikukumbusha Tanzania yang sana wew masanja nimemiss sana iyo Kaz 😂😂😂😂😂💗👌👍
sijui nisubscribe?
nampendaga sana masanja,,,,Mungu azidi kukulinda...