VITUKO VYA MASANJA KWENYE MAJI MAREFU KAZAMA MTONI!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 02. 2019
  • VITUKO VYA MASANJA KWENYE MAJI MAREFU KAZAMA MTONI!!
  • Hudba

Komentáře • 97

  • @jasonjastinmatandala3037
    @jasonjastinmatandala3037 Před 5 lety +9

    Hakika kufanikiwa kuna hutaji kupambana sana
    Bila kujali watu wanasema nini kikubwa Ni kuangia njia unazopita kama zinaweza kufikisha kwenye malengo
    I learned great thing

  • @manongaclassic1113
    @manongaclassic1113 Před 5 lety +11

    Shikamo Baba. Roho yako uliyonayo na upendo ulionao ndio leo vimenifanya nami nijisihi nimtu niliyekumbukwa na Bwana. Love Love Love Love

  • @babadee4785
    @babadee4785 Před 5 lety +5

    This guy is a genius. Hapa ndo mahala watu wanachezewa akili na shetani kuanza kuwasema vibaya wenzao kwamba wanauza unga lakini ukweli ni kwamba pesa anayoingiza kwa miezi 6 tu kupitia shamba ni sawa na kiinua mgongo cha bregadia mstaafu wa jwtz miaka aliyokaa jeshini hadi akazeekea huko

  • @abdonkanuti1225
    @abdonkanuti1225 Před 5 lety +9

    Masanja ni mfano mzuri kwa vijana wengi waliofanikiwa na wanaotaka kufanikiwa, moja ya vitu ulivyofanikiwa sana ni UNYENYEKEVU na KUJISHUSHA, hongera sana.

  • @neemamabiki6164
    @neemamabiki6164 Před 5 lety +5

    Yani mabosi wote wangekuwa na upendo kwa wafanyakazi wao kiasi hiki bila kujali anapesa kiasi gani ingekuwa raha sana,hakika wewe ni kioo cha jamii mchungaji.

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu2083 Před 5 lety +25

    Na kimsingi haya ndiyo maisha ya muafrika halisi

  • @emiliussigalla7629
    @emiliussigalla7629 Před 5 lety +1

    Masanja bratha unanikumbusha mbali Sana nimelima Sana mpunga nikiwa mbalari kikazi hapo estet proti za upande wa nyeregete mlango wa tatu B ,nilipiga Sana pesa kwa Sasa nimehamishiwa mkoa wa songwe kaka malima mahindi na alizeti,japo kua soko la mahindi Lina suasua,tupige kazi wazee waa kazi pesa ipo shamba.

  • @lightm2225
    @lightm2225 Před 5 lety +1

    Waonyeshe waone Kaka wakiona Magari makubwa oho ajiunga. Fanyeni kazi achenimbwebwe masanja anajituma. Ukirudi mjinikukukwamrija🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏barikiwasanaaaaaaaaaaaa

  • @stevenmaketa8051
    @stevenmaketa8051 Před 5 lety +3

    Nashindwa ht namna ya kukusifia cozz una inspire watu saana masanja nakisingi Hays ndio maisha halisi ya mtanzania

  • @salmamohamed3640
    @salmamohamed3640 Před 5 lety

    Hongera sana masanja umenihamasisha sana, nitakutafuta

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 Před 5 lety +8

    Masanja amefanikiwa mnasema yuko freemason hamuoni juhidi zake katika kilimo??Hongera kaka Masanja kwa kujikita na kuweka juhudi zako katika kilimo Baba Mungu awe nawe.

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 2 lety +1

    Masanja ujawahi jitenga na wtu mabosi wote wangekua na upendo uwo dah tungekua mbali

  • @milemo604
    @milemo604 Před 5 lety

    Mungu hakubariki mana nimejifunza mengi kutoka kwako.
    Hahujali hu star.

  • @freckfide744
    @freckfide744 Před 5 lety

    masanja anelewa maisha sana big up mtumishi bonge la mpambanaji

  • @RealGiftLydia
    @RealGiftLydia Před 5 lety

    Najuwa unaombewa sana kila kukicha nami nasema tu kwamba Mungu akujalie afya tele maana wewe ni kielekezo tosha kwa kizazi cha sasa,una mtumikia Mungu Baba na bado shuguli za kimwili unapambana Bwana awe nawe daima kaka mtumishi

  • @asmahanyally3225
    @asmahanyally3225 Před 4 lety +1

    Masanja nimekuelea sana natamani kuja kupanda mpunga jamani

  • @amosdaudi9793
    @amosdaudi9793 Před 5 lety +1

    Hahahaha haina basata hiyo mzee baba unafaa kuingwa hadi kupumua (THE GREAT MASANJA )

  • @labanylabany2879
    @labanylabany2879 Před 5 lety +4

    wew masanjaa sijui damu ysko ipojee

  • @westonmtweve3612
    @westonmtweve3612 Před 5 lety

    Hatareeee sanaaa witisha mswam makeketula

  • @barakachami8218
    @barakachami8218 Před 5 lety

    Utani utani lkn utavuna Kk maisha yachukulia Kama utani utafika tu akuna kukata tamaa bro mambo unayoyafanya mngine hataona ujinga hila mm najifunza kwako jinsi yakuyakabili maisha unafanya km ufanyi masanja big up brother

  • @jonasemanueli6189
    @jonasemanueli6189 Před 5 lety

    Hongera masanja hujawahi kujifanya kuwa star

  • @kingkasuku9703
    @kingkasuku9703 Před 5 lety +3

    Mungu azidi kukubariki

  • @swahilitheafricantongue7041

    Hapo mwanawane sina cha kuongeza, zaid ya saluteeee

  • @alexchungu8823
    @alexchungu8823 Před 5 lety +2

    Wew sio bishoo.. Safi sana..

  • @danielxhamba2531
    @danielxhamba2531 Před 5 lety

    nakukubali kinoma mwanangu salute sana

  • @m.amanitv8534
    @m.amanitv8534 Před 5 lety

    Jamani nimejifunza kupitia huyu Kijana kiukweli Ubongo wako uko vizuri

  • @hadijaabdallah5879
    @hadijaabdallah5879 Před 5 lety +3

    Hahahahaa hatari unanikumbusha mbali masanja

  • @nobimgaya5359
    @nobimgaya5359 Před 5 lety

    Nakukubali sana bro......

  • @stanysirmteule6789
    @stanysirmteule6789 Před 5 lety +5

    Ubongooo wakooo nimeukubaliii

  • @mcjoshuatanzania352
    @mcjoshuatanzania352 Před 5 lety +5

    Bro we ni noma unaondoka lini huko nije tusalimiane

  • @festomlowegypsum8214
    @festomlowegypsum8214 Před 5 lety

    Amina mtumishi wamungu

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 5 lety

    Masanja nakukubali huna maisha ya bishoo kaka.

  • @samsonisaack833
    @samsonisaack833 Před 4 lety

    Saluti kwako

  • @isakaally298
    @isakaally298 Před 5 lety +1

    I LOVE YOU MORE MY BROTHER.

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 Před 5 lety

    hahahahaa saaaafi sana shamba shambani

  • @emgotailoring
    @emgotailoring Před 5 lety

    Safi sana.

  • @leonarddeus5897
    @leonarddeus5897 Před 5 lety

    God blees u

  • @ashuramamaashuraaachekuvaa7798

    Adi raha mnachenza na boss wenu sio ma boss wengine babu washakuja na magali yao wew tena anakuona kama mavo wakati ndio unaemlimia shamba lake

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před 5 lety

    this is real GOOD time and enjoyable🤑🤑🤑🤑

  • @barnabastanford3500
    @barnabastanford3500 Před 5 lety

    We noma sanaaaaaa

  • @fejam9223
    @fejam9223 Před 5 lety

    Raha sana haya mambo

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Před 5 lety

    Boss gani mwenye pesa zake anaweza kuyafanya haya jamani,hakuna tusidanganyane Masanja sijui nikufananishe nanani sijamuona.ubarikiwe sana wengine wakifanikiwa wanajifanya maisha yazamani km haya hawajapitia

  • @victorluvanga4971
    @victorluvanga4971 Před 5 lety

    Nice bro

  • @dicksonmpululu1800
    @dicksonmpululu1800 Před 5 lety +3

    Duuuh! Kwel we in mtu wawatu!!!

  • @briannyiti208
    @briannyiti208 Před 5 lety

    Najiona Mimi kabisa nikiwa kijijini🤣🤣🤣

  • @sarahkitindi3420
    @sarahkitindi3420 Před 2 lety +1

    Masanja

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 5 lety

    Dodoki daaa unakumbusha mbali sana😂😂😂

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před 5 lety +2

    Nguo ndio dodoki😂😂😂😂😂

  • @nabiimdogotv8686
    @nabiimdogotv8686 Před 5 lety

    🔥🔥🔥

  • @mimilenge9548
    @mimilenge9548 Před 5 lety

    Vizuri sana masanja

  • @frankdeus6951
    @frankdeus6951 Před 5 lety

    Yaaan hapo umenikumbusha mbal brother

  • @ADTZ-wk9rt
    @ADTZ-wk9rt Před 5 lety

    masanja we ni noma

  • @theleo3899
    @theleo3899 Před 5 lety

    Hahaaaaaaa masanja kumbusha mbal sana mm apo

  • @awaziernest8000
    @awaziernest8000 Před 5 lety

    Watu na kujichanganya kwao bhana

  • @veronicambunda5516
    @veronicambunda5516 Před 5 lety

    dodoki 😂😂😂😂😂😂😂nakumbuka mbali sana

  • @gambonmgaya1286
    @gambonmgaya1286 Před 5 lety +4

    MASANJA POST UNAVUA KAMBARE UTATRENDI UMCHOME MPAKA UNAVYOMLA NA UGALI;

  • @emiliussigalla7629
    @emiliussigalla7629 Před 5 lety

    Ilikua mwaka 2013 nilikutana na ww pale RUJEWA pindi sijahamieshwa kikazi ulikua dukani kwa keny, hadiwea ulikua ukisalimiana na mama keny nilikusalimu na ukanijibu freshi niliitaji nipige stori na ww ila ulikua fasta Sana ila takutafuta tuyajenge.

  • @abubakarikisuju5374
    @abubakarikisuju5374 Před 4 lety

    Massaja umenikumbusha kondoa sehem moja inaitwa kisese"kwenye mashamba ya mpunga tulikuwa tunaogelea hivyohivyo

  • @uncledavitv6481
    @uncledavitv6481 Před 5 lety +2

    hahahaha mkandamizaji hiv unajijua kwamba wewe ni fala 😂😂😂😂 ...some joking

  • @zainabukhalifa3967
    @zainabukhalifa3967 Před 5 lety

    🤣🤣😋🤣🤣🤣🤣🤣🤣 noma sana

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 Před 4 lety

    Upo vzuli San masanja

  • @Bonwyatt
    @Bonwyatt Před 5 lety

    Learning only

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 Před 5 lety

    Hahahahahaha wewe ninoma nawapenda wote

  • @salomemwalukasa9184
    @salomemwalukasa9184 Před 5 lety

    yan masanja hapo safiiiiii

  • @st.juniorsilwimba9691
    @st.juniorsilwimba9691 Před 5 lety

    hahahahah
    masanja Sikuwezi

  • @dieumercibarrack6539
    @dieumercibarrack6539 Před 5 lety

    Kwa kweli sijawai kumwona mutu mishi mwenyeupendo kama masanja kwa watumishi wa kubwa ambao ni shagaona

  • @frolaerick3054
    @frolaerick3054 Před 5 lety

    Hahahahah eti shati dodoki

  • @jonijojoss9181
    @jonijojoss9181 Před 5 lety +2

    Mtu ulinikuta allkila chake mseme anaringa

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz233 Před 5 lety

    emanuelllllll mgayaaaa

  • @aminasalim8367
    @aminasalim8367 Před 5 lety

    Oyaa wee kiboko mwanawane

  • @Crownvalz
    @Crownvalz Před 5 lety

    Beach kidimbwi...

  • @elinhotitus8938
    @elinhotitus8938 Před 5 lety

    Wapi hapo ubaruku au mtoni

  • @aminajuma6924
    @aminajuma6924 Před 5 lety

    Unavituko masanja adi raha

  • @amosruta2308
    @amosruta2308 Před 5 lety

    Dahaaa apo umekunywa vikombe vingapi

  • @yassirally3933
    @yassirally3933 Před 5 lety

    Unahela umefnikiwa nakupendea hunaga zarau unacheza na jamaa kama ucheza tu yani hujali mazingira hakuna ubossi

  • @gambonmgaya1286
    @gambonmgaya1286 Před 5 lety +1

    Hahaa

  • @elishaworkout6116
    @elishaworkout6116 Před 5 lety

    umenifrahisha San kaka

  • @sahiltvontheline5560
    @sahiltvontheline5560 Před 5 lety

    Huogopi mamba

  • @matildamsekele6221
    @matildamsekele6221 Před 4 lety

    hivi hakuna maswindi?

  • @evamyotamyota8830
    @evamyotamyota8830 Před 5 lety

    hahahahahaa

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 Před 5 lety

    😂😂😂😂

  • @ellymakongo656
    @ellymakongo656 Před 5 lety

    😂 nlkua Miongoni mwa wabishi wa kusubscribe kwenye hii account yako lkn kwa hii video clip umenikamata asee... Nimejikuta nasubscribe ...this Africa hw we do

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před 5 lety

    Kichocho sasa apo

  • @hamidajuma7804
    @hamidajuma7804 Před 5 lety +1

    hakika wewe ni mfano wa kuigwa Nwana wane

  • @Pastorlenhardkyamba
    @Pastorlenhardkyamba Před 5 lety

    moto moto moto NAKUPENDA KAKA

  • @rebecaedson8664
    @rebecaedson8664 Před 5 lety

    😀😀😀😀

    • @getrudaadrian8558
      @getrudaadrian8558 Před 5 lety

      Barikiwa , hongera sn huna ht ubishoo wengine hpo ht chini asingegusa kwenye gari ananyoshea vidore tu pesa imejaa tena mfukoni na zarau juu hata vijana hao angewaona maskini tu hawa, kumbe ajui bila ya hao kazi haiendi na wao wana umuhimu, daaa Masanja Mungu azidi kukuinua zaidi ya hapo, nasi tunaiga mfano wko kk

  • @florabaruti8032
    @florabaruti8032 Před 5 lety

    hayo maji hayatembei mtaugua kichocho

    • @marypaul7455
      @marypaul7455 Před 5 lety

      Kchocho mjn tu ahahaa wanao jfanya wao ndo wanajua usafi kumbe hamna lolote watu wanalindwa na Mungu tu

  • @emanuelmasele8213
    @emanuelmasele8213 Před 5 lety

    Kaka masanja E.kama utaion post hii naomba mawaxliano ako via madukathegreat@gmail.com au
    Nmekuwa nikikutafta kwa muda mrefu sana pacpo mafanikio.
    Barikiwa

  • @user-bu7fy6ew5w
    @user-bu7fy6ew5w Před 5 lety

    Daaah natamani kuhamia huko

    • @wardamohamed5653
      @wardamohamed5653 Před 5 lety

      Unanikukumbusha Tanzania yang sana wew masanja nimemiss sana iyo Kaz 😂😂😂😂😂💗👌👍

  • @mohameddamka922
    @mohameddamka922 Před 5 lety

    sijui nisubscribe?

  • @eleciathesametome7304
    @eleciathesametome7304 Před 5 lety

    nampendaga sana masanja,,,,Mungu azidi kukulinda...